Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mohamedi Buruhani Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH .....Anauwezo wakufanya Dua mbalimbali Na Kutafsiri Ndoto

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mohamedi Buruhani Mtabibu wa Nyota za Binadamu  Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mohamed Buruani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. 

Anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO . Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie ..Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Mohamed Buruhan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, Anatafsiri Ndoto. ,KUSAFISHA NYOTA, Mvuto wa Mwili na BIASHARA, ...MIGUU Kufa GANZI na mengi zaidi (+255  715971688 au (+255  756914036

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Wanigeria wenye hasira walipiza kisasi, wapora maduka ya Waafrika Kusini

$
0
0
Maduka ya wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Nigeria yalivamiwa jana ikiwa ni hatua ya kujibu, mashambulizi ya hivi karibuni katika taifa hilo la Kusini mwa Afrika kufuatia wimbi jipya la chuki dhidi ya wageni. 

Mashambulizi ya jana yametokea zaidi katika mji wa kibiashara wa Lagos pamoja na mji mkuu wa Abuja, na miji ya Ibadan na Uyo. 

Vijana walioshikwa na hasira walichoma ofisi za kampuni ya simu ya Afrika Kusini ya MTN, na kuvamia maduka ya Shoprite. 

Maduka mengine yanayomilikiwa na wafanyabiashara wa Afrika Kusini, yalikuwa chini ya ulinzi wa polisi. Maelfu ya vijana pia waliandamana katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka dhidi ya mashambulizi ya chuki dhii ya wageni. 

Umoja wa Afrika, rais wa Nigeria na mwenzake wa Afrika kusini wote wamelaani vurugu hizo. 

-DW

Rais Magufuli amtaka Rais Mseven kuwa mkali kwa watendaji wake wa Mamlaka ya Mapato nchini Uganda (URA)

$
0
0
Rais Magufuli amemtaka Rais  Yoweri Museven wa Uganda kuwa mkali kwa watendaji wake ambao wanakwamisha kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini humo mpaka Tanga, Tanzania.

Magufuli ametoa mfano wakati alipoingia madarakani Novemba 5, 2015 alibadilisha makamishna wakuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) watano lengo ni kuongeza ufanisi katika mamlaka hiyo.

“Leo niwape siri, nilikuwa namuuliza Rais Museveni mbona unachelewesha hili bomba, kwa sababu ya kodi ya huko ambayo umekataa kuikubali ya Dola 600 wakati utakuwa unatengeneza Dola bilioni 800 jitolee hii kodi kidogo utengeneze ajira na utakuwa unapata fedha kwa muda mrefu watu wako wa TRA wasikucheleweshe, sisi tulitaka hilo bomba liitwe Kaguta Pipeline siku tunapozindua, hao wasikucheleweshe.

“Simfundishi mzee, lakini nilipoingia madarakani nimebadilisha makamishna watano kwa miaka mitatu na nusu, si suala la kujidai lakini ni baya. Nikamwambia wewe umeng’ang’ania huyo wa kwako wa nini huko, tunatakiwa twende mbele, katika biashara kuna kupata na kukosa unatakiwa utoe ili upate zaidi.

“Kwanini ucheleweshwe na watendaji, kaka naona umekuwa mpole kabla ya wakati ule ulipopigana ulikwa mkali sasa uongeze, ongeza ukali kwenye hili.

“Nimeona nilizungumze hili sitaki kuwa mnafiki, I wish (natamani) hawa watendaji wangehamia Tanzania na wa Tanzania waende Uganda nideal (nishughulike) nao kwa mwezi mmoja tu,” amesema Rais Magufuli.

Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume ,Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30 na kukusaidia kurudia   tendo la ndoa .

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara hata kama yupo mbali.

Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Wasiliana na mtaalam kwa; 0747100745

Tupo Mbagala

Tanzania Kutekeleza Mpango Mkakati Wa Maendeleo kwa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU)

$
0
0
Na. Farida Ramadhani na Josephine Majura, WFM, Dodoma
Tanzania imejipanga kutekeleza Mpango Mkakati wa Maendeleo kwa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kwa lengo kuchochea maendeleo endelevu nchini na kupunguza umaskini kwa wananchi wake.

Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Adolf Ndunguru, wakati wa warsha ya Kamisheni ya Umoja wa Afrika kuhusu Uasilishaji wa Agenda 2063 ya Maendeleo ya Afrika.

Bw. Ndunguru ameeleza kuwa, Tanzania imejipanga kutengeneza mazingira yatakayowezesha kutekeleza mpango huo nchini kwa kuhakikisha unaingia katika mipango ya maendeleo ya nchi ili kuchochea maendeleo ya huduma za afya, utoaji wa elimu, maendeleo ya viwanda pamoja na ukuaji wa uchumi wa nchi.

Alisema maendelo sio kwa ajili ya watu wachache hivyo Serikali imejipanga kushirikisha wananchi wote katika kutekeleza mpango mkakati huo kwa kuhakikisha wanaelewa chanzo cha mpango huo pamoja na manufaa yake nchini.

“Tumeamua kuuleta mkakati huu nyumbani ili kuhakikisha kwamba Watanzania wanajua Agenda 2063 ya maendeleo na umuhimu wake kwao, kila mtanzania ajione ni sehemu ya mpango huo na hakuna atakayeachwa nyuma”, alisisitiza Bw. Ndunguru.

Akizungumzia Mpango Mkakati huo, Kamishna Msaidizi wa Sera kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Wiliam Mhoja, alisema kuwa Agenda 2063 ni Mpango Mkakati wa Maendeleo ya AU, ambao umejiwekea malengo takribani 20 kuhusu ukuaji wa uchumi jumuishi pamoja na maendeleo endelevu.

Alisema kuwa miongoni mwa malengo hayo ni pamoja na kuboresha miundombinu ya usafiri kama reli na barabara ambayo itaunganisha nchi zote za Afrika.

Bw. Mhoja alisema kuwa mpango huo utaanza kuwekwa katika mpango wa maendeleo ya nchi pamoja na kuwajengea wananchi uelewa ikizingatiwa kuwa Taifa lipo katika uandaaji wa mpango wa tatu wa maendeleo.

Kwa upande wake Afisa Mwandamizi wa Sera kutoka Kamisheni ya AU, Bw. Oitsile Thesunyiwe, alisema kuwa Kamisheni hiyo imekuwa ikijenga uelewa wa kuhusu Agenda 2063 kwa nchi Wanachama wa umoja huo ambapo Tanzania ni nchi ya 43 kutembelewa kati ya nchi takribani 55 katika umoja huo.

Alisema katika kutoa uelewa wa agenda hiyo, Kamisheni ya Umoja wa Afrika inafanya mazungumzo na nchi hizo kuhusu namna ya kuhuisha Agenda 2063 katika mipango ya maendeleo ya Taifa na ya kisekta.

MWISHO.


Waziri Simbachawene atoa wito wa kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amesema mabadiliko ya tabianchi ni janga la kitaifa na dunia kwa ujumla hivyo kila mtu anao wajibu wa kutunza mazingira kwa kupanda miti.
 
Mhe. Simbachawene amesema hayo leo Septemba 6, 2019 wakati akifungua Kongamano la Wadau wa Kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi lililofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma.
 
Alisema kuwa changamoto ya mabadiliko ya tabianchi imesababisha mabadiliko ya misimu na hivyo kuleta athari kwa wanadamu kushindwa kuendesha shughuli za kilimo.
 
"Hali hii imechangia sana kubadilisha misimu mbalimbali kwani baadhi ya mazao tuliyozoea hatuyapati tena kutokana na kukosekana kwa mvua na pia mifugo yetu inakosa malisho yote haya yanasababisha kwa mabadiliko ya tabianchi," alitahadharisha.
 
Waziri Simbachawene alibainisha kuwa takwimu zinaonesha zaidi ya asilimia 80 ya wananchi wanategemea mvua kufanya shughuli za kilimo lakini Tanzania inakabiliwa na mabadiliko ya tabianchi.
 
