Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Kuongeza watumishi TRA Kwa Hatua Ili Kuendeleza Ufanisi

0
0
Farida Ramadhani, WFM, Dodoma
Serikali imeeleza kuwa ili Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi inahitaji watumishi takribani 7000 wa kada mbalimbali za kiutumishi.

Hayo yamebainishwa Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Tunza Malapo, aliyetaka kujua ni watumishi wangapi wanahitajika na TRA ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi.

Dkt. Kijaji alisema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania haina upungufu mkubwa kama inavyoelezwa, kwa kuwa idadi ya watumishi wa TRA walioajiriwa ni 4,751 kati ya 7000 wanaohitajika hivyo kufanya upungufu kuwa asilimia 28 tu.

Alisema jitihada za kukamilisha idadi ya watumishi wa Mamlaka hiyo kufikia 7000 zinafanywa kwa hatua, lengo likiwa kuongeza ufanisi wa kiundendaji na kuendelea kuleta matokeo chanya katika maendeleo ya nchi.

Alifafanua kuwa tangu Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani imejitahidi kwa kiwango kikubwa kukabiliana na suala hilo, tayari imeajiri watumishi 692 na katika mwaka wa fedha 2019/20 Mamlaka hiyo imeweka Bajeti ya kuajiri watumishi takribani 150.

Mwisho.

Serikali Kujenga Mto Msimbazi

0
0
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID) inatekeleza mradi wa Tanzania Urban Resilience Programme (TURP) ambao umelenga kuzisaidia Halmashauri na Serikali Kuu katika kukabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. 

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mh. George Simbachawene  alipokua akijibu swali la Mbunge wa Temeke Mh. Ally Mtulia  lililouliza Je ni lini Serikali itajenga Mto Msimbazi?.

Waziri Simbachawene aliongeza kuwa Mradi huu ukitekelezwa utaleta manufaa makubwa katika Jiji la Dar es Salaam ambapo  utaokoa maeneo yaliyo hatari kwa mafuriko na kuyafanya salama kwa maendeleo ya jiji, utapendezesha jiji kwa kuweka maeneo mazuri ya maegesho ya magari (Dar Central Park, First of its Kind in Tanzania and East Africa), maeneo kwa ajili ya shughuli za umma kama mikutano na matamasha na kubadilisha eneo la Mto Msimbazi linalokumbwa na mafuriko kuwa eneo linalofaa kwa ajili ya michezo na lenye manufaa ya kiikolojia kwa jiji la Dar es Salaam.

Naye Mbunge wa Jimbo  la Wingwi kutoka Zanziba Mh. Juma Kombo Wawi, aliuliza  Je, Serikali haioni ni busara kuondoa suala la uvuvi wa Bahari kuu kwenye orodha ya mambo ya Muungano ili kuisaidia Zanzibar kujiendesha yenyewe na kuweza kusaidia uchumi wa Zanzibar.

Akijibu swali Hilo Waziri Simbachawene alisema kuwa Bunge  lilipitisha Sheria ya Territorial Sea and Exclusive Economic Zone Act, 1989 iliyoanzisha Maeneo ya Bahari yaitwayo Bahari ya Ndani (Inner Sea), Bahari ya Kitaifa (Territorial Sea) na Eneo la Uchumi la Bahari (Exclusive Economic Zone - EEZ). 

Chimbuko la Sheria hii ni Sheria ya Kimataifa ya Bahari (The United Nations Convention on the Law of the Sea (UNCLOS), ya  Mwaka 1982 inayotoa fursa sawa kwa nchi duniani kugawana rasilimali za bahari zilizopo kwenye maji (water column) na pia kwenye sakafu ya bahari (seabed).

Mheshimiwa Spika, Tanzania iliridhia na kuanza kuitekeleza Sheria hii mwaka 1985. Hivyo, jukumu la kusimamia shughuli za uvuvi kwenye maji yaliyo katika Bahari ya Ndani (Inner Sea) na Bahari ya Kitaifa (Territorial Sea) ya Tanzania Bara hutekelezwa kupitia Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya Mwaka 2003, na upande wa Zanzibar Sheria ya Uvuvi Na. 7 ya Mwaka 2010.

 Ili kutekeleza Sheria ya mwaka 1989 hususan katika kusimamia rasilimali za uvuvi zilizopo kwenye eneo la ukanda wa uchumi wa bahari ya Tanzania (EEZ) lenye ukubwa wa kilomita za mraba 223,000, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zilikubaliana kwa pamoja kuunda Taasisi (Mamlaka) ya Muungano yenye wajibu wa kusimamia uvuvi wa eneo hilo la Uchumi la Bahari na pia Bahari Kuu kwa meli zenye kupeperusha Bendera ya Tanzania alisema Simbachawene.

Akihitimisha  alisema kuwa, Uvuvi wa Bahari Kuu unatambulika Kimataifa kupitia Sheria ya Kimataifa ya Bahari ya mwaka 1982 hata katika mikutano mbalimbali ya kimataifa Tanzania huwakilishwa kama Nchi.

Rais Magufuli Amteua Kamishna Diwani Athumani Kuwa Mkurugenzi Mkuu Wa Idara Ya Usalama Wa Taifa

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna Diwani Athumani Msuya Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (DGIS) Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 12, 2019
PICHA NA IKULU

Waliokuwa Wafanyakazi Na Wateja Wa Benki Ya FBME Kulipwa Amana

0
0
Na. Peter Haule na Josephine Majura, WFM, Dodoma
SERIKALI imeeleza kuwa itawalipa waliokuwa wateja na wafanyakazi wa Benki ya FBME baada ya taratibu za kisheria na majadiliano na Cyprus yatakapo kamilika hivi punde.

