Mwimbaji wa kike aliyepiga hatua kubwa hivi karibuni na kusainiwa na
kampuni ya kubwa ya Afrika Kusini NFZ, Linah alifanya mahojiano
exclusively na Times Fm na kufunguka zaidi kuhusu mambo muhimu
katika muziki wake.
Linah alizungumzia masuala muhimu yanayohusu muziki wake. Jinsi
alivyofanya kazi na kundi la Uhuru ‘Ole Themba’ na alivyojipanga
kulikabili soko la kimataifa.
Interview: Linah azungumzia muziki wake, mpango wa kwenda BBA, reaction baada ya kupata taarifa ya ndoa ya Amini na..(Audio)
↧
↧
Picha: Beyonce atumia 'kucha' kujibu taarifa za kutaka kuachana na Jay Z
Taarifa za maandilizi ya talaka kati ya wanandoa Jay Z na Beyonce
zimendelea kuandikwa na vyombo vikubwa vya habari ambavyo huaminika sana
nchini Marekani na Uingereza.
Taarifa hizo zinazotolewa na vyanzo vya karibu zinaeleza kuwa
wanandoa hao wameshatengana hata vyumba vya kulala wakati wakiwa
wanaendelea na tour yao.
Hata hivyo, Beyonce amekuwa kimya huku akitumia lugha
↧
Picha: Christina Aguilera apiga picha akiwa UCHI kuonesha ujauzito wake
Mwimbaji Christina Aguilera meamua kupiga picha akiwa mtupu kwa ajili ya jarida la ‘V Magazine’ la mwezi huu.
Katika picha hizo, mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 33 na mjamzito
anaekaribia kujifungua, ameonesha umbo lake akiwa na mwanae tumboni huku
akiwa amejifunika sehemu ya kifua chake na mikono.
Inaelezwa kuwa Christina ndiye aliyemuita mpiga picha Brian Bowen
Smith kwa
↧
Mjumbe wa UKAWA atinga bungeni
Wakati wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) wakiendelea na msimamo wa kususia vikao vinavyotarajiwa
kuanza leo mjini Dodoma, mmoja wa wajumbe wake jana aliripoti bungeni
na kujiandikisha.
Mjumbe huyo, Clara Mwatuka ambaye pia ni Mbunge wa
Viti Maalumu (CUF), alionekana katika Viwanja vya Bunge saa 6:30 mchana
akiwa ameongozana na wabunge kadhaa wa
↧
Rais Kikwete: Nitakuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amesema kuwa anataka na anatamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania
kuongoza nchi ambayo ni maskini na hivyo atatumia muda wake uliobakia
katika uongozi kuelekeza nchi kwenye mwelekeo huo.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa jambo la msingi kabisa la kama
Watanzania watanufaika na ugunduzi wa gesi asili ama
↧
↧
Msichana aliyepigwa na mtoto wa Obama atoa kauli ya kushangaza
Mtoto wa rais wa kike wa Marekani, Malia Obama mwenye umri wa miaka
16 alimpiga/alimgonga kwa bahati mbaya msichana aliyefahamika kwa jina
la Bridget Truskey walipokuwa katika tamasha kubwa la muziki la
Lollapalooza nchini Marekani.
Msichana huyo amewashangaza watu baada ya kuonesha kufurahishwa sana na tukio hilo kutokana na umaarufu wa Malia Obama.
Truskey ametweet
↧
Bifu la Diamond na Ali Kiba......Nay wa Mitego atamani kutembeza kipigo kikali kwa wanaochochea ugomvi huo
Ushindani kati ya Diamond na Ali Kiba ambao siku zote mimi nauita
‘ushindani usio rasmi’ huku wengine wakiutafsiri kama ‘beef’
umetengeneza mitazamo tofauti kati ya wadau wa muziki Tanzania.
Hivi karibuni, G-Lover alitoa mtazamo wake kuhusu tofauti iliyopo kati yao huku akimpa credit kila mmoja.
Akiongea na Fadhili Haule katika Sunrise ya 100.5 Times Fm, Nay wa
Mitego
↧
Bunge la Katiba Laanza tena....Hii ni HOTUBA ya Mwenyekiti Samuel Sitta wakati wa ufunguzi wa Awamu ya pili ya bunge hilo
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu wetu kwa kuendelea kutupa uhai na afya hadi leo kutuwezesha kuwepo ndani ya ukumbi huu.
Tupo humu ili tuitekeleze kazi waliyotukabidhi Watanzania wenzetu milioni arobaini na sita (46) ya kuwapatia Katiba mpya. Dhamana hii ni nzito na haistahili
↧
Aunt Ezekiel Anusurika KUPIGWA Baada ya Kufumaniwa na Mume wa Mtu.....
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson anadaiwa kukinukisha
nyumbani kwa Wema Isaac Sepetu baada ya kunusurika kufumaniwa na mume wa
mtu, Moses Peter Iyobo a.k.a Moze Iyobo ambaye ni densa wa Nasibu Abdul
‘Diamond’.
Habari zisizokuwa na shaka zinadai kwamba tukio hilo lilijiri
Jumapili iliyopita nyumbani kwa Wema, Kijitonyama, Dar ambapo Aunt
alisababisha tafrani
↧
↧
Rose Mhando AMTAMANI Gwajima......Aahidiwa kujengewa Kanisa huko Dodoma
Nyota wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando
amesema anatamani sana kuhamia kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa
na Mchungaji Josephat Gwajima kutokana na mahubiri yake mazuri.
