Kwa mara ya kwanza staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki ‘Nay wa
Mitego’ ameibuka na kuuelezea upande wa pili wa maisha yake kuwa kabla
hajawa mwanamuziki alikuwa mwizi balaa!
Akizungumza na mwandishi wetu
ana kwa ana jijini Dar es Salaam juzi, staa huyo alikiri kupitia katika
majanga kibao maishani mwake likiwemo la kulala katika vituo mbalimbali
vya polisi vya jijini Dar kufuatia
Nay wa Mitego Asimilia maisha yake kabla ya kuwa Staa.....Asema alikuwa MWIZI Balaa na amelala polisi mara 7
↧
↧
Zaidi ya nyumba 300 zavunjwa Kawe, jijini Dar es Salaam......Wananchi Walaani kitendo hicho
Zaidi
ya kaya 300 zenye wakazi zaidi ya 100 za Kawe Tanganyika Pecus jijini
Dar es salaam hazina makazi baada ya kuvamiwa na kundi la watu
waliotumwa na shirika la nyumba la taifa kuvunja nyumba zao bila taarifa
zozote za kuwataka kuhama makazi hayo.
Wakazi hao wamelaani kitendo hicho na kuiomba serikali kuingilia
kati zoezi linaloendelea la kuvunjwa kwa nyumba hizo ili kuwapa muda
↧
Rais Kikwete ajiunga na Viongozi Wengine wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani jijini Washington Dc
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika
Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya
Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak
Obama Julai 5, 2014.
Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa
Viongozi wa Afrika na Marekani ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama
katika ukumbi wa State
↧
Picha: Binti wa Rais Kagame, Ange aiteka White House kwa Uzuri wake
Wakati ambapo marais wengi wa Afrika wameenda na wake zao kwenye
mkutano na Rais Barack Obama, Rais Paul Kagame wa Rwanda amechagua
kwenda na binti yake, Ange.
Awali watu walidhani kuwa mke wa Rais wa Cameroon, Chantal Biya anaweza kuwa
kivutia kwa wengi kutokana na nywele zake, lakini inavyoonesha Angel
Kagame ‘ameichukua show’ kwa urembo na urefu wake kama wa Twiga.
Chantal
↧
Linex Atangaza Nia Yake Ya Kugombea Ubunge Kupitia Chama Kipya Cha ACT - Tanzania......Asema Mwenyekiti wa chama hicho ni Zitto Kabwe
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea
nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa
sasa ni msanii kutoka Kigoma All Stars aitwaye Linex Mjeda.
Amekua wazi kutaja chama ambacho anategemea kugombania nafasi yake ya
ubunge aliyosema kuwa tayari ana jimbo anasubiri muda tu na chama
alichosema anategemea kugombea ni chama kipya cha ACT.
↧
↧
UKAWA Yameguka....Wabunge Wawili wa CHADEMA Watinga Bungeni, Wengine tayari wapo Dodoma Wanajishauri
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni mwanachama wa CHADEMA, Leticia Nyerere (kushoto) akitoka kujaza fomu ya mahudhurio ya vikao vya Bunge hilo huku akisindikizwa na mjumbe mwenzake, Steven Ngonyani
**************
Kumekucha katika Bunge Maalumu la Katiba, ambapo sasa baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamekiuka viapo na vitisho vya
↧
Viatu Virefu Vyamtia AIBU Maimartha.....Vyamtegua, adondoka chini
Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu virefu alivyokuwa amevaa.
Mwandishi alimshuhudia Maimartha akiwa anachechemea kwenye
sherehe moja ya kitchen party hivi karibuni huku akiwa bado amevaa viatu
virefu na alipoulizwa kulikoni anachechemea alijibu kwamba aliteguka
mguu baada ya kudondoshwa na viatu virefu.
“Nimeumia mguu
↧
MUKOBA achaguliwa kuwa Rais Mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi ( TUCTA)
Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.
Katika raundi ya kwanza, kura zao zilishindwa kutimia baada ya kila mgombea kwenda chini ya nusu ya idadi ya wajumbe wa mkutano huo mkuu wa Tucta.
Katika
↧
Rais Kikwete kukabidhiwa Katiba Mpya ifikapo Oktoba 31 mwaka huu......CCM wazuiwa kujadili UKAWA
Siku
moja baada ya Bunge Malumu la Katiba kufanya mabadiliko ya kanuni kwa
ajili ya kuwabana wajumbe wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta amepanga
kumkabidhi Rais Jakaya Kikwete katiba mpya inayopendekezwa ifikapo
Oktoba 31 mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu wa Bunge Maalumu la
Katiba,Yahaya Hamis Hamad,
↧
↧
Rais Kikwete akutana na Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika jijini Washngton DC, Marekani
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Malawi Profesa Peter
Mutharika aliyemtembelea kumjulia hali kwenye hoteli ya Ritz Carlton
katika kitongoji cha George Town jijini Washington DC, Marekani, ambapo
wote walikuwa wamefikia.
Rais Kikwete na Rais Mutrharika, ambao
walikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioalikwa kuhudhuria Mkutano
wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara
↧
Rihanna anataka kununua club kubwa ya soka ya UK, amuomba ushauri Didier Drogba
Rihanna anasemekana kuwa na nia ya dhati kutaka kununua club ya soka
ya Uingereza na tayari amezungumza na Didier Drogba ambaye ni rafiki
yake wa karibu ili ampe ushauri.
