Sakata la waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa
vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe
limeibuka kwa sura mpya, safari hii likimkwamisha Ofisa wa Sera na
Utafiti wa chama hicho makao makuu, Mwita Waitara kuwania uongozi.
Waitara amekumbana na kigingi hicho hivi karibuni
katika uchaguzi wa chama hicho Mkoa wa Mara baada ya kuwekewa
Waraka wa Zitto wamponza Waitara
↧
↧
Mnyika kumshtaki Waziri Mkuu Mizengo Pinda Mahakamani
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam Mh. John Mnyika
anakusudia kumshtaki mahakamani Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kwa kosa
la ofisi yake kushindwa kutangaza tarehe pamoja na maadalizi ya uchaguzi
wa serikali za mitaa.
Akizungumza
Jijini Dar es Salaam huku akiwa ameambatana na mwanasheria wake, Mh.
Mnyika amesema moja ya hoja zilizomo katika shauri watakalofungua kuwa
ni
↧
Shilole: Mpenzi Wangu Hunitibu Vizuri Sana Kitandani
Staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungua
kinywa chake na kusema mpenzi wake wa sasa, Nuh Mziwanda ndiye
anayemtibu vizuri kunako ‘sita kwa sita’ japokuwa watu wengi wamekuwa
wakiudharau mwili wake.
Akizungumza na mwandishi wetu bila kung’ata maneno, Shilole alisema
wengi wanashindwa kujua kwamba mtu anaweza kuwa na mwanaume mwenye umbo
kubwa lakini akawa hayajui mapenzi
↧
Rais Kikwete akutana na bibi yake Rais Obama wa Marekani jijini Nairobi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani, Mh. Barack Obama, Mama Sarah Obama
walipokutana jana kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi,
Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.
Mama Sarah Obama
anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini
Kenya, alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika
↧
Kijana Achomwa Moto Akidaiwa Kuiba Baiskeli Morogoro
Kijana anayesadikiwa kuwa kibaka na ambaye
hajafahamika jina lake, jana asubuhi amechomwa moto hadi kufa akidaiwa
kuiba baiskeli maeneo ya Nane Nane mjini Morogoro, jirani na shule ya
Sekondari ya Alfa James ambayo ni maarufu kama Shule ya Father Pekupeku.
”Jana majira ya saa moja asubuhi tumeona vijana wanne wakimfukuza mwenzao,
walipofika hapa kwenye mabweni ya shule ya Alfa,
↧
↧
Jeshi la Polisi Latoa Onyo kali kwa Wanaotumia Vibaya Mitandao
Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kwa
watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi,
uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali,
dini na watu mashuhuri.
Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014
Msemaji wa Polisi, Advera Senso alisema kuwa tayari baadhi ya watu
wameshakamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo na wengine
↧
Wakazi wa Jiji la Mwanza Wahofia Kulishwa Nyama za Mbwa
Wakazi wa Butimba, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza
wanahofia kulishwa nyama ya mbwa kufuatia ngozi za mnyama huyo kuokotwa
mara kwa mara zikiwa zimechunwa na kuondolewa kwato.
Hivi karibuni, ngozi nyingine ya mbwa iligundulika saa 5:00 asubuhi
eneo la kona ya kuelekea Gereza Kuu la Butimba ambapo wananchi wa eneo
hilo walikusanyika kuishuhudia.
Hata hivyo, haikuweza
↧
Lulu Michael Ampa Somo Mtoto wa Milioni 50 za TMT
Muigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika tasnia ya
filamu Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ amempa somo mshindi wa
Shindano la Tanzania Move Talent ‘TMT,’ Mwanafaa Mwinzago kuwa
asibweteke na ushindi aliopata bali azingatie masomo.
Akizungumza na Mwandishi, Lulu alisema ni kweli binti huyo ana
kipaji na ilikuwa haki kushinda milioni 50 ila ajue bado ni mtoto na
anatakiwa
↧
Bunge lakataa elimu ya kidato cha nne kwa wabunge
Pendekezo la Rasimu ya Katiba kuwa wabunge walau wawe na elimu
ya kidato cha nne limetupiliwa mbali na wajumbe wa Bunge Maalumu, baada
ya Kamati karibu zote kulikataa.
Kamati hizo zimependekeza kigezo cha elimu kuanzia
walau kidato cha nne kama sharti muhimu la mtu anayetaka kugombea
Ubunge kiondolewe, badala yake mgombea ama ajue tu kusoma na kuandika,
au ajue kusoma na kuandika
↧
↧
Mshtakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na kuingizwa miti na Polisi
MMOJA wa watuhumiwa wa ugaidi katika kesi inayomkabili Kiongozi wa
Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) Zanzibar, Sheikh
Farid Hadi Ahmed (43), amevunja ukimya mahakamani baada ya kuonyesha
suruali ilivyolowa kwenye makalio akisema ni madhara ya kulawitiwa na
kuingizwa miti na polisi.