Hayo yamesemwa Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakati akijibu maswali ya Mhe. Jaku Ayoub, aliyetaka kujua Benki ya FBME ipo katika hali gani na ni lini italipa wateja amana zao.

Dkt. Kijaji alisema kuwa wateja wa Benki ya FBME waliokuwa na amana ya milioni 1.5 Serikali imewalipa kwa zaidi ya asilimia 83 ya wateja wote, asilimia 17 iliyobaki ni ya wateja ambao hawajajitokeza kuchukua amana hizo.

“Bodi ya Bima ya Amana (Deposit Insurance Board- DIB) ilianza zoezi la kulipa fidia kwa mujibu wa sheria kwa waliokuwa na amana katika benki hiyo kuanzia Novemba, 2017 na bado zoezi hilo linaendelea”, alieleza Dkt. Kijaji.

Alisema kuwa hadi kufikia Septemba 9, 2019 jumla ya kiasi cha Sh. milioni 2,404.2 kimelipwa kwa wateja 3426 kama fidia ya bima ya amana, ambapo kiasi hicho ni sawa na asilimia 55.9 ya kiasi chote kilichotarajiwa kulipwa kama fidia ya bima ya amana kwa wateja wote 6,628 waliopo Tanzania na wateja waliopo nje ya nchi (Tanzania International Banking Depositors- TIB)

Aidha jumla ya Sh. milioni 2,401.2 zimelipwa, ikiwa ni asilimia 83.3 ya lengo la kulipa jumla ya Sh. milioni 2,882.6 kwa wateja waliopo Tanzania tu.

Naibu Waziri huyo wa Fedha na Mipango, amempongeza Mwanasheria na Wakili Mkuu wa Serikali pamoja na Benki Kuu ya Tanzania kwa kuhakikisha amana za wateja FBME ambao wako ndani na nje ya nchi zinabaki salama na kuzipata baada ya taratibu za kisheria kukamilika.

Dkt. Kijaji aliongeza kuwa, Sheria ya Benki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006 imeipa Benki Kuu ya Tanzania- BOT, mamlaka ya kutoa leseni, kutunga kanuni, kusimamia benki zote zinazochukua amana za wateja na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya benki zinazoendesha biashara bila kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo.

 Kwa ujumla Benki Kuu imepewa mamlaka ya kusimamia na kudhibiti benki na taasisi za fedha ili kuhakikisha kuwa amana za wateja zinakuwa salama na pia kuna usalama, utulivu na uthabiti wa sekta ya fedha na uchumi.

Benki ya FBME Ltd ilifutiwa leseni ya kufanya biashara hapa Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania Mei 8, 2017 kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya kutakatisha fedha nchini Marekani.

Benki  Kuu nchini Tanzania iliiteua Bodi ya Bima ya Amana- DIB kuwa mfilisi wa Benki ya FBME, hivyo kwa sasa  benki hiyo haiendeshi shughuli zozote za kibenki hapa nchini.

Mwisho.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao.

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari.

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume.

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18.

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

Pia tunadawa za Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto.
 
DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 AU  0762293390 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Waziri Mkuu: Waliozembea Ajali Ya Moto Morogoro Wachukuliwe Hatua

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka husika ziwachukulie hatua za kinidhamu watu wote ambao hawakutekeleza majukumu yao ipasavyo kufuatia tukio la ajali ya moto iliyotokea Agosti 11, 2019 mkoani Morogoro na kusababisha vifo vya watu 104, majeruhi pamoja na uharibifu wa mali.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Septemba 13, 2019) , wakati akiahirisha mkutano wa 16 wa Bunge la 11, Bungeni jijini Dodoma. Bunge limeahirishwa hadi tarehe 3, Novemba mwaka huu.

“Baada ya tukio hilo la kusikitisha tarehe 12 Agosti 2019niliunda Kamati Maalumu kwa lengo la kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali hiyo iliyosababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.”

“Lengo lilikuwa kufahamu chanzo cha ajali, mazingira baada ya ajali na hatua gani zichukuliwe kuzuia matukio kama haya sambamba na kuwawajibisha wale wote ambao hawakutekeleza wajibu wao ipasavyo kabla na baada ya ajali kutokea.”

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwashukurumadaktari na wahudumu wa Hospitali ya Rufaa ya Morogoro na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili nawadau wote ambao walishiriki kuokoa maisha ya waathirika wa ajali hiyo tangu ilipotokea.

“Nawasihi Watanzania wenzangu tujifunze kutokana na ajali hiyo iliyotokea Morogoro na hivyo kuepuka mikusanyiko ya aina hiyo katika maeneo ya ajali. Aidha, tujenge nyoyo za huruma na kuwa wepesi wa kutoa msaada kwa waathirika wa ajali badala ya kutumia kama fursa za kujinufaisha isivyo halali.”

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu Aiagiza Wizara Ya Mambo Ya Nje Ifuatilie Fedha Za Miradi Nane....Ataka Watanzania Wachangamkie Soko La Nafaka Nchi Za SADC

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ifuatilie kwa karibu miradi nane iliyowasilishwa na kuombewa fedha za ufadhili kupitia mkutano wa saba wa TICAD uliofanyika Agosti 28-30, 2019 jijini Yokohama, Japan.

“Kupitia Mkutano wa Saba wa Kimataifa wa Tokyo Kuhusu Maendeleo ya Afrika (TICAD 7), Serikali ya Japan imetenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 20 kwa kipindi cha miaka mitatu kwa ajili ya nchi za Afrika. Ninaielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ishirikiane kwa karibu na Wizara zenye dhamana kuratibu vema utekelezaji wa miradi nane ya maendeleo ambayo tayari imewasilishwa kupitia TICAD 7,” amesema.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Ijumaa, Septemba 13, 2019) katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuahirisha Mkutano wa 16 wa Bunge jijini Dodoma. Bunge limeahirishwa hadi Novemba 5, mwaka huu.

