Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kesi ya Freeman Mbowe na Vigogo Wengine CHADEMA Kuendelea kwa Siku 5 Mfululizo

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,  Dar es Salaam, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, akiwemo Mwenyekiti, Freeman Mbowe kwa sababu Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefiwa na kaka yake.

Kesi hiyo ilitakiwa kuendelea kusikilizwa jana pamoja na kutolewa uamuzi kuhusu mabishano ya kuangalia picha za video zinazodaiwa kuonyesha wafuasi na washtakiwa wakiandamana.

Wakili Peter Kibatala akiwakilisha washtakiwa, alidai kuwa aliandika barua mahakamani akiomba ruhusa kwa washtakiwa wawili, Mbowe na Heche, kwamba wamefiwa na kaka zao kwa nyakati tofauti, hivyo wanaweza kukwama kufika mahakamani.

“Mheshimiwa tuliandika barua tukidhani wote wangeshindwa kufika mahakamani, lakini kwa bahati mheshimiwa Mbowe ameweza kufika isipokuwa Heche ndio wanazika leo (jana), tunaomba kuahirisha kesi hadi tarehe nyingine,” alidai.

Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi, akijibu alidai hana neno la kuongeza katika maombi hayo, isipokuwa alipendekeza kesi ipangwe kwa tarehe za karibu ili shahidi wa sita amalize ushahidi wake.

“Mheshimiwa, shahidi tunamshikilia kwa wiki mbili sasa, anatakiwa kwenda Nairobi kwenye mafunzo, wenzake wameshaenda, tunaomba tarehe ya karibu na mfululizo ili amalize aweze kusafiri,” alidai Nchimbi.

Hakimu Simba alikubali kuahirisha kesi hiyo na kuamuru isikilizwe mfululizo kuanzia Agosti 15, 16, 19, 21 na 22.


Dr. Gwajima Atumia “ Video Conference ” Kutoa Maagizo Kwa Wajumbe 234 Wa Timu Za Uendeshaji Huduma Za Afya Mikoa

$
0
0
Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  anayeshughulikia afya Dkt. Dorothy Gwajima atumia mfumo wa uendeshaji wa vikao vya kazi kwa njia ya kielektroniki “video conferencing” kufanya mkutano na Wajumbe 234 wa Timu za Uendeshaji Huduma za Afya Mikoa, Wakurugenzi na Walezi wa Mikoa kutoka OR-TAMISEMI.
 
Mkutano huu ambao umefanyika kwa teknolojia hiyo ni wa mara ya kwanza na unalenga kupunguza gharama za safari kwa ajili ya vikao ambavyo, ajenda zake zinaweza kujadiliwa kwa njia ya kielektroniki na hivyo kuboresha ufanisi katika ufuatiliaji wa utekelezaji wa majukumu ya Serikali.
 
Akiongea kwa njia ya Video Conference kutokea Mkoa wa Kilimanjaro alipokuwa kwenye ziara ya kikazi, Dkt. Dorothy Gwajima amesema, kuanzia sasa atakuwa akitumia njia ya kielektroniki “Video Conference” kwa ajili ya kuwakutanisha wadau wote wa sekta ya afya kujadili masuala yanayowahusu pia kutoa maelekezo na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa majukumu.
 
Dkt. Gwajima amefafanua kuwa iwapo angefanya kikao cha siku moja cha wadau  hao wa afya , posho peke yake bila gharama za safari na ukumbi kwa siku moja  ingegharimu takribani Tsh. milioni 30 na ukijumlisha na siku 2 za safari kuja Dodoma ingeweza fikia siyo chini ya Tsh. Milioni 100 au zaidi.
 
Anaendelea kufafanua kuwa, mfumo wa uendeshaji vikao kwa njia ya kieletroniki (video conference) utasaidia kudhibiti matumizi ya fedha nyingi zilizokuwa zikitumika katika uendeshaji wa vikao hivyo na kuwezesha kusaidia kutoa maagizo ambayo yatasaidia kufanya maboresho ya haraka na kuleta tija katika Sekta ya Afya nchini.
 
