Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watu 8 wagundulika kuwa na virusi vya Ebola nchini Congo.

$
0
0
Waziri wa Afya wa Democratic Republic of Congo amethibitisha habari ya kwanza kuwepo kwa watu 8 waliopimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola. Mr Felix Kabange Numbi alisema,”The results are positive. The Ebola virus is confirmed in DRC”.   DRC imekuwa ni nchi ya kwanza nje ya Africa Magharibi kuthibitisha uwepo wa wagonjwa wa Ebola. Ugonjwa huu umeshasababisha vifo vya watu

Pinda: Nitagombea Urais....Afichua sababu zilizomvuta kutangaza nia......Atataja sifa zake na makundi yanayomfagilia

$
0
0
Waziri wa Mkuu Mizengo Pinda, amevunja ukimya na kuamua kutangaza nia yake ya kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015. Pinda alitangaza nia hiyo juzi usiku Ikulu ndogo ya Mwanza jijini Mwanza, mara baada ya kuwaalika wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) toka mikoa sita ya Kanda ya Ziwa. Habari kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika zilieleza kuwa Waziri

Tamasha la Fiesta 2014 Lawa Gumzo Mkoani Tanga

$
0
0
Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa. Barnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wiki. Wadau nao walikuwepo kupata selfie ya Globu ya jamii ndani ya Fiesta. Linah akilinogesha jukwaa la Fiesta na wimbo wake wa Ole Temba. Kwa jijna la Kisanii

Kesi Ya Kanumba Na Lulu Yasikilizwa Kimya kimya, Lulu Hajui Kinachoendelea

$
0
0
Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba  imechukua sura mpya baada ya kuanza kusikilizwa kimyakimya. WATU WANATAKA KUJUA KINACHOENDELEA Uchunguzi umebaini kwamba watu wengi wana kiu ya kujua kinachoendelea katika kesi hiyo ambapo ilidaiwa kwamba imehamishwa eneo la wazi (open) na

Uchaguzi Chadema vurugu tupu....Kundi la Wanaodaiwa Wasaliti Laibuka, Viongozi wahaha kuwadhibiti wanaokimbilia Kortini

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.   Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata

Makada CCM wamgwaya Pinda

$
0
0
SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia ya kujitosa kuwani urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, baadhi ya wanachama wa CCM na wasomi wamekuwa na maoni tofauti.   Hali hiyo imekuwa tofauti ambapo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alishindwa kueleza kwa undani kauli hiyo ya Pinda huku akisema hawezi kuzungumza jambo lolote kwa sasa hadi pale atakapomaliza

Bagamoyo : Mke wa Mchungaji ajifungua hirizi baada ya ujauzito wa miezi 9

$
0
0
Na Edson Mkisi Jr Wazee wetu walishawahi kuneno kwamba; Ukishangaa ya Mussa utayaona ya filauni! Ndivyo unavyoweza kuanza kusema kuhusiana na tukio la kushangaza lililotokea Kijiji cha Udindila Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.   Mchungaji wa Kanisa la EAGT aliyetambulika kwa jina la Boniface Onesmo alijikuta akibubujikwa na machozi mara baada ya kushuhudia mkewe Bi. Benta Boniface

Boko Haram yatangaza himaya yao Nigeria

$
0
0
Kundi la wanamgambo wa Boko Haram limesema kuwa limebuni taifa la kiislamu katika miji na vitongoji inavyotawala kaskazini mashariki mwa Nigeria.   Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau alizungumza kwenye kanda ya video iliyotolewa ili kupongeza wapiganaji wake kwa kuchukua udhibiti wa mji wa Gwoza mapema mwezi huu. Haijabainishwa iwapo Bwana Shekau ameahidi kutii Muungano wa

Wanajeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon

$
0
0
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea  nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la kiislamu la Boko Haram.   Msemaji wa jeshi la Cameroon Luteini Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala.  

