Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo
↧
↧
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa EBOLA na Chanzo kamili cha Virusi vya Ugonjwa huo na Namna ya Kuchukua Tahadhari
Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kwa lugha ya kitaalamu “Ebola Virus”, ugonjwa wa damu kutoganda.
Ugonjwa
huu ni miongoni mwa magonjwa yajulikanayo kwa ujumla kama Homa za
Virusi zinaazosababisha kutokwa na Damu mwilini,(Viral Haemorrhagic
Fevers) .
Chanzo kamili cha virusi vya ugonjwa huu hakijulikani. Katika orodha ya watu 10 waliopata kirusi cha Ebola
↧
H.Baba: Diamond muoe Wema muishi kwa ‘raha mustarehe’
Msanii wa muziki na filamu H.Baba ambaye yupo ndani ya ndoa na msanii
mwenzake Flora Mvungi ametoa maoni yake kwa kile kinachooendelea kati ya
pande mbili za kishabiki za Diamond na mpenzi wake Wema.
Kupitia ukurasa Instagram, H.Baba amesema:
Tanzaniteone uyo anawaambia sina chakusema kuhusu baba yangu na
mama yangu ila baba analolakuwaambia Wema na Naseeb. Wema kapewa lawama
nyingi
↧
Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni
Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi
kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo
amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba
tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa
kufuatia tetesi hizo.
“Kucha zimekosa rangi ya
↧
Moto Wateketeza Kituo cha Kupoozea Umeme cha Mjini Moshi Leo Asubuhi
Transforma
zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani
Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto leo asubuhi muda
mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.
Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.
Mwandishi ameshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka
↧
↧
Dereva wa Basi la UDA Apewa Kibano kizito na Trafiki Baada ya kuleta Ubabe wakati alipotakiwa kutii sheria bila shuruti.
Devera wa Basi la Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA) ambaye hakuweza
kufahamika jina lake mara moja, amejikuta akipewa kibanokizito na askari
wa usalama barabarani ‘trafiki’ baada ya kuleta ubabe wakati
alipotakiwa kutii sheria bila shuruti.
Tukio hilo la aina yake lililosababisha usumbufu kwa abiria wa basi
hilo, lilitokea juzi Bamaga-Mwenge jijini Dar kufuatia dereva huyo
↧
Irene Uwoya: Hakuna Vazi nisilopenda kulivaa Kama Chupi
Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya
amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli.
Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na magazine maarufu ya burudani
ya VIBE.
Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni nguo gani ni
vigumu kuikuta kwenye kabati lake, “Chupi – sipendi kabisa hilo vazi”
Alisema Irene uwoya.
↧
#BringBackOurWema: Mashabiki wa Diamond nao waanza kampeni dhidi ya Wema
Baada ya mashabiki wa Wema kuamua kuanzisha kampeni maalum dhidi ya
Diamond wakimtaka amrudishe wema wao kwenye game walilomzoea
#BringBackOurWema, mashabiki wa Diamond nao wameibuka na yao.
Katika Instagram imefunguliwa akaunti maalum ya watu wanaojiita
TeamDiamondTz nao wameanzisha kampeni ya kumtetea Diamond huku wakimtaka
Wema kuachana na starehe zisizo na faida kama
↧
Gari lililobeba MAITI kumi laua watu Wawili Mikese
Gari la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), lililokuwa
likisafirisha maiti 10 za watu kwenda katika Hospitali ya Mtakatifu
Francis Ifakara, wilayani Kilombero, limewagonga watu wawili waliofariki
dunia papohapo, eneo la Mtego wa Simba, Mikese mkoani Morogoro.
Waliokufa katika ajali hiyo iliyotokea saa 5:25 asubuhi jana ni dereva na abiria wa bodaboda.
Maiti hizo zilizokuwa
↧
↧
JIWE Laporomoka jijini Mwanza na kuua Watu Wanne.....Laponda nyumba 2 Usiku wa Manane... Lafunika mume, mke, mtoto aponea chupuchupu
Vilio na simanzi jana vilitawala kwa wakazi wa maeneo ya
Sinai-Mabatini, baada ya vifo vya watu wanne wa familia mbili tofauti,
vilivyotokana na mvua iliyosababisha miamba mikubwa ya mawe kuporomoka
na kuponda nyumba zao usiku wa manane.
Tukio hilo la kusikitisha limeripotiwa kutokea saa nane usiku kuamkia jana, wakati mvua iliyoambatana na upepo wa wastani ilipokuwa ikiendelea
↧
"Wema Sepetu Badilika, Diamond Yamemfika Shingoni mpaka Anafunguka"......Hii ni kauli ya Mange Kimambi
Mange kimambi ambaye ndiye aliyemuibua Wema Sepetu kwa kumshawishi kushiriki Miss Dar Indian Occean 2006 na hatimaye Wema Sepetu kushinda Miss Tanzania 2006 amefunguka kwa kusema kuwa hawezi kumtetea Wema baada ya Diamond kufunguka kuwa Wema anapenda starehe na ana mashoga wapenda anasa badala ya kujikita kufaya kazi kujiletea amendeleo.
