Wakazi wa Kijiji cha Masusu, Kata ya Gisambalang wilayani
Hanang’ katika Mkoa wa Manyara wamepatwa na mshtuko kutokana na tukio
lenye utata la kuuawa mtoto Omary Hamis mwenye umri wa mitatu, kisha
mwili wake kutundikwa juu ya mti.
Inadaiwa kuwa Omary aliuawa na watoto wenzake
wawili ambao ni wakazi wa kijiji hicho kwa kumpiga kwa fimbo kisha
kumnyonga na baadaye kuutundika mwili
MAUAJI: Watoto wadaiwa kumnyonga mwenzao wa miaka mitatu
↧
↧
Picha 4 za Kimahaba za Wema Sepetu na Ommy Dimpoz
Wema Akiwa na SHEMEJI yake ndani ya pozi matata
↧
Ajali ya Basi Yaua Watu 20 Mkoani Dodoma
Takribani watu 20 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine wengi
wakijeruhiwa baada ya basi la Moro Best lililokuwa linatoka Mpwapwa
kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori eneo la Pandambili,
Kongwa mkoani Dodoma leo.
Baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa
katika Hospitali ya Mkoa Dodoma huku wengine wakipelekwa Hospitali ya
Mpwapwa.
↧
Rais Kikwete Atunukiwa Tuzo Nyingine ya Kimataifa......Tuzo hiyo ni ya kuwa Nyota wa Demokrasia Afrika
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa mara
nyingine ametunukiwa tuzo la kimataifa – zamu hii kwa kuwa mshindi waTuzo la
Nyota wa Demokrasia Afrika 2014 – Icon
of Democracy Award Winner for 2014 in Africa.
Kwa
mujibu wa barua aliyoandikiwa Rais Kikwete na kupokelewa Ikulu, Dar Es Salaam,
Rais Kikwete amekuwa mshindi wa kwanza, na kwa mbali kabisa,
↧
Misukule ya Gwajima Yatinga Polisi.....Ndugu, Wazazi kuitwa ili kuthibitisha vifo vyao
Baada ya hivi karibuni kutoa waraka mzito unaowalenga watumishi wa mungu kwa kile alichodai kuwa ni ukiukwaji wa sheria za mungu, Nabii Hosea Chamungu ametangaza rasmi kuiwasilisha ripoti ya misukule feki mikononi mwa jeshi la polisi ili hatua za kisheria zichukuliwe....
Akiongea kwa kujiamini, Nabii Cha Mungu alimuonyesha mwandishi baadhi ya
↧
↧
Huddah Monroe AMZIMIKIA Ali Kiba
Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wake
ambao wanaoenesha kumpokea kwa mikono miwili tangu alipotambulisha
nyimbo zake mbili ‘Mwana na Kimasomaso’, ingawa Mwana imeonekana kupenya
zaidi.
Mrembo wa Kenya aliyewahi kuwa mshiriki wa Big Brother Africa, Huddah
Monroe aka The BossChick alikuwa mmoja kati ya mashabiki wa dhati
walioimiss sauti ya Ali Kiba na
↧
Chris Brown yuko hatarini, Majirani wapya watishia kumpiga risasi
Mwimbaji wa Loyal, Chris Brown ambaye alitoka jela hivi
karibuni na kuamua kutafuta amani kwa kuhama nyumba aliyokuwa akiishi
kukwepa ugomvi na majirani zake ni kama ameruka majivu na kukanyaga
moto.
Kwa mujibu wa TMZ, mwimbaji huyo aliamua kuuza nyumba yake ya
kifahari iliyokuwa Hollywood Hills kufuatia ugomvi wa kila siku na
majirani zake waliomfikisha kwenye vyombo vya sheria mara
↧
Lady Jay Dee awashukuru mashabiki baada ya kupokea tuzo ya AFRIMMA
Lady Jay Dee ameipokea tuzo ya AFRIMMA ya mwimbaji bora wa
kike Afrika Mashariki siku mbili baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo
hiyo.
Baada ya kuishika mkononi tuzo hiyo ambayo inakuwa tuzo yake ya 30,
Jide aka Commando amewashukuru mashabiki wake kwa ushiriano waliouonesha
kwake.
“Tuzo yangu ya 30. Asanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi
nayo nyumbani. Shhhhhh! !!! Kimya
↧
Ubora hafifu wa Elimu Wakwamisha AJIRA Kwa Wahitimu wa Vyuo Vikuuu......Wizara Yakiri kwamba Wengi wao HAWAAJIRIKI
Ubora hafifu wa wahitimu wa vyuo vikuu kiasi cha kusababisha wengine kutoajirika, vimeigusa serikali na sasa inatarajia kuja na mpango wa kukabili hali hiyo.
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imekiri kwamba rejea mbalimbali za waajiri zinaonesha upo upungufu katika ubora wa wahitimu kiasi cha kutoajirika, jambo ambalo imesema haiwezi kulinyamazia.
“Rejea mbalimbali za waajiri
↧
↧
ANGALIZO: Simu za Mkononi na Komputa hupunguza nguvu za Kiume
Watanzania wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.
