RAIS Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na viongozi wa Umoja
wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya baadhi ya
viongozi wa vyama vya upinzani kupinga hatua ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM), kumtuma Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kusaka suluhu na
viongozi wa Ukawa.
Akizungumza na
Rais Kikwete awaita Ukawa Ikulu....Ataka mambo yenye utata yawekwe kando
↧
↧
Ada ya Sekondari kufutwa....Rais Kikwete aahidi Elimu Bure
Serikali inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.
Rais Jakaya Kikwete, alisema hayo juzi katika mkutano wake na wanajumuiya ya Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro, na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho, katika ziara yake inayoendelea katika Mkoa wa Morogoro iliyoanza Agosti 20.
“Sasa hivi tunaangalia jinsi ya
↧
Saba Mbaroni kwa tuhuma za kupora na kuua Wanawake jijini Arusha
Watu saba wamekamatwa Jijini Arusha kwa tuhuma za kuhusika kwenye mauaji ya unyang’anyi wa kutumia silaha kwa wanawake.
Wanadaiwa pia kusababisha kifo cha mtoto, Christen Nickos mwenye umri wa miaka mitatu na nusu mkazi wa Olasiti hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema watu wawili kati ya saba ambao
↧
Malaria Yaua Mhamiaji Haramu wa Ethiopia
Mmoja wa raia wa Ethiopia waliokamatwa kwenye msitu wilayani Bagamoyo wakituhumiwa kuwa wahamiaji haramu na kulazwa hospitalini kutokana na matatizo ya afya, amefariki akipatiwa matibabu.
Dawita Alalo (25) ambaye alikuwa miongoni mwa wahamiaji haramu 11 waliolazwa kwenye kituo cha afya cha Chalinze, wilayani Bagamoyo, alifariki juzi kwa ugonjwa wa malaria.
Kaimu Kamanda wa Polisi
↧
Hakuna Mjumbe wa Bunge Maalumu anayedai Posho
Ofisi ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, ikisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
Ufafanuzi huo ulitolewa jana na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki wa Bunge, Jossey Mwakasyuka.
Alisema taarifa hizo ni za upotoshaji na zina lengo la kuwadhalilisha
↧
↧
Mkapa Ajitosa Vita Dhidi ya Viongozi Walafi
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.
Akizungumza jana wakati akifungua kikao cha kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa sheria hiyo, Mkapa alisema mtumishi au kiongozi anayedhani kuwa sheria hiyo ni kandamizi, huenda akawa na tatizo la kutumia vibaya
↧
Tiwa aeleza alivyonyanyaswa na Wazungu
Msanii wa muziki Tiwa Savage kutoka nchini Nigeria ameweka wazi kuwa,
amewahi kukumbana na changamoto kubwa ya kuonewa na wenzake kipindi
akiwa mtoto, kutokana na asili yake ya uafrika.
Tiwa amesema kuwa, alikabiliana na changamoto hii akiwa shuleni wakati walipokuwa wakiishi Jijini London, rangi na lafudhi yake ya kinaijeria vikiwa ni vitu ambavyo vilimfanya aonekane tofauti na
↧
Video: Mkurugenzi wa Vodacom amwagiwa maji kuanzisha kampeni kuchangia Fistula #FistulaIcebucketChallenge
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amekuwa wa kwanza kumwagiwa
maji ya barafu kwa lengo la kushiriki kampeni iliyoanzishwa na Vodacom
kuchangia akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula
#IcebucketChallenge au #IceBongo.
Kampeni hii imenzishwa na Vodacom kwa kutumia mfano wa kampeni
maarufu iliyoanzishwa nchini Marekani kwa ajili ya kuchangia utafiti wa
matibabu ya
↧
Diamond na Dabo watajwa kuwania tuzo za 'IRAWMA', Marekani
Wasanii wa Tanzania, Diamond Platinumz na Dabo (wa Dancehall)
wametajwa kuwania tuzo za IRAMWA (International Reggae and World Music
Awards), Marekani.
Wimbo wa MdogoMdogo wa Diamond umemuwezesha kutajwa kuwania tuzo hizo
katika kipengele cha The Best African Song/Entertainer akichuana na
Davido (Aye), Awilo Longomba (Bendeke), Willy Paul Msafi (Tam Tam), Eddy
Kenzo (Sittya Loss),
↧
↧
Tamko la mkuu wa mkoa wa Kigoma baada ya watu wawili kufa kwa Ebola Congo DRC
Taarifa zinaarifu kwamba kati ya
Wagonjwa nane waliokutwa na Ebola huko Congo DRC, wawili kati yao
wamefariki dunia.
