Taarifa
ambazo zimepatikana kwenye mitandao jamii zinaelezwa kuwa, jana usiku
katika kata ya Minepa jimbo la Ulanga Magharibi, vijana waliosadikiwa
kuwa wa “green guard” waliwavamia viongozi wa CHADEMA na kuwajeruhi...
Waliojeruhiwa ni Mwenyekiti wa Jimbo bw. Kibam Ally Mohammed (aliyevaa shati ya
michirizi), Katibu wa Jimbo bw. Lucas Lihambalimo (aliyevaa shati
jekundu) na Bw.
"GREEN GUARD" WATUHUMIWA KUWAJERUHI VIONGOZI WA CHADEMA HUKO MOROGORO
↧
↧
KIJANA MMOJA AKUTWA AMEKUFA KATIKA NYUMBA INAYOJENGWA, KIGOGO, DAR
Mwili ukiwa eneo la tukio.
Ukiwa umefunikwa.
Mashuhuda wa tukio hilo.
Kijana
mmoja aliyefahamika wa kwa jina la Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa
amekufa kwenye chumba kimoja cha nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika
kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa
mashuhuda wa tukio hilo, marehemu alikutwa na chupa iliyokuwa na
↧
CHADEMA NA CCM WAKATANA MAPANGA MKOANI IRINGA
MWENYEKITI
wa Baraza la Wazee wilayani Kilolo, Lunyiliko Nyaulingo amelazwa katika
Hospitali ya mkoa Iringa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mgololo amelazwa
Hospitali ya wilaya ya Mufindi baada ya kujeruhiwa vibaya na watu
wanaodaiwa ni wanachama wa CCM katika kampeni za mwisho za kuwania
nafasi ya udiwani.
Sambamba na hiyo Katibu wa CCM kata ya
Ng’ang’ange wilayani Kilolo, Wilhad Ngogo (
↧
UKWELI WA MAMBO KUHUSU MAMA ALIYEAMUA KUISHI JUU YA PAA LA NYUMBA HUKO MBEZI BEACH
WIKI iliyopita kuliibuka sakata
zito lililochukua nafasi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya
kijamii, lililomuhusisha mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Hezelina
Mrema mkazi wa Mbezi Beach, eneo la Tangi Bovu jijini Dar es Salaam,
kuamua kuishi juu ya paa la iliyodaiwa kuwa ni nyumba yake.
Hatua
hiyo ilisababisha baadhi ya wanaharakati kujitokeza na kuahidi
kumsaidia mama
↧
MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA FILAMU ZA STEPS ENTERTAINMENT HAYA HAPA
Yafuatayo
ni majina ya washindi wa tuzo za filamu kwa mwaka 2012/13 toka kampuni
ya steps entertainment zilizofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa
hoteli ya blue Pearl iliyopo ubungo jijini Dar es Salaam.Katika tuzo hizi Merehemu steven Kanumba aling'ara kwa kupata tuzo nyingi kuliko waigizaji wote kwa kupata tuzo tatu.Mwigizaji bora wa kiume ni JB kupitia filamu ya ‘Nakwenda kwa
↧
↧
MAPENZI YA JINSIA MOJA YAOTA MIZIZI MKOANI MOROGORO....MAAMBUKIZI YA UKIMWI NAYO YAONGEZEKA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inakabiliwa na changamoto ya kukua
kwa maambukizi ya Ukimwi, baada ya kushamiri kwa biashara ya mapenzi ya
jinsia moja.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Naibu Meya
Manispaa ya Morogoro, Lidya Mbiaji, alisema kuwa kumekuwa na tatizo
kubwa la kushamiri kwa vichocheo vya ngono, hali inayochangia kukua kwa
kiwango cha maambukizi ya
↧
MWANAMKE AVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI BAADA YA KUZIDISHA POMBE HUKO MBAGALA ZAKHEIM
DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza
kujulukana mara moja aliuacha hoi umati wa watu waliokuwa kwenye baa moja
hivi (jina kapuni) huko mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote
na kubaki uchi wa mnyama na hivyo kusababusha hali ya taharuki katika
maeneo hayo.
Chanzo cha habari kinadai kuwa
dada huyo alifika maeneo hayo akiwa vizuri kabisa...
Uchafu wake
↧
WABUNGE WA CHADEMA WAGOMA KUINGIA BUNGENI KUFUATIA BOMU LA ARUSHA...IGP ATOA NAMBA YAKE KWA MTU YEYOTE MWENYE TAARIFA
Wakati
Jeshi la Polisi nchini limesema limepata taarifa za mwonekano wa mtu
aliyetupa bomu katika mkutano wa kampeni wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) Arusha, Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe
amesema wabunge wake leo hawataingia bungeni.
Akizungumza
na waandishi wa habari jana, Mbowe alisema wabunge hao watawasili
Arusha kwa ajili ya kuungana na wananchi pamoja
↧
VIDEO: MWANAMKE ABAKWA NA KUZIKWA AKIWA MZIMA...POLISI WAMFUKUA NA KUKUTA AMEKWISHAFARIKI
<!-- adsense -->
Matukio ya kikatili yameendelea kutikisa nchini Nigeria baada ya mwanamke mmoja kubakwa na kuzikwa akiwa mzima....
