Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu
Michael Chilufya Sata Ikulu mjini Lusaka Zambia jana Novemba 11,2014.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal wa kwanza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia
Banda, Rais wa Kenya
Makamu wa Rais Dr Bilal Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mazishi ya Rais Sata wa Zambia
↧
↧
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
Rais
Profesa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa namba yake maalumu kwa ajili ya
Wananchi kumjulia hali na kumpa pole,ambapo atapokea ujumbe wako na
kuujibu.
↧
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015: Lowassa Aongoza Vyama Vyote....UKAWA Kushinda Uchaguzi ni Ndoto
Kumekucha. Pengine hilo ndilo neno linalofaa kutumika kuelezea
matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu
2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa
zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati
Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu
↧
Nusu ya wabunge hawatarudi bungeni mwakani
Wakati Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiendelea na
vikao vyake mjini Dodoma, imeelezwa kwamba nusu ya wabunge 239 wa
kuchaguliwa waliopo sasa, watabwagwa katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Hiyo inatokana na wabunge kutoa ahadi nyingi kwa wapigakura ambazo hawazitekelezi hivyo kukumbwa na rungu la wananchi mwakani.
Hayo
ni matokeo ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza
↧
Baby Madaha: Huwa Situmii Kodom ( Kinga ) Niwapo Kitandani
Baada ya hivi karibuni Msanii wa Filamu na
Muziki Bongo, Baby Madaha kusema ameamua kuwapanga wanaume, hivi sasa
ameibuka na jipya na kudai kwamba huwa hatumii kinga ‘kondom’ hata siku
moja.
Akiongea na Gpl, Baby Madaha
alisema kabla hajaanguka penzini na mwanaume lazima akapime kwanza
Ukimwi na baada ya hapo ndipo mambo mengine yanaendelea hivyo
akishahakikisha huyo mwanaume ni
↧
↧
Askofu Gadi kumuombea Rais Kikwete Apone Haraka
HUDUMA ya maombezi ya Good News for all Ministry imeandaa maombi maalumu kwa ajili ya kumuombea Rais Jakaya Kikwete ili afya yake iweze kuzidi kuimarika na kurejea nchini kuendelea na majukumu yake ya kuwatumikia Watanzania.
Maombi hayo yatafanyika Mapinga, Bagamoyo, karibu na Shule ya Sekondari ya Baobab, mita chache katika barabara inayoelekea TAMCO.
Mwenyekiti wa Huduma hiyo,
↧
"Haturuhusu Wafungwa Kufanya Tendo la Ndoa Gerezani"- Wizara ya Mambo ya Ndani
SERIKALI imesema Tanzania haina sheria ya kuwaruhusu wafungwa kukutana faragha na wenzao wao.
Hii ni mara ya tatu kwa serikali kutoa majibu hayo, kutokana na maswali ya wabunge ambapo mara kadhaa swali hilo limekuwa likiulizwa na Mbunge wa Viti Maalumu, Maryam Salum Msabaha (Chadema).
Hata hivyo, jana Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima alikiri kwa Tanzania
↧
Mwanamuziki Geez Mabovu Afariki Dunia
Mwanamuziki wa Hip Hop nchini, Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu'
amefariki dunia jana usiku akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili
zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez
Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar
kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez
↧
Polisi Waagizwa Kuzingatia Sheria Wakati wa Kuwakamata Wahalifu
JESHI la Polisi, sungusungu na askari wengine wameagizwa kuzingatia sheria na kanuni wakati wa kukamata wahalifu ili kupunguza majeruhi na vifo ambavyo hutokea mikononi mwao.
Agizo hilo lilitolewa jana bungeni na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene alipokuwa akijibu swali kwa niaba ya Waziri Mkuu.
Alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Meatu,
↧
↧
Wafugaji na Wakulima Kiteto Wauana Katika Mapigano
Migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji imeendelea
kusababisha mauaji wilayani Kiteto mkoani Manyara baada ya watu watano,
wakiwamo wakulima watatu na wafugaji wawili, kuuawa.
Mauaji
hayo yalitokea juzi na jana kwenye vijiji vya Kazinguru na Lamrambogo
katika Kata ya Matui ambako watu zaidi ya kumi na mmoja wanadaiwa
kujeruhiwa huku maboma 14 ya wafugaji yakichomwa moto na
↧
Mbowe: Sina ugomvi na Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hana ugomvi na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa kuwa amemlea na amemesaidia vitu vingi zikiwamo fedha, gari, kula na kulala nyumbani kwake.
Mbowe alisema Chadema hakijamtenga Zitto bali alijitenga mwenyewe na kufafanua kuwa Chama hicho hakiwezi kujengwa na viongozi ambao ni wapenzi wa Chama Cha
↧
Picha za Jack Dustan Akioga Bafuni Zavuja
Msanii wa filamu ambaye sasa amejichimbia
Dubai akisaka maisha, Jacqueline Dustan amevujisha picha zinazomuonesha
akioga bafuni huku akionekana yuko bwii, jambo ambalo ni kinyume na
maadili.
