MTOTO wa umri wa mwaka mmoja amekufa baada ya kutumbukia kwenye ndoo ya maji nyumbani kwao, wakati akicheza.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya, tukio hilo ni la juzi saa 4:30 asubuhi katika eneo la Buza.
Alisema mtoto huyo, Najma Omary alikuwa akicheza nje ya nyumba yao kulikokuwa na ndoo ya maji na alitumbukia kwa kutanguliza kichwa na kunywa maji
Mtoto wa Mwaka mmoja Afariki Dunia baada ya kutumbukia kwenye ndoo ya maji
↧
↧
Gari la NaneNane Laua Wafanyabiashara 8.....Liliacha barabara likiwa na mwendokasi na kuwafuata kwenye Biashara zao
WATU wanane wamekufa papo hapo, wengine tisa wakijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Nyangao mkoani Lindi baada ya gari aina ya Land Rover, mali ya Halmashauri ya Mji Masasi kupata ajali katika kijiji cha Mtama wilaya ya Lindi Vijijini mkoani Lindi.
Gari hilo lenye namba za usajili STL 1615, lilikuwa linatokea Lindi ambako maofisa wa Halmashauri ya Masasi walikuwa wanashiriki katika
↧
Rais Kikwete aalikwa kuitembelea Malawi
Rais wa Malawi Peter Mutharika amemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt Jakaya Kikwete kuitembelea nchi hiyo kwa ziara ya
kiserikali na kutaka kumalizika kwa mgogoro wa mpaka wa ziwa Nyasa kati
ya nchi hizo mbili.
Kulingana
na taarifa iliyotolewa na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu jijini Dar
es salaam jana imesema Rais Mutharika amemualika Rais Kikwete kwa dhana
ya
↧
Ndugu Watano Watembea kwa Miguu na Mikono...
FAMILIA moja ya Uturuki inawapasua kichwa wanasayansi, kutokana na wanandugu watano kutokuwa na uwezo wa kutembea kama binadamu, na badala yake wanatembea mithili ya wanyama, wakitumia miguu na mikono.
Hata hivyo, katika uchunguzi wao wa awali, wanasayansi hao wameeleza kuwa, hali iliyowakumba wanandugu hao haina uhusiano na mabadiliko ya binadamu, kwamba wanaanza kurudi katika zama za
↧
RPC Njombe Apata Ajali.....Mlinzi wake Afariki Dunia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo, usiku wa kuamkia jana, eneo la kiwanda cha miwati (TANWAT).
Ngonyani akizungumza hospitalini hapo, alisema ilitokea kati ya saa tatu na saa nne usiku katika barabara ya Makambako -Njombe.
↧
↧
"Bunge lisitishwe"......Maridhiano shakani...tuendelee na chaguzi zijazo
Mwanasiasa
mkongwe na mjumbe wa Halmashauri Kuu (CCM), Dk. Raphael Chegeni ,
ameungana na wadau wengine wakiwamo wanasiasa na wanaharakati
mbalimbali kutaka Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe.
Ametilia mashaka mchakato wa katiba mpya unaoendelea kujadiliwa bungeni
Dodoma, akieleza kuwa hautaweza kupata mariadhiano bila kuwagawa
Watanzania na kushauri bunge hilo kusimama kwanza
↧
Mtu mmoja auawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto Morogoro
Mtu mmoja ambaye hakuweza kufahamika mara moja ameuwawa kikatili
kisha mwili wake kuchomwa moto na watu wasiofahamika katika eneo la
mkundi manispa ya Morogoro.
Kwa mujibu wa wananchi walishuhudia tukio hilo wamesema wameshuhudia kundi la madereva wa pikipiki wakimshusha mtu huyo kisha
kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto ambapo wameomba jeshi la polisi
kufuatilia tukio hilo
↧
Shibuda Ajitoa CHADEMA.....Atangaza hatagombea Ubunge kupitia chama hicho
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Amesema hayo jana kwa nyakati tofauti, wakati akizungumza na wazee wa Mji wa Maswa na Malampaka wilayani humo, alipokuwa akijibu swali lao kuhusu
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 11 Agosti 2014
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 11 Agosti 2014
↧
↧
Mtoto wa mwaka mmoja Abakwa jijini Arusha
Mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja tunayemtaja kwa jina moja la
Devota wa Sokoni One jijini Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya
Mount Meru kufuatia kubakwa na njemba moja iitwayo Rajabu Mkoba (30),
mkazi wa eneo hilo.
Tukio hilo lilitokea Jumapili ya Agosti 3, mwaka huu ambapo mtuhumiwa
huyo anadaiwa kumbaka mtoto huyo kwa saa 9 na alimrejesha nyumbani kwa
mama yake
↧
Wassira Awapongeza UKAWA Waliorudi Bungeni
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Bw. Stephen Wassira, amewapongeza wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwa kuamua kurudi bungeni ili kuendelea na mijadala ya Rasimu.