Amesema fedha hizo zimetengwa ili kuziwezesha nchi za Afrika zitekeleze miradi ya kimkakati ya maendeleo itakayoleta mageuzi ya kiuchumi. “Kiasi hicho kitatolewa ili kuendeleza miradi mbalimbali katika sekta za elimu, afya, kilimo, maji, nishati, ujenzi wa maeneo maalumu ya viwanda na miundombinu ya usafiri na usafirishaji.”

Amesema lengo la Serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha Tanzania inanufaika na fedha hizo zilizotengwa na Serikali ya Japan ili iweze kufikia uchumi wa kati unaoongozwa na viwanda ifikapo mwaka 2025.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka Watanzania watumie fursa ya upungufu wa nafaka katika nchi za Kusini mwa Afrika kwa kuzalisha zaidi mazao hayo ikiwa ni pamoja na kujiwekea akiba zaidi.

Amesema hali ya usalama wa chakula katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), imetetereka kutokana na athari mbalimbali ikiwemo ukame katika upande wa magharibi wa ukanda, mvua zilizokithiri, mafuriko na vimbunga vya IDAI na Kenneth pamoja na wadudu waharibifu wa mazao na magonjwa.

“Athari hizo zimesababisha uzalishaji wa nafaka kama mahindi, mtama, mpunga, ngano na ulezi ndani ya SADC upungue kwa asilimia 14 kutoka tani milioni 42.6 mwaka 2018 hadi tani milioni 36.8 mwaka 2019. Hata hivyo, Tanzania na Afrika Kusini kwa kipindi hicho zilizalisha ziada ya mazao hayo ambayo yanakadiriwa kukidhi mahitaji kwa mwaka 2019/2020,” amesema.

Waziri Mkuu amesema kuwa Agosti 29-30, mwaka huu, Wizara ya Kilimo iliratibu mkutano na wadau mbalimbali wenye kujihusisha na uzalishaji na biashara ya nafaka ili kujadili fursa zilizopo katika mazao ya nafaka, changamoto wanazokabiliana nazo na kutafuta utatuzi wake.

“Ninaigiza Wizara husika ihakikishe inashirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kutumia vema fursa ya uwepo wa masoko ya nafaka kwenye ukanda huu wa SADC na hivyo, kukidhi mahitaji katika ukanda sambamba na kuboresha biashara na maisha ya wananchi wa vijijini,” amesema.

Pia ameitaka wizara hiyo iendelee kuhamasisha uzalishaji wa mazao hayo kwa wingi ili nchi iweze kujitosheleza kwa chakula na kuwa na ziada.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Serikali Kuwezesha Wakala Wa Mbegu Za Kilimo (Asa) Kuongeza Uzalishaji Wa Mbegu Bora Na Kuimarisha Soko La Zao La Nazi

0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Upatikanaji wa mbegu bora zikiwemo za mahindi ngano, maharage, mpunga, soya, alizeti, mtama, ufuta, viazi mviringo na mbegu za mazao ya bustani kwa msimu wa 2018/19 ulifikia tani 49,040 kati ya hizo tani 38,507 sawa na asilimia 78.6 zilizalishwa nchini na tani 8,361 sawa na asilimia 17 ziliagizwa nje ya nchi na tani 2,171 sawa na asilimia 4.4 ni bakaa ya msimu wa 2017/2018.


Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe ameyasema hayo leo tarehe 12 Septemba 2019 wakati akijibu swali la Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe Daniel Nsanzugwanko mkakati wa serikali katika kutatua uhaba mkubwa wa mbegu hasa za mahindi na maharage ambayo ni mazao ya chakula na namna ambavyo serikali itajikita katika uzalishaji wa mbegu.

Alisema kuwa Mikakati ya Serikali ya kuongeza uzalishaji wa mbegu ni pamoja na kuwezesha Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kuongeza uzalishaji wa mbegu bora katika mashamba ya Mwele, Dabaga, Mbozi, Msimba, Bugaga na Arusha; kutumia Taasisi za Utafiti wa Kilimo kuzalisha mbegu mama, msingi na zilizothibitishwa ubora na kukodisha maeneo katika mashamba ya ASA kwa kampuni binafsi za mbegu ili kuongeza uzalishaji wa mbegu bora za mazao mbalimbali ikiwemo mahindi na maharage.

Aidha, mikakati mingine ni kuongeza eneo la umwagiliaji katika mashamba ya mbegu ya Msimba, Arusha, Dabaga na mashamba ya Vituo vya Utafiti kutoka hekta 200 hadi 600; kushirikisha taasisi za umma kama Jeshi la Magereza na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuzalisha mbegu bora pamoja na vikundi vya wakulima wadogo kuzalisha mbegu za Daraja la Kuazimiwa ubora.

Mhe Bashe alisema kuwa shamba la mbegu la Bugaga lililopo katika Wilaya ya Kasulu lina ukubwa wa hekta 200. Shamba hilo linamilikiwa na ASA na kwa sasa linatumika kuzalishia mbegu bora za mahindi, maharage na alizeti. Aidha, shamba hilo linatumika kuzalisha miche bora ya michikichi, miche ya matunda ya machungwa na maembe.

Pia serikali imeanza kuchimba kisima cha maji katika shamba hilo ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu kwa kipiti chote cha mwaka. Vilevile, ASA imejenga kitalu nyumba cha kukuzia miche ya chikichi pamoja na kuandaa bustani ya kukuzia miche hiyo ya michikichi na miche ya matunda.