Mshauri wa masuala ya teknolojia, Alex Mpompo aliyasema hayo juzi kwenye semina inayohusu teknolojia katika Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea, Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Mpompo alisema matatizo yanayochangiwa
↧
Wema Sepetu Aanika Ugomvi wake na Mama Yake Mzazi.....Asema chanzo ni mama kumkataa Diamond
Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu
zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu
kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa
akiupinga mara kwa mara.
Akiongea na mwandishi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa
akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na
Diamond lakini anamshukuru Mungu
↧
Mfanyakazi wa Ndani ( Hausigeli ) anusurika kufa baada ya kukatwakatwa mapanga na Bosi Wake.
Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na
mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni
kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na kukatwakatwa
mapanga mwilini.
Fonolia ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount-Meru,
jijini Arusha, amejeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wa
kushoto na maeneo
↧
Majina ya Wanaopiga Mabomu Arusha Kuanikwa Hadharani
Watuhumiwa wa mabomu katika maeneo mbalimbali mkoani Arusha, watawekwa hadharani hivi karibuni ikiwa ni pamoja na umma kuelezwa kilichotokea na waliowatuma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema hayo juzi alipokuwa akihutubia sherehe za Baraza la Idd jijini Dar es Salaam.
Alisema ingawa hatua za kisheria zinaendelea kwa baadhi ya watuhumiwa kufikishwa mahakamani na kufunguliwa kesi,
↧
↧
Fahamu alichoamua Kingwendu baada ya mkewe KUBAKWA akiwa amelewa
Muigizaji wa filamu za Kiswahili, mchekeshaji Kingwendu yuko katika
wakati mgumu baada ya mkewe kubakwa na jirani yake wakati akiwa amelewa
pombe.
Baada ya jitihada nyingi za kumtafuta Kingwendu, hatimaye mwandishi alifanikiwa kumpata na kukiri kuwa alizipata habari hizo wakati
ambapo yuko safarini na majirani walimueleza kilichotokea kuwa mkewe na
jirani huyo aliyembaka
↧
AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 tu za kazi TBS LEO
Watu 6,740 leo wanatarajia kufanyiwa usaili wa kuwania nafasi 47
zilizotangazwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Aprili, mwaka huu.
Usaili huo unataka kufanana na ule wa Idara ya
Uhamiaji ambao ulihusisha waombaji 10,000 waliokuwa wakiwania nafasi 70,
utafanyika leo na kesho katika Ukumbi wa Yombo wa Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam.
Ili kuepuka kuchaguliwa kwa waombaji wenye
↧
Lowassa: Sifadhili ACT-Tanzania.....Asema ni Upuuzi kuhusishwa na chama hicho cha Siasa, Adai ni mpango wa kumchafua na kumgombanisha
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema hatua ya kuhusishwa
kwake na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania)
ni upuuzi na mwendelezo wa mikakati ya kumchafua.
Kauli ya Lowassa imekuja siku moja baada ya kuhusishwa na Mbunge wa
Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), kwamba kwa pamoja wamekuwa
wakipanga mikakati ya siri ya kuhujumu chama hicho.
↧
UKAWA wakutana na Waandishi wa habari.....Wasistiza Kutorejea Bungeni , waweka wazi masharti yao
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),umesema umesikitishwa na kauli
za baadhi ya viongozi wa dini zilizotolewa wakati wa baraza la Iddi za
kuwataka warejee katika bunge maalum la katiba huku viongozi hao
wakinyamaza bila ya kukemea matendo yaliyosababisha wajumbe wa umoja huo
kususia vikao vya bunge hilo.
Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa umoja huo, Mwenyekiti wa chama
cha
↧
↧
Rais Kikwete ahutubia Taifa mwisho wa Mwezi Julai, 2014 .....Ashangaa upotoshwaji unaofanywa na UKAWA juu ya mchakato wa Katiba Mpya
Utangulizi Ndugu wananchi;
Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa
kutujalia uzima na kutuwezesha kwa mara nyingine tena kuzungumza na
taifa juu ya masuala muhimu yanayohusu nchi yetu. Mwezi wa Saba
tunaoumaliza leo ulikuwa na matukio mengi baadhi yakiwa makubwa na
kushtusha na mengine yalikuwa matukio ya kawaida.
Mashambulio ya Mabomu Ndugu Wananchi;
↧
Nisha: Sijaona mwanaume wa kunipa MIMBA
Msanii wa Filamu za kibongo Salma Jabu 'Nisha' amedai kuwa hamjui mwanaume atakayeweza kuitwa baba wa watoto wake kwani kila mwanaume anayemtaka kimapenzi huwa haamini kama anaweza kutimiza hilo katika maisha yake ya mapenzi.....
Nisha alisema hivi sasa ni mapema sana kuwa na mawazo ya namna hiyo kwani bado anatafakari, na kudai hawezi
↧
Batuli: Nasaka Mwenye Pesa atakayekuwa tayari kunilipia Ada ya uhudumu wa Ndege
BATULI amesema kuwa anahitaji kwenda kusomea uhudumu wa ndege lakini anashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kubanwa na maisha, lakini endapo atapata mtu wa kumlipia ada yupo tayari kuachana na filamu na kwenda kusoma.
Mrembo huyo akizungumza na mwandishi hivi karibuni aliweka wazi ishu hiyo kwa madai kwamba anahitaji kutimiza ndoto yake juu
↧
More Pages to Explore .....