Hivi
sasa kuna taarifa zimesambaa kupitia Ujumbe mfupi wa simu (SMS) na
mitandao ya kijamii zikihusisha kuachiliwa huru kwa wafungwa wawili
wanaotumikia Kifungo cha Maisha gerezani. Wafungwa hao wanaotajwa ni
Nguza Vicking(Maarufu kwa jina Babu Seya) na Johnson Nguza (Maarufu kwa
jina la Papii Kocha) - Katika picha ya maktaba juu.
Napenda
kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa
Taarifa Rasmi kutoka Jeshi la Magereza dhidi ya Uzushi kuwa Babu Seya na Mwanae Wameachiwa Huru
↧
↧
Irene Uwoya: Sipendi Wanaume Wanene au Wenye vitambi maana hawana Lolote Kitandani
Star wa filamu za kibongo, Irene Uwoya anadaiwa hana mzuka kabisa wa
kutoka kimapenzi na wanaume wanene au wenye vitambi kwa madai si lolote kitandani
wanaishia kuhema hema tu.
Inadaiwa kuwa Uwoya anapenda wanaume wasio wanene, wenye miili ya kimazoezi na wasio na vitambi kwa madai wako
vizuri sana kunako sita kwa sita na mwenyewe huvutiwa nao sana.
Chanzo
kimoja kutoka kambi ya
↧
Lulu Michael adaiwa Kuwa Na Ubabe Na Kisirani Cha Kutodumu Na Wanaume..... Tajiri Wa Madini Asalimu Amri.
Star wa filamu nchini aliyejaaliwa mvuto wa kipekee, Lulu Elizabeth Michael anadaiwa kutodumu na mwanaume sababu ya kuendekeza ubabe na kutaka kum-control
mwanaume anayekuwa naye.
Inadaiwa Lulu hataki mchezo, mwanaume akishakuwa nae basi lazima ahakikishe hafurukuti. Taarifa zinadai kuwa
miezi ya hivi karibuni alikuwa na jamaa mmoja mdogo kimapenzi akammwaga
na baada ya muda
↧
JK, Ukawa Wakubalina katiba mpya Ipatikane baada ya Uchaguzi mkuu 2015.....Vyama vya siasa kukuaa kufanya marekebisho ya 15 ya katiba ya 1977
HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na
Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais
Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi
Mkuu mwakani.
Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais
Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoundwa na vyama
vyenye wabunge ambavyo ni
↧
Msajili wa Vyama: Pingamizi la Mbowe ni matokeo ya kunipuuza
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Freeman Mbowe, kuwekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo
kwa awamu ya tatu, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi,
amesema kinachotokea kwenye chama hicho ni matokeo ya kupuuza ushauri
wake.
Mbowe amewekewa pingamizi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa
Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye
↧
↧
Zittto Kabwe Afunguka..."‘Ikishindikana urais, nitagombea ubunge Kigoma Mjini"
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anaonekana yuko
njiapanda kati ya nia yake ya kugombea urais au ubunge, lakini kwa jinsi
mwenendo wa kuandika Katiba Mpya ulivyo, ni dhahiri ataendelea kugombea
nafasi kuingia bungeni.
Hata hivyo, mbunge huyo kijana hatarudi Kigoma Kaskazini ambako ameongoza kwa vipindi viwili; atagombea jimbo la Kigoma Mjini.
Septemba 23 mwaka huu, Zitto
↧
Nafasi za Mafunzo ya Utengenezaji wa Mashine za kutotoresha Vifaranga Vya Kuku
Taasisi ya
RafikiElimu FOUNDATION kupitia
MRADI WA ELIMU
YA UJASIRIAMALI MIJINI
NA VIJIJINJI inatangaza
nafasi za MAFUNZO
YA UTENGENEZAJI WA
MASHINE ZA KUTOTOLEA
VIFARANGA WA KUKU.
Mashine
zitakazo fundishwa kutengeneza
ni INCUBATOR (
MANUAL & AUTOMATIC) ZENYE UWEZO WA KUTUNZA
JOTO KWA SAA 48
PAMOJA NA KUTOTORESHA MAYAI KUANZIA
240 HADI 5000.
↧
Mitihani ya darasa la saba kuanza kesho Jumatano
WANAFUNZI 808,111 wa Darasa la Saba kesho wanaanza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo.
Akizungumza jana Kamishna wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eustella Bharalusesa alisema idadi hiyo ni kwa wanafunzi wote wanaofanya mtihani kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Miongoni mwa hao, 783,223 ni wanaofanya kwa Kiswahili na
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
↧
TCRA Yaonya kuhusu mitandao ya Bure
Mamlaka ya Mawasilino Tanzania(TCRA), imehadharisha juu ya matumizi ya mitandao ya bure ‘WiFi’ katika maeneo ya halaiki kufanya miamala ya fedha.
Aidha Mkuu wa Kitengo cha Huduma ya Mawasiliano wa TCRA, Isaac Mruma alisema kitengo chake kinapokea malalamiko mengi kuhusu wizi wa kwenye simu.
Alishauri watu kutopenda kutumia mitandao hiyo ya bure maeneo ya halaiki kuhamisha fedha kwa
↧
Hashim Juma Issa Awa Mwenyekiti Mpya baraza la Wazee CHADEMA
Safu mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa chama hicho, Benson Kigaila, alisema nafasi ya Makamu Mwenyekiti katika baraza hilo ni Susan Lyimo na Katibu Mkuu ni Rodrick Lutembeka.
