Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mila Potofuza kutochangia vyoo na elimu juu ya Matumizi yake vimetajwa kusababisha kaya zaidi elfu saba kutojenga vyoo shinyanga

$
0
0
NA SALVATORY NTANDU
Kaya elfu 7,195  katika  mkoa Shinyanga zimebainika kutokuwa na vyoo  na kuendelea kujisaidia vichanani hali ambayo inaweza kusababisha kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kama vile homa za matumbo na hata kipindupindu.

Hayo yamebainishwa  jana na Afisa Mazingira wa mkoa wa Shinyanga Neema Simba, katika ufunguzi wa kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha ujenzi wa vyoo bora ijulikanayo kama “usichukulie poa nyumba ni choo” ambayo imeanza rasmi katika mkoa huo.

Amesema kuwa mwaka 2012 hali ya vyoo bora ilikuwa asilimia 17 na baada ya utekelezaji kampeni ya ujenzi wa vyoo bora imeboreka na kufikia  asilimia 50.6 ambapo malengo ya mkoa ni hadi kufikia desema mwaka huu kila kaya iwe na choo bora.

Amefafanua kuwa Halmashauri ya Mji wa kahama ina asilimia 75 vyoo bora ni asilimia 0.2 hazina vyoo, Halmashauri ya Kishapu asilimia 71 vyoo bora asilimia 2 hazina vyoo,Halmashauri ya Msalala asilimia 57.3 vyoo bora asilimia 4.4 hazina vyoo.

Halmashauri ya Shinyanga vijijini asilimia 19.7 vyoo bora asilimia3.9 hazina vyoo.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga asilimia 64 vyoo bora asilimia 0.9 hazina vyoo,Halmashauri ya Ushetu asilimia 20.9 vyoo bora asilimia 5.1

Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack amewaagiza wakurugenzi wote wa Mamlaka za serikali za mitaa katika mkoa huo kutoa elimu kwa wananchi wanaoendelea na mila potofu ikiwemo ya kutochangia choo kimoja na wakwe hali ambayo inasababisha wananchi kuendelea kujisaidia vichakani na kuchafua mazingira.

Nae Elizabeth Malingumu Afisa mwelimishaji kutoka wizara ya afya na maendeleo ya jamii wazee jinsia na watoto amesema malengo ya kampeni hiyo ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2020 kila nyumba hapa nchini iwe na afya bora na kuwataka wananchi wa mkoa wa shinyanga kuhakikisha wanajenga vyoo bora.

Kampeni ya nyumba ni choo itadumu kwa siku 22 katika mkoa wa shinyanga ambayo inaongozwa na balozi mkuu Msanii Mrisho Mpoto ambapo watazunguka katika halmashauri sita za mkoa huo ambayo inalenga kuhamasisha ujenzi wa vyoo bora.

BREAKING: Ndege ya Air Tanzania Iliyokuwa Inashikiliwa Afrika Kusini Yaachiwa Huru

$
0
0
Mahakama Kuu ya jimbo la Gauteng imeamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa ikishikiliwa nchini Afrika Kusini kuachiwa mara moja na mlalamikaji alipe gharama za kesi

Ndege hiyo tayari ipo njiani kurejea nchini ikitokea katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johannesburg.

Kutana na Mohamedi Buruhani Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH .....Anauwezo wakufanya Dua mbalimbali Na Kutafsiri Ndoto

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mohamedi Buruhani Mtabibu wa Nyota za Binadamu  Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mohamed Buruani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. 

Anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO . Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie ..Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Mohamed Buruhan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, Anatafsiri Ndoto. ,KUSAFISHA NYOTA, Mvuto wa Mwili na BIASHARA, ...MIGUU Kufa GANZI na mengi zaidi (+255  715971688 au (+255  756914036

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume ,Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30 na kukusaidia kurudia   tendo la ndoa .

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara hata kama yupo mbali.

Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Wasiliana na mtaalam kwa; 0747100745

Tupo Mbagala

Tundu Lissu Abadili Tarehe ya Kurudi Nchini

$
0
0
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema hatarejea Tanzania Septemba 7, 2019 kama ilivyopangwa badala yake atasubiri ruhusa ya madaktari wanaomtibu.

Lissu ametoa kauli hiyo jana Jumanne Septemba 3, 2019 katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Uingereza (BBC), alipoulizwa lini atarejea Tanzania.