Aliongeza kuwa Mkakati wa Serikali ni kuongeza uzalishaji wa mbegu ambapo Serikali katika mwaka wa fedha 2019/20 imetenga takribani shilingi bilioni 13 kwa ajili ya utafiti wa mbegu kupitia Taasisi ya Utafiti wa Mbegu-TARI na uzalishaji wa mbegu kupitia Wakala wa Mbegu za Kilimo –ASA kwa ajili ya kuzalisha mbegu kwa njia ya umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji mara tatu hadi nne zaidi ya sasa. "Aidha, nitumie fursa hii kuzisihi halmashauri kutotumia maeneo yaliyotengwa kwa tafiti za kilimo kwa shughuli zingine ikiwemo kujenga stendi za mabasi" Alikaririwa Mhe Bashe

Kadhalika, Wizara ya Kilimo itaamua kuyaachia maeneo hayo kwa shughuli zingingine baada ya kujiridhisha kwamba maeneo hayo hayana tija kwa shughuli hizo za kilimo.

Naye Naibu waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb) akijibu swali la mbunge wa viti maalum Zaynab kuhusu serikali kutafuta soko la zao la nazi alisema kuwa Soko la kudumu la zao la nazi lipo nchini kwa sababu kiasi cha nazi kinachozalishwa bado hakikidhi mahitaji ya soko la ndani ya nchi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya zao hilo ikiwemo ulaji wa madafu na watumiaji wa nazi.

Aidha, mafuta mwali yanayotokana na nazi yanaendelea kupata umaarufu kutokana na uhitaji wake kuwa mkubwa ndani na nje ya nchi, ambayo lita moja inafika hadi Shilingi 40,000/=. Bidhaa kama fagio, mbao, kamba na samani zinazotokana na mti wa mnazi na uwezo wa zao hilo kutunza mazingira huongeza thamani ya zao la minazi.

Alisema kuwa Katika kuimarisha soko la zao la nazi nchini msimu wa mwaka 2018/2019 wakulima wapatao 74 katika mikoa ya Lindi na Mtwara wamefundishwa namna ya kukamua mafuta mwali.

Vilevile, kikundi cha wanachama 50 katika Wilaya ya Bagamoyo kimepewa mashine yenye uwezo wa kukamua lita 500 za mafuta mwali kwa mwaka. Aidha, Serikali inaendelea kuimarisha masoko ya mazao yote ya kilimo likiwemo zao la nazi kwa  kuwaunganisha wakulima na wanunuzi kupitia vyama vya ushirika, masoko ya moja kwa moja na viwanda vidogo  vya kuongeza thamani ya zao la nazi.

Mhe Mgumba amesema, Serikali inaendelea kutoa elimu kwa wazalishaji wa zao la nazi kuendelea kupanda mbegu bora zenye ukinzani dhidi ya magonjwa na zenye tija  kubwa. Tanzania ni nchi ya kumi duniani kwa uzalishaji wa nazi ikiongozwa na nchi ya Indonesia na kwa Afrika ni nchi ya kwanza ambapo huzalisha wastani wa tani 530,000 za nazi kwa mwaka ikifuatiwa na Ghana ambayo huzalisha wastani wa tani 366,183.

Aidha, Serikali inaendelea kuhamasisha kilimo cha minazi nchini ambapo imeanzisha shamba lenye ukubwa wa hekta 54 katika kituo kidogo cha utafiti cha Chambezi Wilaya ya Bagamoyo ili kuzalisha miche bora  ya minazi yenye ukinzani dhidi ya ugonjwa wa kunyong’onyea kwa minazi (Coconut Lethal Disease) na kuisambaza kwa wakulima kwa gharama nafuu.

Aliongeza kuwa Serikali inahamasisha kilimo cha minazi katika maeneo mapya ili kuongeza uzalishaji wa nazi nchini ambapo msimu wa 2018/2019 ilizalisha na kusambaza jumla ya mbegu 11,000 kwa wakulima katika mikoa ya Rukwa na Mwanza. Aidha, Serikali inafanya mazungumzo na Jumuiya ya Asia - Pasific Coconut Community (APCC) ambayo hutunza “germplasm” ya minazi kuwezesha upatikanaji wa mbegu bora za minazi zenye kuongeza tija kwa wakulima.

MWISHO

Waziri Mkuu: Tozeni Bili Za Maji Zisizowaumiza Wananchi

0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maji ifuatilie utendaji wa Mamlaka zilizopewa dhamana ya kusimamia miradi ya maji katika maeneo mbalimbali nchini na ihakikishe kwamba bili wanazotozwa wananchi zinakuwa na uhalisia na si kuwaumiza.

Ametoa agizo hilo baada ya kuibuka wimbi la malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu upandaji wa bili za maji ambao hauna uhalisia kwa sababu Serikali ndiyo inayotoa fedha za miradi hiyo nchini.”Serikali haitakubali wala haitoruhusu mwananchi anatozwa gharama kubwa za maji.”

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Alhamisi, Septemba 12, 2019) Bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbungewa Viti Maalumu, Mariam Kisangi, aliyetaka kujua kauli ya Serikali kuhusu suala hilo.

“Yako maeneo ambayo mamlaka zilizopewa dhamana ya kusimamia miradi ya maji kumejitokeza wimbi la mabadiliko ya kuhusu kupanda kwa bei za bili, mfano wilayani Maswa mkoani Simuyu bei imeongezeka kutoka sh. 5,000 hadi 28,000 kwa mwezi.”

“Bei hizo hazina uhalisia na hakuna sababu ya mamlaka kuzoza bei kubwa kiasi hicho na kuwafanya wananchi washindwe kumudu kulipia bili zao, wakati Serikali ndio imetoa fedha za kugharamamia uanzwishwaji wa miradi hiyo na haijadai kurudishiwa fedha hizo.”

