Mshiriki wa filamu mpya ya Fundi Seremala, Kajala Masanja ameanza kumfichua mpenzi wake mpya baada ya kuingiza mtandaoni picha inayomuonyesha akipigana mabusu na kijana mmoja ambaye hakujulikana jina lake mara moja, anayehisiwa kuwa mpenzi mpya wa mwigizaji huyo.....
Kajala ambaye katika filam ya Fundi Seremala ameigiza kama mmoja wa
Picha za Kajala Masanja Masanja akifanya Mahaba Zavuja
↧
↧
Keyshia Cole adaiwa ni MSAGAJI....Video yake mpya yazua utata
Keyshia Cole ambaye hivi karibuni amepigana chini na mume wake Daniel Gibson 'Boobie', mwishoni mwa wiki jana aliachia video yake mpya ya wimbo wa She, ambayo ilishangaza wengi kutokana na kuwamo matukio ya muonekano wa kushabikia mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja ( Usagaji )
Katika video hiyo, Keyshia Cole anaonekana akimchezea kimahaba
↧
Tundu Lissu Atangaza kugombea Urais 2015.....Mbowe atia neno!!
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya
kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi
Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.
Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma
Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba
hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na
↧
Rayuu Aomba RADHI Kwa Picha zake za Uchi......"Naiomba radhi familia yangu kwa yote niliyofanya"
Msanii anayefanya vizuri kunako tasnia ya filamu Bongo, Rayuu Bagenzi 'Rayuu' ambaye amewahi kukumbwa na skendo kibao ikiwemo kupiga picha za nusu uchi pamoja na kuonyesha michoro ya tatoo katika sehemu zake nyeti amedai kuwa amelazimika kubadili mwenendo wake hivyo kuomba radhi kwa kuikwaza Familia yake, ndugu, jamaa na marafiki
Rayuu aliamua
↧
Penny kumchezesha Diamond NGOLOLO Kwenye harusi Yake
Mtangazaji wa 93.7 E-FM kupitia kipindi cha Genge, DVJ Penny ambaye wiki kadhaa zilizopita picha zake zilisambaa mtandaoni zikimuonyesha akiwa amevishwa pete ya uchumba huku mwanaume aliyefanya tukio hilo akiwa ni kitendawili, hatimaye mwanadada huyo ameibuka na kumuweka wazi mpenzi wake.....
Akiongea na mwandishi wetu, rafiki wa karibu wa Penny
↧
↧
" Sijawahi Kuridhishwa kimapenzi ( kufikishwa kileleni) na Mwanaume yeyote tangu nianze Mapenzi"...Efranciya Mangii
Staa wa filamu ambaye anashika nafasi ya kwanza kwa kufungasha Tanzania nzima, Efranciya Mangii ameibuka na kupasua jipu kuwa licha ya kuzalishwa mtoto mmoja lakini hakuna mwanaume aliyewahi kumridhisha kimahaba ( kumfikisha kileleni).
Akiteta na Mpekuzi wetu jijini Dar es Salaam, Efranciya ambaye amewahi kukumbwa na skendo ya kujihusisha na
↧
Ephraim Kibonde na Gardner Habash Wapandishwa Kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni
MTANGAZAJI wa Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gardner Habash
wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya
Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kusababisha ajali na kudharau amri ya
polisi na kutoa lugha ya matusi.
Watangazaji hao wamesomewa mashitaka hayo na Wakili wa Serikali, Salim Mohammed mbele ya Hakimu Aniseta Wambura.
Kibonde na Gadna wanadaiwa
↧
Huyu Ndo DEMU Mpya wa Diamond Plutnumz....Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ndiye aliyepika futari kwa kina Diamond, Wema ashauriwa kujitoa mapema
Yaliyomtokea Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu mwaka jana huenda yakajirudia mwaka huu baada ya kugundilika mahusiano mapya baina ya Diamond na msanii wa muziki aina ya Afro Pop na mtangazaji wa kipindi cha Dance 100% kinachorushwa kupitia kituo cha Televisheni ya vijana EATV, Menina Atick a.k.a Menina la Diva.....
Taarifa toka vyanzo vya
↧
Dalili za Ugonjwa wa Homa ya INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI)
Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini
hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV
(Hepatitis B Virus).
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini,
mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani
kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B).
Ugonjwa
↧
↧
Baby Madaha Anusurika Kubakwa baada ya kupanda jukwaani akiwa na kivazi cha nusu uchi
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph
Madaha amenusurika kubakwa nchini Kenya baada ya kupanda jukwaani akiwa
ametinga kivazi cha nusu utupu.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika mji wa Naivasha uliopo
Nairobi nchini humo ambapo mwanadada huyo alipopanda jukwaani akiwa
amevaa sketi fupi iliyokuwa imeacha sehemu kubwa ya mapaja wazi, wanaume
wakware
↧
Ugonjwa wa EBOLA Waingia Dar es Salaam......Wagonjwa wawili wagundulika kuwa nao
Ugonjwa wa Ebola umeingia nchini kufuatia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na maambukizi yake kuwasili nchini.
