Kuanzia Ijumaa iliyopita kulikuwa na taarifa kuwa mahakama ya Kisutu
jijini Dar es Salaam imemzuia Davido kutumbuiza kwenye show ya Fiesta
jijini Dar es Salaam kwakuwa msanii huyo alikuwa ameshaingia mkataba wa
show nyingine na kituo cha redio cha Times FM kilichokuwa kimepanga kuwa
na tamasha November 1.
Hata hivyo huenda Clouds FM walimpa ofa kubwa zaidi msanii huyo kiasi
cha
‘Kwaheri Tanzania’ Davido atoa shukrani zake baada ya kutumbuiza kwenye Fiesta!
↧
↧
Kambi ya Diamond yazungumzia tukio la kuzomewa kwenye Fiesta
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amesema haoni kama wameathirika
na kundi la watu waliomzomea msanii huyo wakati akitumbuiza Jumamosi
hii kwenye show ya Serengeti Fiesta, Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Tale amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa walikuwa na
taarifa kuhusu mpango huo hata kabla ya show na hivyo walijiandaa.
“Tulikuwa tumemjenga kisaikolojia, kwahiyo
↧
Katiba yakoleza kasi urais CCM
Siku chache baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba
Inayopendekezwa, mchuano wa urais ndani ya CCM umeshika kasi baada ya
makada wanaowania nafasi hiyo kujihakikishia uzito wa madaraka
wanayoyatafuta.
Mjadala wa Katiba ulikuwa umewaweka njiapanda
makada hao, baadhi wakiwa wameshajitangaza na wengine wakijipanga
chinichini, huku wakijiuliza wawanie urais upi; wa Muungano, Tanganyika
↧
Aliyedaiwa kufa kwa Ebola huko Sengerema mkoani Mwanza azikwa
Mwili wa Salome Richard (17) aliyefariki dunia katika Hospitali
Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akidaiwa kuwa na dalili za
ugonjwa wa ebola ulizikwa juzi katika makaburi ya misheni mjini hapa
chini ya uangalizi maalumu.
Mgonjwa huyo alifariki dunia Ijumaa saa 2 usiku
baada ya kufika hospitalini hapo akiwa na homa kali. Vile vile madaktari
waliokuwa wanatoa huduma kwa
↧
Maaskofu Katoliki wawagomea mashoga
MAASKOFU wa Kanisa la Katoliki juzi waligoma kupitisha mabadiliko
makubwa ya kihistoria kuhusu msimamo wao mkali dhidi ya masuala ya
ushoga, utoaji mimba na wanandoa waliotalikiana.
Uamuzi huo,ulifichua uwapo wa pengo kubwa ndani ya kanisa hilo mwishoni wa mkutano huo wa wiki mbili.
Maaskofu wa kanisa hilo walikuwa wamekutana kujadili jinsi mafunzo ya
kanisa hilo yanavyoweza
↧
↧
Mama na Watoto wake Wawili wachinjwa kinyama mkoani Tabora
WIMBI la mauaji ya kutisha limeendelea kutikisa nchini, baada ya watu
wasiojulikana kuwaua mama na watoto wake wawili kwa kuwakatakata kwa
mapanga usiku wa kuamkia juzi.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika Kijiji cha Nata wilayani Nzega mkoani Tabora.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,
Suzan Kaganda, jana aliwataja waliouawa kuwa ni mama Leticia Thomas, Marietha
Nicolaus
↧
Y-P wa TMK Wanaume Family afariki dunia....kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo
kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye
viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya
Chang’ombe karibu na maduka mawili.
Akizungumza na mtandao huu jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume
Family amesema mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mazishi
↧
Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela
Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua
mpenzi wake Reeva Steenkamp, baada ya timu yake ya utetezi kushindwa
kumshawishi jaji Thokozile Masipa kumpa kifungo cha nje.
Pia alihukumiwa miaka mitatu, iliyojumuishwa kwenye hukumu ya miaka
mitano baada ya kushoot pistol kwenye mgahawa huko Johannesburg, January
2013. Hukumu hiyo inaanza mara moja.
Mwezi
↧
Tamko la JWTZ kuhusu katazo kwa wananchi kuvaa sare la jeshi linakanganya
Jumatatu ya wiki hii Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, lilitoa tamko kuhusu wananchi kumiliki au kuvaa sare za jeshi hilo.
Japo tamko hilo la JWTZ limetoka kwa ufupi bila kuweka wazi kwanini
wameamua kulitoa tena wiki hii, ni wazi kuwa limetokana na wasanii
kadhaa wakiwemo Diamond na dancers wake, Chege na Nay wa Mitego kuvaa
sare hizo kwenye show ya Serengeti Fiesta iliyofanyika kwenye
↧
↧
Sitti Mtemvu akanusha kuwa na mtoto, asema ana miaka 23, hatovuliwa taji
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amevilaumu vyombo vya habari kwa
kueneza habari za uongo kuhusiana umri na maisha yake binafsi. Mtemvu
amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar
es Salaam.
“Ukweli ni kwamba nina miaka 23 na cheti hicho hapo kinajielezea,
mkitaka mnaweza kwenda hizo sehemu wanazotoa vyeti mkawauliza,” alisema
Sitti. Mtemvu alisema cheti
↧
Umesikia kuhusiana na chanjo ya Ebola? Habari yote iko hapa
Shirika la afya duniani, WHO limearifu kuwa liko mbioni kufanya
majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, ambao umeripotiwa kuua
takribani watu 4,500 huku nchi za Afrika Magharibi zikiripotiwa
kuathirika zaidi tangu kulipuka kwa ugonjwa huo.