Waziri Mkuu amesema Wizara ya Maji kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) ifuatilie bei za bili wanazotozwa wananchi ili kujiridhishwa kwamba zinazingatia uwezo wa wananchi wengi kuzilipa hasa wale wa vijijini.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Kilimo na Maafisa Biashara kote nchini wasimamie katika masoko yote na wajirishe iwapo vipimo vinavyotumika ni sahihi kwani lumbesa haikubaliki.

Ametoa agizo hilo wakati akijibu swali la Mbungewa Jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi aliyetaka kupata kauli ya Serikali kuhusu hatua zilizochukuliwa katika kudhibiti unyonyaji wanaofanyiwa wakulima kupitia ufungaji wa mazao unaozidi viwango.

Waziri Mkuu amesema wanunuzi wa mazao mbalimbali lazima wafuate sharia, kanuni na taratibu za manunuzi ya mazao husika. “Maafisa Kilimo wasimamie biashara hiyo na waendeshe operesheni kwenye maeneo ya masoko ili kujirishana vipimo vinavyotumika.”

Amesema ni muhimu zaidi kutumia mizani ambayo haina utata ili kuwawezesha wakulima kuweza kunufaika kutokana na kilimo na kwamba suala la waununuzi kutumia vipimo visivyosahihi kama lumbesa halikubaliki.

Akijibuswali la Mbunge wa Sumve, Richard Ndasa aliyetaka kupata kauli ya Serikali kuhusu kuhusu suala la ununuzi wa zao la pamba, Waziri Mkuu amesema Serikali imelifanyia kazi suala hilo na tayari zaidi ya tani 200,000 zimeshanunuliwa ambayo ni sawa na asilimia 80.

Waziri Mkuu amewahakikishia wakulima wa zao la pamba kwamba pamba yote iliyosailia majumbani itanunuliwa.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Ni Nini Kinachosababisha Wanaume Wengi Kuishiwa Nguvu Za Kiume

0
0
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanaume kuishiwa nguvu kiume na maumbile madogo.

Nini kinasababisha upungufu wa nguvu za kiume  (1) Msongo wa mawazo( 2) magonjwa ya sukari,presha,vidonda vya tumbo,kukosa choo,na tumbo kuunguruma( 3) kujichua kwa muda mrefu   (4) ngiri ,korodani kuvimba,

Tiba ya tatizo:
MAJINJAS;  ni dawa  yenye virutubisho na mchanganyiko wa wa mizizi tisa (9) dawa hii hutibu matatizo yafatayo (1) kushindwa kurudia tendo -dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu ( 2) kuwahi kufika kileleni dawa hii itakupa uwezo wa kuchelewa ( 3)  dawa hii hutibu tatizo la maumbile ya kiume kusinyaa hasa kwa wanaume  waliojichua kwa muda mrefu  

MTINJETINJE; ni dawa ya kisukari ambayo imechanganywa na mizizi na mbegu -dawa hii husaidia kurejesha kongosho kwenye hali yake ya kawaida.

Fika ofisini kwangu MBAGARA ZAKHEMU KARIBU NA BENK YA  KCB utaona bango limeandikwa NTUNZU HEBRISRI CLINIC na mwanza yupo wakala nipigie simu whasap  0783185060. 0620113431 DR AGU na utaletewa popote uduma  hii

Serikali Kuwezesha Wakala Wa Mbegu Za Kilimo (Asa) Kuongeza Uzalishaji Wa Mbegu Bora Na Kuimarisha Soko La Zao La Nazi

0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Upatikanaji wa mbegu bora zikiwemo za mahindi ngano, maharage, mpunga, soya, alizeti, mtama, ufuta, viazi mviringo na mbegu za mazao ya bustani kwa msimu wa 2018/19 ulifikia tani 49,040 kati ya hizo tani 38,507 sawa na asilimia 78.6 zilizalishwa nchini na tani 8,361 sawa na asilimia 17 ziliagizwa nje ya nchi na tani 2,171 sawa na asilimia 4.4 ni bakaa ya msimu wa 2017/2018.


Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe ameyasema hayo leo tarehe 12 Septemba 2019 wakati akijibu swali la Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe Daniel Nsanzugwanko mkakati wa serikali katika kutatua uhaba mkubwa wa mbegu hasa za mahindi na maharage ambayo ni mazao ya chakula na namna ambavyo serikali itajikita katika uzalishaji wa mbegu.

Alisema kuwa Mikakati ya Serikali ya kuongeza uzalishaji wa mbegu ni pamoja na kuwezesha Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kuongeza uzalishaji wa mbegu bora katika mashamba ya Mwele, Dabaga, Mbozi, Msimba, Bugaga na Arusha; kutumia Taasisi za Utafiti wa Kilimo kuzalisha mbegu mama, msingi na zilizothibitishwa ubora na kukodisha maeneo katika mashamba ya ASA kwa kampuni binafsi za mbegu ili kuongeza uzalishaji wa mbegu bora za mazao mbalimbali ikiwemo mahindi na maharage.

Aidha, mikakati mingine ni kuongeza eneo la umwagiliaji katika mashamba ya mbegu ya Msimba, Arusha, Dabaga na mashamba ya Vituo vya Utafiti kutoka hekta 200 hadi 600; kushirikisha taasisi za umma kama Jeshi la Magereza na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuzalisha mbegu bora pamoja na vikundi vya wakulima wadogo kuzalisha mbegu za Daraja la Kuazimiwa ubora.

Mhe Bashe alisema kuwa shamba la mbegu la Bugaga lililopo katika Wilaya ya Kasulu lina ukubwa wa hekta 200. Shamba hilo linamilikiwa na ASA na kwa sasa linatumika kuzalishia mbegu bora za mahindi, maharage na alizeti. Aidha, shamba hilo linatumika kuzalisha miche bora ya michikichi, miche ya matunda ya machungwa na maembe.