Picha hizo zinamuonesha msanii huyo akiwa kwenye sinki lenye mapovu na nyingine zikimuonesha hadi sehemu zake muhimu.
Katika kutaka kupata sababu ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo
↧
Tamko la Serikali Kuhusu Wizi Unaofanywa na Makampuni ya Simu Hapa Nchini
Watumiaji wengi wa huduma ya simu za
mkononi wamekuwa wakilalamikia wizi wa pesa unaofanywa na baadhi ya
makampuni hayo, jana katika kikao cha Bunge Dodoma Serikali imesema
inatambua kuhusu wizi unaofanywa na baadhi ya makampuni ya simu za
mkononi na kutoa tamko namna ambavyo imejipanga kukabiliana na wizi wa
aina hiyo.
Akitoa tamko hilo Naibu Waziri wa
Mawasiliano Sayansi na
↧
↧
Utafiti wa Twaweza, Dk Slaa adai ripoti imeandaliwa na Dk Bana kuibeba CCM
Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa
ya wananchi juu ya uongozi wa kisiasa nchini, umeibua madai mapya
ambayo yanauhusisha na jitihada za kukisaidia chama tawala CCM kuelekea
Uchaguzi Mkuu wa mwakani.
Ripoti hiyo iliyozinduliwa
Dar es Salaam juzi, inaonyesha kuwa kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika sasa,
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeshinda urais
↧
Wakwepa kodi sasa kufilisiwa.....Yapendekezwa Wakinaswa Watangazwe hadharani, TRA Yapewa meno ili kukamata na kuuza mali zao
SERIKALI imesoma kwa mara ya pili bungeni, Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi (TAA) wa mwaka 2014, ambapo pamoja na mambo mengine, sheria hiyo itafanya wakwepa kodi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.
Muswada huo pia unampa Mamlaka Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufanya upekuzi, kukamata, kuchukua na kuuza mali za mlipa kodi kwa lengo la kukomboa kodi na kuzuia
↧
Wapinzania wataka mahakama maalumu ya uwekezaji
Serikali
ya Tanzania imetakiwa kuanzisha mahakama maalumu itakayokuwa na jukumu
la kushughulikia masuala na kesi zinazohusu uwekezaji.
Kauli
hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na vyama vitano visivyo na
uwakilishi bungeni kupitia kwa mwenyekiti wa kamati maalum ya maatibu
wakuu wa vyama hivyo Bw. Renatus Muhabi.
Kwa mujibu wa Muhabi, mahakama ya uwekezaji itakuwa na jukumu la
↧
Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa Kushiriki Mashindano ya Miss World Disemba
MREMBO
wa Tanzania wa mwaka 2013, Happiness Watimanywa ameahidi kuing’arisha
Tanzania katika mashindano ya ulimbwende ya Dunia yatakayofanyika mapema
mwezi ujao huko nchini Uingereza.
Akiongea
na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, mlimbwende huyo
amewaeleza waadishi kuwa, kutokana na uzoefu wa kazi zake alizokuwa
akifanya kwa jamii kwa muda kipindi cha mwaka mmoja
↧
↧
Mhitimu bora wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2014: Ni binti,apiga A 32, B+ Sita katika masomo 38
Mhitimu bora wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2014, Doreen Kabuche (22), aliushangaza umma uliohudhuria maafali ya 44 ya chuo hicho baada ya kutangazwa kuwa kinara kwa ufaulu kwa kupata alama A 32 na B+ sita kati ya masomo 38 ya shahada ya Takwimu Bima (Actuarial Science).
Kwa alama hizo, Doreen alipata wastani wa alama za ufaulu (GPA) 4.8 na kuacha alama ya 0.2 ili kufikia kiwango
↧
Mbowe Ang`ang`ania Pinda Ang`oke
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB), imemtaka Rais Jakaya Kikwete kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa maelezo kuwa ameshindwa kuwachukulia hatua wahusika wa kashfa mbalimbali za ufisadi zinazoendelea kuiandama nchi na kusababisha wafadhili kusitisha misaada.
Kambi hiyo imesema kutokana na hali hiyo, inamtaka Rais Kikwete kuunda serikali upya, vinginevyo itaanza maandalizi
↧
Picha: Mtu mrefu zaidi na mfupi zaidi duniani walipokutana kwenye ‘Guinness World Record Day’
Watu wawili ambao wanashilikilia rekodi ya mtu mrefu zaidi duniani na
mtu mfupi zaidi duniani walikutana kwa mara ya kwanza kwenye
maadhimisho ya ‘Guinness World Record Day’ huko London, Uingereza
Nov.13.
Mtu mrefu zaidi anaitwa Sultan Kösen kutoka uturuki ana urefu wa futi
8, huku mtu mfupi zaidi aitwaye Chandra Dangi kutoka Nepal ana urefu wa
inchi 21.5.
↧
More Pages to Explore .....