Benjamin Mkapa ampigia Pinda debe kiaina.....Asema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi

$
0
0
Rais mstaafu, Benjamini Mkapa amempigia debe Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiana akisema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi, hivyo wananchi wamuunge mkono kwenye nafasi yake ya sasa.    Pia, Mkapa amesema uadilifu wa Pinda ndiyo chanzo cha watu kumwamini na kumkubali kutokana na kazi nzuri anayoifanya serikalini, hivyo ni kiongozi mfano wa kuigwa.   Mkapa alitoa kauli hiyo juzi

Mwanafunzi Amuua Mwanaye kwa kumnyonga na kisha kumficha uvunguni

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya,  Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda. Tukio hilo la kikatili ambalo limewashangaza wengi, hasa ikizingatiwa kuwa mtuhumiwa

Mfanyabiashara wa Madini Ajiua kwa kujipiga Risasi akikwepa kufia mikononi mwa wananchi wenye hasira kali

$
0
0
MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya dhahabu amejiua kwa kujipiga risasi kichwani. Amefanya hivyo wakati akiwakimbia wananchi wenye hasira na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya Kalole Kata ya Bugarama wilaya ya Kahama, baada ya kumjeruhi mguuni kwa kumpiga risasi mchimbaji mdogo wa machimbo hayo.   Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Shinyanga Justus Kamugisha alisema ofisini kwake mjini hapa jana

Tanesco yakataa umeme wa bei ghali

$
0
0
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.   Akizungumza juzi mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, Meneja Uzalishaji wa Tanesco Makao Makuu, Costa Rubagumya, alisema bei ya umeme wa NDC kwa

Bunge lajigeuza Tume ya Warioba.....Lapokea maoni ya makundi mbalimbali, Katibu atetea.....Warioba Aponda

$
0
0
Kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kukusanya maoni ya makundi na wananchi mbalimbali, kimepokewa kwa hisia tofauti, baadhi ya wasomi wakisema ni kinyume cha sheria na kuonyesha kutapatapa huku Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisema linafanya kazi ambayo tayari tume yake ilishaifanya.    Hata hivyo, Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad

Video: Tazama Shilole na Nuh Mziwanda walipokula ‘denda’ jukwaani kwenye show ya ‘Turn Down For What’

$
0
0
Shilole aka Shishi baby pamoja na baby wake Nuh Mziwanda usiku wa juzi katika ukumbi wa Maisha Club kwenye show ya ‘Turn Down For What,’ walifanya kile walichokifanya Jay Z na Beyonce juzi hiyo hiyo kwenye tuzo za MTV VMA, yaani kuoneshana upendo hadharani kwa njia ya kula denda (kiss) jukwaani. Shilole na Nuh Mziwanda ni

Mkapa aibua mjadala mzito baada ya kujiweka kando kuzungumzia suala la mchakato wa Katiba Mpya

$
0
0
Hatua ya Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, kujiweka kando kuzungumzia suala la mchakato wa Katiba Mpya na mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba, imeibua maoni tofauti ya wananchi huku baadhi wakisema anakosea na wengine wakimtetea  kwa maelezo kuwa uamuzi huo ni matokeo ya busara ya hali ya juu aliyo nayo. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut), Profesa Mwesiga Baregu,

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Uhusiano kati ya Pete za Bahati na Mafanikio katika Maisha ya Mwanadamu

$
0
0
Kabla  hatujafahamu   kuhusu  pete  za  bahati  ni  vyema  na haki tukajua  kuhusu  IMMO Ring.    IMMO  Ring  ni  pete  inayo  undwa  na madini  aina  tano  ambayo  ni  Shaba, Dhahabu, Fedha, Zinki na  Chuma  jambo  ambalo  ni  muhimu  sana  katika  kuvuta  na  kuweka  uwiano kati  ya  maisha  ya  mwanadamu  (  human  life  ) na  vitu  asiliavinavyo  mzunguka  (  nature ).  Hii  ni  kwa 

Kigogo Atiwa mbaroni baada ya KUMLAWITI Msichana wake wa kazi

$
0
0
Mtoto Rose (kushoto) aliyelawitiwa, na mwenzake Diana aliyetoroshwa na kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses. **** Wakati watetezi wa haki za binadamu wakizidi kupiga vita matukio ya unyanyasaji wa watoto na wanawake, kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses anadaiwa kumlawiti mtoto, Rose (16) na kumtorosha mwingine aitwaye Diana (12) ambaye ni denti wa darasa la nne. Kigogo huyo

Mapya yaibuka urais wa Pinda

$
0
0
SAKATA la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kuwania urais, limeibua mapya baada ya makatibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudai walipewa mafuta lita 60 na posho.   Wakizungumza jijini Mwanza jana kwa sharti la kutotajwa majina yao, baadhi ya makatibu hao walishangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Anthony Diallo, kudai kuwa hakukuwa na kikao hicho cha siri.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images