MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Kutokana na hali hiyo, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wa bunge hilo, kuacha kuhamishia mijadala baa,
CHADEMA Wampiga na kumjeruhi Vibaya mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba
↧
↧
Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa
jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa
miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.
Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni
mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa
tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo
↧
Kamati ya Wassira yabariki adhabu ya kifo ( Kunyongwa)
LICHA ya sheria ya kunyonga kupigiwa kelele na jumuiya za kimataifa,
wajumbe wa kamati namba sita ya Bunge Maalumu la Katiba wamependekeza
iendelee kutumika nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma jana, Mwenyekiti wa
Kamati hiyo, Steven Wassira, alisema hali hiyo ilijitokeza wakati wa
kujadili Sura ya nne ya Rasimu ya Katiba.
“Wapo baadhi ya wajumbe walitaka adhabu
↧
Shibuda, Arfi: Tupo tayari kuadhibiwa CHADEMA
Wabunge wa Chadema, Said Arfi na John Shibuda wamesema hawana
hofu yoyote juu ya uamuzi utakaochukuliwa dhidi yao na uongozi wa chama
hicho kwa kitendo chao cha kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
Wakati Shibuda na Arfi wakieleza hayo, Mbunge wa
Viti Maalumu wa chama hicho, Leticia Nyerere ameibuka na kudai kuwa
hakuwahi kushiriki katika vikao vya Bunge hilo, ila alipita
↧
Kibonde wa Clouds FM aachiwa kwa dhamana Oysterbay
Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo
cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa tangu
mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za kusababisha ajali ya gari na kutoa lugha
ya matusi kwa askari wa usalama barabarani.
Mwanahabari huyo alikamatwa Jumamosi asubuhi kwa tuhuma za kusababisha ajali hiyo na kuendsha gari akiwa amelewa.
Kamanda wa polisi wa
↧
↧
Mume Wa Mtu anayedaiwa kumpa mimba MBWA Wake Kufikishwa mahakamani muda wowote
Lile sakata la mume
aliyetajwa kwa jina la Hamis Juma (pichani akiwa na mkewe), mkazi wa
Majohe Mji Mpya, Ilala jijini Dar kudaiwa na mkewe, Cecilia Hamis kwamba
amempa mimba mbwa yameibuka mapya.
Ijumaa iliyopita, Uwazi lilifika kwenye
ofisi za Taasisi ya Kutetea Haki za Wanyama ambapo mmoja wa maofisa
aliyedai si msemaji maalum, alisema wapo katika mchakato wa kufuatilia
madai
↧
Homa ya INI ni Hatari kuliko UKIMWI
UGONJWA wa homa ya ini umeonekana kuwa tishio kwa wananchi kuliko Ukimwi baada ya takwimu ya miezi mitatu kuonesha maambukizi yake yapo kwa wastani wa asilimia 5.6 dhidi 1.6 ya maambukizi ya Ukimwi hatua inayodhihirisha hatari ya ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa takwimu hizo zilizotolewa na Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) huku ikiwataka wananchi kuchukua hatua, hali hiyo pia kwa
↧
NEC Yatoa Ufafanuzi kuhusu daftari la kudumu la Wapiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema
zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza
hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
Ufafanuzi huu unakuja wakati pakiwa
na mawazo tofauti ya nani hasa anatakiwa kushiriki katika zoezi hilo huku
baadhi ya watu wakidhani kuwa jambo hili linawahusu wale ambao hawakupata
kujiandikisha kupiga kura
↧
Wapakistani Waliokamatwa na Madawa ya Kulevya Watoroka nchini
Mtuhumiwa Abdul Ghan Peer Bux.
******
Imeelezwa kwamba Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa wakiwa na Watanzania wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya wametoroka nchini.
Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011 wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi bilioni 6.2, Mbezi Beach maeneo ya Jogoo jijini Dar sa
↧
↧
MAUAJI YA KUTISHA: Majambazi Yaua Baba na Mama na kumjeruhi mtoto wa Miezi Minne ( Picha zinatisha)
Watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia na kuwaua mume na mke na kumjeruhi mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 aliyeachwa na mama yake aliyeuawa katika tukio lililotokea kijiji cha Murvyagira wilayani Ngara mkoani Kagera Ijumaa ya Agost 08,2014.
Kwa mujibu wa mtoto mkubwa wa marehemu amesema majambazi hao walivamia nyumbani kwao majira ya saa 3 usiku ambapo walitumia panga na
↧
Wanawake wayazuia magari ya jeshi yaliyokuwa yakiwapeleka waume zao kupigana na Boko Haram
Ripoti kutoka Nigeria zinaeleza kuwa Jumamosi iliyopita kundi kubwa
la wanawake lilijitokeza na kuzuia magari ya jeshi yaliyokuwa yamewabeba
wanaume wao na wake zao yakielekea katika mji wa Gwosa, sehemu ambayo
inadhibitiwa na kundi la Boko Haram.
Kwa mujibu wa Prime Times ya Nigeria, wanawake hao walizua geti la
barracks katika mji wa Borno huku wengine wakilala barabarani
↧
Kanye na Kim waonesha mahaba mazito ndani ya lift, ni muongozo kwa Jay Z na Beyonce?
