Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Marekani Kutoa Dola Za Marekani Milioni 120 Kupambana Na Ugonjwa Wa Seli Mundu (Sickle Cell)

0
0
Tanzania ni miongoni mwa baadhi ya Nchi zinazotarajiwa kunufaika na kiasi cha dola za Kimarekani milioni 120 zilizotengwa na Serikali ya Marekani kwa ajili ya utafiti wa kupambana na ugonjwa wa  seli mundi (sickle cell).

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya wa Marekani Admiral Brett Giroir wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi jijini New York Nchini Marekani.

Admiral Brett ameutaja mkutano wake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi kama mwanzo mpya wa ushirikiano baina ya Tanzania na Marekani na kuongeza kuwa Nchi yake ina nyenzo zote ikiwemo teknolojia ya kupambana na maradhi ya seli mundu ili kuboresha Maisha ya watoto wanaozaliwa na ugonjwa huo.

Ameongeza kuwa katika siku za hivi karibuni Tanzania imekuwa ikipiga hatua chanya katika kuimarisha masuala mbalimbali ya afya za wananchi wake na kwamba ni azma ya Marekani kuona kuwa ugonjwa wa seli mundo unapata tiba.

Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amesema utafiti na hatimae tiba ya maradhi hayo ya seli mundu kwa kiasi kikubwa itainufaisha Tanzania kutokana na kushika nafasi ya tatu katika Bara la Afrika na ya nne duniani kwa kuwa na wagonjwa wengi wa seli Mundu.

Ameongeza kuwa Tanzania na Marekani zitashirikiana katika kufundisha na kujengeana uwezo wa namna ya kupambana na maradhi ya seli mundu lakini pia kutafuta fedha zitakazowezesha upatikanaji wa dawa ya seli mundu kutokana na ukweli kuwa dawa za ugonjwa huo kwa Tanzania ni miongoni mwa dawa muhimu yaani essential drugs ili iweze kuwafikia wananchi wengi na kwa bei nafuu.

Amezitaja Nchi zilizo na idadi ya watoto wengi wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu ambapo kwa Afrika Tanzania ni ya tatu baada ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Nigeria nay a nne duniani baada ya India.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
New York,Marekani

Washtakiwa watano wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akiwemo Tenga Wamwandikia Barua DPP Kuomba Kukiri Makosa Yao

0
0
Washtakiwa watano wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akiwemo wakili, Dk Ringo Tenga wamemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuomba kukiri makosa yao.

Wakili wa washtakiwa hao, Byrson Shayo ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Ijumaa Septemba 27, 2019 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

Dk Tenga ambaye ni mkurugenzi na mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Six Telecoms Limited na wenzake, wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 73/2019.

Washtakiwa hao  wanakabiliwa na mashtaka sita, likiwemo la kutakatisha fedha na kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) hasara ya Dola za Marekani 3,748,751.

Mbali na Dk Tenga, washtakiwa wengine ni Hafidhi Shamte au Rashidi Shamte ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Peter Noni, Mkuu wa fedha wa kampuni hiyo Noel Chacha na Kampuni ya Six Telecoms.

Wakili Shayo amedai  mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kuwa wamejadiliana na wateja wao na baada ya majadiliano hayo wameamua kumuandikia DPP barua kwa kuzingatia maagizo ya Rais John Magufuli aliyoyatoa Septemba 22,  2019.

Amesema kutokana na uamuzi huo, wanaiomba mahakama kutoa ahirisho la siku 14 kuanzia leo ili waweze kupata  majibu ya barua hiyo.

Hakimu Simba baada ya kusikiliza maelezo hayo, ameahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 11, 2019 itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande

Rosa Ree Awafuata Ghetto Kids Uganda..Awashirikisha Kwenye Ngoma Yake

0
0
Mwanamuziki Rapper wa Kike Kutoka Tanzania amefunguka na kusema kuwa yupo Uganda Kupanua Mziki wake Katika nchi hiyo kwa kuwashirikisha Wanamuziki wakubwa huko wakiwemo Watoto maarufu wacheza Dance wanaitwa Getto Kids..

Ghetto Kids kutoka Uganda wamepata umaarufu Dunia nzima baada ya kushirikishwa na Wanamuziki French Montana na Chriss Brown Katika ngoma zao wakionyesha uwezo mkubwa wa Kucheza ..