Amesema  bado madaktari hawajaweka bayana kwamba atarudi lini.

'Nilishasema kwamba ninasubiri nipate uamuzi wa mwisho wa madaktari wangu, nasubiri waniambie sasa unaweza kwenda nyumbani. Wakiniambia hivyo nitaanza kupanga mipango ya safari ya nyumbani.

'Sio bayana maana daktari wangu hajaniambia bado kwamba sasa nenda nyumbani, hajaniambia bado.' Lissu ameiambia BBC 

Lissu, amekuwa nje ya nchi tangu Septemba 7, 2017 aliposhambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na watu wasiojulikana akiwa eneo la makazi yake Area D, Dodoma akitoka kuhudhuria vikao vya Bunge.

Jeshi la Polisi Iringa Lasema tukio lililotokea la mchawi kudondoka juu ya paa la nyumba ya Mchungaji eneo la Ilula ni la kutengenezwa

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Iringa, limesema kuwa limebaini tukio lililotokea la mchawi kudondoka juu ya paa la nyumba ya Mchungaji eneo la Ilula ni la kutengenezwa, mwanamke huyo alilipwa pesa ili kutengeneza sakata hilo.

Kamanda wa Polisi mkoani Iringa, Juma Bwile amesema kuwa mama huyo ambaye amejitambulisha kwa jina la Bi. Kabula Masunga hapo awali alidanganya kwamba jina lake kamili ni Magreth Simon ili kukwepa ukweli.

Amesema awali Bi. Magreth Simon alisema kuwa anatokea Morogoro lakini ni mkazi wa Sengerema Mkoani Mwanza kama ambavyo amebainisha mumewe Bw. Jeremia Yustas, baada ya kutoa taarifa Makao Makuu ya Polisi Mkoani Iringa.

Aidha mumewe Bw. Jeremiah Yustas amesema Bi. Kabula aliaga kuwa anaelekea Musoma kwa ajili ya kujengea makaburi ya ndugu zake na kwamba anashangaa kuona ameshikwa mkoani Iringa kwa uchawi.

Nao wakazi wa mji mdogo wa Ilula wamesema kitendo hicho hakivumiliki, hivyo basi wananchi wanatakiwa kuwa makini kwakuwa mama huyo angeweza kuuawa na wananchi ambao wanaamini ushirikina.

Mapema mwezi Agosti, Jeshi la Polisi mkoani Iringa lilimkamata mama huyo ajulikanaye kwa jina la Kabula Masunga akiwa amelala juu ya paa la nyumba ya Mchungaji Jeremiah Charles katika halmashauri ya Mji Mdogo wa Ilula, Wilayani Kilolo, mkoani Iringa baada ya wananchi kumtuhumu kuwa ni mchawi.

Ni Nini Kinachosababisha Wanaume Wengi Kuishiwa Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanaume kuishiwa nguvu kiume na maumbile madogo.

Nini kinasababisha upungufu wa nguvu za kiume  (1) Msongo wa mawazo( 2) magonjwa ya sukari,presha,vidonda vya tumbo,kukosa choo,na tumbo kuunguruma( 3) kujichua kwa muda mrefu   (4) ngiri ,korodani kuvimba,

Tiba ya tatizo:
MAJINJAS;  ni dawa  yenye virutubisho na mchanganyiko wa wa mizizi tisa (9) dawa hii hutibu matatizo yafatayo (1) kushindwa kurudia tendo -dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu ( 2) kuwahi kufika kileleni dawa hii itakupa uwezo wa kuchelewa ( 3)  dawa hii hutibu tatizo la maumbile ya kiume kusinyaa hasa kwa wanaume  waliojichua kwa muda mrefu  

MTINJETINJE; ni dawa ya kisukari ambayo imechanganywa na mizizi na mbegu -dawa hii husaidia kurejesha kongosho kwenye hali yake ya kawaida.

Fika ofisini kwangu MBAGARA ZAKHEMU KARIBU NA BENK YA  KCB utaona bango limeandikwa NTUNZU HEBRISRI CLINIC na mwanza yupo wakala nipigie simu whasap  0783185060. 0620113431 DR AGU na utaletewa popote uduma  hii

Sekretarieti ya Ajira nchini kwa kushirikiana na TUME ya MADINI leo imetangaza nafasi 116 za ajira....Soma Hapa

$
0
0
VACANCIES ANNOUNCEMENT
Public Service Recruitment Secretariat on behalf of The Mining Commission, invites qualified Tanzanians to fill 116 vacant posts as mentioned hereunder. 