Alisema wajumbe hao hawapaswi kubezwa bali wanastahili pongezi kwa kutambua umuhimu wa kutengeneza Katiba kwa maslahi ya nchi na Watanzania kwa ujumla.
↧
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema na Waziri wa
Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba nusura wapigane
baada ya kupishana kauli wakati wa mjadala wa ndani ya Kamati Namba Sita
inayoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu),
Stephen Wassira.
Habari kutoka ndani ya kamati hiyo inayofanyia
vikao vyake katika moja ya kumbi za Dodoma
↧
Recho atamani kurudi Shule
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Recho amesema kuwa pamoja na umaarufu wake anahitaji sana kurudi shule ili aweze kuongeza uwezo wake wa kuimba...
Recho alisema kuwa anaamini baada ya kutimiza ndoto yake ya kurudi shule mambo yake mengi yatakuwa mazuri kwani hata muziki wake utazidi kufika kimataifa ikiwa ni pamja na kuimba nyimbo ambazo
↧
↧
Vera Sidika na Matiti FEKI
Video Queen maarufu mjini Nairobi Kenya hivi majuzi aliwashtua watu baada ya kupost picha ya matiti yake yakiwa yamekuwa makubwa kuliko yalivyokuwa mwanzoni na akasema hivi:
"Feels good to be back.Had really missed Nairobi.Now....ya'll be nice and say hello to my new twins."
Baada ya maneno hayo, Vera alimalizia na hash tag kibao #
↧
Naibu Waziri Anusurika kupigwa na Wakulima huko Simiyu
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika,Godfrey Zambi amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa zao la pamba katika kijiji cha Marekano wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kwa madai ya kutoridhishwa na majibu aliyoyatoa juu ya mbegu za pamba zisizo na manyoya(Quton)kutoota katika msimu uliopita wa kilimo.
Tukio hilo limetokea juzi kijijini hapo wakati Naibu Waziri huyo alipofanya
↧
Taarifa ya Usaili ya Jeshi la Polisi Tanzania kwa wakazi wa Mbeya
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani na Mahakama
↧
Mamia ya wananchi Wafurika jijini Dar kwa Nabii anayedaiwa kuponya watu UKIMWI.....Msanii mmoja wa filamu atoa ushuhuda jinsi alivyopona
Nabii Samwel Mahela wa Kanisa
la Pentecostal Power Ministry (PPM) lililopo Mikocheni A (katikati
mwenye suti), akitoa huduma ya maombezi katika kanisa hilo.
*****
MSANII wa Filamu aliyejitambulisha kwa jina moja la Jane amedai amepona ukimwi baada ya kuombewa katika Kanisa la Pentecostal Power Ministry (PPM) lililopo Mikochezi A.
Akizungumza mbele ya waumini wa kanila hilo Dar es
↧
↧
Binti wa Kazi Amwagiwa UJI wa Moto na mke wa Bosi wake kisa Wivu wa Mapenzi
MSICHANA mmoja mkazi wa eneo la Minga katika Manispaa ya Singida (muuza duka), amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri yake na kumsababishia maumivu makali kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Muuguzi wa zamu katika Hospitali ya mkoa wa Singida, wodi namba mbili ya wanawake, Anna Sprian amefahamisha kuwa binti huyo amejeruhiwa sehemu za sikio
↧
Mganga wa Jadi Aua mgonjwa wake kwa kumtandika fimbo kichwani wakati akimtibu nyumbani kwake
Na Kadama Malunde-Shinyanga
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Vicent Kawawa(28) ameuawa kwa kupigwa na fimbo na kitu kizito kichwani na mganga wa kienyeji aliyekuwa anamtibu ugonjwa wa akili nyumbani kwake katika kijiji cha Buduba kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga SACP Justus Kamugisha alisema tukio hilo limetokea Agosti
↧
Nyani Ajipiga mamia ya Picha....Mmiliki wa Kamera iliyotumika apata wakati mgumu
Mtandao wa Wikipidia umekataa kufuta picha ambayo Nyani ilijipiga ikisema kuwa kwa sababu picha hiyo ilipigwa na Nyani ambaye ni mnyama wala sio binadamu, basi inakuwa mali ya umma.
Hii ni baada ya mpiga picha, mmiliki wa kamera iliyotumika na Nyani huyo kujipiga picha, kusihi Wikipedia kufuta picha hiyo na kudai kuwa Wikipedia ilikuwa inaingilia haki zake za umiliki wa picha hiyo.
↧
More Pages to Explore .....