Amesema kuwa, kufanya vikao kwa kutumia mfumo huo kutasaidia kutatua changamoto zilizopo katika Mikoa na Halmashauri kwa kutoa ushauri wa haraka na kupokea taarifa za utekelezaji kwa ufanisi na kwa gharama nafuu zaidi ukilinganisha na gharama za safari kwa ajili ya kufanya vikao.
 
Wakati huohuo Dkt. Dorothy Gwajima amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa, Waganga Wakuu wa Wilaya na Timu za Uendeshaji Huduma za Afya nchini kuhakikisha wanafanya tathmini ya kina ili, kubaini changamoto wanazozisema kwa takwimu siyo kwa maneno tu ya jumla ambayo yanayoficha uhalisia wa changamoto husika.
 
“Kabla hatujasema upungufu wa watumishi tufanye mahesabu ya uwiano wa uwingi wa kazi kwa kila mtumishi kwa kutumia fomula ya WISN ambayo, tumefundishwa wote. Vinginevyo ukisubiri hadi Wizara ije ifanye basi hapo ni kwamba, RHMT/CHMT mtakuwa mmeshindwa kutekeleza wajibu wenu na badala yake mmegeuka chanzo cha changamoto” Amefafanua Dkt. Gwajima.
 
Dkt Gwajima amaesisitiza kufanya hesabu sahihi ili kuweza kuwapata baadhi ya wataalamu na kuwahamisha waende kwenye upungufu mkubwa zaidi wakati, zoezi la ajira likiendelea.
 
Vilevile, Dkt. Gwajima amewataka wajumbe hao kuhakikisha kabla ya kuandika changamoto ya ukosefu wa vifaa tiba, ni vyema wakahakiki maeneo yenye akiba ya vifaa ambavyo havitumiki ili vipelekwe maeneo yenye uhitaji mkubwa badala ya kila mara tunawaza kununua hivyo kusababisha baadhi ya vifaa kuharibika au kupotea.
 
Aidha amezitaka RHMT kumiliki taarifa wanazotuma Wizarani na kuhakikisha wanazituma kwa wakati kwa kuwa , kila mmoja atatetea taarifa aliyoituma kupitia vikao hivyo na uwajibikaji wake utawekwa wazi ambapo kwa sasa vikao hivyo vitakuwa vitafanyika kila mwezi kwa pamoja na kila wiki kutakuwa na ratiba ya mikoa kadhaa kuhudhuria vikao hivyo na kuwasilisha taarifa za maendeleo ya uwajibikaji.
 
Wakati huohuo Waganga Wakuu wa Mikoa wameupongeza mpango wa kuendesha vikao kwa njia ya Kielektroniki ambao umesaidia kutoa mtazamo mpya wa jinsi ya kukabiliana na changamoto  mbalimbali za Sekta ya Afya nchini.

Ndege Yaanguka Rufiji na Kuteketea Kwa Moto

$
0
0
Kamanda wa Polisi kanda Maalum ya Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali ya ndege ndogo ya shirika la Tropical, iliyokuwa ikiruka kutoka katika kiwanja cha ndege cha Mafia kuelekea Dar es Salaam.

Kamanda Lyanga amesema ajali hiyo imetokea leo Agosti 6 majira ya saa 4:00 asubuhi, baada kuanguka na kuteketea kwa moto na ilikuwa na abiria  takribani tisa.

”Ndege iyopata ajali ilikuwa inaruka uwanja wa Mafia kwenda uwanja wa Julius Nyerere Dar es salaam, ilikuwa na watu 9 lakini mpaka sasa hivi hakuna aliyefariki na kuna majeruhi 6 na ndege yote imeteketea."-Amesema

Aidha, kamanda amesema kuwa majeruhi wote 6 wamekimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu zaidi na kwamba Jeshi la polisi Mkoani humo linaendelea na uchunguzi ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.