“Natamani nihamie katika kanisa la Mchungaji Gwajima lakini mimi huwa
napenda kumuita Askofu kwa sababu ya upako alionao, naomba ikiwezekana
na mimi nihamie hapa,” alisema Rose.
Katika siku ambayo
↧
Laana ya Mama Yake Yamtisha Wema Sepetu
NYOTA wa Filamu za kibongo Wema Sepetu amesema kuwa katika maisha yake anajitahidi hakosani na mama yake mzazi, Mirium Sepetu ili kukwepa kupata laana ya kile ambacho anaweza kumtamkia na kuharibu mwelekeo mzima wa malengo yake aliyojipangia kuyatimiza akiwa ndani ya ndoa yake......
Akizungumza na Mpekuzi, Wema alisema kuwa ndio maana kipindi
↧
Shemeji wa Rais Mstaafu Zanzibar ( Mansour Yussuf Himid) Apandishwa Kizimbani na kusomewa mashitaka matatu
Shemeji wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aman
Abedi Karume, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota rumande baada ya
jana kusomewa mashtaka katika Mahakama ya Mkoa wa Vuga kumiliki silaha
kinyume na sheria.
Masour alifikishwa mbele ya Hakimu Khamis Ramadhan Abdallah wa mahakama
hiyo jana chini ya ulinzi mkali wa polisi na usalama wa taifa na
kusomewa mashtaka
↧
Bodaboda 100 wavamia kituo cha Polisi na kuwajeruhi Askari
Kundi
la waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wanaokadiriwa kuwa zaidi ya
100 , wamevamia kituo cha Polisi cha kata ya Kiroka wilaya ya Morogoro
mkoani Morogoro na kuzusha vurugu.
Hatua hiyo inadaiwa imetokana na kuchoshwa na vitendo vya uonevu
wanavyofanyiwa na askari wa kituo hicho vya kuwakamata na kuwageuza
kitega uchumi wanapokuwa hawana makosa.
Mmoja wa wakazi wa kata
↧
↧
UKATILI: Inspekta wa Polisi atiwa mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye
Kamishna Kova akiwa na RPC mpya wa Temeke, Kihenya Kihenya
*************
Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene
(40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake,
Alerd Makene (16).
Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka
huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na
anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.
↧
Agness Masogange ahojiwa Uwanja wa Ndege Dar kwa zaidi ya masaa 10
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini
kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana
na tuhuma za kukamatwa na dawa aina ya crystal methamphetamine huko
Afrika Kusini, Julai mwaka jana.
Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana
na Dawa za Kulevya, Gedfrey Nzowa alisema jana kuwa Masogange alianza
kuhojiwa juzi usiku baada ya
↧
Mke na Mume Wakutwa na Madawa ya kulevya
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata watu watano wakiwa na
magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia Madawa ya Kulevya Mkoani hapa
wakiwa doria walipata taarifa toka kwa raia wema iliyoeleza kuwepo kwa
watu wanaosafirisha madawa hayo.
Mara baada ya kupata taarifa hiyo askari hao waliweka mtego maeneo ya
Sanawari
↧
Wanaodaiwa kumuua Afisa Usalama wa Taifa Wafikishwa Mahakamani leo
Watuhumiwa wakiwa wamembeba mtuhumiwa mwenzao ambaye inadaiwa kuwa ni afisa usalama wa taifa.
******
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo
imwapindisha kizimbani watu wanne wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi
Ofisa Usalama wa Taifa, Sylvanus Mzeru maeneo ya Uwanja wa Ndege wa
Mwalimu Julius Nyerere, Aprili 29, mwaka huu usiku.
Watuhumiwa hao ni Mohamed
↧
↧
JUKATA lakemea njama za kuzima Mjadala wa Katiba Mpya
Jukwaa la katiba nchini Tanzania limesikitishwa na namna Bunge Maalumu
la Katiba linavyotaka kunyamazisha sauti na mijadala ya wananchi, kuhusu
kasoro zinazojitokeza katika mchakato unaoendelea wa kutafuta katiba
mpya.
Mwenyekiti
wa Jukwaa hilo Bw. Deus Kibamba ametoa kauli hiyo katika mahojiano na
East Africa Radio jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku moja tangu
kuanza kwa vikao
↧
Kesi ya "Mtoto wa Boksi" yabadilishiwa hakimu
Washtakiwa
watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji dhidi ya mtoto Nasra Rashid
Mvungi, wamelazimika kubadilishiwa hakimu baada ya hakimu wa awali,
kupata dharura na kutokuwepo mahakamanani hapo.
Washtakiwa hao ambao kesi yao imekuwa ikifikishwa na kutajwa, mbele
ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro,
Mary Moyo, walilazimika kupandishwa kizimbani
↧
Jokate Mwegelo Apata Mpenzi Mpya Baada Ya Kusema Yupo Single
Muigizaji
wa filamu Tanzania Jokate Mwegelo ambaye pia ni Miss Tanzania no.2 wa
mwaka 2006 anaonekana tayari amepata mpenzi mpya baada ya kupost picha
inayoonekana katka mtandao mmoja wa kijamii akiwa na mwanaume mmoja jina
halijatambulika haraka wakiwa kimahaba zaidi.
Wiki iliyopita Jokate
ambaye pia ni mtangazaji wa Channel O, mwanamuziki na designer alisema
yupo single na
↧
More Pages to Explore .....