‘Wagonjwa’ hao wamepelekwa katika kituo maalum kilichotengenezwa na
serikali kwa ajili ya waathirika wa ugonjwa huo kilichopo wilaya ya
Temeke jijini Dar es Salaam.
Mpekuzi jana ilishuhudia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa huo
wakiwa wamefikishwa katika kituo hicho
↧
Mrembo Amwagiwa Mafuta ya Moto Usoni kisa mume wa mtu
Mwanadada aliyefahamika
kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi
karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na
shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama
Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu kutembea na bwana
wake.Akisimulia
↧
Diamond Ampiga Vijembe Wema Sepetu....Adai kuchoshwa na tabia yake ya kuwa na mashoga Wapenda Anasa na Wanywa Pombe
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia
vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya
starehe zisizo na faida.
Katika ujumbe huo, Diamond ameandika kuwa angewaona mashabiki wa
mrembo huyo wana akili na mapenzi ya dhati kama wangemshauri apunguze
mashoga wapenda anasa na kuacha
↧
↧
Mchange Apangua tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa.....Asema Tuhuma hizo ni za Kipuuzi na ni dalili ya kifo cha CHADEMA
Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu
Mchange, ameibuka na kuponda hoja za kumuhusisha kupanga njama za
kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa.
Alisema tuhuma hizo ni upuuzi na ni dalili ya kifo kwa chama hicho.
Hatua hiyo ya Mchange imekuja siku chache baada ya madiwani wawili wa
Chadema Mkoa wa Shinyanga waliokuwa CCM,
↧
Ikulu yawakatisha tamaa UKAWA.....Yasema Rais Kikwete Hawezi Kulisitisha Bunge la Katiba, Yadai hakuna sheria inayompa Mamlaka hayo
MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema
hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na
Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo wa Bunge
Maalumu la Katiba.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Salva
alisema katu hatua hiyo haitaweza kusitisha Bunge hilo akiwataka warejee
bungeni na
↧
Wasukuma Wapigwa Marufuku Kutembea na Fimbo Mitaani......Ngoma za "Chagula Mayu" nazo zapigwa marufuku
UONGOZI wa Serikali kwenye Tarafa ya Ngaherango, Wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro, umepiga marufuku wafugaji wa kabila la Wasukuma kwenye tarafa hiyo, kutembea na fimbo mitaani ili kukomesha tabia ya kuchapana ovyo hata kusababisha mauaji.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwenye vijiji vya Ngoheranga na Ihowanja wilayani humo, Ofisa Tarafa wa Kijiji cha Ngoheranga, Conrad
↧
Hatimaye Jackie Cliff Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 6 Nchini China.
Baada ya kushikiliwa kwa takriban miezi tisa kwa kesi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye model maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Cliff’ amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela huku kukiwa na uwezekano wa kupunguziwa adhabu ikawa ndogo zaidi.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Jack, modo huyo alihukumiwa Jumatatu iliyopita (Agosti 11, mwaka huu) kwenye Mahakama ya Macau huko
↧
↧
Rais Kikwete: Rasimu ya Katiba haitambui Uraia Pacha
Rais Jakaya Kikwete amesema suala la uraia wa nchi mbili
linaonekana kutokuwa na nguvu kwa sasa kutokana na kutojitokeza katika
Tume ya Mabadiliko ya Katiba, hivyo kutoingia katika Rasimu ya Katiba
inayojadiliwa sasa bungeni.
Kauli ya Rais Kikwete imekuja wakati suala hilo
likionekana kuwagawa wajumbe katika Kamati za Bunge Maalumu, kutokana na
kuwapo kwa mapendekezo kwamba suala
↧
Taarifa MPYA ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Ebola kuingia Tanzania.
Ugonjwa wa Ebola ambao kwa sasa umeingia kwenye headlines za dunia
kutokana na kuripotiwa kwenye nchi mbalimbali za Afrika sasa umeingia
kugusa vichwa vya habari na kuihusisha Tanzania.
Waziri wa Afya wa Seif Rashid amesema wagonjwa waliohisiwa kupata
maambukizo hayo kutokana na dalili za awali ni kutoka Benin na Mtanzania
lakini baada ya vipimo wameonekana hawana maambukizo hayo.
↧
Wema Sepetu: Namchukia Halima Kimwana ( Dada yake Diamond) Mpaka basi
Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye amekula kiapo cha kumchukia dada
wa hiyari wa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’, Halima
Kimwana ambaye wamekuwa na bifu kwa kipindi kirefu huku sababu zikiwa
hazijulikani.
Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni, Wema alisema ugomvi
wake na Halima Kimwana hautaisha na siku zote atamuonyesha chuki za wazi
sababu hana upendo naye hata
↧
More Pages to Explore .....