Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Viboko vyatembezwa makaburini Sengerema.....Wajukuu Wacharazwa bakora baada kung’ang’ania kaburini wakitaka wapewe fedha.

$
0
0
Wajukuu wa marehemu Sabina Ngalu wa Mwanza wamecharazwa viboko na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka wapewe fedha.    Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya 10 kucharazwa bakora ni kung’ang’ania ndani ya kaburi lililokua limeandaliwa kwa ajili ya kuhifadhi mwili wa marehemu wakitaka wapewe ng’ombe mmoja au sh.100,000 kama zinavyotaka mila za kabila la kisukuma.  

Mama amkata mwanaye paja,achoma mshikaki

$
0
0
Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki.   Mwanamke huyo aliyetajwa kwa jina la Dafrosa Massawe anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa wiki na majirani wanasema mama huyo alifanya hivyo akiwa amelewa.   Kamanda wa Polisi Kilimanjaro Koka Moita alisema mwanamke huyo

Baba Mzazi Adaiwa Kumchinja Mwanaye

$
0
0
Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.   Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo juzi alfajiri baada ya kumchinja aliuchoma kwa kisu mwili wa mtoto huyo sehemu mbalimbali ikiwemo masikioni na kifuani.   Gazeti la MWANANCHI ambalo lilikua shuhuda limedai baada ya kufanya

Huu sio msafara wa kiongozi....Ni wa mtu aliyekutwa na Ebola.

$
0
0
Kuna Nesi mmoja amegudulika kuwa na ugonjwa wa Ebola baada ya kuwahudumia Wamishionari wawili waliokua na ugonjwa huo baada ya kutoka nao Sierra Leone walikokua wamekwenda kujitolea kufanya kazi.    Ugonjwa wa Ebola umekua ishu kubwa kwenye hizi nchi maarufu duniani ambazo zimejikuta zikiingia kwenye headlines baada ya Wagonjwa kuanza kugundulika ambapo Marekani kuna mmoja aliingia na

Wanaume Wafupi Ndiyo Wanaume Bora Zaidi Katika Ndoa Na Familia.

$
0
0
Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu. Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo. Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi. Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa

Kelly Rowland ambae ni mjamzito apiga picha za utupu kwaajili ya jarida la Elle

$
0
0
Member wa Destiny’s Child, Kelly Rowland ame-pose mbele ya camera akiwa mtupu na kupigwa picha kwaajili ya toleo jipya la jarida la ELLE. Kelly ambaye anatarajia kujifungua hivi karibuni amefanya kile ambacho hufanywa na mastaa wengi wa Marekani wanapokaribia kujifungua, ambao hupiga picha za utupu kuonesha tumbo la ujauzito. Picha hizo zimepigwa pamoja na zingine alizovaa nguo.

Milioni 30 za Johari zimepotea baada ya kuzuiliwa kutoka kwa filamu ya ‘Sister Marry’

$
0
0
Muigizaji wa filamu Blandina Chagula aka Johari amesema pamoja na kusikitishwa kutokana na bodi ya filamu nchini kuizua filamu ya ‘Sister Marry’ isitoke, amekula hasara kubwa. Johari amesema  kuwa maandalizi ya filamu hiyo yalighalimu shilingi milioni 30.   “Unajua inauma sana, tumeshindwa kutetea filamu ya ‘Sister Marry’ kutokana na madai eti tumedhalilisha dini. Ina maana hawataki

Meninah : Ni kweli Diamond Platnumz Ananitongoza lakini Bado Sijamkubalia

$
0
0
Habari mpya zinasema kuwa Meninah amekiri kutongozwa na Diamond Platnumz lakini bado hajamkubalia.   Kwa mujibu wa gazeti moja la Udaku toleo la jana, sms za Meninah akichati na rafiki yake akimwambia kuhusu kutongozwa na Diamond zilinaswa na mwandishi wa gazeti hilo.   Hata hivyo Meninah alisema Diamond sio type yake, hawezi kutoka nae na pia anadaiwa kumkataa Diamond sababu ya

Mama Wema ataka mahari ya Mil.100 ili Diamond amuoe mwanae....Wema Sepetu asema yupo tayari kuolewa hata bure na Diamond

$
0
0
Habari ya mjini hivi  sasa  ni  Ndoa ya  msataa wa Bongo, Wema  Sepetu  na  Diamond Platnumz.   Habari  zinaarifu kuwa ili Diamond Platnumz  aweze kumuoa Wema Sepetu ni lazima atoe shilingi milioni mil. 100.   Habari  hizi  ni  kwa  mujibu wa gazeti moja la udaku  lililotoka Jana  ambapo  liliripoti kuwa mama Wema sepetu anataka mahari ya milioni 90 na ushee ili binti yake huyo

Mahakama yaruhusu Mashindano ya Miss Tanzania Kufanyika Kama Yalivyopangwa

$
0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.   Kadhalika mahakama hiyo

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Wenzake 8 wapata dhamana.....Kesi yao kutajwa tena Oktoba 21

