Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jela Miaka 15 kwa kumchezea mtoto Sehemu za Siri

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Hassan Suleiman (23) mkazi wa Kitunda, kwa kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mtoto wa miaka mitatu kwa kumchezea sehemu zake za siri kwa vidole.   Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Hassani Juma alisema kuwa mshitakiwa huyo atatumikia kifungo hicho iwe fundisho kwa wengine.   Pia Mahakama hiyo imefikia

Rais Kikwete Afanya Ziara ya Kushtukiza Uwanja wa Ndege Dar kukagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo kunakofanyika maandalizi ya kukinga nchi dhidi ya maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa hatari ya ebola, ikiwemo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.   Akizungumza katika ziara hiyo jana, Rais Kikwete alisema   ameshitukiza makusudi na aliipanga juzi usiku na kuianza jana asubuhi,

IPTL Yamdai Zitto Kabwe Fidia ya sh. Bilioni 500

$
0
0
Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia ya Sh bilioni 500 kutokana na kutoa kashfa dhidi yao.   IPTL, Kampuni ya Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP) na Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni hayo mawili, Harbinder Seth

Suala la Uraia Pacha bado JIWE GUMU Bunge maalumu la Katiba

$
0
0
Uraia pacha kwa Watanzania walioko nje ya nchi jana uliendelea kutawala katika mijadala kwenye Bunge la Katiba huku wengi waliochangia wakikubaliana wasio na uraia Katiba iruhusu wapewe chini ya utaratibu wa uraia wa pacha.    Wachangiaji  wengi  walisema hakuna sababu ya kuwanyima uraia hao kwa kisingizio kuwa sio wazalendo.    Selemani Ali alisema Watanzania walioenda nje ya nchi

Bia ya Kibo Gold Lager ya Serengeti Breweries ltd yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya Ubora Duniani ya Monde Selection

$
0
0
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa. ‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara

Mwanamke Aanguka kwenye Bodaboda, Akanyagwa na Lori na kufariki dunia papo hapo

$
0
0
 Mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 amekufa papo hapo baada ya kudondoka kwenye pikipiki aliyokuwa amepanda na kisha kukanyagwa na gari.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura amesema kuwa ajali hiyo ilitokea jana  mchana katika barabara ya Bagamoyo eneo la Tangibovu ambapo gari likiendeshwa na dereva asiyefahamika akitoka kwa Alysykes kuingia barabara ya

Mkazi wa Ilemela jijini Mwanza Ajitundika mtini na Kujinyonga.....Wananchi washindwa kumtambua, Polisi waamuru mwili uzikwe

$
0
0
Mwanaume  mmoja  mkazi  wa  Kiseke, Ilemela  jijini  Mwanza  amekutwa  amekufa  baada ya  kujinyonga  kwa  kamba  juu  ya  mti  huku  mwili  wake  ukiwa  umeharibika  vibaya  na  kuvuja  maji.... Inakadiriwa  kuwa  mtu  huyo  alijinyonga  siku  tatu  zilizopita  na  chanzo  cha  kifo  hicho  bado  hakijafahamika  kutokana  na  mtu  huyo  kutoaacha  ujumbe  wowote  huku  wakazi  wa  eneo 

Kifalu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Chapata Ajali na Kuua Wanajeshi watatu na Raia Mmoja

$
0
0
Kutoka Lindi kuna taarifa ambayo imethibitishwa pia na kamanda Mpinga kuhusu ajali iliyotokea Mtwara ambayo imehusisha gari la Jeshi la Wananchi Tanzania(Jwtz)imeripotiwa asubuhi ya leo na shuhuda wa eneo hilo.    Msafara huo wa Wanajeshi ulikuwa ukitokea Mtwara kuelekea Nachingwea kwenye camp kubwa ya Jeshi na ajali hiyo imetokea maeneo ya Mnolela kijijini Lindi,kwa mujibu wa

Mkutano wa UKAWA na waandishi wa habari .....Bofya hapa

$
0
0
Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania-UKAWA- uliolisusia Bunge maalum la katiba tokea mwezi Aprili, leo ulikuwa na mkutano na waandishi habari . Madhumuni ya mkutano huo ni kueleza msimamo wa UKAWA kuhusu yalioafikiwa katika mazungumzo kati ya viongozi wa vyama vya kisiasa vinavyoundwa kile kinachojulikana kama Kituo cha Demokrasia Tanzania na Rais jakaya Kikwete kuhusu mkwamo

Basi la Super Feo Lagonga mti na Kupinduka huko Songea....Wawili wafariki dunia, 30 wajeruhiwa vibaya

$
0
0
Watu wawili wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya ajali mbaya iliyotokea leo  katika  eneo la  Sanangula nje kidogo ya mji wa Songea mkoani Ruvuma ikilihusisha basi la Super Feo linalofanya safari zake kati ya Songea - Makambako lililoacha njia na kugonga mti.    Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni mwendo kasi.      