 Aliongeza kuwa sehemu kubwa ya nchi ilikuwa na ukame ambao ulichangia uzalishaji mdogo wa mazao na Serikali lichukua hatua madhubuti za kukabiliana na changamoto hiyo kwa kuwataka wananchi kutumia chakula kwa uangalifu, kupanda mazao yanayohimili ukame, kuuza mifugo ili kununua chakula na kuhifadhi
 
Waziri Simbachawene alibainisha kuwa kwa mujibu wa sheria suala la utunzaji wa mazingira si tu la Ofisi ya Makamu wa Rais bali ni la kila mmoja ambapo taasisi zingine za Serikali na zisizo za Serikali zinapaswa kushiriki ili kuhakikisha tunaondokana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi.
 
Aidha Waziri Simbachawene alipongeza miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ya Eco villages ambayo imetekelezwa katika maeneo kadhaa nchini na kusema itapunguza makali ya mabadiliko ya tabianchi.
 
Alisema kuwa miradi hiyo iliyotekelezwa imeweza kuwajengea uwezo wananchi kuhusu namna ya kufanya shughuli mbadala pale panapokuwa na changamoto za kimazingira kama hizo na hivyo kujikimu kimaisha.  
 
Kongamano hilo limeandaliwa kwa ushirikiano wa Chuo cha Mipango Dodoma kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali likil;enga kujadili taarifa za miradi mbalimbali ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Aburuzwa Mahakamani kwa kufanya ufugaji holela Mjini Kahama

$
0
0
NA SALVATORY NTANDU
Mfugaji na Mkazi wa mtaa wa Malunga katika Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga Yusuph Kumalija (33) leo amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Kahama kwa tuhuma ya kusababisha uharibifu wa mazingira kwa ufugaji holela wa mifugo mjini.

Mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo Julius Siza Mwendesha Mashitaka wa Jeshi la Polisi Felix Mbisse amedai Yusuph alitenda kosa hilo septemba tano mwaka huu majira ya saa saba mchana kwa kuachia ng’ombe wake kuzurura ovyo mjini na kuharibu Mazingira.

Amesema Yusuph amekiuka sheria ya hifadhi ya mazingira ya Halmashauri ya mji wa kahama namba 4 (1) (a),(b) inayoelekeza namna ya ufugaji wa mifugo mbalimbali hapa mjini.

Amefafanua kuwa uzururaji wa mifugo hiyo hapa mjini unasababisha uharibifu wa mazingira na ni kinyume cha sheria na amekiuka kifungu cha 53 cha sheria za serikali za mitaa ya mwaka 2014.

Yusuph amekana shitaka hilo Mahakamani hapo na Shauri hilo la jinai namba 332 la mwaka huu limeahirishwa hadi septemba 20 ambapo litakapotajwa tena na upelelezi wake umekamika

Yusuph  amepewa dhamana baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Tozo Ya Maiti Hospitalini Yazua Gumzo Bungeni.

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Suala la utozaji gharama miili ya Marehemu kwenye chumba cha kuhifadhia Maiti hospitalini [Mortuary] imeonesha bado ni changamoto kubwa kwa jamii masikini ambapo Bunge limeiomba serikali kuangalia upya Sera hiyo.
 
Akihoji suala hilo ,Mbunge wa Viti Maalum Suzan Lyimo amehoji ni lini Serikali itaacha kutoza gharama za Marehemu wanaofia hospitalini na kuhifadhiwa katika vyumba vya maiti[Mortuary] ili kupunguza simanzi kwa wafiwa.
 
Mhe.Lyimo amesema watu wengi ni Masikini Wanawezaje kulipia gharama kubwa na imekuwa changamoto kwao pindi miili ya ndugu zao inapozuiliwa kwa kukosa gharama ya kulipia gharama ya chumba cha kuhifadhia Maiti.
 
Katika Majibu yake Naibu Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Dokta Faustine Ndugulile amesema ili miili ya Marehemu wanaofia hospitalini au nje ya hospitali iweze kuhifadhiwa na kusitiriwa kwa heshima ,inahitaji kutunzwa kwenye majokofu yenye ubaridi mkali  na wakati mwingine kuwekewa dawa ili isiharibike.
 
Hivyo,Dokta Ndugulile amefafanua kwa mujibu wa Sera ya Afya ya Mwaka 2017 ,wananchi wanapaswa kuchangia gharama za afya ikiwa ni pamoja na matibabu na hata huduma za uhifadhi wa maiti.
 