 
1.0 BACKGROUND
The Mining Commission is established under the Mining Act 2010 as amended by Written Laws (Miscellaneous Amendment) Act 2017. The Commission came into existence through the Government Notice No. 27 issued on 7th July, 2017.  The Commission has taken over all operational functions that were being performed by Minerals Division under Ministry of Energy and Minerals and all functions that were being performed by Tanzania Minerals Audit Agency (TMAA) and Tanzania Diamond Sorting Organization (TANSORT). The responsibility of the Minerals Division shall now be advising the Minister on all matters related to the mining sector.  The aim of the Commission is to enhance management of the Mining Sector and to ensure that the Government is benefiting from the income generated in a sustainable manner.

1.1 GEOLOGIST II – 28 POSTS
1.1.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To assist preliminary process of issuance, renewal, revoke and suspension of licenses, permits and certificates of mining activities;

ii. To assist  in inspection and monitoring of mineral exploration/ prospecting activities to ensure that they are executed in accordance to approved programmes and budget;

iii. To assist in qualification and quantification of the produced minerals;

iv. To assist in processing and issuing of export and import permits for minerals;

v. To assist in inspection of major, medium and small-scale mining development projects and ensure that they operate according to safety, health and environmental country guidelines;

vi. To collect and sort quarterly reports submitted by mining operators and evaluate performance against work program;

vii. To assist in establishment and maintenance of  database of the mineral potential for promotion of value addition activities in the country;

viii. To assist in maintaining the Mining License Register;

ix. To assist data/information updates on Mineral Trading and Exports registers at RMOs and cadastre;

x. To advise Mineral Rights and Licenses applicants on the status of their application;

xi. To prepare responses to customer queries and searches and draft written official responses; and

xii. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.1.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENE
Bachelor Degree in Geology from recognized Institution.

1.1.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institutions salary scale MCSS 6

1.2 ENVIRONMENTAL SCIENTIST II – 8 POSTS
1.2.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To collect mines data and information related to environmental matters from time to time;

ii. To conduct physical inspection at the mine site and minerals processing plants to observe environmental protection and management activities;

iii. To obtain mines environmental management documents (EIS, EMPs, EPPs, MCP) for review prior to field inspection;

iv. To review mine closure plans and associated cost for sufficient funds allocation so as to insure smooth closure and environmental rehabilitation activities;

v. To assist in preparation of annual environmental audit schedule;

vi. To prepare summaries of audit findings and make follow-up on their implementation;

vii. To recommend steps against mines that fail to implement sound environmental management practices;

viii. To prepare reports on audited mines and minerals processing plants; and

ix. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.2.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Bachelor Degree either in Environmental Science and Conservation, Environmental Science and Management, Environmental Engineering or Environmental Laboratory Science and Technology from a recognized Institution. 

1.2.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 6

1.3 ENGINEER II (MINING ENGINEERING) – 15 POSTS
1.3.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To collect, analyse and keep mining information/data, accidents records and other related statistical data and information;

ii. To examine mine plans, plant designs and related structures;

iii. To assist in designing and supervision of drilling and blasting plans;

iv. To assist in assessment of the feasibility studies of new sites;

v. To assist in monitoring and evaluation of mines performance;

vi. To assist in monitoring operations and equipment comply with health, safety and environmental requirements;

vii. To record tracking and keeping in the mines operations;

viii. To assist in identification and recommend suitable mining method, mining equipment and machinery particularly for Small Scale Miners;

ix. To train small scale miners on the Mining Act and its Regulations and issues related to safety in mining;

x. To assist in developing individual objectives and/ or targets as part of the individual performance agreement in consultation with the immediate supervisor; and

xi. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.3.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Bachelor Degree in Mining Engineering from a recognized Institution and must be registered with Engineers Registration Board (ERB) as a graduate Engineer.

