Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni
Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge
kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza
kushughulikia suala hilo.
Taarifa zinaeleza kuwa hatua
hiyo imefikiwa baada ya baadhi ya wenyeviti wa kamati za Bunge ambao ni
wajumbe wa Kamati ya Uongozi kutaka suala hilo lijadiliwe
Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27
↧
↧
Mwanamke Achinjwa na Kunyofolewa sehemu zake za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumkata mapanga na kisha
kumnyofoa sehemu zake za siri mkazi wa Kijiji cha Kanegele, wilayani Mbogwe, Mkoa wa Geita, Hollo Machibula (54).
Akizungumza
kijijini hapo juzi, Diwani wa Kata ya Bukandwe, Henry Alphonce alisema
Hollo alivamiwa na watu hao nyumbani kwake juzi saa 5:00 usiku akiwa
amelala na kuanza kumkatakata kwa mapanga.
Alphonce
↧
Operesheni ya LAZIMA kukagua magari yaja
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Bararani, linatarajia
kuanzisha operesheni ya lazima ya kukagua magari ili kukabiliana na
ajali za mara kwa mara.
Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (pichani), jijini Dar es Salaam jana.
Kamanda Mpinga alifafanua kuwa operesheni hiyo itawahusu madereva wa magari aina zote.
“Lengo kuu la
↧
Rais Kikwete Awaapisha Makatibu Wakuu, Mabalozi,Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Wapya Ikulu Jijini Dar Es Salaam Leo
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Samwel William Shellukindo kuwa
Balozi na Msaidi wa Rais Masuala ya Diplomasia leo Ikulu jijini Dar es
salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe John Vianney Mongella kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Halima Omary Denengo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara leo Ikulu jijini
↧
Basi Lagonga Treni Ifakara...13 Wafariki papo hapo
Watu kumi na watatu wamefariki katika ajali iliyotokea huko Kibereke,
Ifakara mkoani Morogoro, kati ya basi la abiria la Al Jabir lenye namba
za usajili T725 ATD lililokuwa likitoka Dar es Salaam kuelekea Ifakara
na treni ya abiria iliyokuwa ikitoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero akizungumza na TBC kwa njia ya simu, Hassan Masala amesema:
"Chanzo cha ajali
↧
↧
Hamisa Mobeto: Sina Mpango wa Kuolewa, Bado nakula Ujana
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’
amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana.
Akizungumza na mwandishi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana.
“Suala la kuolewa hapa kwangu hata silifikirii kabisa, mimi bado
binti mdogo sana nitawezaje kukimbilia ndoa, hiyo
↧
Penny Afunguka baada ya Diamond Kupigwa chini na Wema Sepetu
Mtangazaji aliyewahi
kujiachia kimahaba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’
amesema mwanamuziki huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi
kumpata tena.
Kauli ya mwanadada huyo ilikuja baada ya kuulizwa kama anaafikiana na
kauli ya mama wa Wema Sepetu, Miriam Sepetu kwamba, kwa kuwa Wema
kamuacha Diomond basi staa huyo wa Wimbo wa Mdogomdogo bora akampose
↧
Vyama Vingine 6 vya Siasa Vyaungana Kupambana na UKAWA na CCM
Vyama
vya siasa ambavyo havina uwakilishi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania vimetangaza kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi wa
serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwezi ujao.
Wakati
vyama vya upinzani vikiwa na umoja wao maarufu kama UKAWA na kutangaza
kuungana, vyama visivyokuwa na uwakilishi bungeni vimetangaza kuungana
na kuweka mgombea mmoja kwenye
↧
Ikulu: Rais Kikwete hajazuia kampeni ya Katiba Mpya .....Sheria ndo inayozuia kampeni hizo kwa sasa
Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hajazuia kufanyika kwa
kampeni kuhusu Kura ya Maoni isipokuwa Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo
inayozuia kufanyika kwa kampeni hizo kwa sasa.
Mkurugenzi
wa Mawasiliano, Ikulu, Salvatory Rweyemamu alisema hayo Dar es Salaam
jana na kuongeza kuwa sheria hiyo inaelekeza kampeni kufanywa ndani ya
siku 60 kabla ya kufanyika ya kupiga kura ya maoni.
↧
↧
Mwanamke Amuua Mumewe Kwa Kummwagia Maji ya Moto na Kisha Kuutupa Mwili Mtoni
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi-Sumbawanga anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kummwagia maji ya moto mumewe
na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.
Kamanda
wa polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema jana kuwa tukio
hilo lilitokea juzi usiku kijijini hapo na kumtaja aliyeuawa kuwa ni
Evod Teola (62).
Alisema siku ya tukio
↧
Whatsapp yawakaba koo “Waongo”.....Kama unatumia WhatsApp, hii Taarifa inakuhusu kabisa!
Kuanzia sasa longo longo ya kwamba sikuupata ujumbe wako wa WhatsApp
itakuwa historia, au kudai kuwa ujumbe haujafika utakuwa unaongopa
mchana kweupe.