Rosa Ree amesema anampango wa kutoa ngoma ya kucheza ambayo ndani yake atacheza yeye pamoja na hao watoto wa Ghetto Kids,.

 Amesema kwa sasa wako katika mazoezi ya wimbo huo kwa ajili ya kushoot Video

Mamia Ya Waombolezaji Wajitokeza Kumzika Mtoto Wa Mkuu Wa Majeshi Aliyefariki Kwa Ajali Ya Ndege

0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu RS
Mamia ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika mazishi ya mtoto wa Mkuu wa Majeshi  marehemu Nelson Mabeyo aliyekuwa rubani wa ndege ya Shirika la Auric Air, ambaye alifariki Septemba 23, 2019 kwa ajali ya ndege iliyotokea katika Uwanja mdogo wa Seronera  uliopo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara.

Mazishi hayo yamefanyika Septemba 26, 2019 katika Kijiji cha Masanzakona wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, ambapo yalitanguliwa na ibada ya mazishi iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yuda Tadei lililipo kijijini hapo ambapo ni nyumbani kwao na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo.

Akihubiri wakati wa ibada ya mazishi, Askofu Michael Msonganzila, Jimbo Katoliki Musoma amewasihi waombolezaji wote kuendelea kuifariji na kuiombea familia ya Mkuu wa Majeshi ili wapokee msiba huo kwa jicho la imani, masikio ya imani na kama mpango wa Mungu.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi akitoa salamu za serikali  amesema “marehemu Nelson Mabeyo alikuwa  kijana mcheshi na mchapakazi leo hatuko naye tena nitoe pole kwa familia ya Jenerali Mabeyo, sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea niwaombe tuendelee kuwaombea katika kipindi hiki kigumu Mwenyezi Mungu awape ustahimilivu.”

Naye Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akizungumza  kwa niaba ya wananchi wa mkoa wa Simiyu na wakuu wa mikoa ametoa pole kwa familia ya Mkuu wa Majeshi na kumshukuru kwa namna Mkuu  alivyowaunganisha watu wa Masanza, Busega na Simiyu katika masuala mbalimbali ya  ikiwemo Ujenzi wa Kanisa ambalo ibada ya mazishi ya marehemu Nelson imefanyika.

Kwa upande wake  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenrali Venance Mabeyo amewashukuru watu wote walioshirikiana na familia yake tangu msiba wa mwanaye Nelson ulipotokea , ambapo amesema kama familia hawauchukulii msiba huo kama adhabu bali makusudi ya Mungu mwenyewe kwa mtoto wao .

Mazishi ya marehemu  Nelson Mabeyo yalihudhuriwa na  watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, viongozi na Maafisa wa JWTZ walioko kazini na wastaafu, mawaziri na manaibu waziri, makatibu wakuu, wakuu wa Taasisi, viongozi wa Vyombo vya Usalama, wabunge, Wakuu wa mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Kagera, Kigoma, Mwanza na Dar es salaam , kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Simiyu na wakuu wa wilaya.

Waziri Mkuu: Rc Fuatilia Utendaji Kazi Ofisi Ya Dc Kilolo

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi afuatilie utendaji kazi kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kilolo kufuatia watumishi 14 wa ofisi hiyo wakiwemo madereva 10 kuhamishwa baada ya Mkuu wa Wilaya hiyo Asia Abdallah kudai kuwa hawafanyi kazi ipasavyo.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema ni mhuimu kwa viongozi wakatambua dhamana zao katika utekelezaji wa shughuli zao pamoja na kuwatambua, kuwajali na kuwathamini watumishi wa kada zote wakiwemo madereva, hivyo ni vizuri wawaandae kwa kuwapa maelekezo kwa wakati kwa kuwa nao ni binadamu na wanafamilia.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Ijumaa, Septemba 27, 2019) wakati akizungumza na watumishi wa wilaya ya Kilolo, Halmashauri ya wilaya ya Kilolo pamoja na Madiwani wa Halmashauri hiyo akiwa katika siku ya nne ya ziara yake ya kikazi mkoani Iringa. Amesisitiza umuhimu wa watumishi hao kushirikiana.

Waziri Mkuu amesema pamoja na shughuli za maendeleo wanazofanya katika wilaya hiyo lakini hawana mshikamano, hivyo amemtaka Mkuu wa Wilaya ahakikishe anashirikiana vizuri na wenzake kwa sababu watumishi wengi wamehamishwa tangu aingie katika ofisi hiyo na hata wanaoletwa wanalalamika na wanaomba wahamishwe.