Taarifa toka katika mitandao ya kinigeria zinadai kuwa mwanamke huyo alibakwa na kisha wabakaji wakamfunga miguu na mikono.....
Zoezi la kumfukua likiendelea.....
Mwili wa dada huyo ukifukuliwa
Mwili umekwisha fukuliwa, bahati
↧
↧
DR. NCHIMBI AWAFARIJI WAHANGA WA BOMU NA KUTEMBELEA SEHEMU ILIYOLIPULIWA BOMU
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel Nchimbi
akiwa katika viwanja vya Soweto Arusha palipotokea mlipuko wa bomu
wakati wa kufunga kampeni za kuwania udiwani wa kata za jijini arusha za
chama cha CHADEMA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel Nchimbi
akiwa katika viwanja vya Soweto Arusha palipotokea mlipuko wa bomu
wakati wa kufunga kampeni za kuwania udiwani wa kata za
↧
PICHA ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO
↧
"MLIPUKO WA BOMU LA ARUSHA ULIPANGWA NA CHADEMA WENYEWE".....NAPE NNAUYE
Itakumbukwa tarehe 16/06/2013 ilikuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa
madiwani kwa baadhi ya kata nchini. Uchaguzi huo umefanyika kwenye kata
ishirini na mbili (22) -kati ya kata ishirini na sita (26)
zilizotangazwa kufanya uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi wazi.
Matokeo tuliyoyapata toka kwenye maeneo yaliyofanya uchaguzi yanaonyesha
kuwa kati ya kata 22 zilizofanya uchaguzi CCM tumeshinda
↧
MAKAHABA WANAOJIUZA SINZA WATIWA MBARONI NA MGAMBO WA JIJI
↧
↧
VIDEO YA MLIPUKO WA BOMU LA TAREHE 15 HUKO ARUSHA
↧
VIDEO MBILI ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO
↧
VIDEO YA NAPE NNAYE AKIWAVAA CHADEMA NA KUDAI KUWA WANAHUSIKA NA MLIPUKO WA BOMU
Wakati jeshi la polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vikihaha kumtafuta mtu aliyerusha bomu katika mkutano wa kampeni huko Arusha chama cha mapinduzi CCM kimetoa tamko kuhusiana na tukio hilo na kukishutumu moja kwa moja chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kuwa wao ndio wanaohusika na tukio hilo .
<!-- adsense -->
↧
MSHIRIKI WA TANZANIA ( FEZA KESSY ) AKIMUOGESHA MSHIRIKI WA ZIMBABWE ( HAKEEM) NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
<!-- adsense -->
Video hizi hutolewa na big borther wenyewe kwa jamii kama sehemu ya shindano hilo....
Wahiriki wote wa big brother wanajua ya kwamba jumba hilo limezingirwa na kamera kila kona.Kwa hiyo, kama mtu ataamua kufanya ufuska au kukaa uchi basi ajue kamera zitamrekodi na kumwanika hadharani....
Masharti hayo hujuzwa mapema kabla ya kuanza kwa shindano hilo...
Hakeem
↧
↧
KAULI YA SERIKALI KUHUSU KITITA CHA MILIONI 100 KWA MTU ATAKAYEMTAJA MTU ALIYERUSHA BOMU ARUSHA
Zifuatazo ni nukuu za maneno yaliyotolewa na Waziri wa nchi
Ofisi ya Rais, sera, uratibu na bunge William Lukuvi kuhusu hilo bomu
ambalo lililipuliwa kwenye mkutano cha Chadema Arusha.
“Mtu asiejulikana alirusha kitu katika kundi la watu
kilichosababisha mlipuko mkubwa, mkutano huu ulikua na ulinzi wa jeshi
la Polisi wakiwa na magari mawili… askari walisimama upande wa Kaskazini
ya
↧
CATHY WA BONGO MOVIE ALIA NA USHIRIKINA ULIPO NDANI YA TASNIA HIYO....AWATAKA WASANII WAMRUDIE MUNGU
Mwigizaji wa Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ naye amenyanyua kinywa chake na
kuonesha jinsi gani anakerwa na wasanii wanaoshinda kwa waganga ili
kutafuta ustaa.
Akiongea na mwandishi wetu hivi karibuni, Cathy alisema kuna baadhi
ya wasanii (hakuwataja majina) wamekuwa na tabia za kuzunguka kwa
waganga wakitafuta kuwa juu katika tasnia ya filamu suala ambalo
halipendezi na kuwasihi
↧
BAADA YA NAPE KUITUHUMU CHADEMA, MBOWE NAYE AFUNGUKA NA KUDAI KUWA BOMU LILIRUSHWA NA FFU NA USHAHIDI ANAO
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe
amefichua siri kuhusu tukio la mlipuko wa bomu lililotokea jusi katika
viwanja vya Soweto, jijini Arusha.Katika kauli yake jana, Mbowe
ameibua tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi, ambapo alidai kuwa askari
wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) ndiye aliyerusha bomu hilo.Akizungumza
na waandishi wa habari mjini hapa,
↧
More Pages to Explore .....