Taarifa iliyoripotiwa na CNN
imesema kuwa shirika hilo limepanga kuanza utekelezaji wa jaribio hilo
mapema Januari mwaka 2015 katika
↧
Baada ya T.I kupiga show ya nguvu Serengeti Fiesta na Kurudi Marekani, waandishi wa huko walimvaa na kumhoji kuhusu uwepo wa Ebola Tanzania
Msanii mkubwa wa Marekani, T.I alikua mgeni kwenye stage ya Tamasha la Fiesta lililofanyika Leaders
club October 18 2014 akiwa na timu yake ya watu wasiopungua watano na
kuisimamia hiyo show kwa zaidi ya dakika 60.
Baada ya show Jumamosi, T.I aliondoka Tanzania Jumapili kurudi kwao
Marekani kwa ajili ya kuhakikisha promo inakwenda vizuri sababu album
yake mpya ilikua inatoka
↧
Wanafunzi Waliwa Miguu na Mamba Wakioga Mtoni
Wanafunzi wawili wa shule za msingi za Nyabisara
(Murito) na Kerende Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara wameumwa hadi
kuondolewa nyama zao za miguu na mamba walipokwenda kuoga maji ya mto
kwa nyakati tofauti.
Wanafunzi hao ni Penina Joseph Mangure (11) wa darasa la nne Shule
ya Msingi Nyabisara katika Kijiji cha Murito ambaye ni mtoto wa
mwenyekiti wa kijiji hicho, Joseph
↧
↧
Bibi Harusi Atoroshwa siku chache kabla ya Ndoa kufungwa
Mkazi wa Buguruni, Rukia Nassor amekimbilia
Kituo cha Polisi Buguruni jijini Dar kutoa taarifa ya bintiye Saida
Said (18) (pichani)kutoroshwa nyumbani kwake siku chache kabla ya
ndoa.Alipofika kituoni hapo, mwanamke huyo alimtaja mtu mmoja kwa jina
moja la Shaban kwamba ndiye aliyefanya kitendo hicho.
Mmoja wa ndugu ambaye hakupenda jina lake
liandikwe alisema mama huyo amekuwa
↧
Majonzi Yatawala katika Msiba wa Mwananchi aliyeuawa na Askari wa JWTZ.....Chanzo cha kuuawa ni Marehemu kudaiwa kumsumbua mke wa mwanajeshi
Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye
Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia
kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na
Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele.
Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita na kumfanya Mchungaji Elaina
Msuya wa Kanisa la KKKT aliyekuwa akiongoza misa ya
↧
LHRC inafikiria uwezekano wa kupinga kura ya maoni ya katiba mpya
Kituo
cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania – LHRC, pamoja na wadau
mbalimbali wa mchakato wa katiba, wanajadili uwezekano wa kuchukua hatua
za kisheria kuzuia zoezi la kura ya maoni kuhusu katiba mpya ambayo
imepangwa kufanyika mwakani.
Akizungumza
katika mahojiano na East Afrika Radio ofisini kwake jijini Dar es
Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Dkt.
↧
Nicki Minaj na boyfriend wake wamwagana? Boyfriend wake aifuta tattoo ya Nicki
Wanasema dalili ya mvua ni mawingu, hivi ndivyo inavyoonekana katika
uhusiano wa Nicki Minaj na mpenzi wake Safaree Sam ambaye alikuwa
amejichora tattoo yenye picha ya Nicki na jina lake pia.
Wiki hii, Safaree ameonekana akiwa kifua wazi huku akiwa ameifunika
tattoo ya picha ya Nicki na jina lake kwa michoro mingine. Tattoo
nyingine aliyokuwa ameichora mkononi mwake inaonekana pia
↧
↧
Video: Ampiga mawe binti yake hadi kufa kwa kosa la kufanya mapenzi kabla ya ndoa
Mfuasi mmoja wa kundi la ISIS la Syria ameungana na wanajeshi kadhaa
wa kundi hilo kufanya mauaji ya kinyama kwa kumpiga mawe binti yake wa
kumzaa hadi kufa baada ya kugundulika kuwa alizini.
Kundi la ISIS limeachia video inayoonesha tukio hilo la kusikitisha linaloelezwa kufanyika katika jiji la Hama nchini Syria.
Katika video hiyo iliyoripotiwa pia na mtandao wa Mirror wa
↧
Walimu 422 Wafukuzwa Kazi kwa Makosa Mbalimbali
Jumla
ya walimu 422 wamefutwa kazi kwa makosa mbalimbali ikiwemo kujihusisha
na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi kwa kipindi cha mwaka 2013/2014.
Kiwango
cha walimu wanaokwenda kinyume na maadili na kufutwa kazi kimeendelea
kuongezeka mwaka hadi mwaka, ambapo katika kipindi cha mwaka 2013/2014
walimu 422 wamefutwa katika maeneo mbalimbali nchini, wakiwemo watatu
kwa kubainika
↧
Diamond angemuoa Wema kabla ya Ramadhan, aeleza sababu ya kuahirisha.....Amsamehe baba yake kwa aliyomtendea akiwa mdogo
Kama mambo yangeenda yalivyokuwa yamepangwa, baada ya Ramadhan, Wema
Sepetu angekuwa akiitwa Wema Naseeb! Lakini kutokana na sababu
mbalimbali Diamond Platnumz alisogeza mbele mipango ya kufunga ndoa na
mpenzi wake huyo.
“Kabla ya Ramadhan ilikuwa tufunge ndoa kabisa, lakini mambo
yakaingiliana,” Diamond alikiambia kipindi cha The Sporah Show.
“Mtoto
naye ni majaliwa sio kama
↧
More Pages to Explore .....