MSANII
wa filamu nchini Jacqueline Wolper ameenda kujichimbia Afrika Kusini
akifanya mazoezi ili ajiweke katika nafasi ya kuzichapa na mbunge wa
CHADEMA Halima Mdee, katika tamasha la Matumaini litakalofanyika Julai 7
mwaka huu.
Wolper ambaye atapigana na Halima Mdee, alisema kuwa
amejikita nchini humo kwa ajili ya kujiweka sawa ili aweze kumkabiri
mbunge huyo.
Alisema mbali ya
WOLPER NA HALIMA MDEE WANATARAJIWA KUTOANA MANUNDU USIKU WA MATUMAINI
↧
↧
"POLISI WATAENDELEA KUWAPIGA WALETA VURUGU HAPA NCHINI NA NINASEMA WAWAPIGE ZAIDA NA ZAIDA"... WAZIRI MKUU
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda amesema jeshi la polisi litaendelea kuwakabili na
kuwadhibiti ikiwa ni pamoja na kupiga wale wote wanaokiuka amri halali
inayotolewa katika kulinda amani ya nchi iliyopo ...
Mhe Pinda amesema
hayo bungeni mjini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali kwa waziri mkuu
akijibu swali aliloulizwa juu ya matukio ya polisi kudaiwa kupiga
wananchi katika matukio ya hivi
↧
BAADHI YA PICHA ZA MAZISHI YA WAHANGA WA MLIPUKO WA BOMU HUKO ARUSHA
↧
MWIGULU NAYE ADAI KUWA BOMU LILIRUSHWA NA CHADEMA...."KAMA SIO WAO, MCHUKUA VIDEO ALITAARIFIWA NA NANI KWAMBA BOMU LITARUSHWA???"
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mwigulu Nchemba amesema bungeni leo kwamba Chadema ilipanga kufanya shambulio la
bomu kwenye mkutano wa Soweto jijini Arusha.Amesema hakuna jambo ambalo Chadema wamewahi kupanga wakashindwa.“Itakuaje mtu amechukua mkanda wa tukio la umwagaji wa damu bila kutikisika au mchukuaji kukimbia, haiwezekani- hiyo walipanga.“Inakuaje
amechukua
↧
HII NI KAULI YA FREEMAN MBOWE ALIPOJISALIMISHA POLISI LEO
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na mandeleo Mh. Freeman Mbowe na
mbunge wa jimbo la Arusha Godbless Lema wamejisalimisha kwa jeshi la
polisi huku wakiendelea kusisitiza kuwa ushahidi walio nao
hawatauwasilisha kwa jeshi la polisi mpaka pale rais Jakaya Kikwete
atakapounda tume huru ya majaji ya uchunguzi<!-- adsense -->
↧
↧
"EDWARD LOWASSA ANAHUSIKA NA KUTEKWA KWANGU PAMOJA NI KIPIGO NILICHOPEWA"...NASSARI
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo
alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.
Aidha amemtuhumu Spika wa Bunge, Anne Makinda kwamba naye ni
miongoni mwa watu wanaomchukia pamoja na viongozi wengine wa Bunge, kwa
kuwa hakuna kati yao aliyempigia simu au kumtumia ujumbe wa kumjulia
hali kutokana
↧
RAIS MSTAAFU GEORGE BUSH ATATUA JIJINI DAR ES SALAAM MWEZI UJAO
Rais mstaafu wa Marekani, George W.
Bush na mkewe, Laura, wanatarajiwa kuwasili nchini mwezi ujao ambapo
watahutubia kongamano litakalojadili wajibu wa wake za marais katika
kuinua wanawake duniani.
Taasisi ya George Bush ndiyo imeandaa kongamano hilo litakalofanyika Dar es Salaam kuanzia Julai 2 hadi 3.
