Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa Kuongoza Ujumbe Wa Tanzania Kwenye Mkutano Wa Saba Wa Tokyo Kuhusu Maendeleo Ya Afrika (TICAD 7) Akimwakilisha Rais Maguful

0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi amewasili jijini Yokohama, Japan tarehe 26 Agosti kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 7 wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development-TICAD 7) utakaofanyika kuanzia tarehe 28 hadi 30 Agosti 2019.

Mkutano huu wa Saba utatanguliwa na kikao cha Maafisa Waandamizi wakiwemo Makatibu Wakuu na Mabalozi tarehe 25 na 26 Agosti 2019 ukifuatiwa na kikao cha Mawaziri tarehe 27 Agosti, 2019 na utahitimiswa na Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali tarehe 28 hadi 30 Agosti 2019. Kauli mbiu ya Mkutano huu ni “Kuendeleza Maendeleo ya Afrika kupitia Watu, Teknolojia na Uvumbuzi”.

Mkutano wa Saba pamoja na mambo mengine unatoa fursa ya kupanga mikakati ya ushirikiano na agenda za kimaendeleo zitakazotelezwa kati ya Japan na Afrika kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo kuanzia mwaka 2019 hadi 2021.

Agenda za mkutano wa mwaka huu zinalenga kujadili mageuzi ya kiuchumi na kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa kukuza sekta na uvumbuzi. Pia kuimarisha usalama na ustahimilivu endelevu kwenye jamii pamoja na kuendeleza jitihada za kuimarisha amani na usalama barani Afrika. Agenda za Mkutano wa Saba zinaenda sambamba na agenda 2063 ya Umoja wa Afrika, Agenda 2030 ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa na maazimio mengine ya kimataifa kama Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Kutokana na mchango wa sekta binafsi katika maendeleo ya kiuchumi barani Afrika, Mkutano wa TICAD 7 umeandaa ratiba maalum itakayozishirikisha taasisi binafsi na za umma kwenye majadiliano ya kibiashara yatakayofanyika tarehe 29 Agosti 2019. Lengo la majadiliano hayo ni kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo Viongozi wa Serikali wamiliki wa Kampuni, wafanyabiashara na wawekezaji ili kujadili kwa pamoja masuala mbalimbali ya kukuza baishara, uwekezaji na utalii kati ya Japan na Afrika.

Kadhalika  wakati wa mkutano wa saba nchi zote za Afrika zimepatiwa nafasi ya kushiriki katika shughuli mbalimbali kwa lengo la kutangaza fursa za biashara, uwekezaji na vivutio vya utalii za nchi husika. Tanzania kupitia Bodi ya Utalii (TTB) imejipanga kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini wakati wa mkutano huo.

Mkutano wa Saba wa TICAD utahitimishwa kwa Wakuu wa Nchi kupitisha Azimio la Yokohama na Mpango Kazi wa utekelezaji wa Azimio hilo. Serikali ya Japan ilianzisha jukwaa la majadiliano kati yake na nchi za Afrika mwaka 1993 kwa ajili ya kujadili maendeleo na nchi hizo.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ataongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano huo akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Yokohama, Japan.
26 Agosti 2019

Serikali Yatenga Milioni 696 kukarabati Shule kongwe ya Galanos iliyopo Tanga

0
0
Serikali imetoa zaidi ya shilingi milioni 696 kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya shule kongwe ya sekondari Galanos iliyopo mkoani Tanga.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknlolojia William Ole Nasha alipotembelea shule hiyo kukagua maendeleo ya ukarabati wa miundombinu ambapo amesema fedha hizo zimetolewa kupitia mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo (EP4R) katika mpango unaolenga kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule hiyo kongwe.

Ole Nasha amesema fedha hizo ni sehemu ya fedha zilizopelekwa katika shule kongwe nchini ambazo zinafanyiwa ukarabati mkubwa lengo likiwa ni kuzirudisha katika hadhi yake ya awali ili ziwe na mazingira mazuri yanayomwezesha mwanafunzi kujifunza na kufaulu vizuri

Katika hatua nyingine, Naibu Waziri huyo amemtaka Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Daudi Mayeji kufuatilia kwa karibu sababu zilizopelekea kukiukwa kwa masharti ya mkataba wa muongozo wa ukadiriaji majenzi (BOQ) ambao ulielekeza kuwekwa chuma katika varanda za madarasa zinazoruhusu hewa na badala yake yamewekwa matofali ya kuchoma.

“Galanos tumeleta fedha zaidi ya shilingi milioni 696 kwa ajali ya kukarabati miundombinu, baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati nimegundua kuna mapungufu makubwa ya kimakusudi, Mfano kwenye madarasa kulitakiwa kuwekwe chuma lakini badala ya kuweka chuma wameweka matofali ya kuchoma bila hata kufuata taratibu wa kufanya mabadiliko” amesema Ole Nasha.

Amesema inashangaza kwani Mhandisi alishiriki katika uandaaji wa BOQ hiyo na ni mmoja wa walioshauri kuwekwa kwa chuma lakini katika utekelezaji wa BOQ hiyo iliyopitishwa amebadili maelekezo, hata baada ya kamati ya ujenzi kumkatalia na kumtaka kufata BOQ inavyotaka lakini bado aliendelea na utaratibu wa kuweka matofali hayo badala ya chuma.

“Ndio maana nimemwelekeza Mkurugenzi wa Jiji afuatilie kwanini kuna ukiukwaji wa makusudi wa kuacha kufuata BOQ na nimemwelekeza achukue hatua kwa yeyote anayehusika kubadilisha maelekezo ya BOQ” amesisitiza Ole Nasha

Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Daudi Mayeji ameahidi kufatilia suala hilo la uwekwaji wa matofali badala ya chuma na kwamba atachukua hatua kwa wale wote waliohusika katika kubadili maelekezo yaliyopo katika mkataba wa ukadiriaji majenzi (BOQ).

