Mwanamke nchini Ufaransa, juzi amefunga ndoa na mwanae wa kambo baada
ya kusuguana na mamlaka za nchini humo kuhusu haki yake ya kuolewa.
Elisabeth Lorentz, 48, amefunga ndoa na Eric Holder, kanisani
kwenye kijiji kidogo Dabo huko Alsace-Lorraine, kaskazini mashariki mwa
Ufaransa. Ms Lorentz alikutana na baba yake na Holder mwaka 1989, wakati
huo akiwa na miaka 24.
Wawili hao
Mwanaume afunga ndoa na mama yake wa kambo
↧
↧
Jokate awaomba mashabiki wamvumilie kwa kuchelewa kutoa video yake, atoa sababu zilizoichelewesha
Jokate Mwegelo ambaye hivi karibuni alishoot video ya wimbo wake wa
kwanza kama msanii wa muziki nchini, ametoa sababu za kwanini mpaka sasa
video wala wimbo huo havijafanikiwa kutoka.
Jokate a.k.a Kidoti amesema kuwa video aliyoshoot Kenya
imechelewa kwasababu kuna vitu ambavyo hakuvipenda katika video, hivyo
vimechukua muda kurekebishwa ili kupata kitu bora zaidi.
“Kuna delay
↧
Noorah, asimulia tatizo alilokuwa nalo ambalo madaktari walishangaa iweje awe hai!
Rapper Noorah aka Babastylez amesema kama isingekuwa neema za Mungu, leo hii asingekuwepo duniani.
Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV hivi karibuni,
Noorah alidai alikuwa na tatizo la kujikunja kwa utumbo lililodumu kwa
miaka 20. Amesema wakati tumbo likimuuma alikuwa akidhani ni vidonda vya
tumbo.
“Doctor amekuja kunifanyia operesheni, baada ya operesheni akamuita
↧
Polisi waeleza kwanini walimkamata Redsan kwa kumhisi ‘gaidi’
Maofisa wa polisi nchini Kenya wameeleza kwanini waliamua kumkamata muimbaji wa dancehall wa Kenya, Mohamed Swabir aka Redsan weekend iliyopita.
Polisi wamesema msanii huyo pamoja na washkaji zake akiwemo producer wake, Sappy ambaye ni Mtanzania, waliwasili kwenye viwanja vya ‘Nairobi International Trade Fair’ siku ya Ijumaa tayari kwa show lakini waligoma kukaguliwa.
Hiyo ni baada
↧
Jokate arejea kwenye Top 10 Most ya Channel O, Ice Prince ni host mwenza
Jokate Mwegelo anarejea tena kwenye kipindi cha Top Ten Most cha
Channel O. Awamu hii mtangazaji mwenza ni rapper Ice Prince Zamani wa
Nigeria. Kipindi hicho kitaonekana Jumatano hii saa mbili usiku kwa saa
za Afrika Mashariki.
Kupitia website yao, Channel O wameandika:
This month, rap superstar Ice Prince joins Channel O VJ Jojo as
host on the brand new season of their hit show ‘Top
↧
↧
Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA.....Anyakua tuzo ya Best African Entertainer
Diamond Platnumz amewabwaga Davido, Awilo Longomba, Willy Paul Msafi
(Kenya) na Eddy Kenzo wa Uganda na kushinda kipengele cha ‘mtumbuizaji
bora wa Afrika – Best African Entertainer kwenye tuzo za IRAWMA
(International Reggae and World Music Awards).
“It always seems impossible until it’s Done!…ningependa
kuwataarifu Wadau wangu kwamba #MdogoMdodo ndio nyimbo bora yenye
Mahadhi ya
↧
ARUSHA: Kijana Achapwa Viboko 120 na wazee wa Mila kwa kosa la kutofua Nguo zake na kuwa mchafu kupitiliza
SHERIA iliyopitishwa na
wakazi wa Arumeru mkoani Arusha ya kuwachapa viboko 70 hadi 120
wasichana wanaovaa nusu uchi na wavulana wanaovaa mlegezo, kuvuta bangi,
wizi, matusi na ulevi nyakati za kazi imeanza kufanya kazi baada ya
kijana Zakayo Leonard (26) kuchapwa viboko 120 kwa makosa mbalimbali
likiwemo uchafu wa kutofua nguo zake.
Kijana huyo mkazi wa Ilboru, alihukumiwa adhabu
↧
RUKWA: Wanawake wajiremba kwa Kutumia kondom
MATUMIZI ya kondomu za kike yamekuwa changamoto kubwa baada ya wanawake mkoani Rukwa kukataa kuzitumia, huku wengine wakibadili matumizi yake kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.
Hayo yalibainika hivi karibuni wakati wa ziara ya siku nne ya timu za maofisa wa asasi mbili zisizo za kiserikali za Health Actions Promotion Association (HAPA ) ya Mkoa wa Singida na Resource Oriented
↧
Serikali Yaiagiza Tanesco kuunganisha umeme siku moja kwa mteje atakayelipa Kabla ya Saa nne Asubuhi.....Meneja asiyeweza aachie ngazi
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi.
Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.