Taarifa
iliyotolewa jana na taasisi hiyo kwa vyombo vya habari, ilisema
↧
MTOTO AFANYIWA UPASUAJI KUONDOA MIGUU MIWILI YA ZIADA
Mtoto wa miezi miwili wa kiume nchini Namibia amefanyiwa upasuaji wa aina yake baada ya kuwa amezaliwa akiwa na miguu minne.
Andrew
Palismwe, anayetokea Caprivi, anaendelea vizuri na matibabu baada ya
kufanyiwa upasuaji uliochukua masaa tisa kuondoa miguu miwili kwenye
Hospitali ya watoto ya Red Cross War Memorial iliyoko mjini Cape Town,
Afrika Kusini.
Mtoto huyo sasa anaendelea kupata
↧
MWANAFUNZI APIGWA RISASI TUMBONI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM USIKU WA KUAMKIA LEO
Taarifa
zilizotufikia zinaeleza kuwa wanafunzi wanne
wa chuo kikuu cha Dar es salaam
wamevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo maeneo ya Yombo chuoni
hapo.
Wanafunzi hao wanaosemekana kuwa ni wa mwaka wa nne na wa
mwisho wa masomo walikuwa wanajisomea na kuandaa “Disertation” zao na
kujikuta wakivamiwa na watu wanne na kuamuriwa watoe kompyuta zao na
pochi za fedha.
↧
↧
MABONDIA WANNE WA TANZANIA WAFUNGWA JELA MIAKA 15 BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI MAURITIUS
Mabondia wanne wa Tanzania wafungwa miaka 15 jela nchini Mauritius kwa makosa ya kuingiza dawa za kulevya aina ya heroin.
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa.Wakati kesi hiyo ilipoanza
kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza mihadarati hiyo nchini
Mauritius wakati walipokwenda kushiriki mashindano ya ndondi barani
↧
SAKATA ZIMA LA KUPIGWA KWA MBUNGE WA KASULU ( MOSES MACHALI) AKIWA DODOMA JANA JIONI
Habari
kutoka Dodoma zinasema Mbunge wa Kasulu Mjini kupitia chama cha
NCCR-Mageuzi, Mhe. Moses Machali (pichani), amelazwa katika hospitali ya
mkoa ya Dodoma kuuguza majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa na
watu wasiojulikana jana jioni mjini Dodoma.
Tukio hilo lilitokea jana jioni wakati Mh. Machalli
akiendesha gari lake mita kadhaa kutoka ilipo nyumba anayoishi baada ya
↧
WEMA SEPETU NA KAJALA MASANJA WAGEUKA "PAKA NA CHUI "....ZILE MILIONI 13 ZALETA BALAA ZITO
Utabiri wa wengi kuwa ushosti wa waigizaji masistaduu wa Bongo Movies,
Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja kutumbukia nyongo unadaiwa kutimia
na sasa wametibuana,
Habari
za ndani kutoka kwa mtu wa karibu (jina linahifadhiwa), mwanzoni baada
ya Wema kumlipia Kajala faini ya Sh. milioni 13 na kumnusuru
kutokwenda Segerea a.k.a Segedansi, wawili hao walikuwa marafiki kama
pete na
↧
MOTO WAMFANYA HOUSE GIRL ATAKE KUJIRUSHA CHINI TOKA GHOROFA YA PILI
HAUSIGELI ambaye jina lake halikupatikana mara moja, nusura ajirushe
chini kutoka ghorofa ya pili kwa kile kilichodaiwa kuwa aliogopa moto
mkubwa uliozuka katika jengo la jirani na ghorofa alilokuwemo.