Wawekezaji Sekta Ya Ngozi Kutoka Misri, Wawasili Nchini Kufuatia Wito Wa Waziri Mkuu Majaliwa

0
0
Na. Edward Kondela
Wawekezaji katika sekta ya ngozi wamewasili hapa nchini wakitokea nchini Misri kufuatia mwaliko wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alipofanya ziara nchini humo kuanzia tarehe 8 hadi 10 Mwezi Julai Mwaka 2019 na kukutana na wadau wa ngozi nchini humo.

Akizungumza kufuatia ugeni huo uliowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Masoko kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Felix Nandonde, amesema umetokana na ziara ya kikazi aliyofanya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa nchini Misri ambapo alipokuwa nchini humo alitembelea mji wa viwanda vya ngozi Roubiki na kuzungumza na wazalishaji wa bidhaa za ngozi nchini humo na kuwapa mwaliko wa kuja nchini Tanzania kuwekeza katika sekta ya ngozi kutokana na ubora wa bidhaa ya ngozi inayopatikana hapa nchini.

“Jambo moja kubwa tumeweza kuwathibitishia hawa wawekezaji katika sekta ya ngozi kutoka nchini Misri ni kwamba Tanzania ina bidhaa bora za ngozi na wenyewe wamejionea bidhaa bora za ngozi na ngozi yenyewe ambayo inapatikana nchini, wamekiri ni ngozi bora, tunaamini kwamba matunda ya ziara ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa imeweza kufungua mlango wa sekta ya ngozi Tanzania.” Amesema Dkt. Nandonde

Kufuatia ugeni huo wa Bw. Mahmoud Sargy Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuchakata ngozi Sargy Tannery, Bw. Hisham Gazar Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuchakata ngozi Piel Color na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi kutoka Kiwanda cha kuchakata ngozi Cairo for Investment and Development Mhandisi Yasser El Maghraby, Dkt. Nandonde amefafanua kuwa anaamini wawekezaji hao watapanga mipango ya muda mrefu na mfupi kuhakikisha wanashiriki kunyanyua sekta ya ngozi nchini Tanzania.

Kuhusu ubora wa ngozi Mkurugenzi huyo wa Uzalishaji na Masoko kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Felix Nandonde amesema wizara imejipanga kuzidi kutoa elimu kwa wachunaji wa ngozi ili wapate elimu sahihi ya uchunaji na kuwapatia mbinu bora ya uchunaji wa ngozi kwa kuwa ngozi machinjioni imekuwa ikipoteza ubora wake kwa asilimia 50 kutokana na uchunaji usiyo sahihi.

 “Wizara kwa sasa imeanza kutoa mafunzo kwa wachunaji mfano Mkoa wa Morogoro kwa kuwa ngozi inapoteza ubora kutokana na kuharibiwa na visu wakati wa uchunaji hivyo kuwa na matundu na kupunguza ubora wa ngozi.” Ameongeza Dkt. Nandonde

Licha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutoa elimu ya ufugaji bora mkurugenzi huyo wa uzalishaji na masoko amewaasa wafugaji kufuga ng’ombe kwa njia bora, kuhakikisa wanawaogesha ili kujikinga dhidi ya magonjwa yanayoharibu ngozi pamoja na wafugaji kutowawekea alama mifugo yao sehemu zisizostahili ambazo zimekuwa zikisababisha kupoteza ubora wa ngozi.

Awali wawekezaji hao kutoka Misri mara baada ya kuwasili hapa nchini, waliambatana na maafisa kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutembelea Kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi WOISO kilichopo eneo la Salasala jijini Dar es Salaam wakiwa na lengo la kujionea namna ngozi inavyotumika kutengenezea bidhaa mbalimbali.

Wakiwa kiwandani hapo wameshuhudia idadi kubwa ya vijana walioajiriwa wakiwa katika majukumu yao ya kutengeneza bidhaa mbalimbali vikiwemo viatu, mikanda na mabegi ambapo walitaka kufahamu utendaji kazi wa kiwanda, teknolojia zinazotumika kiwandani hapo pamoja na soko la bidhaa hizo ili kuangalia maeneo ambayo wanaweza kushirikiana na wawekezaji waliopo hapa nchini katika sekta ya ngozi.

Aidha wakiwa jijini Dar es Salaam wawekezaji hao walipata fursa ya kukutana na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuchakata ngozi Ace Leather kilichopo mjini Morogoro Bw. Onorato Garavaglia, ambapo walitaka kufahamu pia namna kiwanda hicho kinavyopata ngozi na hatua inazopitia hadi kuchakata ngozi hiyo kabla ya kuipeleka sokoni.

Bw. Garavaglia aliwafahamisha umuhimu wa ujenzi wa kiwanda bora yakiwemo mazingira ambayo hayataathiri ubora wa ngozi na namna kiwanda chake kinavyozidi kujiimarisha kwa kufunga mitambo mipya ya kisasa zaidi ili kuchakata ngozi na kuiongezea thamani zaidi katika soko la kimataifa.

Baada ya mazungumzo hayo wawekezaji hao kutoka Misri Bw. Mahmoud Sargy Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuchakata ngozi Sargy Tannery, Bw. Hisham Gazar Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuchakata ngozi Piel Color na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi kutoka Kiwanda cha kuchakata ngozi Cairo for Investment and Development Mhandisi Yasser El Maghraby ambao wameonesha nia ya kuwekeza nchini katika sekta ya ngozi walifika katika kiwanda hicho cha kuchakata ngozi Ace Leather mjini Morogoro na kujionea madaraja mbalimbali ya ngozi iliyochakatwa kiwandani hapo na kusema kuwa wamefurahishwa na ubora wa ngozi iliyopo hapa nchini.

Mwisho.

Makamu wa Rais Samia Suluhu: Sina nia ya kugombea Urais wa Zanzibar

0
0
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi ya uongozi kwa ngazi ya Urais visiwani Zanzibar.

Makamu wa Rais ameyabainisha hayo Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa sherehe  za kimila ya Wakizimkazi, ambazo hufanyika kila mwaka visiwani humo kwa lengo la kukuza na kudumisha mila na tamaduni za wakazi wake.