Pia serikali imeanza kuchimba kisima cha maji katika shamba hilo ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu kwa kipiti chote cha mwaka. Vilevile, ASA imejenga kitalu nyumba cha kukuzia miche ya chikichi pamoja na kuandaa bustani ya kukuzia miche hiyo ya michikichi na miche ya matunda.

Aliongeza kuwa Mkakati wa Serikali ni kuongeza uzalishaji wa mbegu ambapo Serikali katika mwaka wa fedha 2019/20 imetenga takribani shilingi bilioni 13 kwa ajili ya utafiti wa mbegu kupitia Taasisi ya Utafiti wa Mbegu-TARI na uzalishaji wa mbegu kupitia Wakala wa Mbegu za Kilimo –ASA kwa ajili ya kuzalisha mbegu kwa njia ya umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji mara tatu hadi nne zaidi ya sasa. "Aidha, nitumie fursa hii kuzisihi halmashauri kutotumia maeneo yaliyotengwa kwa tafiti za kilimo kwa shughuli zingine ikiwemo kujenga stendi za mabasi" Alikaririwa Mhe Bashe

Kadhalika, Wizara ya Kilimo itaamua kuyaachia maeneo hayo kwa shughuli zingingine baada ya kujiridhisha kwamba maeneo hayo hayana tija kwa shughuli hizo za kilimo.

Naye Naibu waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb) akijibu swali la mbunge wa viti maalum Zaynab kuhusu serikali kutafuta soko la zao la nazi alisema kuwa Soko la kudumu la zao la nazi lipo nchini kwa sababu kiasi cha nazi kinachozalishwa bado hakikidhi mahitaji ya soko la ndani ya nchi kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya zao hilo ikiwemo ulaji wa madafu na watumiaji wa nazi.

Aidha, mafuta mwali yanayotokana na nazi yanaendelea kupata umaarufu kutokana na uhitaji wake kuwa mkubwa ndani na nje ya nchi, ambayo lita moja inafika hadi Shilingi 40,000/=. Bidhaa kama fagio, mbao, kamba na samani zinazotokana na mti wa mnazi na uwezo wa zao hilo kutunza mazingira huongeza thamani ya zao la minazi.

Alisema kuwa Katika kuimarisha soko la zao la nazi nchini msimu wa mwaka 2018/2019 wakulima wapatao 74 katika mikoa ya Lindi na Mtwara wamefundishwa namna ya kukamua mafuta mwali.

Vilevile, kikundi cha wanachama 50 katika Wilaya ya Bagamoyo kimepewa mashine yenye uwezo wa kukamua lita 500 za mafuta mwali kwa mwaka. Aidha, Serikali inaendelea kuimarisha masoko ya mazao yote ya kilimo likiwemo zao la nazi kwa  kuwaunganisha wakulima na wanunuzi kupitia vyama vya ushirika, masoko ya moja kwa moja na viwanda vidogo  vya kuongeza thamani ya zao la nazi.

Mhe Mgumba amesema, Serikali inaendelea kutoa elimu kwa wazalishaji wa zao la nazi kuendelea kupanda mbegu bora zenye ukinzani dhidi ya magonjwa na zenye tija  kubwa. Tanzania ni nchi ya kumi duniani kwa uzalishaji wa nazi ikiongozwa na nchi ya Indonesia na kwa Afrika ni nchi ya kwanza ambapo huzalisha wastani wa tani 530,000 za nazi kwa mwaka ikifuatiwa na Ghana ambayo huzalisha wastani wa tani 366,183.

Aidha, Serikali inaendelea kuhamasisha kilimo cha minazi nchini ambapo imeanzisha shamba lenye ukubwa wa hekta 54 katika kituo kidogo cha utafiti cha Chambezi Wilaya ya Bagamoyo ili kuzalisha miche bora  ya minazi yenye ukinzani dhidi ya ugonjwa wa kunyong’onyea kwa minazi (Coconut Lethal Disease) na kuisambaza kwa wakulima kwa gharama nafuu.

Aliongeza kuwa Serikali inahamasisha kilimo cha minazi katika maeneo mapya ili kuongeza uzalishaji wa nazi nchini ambapo msimu wa 2018/2019 ilizalisha na kusambaza jumla ya mbegu 11,000 kwa wakulima katika mikoa ya Rukwa na Mwanza. Aidha, Serikali inafanya mazungumzo na Jumuiya ya Asia - Pasific Coconut Community (APCC) ambayo hutunza “germplasm” ya minazi kuwezesha upatikanaji wa mbegu bora za minazi zenye kuongeza tija kwa wakulima.

MWISHO

Serikali yatangaza kuwasimamishwa kazi watumishi watatu Wizara Ya Ardhi

Waziri Mkuu Aipongeza Taifa Stars Kwa Kuiondoa Burundi

0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya kandanda ya Taifa, Taifa Stars kwa kufanikiwa kuiondoa Harambee Stars katika mashindano ya CHAN 2020 na kuiondoa Burundi na kufanikiwa kuingia hatua ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia huko Doha, Qatar 2022.

Pia, Waziri Mkuu ameipongeza timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Umri wa Miaka 20 (Maarufu Tanzanite) kwa kutwaa kombe la mpira wa Miguu kwa Nchi za COSAFA huko Port Elizabeth, Afrika ya Kusini.

Waziri Mkuu ametoa pongezi hizo leo (Ijumaa, Septemba 13, 2019) , wakati akiahirisha mkutano wa 16 wa Bunge la 11, Bungeni jijini Dodoma. Amesema hatua hiyo ni nzuri na muhimu kwani inaiweka timu katika nafasi nzuri kushiriki fainali za mashindano hayo.