Tukio
hilo lilijiri mapema asubuhi ya Juni 18, mwaka huu kwenye makutano ya
Mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Kwa
mujibu wa majirani, baada ya kuona moto
↧
↧
MAKAMPUNI YA SIMU YATAPANDISHA GHARAMA ZA MAWASILIANO IFIKAPO TAREHE MOJA MWEZI WA SABA
Kufuatia
kuongezwa kwa kodi katika huduma za simu za mkononi , gharama za huduma
hizo zinatajiwa pia kuongezeka kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Taarifa
ya pamoja iliyotolewa jijini Dar es salaam na Umoja wa Makampuni ya
Simu za Mkononi Tanzania – MOAT imesema pendekezo la serikali la kuweka
kodi ya 14.5 kwenye huduma za simu za mkononi hazotoweza kukwepesha
kupanda kwa gharama za simu
↧
"SIKU YA MAZISHI YANGU WATAJAA WATOTO NA MASHOGA TU"....AUNT LULU
MSANII wa filamu Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa
siku akifa anaamini mbali na watu wengine mazishi yake yatatawaliwa na
mashoga pamoja na watoto.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Aunty Lulu alisema
kutokana na ukweli kwamba wengi wanaompenda na ambao wamemzoea ni watoto
waliokuwa wakimsikiliza kwenye Kipindi cha Watoto Shoo kupitia Radio
One na ITV na
↧
ARNOLD SCHWARZENEGGER NDANI YA 'TERMINATOR' 5
Baada
ya kukaa kimya kwa kipindi cha muda mrefu ,muigizaji mkongwe wa
filamu maarufu za action Arnold Schwarzenegger, ameamua kurejea upya
katika ulingo huo huku 'Terminator 5' ikitegemewa kurekodiwa mwezi
January mwaka ujao.Hii itakuwa ni mara ya 4 kwa mcheza filamu
huyo kushiriki katika movie hiyo baada ya kushindwa kushiriki katika
Terminator 4 kutokana na majukumu ya u-Governor
↧
VIDEO YA WANAWAKE WAWILI WALIOVULIWA NGUO NA KUTEMBEZWA UCHI KWA MADAI YA WIZI
Kulikuwa na kizaazaa katika
eneo la transami huko embakasi hapa jijini baada ya wanawake wawili
kuvuliwa nguo na kusazwa uchi wa mnyama.
Kisa na maana walikamatwa kwa
madai ya walitaka kumuibia mwanamume mmoja, ambaye waliandamana naye
nyumbani kwake jana usiku kwa starehe.
Inadaiwa walimtilia dawa- bwana
huyo akalaa fofofo...aliamkia purukushani nyumbani kwake.makinika na
↧
↧
MSANII ATINGA UKUMBINI NA KIVAZI CHA NUSU UCHI HUKU NDANI AKIWA "MTUPU"
MSANII wa filamu aliyeibukia kwenye Shindano la Maisha Plus, Jack
Dustan ‘Jack wa Maisha Plus’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya
kuvaa kigauni ambacho mara kadhaa alipopozi aliacha wazi sehemu zake
nyeti.
Jack akiwa kaacha nje nyeti zake (sehemu iliyozibwa).
Tukio hilo lilinaswa na mwandishi wetu ndani ya Ukumbi wa Sun Ciro,
Ubungo jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa
↧
VIDEO NZIMA YA MKUTANO WA CHADEMA AMBAYO ILIAHIDIWA KUWEKWA MTANDAONI
Video hii ya saa moja na nusu ya mkutano mzima wa CHADEMA uliofanyika
katika viwanja vya Soweto mkoani Arusha uliofanyika siku ya Jumamosi
tarehe 15 Juni 2013, siku ambayo palitokea mlipuko na shambulio jioni
punde tu baada ya kuhitimishwa kwa hotuba za viongozi mbalimbali,
imewekwa youtube na Jesse R.<!-- adsense -->
↧
WEMA SEPETU APOTEZA MVUTO....MIKOROGO YAMUATHIRI....MICHIRIZI YAANZA KUPANDA USONI
Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri wema Sepetu ambaye ni miss Tanzania 2006..
Wema ambaye umri wake bado haujamtupa , hivi sasa anakabiriwa na tatizo la ngozi kutokana na michirizi kusambaa mwili mzima hasa mapajani....
Kamera zetu si mara ya kwanza kumshuhudia Mrembo huyu akizingirwa na uzee kwani miezi kadhaa nyuma tuliwahi andika
↧
More Pages to Explore .....