WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda
usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza
kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).
Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza
kufanya ukaguzi endelevu na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa wale
watakaokaidi kutumia mashine hizo.
Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo
↧
↧
Ndege Yaanguka Serengeti...Watatu wahofiwa kupoteza maisha
UCHUNGUZI wa awali kuhusu kupotea kwa ndege ya mizigo ya Shirika la Safari Express ya nchini Kenya, umeonesha kuwa ndege hiyo yenye usajili namba 5Y SXP, aina ya Fokker 27, imepata ajali.
Taarifa ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), iliyotumwa jana jioni katika vyombo vya habari, imeonesha kuwa ndege hiyo iliyopoteza mawasiliano juzi usiku, imeonekana ikiwa imeanguka katika
↧
Baba AMNYONGA Mtoto wake na kumzika mwenyewe kwenye kibanda chake.....Kisa cha kumnyonga eti ni kwa sababu Mtoto alitanguliza MAKALIO wakati wa kuzaliwa
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi miwili , Regina Geofrey ameuawa kikatili kwa kunyongwa na baba yake mzazi Geofrey Kilngwa ‘Simbaiwe” (27) kwa kuwa alizaliwa akiwa ameatanguliza makalio yake .
Baba wa binti huyo ambaye pia ni mganga wa kienyeji anayeishi kitongoji cha Mwikang’ombe, kijijicha cha Katuma ,wilayani Mpanda alitenda unyama huo kwa madai kuwa mtoto
↧
Tamko Zito la Jukwaaa la Wakristo Tanzania juu ya Mchakato wa Katiba
Sisi, wajumbe wa Jukwaa la Wakristo Tanzania, tuliokutana tarehe 27 hadi 28 Agosti, 2014, Dar es Salaam , tumepata fursa ya kutafakari, kujadili na kujielimisha kwa kina yaliyomo katika Rasimu ya pili ya Katiba na mjadala unaoendelea katika Bunge Maalumu la Katiba. Baada ya mjadala wa kina, tunatoa tamko letu kama ifuatavyo:
Tunaipongeza Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo ilikusanya
↧
Kibaka Achomwa Moto Mjini Kahama na Wananchi Wenye hasira kali.....Polisi Watumia Risasi za Moto kumnusuru kibaka mwingine
Jeshi la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga Jana lililazimika kutumia risasi za moto baada ya wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuua watuhumiwa kisha kuwachoma moto.
Inasemekana watuhumiwa hao walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na kujeruhi kwa mapanga watoto wawili usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa habari kutoka wilayani Kahama, juzi usiku
↧
↧
Picha za Uchi za Watu maarufu Zaanikwa mitandaoni .....FBI Waingia Mzigoni kunusuru jahazi
Idara ya upelelezi ya nchini marekani FBI imetoa tamko kuwa inachunguza kwa ukaribu madai ya maelfu ya accounts za watu maarufu
kutekwa,na kinachotafutwa hasa ni picha za utupu za watu hao maarufu
ambazo zimekua zikianikwa mitandaoni bila ya muwekaji kujulikana.
Katika tamko la FBI liliripotiwa na NBC News, wameeleza kuwa walikuwa
wanafahamu kuhusu vitendo vya wezi wa njia za mtandao
↧
Kampuni ya Ujerumani yaelezea kiini cha Vurugu kwenye show ya Diamond, yaahidi show ya bure kuwapoza mashabiki
Kampuni ya Britts Event iliyohusika kuandaa show ya Diamond
Stuttgart, Ujerumani imeeleza kwa kina kiini cha vurugu kubwa
zilizotokea kwenye show hiyo na kusababisha uharibifu mkubwa huku baadhi
ya watu wakijeruhiwa vibaya.
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Awin Williams Akpomiemie
ameeleza kwa kina kuhusu mzozo uliokuwepo ndani ya kampuni hiyo
ulioathiri show hiyo kwa ujumla.
↧
Lady Jay Dee ateuliwa kuwa balozi wa kampeni ya uzazi wa Mpango
Hospitali ya Marie Stopes imemchagua Lady Jay Dee kuwa balozi wa
kampeni ya kuhamasisha uzazi wa mpango na kupinga mimba za utotoni
inayoitwa ‘Chagua Maisha’.
Akiongea na TBC, Lady Jay Dee amesema kuwa anaweza kufikisha ujumbe
kwa jamii kwa kuimba nyimbo ambazo zitasaidia kuwahamasisha wananchi
kuchagua jinsi ya kuishi kwa kutumia uzazi wa mpango.
↧
Ofisa Usalama wa Taifa feki Atiwa Mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kumkamata Ofisa Usalama wa Taifa feki ambaye amekuwa akijipatia fedha kutoka kwa wafanyabiashara kwa kuwahusisha na makosa yanayohatarisha usalama wa nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam; Kamishna Suleiman Kova, alimtaja ofisa huyo feki kuwa ni Saimoni Meena
↧
↧
Ufisadi Nusura Umtoe CHOZI Waziri Chiza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, nusura atokwe na machozi baada ya kukuta bwawa la umwagiliaji lililojengwa kwa zaidi ya sh. bilioni 3 limebomoka.
Hali hiyo ilimfanya awaweke kitimoto wahandisi wa Ofisi ya Umwagiliaji Kanda ya Mbeya.