''Nataka kusema kwamba kuna maneno maneno kwamba Mama Samia Suluhu anataka kugombea Urais Zanzibar, nataka kuwaambia sio kweli na sina nia hiyo, ukiangalia ngazi ya uongozi ndani ya Tanzania mimi ni namba mbili sina kishawishi chochote kinachonivuta kunileta huku niwe namba tatu sina", amesema Mama Samia.

"Niliona  niliseme hukuhuku lilikotoka kwa sababu maneno yamekuwa mengi, chuki, ufisadi na majungu'', ameongeza.

Hivi karibuni kumekuwa na maneno yanayosambazwa hasa visiwani Zanzibar kuwa Mama Samia ana nia ya kugombea nafasi ya Urais visiwani humo.

Brazil yakataa msaada wa G7 kuzima moto wa Amazon

0
0
Brazil Jumatatu imekataa msaada wa kifedha wa dola milioni 20 wa kusaidia kuzima moto katika msitu wa Amazon kutoka kundi la (G7).

Nchi za kundi la mataifa saba yenye uchumi mkubwa wa viwanda G7 zimeahidi msaada wa dola milioni 20 kupambana na moto huo wakati wakiwa katika mkutano wa kilele mjini Biarritz, Ufaransa. 

Lakini  Rais wa Brazil Jair Bolsonaro amemuambia Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ashughulikie nchi yake na makoloni yake.

Macron ambaye alikuwa mwenyeji wa mkutano huo, aliwasisitizia wenzake kuwa wanapaswa kuupa kipaumbele moto unaowaka katika msitu wa Amazon. 

Mbali na fedha hizo, Uingereza kwa upande wake imeahidi kutoa dola milioni 12, na Canada itatoa dola milioni 11 pamoja na ndege za kuzima moto.

Onyx Lorenzoni, mkuu wa shughuli za ofisi ya rais wa Brazil ameiambia tovuti ya habari ya G1 kwamba wanashukuru lakini labda fedha hizo zitafaa zaidi kupanda miti na kuimarisha misitu barani Ulaya, huku rais Bolsonaro akisema hamna msaada unaotolewa bure.

"Macron ameahidi msaada kutoka nchi za kitajiri utumike Amazon. Kwa nini macho yao yote wameyaelekeza Amazon? Wanataka nini huko kwa muda mrefu?," amesema Bolsonaro.
 
Macron alimjibu Bolsonaro kwa kusema kwamba japo kuwa sehemu kubwa ya Amazon imo ndani ya Brazil, lakini hili ni suala la ulimwengu na ujumbe wake kwa kiongozi huyo ni kwamba ulimwengu hautomruhusu kuangamiza kila kitu.

Waziri wa Mazingira wa Brazil Ricardo Salles awali aliwaambia waandishi habari kwamba wanaukaribisha msaada wa nchi za G7 ili kuukabili moto huo unaoteketeza ekari milioni 2.3 katika msitu wa Amazon. Lakini baada ya mkutano na Bolsonaro pamoja na mawaziri wake, serikali ya Brazil ilibadilisha msimamo wake.

Ingawa asilimia 60 ya msitu wa Amazon imo ndani ya Brazil, msitu huo mkubwa unasambaa pia katika nchi nyingine nane ikiwa ni pamoja na Guiana iliyowahi kuwa koloni la Ufaransa na sasa ni sehemu ya Ufaransa kisiasa na kisheria.

-DW

Anayedaiwa kumuua na kumchoma mkewe Kwa Magunia Mawili ya Mkaa Aomba Apatiwe Simu Zake Ili Ahamishe Fedha Zake

0
0
Mshtakiwa Hamisi Luwongo anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma na magunia mawili ya mkaa, ameomba apewe laini  zake mbili  za simu zenye zaidi ya Sh milioni tano ili awape ndugu zake wakamlipie mwanawe ada.

Mshtakiwa huyo amedai hayo leo Jumanne Agosti 27, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Salum Ally, wakati kesi hiyo ilipotajwa.

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon amedai upelelezi haujakamilika akaomba kesi iahirishwe.

“Kesi imekuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake bado haujakamilika hivyo tunaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa,” amedai Simon.

Wakili Simon baada ya kueleza hayo, mshtakiwa alinyoosha mkono na kumueleza hakimu kuwa ana mambo mawili anataka kuyasema ambayo ni   nakala yake ya hati ya mashtaka na laini zake za simu.

Aliomba apatiwe laini hizo kusaidia familia yake na ada na kusisitiza kuwa katika kituo hicho kuna simu zake nne, mbili ndio zenye kiasi hicho cha fedha. 

 
“Mheshimiwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central) kuna simu zangu nne lakini katika hizo simu kuna laini mbili ya Tigo na Airtel, zina zaidi ya Sh milioni tano, naomba simu ziletwe mahakamani nihamishie hizo fedha kwa ndugu yangu zikasaidie kumlipia mwanangu ada,” amedai.

Hata hivyo, wakili Simon amedai hawawezi kumpatia laini hizo kwa kuwa simu zake ni sehemu ya ushahidi wa kesi hiyo.

Amesema kama anahitaji fedha hizo aandike barua ya malalamiko na kuipeleka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania ( DPP) na nakala  aipeleke kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini( DCI) huku hakimu Ally akimtaka mshtakiwa kufanya kile  alichoelezwa na upande wa mashtaka.

Baada ya kueleza hayo kesi hiyo iliahirishwa hadi Septemba 10, 2019 itakapotajwa tena huku mshtakiwa akirudishwa mahabusu.

Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake

0
0
Tatizo la Ngiri Linavyosababisha Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa, Dalili zake Hizi Hapa..Makala
51 minutes ago

Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).

Dalili za Ngiri
Tumbo kuunguruma, kiuno kuuma, kupata choo kama cha mbuzi, kushindwa kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume kulegea, kutokuwa na hamu ya kulundia tendo la ndoa, korondani moja kuvimba, mgongo kuuma.

