Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Musoma Lasitishwa kufuatia Ajali Mbaya Iliyotokea Leo

$
0
0
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,pichani wa tatu shoto Ruge Mutahaba akiwa sambamba na baadhi ya wasanii waliokuwa wakitarajiwa kutumbuiza leo usiku mjini Musoma kwenye tamasha la Fiesta,lakini hata hivyo Uongozi wa Clouds Media Group,Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji pamoja na Wadhamini wa tamasha hilo kwa pamoja wamekubaliana kuaihirisha onyesho hilo

Dr. Mwakyembe Aamuru kufungiwa kwa Mabasi Yaliyosababisha Ajali Musoma

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe ameagiza makampuni ya Mabasi ya  J4 Express  na  Mwanza Coach yafungiwe mara moja.   Akizungumza na mwandishi wa mtandao Dk Mwakayembe amesema sehemu iliyotokea ajali na kusababisha vifo vya watu 39  na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa ni sehemu ambayo kila dereva alikuwa akimuona mwenzake, hivyo ulikuwa ni uzembe wa hali ya juu.   “Ile sehemu

Majambazi Yavamia Kituo cha Polisi na Kuua Askari Wawili.....SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa

$
0
0
Watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamevamia Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe kilichopo Ushirombo, mkoani Geita na kuua askari wawili na kuiba silaha za moto.    Taarifa za awali za tukio hilo zimethibitishwa na Kamishna wa Polisi, Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja.    Akizungumza na waandishi wa habari jana, alisema uvamizi huo unatajwa kufanywa majira ya saa 9 usiku

Ajali ya Mabasi Musoma Yamsikitisha Rais Kikwete

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake makubwa kufuatia vifo vya watu 39 vilivyotokea katika ajali ya barabarani wilayani Butiama, Mkoa wa Mara, ambako pia watu 79 wameumia, baadhi yao vibaya.   Mara baada ya kupata taarifa hiyo iliyotokea juzi asubuhi, Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Arusha, amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa

Tume ya Oparesheni Tokomeza Ujangili Yaanza Kazi kubaini Mateso waliyotendewa Wananchi Wakati wa oparesheni hiyo

$
0
0
Tume iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kuchunguza vitendo vilivyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili nchini, imeanza rasmi kazi kwa kupokea taarifa na malalamiko mbalimbali kuhusu operesheni hiyo.   Aidha, katika kufanikisha majukumu yake, Tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Jaji na Balozi mstaafu Hamisi Msumi, itatembelea maeneo mbalimbali nchini ili kukutana na

CHADEMA Waanza Mkutano mkuu

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana kilianza mkutano mkuu wa chama hicho ambapo Baraza la   Wazee wa chama hicho lilichagua viongozi wake.    Akifungua mkutano huo, Mwenyekiti wa Baraza hilo anayemaliza muda wake, Nyangaki Shilungushela aliwataka wazee kushikamana na kusaidia ujenzi wa taifa kwani wazee ni hazina ya busara.    Alisema kupitia mkutano huo ambao pia

Bosi Aliyembaka Mfanyakazi wa Ndani ( Hausigeli) Afungwa Jela Miaka 30

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani imemhukumu kwenda jela miaka 30 mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Mbwawa Steven Solomon (29) kwa kosa la kumbaka mfanyakazi wake wa nyumbani mwenye umri wa miaka 16.   Akitoa hukumu hiyo Hakimu wa mahakama hiyo, Harieth Mwailolo alisema iliridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na upande wa chini ya mwendesha mashitaka Salim Msemo

Tamasha la Serengeti Fiesta kufanyika Leo Musoma

$
0
0
TAMASHA la Serengeti fiesta lililokuwa lifanyike Ijumaa katika Uwanja wa Karume mjini Musoma na kuahirishwa kutokana na ajali mbaya ya gari iliyotokea mjini humo sasa linatarajiwa kufanyika Jumapili ya leo jioni katika uwanja huo huo imeelezwa. Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengetj ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo, Ephraim Mafuru alisema  kampuni yao pamoja

Msichana Anayedai Kubakwa na Emmanuel Mbasha Atoa Ushuhuda Mahakamani

$
0
0
Shahidi wa kwanza katika kesi ya ubakaji inayomkabili mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) ameieleza mahakama jinsi alivyobakwa akiwa kwenye gari na nyumbani kwao.    Shahidi huyo mwenye umri wa miaka 17 (jina limehifadhiwa) ambaye pia ni shemeji wa Mbasha, alidai mbele ya Hakimu Wilberforce Luhwago kuwa Mei 23 mwaka huu, Mbasha alimbaka kwa mara ya