Nafasi ya Mwenyekiti wa baraza hilo la wazee,
↧
TCD Yatoa Tamko kuhusu mchakato wa katiba na Uchaguzi mkuu wa 2015
VIONGOZI
Wakuu wa Vyama vya siasa vyenye Wabunge vinavyounda Kituo cha
Demokrasia Tanzania (TCD) wamekuwa katika mashauriano ya zaidi ya mwezi
mmoja tangu tarehe 2 Agosti mwaka huu huku wakishauriana juu ya mwenendo
wa mchakato wa Katiba Mpya na jinsi ya kuwa na uchaguzi ulio huru na wa
haki hapo mwakani.
Akiongea
kwa niaba ya viongozi wengine wa kituo hicho, Mhe. John Cheyo
↧
Video Mpya: Togola- Dully Sykes
Angalia video mpya ya wimbo wa Dully Sykes, Togola. Imeongozwa na Adam Juma wa Visual Lab.
↧
↧
Kaburi la mmoja kati ya waliopata ajali ya basi Musoma lafukuliwa na watu wasiojulikana
Kaburi la mmoja kati ya watu waliopoteza maisha katika ajali
mbaya iliyohusisha mabasi ya Mwanza Coach na J4 katika eneo la
Sabasaba, Musoma, Mara limekutwa likiwa limefukuliwa na watu
wasiojulikana jana asubuhi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichofika katika eneo la makaburi ya
Musoma Basi, ndugu wa marehemu aliyetajwa kwa jina la Juma Sai walienda
asubuhi kuangalia kaburi ikiwa ni
↧
Diamond kufanya show ya bure Stuttgart Ujerumani kuwafidia mashabiki
Diamond Platinumz na uongozi wake wameridhia ombi la
promoter wa Stuttgart, Ujerumani na msanii huyo atafanya show ya bure
September 20 kwa lengo la kuwafidia mashabiki waliofanya vurugu baada ya
kutoridhishwa na utaratibu wa show yake mwezi uliopita.
Mwimbaji huyo wa MdogoMdogo ameweka wazi uamuzi wa kurudi Ujerumani kupitia Instagram.
“YES!!!! STUTTGART GERMANY!!! on this 20th of
↧
Diamond apiga mbili kwa mpigo, ashinda tuzo Australia na atajwa kuwania tuzo ya MTV Europe Music
Neema inazidi kumuangia Diamond Platinumz na jana amepata
habari njema baada ya kutajwa kuwania tuzo ya MTV EMAs huku akipokea
tuzo kutoka nchini Australia.
Diamond amewapa mashabiki wake habari njema za ushindi wa tuzo ya
AAMA ya Australia kupitia tiketi ya collabo aliyopewa na Desert
Eagle, wimbo unaoitwa ‘Everyday’.
“Ningependa niwajulishe kuwa kijana wenu nimepata tunzo nyingine
↧
Ripoti: Tanzania yaongoza kulalamikiwa kwa matumizi mabaya ya Instagram duniani
Mtandao wa Instagram unaohusisha uwekaji picha umeendelea
kupata mashabiki wengi nchini Tanzania lakini wengi kati ya watumiaji
hao wameisababisha kuwa kati ya nchi zinazoongoza kwa matumizi mabaya ya
mtandao huo duniani kote.
Ripoti hiyo imetolewa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya
Mawasialiano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy katika mahojiano maalum
aliyofanya na Ibrahim Issa wa
↧
↧
Uamuzi mgumu: Rais hataongeza muda Bunge la Katiba.....Sitta Aitisha Vikao vya Dharura kamati ya Uongozi
Makubaliano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo
cha Demokrasia Tanzania (TCD), kutaka Bunge Maalumu lifikie ukomo Oktoba
4, mwaka huu yamezua sintofahamu mjini hapa huku uamuzi huo ukionekana
kuwachanganya viongozi wa Bunge hilo.
Kutwa nzima ya jana, viongozi wa Bunge Maalumu
walishinda kwenye vikao vya mashauriano huku wabunge wa CCM wakitarajiwa
kukutana jana usiku
↧
Dk. Slaa: Sina barua ya msajili inayonitaka niitishe mkutano wa Kamati Kuu ili kufanya marekebisho ya Katiba
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.
Willibrod Slaa, amesema hajawahi kupokea barua yoyote kutoka kwa Msajili
wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, inayowataka waitishe mkutano
wa Kamati Kuu ili kufanya marekebisho ya Katiba yao.
Wakati Dk. Slaa anatoa kauli hiyo, Julai, mwaka huu, Mkurugenzi wa
Habari na Mawasiliano wa chama hicho, John Mnyika,
↧
Wimbo mpya na wa kwanza wa Emmanuel Mbasha toka kuanza kwa kesi yake ya kubaka
Mpaka sasa wanandoa ambao ni Waimbaji wa nyimbo za Injili Flora Mbasha na Emmanuel Mbasha hawajarudiana na kuendelea kuishi pamoja toka ianze kesi ya kubaka inayomkabili Emmanuel ambae inadaiwa alimbaka mdogo wa Flora.
Pamoja na kwamba kesi yake inaendelea, Emmanuel ametoa wimbo wake mpya wa ambao ndio huu unaoweza kuusikiliza hapa chini.
↧
More Pages to Explore .....