Mkongo: Kibongo ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- maumbile kusimama kwa kulegea
-  kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________

WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia

Spika Ndugai Afungua Mkutano Wa Wabunge Kutoka Bara La Asia Na Afrika Unaohusu Masuala Ya Idadi Ya Watu Na Maendeleo Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Bunge litaendelea kuishauri Serikali kuhusu mambo mbalimbali ya idadi ya watu na maendeleo ili kuliwezesha Taifa kufikia dira yake ya maendeleo ifikapo 2025 na malengo endelevu ya maendeleo (SDG).

Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam akifungua mkutano wa wabunge wa Afrika na Asia unaolenga kubadilishana uzoefu katika masuala ya ongezeko la idadi ya watu na maendeleo.

Ndugai alisema Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025 ilianzishwa baada ya mkutano wa kimataifa wa idadi ya watu na maendeleo (ICPD). Hivyo, kama mshiriki, Tanzania ilinufaika na mkutano huo na kutengeneza dira yake ya maendeleo mwaka 2000.

Kuhusu suala la ongezeko la idadi ya watu, Ndugai alisema ongezeko katika ngazi ya familia linatakiwa kuendana na kiwango cha uchumi kwa familia husika ili watoto waweze kupata huduma muhimu za kijamii.

Ndugai alisema lazima nchi za Afrika zifikirie namna ya kugeuza idadi ya watu kama fursa ya kujiletea maendeleo, lakini kudhibiti ongezeko la watu ili kila mtu ngazi ya familia hadi Taifa aweze kupata huduma muhimu.

Kesi ya Benard Membe Dhidi ya Cyprian Musiba Yakwama

$
0
0
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekwama kusikiliza kesi ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Benard Membe dhidi ya Cyprian Musiba kwa sababu Jaji hayupo.

Kesi hiyo namba 220 ya mwaka 2018 ilipangwa kusikilizwa leo baada ya pande mbili baina ya mlalamikaji na mlalamikiwa kuwasilisha majibu yao.

Akizungumza na Waandishi wa Habari nje ya Mahakama Wakili wa Membe, Jonathan Mndeme amesema shauri hilo lilipangwa kwa ajili ya kuanza kusikilizwa.

Wakili Mndeme amesema kuwa  shauri hilo limeahirishwa hadi Oktoba 3, 2019 mbele ya Msajili kwa sababu Jaji aliyepaswa kusikiliza shauri hilo hayupo.

Katika Kesi hiyo iliyoitwa kwa mara ya kwanza Februari 26, 2019, Membe amemshtaki Musiba, Mhariri wa gazeti la Tanzanite na wachapishaji wa gazeti hilo ambapo anawadai Sh. Bilioni 10 kwa madai wamemchafua.

Musiba katika kesi hiyo anashtakiwa kwa kumtuhumu Membe kuwa anamhujumu Rais John Magufuli asitekeleze majukumu yake ya kuwaletea wananchi maendeleo huku akidai kwamba mbinu mojawapo ya kukamilisha hujuma hizo ni maandalizi anayofanya kugombea urais mwaka 2020 kupitia CCM.

GST Yaendelea Kutoa Elimu Kwa Umma Na Wadau Wa Sekta Ya Madini Katika Wiki Ya Maonesho Ya Viwanda SADC

$
0
0
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) , yaendelea kutoa elimu kwa wadau wa sekta ya madini nchini katika maonesho ya wiki ya viwanda yanayoendelea katika mkutano  mkuu wa 39 wa  Nchi za Jumuhiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
 
Moja ya elimu inayotolewa na GST ni juu ya kazi za utafiti wa jiosayansi kwa maana ya jiolojia , jiokemia , jiofikia , miamba na madini nchini ikiwemo madini ya viwandani , madini nakshi (Dimension Stone), elimu nyingine ni juu ya uwepo wa madini ya ujenzi nchini.
 
Sambamba na elimu hiyo GST  ipo na machapisho mbalimbali ya  vitabu vya utafiti wa jiosayansi kama vile kitabu cha Madini yapatikanayo Tanzania toleo la nne  kitabu hiki kinaelezea uwepo wa madini kuazia ngazi kijiji mpaka taifa.

