Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi
wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live’ gesti akiwa na mke wa
kigogo mmoja (jina kapuni), aitwaye Mwanaidi wakijiandaa kuvunja amri
ya sita.
Tukio hilo lilijiri Septemba 18, mwaka huu kwenye gesti moja maarufu
iliyoko mitaa ya Kitangiri baada ya kigogo huyo kupewa ‘ubuyu’ kwamba
anaibiwa mali yake ndipo
'Serengeti Boy' anaswa Gesti na Mke wa Kigogo
↧
↧
Ndege za jeshi za Iraqi zasambaza vyakula na maji kwa kundi la ISIS kwa bahati mbaya
Marubani wa ndege za kivita za Iraqi zilizokuwa na maji,
vyakula na misaada mingine ya kibinadamu zimesambaza mahitaji hayo kwa
maadui zao wa kundi la Islamic States badala ya kuwapa wanajeshi wao.
Kwa mujibu wa NBC mmoja kati ya wabunge wa Iraqi ambaye pia ni afisa
wa ngazi za juu za usalama, Hakim Al-Zamili ameeleza kuwa kutokuwa na
uzoefu wa kutosha kwa marubani hao kumewafanya
↧
Hii inakubalika Tanzania? Irine Uwoya na Rich Wafanya LIVE kwenye scene ya mapenzi!
Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya
pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia hasa
kwenye scene za mapenzi!
Lakini napata kigugumizi kikali kwa kile kilichoonekana kwenye video
hii inayoaminika kuwa ni kipande cha filamu mpya inayotarajia kutoka
iliyowakutanisha Rich na Irene Uwoya ambao wanaonekana wakibadilishana
mate kwa
↧
Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa
Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba waliopiga kura za hapana
wamelazimika kuondoka Dodoma na kurudi Zanzibar kwa madai ya vitisho
walivyopata kutoka kwa wenzao.
Mmoja wa wajumbe hao, Salma Said alisema jana
jioni kuwa yeye na wajumbe wenzake wamekataa kuitikia wito wa Mwenyekiti
wa Bunge, Samuel Sitta kwenye Kamati ya Mashauriano ili kuhojiwa kuhusu
kura hiyo na kutokana na
↧
CCM Kufanya Maamuzi Magumu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema watendaji waliohusika kusababisha mgogoro katika Kiwanda cha Chai Mponde, kilichopo Jimbo la Bumbuli, Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, wanapaswa kuwajibishwa pamoja na kuachia ngazi.
Kauli hiyo imetolewa juzi na Katibu Mkuu wa chama hicho, Bw. Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Mponde, Jimbo la Bumbuli, wilayani humo.
↧
↧
Waliodhurika kwa kunywa togwa yenye Sumu Songea wafika 340
Idadi ya watu waliolazwa hospitalini kwa kunywa togwa
inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Litapwasi, Kata ya Mpitimbi
mkoani Ruvuma imeongezeka kutoka 270 hadi 340.
Tukio hilo lilitokea Jumapili baada ya watu
kushiriki sherehe ya Kipaimara ambako walikula, kunywa pombe na togwa na
baadaye wale waliokunywa togwa walianza kuumwa matumbo, kuhara na
kutapika.
Hadi jana,
↧
Ammwagia mumewe maji ya moto
Mwanamke
mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake
kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia
ugali.
Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi,
saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya
kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa
kurudi nyumbani.
↧
Mume ajiua kwa sumu ukweni
MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.
Inadaiwa alifanya hivyo nyumbani kwa baba mkwe, Chacha Sasita ambaye ni mkazi wa kijiji cha Rebu kata ya Turwa, kutokana na mgogoro na mke aliyemtoroka na kwenda jijini Mwanza na kumwachia watoto wawili.
Kamanda wa Polisi Tarime
↧
Polisi achunguzwa kwa kumtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu
(Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro.)
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.