Dokta Ndugulile ameendelea kufafanua kuwa panapotokea changamoto ya mwananchi kushindwa kumudu gharama anapaswa kutoa taarifa kwenye uongozi wa hospitali husika au ofisi za ustawi wa jamii  ili kupata maelekezo ya namna ya kutatua changamoto hiyo huku pia akisisitiza wananchi kujiunga na Bima ya Afya.

Kwa upande mbunge wa Viti Maalum  Mhe.Faida Bakari katika swali lake la nyongeza amehoji kama serikali inazuia Maiti  hospitalini kisa kushindwa kulipia gharama za Chumba cha kuhifadhia Maiti je inawapeleka wapi.
 
Akijibu swali hilo,Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu amesema kikubwa ambacho serikali hudai ni gharama za mgonjwa alizolazwa hospitalini  hadi anapopona au kufariki .
 
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Nagma Giga ameitaka serikali kuangalia upya sera ya utozaji maiti hospitalini hususan suala la kupandisha bili pindi mtu anapochelewa kuchukua mwili wa Marehemu Mortuary hali hiyo itaweza kuondoa ukakasi ,Majonzi na Sintofahamu kwa wananchi.
 
Ikumbukwe kuwa gharama za kumlaza Mgonjwa kwenye chumba cha wagonjwa Mahututi [Intesive Care Unit]ICU]ni Tsh.laki tano[500,000] kwa hospitali za serikali na  Tsh.Milioni mbili na nusu[2,500,000] kwa hospitali za Watu Binafsi

Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Trilioni 2.6 Yazinduliwa na Mwenge

$
0
0
Na Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma
Jumla ya miradi 5,603 yenye thamani ya shilingi trilioni 2.6 imezinduliwa na Mwenge wa Uhuru kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.

Hayo yameelezwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Stella Ikupa alipokuwa akijibu swali la Mhe. Mgeni Jadi Kadika, Mbunge wa Viti Maalum kuhusu idadi ya miradi inayofunguliwa na  Mwenge wa Uhuru kwa mwaka.

“Uwiano wa miradi inayozinduliwa kwa mwaka na kuwekwa mawe ya mzingi ni 1,402 yenye thamani ya shilingi 651,849,585,126.64,” amesema Ikupa.

Ameendelea kusema kuwa, miradi hiyo huendana na Kauli Mbiu mbalimbali. Mfano mwka 2017, Kauli Mbiu ilikuwa uwekezaji katika sekta ya viwanda. Mwaka 2018 Kauli Mbiu ilikuwa Uwekezaji katika Sekta ya Elimu, na  mwaka 2019 Kauli Mbiu ni Maji ni Haki ya Kila Mtu, Tutunze Vyanzo Vyake na Tukumbuke Kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Aidha, Waziri Ikupa amempongeza Mhe. Kadika kwa kukiri kuwa Mwenge wa uhuru umekuwa ukileta maendeleo makubwa nchini.

Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume ,Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30 na kukusaidia kurudia   tendo la ndoa .

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara hata kama yupo mbali.

Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Wasiliana na mtaalam kwa; 0747100745

Tupo Mbagala

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Huduma Za Benki Ya Wanawake Kutolewa Na Benki Ya TPB Plc

$
0
0
Na. Farida Ramadhan na Peter Haule, WFM, Dodoma
Serikali imesema kuwa kwa sasa hakuna Benki ya Wanawake Tanzania baada ya iliyokuwa Benki ya Wanawake kuunganishwa na Benki ya TPB Plc.

Hayo yameelezwa bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) alipokuwa akijibu swali la Msingi la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Faida Mohammed Bakar, aliyetaka kujua sababu zilizokwamisha uanzishwaji wa Benki ya Wanawake kwa upande wa Zanzibar.

Dkt. Kijaji alisema kuwa, huduma za iliyokuwa Benki ya Wanawake Tanzania zinaendelea kutolewa na Benki ya TPB Plc ambapo imeanzisha dirisha maalum la wanawake katika matawi yake yote yakiwemo matawi ya Unguja na Pemba ili kukidhi mahitaji yao kote nchini.

“Nitoe wito kwa wanawake wa Tanzania watumie akaunti ya Tabasamu iliyopo katika Benki ya TPB Plc ili kunufaika na mikopo yenye riba nafuu bila kulazimika kuwa katika vikundi kama Benki zingine zinavyofanya”, alieleza Dkt. Kijaji.