Amesema watumishi wengi katika ofisi hiyo anawaona hawana uwezo wakiwemo wasaidizi wake kama madereva, watunza kumbukumbu na makatibu muhtasi. “Hata aliyekuwa Katibu Tawala wa wilaya hii alihamishwa kwa sababu na kutoelewana na DC, na hata huyu Katibu Tawala wa Wilaya aliyepo sasa hana raha anataka kuhama kwa sababu hizo hizo.”

“Lazima tuwatambue wasaidizi wetu na majukumu yao. Ofisi ya Mkuu wa Wilaya haiwezekani ikawa hivi, lazima kuna shida kuwaondoa watumishi wote, Mkuu wa Mkoa fuatilia hii ni mpya. Hapa tujue mbovu ni nani Mkuu wa Mkoa tunataka tujue DC wako anataka dereva wa aina gani, tangu amefika hapa madereva 10 wote hawafai?

Waziri Mkuu ameongeza kuwa “ili mfanye kazi vizuri mnatakiwa mshikamane mfanye kazi kama timu moja kwani pamoja na shughuli mnazofanya hamna ushirikiano. DC (mkuu wa wilaya) sasa utabaki peke yako utakuwa unaandika mwenyewe, unaendesha gari mwenyewe maana wote hawafai. Mkuu Mkoa nakukabidhi majina ya watumishi hao ushughulikie suala hili. Na Katibu Tawala wa Mkoa usilete watumishi wengine hapa mpaka suala hili litakapopatiwa ufumbuzi”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ameziagiza halmashauri zote nchini zihakikishe zinatenga kiasi cha fedha katika makusanyo yao ya ndani kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa miradi ya kimkakati kwenye maeneo yao kama ujenzi wa vituo vya afya, barabara za halmashauri na masoko badala ya kutegemea fedha kutoka Serikali Kuu pekee.

Amesema wilaya ya Kilolo ambayo haina kituo cha mabasi inatakiwa itenge fedha kutoka kwenye makusanyo yao na kuanzisha mradi wa kituo hicho ambao utekelezaji wake utaboresha huduma kwa wananchi pia, mradi huo utasaidia katika kuongeza mapato ya halmashauri. Halmashauri ya wilaya ya Kilolo inakusanya sh. bilioni nne kwa mwaka.

Waziri Mkuu amesema watumishi wanapaswa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwani wananchi wanahitaji waone matokeo ya uwepo wao kutokana na dhamana waliyotewa na Serikali katika wilaya hiyo. “Madiwani nanyi simamieni halmashauri yenu vizuri kwa sababu nyie ndiyo wenye dhamana ya kuhakikisha wananchi wanahudumiwa vizuri.”

Awali, Mbunge wa jimbo la Kilolo, Venance Mwamoto aliishukuru Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya yao ikiwemo ya umeme, ambapo kati ya vijiji 94 vilivyoko vijiji 54 vimeunganishiwa huduma hiyo na vilivyosalia vitakuwa viunganishiwa umeme ifikapo Desemba mwaka huu.

Akizungumzia kuhusu miradi ya maji mbunge huyo alisema kati ya vijiji 94 vya wilaya hiyo vijiji 15 tu ndio bado havina maji ya uhakika lakini wanaendelea na mchakato wa ufuatiliaji ili kuhakikisha navyo vipata maji safi na salama.”Kuhusu sekta ya elimu tatizo tulilonalo ni madai ya walimu waliohama na waliopandishwa madaraja.” Waziri Mkuu amesema suala hilo linafanyiwa kazi.

Mapema, Waziri Mkuu alikagua mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya na kupokea taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo ambapo alisema ameridhishwa na ujenzi huo uliogharimu sh. bilioni nne na alitumia fursa hiyo kuwapongeza viongozi wa wilaya hiyo akiwemo Mkurugenzi pamoja na mkandarasi anayenga.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0673878343

watsap +255 0620510598

Huduma hii inakufikia popote ulipo

Uturuki Yasema itapuuza vikwazo vya Marekani dhidi ya iran

0
0
Licha ya vikwazo vya Marekani, rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anasema ataendelea kununua gesi na mafuta ya Iran. 

