MKAZI wa Kijiji cha Lupili wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza, Tecla Kazimili (24), amejifungua watoto wanne, watatu wa kike na mmoja wa kiume kwa njia ya kawaida katika hospitali mbili tofauti na siku mbili tofauti.
Katika hospitali ya kwanza, ambayo ni zahanati ya Kijiji cha Lupili Agosti mosi mwaka huu, Tecla alionekana ana ujauzito wa mtoto zaidi ya mmoja ambapo wakati wa kujifungua,
Mama Ajifungua Watoto WANNE Katika Hospitali 2 kwa siku 2 Tofauti mkoani Mwanza
↧
↧
Nora APANGUA Tuhuma za Kuchoropoa Mimba
Msanii aliyewahi kutamba miaka ya nyuma na kundi la Kaole Nuro Nassoro 'Nora' ameamua kufunguka baada ya tuhuma nzito iliyokuwa inamkabili ya kudaiwa kuchoropoa mimba ya msanii mwenzake.....
Nora anadaiwa kuwa katika uhusiano na mmoja wa wasanii wa siku nyingi huku wiki za hivi karibuni akifululiza kwenda hospitali na wambeya wakadai ni
↧
Ali Kiba: Lulu Michael anafaa kuwa MKE.....Ammwagia Misifa ya kushangaza
Kwa mara ya kwanza, staa anayeitikisa nchi kwa sasa na wimbo wake wa
Mwana, Ali Kiba amefunguka kuwa mwigizaji kiwango Bongo, Elizabeth
Michael Kimemeta ‘Lulu’ anafaa kuwa mke (wife material) huku akiweka
wazi sifa kibao alizonazo.
Kiba ambaye hivi karibuni ameibua mijadala mingi katika mitandao ya
kijamii, usafiri wa umma na kwenye baa juu ya ujio wake mpya akisemekana
kurudia kiti
↧
Mwanamke Aliyejeruhiwa kwa bomu la polisi akatwa kiganja cha mkono wa Kulia
Mkazi wa Mbagala Zakhiem, Mwanaharusi Hamis amepoteza kiganja
chake cha mkono wa kulia baada ya kulipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa
ni bomu lililorushwa na polisi wakati wakitawanya wananchi.
Mwanaharusi alilipuliwa na bomu hilo Agosti Mosi 2014, saa 3:00 usiku alipokuwa anatoka ndani kwenda msalani.
Akizungumza na mwandishi jana katika Hospitali
ya Taifa Muhimbili, Wodi ya
↧
Rais Kikwete na Marais 46 Afrika wakutana na Rais Obama
RAIS Jakaya Kikwete yuko Marekani kwa ziara ya siku tisa nchini humo ambako miongoni mwa mambo mengine, atahudhuria Mkutano wa Kwanza wa Kihistoria wa Viongozi wa Bara la Afrika na Marekani ulioitishwa na Rais Barack Obama.
Mkutano huo wa siku mbili unafanyika kuanzia leo ukianza na mkutano wa biashara kati ya Afrika na Marekani.
Unafuatiwa na mkutano wenyewe wa Marekani na Afrika
↧
↧
Heche AMLIPUA January Makamba.....Asema Hana SIFA za kugombea Urais 2015
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Bw. John Heche, amemtaka Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bw. January Makamba ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli, mkoani Tanga, kuacha kufikiria urais kwani Watanzania hawataki Rais kijana bali wanahitaji mtu atakayeweza kuongoza nchi.
Bw. Heche aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara
↧
Mashoga na Wasagaji kutoka Kenya, Uganda wakutana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena
MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao
walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya
Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na
maumbile.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya
↧
Rais Karume amfuata shemeji yake mahabusu....Ni Mansour Yussuf Himid aliyekamatwa juzi kwa tuhuma za kukutwa na silaha
Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mansour Yusuph
Himid akiwa Makao Makuu ya Polisi Zanzibar juzi, baada ya kukamatwa
nyumbani kwake, Chukwani kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume na
sheria.
*********
RAIS mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, jana alifika katika
Kituo Kikuu cha Polisi Mwembe Madema mjini Zanzibar, kumtembelea shemeji
yake, Mansour Yussuf
↧
"Siwezi kujadili upuuzi huu" asema Rais Kikwete kuhusu tetesi kuwa alimuokoa Ridhiwani baada ya kukamatwa na dawa za kulevya!
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Sina muda kujadili upuuzi huu kuhusu Ridhiwani – Rais Jakaya Kikwete
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amesema kuwa ni mkusanyiko wa upuuzi mtupu madai kuwa yeye Rais
alishiriki kumwokoa mtoto wake, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze
Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ambaye alikuwa amekamatwa na madawa ya
kulevya
↧
↧
Video 3 za Maisha ya kifahari ya mfanyabiashara Alex Massawe anayetafutwa na Interpol
Dola za Kimarekani, magari ya kifahari, mijengo yenye hadhi ya mahekalu
ndio maisha ya mfanyabiashara maarufu kutoka Tanzania, Alex Massawe
anayetafutwa na polisi wa kimataifa, Interpol.
Video iliyowekwa kwenye mtandao wa Instagram inamuonesha
mfanyabiashara huyo akiendesha gari la kifahari lenye thamani ya dola
120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 200.
