Rapper wa Young Money, Nicki Minaj amepiga hatua ya pili, siku chache
baada ya kutoa kionjo cha video ya wimbo wake wa ‘Anaconda’ na sasa
amewaonesha mashabiki kilichojiri katika utengenezaji wa video hiyo.
Video hiyo yenye dakika mbili na sekunde 47 inaonesha matukio kadhaa
ambayo ni kinyume kabisa cha maadili ya nchi yetu na kwa kuzingatia
baadhi ya video za wasanii wa Tanzania
Video hii ya utengenezaji wa 'Anaconda' ya Nicki Minaj ingekuwa Tanzania ingepigwa marufuku Mapema sana
↧
↧
Msichana wa kihindi aachana na familia yake tajiri na kuhamia kijijini kwa kijana Mkenya
Tumezoea kuona kwenye filamu au tamthilia simulizi la msichana mrembo
anaotoka katika familia ya kitajiri aliyechagua kuyaacha maisha ya raha
na kuishi uswahilini na kijana anaempenda.
Huko Kenya, kumeripotiwa tukio halisi lililovuta hisia za wengi na
kuzungumzwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari,
ambapo msichana wa kihindi ameamua kuachana na familia yake tajiri
↧
Wahamiaji haramu 28 wakamatwa Kigoma
Idara
ya uhamiaji mkoani Kigoma, imewakamata raia 26 wa Burundi na wawili
kutoka kongo DRC na Rwanda, baada ya kuingia na kuishi nchini kinyume
cha sheria .
Idara hiyo pia imewarejesha raia 11 wa burundi waliomaliza kifungo
baada ya kuhukumiwa mwaka mmoja uliopita kwa makosa ya kuingia nchini
bila vibali.
Afisa uhamiaji mkoa wa kigoma Ambrose Mwanguku amesema raia hao ambao
↧
CCM yawalalamikia Jaji Warioba na wajumbe wa tume yake kuhusu kauli zao kwa rais Kikwete
Chama cha Mapinduzi -CCM kimedai kuwa Mwenyekiti wa tume ya
mabadiliko ya katiba Jaji Joseph Warioba na baadhi ya wajumbe wa tume
yake wamemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa chama hicho rais Jakaya
Kikwete
Hatua hiyo imefikiwa kutokana na Mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya
mwalimu Nyerere ambao umefanyika Jumatatu wiki hii na kwamba kupitia
mdahalo huo Jaji Warioba na wajumbe wa
↧
Bob Junior azungumzia tetesi za kufanyiwa fujo na mume wa msichana aliyekuwa akifanya nae video
Siku mbili zilizopita kumekuwa na taarifa mitaani kuwa mwimbaji
ambaye pia ni producer wa Sharobaro Records, Bob Junior alifanyiwa fujo
na mwanaume mmoja anaedaiwa kuwa mume wa msichana aliyekuwa anafanya
naye video.
Taarifa hizo zilieleza kuwa tukio hilo lilifanyika maeneo ya Mlimani
City wakati Bob Junior alipokuwa akishuti vipande vya wimbo wake wa
‘Bolingo’ huku msichana huyo
↧
↧
Sherehe za Nane Nane kitaifa zinafanyika mkoani Lindi leo
Tanzania leo inaadhimisha kilele cha maonyesho ya wakulima na wafugaji nane nane ambapo kitaifa yanafanyika mkoani Lindi.
Maonyesho
hayo ambayo mwaka huu yamegawanywa kikanda kwa bidhaa tofauti ikiwa
Nyanda za juu kusini yatafanyika jijini Mbeya ambapo yatakua maalumu kwa
kilimo wakati Kanda ya kaskazini yatafanyika Dodoma ambapo itakua
maalumu kwa mifugo na Lindi ndipo yatapofanyika
↧
Polisi Yaanza kuchunguza Mauaji Tata ya Wanawake wawili jijini Arusha
Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha, Liberatusi Sabas, amesema jeshi lake
lipo kwenye uchunguzi dhidi ya mauaji na kujeruhi wanawake Jijini
Arusha, bila kuchukuliwa kitu chochote.
Amesema
kwa sasa kumekuwepo na matukio mawili ya kuvamiwa kwa wanawake na
kujeruhiwa kwa risasi, huku wahusika wakitokomea kusikojulikana bila
kubeba kitu chochote.
Ametaja tukio la kwanza limetokea eneo
↧
Ali Kiba Unfollows Everyone On His Instagram. Find Out Why
After a long silence, Cinderella hitmaker Ali Kiba has been making headlines alot lately for his beef with Diamond, his new tracks and most recently, his unfollowing spree on a social media Platform.
Ali Kiba who has a huge following on instagram decided to unfollow all
the people he was following without any explanation. This was followed
by mixed reactions from his fans prompting him
↧
PHOTO: Diamond’s Controversial Interview With Ex Girlfriend Jokate Mwegelo
Even for a superstar like Diamond Platnumz, not everyday does he get to
be interviewed by his ex girlfriend in front of the whole world. But
then again given that he has dated quite a number of Tanzanian hotties,
it is not unlikely.