Muimbaji huyo mwenye miaka 26 pia amepanga kuanzisha chuo cha michezo
nchini kwao Barbados na kisha anapenda kuwa mwenyekiti ama mmiliki wa
club kubwa ya Uingereza.
Chanzo kilicho karibu na Rihanna kilidai kuwa
↧
TundaMan aeleza alichoshauriwa na Ali Kiba baada ya kupokea simu na kuugua,.... "inawezekana ni ushirikina"
Mwimbaji wa Tip Top Connection, TundaMan aliwashangaza wengi baada ya
kueleza kuwa alipokea simu yenye namba nyingi asizozielewa na ghafla
akapata mshtuko na kuishiwa nguvu, hali iliyomsababisha akimbizwe
hospitali ambapo alipewa matibabu.
Licha ya kuwa wataalam na mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA)
walieleza wazi kuwa kitaalam simu haiwezi kabisa kuwa chanzo cha tatizo
hilo,
↧
Penzi la Shilole na Mziwanda laanza Upya baada ya Wawili hao kuzinguana na kisha kutemana
Mapenzi
ya Nuh Mziwanda na Shilole yaliyoripotiwa kuvunjika hivi karibu yamerudi
kwa nguvu zaidi siku ya jana ambapo wapenzi hao walisambaza picha kupitia account zao za
Instagram wakiwa pamoja kama ishara ya mapenzi yao kuongezeka zaidi.
Nuh na Shilole wote waliweka picha instagram kuonyesha wamepatana na mapenzi yatadumu zaidi ya miezi kadha iliyotabiriwa.
↧
↧
Wema Sepetu Ajichora Tattoo Mpya kumuenzi Marehemu baba yake
Staa
Wema Sepetu jana ametambulisha tattoo yake mpya aliyojichora mkononi
iliyoandikwa Daddy Sepetu kupitia Instagram ikiwa ni kumbukumbu ya baba
yake.
↧
Watu 93 wakamatwa kwa kuvamia shule jijini Mbeya
Jeshi la polisi Jijini Mbeya linawashikilia wananchi wa kijiji cha
Lupembe Wilayani Kyela wapatao 93 kwa kuvamia shule ya sekondari Mwingo
wakiwa na silaha mbalimbali za jadi.
Wananchi
hao wamefanya uvamizi huo kwa kile kinachoelezwa kuwa walikuwa
wakiwataka walimu na wanafunzi wa shule hiyo waondoke katika eneo la
shule wanalodai kuwa ni mali ya kijiji.
Kwa mujibu wa kaimu
↧
Rais Kikwete: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi
ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya umeme.
Aidha,
Rais Kikwete amesema kuwa hali hiyo inaeleza jinsi ongezeko la
uzalishaji na matumizi ya umeme linavyoweza kuharakisha maendeleo ya
Afrika na
↧
Diamond Platnumz Is More Than Grateful To Be Alive (See Why)
Many of us are used to complaining about every little thing in life
whether good or bad. We will complain about not having a job and then
complain even more when we get one.
An underground artist will complain
about poor publicity when he is struggling to make it, and then
complain about poor pay or something else when he gets the publicity he
so desired, but not Diamond Platnumz.
↧
↧
Alichokisema Anti Ezekiel baada ya kusemekana anatoka kimapenzi na dansa wa Diamond Platnumz.
Mwanzoni mwa wiki hii miongoni mwa stori ambazo zilitoka na kuenea
kwenye magazeti kadhaa ni pamoja na inayomhusu Anti Ezekiel kusemekana
kuwa anatoka na dansa wa Diamond Platnumz.
Taarifa ya awali ilidai kuwa mpenzi huyo wa dansa wa Diamond alienda
kufanya vurugu nyumbani kwa Anti Ezekiel,Anti Ezekiel kapatikana na
kaongelea mahusiano yake na Moses Iyobo ambaye ndiye dansa wa
↧
Jack Wolper adaiwa kutibua Uchumba wa Nay Wa Mitego na Siwema
Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia madai ya kutoka na msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper na kudai kuwa wao ni washikaji tu ila ukaribu wao umesababisha mtifuano kati yake na mchumba wake, Siwema.
Akizungumza na mwandishi Nay alisema, watu wamekuwa wakieneza kuwa yeye na Wolper wanatoka kiasi cha kumkosesha amani Siwema na kufikia wakati f’lani wakatibuana.
↧
Picha: Floyd Mayweather huogeshwa na msichana maalum asiye mpenzi wake, kama mtoto vile!!
Bondia Floyd Mayweather ambaye anadaiwa kutumia pesa nyingi sana kwa
maisha ya anasa ameweka wazi maisha yake ya ndani na kuonesha jinsi
anavyohudumiwa bafuni kwa kuoshwa na msichana maalum asiye mpenzi wake.
Floyd amepost picha na ujumbe Instagram akiogeshwa bafuni na mrembo mmoja na kueleza kuwa hivyo ndivyo huianz siku daima.
“This is how I get my day started everyday –MR MY
↧