Mange amesema kuwa anakubaliana na alichokisema
↧
10 Bora shindano la Tanzania Movie Talents Wapatikana
Majaji
wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi
iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents
(TMT) wakati ilipokuwa ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi
wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati
ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo
Roy Sarungi.
Mahosti
wa
↧
Jeshi la Polisi Latangaza kuanza Uchunguzi Wa Kina dhidi ya Freeman Mbowe , Dk. Slaa , Lissu, Mnyika na Godbless Lema Wanaotuhumiwa kwa Mauaji na Vitendo vya kigaidi
JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya
viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
waliotajwa na kada wa zamani wa chama hicho, Habibu Mchange, kujihusisha
kupanga na kutekeleza njama zenye mwelekeo wa ugaidi.
Limesema tuhuma zilizotolewa na Mchange zimelishtua, hivyo zinapaswa
kuchukuliwa kwa uzito wa hali ya juu, unaohusisha
↧
↧
Sumaye ashauri kusitishwa kwa Bunge la Katiba
Waziri mkuu wa zamani nchini Tanzania Fredrick Sumaye amependekeza
kusitishwa kwa mjadala wa katiba mpya unaoendelea mjini Dodoma kwa kuwa
inaonekana dhahiri kuwa si muda muafaka wa kupata katiba mpya kwa sasa.
Amesema kusitishwa kwa mjadala huo kutatoa fursa kwa watanzania
kujipa muda zaidi wa kutafakari ili kufanikisha upatikanaji wa katiba
muafaka kwa wakati unaofaa.
Kauli
↧
Abiria Wateseka kwa Zaidi ya Saa Sita Kibamba Dar
Abiria waliokuwa wanaelekea
mkoani Mwanza kutoka Dar na gari la Princes Shabaha jana walikwama kwa
saa sita baada ya basi hilo lenye namba za usajili T105 AVX kuharibika
maeneo ya Kibamba jijini Dar es Salam na kusababisha usumbufu miongoni
mwa abiria hao.
Abiria wakiwa eneo lilipoharibika basi hilo pasipo kujua hatima yao.
↧
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Awataka UKAWA Warudi Bungeni.....Asisitiza kuwa Rais Kikwete hana Mamlaka kisheria ya Kulivunja Bunge hilo
Mwanasheria
mkuu wa serikali nchini Tanzania Jaji Fredrick Werema amesema hakuna
sheria inayompa mamlaka Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
kulivunja bunge maalum la katiba hivyo amewataka umoja wa katiba ya
wananchi UKAWA kurejea katika bunge hilo kwa lengo la kupata maridhiano
ya pamoja.
Jaji Werema amesema hayo jana jijini Dar es salaam wakati alipokuwa
akizungumza na
↧
Johari Amrushia Dongo Irene Uwoya.....Awararua Waigizaji Wa Kike Wanaojichia Na Kupoteza Mvuto.
Msanii Johari Blandina 'Chagula' ambaye ni star mkongwe Swahiliwood amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kuutunza muonekanio wake na kuwa kama kijana licha ya umri wake kuwa mkubwa tofauti na baadhi ya waigizaji wenzake wa kike ambao hujiachia na kuonekana wazee licha ya umri wao kuwa mdogo.
Akizungumza na Filamucentral Johari alisema:
"Wasanii wa kike wengi ni watoto wadogo lakini kwa
↧
↧
Ali Kiba awataka watu wasimgombanishe na Diamond
Ali Kiba ameeleza kutopendezwa na maelezo yanayoandikwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Diamond wana ugomvi.
Akiongea na Bongo5 mwimbaji huyo amesema wapo watu ambao hutumia hata akaunti fake za Facebook kwa lengo la kuwagombanisha.
“Kila mtu anaandika anachotaka juu ya mimi na Diamond, mpaka wengine
wanatumia akaunti fake za Facebook kutukosanisha, ndio maana nikasema
↧
Alichokisema Omotola ni fundisho kwa waigizaji wa Tanzania kuhusu SKENDO
Muigizaji wa kike wa Nigeria mwenye umaarufu mkubwa usioambatana na
'skendo', Omotola ameeleza sababu zinazomfanya asiwe na habari chafu
kwenye vyombo vya habari.
Kikubwa alichokieleza ni uamuzi wa kuishi maisha sahihi na kwamba inaanza na tabia halisi ya mtu mwenyewe.
“Daima watu wataanza kufikiria vitu kuhusu wewe na inaweza kuwa
inaumiza, hasa pale unapochagua kuishi maisha
↧
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ( NIDA) Yazindua Rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu Mkoani Mtwara
Ndugu Joseph
Makani, Mkurugenzi Mifumo ya Komputa akisoma hotuba kwa niaba ya Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA, wakati wa uzinduzi wa kuanza
kwa zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara.
*************
Mamlaka ya
Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imezindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa
Watu kwa wananchi na wakazi wa mkoa wa Mtwara, zoezi ambalo litadumu
↧
More Pages to Explore .....