Diamond was recently interviewed by his Girlfriend Jokate Mwegelo
for a TV show and knowing Diamond and his love for social media, he
posted the
↧
↧
Mbowe: Usaliti hauna msamaha.....Said Arf atinga bungeni, Shibuda, Nyerere na Mwatuka Wanyimwa posho
Mjumbe wa Bunge la Katiba (Chadema) Said Arfi akisaini karatasi ya
mahudhurio bungeni jana, kabla ya kwenda kushiriki mjadala wa kamati
yake
**********
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake
hakitavumilia vitendo vya usaliti na kwamba mwanachama yeyote
atakayekiuka maagizo ya chama hicho atachukuliwa hatua kali.
“Katika hili hatutakuwa na mchezo na naomba
↧
Mabomu Yarindima Msibani.....Jeneza Latelekezwa, Sugu awatupia Lawama Polisi
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelishutumu Jeshi
la Polisi mkoani humo kuwa ndiyo chanzo cha vurugu baada ya juzi
kutumia mabomu ya machozi kuwazuia wafuasi wa Chadema na waombolezaji
kuubeba mikononi mwili wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Itiji,
Ezekiel King kwa lengo la kutembea nao kwa miguu kutoka Hospitali ya
Rufaa Mbeya hadi nyumbani kwake Itiji kuuzika.
↧
Mwanamke Apandishwa kizimbani kwa kosa la Kumdhalilisha Hausigeli wake.....Alikuwa akimchoma bisibisi sehemu za Siri
Mkazi wa Singida Mjini, Jacqueline Kweka (30) jana alipandishwa
mahakamani mjini Hai akikabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili
mfanyakazi wake wa ndani (15).
Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akimpiga
mfanyakazi wake huyo sehemu mbalimbali za mwili ikiwamo kumvuta nyama za
sehemu za siri kwa kutumia bisibisi.
Baada ya tuhuma hizo kuibuliwa na raia wema,
mtuhumiwa huyo
↧
Mahekalu ya Mchungaji Lwakatare Yavunjwa jijini Dar
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.
Kazi hiyo ya ubomoaji, ilitekelezwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi na iliendeshwa kwa pamoja na maofisa wa Ardhi kutoka wizarani na Manispaa ya Kinondoni,
↧
↧
JWTZ Yang'ara tena Kimataifa......Yachaguliwa Kuunda Jeshi la Amani Afrika
JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeendelea kung’ara kimataifa, ambapo jana jeshi hilo lilitamkwa kuwa miongoni mwa majeshi ya nchi za Afrika, yatakayounda Jeshi la Kulinda Amani Afrika.
Taarifa za ndani kutoka Mkutano wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali zaidi ya 50 za Afrika na Marekani, ambao umehudhuriwa pia na Rais Jakaya Kikwete, zimeeleza kuwa moja ya kazi za jeshi hilo,
↧
MAJANGA.....Baba Mzazi Amtundika Mimba Mwanawe wa kumzaaa!!
MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.
Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Bwekela, ambaye pia ni Kaimu Ofisa Mtendaji wa Kata ya Igoweko, Robert Ruhende, alilaani kitendo kilichofanywa na mzazi wa mtoto huyo na kusisitiza kuwa sheria lazima ichukue mkondo
↧
Kibonde wa Clouds FM Atiwa Mbaroni
Mtangazani Mahiri wa Redio Clouds FM Ephrahim Kibonde akidhibitiwa na Askari wa Usalama barabarani.
*****************
Kibonde anadaiwa kusababisha ajali leo asubuhi eneo la Makumbusho, baada ya gari aliyokuwa akiendesha kuigonga gari ya dereva mwingine kwa
nyuma. Trafiki walifika eneo la tukio na kupima ajali, Kibonde alipoona
hivyo akarudi nyuma na kuendesha gari lake kuondoka eneo
↧
CHADEMA kuwajadili wabunge wasaliti Waliopuuza maagizo ya chama na kwenda kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kitawachukulia hatua
kali wabunge wake iliyowaita kuwa ni wasaliti kwa kupuuza maagizo ya
chama na kwenda kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba
vinavyoendelea mjini Dodoma.
Mkuu
wa kurugenzi ya sheria ya CHADEMA na msemaji wa kambi rasmi ya upinzani
Bungeni Tundu Lissu amesema hayo leo jijini Dar es Salaam muda mfupi
baada
↧
↧
Basi la 5 Aliance Lateketea kwa Moto Leo.....Hizi ni picha 3 za basi hilo likiwaka moto
Basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake
kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua moto asubuhi ya August 09 likitokea
Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote
juu ya kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa
wa Lindi.
↧
BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi wa Chuo Kikuu alazimishwa Kurekodi Mkanda wa Ngono
Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa
inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu
cha maana ni kupata utajiri kwanza.
Kundi la watu wanaofanya biashara ya kusafirisha
watu, wamekuwa wakitumia fursa ya ukosefu wa ajira kama chambo cha
kuwanasa vijana na kuwaingiza kwenye biashara haramu kama ukahaba.
Hivi karibu kundi hilo
↧
Nyumba ya Mwanaume aliyekuwa AKIWALAWITI Watoto wa Kiume huko Moshi yateketezwa kwa moto na wananchi wenye hasira kali
Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa
Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro,
wakimtuhumu kulawiti wanaume wenzake.
Hasira za wananchi hao zilifikia kiwango
kisichohimilika baada ya mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 42, kudaiwa
kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12 kijijini hapo juzi.
Wananchi wa kijiji hicho
↧
More Pages to Explore .....