Askari huyo anatuhumiwa kumrubuni mwanafunzi huyo kuwa atamnunulia magauni mawili, blauzi mbili, sketi mbili pamoja na kiasi cha Sh
↧
↧
Chama cha ACT-Tanzania Chakanusha Kumilikiwa na Zitto Kabwe
ACT-TANZANIA
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa Watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika
ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA
KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania
↧
Rais Kikwete ataja njia Saba zinazochukuliwa na Serikali Kupunguza Foleni za Magari Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete ametaja hatua saba ambazo Serikali yake imeanza kuzichukua ama
inakusudia kuzichukua ili kukabiliana na msongamano wa magari katika
Jiji la Dar Es Salaam.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa msongamano wa magari ni ishara ya
ubora wa maisha ya wananchi na ustawi wa Watanzania kwa sababu miaka 20
ama hata 10
↧
Tanzania ina idadi ndogo ya wazee duniani
Tanzania
imetajwa kushika nafasi ya 92 katika orodha ya nchi zenye idadi kubwa
ya wazee kati ya nchi 96 duniani huku takwimu za taasisi ya Helpage
International zikionyesha kuwa ifikapo mwaka 2050 idadi ya wazee
itakuwa sawa na ya watoto.
Akiongea
jijini Dar es salaam wakati Tanzania imejumuika na nchi nyingine
duniani kuadhimisha siku ya wazee Mkurugenzi wa Taasisi ya Helpage
↧
Kutukanwa Matusi Mazito ya Nguoni: Kajala kumshitaki mama yake Wema Sepetu......Team Wema, Team Kajala vitani tena
Habari ya mjini kwa sasa ni bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema
Sepetu kutimiza miaka 26 tangu kuzaliwa, lakini ndani ya tukio hilo,
mengine yameibuka!
Miongoni mwa yaliyoibuka kwenye sherehe hiyo iliyofanyika Jumapili
iliyopita nyumbani kwa Wema, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar es
Salaam ni madai ya mama Wema, Mariam Sepetu kudaiwa kupewa nafasi ya
kutoa ‘neno la hekima’
↧
↧
Bunge Lachafuka......Mwanasheria mkuu wa Zanzibar anusurika kupigwa
Licha
ya Bunge Maalum la Katiba (BMK) kuunda Kamati ya Mashauriano ili kusaka
theluthi mbili ya kura za upande wa Zanzibar, Bunge hilo jana
lilichafuka baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud
Othuman, baada ya kupiga kura ya wazi akikataa sura na ibara kadhaa za
Rasimu inayopendekezwa.
Hali hiyo ilisababisha vurugu na hasira kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa
bunge hilo, na
↧
Radi yajeruhi wanafunzi 17 Mwanza
Wanafunzi 17 wa Shule ya Sekondari Kabuholo wilayani Ilemela jijini
Mwanza, wamejeruhiwa na radi kufuatia mvua kubwa ilioyonyeshwa jijini
humo kwa saa moja.
Tukio hilo lilitokea jana saa 1.45 asubuhi wakati radi hiyo ilipowapiga
wanafunzi wa kidato cha nne 15, mmoja kidato cha tatu na mwingine
kidato cha kwanza.
Akizungumza na mwandishi wetu jana, Mwalimu wa mazingira wa shule hiyo
↧
Samwel Sitta: Mnyika Kanitukana Matusi Mazito
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge.
“Bwana mmoja Mnyika ameamua kututukana mimi na Chenge…ametuita maharamia mbele ya mkutano wa hadhara huko Mwanza.
“Mimi kwake ni baba yake na kama hawezi kuniheshimu, basi aniheshimu kama
↧
Matokeo yanaendelea kutangazwa Bungeni.....Theluthi mbili ya wajumbe toka Zanzibar wamepiga kura ya Ndio....Shangwe zatawala Bungeni
Matokeo
ya kura za wajumbe yanaendelea kutangazwa, 2/3 mpaka sasa inaongoza
katika sura ambazo zimetajwa.
Theluthi mbili ya wajumbe toka Zanzibar na Bara wamepiga kura ya Ndio kuafiki Rasimu Inayopendekezwa, lakini bado
matokeo yanaendelea kutangazwa.
Shangwe na vigelegele zimezuka bungeni.Tazama kinachoendelea hivi sasa katika Bunge la Katiba
Video hii
↧
↧
Kijana Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe huko Sumbawanga.....Polisi wamuweka "mtu kati", akubali kutemana na nguruwe wake!
UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.
Amelalamika akidai kuwa kijana huyo amenogewa `penzi’ la mnyama huyo
↧
Sitta amchimba mkwara mkewe
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana
alimchimba mkwara mkewe Margareth Sitta kuwa angepata tabu sana kama
angekosea kupiga kura.
Mbali na Uenyekiti wa Bunge la Katiba, Sitta ni
Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika
Mashariki na mkewe Margareth ni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mjumbe
wa Bunge la Katiba.
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