“Baada ya Februari mwakani, mtu akija akalipia huduma ya
↧
↧
KISUTU: Lundenga apinga kuzuiwa kuandaa mashindano ya Miss Tanzania
MWANDAAJI wa mashindano ya urembo Tanzania, Miss Tanzania, Hashim Ludenga amewasilisha pingamizi la awali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akipinga kuzuiwa kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.
Lundenga kupitia kwa Wakili Audax Kahendaguza, aliwasilisha pingamizi hilo dhidi ya ombi la kuzuiwa kuendelea
↧
MOSHI: Mwalimu afumwa gesti na mwanafunzi wake wa Kike Wakifanya Mapenzi
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Muungano iliyopo mji mdogo wa Himo wilayani Moshi, Richard Ndoile (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kukutwa gesti na mwanafunzi wake wakifanya mapenzi.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Koka Moita alisema jana ofisini kwake, kuwa tukio la kukamatwa kwa mwalimu huyo lilitokea Oktoba 4, saa 5.00 asubuhi,
↧
Rais Kikwete amteua Biswalo mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa mashtaka (DPP)
Rais wa
Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, jana, Jumatatu, Oktoba 6,
2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo inasema
kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.
Kabla ya uteuzi wake,
↧
Waliomlawiti Mwanaume mwenzao na kisha kumfotoa picha za Uchi baada ya kumfumania na mke wa mtu Wapandishwa Kizimbani
WASHITAKIWA wanaokabiliwa na mashitaka ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii, wamepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali ambapo walidaiwa kumlawiti mwanaume mwenzao na kumpiga picha kwa madai ya kutaka kulipwa Sh milioni moja.
Washitakiwa hao ni Erick Kasira (39) na Juma Richard (31) ambao wanadaiwa kulawiti sanjari na kupiga picha za tukio hilo.
Wakili wa
↧
↧
Vituko Vya Big Brother Vimeanza: Video ya Mshiriki wa Nigeria na Namibia "Wakichezeana Makalio" Yavuja
Ikiwa ni siku moja tu Imepita tangu shindano la Big Brother Africa lianze, tayari Video za washiriki wakifanya mambo ya kikubwa na vituko vingine zimeanza kuvuja.
Lilian ambaye ni mshiriki toka Nigeria na Luis ambaye anaiwakilisha Namibia wamenaswa Live na kamera za jumba hilo wakichezeana Makalio.....
Unataka kuiona Video? Ingia >
↧
Heri ya Kuzaliwa Rais Wetu Jakaya Mrisho Kikwete
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mheshimiwa Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
alizaliwa tarehe 7 Oktoba, 1950 kijiji cha Msoga kilichopo wilayani
Bagamoyo mkoa wa Pwani . Alipata
elimu ya msingi katika shule ya msingi Msoga kati ya mwaka 1958 na 1961.
Baada ya hapo alihamia shule ya kati(middle school) Lugoba kati ya
mwaka 1962 mpaka
↧
Serikali Yaondoa Zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa Lindi na Mtwara
Serikali
imeondoa zuio la mikutano ya Vyama vya Siasa lililokuwa limetangazwa
mwezi Mei mwaka juzi kuzuia mikutano hiyo kufanyika katika mikoa ya
Lindi na Mtwara.
Zuio hilo limeondolewa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe.
Mikutano
hiyo ilizuiliwa kutokana na vurugu za wananchi waliokuwa wakipinga
ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara
↧
Maandalizi ya kukabidhi Katiba Mjini Dodoma yakamilika
Mkoa
wa Dodoma umeendelea kufanya maandalizi makubwa kwa ajili ya hafla ya
kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete
Wakati
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete
akitarajiwa kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalum kesho
mjini Dodoma, maandalizi kabambe kwa ajili ya hafla hiyo yamefanyika
mjini humo huku idadi kubwa ya
↧
↧
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman AFUTWA Kazi
RAIS wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali
Mohamed Shein, leo amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman
Masoud Othman na nafasi yake kuchukuliwa na Said Hassan Said.
Rais Shein
amefanya uteuzi huo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu 55 (1) cha
Katiba ya Zanzibar
↧
Mbunge wa Kawe Halima Mdee Apelekwa Segerea baada ya Kushindwa Kutimiza Masharti ya Dhamana Mahakamani
Mwenyekiti
wa Baraza la Wanawake la chama cha Demokrasia na Maendeleo BAWACHA
ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe jijini Dar es salaam Mhe. Halima
Mdee leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
Mdee
amefikishwa katika mahakama hiyo pamoja na wanachama wengine wanane wa
chama hicho na kusomewa mashtaka mawili ya kukusanyika kinyume cha
sheria pamoja na
↧
Matusi ya Mama Wema: Kajala na Wema Sepetu Watoana Jasho Polisi
Kufuatia matusi ya mama wa staa wa sinema
za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, Miriam Sepetu kwenda kwa mwigizaji Kajala
Masanja ‘Kay’, mastaa hao wamejikuta wakitoana jasho kwenye Kituo cha
Polisi cha Kijitonyama almaarufu Mabatini jijini Dar mwishoni mwa wiki
iliyopita.
Duru za ‘kiubuyu’ zilidai
kwamba Kajala, baada ya kuchoshwa na matusi hayo ambayo yalianzia kwenye
sherehe ya kuzaliwa
↧
More Pages to Explore .....