1.3.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 6

1.4  ENGINEER II (MINERAL PROCESSING) – 10 POSTS
1.4.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To monitor the actual production of minerals in medium and large scale miners;

ii. To assist in ascertaining and recording the weight of minerals produced in various stage of process in medium and large scale mines;

iii. To assist in sampling of the minerals produced, recording and packing of the samples in appropriate packages ready for sending to the laboratory for analysis;

iv. To assist in verifying/calculating and recording the actual weight of chemical reagents used in dry calcite prior to smelting in medium and large scale mines;

v. To collect and analyze mineral production data and/or information and their associated statistics;

vi. To examine mineral processing techniques used in the mines and advice accordingly;

vii. Conduct training to small scale licensed mineral processing operate on proper processing technology;

viii. To assist in witnessing and records daily sorting and recovery of gemstones in gemstones mines;

ix. To assists in monitoring and control of  daily shaft face picking after blasting of gemstones in gemstones mines;

x. To establish and maintain a database of  processing plants, smelters and refinery; and

xi. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.4.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Bachelor Degree in Mineral Processing Engineering from a recognized Institution and must be registered with Engineers Registration Board (ERB) as a graduate Engineer.

1.4.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 6

1.5 LABORATORY SCIENTIST II  - 5 POSTS
1.5.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To prepare standard solution samples for classical methods of analysis;

ii. To prepare working equipment and apparatus for sample analysis;

iii. To perform high precision analysis of different mineral samples and provide quality assurance and quality control on all analysis results and assure that they are delivered at time manner;

iv. To calibrate laboratory machines used for analysis;

v. To ensure total adherence to all safety, Occupational Health and Environmental Policies of laboratory;

vi. To develop individual objectives or targets and performance standards as part of individual performance; and

vii. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.5.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Bachelor Degree either in Chemistry, Geochemistry, or Mineralogy/Petrography from recognized Institutions. Must be computer literate.

1.5.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 6

1.6 TECHNICIAN II (GEOLOGY) – 15 POSTS
1.6.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To prepare necessary documents, data and information for issuance, renewal, revoke and suspension of licenses, permits and certificates of mining activities;

ii. To assist in collection of geological data and information related to exploration, mining, exploitation and mineral trade;

iii. To prepare documents, reports, plans and other logistics to facilitate inspection and monitoring of mineral exploration and prospection activities;

iv. To assist in  controlling minerals smuggling through major exit points;

v. To undertake routine systematic geological sample collection, preparation, storage and submission to laboratory for further investigation;

vi. To assist in collection, compilation and pre-processing of Mineral Rights and licensing applications;

vii. To assist in preparation of responses to customer queries and searches;

viii. To develop individual objectives or targets and all performance standards as part of the individual performance agreement in consultation with the immediate supervisor; and

ix. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.6.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Diploma or FTC in Geology from a recognized Institute.

1.6.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 4

1.7 TECHNICIAN II (MINING) – 20 POSTS
1.7.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To assist in collecting and analysing mining and explosives information and data;

ii. To assist in preparation of inquiries and other logistics related to investigations in mining accidents and incidences;

iii. To assist in monitoring explosives handling, storage and usage  and disposal in the country;

iv. To assist in preparing and pre-processing applications for blasting certificates;

v. To develop individual objectives and targets and performance standards as part of individual performance agreement in consultation with his/her immediate supervisor; and

vi. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.7.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Diploma or FTC in Mining Engineering from a recognized Institute.

1.7.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 4

1.8 TECHNICIAN II (MINERAL PROCESSING) – 15 POSTS
1.8.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To collect mineral value addition information and data;

ii. To assist process engineers in sample collection and analysis;

iii. To record all received samples from the mines in a sample log book;

iv. To keep safe custody of laboratory equipment and chemicals;

v. To assist in preparation and pre-processing of documents and data for issuance of mineral beneficiation (processing, smelting and refining) licenses;

vi. To develop individual objectives or targets and performance standards as part of individual performance agreement in consultation with the immediate Supervisor; and

vii. To perform any other related duties as assigned by supervisor.

1.8.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Diploma or FTC in Mineral Processing Engineering from a recognized Institute.