Rais Erdogan amesema kupitia kituo cha televisheni cha Uturuki NTV, kwamba Uturuki haihofiii kuadhibiwa na Marekani. 

Nchi yake anasema haiwezi kujikosesha mafuta na gesi kutoka Iran. Rais Erdogan anasisitiza ataimarisha ushirikiano wa kiuchumi pamoja na Jamhuri ya Kiislam ya Iran katika sekta nyengine pia. 

Lengo anasema ni kuzidisha mara nne biashara iliyopo kati ya nchi hizo mbili. 

Rais Donald Trump wa Marekani ameiwekea Iran vikwazo vikali ili kuilazimisha ifikie makubaliano makali zaidi dhidi ya mradi wake wa nuklea.

-DW

Bashe Asema kuna upotevu wa zaidi ya Bilioni 120 kwenye vyama vya ushirika

0
0
Naibu Waziri wa kilimo, Hussein Bashe amesema kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi ya shirika la Ukaguzi wa Vyama vya Ushirika (COASCO), wamebaini kuwepo kwa upotevu wa jumla ya shilingi Bilioni 123 kwenye vyama vya ushirika.

Ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha wadau wa bodi ya pamba nchini kinachofanyikia kwenye ukumbi wa benki kuu (BOT) jijini Mwanza ambapo ameeleza kuwa wahusika wote watachukuliwa hatua kali.

“Hapa nina kabrasha, nitawapatia wakuu wa mikoa wote na nitamkabidhi kiongozi wa tume, kwa ripoti ya COASCO ushirika kumetokea jumla ya upotevu wa sh. Bilioni 123, na nisema hapa hatua kali zitachukuliwa kwa wahusika wote,” amesema.

“Hizi ni pesa za wakulima, wote waliohusika katika huu upotevu watachukuliwa hatua kali na wakuu wa mikoa tutawapa majina ya Amcos gani wanahusika na mnatakiwa kuchukua hatua,” amesema Bashe.

Aidha ameongeza kuwa ushirika uliopo kwa sasa unahitaji mabadiliko makubwa kwani hauwezi  kutatua matatizo ya kilimo hasa kwenye zao la pamba, ambapo mfumo unatakiwa kubadilishwa kutoka ushirika wa kuhudumia wakulima na kuwa ushirika wa kibiashara.

Download App Yetu Kwenye Simu Yako Ili Uweze Kupata Habari Zetu Kwa Haraka Zaidi

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Hatimaye Benjamin Netanyahu achaguliwa kuunda serikali mpya Israel

0
0
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu hapo jana usiku amepewa jukumu na Rais wa Israeli Reuven Rivlin la kuunda serikali mpya, kufuatia uchaguzi uliosababisha mkwamo wa kisiasa. 

Rais Rivlin amechukua uamuzi huo baada ya juhudi za kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kati ya chama cha Netanyahu cha Likud na chama cha Bluu na Nyeupe cha mpinzani wake Benny Gantz kushindikana. 

Rais ana jukumu la kikatiba la kumteua waziri mkuu baada ya uchaguzi wa kitaifa. Netanyahu anazo siku 28 za kuunda serikali mpya, na anaweza kuomba kuongezwa wiki mbili. 

Netanyahu akishindwa kupata uungwaji mkono wa kutosha ili awe na wingi wa viti bungeni, Gantz badala yake atapewa nafasi ya kuunda serikali ya mseto.

Kutana na Mohamedi Buruhani Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH .....Anauwezo wakufanya Dua mbalimbali Na Kutafsiri Ndoto

0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mohamedi Buruhani Mtabibu wa Nyota za Binadamu  Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mohamed Buruani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. 

Anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO . Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie ..Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Mohamed Buruhan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, Anatafsiri Ndoto. ,KUSAFISHA NYOTA, Mvuto wa Mwili na BIASHARA, ...MIGUU Kufa GANZI na mengi zaidi (+255  715971688 au (+255  756914036

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Hatimaye Benjamin Netanyahu achaguliwa kuunda serikali mpya Israel

0
0
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu hapo jana usiku amepewa jukumu na Rais wa Israeli Reuven Rivlin la kuunda serikali mpya, kufuatia uchaguzi uliosababisha mkwamo wa kisiasa. 