Nafasi za Kazi ya Mitindo na Uigizaji wa Filamu.....Kama ulikuwa unatafuta nafasi ya kuigiza kwenye filamu bila mafanikio basi hii ni nafasi yako!

$
0
0
Wewe  ni msichana  mwenye  kipaji  cha  mitindo  lakini  haujui  uanzie  wapi? Wewe  ni  msichana  mwenye  kipaji  cha  kuigiza ? Unatafuta  nafasi  ya  kuigiza   kwenye  filamu ? Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako. Kampuni  inayo  jihusisha  na  ku- manage   wanamitindo  pamoja  na  wasanii  wenye  vipaji  mbalimbali  inatangaza  nafasi  za kazi  zifuatazo :

Diva Afunguka tena.....Adai Zitto Kabwe ni mume wake na anatambulika kisheria, Asema hayupo tayari kuachana naye kirahisi

$
0
0
Mtangazajiwa Kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa kupitia Radio Clouds FM ya jijini Dar, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa mara ya kwanza, amejilipua kuzungumzia uhusiano wake na Zitto Kabwe kwamba walikuwa mke na mume. Katika mahojiano maalum na mwanahabari wetu jijini Dar juzi, Diva alisema anashangazwa na baadhi ya vyombo vya habari  kumnyima uhuru wa kuongelea suala lake na ‘zilipendwa

Sitta akomaa na Bunge la Katiba....Asema Bunge litakuwa limekamilisha kila kitu ifikapo Octoba 4, Atangaza mkakati wa wajumbe kupiga kura hata wakiwa nje ya nchi

$
0
0
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ‘amekomaa’ kuhakikisha Bunge Maalumu la Katiba linafanya kazi kwa kasi na kukamilisha kila kitu ifikapo tarehe yake ya mwisho, Oktoba 4, ikiwamo kupiga kura za kupitisha Katiba inayopendekezwa kazi ambayo amesema itafanywa hadi nje ya nchi kwa wajumbe watakaokuwa huko.    Sitta alilazimika kutoa matamko mawili kwa nyakati tofauti,

Mbowe: Atakayeruhusu CCM kushinda bila kupingwa tutamshughulikia

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kiongozi yeyote ndani ya chama hicho ambaye ataruhusu mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi bila kupingwa atashughulikiwa.   Mbowe alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Moto wateketeza vyumba 20 vya kulala wanafunzi

$
0
0
Vyumba 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.   Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa tano, ulianzia katika choo cha shule hiyo, jirani na Bweni la Makka kabla ya kuruka kwenye chumba cha jirani na kusambaa kwenye vyumba 20 vilivyoko

Esha Buheti Apigwa Vijembe kwa kuwa na makalio madogo.....Mwenyewe ajitetea, asema Mwanamke sura Makalio ni majaaliwa

$
0
0
Kitendo cha kutojaaliwa makalio makubwa kwa staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti kimemsababishia anangwe na wasanii wenzake. Akiongea  na  mwandishi wetu, Esha alisema anafahamu na anawashangaa watu wanaoponda maeneo hayo ya mwili wake kwani kwa upande wake anaamini kuwa mwanamke sura, makalio majaaliwa kwani hata mwanaume aliyemuoa analijua hilo na anampenda jinsi alivyo.   “

Abakwa, Anyongwa kisha mwili wake Watupwa Kichakani

$
0
0
Mkazi wa Kijiji cha Bupu wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Forodesi Ntabegera (30) ameuawa kwa kubakwa, kisha kunyongwa na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kutupwa kichakani.   Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Athuman Mwambalaswa alieleza kuwa Ntabegera alinyongwa na watu hao kwa kutumia kitenge chake alichovaa.   Mwambalaswa alisema Septemba 9 mwaka huu saa 8:00 mchana wakazi

Dawa za kuongeza Uchungu ni hatari kwa Wajawazito

$
0
0
 Matumizi ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.   Mganga Mkuu wa Mkoa Kigoma, Dk Leonald Subi alisema hayo mjini Kigoma kwenye kikao cha wadau wa afya.   Kikao hicho kilihusisha kufanya tathmini na kuona hatua za kuchukua kukabiliana na vifo vya wajawazito na watoto wakati wa kujifungua mkoani humo.

Msako wa Bodaboda Zenye Namba za Njano Waanza

$
0
0
 Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanya biashara, jambo ambalo ni kinyume.   Meneja Mawasiliano wa Sumatra, David  Mziray alisema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na  mwandishi wetu kuhusu usajili wa namba za pikipiki pamoja na zenye

Mrema ataka Rais Kikwete aongezewe muda

$
0
0
MBUNGE wa Vunjo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Augustine Mrema (TLP), amesema kuna haja Rais Jakaya Kikwete aongezewe muda wa kuongoza nchi.   Alisema kama Rais Kikwete ataongezewa muda, atapata muda wa kukamilisha mchakato wa Katiba ambao ndiye aliyeuanzisha.   Mmoja wa wajumbe waliohudhuria kikao kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images