TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imeanza uchunguzi wa tuhuma za ufisadi wa Sh bilioni 40, uliotajwa kufanyika katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Mkurugenzi wa TAKUKURU, Dk Edward Hoseah alisema jijini Mwanza jana kuwa tayari timu ya wachunguzi 148 wameshawasili jijini kuanza uchunguzi huo ambao umekwishaanza, ingawa hakuweka bayana timu hiyo itakamilisha lini
148 kuchunguza ubadhirifu wa bil. 40/- ZILIZOTAFUNWA Jijini Mwanza
↧
↧
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wazee wa Dodoma 4 Novemba 2014
Ndugu Wananchi;
Nakushukuru sana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Dodoma, Mheshimiwa
Balozi Job Lusinde kwa kuandaa mkutano huu. Wakati nilipofanya ziara ya
Mkoa wa Dodoma tulipanga tukutane lakini kwa vile ratiba yangu
iliingiliwa na mambo mengi, hivyo haikuwezekana, lakini leo imewezekana.
Pengine hii ndiyo siku ambayo Mwenyezi Mungu alipanga tukutane.
Tumshukuru Muumba wetu
↧
Wafariki ajalini wakisindikiza 'mzigo nyeti'
GARI lililokuwa likisindikiza fedha limepinduka jana likijaribu
kumkwepa mwendesha pikipiki na kuua waliokuwemo na kujeruhi wengine.
Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza, Valentino Mlowola amethibitisha kuwepo kwa ajali hiyo.
Amesema ajali hiyo imetokea jana majira ya saa 7.40 katika eneo la Mkuyuni, jijini Mwanza ambapo ilihusisha gari la Benki Kuu (BOT) lenye usajili namba SU 35296
↧
Taarifa ya Kova ya kuachiwa huru viongozi wa TPDC waliolazwa rumande na PAC
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, James Andilile (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC, Michael Mwanda
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewaachia huru
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (Tanzania
Petroleum Development Corporation – TPDC) Mh. MICHAEL PETRO MWANDA na
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo JAMES ANDILILE kusubiri ufafanuzi
wa
↧
Mtoto achanwa viwembe, vidonda vyawekwa chumvi
POLISI mkoani Morogoro wanamshikilia Tausi Omary (30), mkazi wa kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi mtoto wa dada yake, Jafari Mashaka (11) kwa kumchanachana mguuni kwa wembe na kisha kuweka chumvi kwenye vidonda, kwa madai ya kumwimbia fedha kiasi cha Sh 4,500.
Mashaka, mwanafunzi wa Memkwa wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kiwanja cha Ndege, alikutwa na
↧
↧
Madaktari wanaotoa mimba kinyume na taratibu kukiona
SERIKALI imesema itaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria na za kinidhamu madaktari wote watakaogundulika kujihusisha na utoaji wa mimba kinyume na utaratibu.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Dimani, Abdallah Sharia Ameir (CCM) kwa niaba ya
↧
Mke Akatwa Mapanga baada ya kugoma kufanya mapenzi na mumewe.....RPC Kigoma ashauri wanawake kuwajibika kwa waume zao
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Mohamed amewasihi
wanawake walioolewa kuwajibika katika masuala ya unyumba kama maandiko
ya dini yanavyoelekeza.
Kamanda huyo alitoa wito huo
baada ya kutakiwa kutoa taarifa ya kukatwakatwa na panga kwa mwanamke
mmoja kutokana na kukataa kufanya tendo la ndoa na mumewe kwa sababu ya
uchovu.
Kamanda Mohamed alisema alikuwa hajapata
↧
Bunge Lisitishwe, Posho za wabunge zitumike kulipa DENI la Bohari Kuu ya Dawa (MSD)
KUTOKANA na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 90 za dawa hatua inayozifanya hospitali nyingi nchini kukosa huduma hiyo na kuleta madhara kwa wagonjwa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), ameomba Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge ulioanza jana mjini hapa kuahirishwa ili fedha walizopaswa kulipwa wabunge zitumike kununua dawa kuokoa wagonjwa.
Hata hivyo ombi hilo
↧
UKAWA waeleza utaratibu wa kupata wagombea wao.... Wasaini muongozo wa ushirikiano bila NLD
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesaini muongozo wa ushirikiano katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji; makubaliano ambayo yatatumika kwenye uchaguzi huo uliopangwa kufanyika mwezi ujao.
Muongozo huo ulisainiwa jana jijini Dar es Salaam na viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo ambao ni Profesa Ibrahim Lipumba (CUF), Dk. Wilbrod Slaa (Chadema) na James Mbatia (
↧
↧
Mtazamo wa Mstaa wa Kike Tanzania kuhusu matumizi ya NYETI Bandia
Mastaa wa kike wa fani mbalimbali nchini,
wamezungumzia matumizi ya nyeti bandia, baadhi wakizipongeza kuwa
zinawasaidia kuondokana na ‘stress’ za wanaume huku wengine wakiziponda
kuwa hazina ‘ladha’.