Dkt. Kijaji alisema kuwa Akaunti ya Tabasamu ilifunguliwa na Benki ya Posta kwa ajili ya Wanawake pekee kama Benki ya Wanawake ilivyokuwa ikifanya na pia inatoa mkopo kwa mwanamke mmoja mmoja kwa lengo la kumuwezesha  kufanya shughuli zake za kijasiriamali, kiuchumi na za kijamii kwa maslahi yake na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Mbunge wa Viti maalum Mhe. Faida Mohammed Bakar, ameipongeza Serikali kwa majibu yake kwa kuunganisha Benki ya Posta na Benki ya Wanawake ili Wanawake waweze kuhudumiwa katika maeneo yote, ambapo awali huduma hizo zilikuwa zinapatikana katika maeneo machache kutokana na ufinyu wa matawi ya Benki ya Wanawake.

Mwisho.


Serikali Yatumia Miradi Kudhibiti Uharibifu Wa Mazingira

$
0
0
Serikali imechukua hatua mbalimbali kupitia miradi inayofadhiliwa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi ili kuweza kudhibiti uharibifu wa mazingira unaosababishwa na mabadiliko ya tabianchi katika Visiwa vya Pemba na Unguja.

Hayo yamesemwa leo Septemba 5,2019 na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima akiwa Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Mwantum Dau Haji lililouliza kuwa kasi ya mmomonyoko wa ardhi na uhaba wa udongo katika Visiwa vya Unguja na Pemba vinatishia uhai wa visiwa hivyo. Je, ni hatua zipi za makusudi zimechukuliwa katika kuvinusuru visiwa hivyo?. 

Mhe. Sima alisema kupitia Mradi wa Kujenga Uwezo wa Jamii Kuhimili Athari za Mabadiliko ya tabianchi-LDCF ambao umetekelezwa mwaka 2012 hadi 2018, shughuli mbalimbali zimefanyika zikiwemo ujenzi wa kuta mbili za mita 25 kila moja katika eneo la Kisiwa Panza-Pemba na ujenzi wa makinga bahari (groynes) matano ya wastani wa urefu wa mita 100 kila moja katika eneo la urefu wa mita 538 Kilimani-Unguja. 

Pia Naibu Waziri alitaja upandaji mikoko Pemba maeneo ya Kisiwa Panza hekta 200, Tumbe hekta 10, Ukele hekta 7 na Tovuni hekta 1 na upandaji mikoko Unguja maeneo ya Kisakasaka hekta 8 na Kilimani hekta 1.4. 

Aliongeza kuwa kupitia mradi wa Kupunguza Uharibifu wa Ardhi na Kuongeza Uzalishaji wa Chakula katika maeneo kame nchini (2017-2022), shughuli zinazotegemewa kufanyika katika maeneo ya Micheweni Kata ya Micheweni na Kiuyu Maziwang’ombe ambazo ni kujenga makinga maji katika mashamba (dykes) ili kuzuia maji ya bahari kuingia katika mashamba. 

Nyingine ni kutoa elimu kuhusu kilimo kinachokabiliana na mabadiliko ya tabianchi kupitia mashamba darasa, upandaji  wa miti ili kuhifadhi udongo na kutunza mazingira, na uanzishaji wa biashara ndogo ndogo ili kuwezesha jamii kuwa na shughuli mbadala za kujiongezea kipato.  

Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi, kudhibiti mmomonyoko wa udongo, na kukabiliana na uhaba wa udongo. Alimalizia Waziri Sima.
 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi Septemba 7


Rais Magufuli atangaza siku 3 za Maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Mzee Robert Gabriel Mugabe.

Tangazo la Nafasi za Masomo Kwa Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Lake Tanganyika....Changamkia Hii Fursa

$
0
0
Tangazo la Nafasi za Masomo Kwa Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Lake Tanganyika....Changamkia Hii Fursa


Waziri Wa Kilimo Wa Tanzania Mhe Japhet Hasunga Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Waziri Wa Kilimo Na Maendeleo Vijijini Wa Israel

$
0
0
Na Mathias Canal, Bet Dagan-Israel
Waziri wa Kilimo wa Tanzania Mhe Japhet Hasunga (Mb) tarehe 5 Septemba 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vijijini wa Israel Mhe Uri Yehuda Ariel HaCohen na kukubaliana kwa kauli moja kuwa serikali za nchi hizo mbili kuingia makubaliano ya kuendeleza kilimo hususani katika utafiti, Tija katika uzalishaji, na Teknolojia.