$
0
0
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na wenzake 8 leo wamepata dhamana katika Mahakama ya Kisutu, Dar. Kesi yao kutajwa tena Oktoba 21, 2014.   Siku ya jana washtakiwa hao walipanda kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Kaluyenda na kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali Mkuu, Kangola aliwataja washtakiwa kuwa ni Mbunge wa Kawe, Mdee, Rose Moshi, Penina Peter, Anna Linjewile, Mwanne Kassim,

Big Brother Africa: Mshiriki wa Nigeria Amuomba Mshiriki wa Kike wa Uganda Avue Nguo na kuoga mbele yake ili amuone alivyo Umbika

$
0
0
Mambo  yanazidi  kuwa  mambo  ndani  ya  jumba  la  "kikubwa"  la  Big  Brother  House  ambapo mwaka  huu   mashindano  hayo yamepewa  jina la  Hotshots( Big Brother Hotshots) Baada  ya juzi  kamera  za  jumba  hilo  kuwanasa  washiriki  wa  Nigeria  na  Namibia  wakichezeana  makalio  yao, jana  Kamera  hizo  ziliwadaka  Tayo(Nigeria)   na  Ellah (Uganda)  wakipigana  "Sound" Katika  video

Picha: Rais Kikwete Apokea Katiba Inayopendekezwa mjini Dodoma leo

$
0
0
 Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi  katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 08, 2014 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na

Mtoto wa Miaka 9 Ajinyonga

$
0
0
Katika hali ya kushangaza, mtoto Focus Saimoni (9), mkazi wa Kwa Bibi Yuda, Kinondoni jijini Dar amekutwa amejinyonga kwenye komeo la mlango wa sebule yao. Focus aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kumbukumbu, amedaiwa kufanya tukio hilo Jumamosi iliyopita kwa kufunga gauni la mdogo wake shingoni na kujitundika kwenye komeo hilo mpaka kukata roho. Kwa mujibu wa

Wanafunzi wa Sekondari ya Njombe Wachoma Moto Mabweni na karakana

$
0
0
Shule ya Sekondari ya Wavulana Njombe (Njoss) iliyoko mjini Njombe, imefungwa kuanzia jana hadi Novemba 8, mwaka huu, baada ya wanafunzi kuchoma moto bweni, karakana na kuharibu mali mbalimbali za shule na walimu.    Wanafunzi hao wanadaiwa pia kuharibu majengo ya Shule ya Msingi Kilimani iliyo karibu na shule hiyo.   Uamuzi wa kuifunga shule ulitolewa jana na Ofisa Elimu wa Mkoa wa

Kenyatta Apokewa Kwa Shangwe Nairobi

$
0
0
Makundi ya watu wanaoshangilia, yamempokea Rais Uhuru Kenyatta ambaye amerejea Kenya baada ya kuhudhuria Mahakama ya Kimataifa ICC, iliyopo The Hague.   Bwana Kenyatta alihudhuria shauri mahakamani siku ya Jumatano, na kuwa rais wa kwanza aliyepo madarakani kufika katika mahakama ya ICC.   Anakanusha mashtaka dhidi yake ya uhalifu dhidi ya ubinaadam kuhusiana na ghasia za baada ya

CUF Yakiri Kuwa Ni Vigumu Kuiondoa CCM madarakani

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.   Aidha chama hicho kimesema CCM ni chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu hivyo kama kweli wanataka kukiondoa, ni lazima kuwe na mipango madhubuti ya kisiasa ikiwa ni pamoja na wanachama kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi

Serengeti Fiesta Dar kuonekana live mtandaoni

$
0
0
Waandaji wa tamasha la Serengeti Fiesta kwa kushirikiana na Clouds TV wametangaza kurusha mtandaoni moja kwa moja sehemu ya matangazo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ambalo mwaka huu litashereheshwa na mwanamuziki kutoka Marekani, T.I ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Grammy. Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tarehe 18 mwezi wa kumi mwaka

Kesi ya utekaji iliyokuwa ikimkabili Madee yamalizika kwa kulipa faini

$
0
0
Kesi ya utekaji iliyokuwa ikimkabili Madee imemalizika kwa kulipa faini ya shilingi 50,000. Madee alidaiwa kumteka kijana mmoja huko Kigamboni baada ya kumuibia simu. Hakimu ametoa hukumu ya kifungo cha jela miezi sita au kulipa faini ya kiasi hicho cha fedha. Madee alilipa faini. Madee amezungumza  kwa mara ya kwanza tangu apatwe na mkasa huo.   “Yule dogo baada ya kuniibia simu

KAGERA: Polisi wa usalama barabarani waliopiga picha wakipigana busu watimuliwa

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari polisi watatu kwa kosa la kukosa maadili mema ya jeshi la Polisi. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa Henry Mwaibambe,amewataja askari hiyo kuwa ni PC Asuma Mpaji Mwasumbi mwenye namba F.7788,PC Fadhiri Linga mwenye namba G 2122 na PC Veronica Nazaremo Mdeme,wote walikuwa askari wa kikosi cha usalama barabarani wilayani Missenyi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images