Alisema ujenzi wa bwawa hilo ambalo lilikuwa linatarajiwa kutumiwa na wananchi zaidi 6,000 umejaa harufu ya ufisadi, hivyo
↧
Samuel Sitta Ageuka Mbogo kwa Wanaombeza kwamba Hafai kuwa Rais wa Tz kwa kuwa Bunge la katiba Limemshinda....Ahamishia hasira kwa Kubenea
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amewashukia wanasiasa wanaomkejeli kwa kudai kuwa hafai kuwa rais na amesisitiza kwamba wenye maamuzi juu ya suala hilo ni wananchi na si vinginevyo.
Sitta alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini Dodoma wakati akitoa taarifa juu ya utaratibu wa kupokea mawasilisho ya kazi zilizofanywa na Kamati za Bunge Maalum la Katiba.
Alisema wapo
↧
Jumba la Big Brother Africa lateketea kwa moto, uzinduzi wa msimu mpya uliotarajiwa kufanyika Tarehe 7 Umeahirishwa
Moto mkubwa umezuka kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots
katika studio za Sasani jijini Johannesburg, Afrika Kusini na hivyo
kuahirishwa kwa kuanza msimu mpya uliokuwa uzinduliwe Jumapili hii,
September 7.
Hakuna aliyeumia kutokana na moto huo uliotokea kwenye studio hizo
zilizopo Highlands North jijini Johannesburg jana Jumannne . Chanzo cha
moto huo bado hakijajulikana.
↧
UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia
uwezekano wa vijana kupunguza ngono, umebainisha elimu ya afya ya uzazi
bado inahitajika ili kuwakinga na tabia hatarishi.
Akitoa matokeo ya awali ya utafiti huo, mmoja wa watafiti wa Chuo
Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili, kitengo cha magonjwa
na afya ya akili, Lusajo Kajula, alisema kuwa asilimia
↧
↧
Rais Kikwete Ajadili Ugaidi Kenya
RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni mwanachama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, mkutano huo wa siku moja uliofanyika jana, umejadili ugaidi na athari zake kwa nchi za Afrika.
Mkutano
↧
Babu Tale aeleza ujumbe waliotumiwa na Promota wa Ujerumani kuhusu Diamond na walichoamua baada ya Vurugu
Kufuatia tukio la vurugu kubwa zilizotokea wakati wa show ya Diamond
Platinum huko Stuttgart, Ujerumani, promota wa kampuni ya Britts event
ameutumia ujumbe uongozi wa Diamond.
Akiongea na The Jump Off ya 100.5 Times Fm, Babu Tale ameeleza kuwa
promota huyo amewatumia barua pepe kuwaomba radhi na wao wamemuelewa na
kumsamehe.
“Promota ametupigia simu kuapologize ametuma na email,
↧
Lukuvi azomewa mbele ya Rais Kikwete
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
William Lukuvi amejikuta katika wakati mgumu mbele ya Rais Jakaya
Kikwete baada ya kuzomewa hadi kukatisha hotuba yake akipingwa na
wananchi pamoja na madiwani wa CCM wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma
alipokuwa akitetea kuwapo kwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA).
Lukuvi alikumbana na mkasa huo wakati akijibu
↧
Lady Jaydee Adai Maadu zake Wamebadilisha Wimbo.....Walianza kusema Jay Dee ni Mgumba, Wakasema Jide ni Tasa.....Sasa Wamekuja na jipya tena
Malkia wa muziki wa R&B, Lady Jay Dee amedai kuwa maadui
zake wamebuni njia mpya ya kumwangusha, baada ya zile za awali
kutofanikiwa.
Katika waraka mrefu aliouandika katika mtandao wa
facebook, Lady Jay Dee alisema watu wasiopenda mafanikio yake wamekuwa
wakitumia mbinu mbalimbali kumwangusha, lakini hata hivyo wameshindwa.
Jay Dee analalamikia habari iliyoandikwa juu yake
kuwa
↧
↧
VIDEO Inatisha: Kundi la ISIS lamkata kichwa Mwandishi Mwingine wa Marekani, latishia kumkata mwingine raia wa Uingereza kulipa kisasi ( Video Inatisha)
Kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Iraq na Syria (ISIS)
limetekeleza mauji mengine ya kutisha kwa kumkata kichwa mwandishi mwingine wa habari wa
Marekani.
Mwandishi huyo aliyetajwa kwa
jina la Steven Sotloff mwenye umri wa miaka 31 alitekwa na wapiganaji hao mwezi August mwaka jana.Mwezi uliopita Sotloff alionekana mwishoni katika picha za video
zilizoonyeshwa kuhusiana na
↧
Nyani awagawia watu pesa India...Kazitoa Wapi??
Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa taslimu kutoka mtini.
Taarifa zinasema kuwa watu waliokuwa
wanajivinjari katika mji wa Shimla jimboni humo, walianza kukimbia huku
na kule wakiokota pesa zilizokuwa zinarushwa na Nyani huyo kutoka juu ya
mti kwa karibu saa moja.
Walioshuhudia tukio hilo walisema
kuwa Nyani huyo kwa jina Simian
↧
Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
Jumatano ya wiki iliyopita ndio liliibwa hili gari aina ya BMW lisilopenya risasi ambalo huwa linakuwepo kwenye msafara wa Rais Kenyatta, na taarifa ya Ikulu ilisema liliibwa wakati dereva wake ambae ni askari alikua akielekea kwenye makazi ya Polisi Nairobi, njiani akasimamishwa na watu waliokuwa na AK 47 wakamtupa mtaroni baada ya kumvua nguo na kukimbia nalo.
Taarifa mpya ambayo
↧