Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii mkubwa wa bongo movie, Irene Uwoya ametupia picha mtandaoni akiwa hana nguo ya juu kiasi cha kutafsiriwa vibaya na mashabiki wake kwamba ameanza kujiuza....
Uwoya alijipiga picha hiyo na kuitupia mtandaoni akiwa ameandika ujumbe wa kuwananga watu waliompa ushauri wa kutorudia kitendo hicho kwa kuwa
Irene Uwoya afanya kituko.....Apiga picha za nusu Uchi na kuzitundika mtandaoni, mashabiki wadai Anajiuza
↧
↧
Lulu Michael kawa Mtamu balaaa....
Mcheza Filamu maarufu nchini Elizabeth Michael 'Lulu' ameonekana kwenye mtadao wa Instagram akiwa ametupia picha zake zenye muonekano wa kunoga, kaiva, kawa mtamu balaa..
Picha zinajieleza, Kazi kwenu wanaume, na ikumbukwe tu kuwa Lulu bado yupo SINGLE( Hana mtu )
↧
Rose Ndauka: Jiheshimu ili Uheshimike
Mkali wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa katika maisha yake amejiwekea utaratibu wa kujiheshimu ndio maana anaheshimika na watu wa kila rika , tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma alipokuwa anakumbwa na skendo za mara kwa mara....
Akizungumza na mwandishi, Ndauka alisema kuwa akili aliyonayo sasa ni ya kikubwa na anaangalia malezi
↧
Justin Bieber anasa mrembo huyu baada ya kurushiana makonde na Orlando kwa ajili ya msichana
Mwimbaji Justin Bieber ambaye jana alitawala vichwa vya habari baada
ya kurushiwa makonde na muigizaji Orlando Bloom kwa ajili ya mrembo
Miranda Kerr, ameonesha jinsi alivyo na kisu kirefu zaidi kwa watoto
wazuri.
Bieber ameonekana akila bata kwenye yacht katika eneo la Ibiza na mrembo wa Australia anaefahamika kwa jina la Shanina Shaik.
Shanina Shaik ambaye ni mwanamitindo
↧
Lady Jay Dee kuwasili Dar August 3 akitokea Marekani na tuzo ya AFRIMMA
Anaconda, Lady Jay Dee ambaye ameshinda tuzo ya AFRIMMA kama
mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki atatua katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, August 3 mwaka huu
akitokea Marekani.
Akiongea na mwandishi, meneja wa Lady Jay Dee, Captain
Gardener G. Habash amesema kuwa mwimbaji huyo anatarajia kuondoka
Houston, Marekani August 1 na kuingia Dar es Salaam
↧
↧
Diva kwa GK: You are the most romantic, the most perfect husband taken by me....i love you baby
FAIDA kubwa mwanaume anaweza kupata akidate na Loveness Diva ni promo za kutosha mbele ya followers wake kwenye mitandao ya
kijamii.
Ukimtoa Mo Rocka, huenda GK akawa boyfriend wa mtangazaji huyo wa
Clouds FM aliyewahi kumwagiwa jumbe za mahaba kuwazidi hata Prezzo na Mr
Anonymous aka mwanasiasa! Katika muendelezo wake wa kuutangazaji
ulimwengu jinsi anavyojisikia kuwa ‘first lady’
↧
Tido Mhando akabidhi ofisi baada ya kumaliza mkataba wake na Mwananchi (MCL)
Francis Nanai (kulia) na Tido Mhando (kushoto) wakati wa makabidhiano
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications
Limited(MCL), Tido Mhando jana (July 31) amekabidhi ofisi baada ya
kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu na kampuni hiyo.
Nafasi ya Mhando sasa imechukuliwa na Francis Nanai ambaye hapo kabla
alikuwa Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa MCL (CEO) tangu
↧
Nafasi za Mafunzo ya Utengenezaji wa Mashine za kutotoresha Vifaranga Vya Kuku
Taasisi ya
RafikiElimu FOUNDATION kupitia
MRADI WA ELIMU
YA UJASIRIAMALI MIJINI
NA VIJIJINJI inatangaza
nafasi za MAFUNZO
YA UTENGENEZAJI WA
MASHINE ZA KUTOTOLEA
VIFARANGA WA KUKU.
Mashine
zitakazo fundishwa kutengeneza
ni INCUBATOR (
MANUAL & AUTOMATIC) ZENYE UWEZO WA KUTUNZA
JOTO KWA SAA 48
PAMOJA NA KUTOTORESHA MAYAI KUANZIA
240 HADI 5000.
↧
Uganda yalegeza Masharti ....Yafuta sheria dhidi ya ushoga ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima misaada.
Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali
sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya
magharibi kuinyima msaada.
Kadhalika sheria hiyo ilizua gumzo sana sio tu
Uganda bali kote duniani ambapo mataifa ya Magharibi yalilazimika
kuingilia kati.