Dalili zingine za ugojwa wa ngiri ni pamoja na;

Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu kama Direct Scoratal inguinal Hernia.


Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.


Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.


Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa Irreduible direct scrotal inguinal hernia.


Ugojwa huu wa ngiri unaweza kutibika

Mpate mpenzi wako unayempenda na kumfunga mume,mke mpenzi asitoke kwa mwingine .

Kwa Ushauri na Msaada wa Wasaliana na  0714006521

Maafisa mipango wahimizwa kushirikiana na idara za afya kujua miradi inayofadhiliwa na UNICEF

0
0
Na Amiri kilagalila-Njombe
Idara za maafisa mipango zilizopo kwenye halmashauri za wilaya nchini zimetakiwa kupata ushirikiano wa karibu na Sekta ya afya ili kusaidia kutokwamishwa kwa jitihada za shirika la kuhudumia watoto Unicef.

Wito huo umetolewa na wadau wa afya na lishe kutoka mikoa ya Iringa,Mbeya,Songwe na Njombe lli kufikia lengo la kulinda afya ya mama na mtoto.

Mratibu wa asasi zisizo za kiserikali kutoka ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (Tamisemi), Dennis Londo wakati wa ufunguzi wa kikao cha wadau wa masuala ya afya na lishe kilichofanyika halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amesema  maafisa mipango wengi wamekuwa hawafahamu kinachoendelea kuhusu miradi inayofadhiliwa na Unicef na badala yake taarifa sahihi zinafichwa.

“Ni vibaya kiasi ambacho DED kama accounting officer anaonekana kama mgeni katika miradi yake yeye mwenyewe,afisa mipanga ambaye ndio mkono wa DED katika kumuelezea mipango na utekekelezaji,changamoto na mafanikio, mara nyingi amekuwa hafahamu nini ambacho kinatokea hasa kwenye miradi ambayo inafadhiliwa na Unicef”alisema Dennis Londo

Afisa lishe wa Unicef, Abraham Sanga amesema wanaendelea kushirikiana na serikali katika kufuatilia fedha zinazotolewa  kuona zinawafikia walengwa hasa watoto ambao ndiyo walengwa.

“Tunashirikiana na serikali katika kufuatilia na  kuhakikisha fedha zinazotolewa zinawafikia walengwa hasa watoto kwa hiyo sisi kwa upande wetu tunaufuatiliaji huo wa mara kwa mara”alisema Abraham Sanga

Jachinda Chang’a  ni afisa mipango na uratibu ofisi ya mkoa wa Njombe  na  Theresia Yomo ni afisa ustawi wa jamii mkoa wa Njombe ambao kwa nyakati tofauti wameelezea manufaa yaliyopatikana katika mkoa wa Njombe kupitia ufadhili wa Unicef  huku wakikiri kuwepo kwa changamoto za ufuatiliaji wakati wa mipango.

“Wadau wetu wamekuwa wakituwezesha,katika sekta hizi lakini kumekuwa na changamoto mbali mbali za ufuatiliaji wakati wa mipango,na hili tumejipanga kuliboresha,hata hivyo sisi wataalamu tunapaswa kutathmini tumefanya kazi kwa kiwango gani na ni wapi ambapo palikuwa na gape”alisema Jachinda Chang’a

Waziri Simbachawene Aielezea Ya Kamati Bunge Mchakato Wa Tathmini Ya Athari Kwa Mazingira

0
0
Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) leo Agosti 27, 2019 imewasilisha taarifa zake mbili kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini Dodoma.
 
Taarifa zilizowasilishwa ni ya Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge yanayohusiana na majukumu ya Wizara yaliyotokana na Mapendekezo ya Kamati hiyo katika taarifa yake ya mwaka iliyowasilishwa katika Mkutano wa Bunge wa Februari 2019.
 
Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Suleiman Sadik pia imepokea taarifa ya Mazingira kwa ajili ya kujijengea uelewa kuhusu Tathmini ya Athari ya Mazingira (TMA). 

Usisumbuke Tena na Tatizo la Nguvu za Kiume....Soma hii

0
0
Super Mkunyati Mix; ni dawa bora ya mitishamba yenye uwezo wa kutibu na kumaliza matatizo yote ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile:-
 
  -kuwai kufika kileleni ndani ya dakika chache tu.
 -Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
 -Kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu(punyeto) husababisha kuishiwa au kupungukiwa na nguvu za kiume.

Epuka matatizo haya kwa kutumia dawa bora ya asili ya Super Mkunyati Mix ni kiboko ya matatizo haya yanayowasumbua baadhi ya wanaume wengi.
 
Pia kuna dawa ya kutibu Presha,miguu kufa ganzi, tumbo kuuma chini ya kitovu, kisukari,ngiri, chango aina zote na nk, matatizo haya nayo uchangia matatizo haya ya ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo na uume mfupi.
 
JABABILA;- ni dawa ya mvuto wa mapenzi ,mchumba, mke, mume aliyekuacha .
 
ITALIGULA;- ni dawa ya biashara  .

Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no, 0717 339 771AU 0763 172 670whatsApp 0621998653

Bara La Afrika Lataka Kuwezeshwa Kujitegemea

0
0
Nchi za Bara la Afrika, Tanzania ikiwemo zimesema wakati umefika sasa kwa Nchi zilizoendelea kuisaidia Afrika kujitegemea na kuliwezesha kutumia rasilimali zake yenyewe kwa maendeleo ya watu wake badala ya kulifanya Bara hilo kama eneo la kupata malighafi ya kuhudumia viwanda vya nchi zilizoendelea.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo baada ya kushiriki Mkutano wa Mawaziri wa Maandalizi ya Mkutano wa Saba wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (TICAD 7) uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Pacifico jijini Yokohama, Japan.

Ameongeza kuwa mkutano huo pamoja na mambo mengine umesisitiza umuhimu ya uwepo wa miundombinu ambayo inaunganisha Nchi za Kiafrika ili kuliwezesha bara la Afrika kuwa na miundo mbinu ya usafirishaji imara na zenye kuleta tija kwa wote.