1.8.3 REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the institution`s salary scale MCSS 4

GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania of not more than 45 years of age except for those who are in Public Service;

ii. Applicants must attach an up-to-date Curriculum Vitae (CV) having reliable contacts; postal address/post code, e-mail and telephone numbers;

iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement;

iv. Applicants must attach their certified copies of the following certificates:-

- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates;

- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts;

- Form IV and Form VI National Examination Certificates;

- Birth certificate.

v. Attaching copies of the following certificates is strictly not accepted

- Form IV and form VI results slips;

- Testimonials and all Partial transcripts.

vi. Applicants   employed in the Public Service should route their application letters through their respective employers;

vii. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply;

viii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts;
ix. Certificates from foreign examination bodies for Ordinary or Advanced level education should be verified by The National Examination Council of Tanzania (NECTA) and  National Council for Technical Education (NACTE);
x. Certificates from Foreign Universities should be verified by The Tanzania Commission for Universities (TCU);
xi. Applicants with special needs/case (disability) are supposed/advised to    indicate;
xii. A signed application letter should be written either in Swahili or English and Addressed to Secretary, Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat, 8 Kivukoni Road, P.O. Box 63100, 11102 Dar es Salaam;
xiii. Deadline for application is 17th  September, 2019; 

xiv. Only short listed candidates will be informed on a date for interview; and

xv. Presentation of forged certificates and other information will necessitate to legal action.

NOTE: All applications must be sent through Recruitment Portal by using the following address; http://portal.ajira.go.tz/and  not otherwise (This address  also can be  found  at  PSRS  Website,  Click ‘Recruitment Portal’)

SECRETARY
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

Rais Magufuli Awasamehe January Makamba na William Ngeleja kwa kumtukana kwenye simu

$
0
0
Rais Magufuli amesema amewasamehe Mbunge wa Bumbuli, January Makamba na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja kwa kumtukana kwenye simu.

Akizungumza leo na wataalamu wa ujenzi nchini, Rais Magufuli amesema sauti hizo kwa zaidi ya asilimia 100  zilikuwa za kweli na alipofikilia kama suala hilo litakwenda katika kamati ya maadili ya CCM  hali ingekuwa mbaya kwao.

“Nakumbuka hivi karibuni kuna watu walinitukana na nikapata uhakika kwamba sauti zile ni zao, nikafikiria nikasema hawa wakipelekwa kwenye kamati ya siasa adhabu itakuwa kubwa. Walinitukana kwenye simu na nikahakikisha ni kweli ni sauti zao lakini nimewasmaehe

“Lakini wakajitokeza wawili wakaniomba msamaha nikasema nisipowasamehe nitabaki na maumivu makubwa sana watu hao ni January Makamba na Wiliam Ngeleja nikaona niwasamehe tu.

“Waliomba msamaha nikasema ni vijana  na nimewasamehe. Kama palikuwa na mambo mambo mabaya nyuma tuyasahau ili tukaanze upya maana kusamehe siyo jambo rahisi lakini saa nyingine inabidi usamehe,,” amesema Rais Magufuli. 

Rais Magufuli alikuwa anazungumza katika mkutano wa siku mbili ulioanza leo Dar es Salaam unaohusisha Bodi ya usajili wa Makandarasi (CRB), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB),  Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).

Mkuu wa jeshi la uokoaji afanya mabadiliko ya makamanda wa mikoa hapa nchini

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Rais Magufuli Kumpokea Rais Wa Jamhuri Ya Uganda Mhe. Yoel Kaguta Museven

$
0
0
Nchi yetu imepata heshima ya kupokea ugeni wa Mhe. Yoel Kaguta Museven Rais wa Uganda ambaye anatarajiwa kufika hapa nchini siku ya Alhamisi ya tarehe 05/09/2019 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili kuanzia tarehe 05/09/2019 hadi 07/09/2019.
 
Mhe. Yoel Kaguta Mseven atapokelewa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport Terminal I na mwenyeji wake hapa nchini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli muda wa saa 12.00 jioni.
 
Mhe. Rais Museveni anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Kongamano baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda. Aidha, Mhe. Rais Museveni anatarajia kuzindua rasmi jengo jipya la Mfuko wa Mwalimu Julius Nyerere lililopo katika Barabara ya Sokoine/Morogoro Dar es Salaam tarehe 6 Septemba, 2019.

Mgeni wetu anatarajiwa kuondoka hapa nchini tarehe 07/09/2019 na atasindikizwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Tunaomba radhi kwamba njia atakazopitia mgeni wetu zitakuwa zinafungwa kwa muda ili kupitisha misafara ya viongozi wetu wakuu watakaoelekea Uwanja wa Ndege wa Mwl. J. K. Nyerere kumpokea Mgeni wetu hususani barabara ya Nyerere mpaka Mgeni wetu atakapokuwa amewasili na siku ya kuondoka.