Mahakama ilisema kuwa mswada huo kabla ya
kuidhinishwa kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi
↧
↧
Watuhumiwa 19 wa UGAIDI Wapandishwa kizimbani jijini Arusha
WATUHUMIWA19 wa milipuko ya mabomu jijini Arusha leo wamepandishwa
kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi na kusomewa mashitaka ya
mauaji, kula njama na kushawishi, ugaidi huku wakitakiwa kutojibu
chochote. Kesi yao imeahirishwa na itatajwa tena Agosti 15, mwaka huu.
↧
Nyumba zaidi ya 700 zateketezwa kwa moto Tabora
Jumla
ya kaya 366 hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zipatazo 785
ambazo zinaitwa mabanda, pamoja na mabanda ya tumbaku 118, kuchomwa moto
na magunia zaidi ya 600 kuteketezwa,katika kile kilichodaiwa kuwa
walikuwa wakiishi ndani ya hifadhi za Usoke, Igombe na Ugala, wilayani
Urambo mkoani Tabora kinyume cha sheria.
Wakizungumza kwa masikitiko walipohifadhiwa na wananchi
↧
Wimbo mpya wa Nicki Minaj ‘Anaconda’ unaotarajiwa kutoka rasmi Agosti 4 umevuja, Usikilize hapa
Wiki hii Nicki Minaj alitangaza kusogeza mbele tarehe ya kutoa single
yake mpya iitwayo ‘Anaconda’ ambayo hapo awali ilipangwa kutoka Jumatatu
ya Julai 28, na sasa itatoka Jumatatu ya Agosti 4.
Lakini jana single
hiyo imevuja na kuanza kusambaa mtandaoni japo ikiwa na ubora mdogo
(LQ). Isikilize hapa.
↧
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna.
Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris
Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali
‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch
off button’ yao kwa mara nyingine.
Ripoti zinasema
↧
↧
Taarifa kwa Umma kuhusu Kuchukua TAHADHARI Dhidi ya Ugonjwa wa Ebola
TAARIFA KWA
UMMA KUHUSU KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA EBOLA
Mnamo mwezi wa Machi 2014 Wizara ya Afya na Ustawi wa
Jamii ilipokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu ugonjwa wa
Ebola katika nchi za Afrika Magharibi ambao ulianzia katika ya Guinea na
kusambaa katika nchi za Siera Leone, Liberia na Nigeria. Hadi tarehe 31 Julai, 2014 idadi ya wagonjwa ilikuwa 1323
na
↧
UKAWA Wafunga Mjadala......Wasisitiza hawatarudi bungeni
KAMA ndivyo, huenda Bunge Maalumu la Katiba, linalotarajiwa kuanza awamu ya pili ya vikao vyake keshokutwa mjini Dodoma, litafanyika bila ya kuwa na wajumbe kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Hali hiyo inatokana na kauli ya Ukawa, inayoundwa na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani na wafuasi wao, kwamba hawatashiriki katika Bunge hilo na kwenda mbali zaidi, wakidai
↧
Askofu Kakobe: Ninaunga mkono Ukawa kususia Bunge la katiba
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF),
Zachary Kakobe ameongeza chumvi katika Mchakato wa Katiba kwa kueleza
kuwa anaunga mkono msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
kutorejea kwenye awamu ya pili ya vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
Kakobe pia alimtupia lawama Rais Jakaya Kikwete
akisema hotuba yake ya kufungua Bunge hilo ndiyo chanzo cha kuvuruga
↧
Shambulio la Israel katika shule ya UN Palestna Laua Watu 10
Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma ya kwanza.
Mpalestina huyu akijaribu kuokoa maisha ya mtoto baada ya kushambuliwa na Israel leo.
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akipelekwa kituo cha afya.
Baadhi ya Wapalestina wakilaani mashambulio yanayofanywa na Israel nchini huo huku miili na majeruhi ikiwa chini.
Majeruhi wakizidi kupatiwa huduma ya kwanza.
*
↧
↧
Askari FEKI Mwingine wa Usalama barabarani Anaswa jijini Dar
Askari
feki wa Usalama Barabarani ambae Jina lake halikufahamika haraka akiwa
chini ya Ulinzi mkali wa Askari Polisi (hayupo pichani) mara baada ya
kukamatwa kwa kujifanya ni askari wa usalama barabarani huku akifahamu
kuwa ni kosa kisheria.
Inasemekana Mtuhumiwa aliwahi kuwa askari wa
Usalama barabarani ambapo kituo chake cha Kazi kilikuwa Mkoa wa Pwani na
ni mmoja kati ya askari
↧
PICHA: Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 na Gari Jipya baada ya kufunga ndoa
Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa
harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi.
Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi
yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali
pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine.
Kwa mujibu wa JB aliyehudhuria harusi hiyo,
↧
Bunge la katiba kuanza Kesho bila UKAWA
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa
↧
More Pages to Explore .....