Aidha Prof. Kabudi ameongeza kuwa ni mkutano huo pia umeazimia kuzitaka nchi zilizoendelea kuongeza fedha zaidi kwa ajili ya kutoa huduma za kijamii hususani katika nyanja za afya hususani katika kupambana na malaria,kifua kikuu na ukimwi sambamba na Afrika kuwajibika kuchukiua hatua zote za kuhakikisha uwepo wa utawala bora,usalama na Amani.

Akifungungua mkutano huo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Mhe. Kono Taro amezipongeza nchi za Afrika kwa kupiga hatua katika maendeleo kupitia ushirikiano na Japan na kwamba nchi yake itaendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na nchi hizo ili kuziwezesha kufikia malengo ikiwemo mapinduzi ya viwanda.

Mhe. Taro amesema kuwa, ushirikiano kati ya Afrika na Japan kupitia mpango wa TICAD umeendelea kuimarika tangu kuanzishwa kwa mpango huo mwaka 1993 na kwamba ni matarajio yake Mktano wa Saba utakuwa wa tija zaidi kwa pande hizo mbili.

“Nawakaribisha Mawaziri wenzangu Yokohama ambapo maandalizi ya mkutano wa saba wa kimataifa wa Tokyo kuhusu maendeleo ya Afrika yanaendelea. Jukumu letu ni kupitia na kupitisha rasimu ya Azimio la Yokohama na Mpango kazi wake ili hatimaye litunufaishe sote pale litakapopitishwa na Wakuu wa nchi” alisema Mhe. Taro.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo, Mhe. Sameh Shoukry ameipongeza Japan kwa kuendelea kuandaa mikutano hiyo ambayo ina nia ya kuifikisha Afrika katika mapinduzi ya viwanda na kuondokana na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana na nyingine nyingi.

Kwa upande wake, Naibu Mwenyekiti wa Kamishenii ya Umoja wa Afrika ambao ni miongoni mwa waandaaji wenza wa Mkutano wa Saba wa TICAD, Bw. Kwesi Quartey amesema kuwa, mkutano huo unafanyika wakati Umoja wa Afrika unaendelea kutekeleza agenda 2063. Agenda hiyo pamoja na mambo mengine inalenga kuziwezesha nchi za Afrika kufikia maendeleo ya hali ya juu kwenye sekta mbalimbali zikiwemo afya, elimu, teknolojia na miundombinu.

Kadhalika Mkurugenzi wa Kituo cha Huduma za Kanda ya Afrika kutoka Shirika la Maendeleo la Umoja wa Afrika, Bw. Lamin Manneh alisema kuwa ushirikiano kati ya Afrika na Japan kupitia TICAD umekuwa na mchango mkubwa kwenye maendeleo ya Bara la Afrika.

Mkutano wa Saba pamoja na mambo mengine unatoa fursa ya kupanga mikakati ya ushirikiano na agenda za kimaendeleo zitakazotelezwa kati ya Japan na Afrika kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo kuanzia mwaka 2019 hadi 2021.

Agenda za mkutano wa mwaka huu zinalenga kujadili mageuzi ya kiuchumi na kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa kukuza sekta na uvumbuzi. Pia kuimarisha usalama na ustahimilivu endelevu kwenye jamii pamoja na kuendeleza jitihada za kuimarisha amani na usalama barani Afrika. Agenda za Mkutano wa Saba zinaenda sambamba na agenda 2063 ya Umoja wa Afrika, Agenda 2030 ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa na maazimio mengine ya kimataifa kama Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mkutano huu ambao umewashirikisha Mawaziri kutoka nchi za Afrika, na wadau mbalimbali wa maendeleo unafanyika ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaofanyika kuanzia tarehe 28 hadi 30 Agosti 2019.

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

0
0
Bila shaka wapo wengi ambao wana tatizo kama hili. Naomba tuwe pamoja kwenye makala hii ili ujifunze kuhusu tatizo la mtu kutokwa usaha wakati wa kukojoa.

Tatizo la Kuwepo kwa chembechembe za usaha au usaha kwenye mkojo hujulikana kama pyuria ambapo linaweza kuonekana kwa kutumia hadubini (microscope) au kama tatizo ni kubwa linaweza kuonekana kwa macho.

Visababishi vya tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa Kukojoa ni nini?

Visababishi vya tatizo hili ni kama vifuatavyo;
  1. Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI)-Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
  2. Magonjwa ya Zinaa-Kama ugonjwa wa kisonono au ‘’gono’’ kama wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
  3. Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) kama 4-Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
  4. Tatizo linajulikana kama Reiter’s syndrome
  5. Pyelonephritis-Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana kama calyces, renal pelvis na tishu za figo
  6. Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana kama renal abscess
  7. Maambukizi kwenye tezi dume-Prostatitis (Kwa wanaume)
  8. Upungufu wa kinga mwilini
  9. Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  10. Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo
Viashiria vya tatizo hili ni;
  1. Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
  2. Maumivu chini ya kitovu
  3. Homa
  4. Kutapika
Tatizo hii likidumu kwa muda mrefu husababisha kupungua uzito kwa mgonjwa

Vipimo vya uchunguzi
  1. Urinalysis – Kipimo cha mkojo
  2. Urine for culture and sensitivity - Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
  3. Complete blood count – Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia  kuonyesha kama kuna maambukizi kwenye mwili)
  4. Blood culture - Kuangalia kama kuna maambukizi kwenye damu
  5. Prostate –Specific Antigen (PSA) Test-Kipimo cha tezi dume
  6. Kipimo cha mionzi ya X-ray - Huonyesha kama tatizo ni kubwa sana
  7.  Kipimo cha ultrasound
  8. Kipimo cha CT scan au MRI - Husaidia kuonyesha kama tatizo hili lipo ndani ya tishu za figo  (Intra-renal abscess) au nje ya tishu za figo (Extra-renal abscess)
Vichagizi vya Tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa  Kukojoa (Predisposing Factors)