Benki Kuu ya Tanzania Imetoa Toleo Jipya la Sarafu ya Sh. 500

$
0
0
BENKI Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500 itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya shilingi 500 inayoonekana kuchakaa haraka. Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Huduma za kibenki wa benki hiyo Bw. Emmanuel Boaz wakati wa mkutano na waandishi wa habari.   “Noti ya shilingi 500 hupita kwenye mikono ya watu wengi

Mke Wa Mtu Atia AIBU baada ya kusaula nguo zote mbele ya Watoto wakati akicheza ngoma za Vigodoro

$
0
0
Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Morogoro, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta akisaula nguo hadharani. Tukio hilo

Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.   Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.   Barua ya Mbarouk yenye

Urais CCM Wazidi Kupamba moto....Dkt. Kigwangalla naye Atangaza Nia 2015, Asema anauwezo mkubwa na amekulia familia Masikini

$
0
0
WIMBI la wanachama wa CCM kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu 2015 baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake wa miaka 10 kikatiba, limezidi kushika kasi ambapo Mbunge wa Nzega, mkoani Tabora, Dkt. Hamisi Kigwangalla, naye ametangaza dhamira hiyo.   Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Dkt. Kigwangalla aliambatana na wazazi wake, mkewe

Picha: Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Lasambaza Upendo wa Kutosha kwa Wakazi wa Musoma

$
0
0
  Wasaniii walioshiriki tamasha la Fiesta 2014 wakiwa na mishumaa jukwaani wakisambaza upendo na kuwafariji wale wote waliopotelewa na ndugu zao,waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea  hivi karibuni wilayani Butiama mkoani Mara,ambapo watu zaidi ya 40 walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.  Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa musoma wakiwa ndani ya uwanja wa Karume,wakati

Pinda Afunguka Rasmi Urais 2015.....Ahofu WAPAMBE Wanaotegemea Fdhila

$
0
0
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.   Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa Mtanzania, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.

Msanii Wa Bongo Movie Aumbuka baada ya picha zake za Utupu kuvuja mitandaoni.....Amtupia Lawama Nay wa Mitego

$
0
0
Msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ aliyewahi kuripotiwa kujiachia kimahaba na mwanamuziki Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ametia aibu kubwa baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni. Kutokana na picha hizo ambazo zimeonekana kuzagaa katika mitandao mbalimbali na kuacha viulizo kwa wasanii wengi wanaomfahamu, mwandishi wetu alimtafuta Bozi ambaye alionekana

Jeshi la polisi mkoani Geita Lakamata Bunduki 7 Zilizoporwa kituo cha polisi Bukombe.....Jambazi mmoja akamatwa, msako mkali bado unaendelea

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Geita, limefanikiwa kulitia mbaroni jambazi moja na kufanikisha kuzinasa bunduki sita ambazo ziliporwa na kundi la majambazi usiku wa kumkia juzi katika kituo cha polisi wilayani Bukombe. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, alisema jambazi hilo lilinaswa porini likiwa na silaha hizo ambazo ziliporwa baada ya kuvamia kituo hicho na kuua

Ukatili wa Kutisha: Familia Yateketezwa kwa Moto.....Watoto watatu wafa, mmoja hoi hospitali.... Baba na mama nao walazwa

$
0
0
WATOTO watatu wa familia moja, wakazi wa Nyankumbu, Wilaya ya Geita, mkoani Geita, wamefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya nyumba yao kuteketezwa kwa moto uliowashwa kwa mafuta ya petroli na mtu asiyefahamika.   Dada mkubwa wa marehemu hao ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili Sekondari Mwatulole na wazazi wao, walijeruhiwa vibaya katika tukio hilo ambalo chanzo chake ni ugomvi

Breaking News: Ajali nyingine mbaya ya basi yaua watu zaidi ya 10 maeneo ya Gairo

$
0
0
Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya Kiegeya Gairo. Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.   “Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi..viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,” amesema

Rais Kikwete Akutana na Wajumbe wa kituo cha Demokrasi Tanzania ( TCD ) mjini Dodoma leo

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma leo Septemba 08,2014.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images