Kwa kutambua ugeni huu sisi kama wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa niaba ya wananchi wote wa Tanzania tunamkaribisha mgeni wetu na ajisikie kuwa yuko nyumbani muda wote atakapokuwa hapa jijini.
 
Asanteni sana.
*IMEANDALIWA NA OFISI YA MKUU WA MKOA
DAR ES SALAAM

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) Yatangaza bei Mpya za Petrol na Dizeli....Soma Hapa

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) nchini Tanzania imetangaza bei za kikomo kwa bidhaa za mafuta nchini humo zitakazoanza kutumika kuanzia leo Jumatano Septemba 4,2019.

Taarifa iliyotolewa  Jumanne Septemba 3,2019 kwa vyombo vya habari na mkuu wa kitengo wa mawasiliano na uhusiano kwa umma wa Ewura, Wilfred Mwakalosi amesema bei za jumla na rejareja za mafuta za petroli dizeli na mafuta ya taa zimeongezeka.

Mwakalosi amesema mafuta hayo ni yale yaliyoingia kupitia bandari ya Dar es Salaam ambayo yameongezeka ukilinganisha na mwezi uliopita.

“Mwezi huu (Septemba) bei za rejareja za petroli, dizeli na mafuta ya taa zimeongezeka kwa Sh83 kwa lita (sawa na asilimia 3.87), Sh61 kwa lita (sawa na asilimia 2.90), Sh46 kwa lita (sawa na asilimia 2.22),” amesema

Amesema bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya petroli, dizeli na yanayoingizwa kupitia bandari ya Tanga yameongezeka ikilinganishwa na toleo la mwezi uliopita.

“Kwa mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara mwezi huu bei zimeongezeka kwa Sh108 kwa lita sawa na asilimia 4.95 na  Sh72 (sawa na asilimia 3,36),” amesema Mwakalosi.
 
Katika taarifa hiyo, Mwakalosi amesisitiza bei ya mafuta ya taa kwa mikoa ya kaskazini zitaendelea kutumika zile zilizochapishwa mwezi uliopita kwa sababu hakuna shehena ya bidhaa hiyo iliyoingia kupitia bandari ya Tanga.

Kutana na Mohamedi Buruhani Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH .....Anauwezo wakufanya Dua mbalimbali Na Kutafsiri Ndoto

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mohamedi Buruhani Mtabibu wa Nyota za Binadamu  Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mohamed Buruani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. 

Anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO . Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie ..Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Mohamed Buruhan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, Anatafsiri Ndoto. ,KUSAFISHA NYOTA, Mvuto wa Mwili na BIASHARA, ...MIGUU Kufa GANZI na mengi zaidi (+255  715971688 au (+255  756914036

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume ,Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30 na kukusaidia kurudia   tendo la ndoa .

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara hata kama yupo mbali.

Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Wasiliana na mtaalam kwa; 0747100745

Tupo Mbagala

Serikali Kusomesha Madaktari Bingwa 365 kwa Ajili ya Kusambazwa Maeneo yenye Uhaba

$
0
0
Na Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.  
Jumla ya madaktari bingwa 365 wanatarajia kuhitimu mafunzo kuanzia mwaka wa wasomo 2019/2020, 2020/2021  na 2021/2022 ambao watasambazwa kwenye hospitali mbalimbali nchini kulingana na uwiano wa wataalamu waliopo pamoja na kuzingatia maeneo yenye uhaba mkubwa.

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile amesema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Sonia Jumaa Magogo juu ya mkakati wa Serikali wa kuongeza Madaktari Bingwa nchini.

“Serikali inaendelea kuimarisha huduma za kibingwa katika ngazi mbalimbali za huduma nchini ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,” amesema Dkt. Ndugulile.

Ameendelea kusema kuwa katika mwaka 2017/2018, Wizara kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, ilitenga kiasi cha shilingi bilioni 2 zilizotumika kwa ajili ya kusomesha madaktari bingwa 125 wa fani za kipaumbele katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ambao wanatarajia kumaliza  2020/2021.

Aidha, katika mwaka 2018/2019, Serikali ilitenga kiasi cha Shilingi bilioni 1.8 ili kuendelea kugharamia mafunzo ngazi ya kibingwa katika kada mbalimbali za afya 127 katika Chuo cha MUHAS.