TARURA yaagizwa kusimamia barabara zilizofanyiwa ukarabati na wananchi kahama

$
0
0
NA SALVATORY NTANDU
Chama cha Mapinduzi wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga (CCM) kimemwagiza Meneja wa Wakala wa barabara za mijini na Vijijini (TARURA) Mhandisi Job Mutagwaba kuhakikisha anasimamia kikamilifu barabara za mitaa katika  kata za Majengo ambazo zimejengwa  na wananchi.

Agizo hilo limetolewa na katibu wa (CCM) Emmanuel Mbamange wakati akikabidhi fedha tasilimu shilingi laki saba kwa kamati ya ukarabati  wa barabara hizo ambazo zimetolewa na mbunge wa jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba.

Amesema atahakikisha (TARURA) inazikarabati barabara hizo ambazo zimekarabatiwa  kwa nguvu za wananchi ili kuwezesha kupitika kwa urahisi ambapo mpaka sasa jumla ya kilomita 15 zimeshakamilika kujengwa na fedha iliyotumika ni ya kuchangishana wao kwa wao.

Amefafanua kuwa endapo barabara hizo zisipotunzwa ikiwa ni pamoja na kuwekewa changarawe na mitaro hazitaweza kudumu na nguvu kazi ya wananchi itakuwa haina tija yeyote hivyo CCM itahakikisha inawaunga mkono wananchi hao ambao wameonesha nia ya kukarabari  barabara katika maeneo yao.

Naye Steveni Lutego mjumbe wa kamati ya ujenzi wa barabara hizo ameomba kuungwa mkono na serikali katika kujenga mitaro katika maeneo korofi ambayo kipindi cha mvua maji huwaathiri ili kuzuia kutokea kwa maafa yatokanayo na uharibifu wa miundo mbinu ya barabara pamoja wa ujenzi holela wa makazi katika njia za maji.

Jumla ya shilingi milioni nne laki 3 na elfu themanini zimetumika katika kukarabati barabara hizo za mitaa ambazo zinaurefu wa kilomita 15.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  0759208637   /  0620510598

Tiba Halisi ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
*NKOLOMIJE*/
√Ni dawa bora ya mitishamba yenye kuimarisha, kurefusha na kukufanya uwe imara hata kama umelala pia huimarisha na kukuza  maumbile yaliyosinyaa na kuwa regevu

*📌SUPER GAFINA MIX*/
Ni dawabora ya nguvu za kiume yenye mchanganyiko wa miti shamba 10 yenye maajabu yafuatayo:/
🔖(1)Inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimarisha misuri ya uume ulio legea na kusinyaa wakati wa tendo la ndoa/
🔖(2)Kuongeza hamu ya tendo kukufanya uweze kurudia tendo hadi mara tatu bila kuchoka
🔖(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-30 kwa tendo la Kwanza na utakuwa na uwezo wa Kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3-4 bila hamu kuisha na inatibu kabisa/
.
*MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA*/
🔖(1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖(2) Choo kuwa kama Cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(5)Kisukari/
🔖(6)Presha ya kupanda na kushuka/
🔖(7)Vidonda vya tumbo,/


Bado hujachelewa

Pia tuna tibu  KISUKARI,PRESHA,VIDONDA VYA TUMBO N.K/
._______________________
ANAPATIKANA  DAR ES SALAAM  AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO SIMU NO:/
*📞0752723508*

Kanuni bora za ufugaji wa kuku wa kienyeji(kuku Asili)....Soma Hapa Uwe Tajiri

$
0
0
Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. 

Hata hivyo, pamoja na soko la uhakika, bado ufugaji kuku haujaweza kutumika ipasavyo kupambana na umaskini unaowakabili Watanzania wengi.

 Ni mazoea kwa jamii nyingi hapa Tanzania kufuga kuku wa asili kama sehemu ya mila na desturi zao. Kuku wa asili amekuwa akifugwa bila ya kupatiwa huduma muhimu kama makaazi bora, chakula cha ziada, tiba, kinga za magonjwa mbali mbali. 

Muhtasari huu unatoa muongozo wa ufugaji wa kuku wa asili ili uweze kuzalisha na hatimae kukuza kuku kwa wingi.