Vichagizi vya tatizo hili ni;
  1. Kutosafisha vizuri sehemu za siri baada ya kujisaidia haja ndogo
  2. Kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa wowote wa zinaa
  3. Ugonjwa wa kisukari
  4. Madhara yanayotokana na kutumia mpira wa mkojo - Kwa wale wote waliowekewa mpira huu wa mkojo (catheter)
  5. Saratani ya kwenye mfumo wa mkojo au sehemu za siri
  6. Matumizi ya dawa za jamii aina ya Non-steoridal anti-inflammatory drugs (NSAIDS) au madawa yanayopunguza kinga mwilini (Immuno-suppressant medications) kwa muda mrefu
  7.  Kuvimba kwa tezi dume
Matibabu
  1. Tiba hutegemea na chanzo cha tatizo hili
  2. Dawa za kutibu vimelea (antibiotics)
  3. Matibabu ya mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  4. Kunywa maji kwa wingi mara kwa mara ili kusaidia kutoa chembechembe za usaha kupitia njia ya haja ndogo-Ikumbukwe ya kwamba maji sio tiba
Angalizo:-mgonjwa Atahitaji Kumuona Daktari Ili Apate Tiba Stahiki  Kulingana Na Chanzo Cha Tatizo La Kutoka  Usaha  Wakati Wa Kukojoa

Wimbo wa TETEMA Wa Rayvanny na Diamond Platnumz Wapigwa Marufuku Kenya

0
0
Wimbo Tetema wa msanii Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny aliomshirikisha Diamond Platnumz umepigwa marufuku kupigwa katika maeneo ya wazi  nchini Kenya.

Mbali na Tetema, wimbo mwingine uliopigwa marufuku kupigwa maeneo hayo ni  Wamlabez wa msanii Sailors wa nchini Kenya.


Kiongozi wa  Bodi ya Filamu nchini Kenya (KFCB),  Ezekiel Mutua amesema sababu ya kuzizuia nyimbo hizo  ni  kuwa na maudhui yanayokwenda kinyume na maadili.

"Nyimbo za Tetema na Wamlambez zinazuiwa kuchezwa nje ya vilabu na baa. Inatia aibu kuwaona hata viongozi wa kitaifa wakidensi na kuimba nyimbo za aibu mbele ya hadhara.

"Maneno katika nyimbo hizo ni uchafu na hayafai kusikilizwa hadharani hususan mahali ambapo kuna watoto wanaoweza kuwa wanasikiliza maneno au kuona mtu akicheza. Nyimbo zote mbili ni ponografia halisi ," ameandika bwana Mutua.

"Japo hatuzipigi marufuku kwasababu zinaimbwa kwa mtindo wa mafumbo , ni muhimu kwa umma kufahamu kuwa nyimbo hizi ni chafu, na hazifai kuchezwa mahala penye mchanganyiko wa watu wa rika tofauti. Acha zipigwe kwenye vilabu , kwa ajili ya watu wazima pekee !" aliandika.

Hata hivyo haijafahamika ni vipi agizo la Bwana Mutua litatekelezwa na bodi ya udhibiti wa maudhui ya kiusanii.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

0
0

Super nzoka  IKEMEKO   TRDITONAL clinic ;

Ni dawa ya Asili  iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 
 
Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji  ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 .
 
Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0789289945.Au whasap/0716343218 TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya mustang

Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

0
0
Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono. 

Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators). 

Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi.

Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni
  1.  Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
  2.     Chlamydia
  3.     Kaswende (Syphillis)
  4.     Human papilloma virus (HPV)
  5.     HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
  6.     Hepatitis B, C, A
  7.     Herpes virus
  8.     Trichomoniasis
  9.     Bacteria Vaginosis
  10.     Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
  11.     Chancroid
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV, Hepatitis B na C, na HIV. Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio, magonjwa hayo ni kama gono (gonorrhoea) na nk.
 
Visababishi vya magonjwa ya zinaa
  1. Vitendo vya ngono kama nilivyoeleza hapo awali
  2. Kuanza vitendo vya ngono mapema au wakati wa umri mdogo
  3. Kuwa na wapenzi wengi
  4. Kufanya mapenzi ambao sio salama
  5. Maambukizi kupitia michibuko au sehemu zilizokatika kwenye ngozi kwa kugusana na majimaji ya aina yoyote yanayotoka kwa mtu mwenye ugonjwa wa zinaa kama damu, shahawa nk. Hii inaweza kutokea bila mtu kujua kwani mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa zinakuwa hazionekani kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.
Watu wengi huhisi kitendo cha kula denda (kissing) ni salama lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes nk, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii. 

Soma pia:Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa 

Kondomu husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono, Chlamydia lakini sio kinga muafaka dhidhi ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, genital herpes, genital warts, na magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini (AIDS).

Kisonono (gonorrhea) ni nini?
Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini kama kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya kupitisha mkojo au shahawa (urethra), mdomoni na kwenye puru. Maambukizi mengi kwa wanawake hutokea kwenye shingo ya kizazi (cervix). 

Asilimia 75 ya ugonjwa wa gono hutokea kwa watu wenye umri wa miaka 15 – 29, wanawake walio katika umri wa miaka 15 -19 na wanaume walio katika umri wa miaka 20 – 24 wako kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
 
Ugonjwa huu huambukizwa vipi?
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia vitendo vya ngono kupitia uke, njia ya haja kubwa (anus), kupitia mdomoni (oral sex). Ugonjwa unaweza kujitokeza kwenye sehemu za kujamiana, kwenye mdomo na kwenye puru (rectum). 

Soma Pia: Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga 

Ugonjwa wa gono huonekana sana kwa vijana, watu wenye maisha duni kiuchumi, watu wanaoishi mijini, watu weusi na watumiaji madawa ya kulevya.
 