“Hello guys you can
↧
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
Video vixen maarufu wa Bongo Agnes Gerald maarufu zaidi kwa jina la
Agnes Masogange ambaye kwa miezi kadhaa sasa amehamishia makazi yake
Afrika Kusini, amebadili jina na huenda akawa raia wa huko!
Kupita Instagram mrembo huyo mwenye umbo ‘matata’ alianza kwa kupost
picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini kama ishara kwamba amepata
uraia mpya wa nchi hiyo.
Kuthibitisha kile
↧
Vilio na machozi vyawatawala wachezaji wa Taifa Stars baada ya kufungwa, matumaini ya AFCON 2015 yapotea rasmi
Mchezaji wa Taifa Stars, Shomari Kapombe akilia kwa uchungu
baada ya Stars kupoteza nafasi ya kucheza hatua ya makundi kuwania
nafasi ya kucheza Kombe la Afrika 2015.
*************
Timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana iliondolewa rasmi
kwenye michuano ya kuwania kufuzu kucheza kombe la mataifa ya Afrika
mwaka 2015 kwa kufungwa mabao 2-1 na Msumbiji aka The Mambas.
↧
Bibi wa mjini Songea ajitengenezea jeneza ili akifa azikwe nalo
Bibi Scholastica akiwa kwenye jeneza alilojiandalia
******************
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea
Mkoa wa Ruvuma,Bibi Scholastica Mhagama amesema miaka mingi ameishi
maisha ya dhiki na kunyanyaswa bila msaada kutoka kwa jamii anayoishi hali
ambayo imemfanya amuombe Mungu amchukuwe ili azikwe kwenye jeneza
alilojiandalia.
“Kila siku naomba
↧
↧
Uingereza kuanzisha benki ya mbegu za kiume
Nchi ya Uingereza imeanzisha benki ya taifa ya mbegu za kiume inayotarajiwa kuondokana na tatizo la upungufu wa mbegu hizo.
Wapenzi wa jinsia ya kiume na kike , wale wa jinsia moja pia wanawake
wasio na wenza watanufaika na huduma hii mpya ambapo kutoka jamii
zisizofahamika watakuwa na uwezo wa kuchagua wachangiaji kutoka katika
jamii nyingine...
Benki hii itakayosimamiwa na mfuko
↧
Video: Mwanamke avua nguo na kubaki UCHI mbele ya sanamu ya hayati Nelson Mandela Afrika Kusini mchana kweupe
Kisa cha mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini aliyevua nguo zote na kubaki Uchi kama alivyozaliwa na kusimama mbele ya sanamu kubwa ya hayati Nelson Mandela, kimewaacha wapita njia na majirani waliokuwepo karibu na eneo hilo midomo wazi.
Kwa mujibu wa gazeti la Star, Jumatatu mchana ya wiki iliyopita mwanamke huyo ambaye hakufahamika alifika eneo la Sandton, Johannesburg ilipo sanamu hiyo
↧
Bodi ya mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) yatoa Kauli kuhusiana na Kucheleshwa kwa posho ya mafunzo kwa vitendo
Bodi ya mkopo ya Elimu ya Juu nchini Tanzania (HESLB) inashughulikia
tatizo la wanafunzi wanaokwenda kwenye mafunzo kwa njia ya vitendo
ikiwa na baada ya kulalamikiwa na jumuiya ya wanafunzi wa Elimu ya Juu
nchini (TAHLISO).
Akizungumza
na East Africa Radio , Mkurungenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na
Mawasiliano wa Bodi hiyo, Bw. Cosmas Mwaisobwa amesema wanatambua
kuchelewa kwa
↧
Kikongwe wa Miaka 80 Aishi kwa Kula Udongo
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha sana,
kikongwe mmoja aitwaye Athuman Ngusa Kulaba (80) amekuwa akiishi kwa
kula udongo wa nyumba anayoishi kwa sababu ya kukosa chakula cha
kibinadamu.
Kikongwe huyo alikutwa na Uwazi hivi karibuni nyumbani kwake,
Chanika wilayani Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam baada ya majirani kusema
kwamba wamekuwa wakimshuhudia akipata mlo huo kwa karibu mwaka
↧
↧
Mume Wangu Kampa MIMBA Mbwa wetu......Nilimfumania mimi mwenyewe kwa macho yangu akingonoka naye
Mwanamke mmoja aliyejitambulisha
kwa jina la Cecilia Hamis (pichani), mkazi wa Majoe Mjimpya Relini
jijini Dar es Salaam amemlalamikia mumewe aliyemtaja kwa jina la Hamis
Juma kwamba ametembea na mbwa wao mweusi hadi kumpa mimba.
Akizungumza na Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwake, mwanamke huyo alisema alibaini hilo wiki mbili zilizopita.
“Nililigundua hilo wiki mbili
↧
Trafiki FEKI Aibua Mazito.....Akutwa na Leseni 40, Radio Call na Pea 7 za Jeshi la Polisi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, jana imelitolea ufafanuzi sakata la kukamatwa kwa askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani (trafiki), katika kata ya Chamazi, Mbagala Majimatitu, Wilaya ya Temeke, jijini humo.
Mtuhumiwa huyo, Bw. Robson Emmanuel (30), alikamatwa Agosti 2 mwaka huu, akijifanya Ofisa wa Polisi katika kikosi hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