Usafi wa vyombo na mazingira ya kuku
Uchafu ni mama wa magonjwa, hivyo zingatia haya;
1.  Vyombo vya chakula na maji visafishwe mara kwa mara kwa maji safi na sabuni.

2. Pumba au chakula kilicholowana na kuchanganyika na kinyesi cha kuku kitolowe na kufukiwa.

3.  Choma moto au zika kwenye shimo refu kuku waliokufa kwa ugonjwa.

4.  Usifuge kuku na ndege wa jamii nyingine kwa mfano bata katika banda moja.

5.  Ondoa mbolea mara kwa mara kutoka katika banda la kuku.

6.  Tumia dawa za kuulia vimelea kusafishia banda na upake chokaa angalau mara moja kwa mwaka.

7.Ziba matundu yote yanayoweza kuruhusu panya na wanyama wakali kama vicheche kuingia katika banda la kuku.


Magonjwa na kinga kwa kuku wote

1.Ndui ya kuku
Huathiri sana vifaranga wanaokua na ujitokeza kwa wingi wakati wa mvua za muda mrefu. Husababisha vivimbe katika uso/ kishungi na hata sehemu nyengine zisizo na manyoya.

2.Mdondo/kideri
Mdondo, au kwa majina mengine lufuo, au kideri ni ugonjwa hatari katika magonjwa ya kuku wa asili. Ni ugojwa wa virusi ambao huathiri kuku wa rika zote, huweza kuangamiza kuku wote kijijni.

3.Ukosefu wa vitamini A
Ugonjwa huu husababisha macho kuvimba na kutoa uchafu mziito kama sabuni iliyolowana. Kuku wenye dalili hizi hawaponi na hata kufa. Ugonjwa hujitokeza baada ya kipindi kirefu cha kiangazi kwa ajili ya ukosefu wa majani mabichi.

4.Kosidiosisi
Huathiri kuku wa umri wowote lakini huuwa zaidi vifaranga na kuku wanaokua. Kuku hudhoofika, manyoya huvurugika na kuku huwa kama wamevaa koti. Kuku huarisha damu au kinyesi cha kahawia na huzubaa na kuonekana kama wamevaa koti.

5.Viroboto, chawa na utitiri
Hawa ni wadudu wa nje wanaoshambulia ngozi. Huweza kusababisha ugonjwa kutokana na kunyonya damu. Viroboto hushambulia kichwa na kunata huku wakinyonya damu. Viroboto huuwa vifaranga. Chawa na utitiri hughasi kuku hadi wakashindwa kutaga na kuatamia.

6.Minyoo
Minyoo huweza kudhofisha kuku na kuwafanya waweze kuugua maradhi mengine kirahisi. Muone mtaalaam ukihisi kuku wako wana minyoo.


Chakula cha ziada
1.Wapatie vifaranga nyongeza ya protini kwa kuwachanganyia vumbi la dagaa au vichwa vya dagaa vilivyotwangwa kwenye pumba za mahindi.

2.Changanya kikombe kimoja cha vumbi la dagaa na vikombe vitano vya pumba za mahindi (tumia kikombe kidogo cha chai).

3.Mchwa na wadudu wengine wanaweza kutumika kama nyongeza ya protini.

4.Vuna mchwa kwenye vichuguu au tengeneza mchwa katika njia za mchwa.

5. Kutengeneza mchwa: changanya kinyesi cha ng’ombe na majani makavu, mabua ya mahindi au maranda ya mbao katika chungu au ndoo ya zamani.

6Mwagia maji hadi kila kilichomo kilowane kisha weka katika chombo kama ndoo au chungu. Weka chombo chako katika njia ya mchwa ukikigeuza juu chini na subiri hadi kesho yake asubuhi, kisha beba vyote vilivyomo na uwamwagie kuku mahali walipo.

Utotoleshaji wa vifaranga
Chagua jogoo bora na tetea bora kuzalisha kuku.

Sifa za jogoo bora
1.  Awe na umbo kubwa, awe ukiko mzuri na usioangukia upande mmoja.

2.  Apende kuwa na himaya yake. Ukimpata jogoo mwenye sifa hizi mueke yeye na matetea kumi. Hivyo ukiwa na matetea ishirini jogoo wawili wanatosha.