Neno ‘elevator’ au lift liliandikwa sana baada ya Jay Z kupigwa
vibao na Solange kisa kutaka kufanya michepuko na kushindwa kumuonesha
Beyonce mapenzi ya dhati.
Hii imekuwa tofauti kwa Kanye West na Kim Kardashian ambao waliamua
kuoneshana mahaba ndani ya lift na hawakusubiri tendo lao hilo
kuvujishwa kupitia video kama ugonvi wa wenzao, wao wamejipiga selfie na
kupost mapema.
↧
Audio: Diamond Afunguka kuhusu Wasanii wa Tanzania Wanaotaka kushindana nae
Joto la ushindani kati ya wasanii wa Tanzania linazidi kupanda huku
mashabiki na vyombo vya habari wakidaiwa kuchochea kuni kwa namna moja
au nyingine.
Diamond Platinumz ambaye ndiye msanii anaekabiriwa na ushindani
mkubwa zaidi kwa sasa kwa kuwa yuko mstari wa mbele zaidi wa mafanikio
katika muziki hapa nchini na kuvuka mipaka kuiwakilisha Tanzania,
amewashauri wasanii wanaotaka
↧
↧
Shibuda Afichua Siri za CHADEMA...Adai Walimwahidi kumpa Helkopta mbili.....Amlipua Lissu na kumuita Interahamwe
SIKU moja baada ya Mbunge wa Maswa Magharibi, mkoani Simiyu, Bw. John Shibuda kutangaza kuachia ngazi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mbunge huyo ameibuka tena na kusema aliahidiwa kupewa helikopta mbili na uongozi wa chama hicho aweze kuzitumia katika kampeni za Uchaguzi Mkuu 2010 lakini hakupewa.
Alisema uongozi wa chama hicho ukiongozwa na Katibu Mkuu, Dkt.
↧
"Mpitisheni Waziri Magufuli Urais 2015".....Huu ni ushauri waliotoa Wakazi wa Tegeta kwa CCM
KATIKA hali isiyo ya kawaida, baadhi ya wakazi wa Tegeta, Dar es Salaam, wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpitisha Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli awe mgombea wa chama hicho kwenye nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, kutokana na uchapakazi wake kwenye sekta ya ujenzi wa barabara nchini.
Wakazi hao walitoa ushauri huo jana wakati Dkt. Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa huo,
↧
Wema Sepetu: Najuta Kumrudia Diamond
Takribani wiki sasa kumekuwa na taarifa zinazoeleza kuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu hayuko sawa katika mahusiano yake ya kimapenzi na nguli wa Bongo Fleva, Diamond Plutnumz....
Kutokana ta taarifa hizo, Mpekuzi iliamua kupekua undani wake na ndipo ilipokutana na kilio kipya cha Wema Sepetu kuhusiana na kuzushiwa taarifa mbalimbali
↧
Aunt Ezekiel Anaswa na Mume Wa Mtu......Ni siku chache baada ya kuahidi kumpa penzi, Madai ya kulala pamoja hotelini yaenea kila kona
Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel (katikati) akiwa karibu na dansa wa Wasafi Classic, Moses Yobo.
******
Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko,
Aunt Ezekiel amenaswa live akijivinjari na mume wa mtu.
Aunt alinaswa akiwa na mnenguaji wa Wasafi Classic, Moses Yobo
anayepiga mzigo chini ya Nasib Abdul ‘Diamond’ katika shoo ya Fiesta
iliyofanyika
↧
↧
UKAWA Waanza Vita Upya.....Watangaza Maandamano nchi nzima endapo Rais Kikwete hatasitisha Bunge la Katiba
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Rais Jakaya
Kikwete kusitisha Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma na
iwapo hatafanya hivyo utaongoza maandamano nchi nzima.
Umoja huo pia umeeleza kuwa kuendelea kwa Bunge
hilo ni sawa na kuvuruga mchakato wa kupata Katiba Mpya, kuiweka nchi
rehani, kufuja fedha za walipakodi, kuwahadaa Watanzania kwa kupitisha
Katiba
↧
Mtoto Auawa kwa KIPIGO na baba yake mzazi
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Katavi ACP Dhahiri Kidavashari
******
JESHI la Polisi Wilaya ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, linamtafuta mkazi wa Malangali, Bw. Saimon Paskali kwa kosa la kuwapiga watoto wake, kumuua mmoja na kukimbia kusikojulikana.
Tukiio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana baada ya mtuhumiwa kurudi nyumbani akitokea kwenye Sherehe ya Komonio akiwa amelewa na kuanza
↧
JWTZ kuadhimisha miaka 50 kwa staili ya aina yake
Jeshi la Wananchi la Tanzania JWTZ jana limezindua rasmi maadhimisho ya
miaka 50 ya jeshi hilo huku likiahidi uimara wa askari wa jeshi hilo
katika kukabiliana na maadui wa kivita.
Waziri
wa Ulinzi wa Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi ambaye ndie
alikuwa mgeni rasmi alisema maadhimisho hayo yatahusisha mazoezi ya
kijeshi yenye lengo la kupima uwezo wa jeshi katika
↧
More Pages to Explore .....