Taarifa hizi zimeendelea kuwashtua na kuwafanya majirani kuzingatia
tahadhari ambapo mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya amesema:
"Pamoja na
tishio la ugonjwa huu kwamba uko DRC Congo (DRC ya mbali sana
kule kaskazini wanakopakana na Afrika ya kati na Sudan),
↧
Hivi ndivyo Ali Kiba Alivyopagawisha Serengeti Fiesta Tanga.....Mashabiki walimlazimisha kuurudia wimbo wake mara 10
Gwiji la
muziki wa kizazi kipya, Alikiba, alitoa burudani ya nguvu kwa Wanatanga kwa
wimbo wake mpya-Mwana Dar es salaam- usiku wa Serengeti Fiesta Tanga,
katika viwanja vya Mkwakwani jinjini Tanga, hali iliyomfanya alazimishwe na mashabiki hao kuurudia wimbo huo mara 10 zaidi.
Akiwa
jukwaani, Alikiba alilazimika kuuruduia wimbo huo kwa zaidi ya mara 10
kwani pindi
↧
Rais Kikwete Amteua Ali Siwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete, amemteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda.
Uteuzihuo umefanyika kufuatia kuwepo kwa nafasi wazi iliyoachwa na
Balozi Dkt Mwita Marwa Matiko ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Ndugu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na uweza
↧
Picha Zinatisha: Msicha wa kazi achomwa moto sehemu zake za siri kisa Kakojoa kitandani
Habari kutoka mkoani Arusha zinaarufu kuwa msichana mmoja wa kazi ( hausigeli) ameungua na kuharibika vibaya sehemu zake za siri baada ya kuchomwa moto na bosi wake....
Kwa mujibu wa mtu aliyetutumia picha za tukio hilo, Binti huyo anadaiwa kuchomwa moto baada ya kukojoa kitandani usiku akiwa amelala.
Tunaendelea kupekua undani wa tukio
↧
↧
CCM yasema Itachunguza kama ni kweli Waziri mkuu Mizengo Pinda alifanya kampeni za Urais Akiwa jijini Mwanza
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa
kitafanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua
dhidi ya Waziri mkuu Mizengo Pinda iwapo matamshi yake ya
kutangaza nia ya kuwania Urais kwenye uchaguzi mkuu hapo
mwakani yaliambatana na vitendo vya kufanya Kampeni.
Awali CCM
kiliwahi kuwaonya baadhi ya vigogo kadhaa ambao walionyesha kuanza
kufanya kampeni mapema ambapo
↧
Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima -Flora Mbasha
Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel
Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na
na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima...
Flora
amesema hayo leo alipokuwa akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa
EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya
Jumatano kuanzia saa Sita
↧
Zitto Kabwe Afunguka kuhusu Uhusiano wake wa Kimapenzi na Loveness Diva wa Clouds Fm
Kwa mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma
Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na
mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito
uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi.
Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na
Televesheni ya East Africa ambapo alikanusha kuwa hana uhusiano wowote
wa mapenzi licha ya
↧
Kijana Avua Nguo baada ya Kufika Kilele cha Mlima Kilimanjaro
KIJANA Ben Boleyn aliamua kuvua nguo baada ya kufika kwenye kilele
cha Mlima Kilimanjaro nchini chenye joto la kati ya sentigrade 10 hadi
12.
Ben alifanya hivyo baada ya kuwekeana dau la shilingi 500 na mwenzake miongoni mwa aliopanda nao mlima huo.
Kijana huyo mwenye miaka 18 alipanda mlima huo katika kuchangisha
fedha kusaidia watoto wa kituo cha kulea watoto cha Acorns
↧
↧
Halima Mdee Amwaga Machozi hadharani baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania uenyekiti wa Bawacha
Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana
katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya jana
baadhi ya wanawake kujitokeza kumchukulia fomu Mbunge wa Kawe, Halima
Mdee.
Mbunge huyo anaungana na Mbunge wa Viti Maalumu,
Chiku Abwao na wanachama wengine, Lilian Wasira na Sophia Mwakagenda
ambao nao wamesharejesha fomu kuwania nafasi hiyo
↧
Rais Kikwete apongezwa kukutana na UKAWA
Wadau wengi wamepongeza hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukubali kukutana
na viongozi wa vyama vya siasa wakiwamo wanaounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa lengo la kunusuru mchakato wa Katiba mpya.
Abubakar Kapera, mkazi wa Kata ya Nyamanoro jijini Mwanza, alisema
uamuzi wa Kikwete ni mzuri wa kukubali kukutana na kuzungumza na Ukawa,
lakini hatua hiyo imechelewa.
“Amechukua
↧
Rais Kikwete kuhutubia Taifa Jumapili
Rais Jakaya Kikwete anatarajia kufanya ziara mkoani Dodoma ambako
atazindua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwamo ya barabara, maji na
kulihutubia Taifa kwa kuongea na wazee.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dk.
Rehema Nchimbi, alisema Rais ataanza ziara mwishoni mwa wiki hii
kulihutubia Taifa mwishoni mwa mwezi huu Jumapili ijayo.
Kwa mujibu wa
↧
More Pages to Explore .....