Dalili za ugonjwa wa kisonono
Dalili za ugonjwa wa kisonono huanza kujitokeza kuanzia siku ya 2 hadi ya 7 baada ya mtu kupata maambukizi na huweza kuchelewa kwa wanawake. Dalili ni kama zifuatazo

Kwa wanaume
  1. Kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
  2. Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
  3. Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
  4. Maambukizi yakiwa kwenye puru (rectum) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
Kwa wanawake
Dalili kwa wanawake huwa si nyingi lakini wanawake wengi hawaonyeshi dalili zozote
  1. Maumivu au kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa
  2. Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
  3. Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
  4. Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
  5. Kichefuchefu
  6. Homa (fever)
  7. Kutapika
Vipimo vya ugonjwa wa kisonono
  1. Swab for culture – Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona kama kuna bakteria wanaosababisha gono.
  2. Polymerase Chain Reaction (PCR)– Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
Tiba ya ugonjwa wa kisonono ni nini?
Tiba ya gono inahusisha na tiba ya ugonjwa wa Chlamydia kwani mara nyingi magonjwa haya huambatana kwa pamoja.Tiba hutegemea na umri wa mgonjwa na kama mtu ni mjamzito au la. 

Tiba ya gono ambayo sio sugu iliyo kwenye shingo ya kizazi (cervix), urethra na puru, dawa zinazotumika ni aina za cephalosporin dozi moja pamoja na dawa za aina ya macrolide antibiotics (mfano azithromycin) na za jamii ya penicillin (mfano doxycyclin) ili kutibu ugonjwa wa chlamydia. Mara nyingi kwa wale chini ya miaka 18 na wanawake wajawazito, hutibiwa kwa kuchomwa sindano.

Soma Pia: Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake

Fuata ushauri wa daktari kabla ya kutumia dawa hizi kwani dawa nyingi zina madhara kwa wajawazito (mfano doxycyclin). Ushauri nasaha hutolewa kwa wapenzi wote wawili na ni vizuri wapenzi wote wawili kutibiwa hata kama mmoja hana dalili za ugonjwa huu.
 
Madhara ya ugonjwa wa kisonono
  1. Kutoweza kuzaa kwa mwanamke (tasa) au kutoweza kutungisha mimba kwa mwanamume (infertility)
  2. Huweza kuathiri moyo (heart valves), ubongo,ngozi nk ambayo ni hatari sana kwa mtu yoyote.
  3. Madhara kwenye sehemu za maungio au jointi (joint inflammation)
  4. Kwa wanawake wale ambao hawajatibiwa wanaweza kupata ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ambao huongeza asilimia ya mwanamke kuwa tasa.
  5. Wale wanawake ambao ni wajawazito na wameambukizwa gono wako kwenye hatari ya mimba kutoka au kuzaa mapema kabla mimba haijatimiza umri wake (preterm labor).
  6. Kwa wale wanaoambukizwa gono kipindi cha kukaribia kujifungua, wanaweza kuwaambukiza watoto wao na hivyo watoto kupata ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis), kuwa kipofu (blindness), homa ya mapafu (pneumonia) na ugonjwa wa mifupa (septic arthritis).
Kinga ya kisonono
  1. Kutumia kondomu wakati wa kujamiana
  2. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
  3. Kuacha vitendo vya ngono kama matumizi ya vifaa vya ngono hasa kwa wanawake mfano vibrators nk.
  4. Kwa wanawake wajawazito – Hakikisha unahudhuria kliniki mapema ili upate kuchunguzwa na kupatiwa tiba muafaka kama utagundulika na ugonjwa wa gono au ugonjwa mwengine wowote.
  5. Wanawake wajawazito wanashauriwa kujifungulia hospitali ili kama mtoto ameathirika na gono apate matibabu ya haraka baada ya kuzaliwa kuepusha kuwa kipofu.
  6. Epuka kufanya ngono na mtu aliyeambukizwa gono.

Usisumbuke Tena na Tatizo la Nguvu za Kiume....Soma hii

0
0
Super Mkunyati Mix; ni dawa bora ya mitishamba yenye uwezo wa kutibu na kumaliza matatizo yote ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile:-
 
  -kuwai kufika kileleni ndani ya dakika chache tu.
 -Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
 -Kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu(punyeto) husababisha kuishiwa au kupungukiwa na nguvu za kiume.

Epuka matatizo haya kwa kutumia dawa bora ya asili ya Super Mkunyati Mix ni kiboko ya matatizo haya yanayowasumbua baadhi ya wanaume wengi.
 
Pia kuna dawa ya kutibu Presha,miguu kufa ganzi, tumbo kuuma chini ya kitovu, kisukari,ngiri, chango aina zote na nk, matatizo haya nayo uchangia matatizo haya ya ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo na uume mfupi.
 
JABABILA;- ni dawa ya mvuto wa mapenzi ,mchumba, mke, mume aliyekuacha .
 
ITALIGULA;- ni dawa ya biashara  .

Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no, 0717 339 771AU 0763 172 670whatsApp 0621998653

Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake

0
0
Tatizo la Ngiri Linavyosababisha Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa, Dalili zake Hizi Hapa..Makala
51 minutes ago

Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).

Dalili za Ngiri
Tumbo kuunguruma, kiuno kuuma, kupata choo kama cha mbuzi, kushindwa kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume kulegea, kutokuwa na hamu ya kulundia tendo la ndoa, korondani moja kuvimba, mgongo kuuma.

Dalili zingine za ugojwa wa ngiri ni pamoja na;

Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu kama Direct Scoratal inguinal Hernia.


Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.


Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.


Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa Irreduible direct scrotal inguinal hernia.


Ugojwa huu wa ngiri unaweza kutibika

Mpate mpenzi wako unayempenda na kumfunga mume,mke mpenzi asitoke kwa mwingine .

Kwa Ushauri na Msaada wa Wasaliana na  0714006521

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

0
0

Super nzoka  IKEMEKO   TRDITONAL clinic ;

Ni dawa ya Asili  iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 
 
Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji  ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 .
 
Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0789289945.Au whasap/0716343218 TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya mustang

Jela Miaka 30 jela kwa kubaka Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 17 na kumpa mimba.