Mshtakiwa huyo, Salum Ally Salum, aliamua kufanya hivyo juzi ili
kuithibitishia
↧
Msichana Alazimishwa Kufunga Ndoa na Mbwa
Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli
Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya
hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inayomsonga.
Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika
sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na
bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa.
↧
Boko Haram wazuia watu kuzika maiti
Taarifa za kutisha zimeibuka kutoka mjini Bama moja
ya miji ambayo ilitekwa na wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram
Kaskazini Mashariki ya Nigeria
Seneta mmoja wa eneo hilo,Ahmed Zanna, aliambia BBC kwamba wakazi hawaruhusiwi kuwazika jamaa wao waliouawa na wapiganaji hao.
Inaarifiwa miili imetapakaa katika barabara za mji huo ambao Boko Haram imeuteka.
Kundi hilo
↧
Rapper Azma aachia wimbo unaofundisha wanaume kuwafikisha wapenzi wao kileleni......Video iko hapo chini
Rapper Azma Mponda ameamua kujitolea kupitia ngoma yake kuwafunda
wanaume wenzake namna ya kuwafikisha wapenzi wao katika kilele cha raha
wakati wa tendo maarufu zaidi duniani, ngono.
Akiongea na Mpekuzi, Azma amesema ameamua kuachia wimbo wake huo
uitwao ‘Jinsi ya Kumkifikisha Mpenzi Wako Kileleni’, baada ya kuona
amekuwa akifanya nyimbo zenye ujumbe wa kijamii kwa muda mrefu lakini
↧
↧
Amng'ata midomo mpenzi wake wakati wanakiss kwa kuhisi ana mchepuko wa Facebook
Huffington Post limeripoti habari kutoka Uingereza ya
kusikitisha ya kijana Rhys Culley kumng’ata vibaya midomo mpenzi wake
Chanttelle Ward mwenye umri wa miaka 18 wakati anamkiss baada ya kuwa na
ugomvi unaohusisha na wivu wa mapenzi.
Kijana huyo wa miaka 23 alikuwa na wasiwasi baada ya kuhisi kuwa
mpenzi wake alikuwa anachat na mwanaume kwenye mtandao wa kijamii wa
Facebook
↧
Big Brother Africa kuwasafirisha washiriki na maproducer popote pale nyumba mpya itakapopatikana ‘duniani’
M-Net na Endemol South Africa wamesema wanatafuta nyumba nyingine
yenye kamera popote pale duniani, baada ya ile iliyokuwa imeandaliwa
kwaajili ya kipindi cha Big Brother Afrika 2014 kuripotiwa kuungua
mapema wiki hii.
Msimu wa tisa wa Big Brother Afrika: Hotshots ambao umepangwa kuanza
Jumapili hii (kama swala la moto sio stunt), ulitangazwa kuahirishwa
kuzinduliwa kwa tarehe hiyo
↧
Al- Qaeda Yatoa Tangazo Jipya
kiongozi wa kundi la kigaidi la Al- Qaeda, Ayman Al-Zawahiri ametoa tangazo kuwa kundi hilo limefungua tawi jipya nchini India.
Kwa kujibu wa BBC, katika tangazo hilo lilitolewa kupitia kipande cha
video linaeleza kuwa nia ya kuanzisha tawi hilo ni kutaka kuhakikisha
wanapandisha bendera za Jihad kusini mwa bara la Asia kama walivyoweza
katika maeneo kadhaa nchini Iraq na Syria
↧
Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika,
amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika
benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.
Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili
wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba,
wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.
Kitali alidai siku ya
↧
↧
Mahakama ya Kadhi yazikwa Rasmi
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati
za Bunge la Bunge Maalumu la Katiba na kuundiwa kamati ndogo
iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hasan,
limezikwa rasmi.
Hali hiyo imejidhihirisha jana kutokana na kutozungumziwa katika
uwasilishaji wa maoni ya walio wengi, wakati kamati hizo zikiwasilisha
maoni yake juu ya sura ya tisa na
↧
Ajali ya Mabasi Yaua Watu 36 na kujeruhi 76 mjini Musoma
Basi
la Kampuni ya J4 EXPRESS lenye nambari za usajili T 677 CYC lililokuwa
likitoka Musoma kuelekea Kilari Mkoani Mara likiwa limeumia vibaya sana
baada ya kugongana uso kwa uso na Basi lingine la Kampuni ya MWANZA
COACH lenye nambari za usajili T 736 AWJ katika eneo la SabaSaba,Mjini
Musoma leo mchan.
Watu 36 wamepoteza maisha papo hapo na wengine
kujeruhiwa vibaya sana.Kwa mujibu
↧
Mganga Mkuu wa Mara Azungumzia Ajali Mbaya iliyotokea leo Musoma
Mganga Mkuu wa Mara Azungumzia Ajali Mbaya iliyotokea leo Musoma
↧
More Pages to Explore .....