Katika mkutano huo uliohudhuriwa pia na Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe Job Daud Masima, Mhe Hasunga ametoa shukrani kwa Serikali ya Israeli kuipatia Tanzania nafasi 100 za kujifunza kuhusu sekta ya kilimo kwa vijana kupitia programu inayosimamiwa na Agrostudies.

Waziri Hasunga ameeleza katika mkutano huo dhamira ya Serikali ya Tanzania inayoongoza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli, ya kuwasaidia vijana waliorudi nyumbani baada ya mafunzo hayo kwa kuanza kuwapatia mahitaji ya msingi ikiwemo ardhi ambayo ipo eneo litakalowawezesha kujiendeleza.

Vilevile ameeleza kuwa katika wizara ya kilimo hakukuwa na kitengo cha masoko hivyo ili kuwaunganisha vijana hao na masoko ya biashara watakazozalisha serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Kilimo imeanzisha kitengo maalumu cha kushughulikia masoko ya mazao mbalimbali ya wakulima.

Waziri Hasunga pia amezungumzia kuhusu maeneo yanayoweza kuwavutia wawekezaji kutoka Israeli ili kuwekeza nchini Tanzania kwa kutoa takwimu za ukubwa wa ardhi yenye rutuba, uwepo wa maji na hali ya hewa inayoruhusu ukuaji wa aina nyingi ya mazao.

Serikali ya Israeli ipo tayari kusaini hati ya makubaliano ya kilimo (Memorandum Of Undarstanding-MOU) ya kilimo pale itapowasilishwa na Serikali ya Tanzania, hii imekuja baada ya Mheshimiwa Waziri Hasunga kuona umuhimu wa kuingia makubaliano ili iwe rahisi wawekezaji kutoka Israel kuzuru Tanzania kuwekeza pamoja na kupata mikopo kutoka katika Serikali yao.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali ya Israeli Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vijijini wa nchi hiyo Mhe Uri Yehuda Ariel HaCohen imehaidi pindi Serikali ya Tanzania itakapowasilisha mahitaji hasa kwenye mazao ambayo muhimu ya kuanza nayo kwa ajili ya soko la Israel itakuwa tayari kushirikiana kwa kutoa ujuzi pamoja na uwezeshaji wa wataalamu.

Hata hivyo itakapotokea mwekezaji wa Israeli ataposhirikiana na kampuni ya Tanzania, Serikali inawajibu kuingilia kati kusaidia maeneo ya uwezeshaji na rasilimali watu.

MWISHO

Viwanja Vinauzwa kwa bei nafuu: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

$
0
0
Viwanja bei nafuu: Bunju na Mapinga (Baobab sec)
Kwa Mapinga vipo viwanja vya sqm 300 bei tsh 3.5 milion, sqm 400 kwa tsh 4.5 milion, sqm 600 kwa tsh 7.5 milion, sqm 1000 kwa tsh 12 milion, sqm 1600 kwa tsh 20 milion, sqm 2000 kwa tsh 26 milion na sqm 2400 kwa tsh 31 milion.
Viwanja hivi viko umbali wa km 3 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road)

Kwa Bunju vipo viwanja vya sqm 600 kwa tsh 25 milion, sqm 1300 kwa tsh 39 milion na sqm 1750 kwa tsh 51 milion.

Biashara hii haina dalali/udalali
Mpigie mhusika kwa 0758603077 au whatsap 0757489709

Mazingira ya Uwekezaji Sasa ni Mvuto kwa Wawekezaji wa Ndani na Nje – Bashungwa

$
0
0
Abraham Nyantori, MAELEZO
Wizara ya Viwanda na Biashara katika siku yake ya pili ya Kongamano la fursa za biashara baina ya Tanzania na Uganda imerudia kuwahakikishia wafanyabiashara wake kuwa Wizara yake itawahudumia kwa karibu kwa kila hatua ili kufanikisha lengo la kufanya biashara baina ya nchi hizi mbili. 