0
0
NA SALVATORY NTANDU
Mkazi wa kijiji cha Mpunze Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Ramadhani Mohamedi (23) amekuhumiwa kwenda jela miaka 30 na Mahakama ya wilaya ya Kahama kwa kosa la  kubaka na kumpa mimba mwanafunzi (17).

Hukumu hiyo imetolewa leo na Hakimu mkazi wa Mahakama hiyo Ushindi Swalo na kusema kuwa Mahakama imeridhika na Ushahidi uliotolewa na upande wa jamhuri ambao umemtia hatiani Ramadhani pasipo shaka yeyote.

Amesema Mahakama imepitia ushahidi wote wa upande wa jamhuri na kujiridhisha kuwa anahatia ya kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi huyo hivyo atatumikia adhabu hiyo ili iwefundisho kwake na kwa watu wengine.

Awali akisoma shauri hilo Mahakamani hapo Mwendesha Mashitaka wa Jeshi la Polisi, Evodia Baimo amedai kuwa Ramadhani katika kosa la kwanza la ubakaji amekiuka kifungu namba 130 (1) (2) na 131 (1) sura ya 16 marejeo ya mwaka 2002.

Kosa la pili Ramadhani amekiuka kifungu 60 (a) (3) sura ya 353 ya sheria ya elimu ya mwaka 2016 na kuimba Mahakama hiyo kutoa adhabu kali kwake ili iwe fundisho kwake na kwa watu wengine.

Kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo Ramadhani alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza hoja ambayo imetupiliwa mbali na Mahakama.

Tayari ameshaaanza kutumikia adhabu yake na haki ya kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo ipo wazi ndani ya siku 60.

Jiji La Dodoma Latia Saini Katika Utekelezaji Wa Miradi Mikubwa Ya Maendeleo Ikiwa Ni Pamoja Na Mradi Wa Dodoma City Hotel

0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Jiji la Dodoma kwa siku ya leo Agosti 27,2019 limevunja Historia baada ya Kusaini miradi Mikubwa ya Maendeleo itakayokuwa inaratibiwa na jiji hilo.
 
Akizungumza katika utiaji saini wa Miradi hiyo,Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amesema Jumla ya Miradi itakayotekelezwa ni Saba yenye thamani zaidi ya Tsh.Bil.60 lakini kwa sasa wataanza na miradi miwili yenye thamani ya zaidi ya Tsh.Bil.27.
 
Kunambi ameitaja miradi miwili ya kuanzia  kwa awamu ya kwanza ni pamoja na Mradi wa ujenzi wa Dodoma City Hotel utakaogharimu Bilioni 9.9  lenye ghorofa 11 na Mradi wa pili ni jengo la Uwekezaji litakalokuwa mji wa Kiserikali litakalogharimu zaidi ya Tsh.Bilioni 18.
 
Aidha,Kunambi amebainisha kuwa utekelezaji wa miradi hiyo,unapaswa kutekelezwa ndani ya Mwaka mmoja kuanzia sasa na Miongoni wa Wabia wa Maendeleo watakaochukua tenda hiyo kuwa ni pamoja na Mohammad Builders LTD na Stecol Corporation huku akiwaasa Wadau wengine wa Maendeleo kuchangamkia Fursa hizo.
 
Katibu tawala mkoa wa Dodoma Kessy Maduka amesema miradi hiyo ni ujenzi wa uchumi wa viwanda wa jiji la Dodoma na linatakiwa liangaliwe katika uwekezaji huku mkuu wa mkoa huo,Dkt.Binilith Mahenge akibainisha kuwa uwekezaji huo unazidi kumuunga Mkono Rais Dokt.John Pombe Magufuli azma ya Makao Makuu na akitoa ombi kwa serikali uboreshaji wa ujenzi wa Shule za Kimataifa.

Kwa Upande wake Waziri wa TAMISEMI Seleman Jafo amesema lengo la Mradi huo ni kutoa unyafuzi wa Mapato ambapo jiji la Dodoma kwa Sasa lina uwezo wa kuwalipa watumishi wake  bila utegemezi wa mfuko kutoka hazina kuu huku akibainisha kuwa ujenzi wa majengo hayo ya kisasa itakuwa ni fursa kubwa kwa wafanyabiashara.
 
Aidha,Waziri Jafo amewakumbusha  watumishi wa Serikali kufanya Kazi kwa Bidii na kuacha maigizo katika utendaji wa kazi.
 
“Badala ya kufanya kazi watumishi wanajiposti kwenye mitandao ya kijamii wakitaka sifa,hatutaki watendaji wa namna hii”amesema.
 
Hata hivyo ,Waziri Jafo ametahadharisha kwa wakandarasi wazembe na wababaishaji na hawana nafasi katika serikali ya awamu ya tano.
 
Katika hatua nyingine,Waziri Jafo amesikitishwa kutokana na wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma kushindwa kutekeleza agizo lake ambapo hivi karibuni alitoa agizo kuwa Wilaya hiyo ilitakiwa iwe imeshakamilisha upimaji wa Maeneo hadi kufikia Julai 30,2019 lakini mpaka sasa maeneo yaliyo mengi hayajapimwa na fedha za upimaji serikali ilishatoa.
 
“Chamwino mnamwaibisha mkuu wa Wilaya,nilitoa maagizo kufikia Mwezi Julai,30,2019 maeneo yote yapimwe wapewe wawekezaji lakini mpaka leo bado.Mnamwaibisha mkuu wetu wa Wilaya ,tena ni eneo la Ikulu sifurahishwi na kitendo hiki.Kwa hiyo nikuagize Dc wa Chamwino uende ukawasimamie wataalam wako na uwachukulie hatua.Maana hakuna kisingizio chochote na Fedha za Upimaji tulishatoa sisi kama serikali.”Amesema Waziri Jafo.
 
Naibu Waziri  Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia , kazi, vijana  ajira,Mhe.Anthony Mavunde amesema katika kutekeleza adhma  ya Serikali ya awamu ya tano ya uwekezaji,mkoa wa Dodoma umeanza  utalii wa Mashamba ya Mizabibu.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images