Amesema timu ya Taifa itarudi dimbani kupambana na Sudan tarehe 22 Septemba, 2019 kwenye Uwanja wa Taifa. “Kama kawaida yetu twenda tukaujaze Uwanja wetu wa Taifa na kuishangilia kwa nguvu timu yetu ya Taifa.”

Vilevile, Waziri Mkuu amevipongeza vilabu vya Azam, Malindi na Yanga kwa kufanikiwa kusonga mbele kuingia hatua ya pili katika michuano ya vilabu ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).

“Kwa vilabu vya KMC, KMKM na Simba, ambavyo vimeondolewa katika hatua ya mwanzo kabisa, vichukulie hali hiyo kama changamoto ya kujitathmini na kujiandaa kwa ajili ya michezo ya ndani na mashindano yajayo ya kimataifa badala ya kutumia muda mrefu kujadili kuhusu kutolewa mapema.”

Akizungumzia kuhusu mchezo wa masumbwi, Waziri Mkuu amesema bendera ya Tanzania imeendelea kupeperushwa vyema kufuatia wana masumbwi wengine wawili wa Kitanzania kuendelea kufanya vizuri katika medani za Kimataifa.

“Nitumie nafasi hii kuwapongeza mwanamasumbwi Abdallah Shaaban Pazi maarufuDullaMbabe kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Dunia wa WBO baada ya kumpiga kwa knockout kwenye raundi ya tatu mpinzani wake Mchina anayejulikana kwa jina la Zulipikaer Maimaitiali.”

Pia, Waziri Mkuu amempongeza mwanamasumbwi mwingine wa Kitanzania Bruno Tarimo (maarufuvifuaviwili) kwa kumnyoosha mpinzani wake Mserbia, Scheka Gurdijeljac kwenye pambano la ubingwa wa Dunia lililofanyika mwanzoni mwa mwezi huu huko Serbia.

“Hongereni sana wanamichezo wetu na endeleeni na moyo huo wa kizalendo mliouonesha katika kuipeperusha vema bendera ya Taifa letu.”

Mbali na kuwapongeza wanamasumbwi hao, pia, Waziri Mkuu amempongezaMiss Tanzania 2019, Sylvia Bebwa pamoja na  Queen Magese aliyeshika nafasi ya pili na  Greatness Nkuba aliyeshika nafasi ya tatu.

“Tunamtakia matayarisho mema Miss Tanzania ili akapeperushe vema Bendera ya Taifa letu nchini Uingereza kwenye mashindano ya Urembo ya Dunia (Miss World) ambako pia ataitangaza nchi yetu na vivutio vya utalii tulivyonavyo.

Waziri Mkuu ameitaka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iendelee kuratibu vizuri shughuli za michezo, utamaduni na sanaa ili zilete ufanisi wa hali ya juu na pia kuweka msisitizo sambamba na kuwa na mikakati ya kuendeleza michezo ikiwemo shuleni, vituo maalumu vya michezo na kuwa na mifumo mizuri ya upatikanaji wa fedha.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Ni Nini Kinachosababisha Wanaume Wengi Kuishiwa Nguvu Za Kiume

0
0
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanaume kuishiwa nguvu kiume na maumbile madogo.

Nini kinasababisha upungufu wa nguvu za kiume  (1) Msongo wa mawazo( 2) magonjwa ya sukari,presha,vidonda vya tumbo,kukosa choo,na tumbo kuunguruma( 3) kujichua kwa muda mrefu   (4) ngiri ,korodani kuvimba,

Tiba ya tatizo:
MAJINJAS;  ni dawa  yenye virutubisho na mchanganyiko wa wa mizizi tisa (9) dawa hii hutibu matatizo yafatayo (1) kushindwa kurudia tendo -dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu ( 2) kuwahi kufika kileleni dawa hii itakupa uwezo wa kuchelewa ( 3)  dawa hii hutibu tatizo la maumbile ya kiume kusinyaa hasa kwa wanaume  waliojichua kwa muda mrefu  

MTINJETINJE; ni dawa ya kisukari ambayo imechanganywa na mizizi na mbegu -dawa hii husaidia kurejesha kongosho kwenye hali yake ya kawaida.

Fika ofisini kwangu MBAGARA ZAKHEMU KARIBU NA BENK YA  KCB utaona bango limeandikwa NTUNZU HEBRISRI CLINIC na mwanza yupo wakala nipigie simu whasap  0783185060. 0620113431 DR AGU na utaletewa popote uduma  hii

Waziri Wa Kilimo Hasunga Aicharukia Tume Ya Taifa Ya Umwagiliaji Atoa Maagizo Mazito

0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ameipa wiki moja Tume ya Taifa ya umwagiliaji kutengeneza mikakati ya kutengeneza mabwawa ya kukinga maji ya mvua ili kuwasaidia wakulima kuwezesha kilimo cha umwagiliaji kukua.

Mhe Hasunga ameyasema leo tarehe 13 Septemba 2019 katika ukumbi wa ofisi ndogo za wizara ya kilimo Jijini Dodoma alipokuwa akizungumza kwenye kikao kazi na watumishi wa Tume huyo.

Waziri Hasunga amesema kuwa wizara hiyo ina matarajio ya kutumia fursa ya mradi mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya Mto Rufiji (RHPP) utakaozalisha megawati 2115, kea ajili ya kilimo cha umwagiliaji ambapo inatajwa kuwa kuna zaidi ya Hecta 150,000 zinazofaa kea ajili ya umwagiliaji.

Mhe Hasunga amewataka watendaji hao wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha kuwa wanampatia mipango na mkakati wa namna gani baada ya umeme kuzalishwa katika eneo lile, yale maji yatatumika yote katika umwagiliaji na hecta zote zile zianze uzalishaji.