Akifunga Kongamano hilo leo, baada ya mjadala mrefu uliojumuisha wawekezaji, wafanyabiashara wa bidhaa, wasafirishaji na wajasiriamali katika Kituo cha Mikutano cha Julias Nyerere, Dar es Salaam, Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa, ametumia muda huo kusisitiza wafanyabiashra kutumia fursa ya maboresho ya sheria na mazingira ya biashara kuwekeza, ndani na wawekezaji wa nje. 

Waziri amewaeleza Waganda fursa zilizopo katika sekta za kilimo, madini, mali ghafi za mazao mbalimbali na bidhaa kwa walaji, na akawaeleza mazingira ya uwekezaji yamefanyiwa tafiti mbalimbali na serikali baada ya maboresho, mabadiliko  yametengenezewa nyaraka (blue print). 

Waziri amekiri kuwa majukwaa mbalimbali yamekuwa yakifanyika lakini shughuli zote zinaishia kubaki katika makabati pasipo utekelezaji, “sasa tunatakiwa kuongea kidogo na kufanya vitendo zaidi” amesisistiza waziri hasa kwa wafanya maamuzi, “kwa haya maamuzi tuliofikia nitatoka ofisini na kufuatilia kila moja kuona utekelezaji wake” ametahadharisha Waziri Bashungwa. 

Katika Kongamano la leo, baada ya wachokozaji wa maada kadhaa katika sekta ya usafirishaji na wa vipimo kumaliza,  washiriki wa Kongamano wamejikita katika eneo hilo muhimu huku wakieleza changamoto zinazokabili sekta za usafirishaji, pia, michakato ya usajili, ukakasi wa “njoo kesho” na kuwa baadhi ya wafanyamaamuzi huchukua muda mrefu kutekeleza ama kutoa vibali. 

Watendaji wa juu wa serikali za Uganda na Tanzania, wakiongozwa na Waziri wa Viwanda, ambaye mwenzake wa  Uganda  alikuwa na jukumu lingine hapa jijini walionesha umakini wa kuchukua mawazo na maswali ya washiriki wa Kongamano, na baadhi yao walipata nafasi ya kujibu maswali. 

Baadhi ya wafanyabiashara wasafirishaji walitaka kujua gharama za usafirishaji wa mzigo kutoka Mwanza/Uganda hadi Dar es Salaam, huku wakilinganisha na gharama za usafirishaji wa mzigo kama huo kutoka bandari ya Mombasa, Kenya; hata hivyo watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) walisema bei zake zimeshushwa na mazingira yameboreshwa. 

Akichangia maada, Naibu waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damasi Ndumbaro, amekumbusha historia ya undugu wa nchi hizi mbili, na kuwa Uganda haijawahi kupigana na Tanzania, akasema, “Vita ya Kagera 1977 ilikuwa ni mjumuisho wa Waganda na Watanzania kuondoa utawala wa kidikteta wa nduli Idd Amini, nchini Uganda. 

Waziri akakumbusha kuwa huduma ya TRC toka Dar es Salaam hadi Uganda huchukua siku tatu tu baada ya kuondolewa baadhi ya vikwazo, na reli ya kisasa ya mwendo kasi ikamilikapo safari hiyo itakuwa ya siku moja, pia akahimiza Waganda na Watanzania kuunganisha nguvu zao na kuliingia soko la Sudan. 

Kwa upande mwingine, Naibu Waziri huyo akaeleza masikitiko yake ya nchi za kiafrika kuendelea kutumia lugha za kikoloni kama lugha rasmi za vikao vya kimataifa, akasema. “lugha pekee isiyo ya kabila fulani na isiyo lugha ya kikoloni ni Kiswahili, … tubadilike, tuwe na lugha ya kutuunganisha, nayo ni Kiswahili.” 

Akasema, “Natetea kiswahili kwa sababu sio lugha ya kabila lolote, ni lugha ya pili baada ya kiarabu katika bara la Afrika…. Ni lugha ya kumi katika mlolongo wa lugha za kimataifa, hii ni silaha kubwa kwetu, tusiendelee kutukuza tamaduni za wenzetu kwa kudharau zetu.”
    
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images