Baadhi ya wasanii hao walisema kuwa ingawa wanazifahamu na hata
kuwajua wanaotumia wao wanaamini wanaotumia ni wale ambao hupenda
kufanya tendo kila siku wakiwa na wenza wao, hivyo
↧
Hali ya Vengu wa Orijino Komedi Yaanza kuimarika....Kumbukumbu zaanza kurejea, apewa jumba la milioni 120
Msanii staa wa Kundi la Orijino Komedi
‘OK’, Joseph Shamba ’Vengu’ ameanza kurejea katika ‘fomu’ baada ya
kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa msanii huyo , Vengu
ambaye kwa muda mrefu alipoteza kumbukumbu kiasi cha kushindwa
kuwatambua watu, sasa amejaliwa kwani anaweza kuwafahamu watu mbalimbali
wanaopata nafasi ya kwenda kumjulia hali, Kigamboni jijini Dar
↧
Rais Kikwete Apiga Marufuku Kampeni ya Katiba Mpya ..... Asifu kazi ya jaji Warioba, awataka wananchi kuchukua tahadhari ya Ebola
WAKATI makundi kadhaa yakianza kufanya mikutano na kuendesha midahalo kuhusiana na Katiba Inayopendekezwa, Rais Jakaya Kikwete amesema muda wa kufanya kampeni na kuuelimisha umma juu ya katiba hiyo haujafika na amewataka wananchi kuwa na subira ili kuepusha vurugu.
Akilihutubia taifa kupitia mkutano wake na Wazee wa mkoa wa Dodoma jana mjini Dodoma, Rais Kikwete alisema sheria ya kura ya
↧
Matokeo ya Darasa la Saba 2014.....Bofya Hapa
ARUSHA
DAR ES SALAAM
DODOMA
IRINGA
KAGERA
KIGOMA
KILIMANJARO
LINDI
MARA
MBEYA
MOROGORO
MTWARA
MWANZA
PWANI
RUKWA
RUVUMA
SHINYANGA
SINGIDA
TABORA
TANGA
MANYARA
GEITA
KATAVI
NJOMBE
SIMIYU
xg.addOnRequire(function () { xg.post('/main/viewcount/update?xn_out=json', {key: '5398006:BlogPost:3303371', x: '194566f'}); });
↧
↧
Gari Lapinduka Wakati Dereva Akiwakimbika Askari Polisi
Baadhi ya wakazi wa mji wa
Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio lenye namba za
usajili T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA
barabara ya Boma, Moshi jirani kabisa na mnara wa saa.
Dereva wa gari
hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha
barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye
kupinduka
↧
Rais Kikwete Ateua Wakuu wa Mikoa Wapya Wanne
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita
na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi nyingine.
Taarifa iliyotolewa mjini Dodoma jana jioni , Jumatano, Novemba 5,
2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa, Wakuu
wapya wa Mikoa ni Bi. Halima Omari Dendego
↧
Rais Kikwete Ateua Makatibu Wakuu Wapya
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu
wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Aidha, Rais Kikwete amefanya uteuzi na uhamisho wa Makatibu Tawala wa Mikoa.
Taarifa iliyotolewa mjini Dodoma jana jioni, Jumatano, Novemba 5, 2014
na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue imesema kuwa
↧
Picha za Uchi: Waziri Aagiza Desire Lusinda Ahojiwe
Waziri wa nchi anayehusika na Maadili nchini Uganda, Simon Lokodo
amelitaka jeshi la polisi kumhoji mwanamuziki Desire Luzinda kutokana na
picha zake za utupu zinazodaiwa kupigwa na rafiki yake wa kiume ambaye
ni MNigeria.
Akiongea
na gazeti moja la nchini humo waziri Lukodo amesema tayari ameliagiza
jeshi la polisi kuwakamata wahusika na kwa sasa jeshi hilo lipo mbioni
kumkamata
↧
↧
Tetesi za Kisiwa cha Pemba kuwa sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania yatoa tamko
Kufuatia kuripotiwa kwa taarifa katika vyombo mbalimbali vya habari
kuhusiana na mgogoro wa mpaka uliokuwepo kutokana na madai kuwa kisiwa
cha Pemba ni sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania imetoa taarifa rasmi
kuhusiana na mgogoro huo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa Benard Membe, amewatoa hofu Wananchi kuwa Pemba ni sehemu ya
Tanzania na hakuna ukweli wowote
↧
IGP Mangu afanya mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya
baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa
usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na
vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi.
Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na
aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi mwandamizi
↧
Taarifa ya TCRA kwa wamiliki wa blogu Tanzania
TAARIFA KWA UMMA
MAMLAKA YA MAWASILIANO
TANZANIA INAPENDA KUWATANGAZIA WAMILIKI WOTE WA MITANDAO YA KIJAMII
“BLOGERS” KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO TAREHE 11.11.2014 KUANZIA SAA TATU
ASUBUHI UKUMBI WA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM.
MKUTANO HUO UTAJADILI MATUMIZI YA BLOGS KIPINDI CHA UCHAGUZI WA
SERIKALI ZA MITAA WABUNGE NA RAIS KAMA ILIVYOAINISWA KWENYE RASIMU YA
MWONGOZO WA MAUDHUI
↧
More Pages to Explore .....