Dkt. Faustine amesema, katika mwaka 2019/2020, Wizara imetenga jumla ya shilingi 1,844,617,090 kwa ajili ya kugharamia mafunzo ya wataalamu bingwa katika fani za vipaumbele.

“Kutokana na uhaba uliopo kwenye hospitali za Rufaa za Mikoa, Wizara itahakikisha fedha hii inatumika vyema katika kusomesha wataalamu wanaotoka kwenye maeneo yenye uhaba mkubwa,” amesema Dkt. Ndugulile.

Aidha, wizara kupitia hospitali za rufaa ngazi ya Taifa na Taasisi za nje zitaendelea kuendesha kambi za udaktari bingwa hapa nchini, kwa lengo la kusogeza huduma za kibingwa na kujenga uwezo wa wataalamu.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598

Rais Magufuli awataka wadau sekta ya ujenzi kuchangamkia fursa

$
0
0
Rais Magufuli amewataka wadau wa sekta ya ujenzi kuchangamiia fursa mbalimbali na kuwa na uthubutu wa kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ili kufika mbali zaidi.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumatano Septemba 4, katika mkutano wa wahandisi na wadau wa sekta ya ujenzi uliofanyika jijini Dar es Salaam.

“Niwaombe wadau wa sekta ya ujenzi tuchangamkie fursa zaidi ya hapo kuweni na ujasiri wa kuthubutu kutafuta fursa nyingine nje ya mipaka yetu ikiwamo kwenye nchi za SADC na za Jumuiya ya Afrika Mashariki ambazo sisi ni wanachama, hamtoki nje inawezekana ni kwa kutojiamini lakini fursa zipo.

“Makandarasi changamkieni fursa acheni kulalamika sana, sasa hivi nchi yetu inatekeleza miradi mingi ya maendeleo, hata kwenye ujenzi wa zile nyumba za Wizara Dodoma tulitangaza tenda lakini ilikuwa ni shida kuwapata makandarasi wa kujenga nyumba moja na fedha ilikuwa inafahamika ni Sh bilioni moja,” amesema.

Serikali Kusomesha Madaktari Bingwa 365 kwa Ajili ya Kusambazwa Maeneo yenye Uhaba

$
0
0
Na Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.  
Jumla ya madaktari bingwa 365 wanatarajia kuhitimu mafunzo kuanzia mwaka wa wasomo 2019/2020, 2020/2021  na 2021/2022 ambao watasambazwa kwenye hospitali mbalimbali nchini kulingana na uwiano wa wataalamu waliopo pamoja na kuzingatia maeneo yenye uhaba mkubwa.

Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile amesema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Sonia Jumaa Magogo juu ya mkakati wa Serikali wa kuongeza Madaktari Bingwa nchini.

“Serikali inaendelea kuimarisha huduma za kibingwa katika ngazi mbalimbali za huduma nchini ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,” amesema Dkt. Ndugulile.

Ameendelea kusema kuwa katika mwaka 2017/2018, Wizara kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, ilitenga kiasi cha shilingi bilioni 2 zilizotumika kwa ajili ya kusomesha madaktari bingwa 125 wa fani za kipaumbele katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ambao wanatarajia kumaliza  2020/2021.

Aidha, katika mwaka 2018/2019, Serikali ilitenga kiasi cha Shilingi bilioni 1.8 ili kuendelea kugharamia mafunzo ngazi ya kibingwa katika kada mbalimbali za afya 127 katika Chuo cha MUHAS.

Dkt. Faustine amesema, katika mwaka 2019/2020, Wizara imetenga jumla ya shilingi 1,844,617,090 kwa ajili ya kugharamia mafunzo ya wataalamu bingwa katika fani za vipaumbele.

“Kutokana na uhaba uliopo kwenye hospitali za Rufaa za Mikoa, Wizara itahakikisha fedha hii inatumika vyema katika kusomesha wataalamu wanaotoka kwenye maeneo yenye uhaba mkubwa,” amesema Dkt. Ndugulile.

Aidha, wizara kupitia hospitali za rufaa ngazi ya Taifa na Taasisi za nje zitaendelea kuendesha kambi za udaktari bingwa hapa nchini, kwa lengo la kusogeza huduma za kibingwa na kujenga uwezo wa wataalamu.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo,Pamoja Na Magonjwa Sugu

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  call 0759 208 637

watsap  0620510598
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images