Rais Rivlin amechukua uamuzi huo baada ya juhudi za kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kati ya chama cha Netanyahu cha Likud na chama cha Bluu na Nyeupe cha mpinzani wake Benny Gantz kushindikana. 

Rais ana jukumu la kikatiba la kumteua waziri mkuu baada ya uchaguzi wa kitaifa. Netanyahu anazo siku 28 za kuunda serikali mpya, na anaweza kuomba kuongezwa wiki mbili. 

Netanyahu akishindwa kupata uungwaji mkono wa kutosha ili awe na wingi wa viti bungeni, Gantz badala yake atapewa nafasi ya kuunda serikali ya mseto.

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

0
0
MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0673878343

watsap +255 0620510598

Huduma hii inakufikia popote ulipo

Hatimaye Benjamin Netanyahu achaguliwa kuunda serikali mpya Israel

0
0
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu hapo jana usiku amepewa jukumu na Rais wa Israeli Reuven Rivlin la kuunda serikali mpya, kufuatia uchaguzi uliosababisha mkwamo wa kisiasa. 

Rais Rivlin amechukua uamuzi huo baada ya juhudi za kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kati ya chama cha Netanyahu cha Likud na chama cha Bluu na Nyeupe cha mpinzani wake Benny Gantz kushindikana. 

Rais ana jukumu la kikatiba la kumteua waziri mkuu baada ya uchaguzi wa kitaifa. Netanyahu anazo siku 28 za kuunda serikali mpya, na anaweza kuomba kuongezwa wiki mbili. 

Netanyahu akishindwa kupata uungwaji mkono wa kutosha ili awe na wingi wa viti bungeni, Gantz badala yake atapewa nafasi ya kuunda serikali ya mseto.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi September 28


Serikali Yatoa Onyo Kali Kwa Watendaji Kata

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaonya baadhi ya Watendaji Kata na askari nchini ambao wamekuwa wakishindwa kuzifikisha sehemu husika kesi za watu waliowapa ujauzito wanafunzi na amesema watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Ameyasema hayo jana jioni (Ijumaa, Septemba 27, 2019) wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ilula Sokoni, kata ya Nyalumbu wilayani Kilolo akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Iringa.

“Wanafunzi bado wanaendelea kupewa ujauzito na kukatishwa masomo yao huku watu waliohusika na vitendo hivyo wakishindwa kuchukuliwa hatua stahiki kwa sababu baadhi ya watendaji na askari wamezikalia kesi zao na kushindwa kuwafikisha polisi.”

“Watoto wa kike lazima walindwe ili wamalize masomo yao waje kulitumikia Taifa lao. Serikaliimeweka sheria kali ya kumlinda mtoto wa kike lengo ni kumuwezesha amalize masomo yake ili aweze kujikwamua kiuchumi na aondokane na utegemezi.”

Waziri Mkuu alisema watoto wa kike wanatakiwa kuheshimiwa katika jamii na adhabu iliyowekwa na Serikali ni kifungo cha miaka 30 jela kwa mtu atakayemuoa, kumpa ujauzo na hata ukikutwa naye nyumbani kwako, katika nyumba ya wageni.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wananchi hususan waishio vijijini wasikubali kurubuniwa na kugawa ardhi yao kwa watu mbalimbali wanaofika kwenye maeneo yao na kutaka wauziwe ardhi bila ya kuzihusisha mamlaka husika.

“Eneo lenu hili la Ilula ni zuri hivyo msikubali kurubuniwa kuuza ardhi yenu kwa sababau inathamani kubwa. Viongozi wa Kata na Vijiji hakikisheni mnaratibu vizuri na muandae mpango wa matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro.”

Waziri Mkuu alisema wananchi hao wanatakiwa wawe makini na ardhi na mamlaka zinazohusika na ardhi lazima zihusishwe katika ugawaji wa ardhi kwa sababu wakigawa hovyo watasababisha vijana wao hapo baadaye wakose maeneo ya kilimo.

Akizungumzia kuhusu uboreshwaji wa huduma za afya, Waziri Mkuu ameahidi ujenzi wa kituo cha afya katika kata ya Ilula ili kuwapunguzia wananchi kutembea umbali mrefu hadi Iringa mjini kwa ajili ya kufuata huduma hizo.