1.Huduma hiyo inapatikana kupitia Whatsapp katika simu zote za mkononi zenye uwezo wa kuitumia
2.Tick ya kijivu ina maana kuwa ujumbe umetumwa, tick
mbili za kijivu zina maana ujumbe umemfikia mlengwa, na tick mbili za
blue zina maana
↧
Ziara ya Rais wa China kizaazaa Dar....Ripoti Yadai Maofisa wake Waliitumia kusafirisha Meno ya Tembo
Ziara ya Rais Xi Jinping wa China aliyoifanya nchini Machi mwaka
jana, imezua kizaazaa na kuitia doa sifa ya Tanzania kimataifa, baada
ya maofisa waliokuwa wameambatana naye kuhusishwa na biashara haramu ya
meno ya tembo.
Ripoti iliyotolewa na taasisi ya
kimataifa ya Uingereza inayojihusisha na uchunguzi wa masuala ya
mazingira, inadai kuwa maofisa hao walinunua kiasi kikubwa cha
↧
Mwanafunzi wa Darasa la tano Afariki Dunia baada ya kuchapwa Viboko Vingi na Mwalimu Wake
Mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya msingi ya Kiuu Kenya
amefariki dunia baada ya kupigwa na mwalimu wake kwa kufeli somo lake la
Kiswahili.
Familia ya mtoto huyo Joseph Waburi mwenye umri wa miaka kumi imesema mtoto huyo alikuwa na nidhamu ya hali ya juu.
Mama wa mwanafunzi huyo Grace Muthoni
amesema mtoto wake alienda shule Jumatatu asubuhi na aliporudi alianza
↧
↧
BUNDI Atua ndani ya Ofisi za CHADEMA Mkoani Singida..... Viongozi waanza kufukazana !
WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana uongozi.
Baraza la uongozi mkoa wa Singida, limemvua na kumfukuza uongozi Mwenyekiti wa jimbo la Singida mjini,John Kalaye Kumalija kwa tuhuma ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu na katibu wake.
Uamuzi huo
↧
Anayoyafanya Jaji Warioba hata Mwalimu Nyerere Aliyafanya pia!
WAVURUMISHAO makombora dhidi ya Jaji Joseph Warioba wamekuwa wakitoa
hoja kwamba mzee huyo muda wake wakuzungumzia suala la katiba mpya
ulishamalizika kwa minajili kuwa Tume yake ya kukusanya maoni ya Katiba
mpya ilishavunjwa.
Kelele zimepigwa katika bunge maalum la katiba, mtaani wanasema
“mzee pumzika muda wako umekwisha” hawataki tena atumie uhuru wake wa
kikatiba kuzungumzia mambo
↧
Waziri Chiza na Mbunge Kangi Lugola Waitana MIZIGO Bungeni
Sakata la kuitwa Waziri ‘mzigo’ kwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limechukua sura mpya baada ya waziri huyo naye kujibu mapigo kuwa hata Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), anayemuita kuwa yeye ni ‘mzigo’ naye ni mzigo kutokana na kutoelewa.
Hali hiyo ilitokea jana bungeni Lugola aliposimama na kuuliza swali la nyongeza na kumtaka Waziri huyo kujiuzulu kwa
↧
Waziri Membe Akanusha Kuhusu Ndege ya Rais Wa China Kubeba Pembe za Ndovu.......Bonyeza hapa kuisoma taarifa rasmi ya Serikali
Iliyopachikwa hapo chini ni nukuu ya kauli ya Waziri kuhusiana na habari iliyochapishwa na vyombo mbalimbali
vya habari vya Kitaifa na Kimataifa baada ya utafiti uliofanywa na
shirika moja kusema kuwa viongozi wa China walitumia ndege ya Rais wa
nchi yao kujinunulia vipusa vya tembo kutoka Tanzania.
Mheshimiwa Spika,
Siku ya Jana Vyombo vya Habari mbalimbali
vya Ndani na Nje ya Nchi
↧
↧
Picha za Uchi: Desire Luzinda Aomba Radhi
Kufuatia
kusambaa kwa picha za utupu za msanii wa muziki Desire Luzinda kutoka
nchini Uganda, msanii huyu amechukua hatua ya kuomba msamaha kwa tukio
hili la aibu kwake.
Desire
katika waraka mfupi wa msamaha alioandika, amewataka radhi mama yake
mzazi, mwanae wa kike, familia yake marafiki na mashabiki wake na
kuwataka kufahamu kuwa, kuvuja kwa picha hizi kumetokana na kuvunjika
↧
Miss Tanzania 2014 , Sitti Abbas Mtemvu ajivua taji .....Lilian Kamazima (aliyekuwa mshindi wa pili) amrithi!
Sitti Abas Mtemvu amelivua taji hilo baada ya kuiandikia barua Kamati
ya Miss Tanzania, November 5 mwaka huu, kuhusiana na uamuzi wake huo.
Mrembo huyo alikuwa akikabiliwa na shutuma za kudanganya umri wake,
jambo ambalo lilililazimu Baraza la Sanaa la Taifa, (Basata) kutokana na
agizo la wizara husika kufuatilia ukweli wake.
“Baada ya kutwaa
taji la urembo la Miss Tanzania
↧
ACT-Tanzania wakana kujiunga na UKAWA
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimesema kinaingia katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila kuungana na chama chochote cha siasa kwa sababu wanaamini itikadi za vyama hivyo haiendani na itikadi yao.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Ofisa Mawasiliano na Uenezi Taifa, Karama Kaila alisema ACT haijaungana katika muunganiko wowote na vyama vingine kama
↧
More Pages to Explore .....