‘’Ninawapa wiki moja hakuna muda mwingine wa kufanya hivyo kwa sababu niliwapa mienzi minne hamjafanya hivyo’’ Alisema Mhe Hasunga

Aidha, Waziri Hasunga ametoa siku tatu kumpatia taarifa za utendaji kazi wa miradi ya umwagiliaji katika mikoa minne yaani Tabora, Katavi, Rukwa, na Songwe iwapo kuna miradi inayofanya kazi na isiyofanya kazi.

Kilimo cha umwagiliaji kimekuwa kikisisitizwa na serikali kwani ni kilimo kisichotegemea mvua hivyo kuwa na matarajio ya kuvuna mazao kwa wingi.

Umwagiliaji ni mtindo wa kilimo wa kupeleka maji kwa mimea shambani pasipo mvua ya kutosha, hutumiwa katika maeneo yabisi au wakati mvua ni kidogo. Katika nchi baridi unatumiwa pia kwa kusudi la kulinda mazao dhidi ya jalidi.

Ni kilimo ambacho kinasaidia sana, kwa mfano nchi ya Misri tangu zamani inategemea mto Naili katika shughuli zake za umwagiliaji wa mazao.

MWISHO

Chama Cha Mapinduzi CCM Chazindua Rasmi Gazeti La Uhuru Ya Kijani.....Bashiru Awataka Wenyeviti Wa Mashina Kutopanga Foleni Kwenye Ofisi Za Serikali.

0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
CHAMA cha Mapinduzi(CCM), kimewataka wenyeviti wa mashina na mabalozi kutopanga foleni wanapofika kwenye ofisi za  serikali.


Kauli hiyo aliitolewa leo  jijini hapa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Taifa, Dk. Bashiru Ally,  wakati wa  uzindua wa gazeti la ‘Uhuru ya kijani’ ambalo linalenga kujenga na kuimarisha chama hicho.

Alisema kuwa mabalozi hawana kizuizi hata kwenye kugombea wao hawaitwi na hawazuiliwi wanaweza kugombea hata urais.

“Mwenyekiti wa shina au balozi akipiga simu au kupiga hodi sehemu yeyote zilipo ofisi za viongozi wa serikali naomba asipange foleni,”alisema.

Aidha, Dk. Bashiru alieleza kuwa, wamepanga kuwapatia vitambulisho  viongozi hao kwa sababu ndio njia pekee ya kutambua mchango wao kwa kuwa, viongozi hao katika ngazi ya chini ya chama wamekuwa wakijitolea Zaidi kuliko wanachama wengine.

“Chama chetu kitaendelezwa kwa njia ya kujitolea na nitumie fursa hii wabunge wetu na wabunge wa baraza la wawakilishi mfanye  kazi kwa kujitolea ili kuimarisha chama chetu,”alisema.

Dk.Bashiru alisema kazi wanayoifanya ni kuwalinda wabunge dhidi ya  wanaowasumbua na watu wasiofuata taratibu hivyo nao wasaidie kuimarisha chama.

Akizungumzia mkakati wa Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM) wa ‘Tanzania ya kijani’, Dk.Bashiru alisema mkakati huo umepokelewa vizuri na kuwataka usitumike kama makongamano ya kuonekana kwenye TV na mitandao ya kijamii ikiwemo ‘You tube’

“Sasa nataka vijana wabadilike kutoka kwenye hamasa waende kwenye kazi ya siasa ya kuimarisha chama ili shughuli ipimike, vinginevyo huu mkakati nitausimamisha nimeshaongea na katibu ni mkakati mzuri tusiposimamia unaweza kuzaa jambo ambalo hatujalitarajia,”alisema.

Alieleza kuwa vijana wawe na mvuto wa kukilinda chama na inapotokea mtu anakichokoza chama ahame chama aonekane ni jasiri na sio legelege.

Kuhusu gazeti hilo, Dk.Bashiru alisema litatumika kujenga na kuimarisha chama nayeye atakuwa na ukurasa wake ambao atakuwa anazungumzia kuhusu urithi.

Alisema katika ukurasa huo kutakuwa na mambo matano ikiwemo haki, tunu za taifa.

“Kuna mjadala kuhusu tunu za Taifa kulikuwa na mjadala hata kwenye Bunge la Katiba ambapo moja ya tunu ni lugha ya Kiswahili, na gazeti hili litatumika kukuza Kiswahili,”alisema.

Alisema kati ya mambo ambayo yamefanyika chini ya uongozi wa Spika Job Ndugai ambayo ni kubwa kuliko yote ni uamuzi wa kimapinduzi wa kulinda rasilimali kwa kutunga sheria ambayo inaonesha nchi imegoma kugeuzwa shamba la bibi.

Aidha alisema katika mikakati ya kisiasa ya kuimarisha uhai wa chama ipo minne ambapo ni pamoja na kukomaza demokrasia mashinani kupitia kwa wenyeviti wa mashina na mabalozi ili kukifanya kuwa karibu na wananchi na wanachama.

Awali, Spika wa Bunge Job Ndugai, alipongeza kuanzishwa kwa gazeti hilo na kudai kuwa kukosekana kwa habari kwenye matawi kumekuwa ni unyonge mkubwa.

“Gazeti lina habari za kuelimisha jambo hili ni jema nakuahidi sisi wabunge tutatoa kila aina ya ushirikiano, tutachukua nakala kwa idadi ya matawi, kata, na wilaya na limekuja wakati muafaka maana tunaelekea kwenye uchaguzi,”alisema.

Alisema chama kina nguvu kubwa ya kuvitumia vyombo vyake vya habari ili kukabiliana  na vitendo vya upotoshaji.

Mwisho.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao.

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari.

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume.

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18.

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

Pia tunadawa za Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto.
 
DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 AU  0762293390 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Download App Yetu Kwenye Simu Yako Ili Uweze Kupata Habari Zetu Kwa Haraka Zaidi

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images