Alisema kituo kitakachojengwa kitakuwa na chumba cha kujifungulia, chumba cha maabara kwa ajili ya vipimo mbalimbali, huduma za mama na mtoto, mapasuaji, wodi ya wanaume na wanawake, aliwataka wananchi waendelee kuwa na imani na Serikali yao.

Waziri Mkuu alisema suala la kuboresha na kusogeza huduma mbalimbali za kijamii kwa wananchi zikiwemo za afya limepewa kipaumbele na Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ambaye anataka kuona wananchi wakiwa na afya nzuri ili waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli zao za kimaendeleo.

Kabla ya kuhutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara, Waziri Mkuu alikagua ujenzi wa mradi wa maji Ilula na kuweka jiwe la msingi. Pia, Waziri Mkuu alikagua shughuli za ukarabati wa chuo cha Maendeleo ya Wananchi  Ilula.

Awali, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Josephat Kandege aliwahimiza wananchi hao wajiunge katika Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili wawe na uhakika wa kupata huduma za matibabu ya bure wao na familia zao.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Happi alisema kuwa awali eneo la Ilula lilikuwa linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo yam ogogoro ya ardhi ambayo kwa kushirikiana na watendaji wenzake walifanikiwa kuitatua.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Wadau Maonesho Ya Geita Watembelea Mgodi Wa GGM

0
0
Wadau mbalimbali wanaoshiriki Maonesho ya  Pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini jana  Septemba 27, 2019, wametembelea Mgodi wa Dhahabu wa GGM unaomilikiwa na Kampuni ya Anglo Gold Ashanti. 

Ziara hiyo imelenga katika kujifunza kuhusu namna shughuli za uchimbaji na uzalishaji wa Madini ya Dhahabu unavyofanyika mgodini hapo huku lengo kuu likiwa kuona teknolojia mbalimbali zinazotumika katika uchimbaji wa madini.
 
Aidha, mbali na kujifunza kuhusu uzalishaji na uchimbaji, wadau hao wameelimishwa kuhusu masuala mazima kuhusu namna mgodi huo unavyoshughulikia masuala ya mazingira, usalama na afya mgodini.

Akizungumzia masuala ya jamii, Afisa anayehusika na Masuala ya Mahusiano na Jamii mgodini hapo Musa Shunasu, ameeleza mgodi huo umekuwa ukitoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo,  kufadhili miradi mbalimbali, pia kwa kushirikiana na Wizara ya Madini umeanzishwa mgodi wa mfano wa Lwamgasa unaolenga katika kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo ili waweze kuchimba kwa tija. 

Aidha, mgodi huo umesaidia jamii katika masuala mengine mbalimbali yakwemo ya elimu na afya
 
Akijibu hoja kuhusu madai mbalimbali ya wananchi kuhusu masuala ya fidia amesema kwamba mwananchi yoyote katika eneo linazunguka mgodi huo ama aliye mbali ya eneo hilo anaruhusiwa kuwasilisha malalamiko yake kwa mgodi.
 
Kwa mujibu wa Shunasu, kampuni hiyo ina zaidi ya migodi 16 maeneo mbalimbali duniani, huku hapa nchini ulianza shughuli za uzalishaji mwaka 2000.
 
Amesema Dira ya kampuni hiyo ni kuchimba dhahabu kuwa kampuni inayoongoza kwa uchimbaji, usalama, mazingira na jamii.

Tutahakikisha Malighafi Zinazohitajika Viwandani Zinapatikana

0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Songwe
Serikali imesema kuwa inaimarisha mikakati yake ili kuwa na uwezekano wa kuwa na malighafi toshelevu katika viwanda vyote nchini.

Ifahamike kuwa malighafi nyingi zinazotumika viwandani asilimia kubwa zinatokana na sekta ya kilimo hivyo moja ya mkakati madhubuti ni kusimamia kwa weledi sekta hiyo ili kuwa na malighafi nyingi na za kutosha.

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ameyasema hayo  jana tarehe 27 Septemba 2019 wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Vwawa Mkoani Songwe.

Alisema kuwa miongoni mwa majukumu muhimu ya Wizara ya kilimo ni kuimarisha Mchango wa sekta ya kilimo ili wakulima waweze kuongeza uzalishaji na tija.

"Ni lazima tuhakikishe kuwa watu wanazalisha kwa ajili ya biashara sio chakula pekee na gharama wanazotumia ni lazima wahakikishe zinarudi ili waone faida ya kilimo" Alikaririwa Mhe Hasunga

Waziri Hasunga ameeleza kuwa serikali kupitia wizara ya kilimo ina jukumu la kuhakikisha umasikini unapungua kwa kuongeza uzalishaji kwa wakulima ili kilimo kiendelee kuingiza fedha nyingi za kigeni na kuchangia kwa wingi pato la Taifa.

Kadhalika ametaja Mikakati mingine ya wizara ya kilimo kuwa ni pamoja na  Pembejeo (Mbegu bora, Mbolea, na Viuatilifu) kufika kwa wakati kwa wakulima ambapo amesisitiza kuwa wananchi wanapaswa kununua mbegu Bora kwani  zinaweza kukinzana na magonjwa na nyingi zinastahimili ukame.

Kuhusu masoko ya mazao ya wakulima waziri Hasunga amesema kuwa wizara yake imekuja na mkakati maalumu wa kuanzisha kitengo cha masoko kitakachokuwa na majukumu ya kubainisha masoko ya mazao mbalimbali ya wakulima.

"Ni lazima kufanya biashara kisasa kwa kujua mahitaji ya soko kabla ya kuzalisha mazao ya kilimo ili wakulima wanapozalisha tayari wawe wanajua watauza wapi mazao yao" Alisisitiza Mhe Hasunga

Katika mkutano huo uliohudhuriwa na mamia ya wananchi ambao ni wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa Vwawa na ameneo ya jirani, Waziri Hasunga amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli katika kuimarisha ufanisi wa shughuli za maendeleo katika Jimbo la Vwawa na Taifa kwa ujumla.

MWISHO.

Mfanyakazi CRDB Afikishwa Mahakamani kwa kumuibia mteja zaidi ya milioni 100

0
0
Ofisa  wa benki ya CRDB tawi la Ubungo,Andrew Babu(27)na wenzake watatu ambao ni Wafanyabiashara wamefikishwa katika Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar  wakikabiliwa tuhuma za Uhujumu Uchumi ikiwamo kula njama,kugushi tembo kadi, wizi na kutakatisha zaidi ya Mil 100.
 
Mbali na Babu, washitakiwa wengine ni William Sige, Justina Boniphas na Ally Tatupa ambao wote wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 101/2019.

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon aliwasomea mashtaka yao Alhamisi Septemba 26, 2019 mbele ya Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Agustina Mbando.


Hakimu Mmbando ameahirisha kesi hiyo hadi  Oktoba 10, 2019 itakapotajwa tena.

Washtakiwa wote walirudishwa rumande kutokana na shtaka la utakatishaji fedha kutokuwa na dhamana.

Kwanza TV Yapewa Kifungo Cha Miezi 6 na TCRA

0
0
Kamati ya maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu kwa televisheni za mtandaoni kwa kukiuka misingi ya uandishi wa habari na utangazaji na kushindwa kuchapisha sera na mwongozo kwa watumiaji.

Chaneli za mtandaoni zilizokumbwa na rungu hilo ni Watetezi Tv, Millard Ayo na Kwanza Tv ambayo imepewa adhabu ya kufungiwa kwa miezi sita.

Akisoma uamuzi wa kamati Makamu mwenyekiti Joseph Mapunda amesema Kwanza Tv wamekutwa na kosa la kukiuka misingi ya uandishi wa habari na kanuni za utangazaji kwa kuchapisha habari iliyolenga kupotosha.

Amesema kupitia ukurasa wake facebook Kwanza tv iliweka video iliyobebwa na kichwa cha habari Dk Gwajima apata ajali.

Mapunda amesema kwa makusudi habari hiyo haikutaja jina la kwanza la Dk Gwajima hivyo kuzua taharuki hasa ikizingatiwa kuna mtu mwingine maarufu anayetumia jina hilo

Pia Kwanza Tv ilikutwa na kosa la kutochapisha sera na mwongozo kwa watumiaji wake jambo linalowapa uhuru wa kuweka maudhui yoyote bila kujali athari zinazoweza kujitokeza.

Kwa makosa hayo mawili kamati ilifikia uamuzi wa kuifungia Kwanza Tv kwa muda wa miezi sita.

Kosa la kutochapisha mwongozo kwa watumiaji wamekutwa nalo pia Millard Ayo na Watetezi Tv ambao wote wametozwa faini ya Sh5 milioni na kupewa onyo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images