Sifa za tetea bora
Tetea bora ni yule mwenye umbo kubwa, mwenye uwezo wa kutaga mayai ya kutosha, kuatamia na hatimaye kutotoa vifaranga.

Uhifadhi wa mayai
1.  Weka mayai mahali safi na penye hewa ya kutosha.

2.  Tumia kasha lililokatwa na kujaza mchanga mkavu na safi au kasha la kuhifadhia mayai.

3.  Weka sehemu butu ya yai iwe upande wa juu na ile iliyochongoka itizame chini.

4.  Andika namba au tarehe katika siku lilipotagwa.

5.  Mayai yakishatagwa yatolewe na kuhifadhiwa na moja liachwe kwenye kiota ili kumuita kuku kuja kutaga kesho yake.

Kuatamiza mayai
1.  Kuku awekewe mayai yatakayokuwa na uwezo wa kuyaatamia na kuyatotoa yote.

2.  Mayi 10 hadi 12 yanatosha kuatamia.

3.  Mayai ya kuatamiza yasizidi wiki 2 toka kutagwa.

4.  Yai la mwisho kutagwa liwe la kwanza kuchaguliwa hadi yapatikane mayai 10 mpaka 12, na apewe kuku wa kuyaatamia.

5.  Mayai ya kuatamiza yasafishwe kwa kitambaa kikavu na safi au kilichowekwa spiriti

Kutotolesha vifaranga wengi kwa wakati mmoja
1.  Kama unataka kuku zaidi ya mmoja watamie na kutotoa kwa mpigo fanya yafuatayo;

2.  Kuku wa kwanza akianza kuatamia muwekee mayai yasiyo na mbegu mfano mayai ya kuku wa kisasa au kuku asiye na jogoo.

3.  Rudia zoezi hilo hadi utakapofikisha kuku watano kisha wawekee kuku wote mayai yenye mbegu.

Matunzo ya vifaranga ili kuzuia vifo
Vifaranga wengi hufa kabla ya kufikisha miezi miwili kutokana na magonjwa, baridi na kuliwa na wanyama wengine. Ili kupunguza vifo vya vifaranga wa siku 1 hadi miezi miwili zingatia yafuatayo;

Ulinzi dhidi ya mwewe na wanyama wengine
1.  Weka vifarang kwenye tega na kuwafunika ili wasiende mbali wakati wa mchana. Wape maji na chakula. Hakikisha hawapigwi jua wala kunyeshewa mvua. Wakati wa usiku walale na mama yao.

Chanjo ya mdondo kideri/lufuo
Kama tetea alichanjwa kabla ya kuanza kutaga vifaranga wanaoanguliwa huwa na kinga ya mdondo ya kuwatosha kwa wiki 3 za kwanza za maisha yao. Wachanje vifaranga hao dhidi ya mdondo wafikishapo umri wa siku 18.

Vifaranga ambao historia ya chanjo ya mama haijulikani, wapewe chanjo ya mdondo siku tatu baada ya kuanguliwa, rudia hadi wakifikisha wiki tatu kisha uchanje kila baada ya miezi 3

Kinga dhidi ya kosidiosisi
Kinga ya kosidiosisi kwa vifaranga, itolewe hata kama ugonjwa haujajitokeza.

1.  Wape dawa ya amprolium kwa muda wa siku tatu mfululizo mara wafikishapo siku saba tokea waanguliwe kama kinga ya kosidiosisi.

2.  Dawa inaweza kutolewa hata kama wamevuka umri huo. Fuata maelekezo ya mtaalam juu ya kiasi cha dawa kinachopaswa kuchanganwa katika maji au pumba

3.  Kama vifaranga wadogo wataonesha dalili za kuzubaa kama kuvaa koti wapewe dawa ya amprolium kwenye maji kwa utaratibu ufuatao;

Dawa siku tatu mfululizo: usiwape kwa siku mbili; gawa tena kwa siku tatu

Hitimisho
1.  Hakikisha banda na vyombo vya chakula cha kuku ni visafi kuepusha magonjwa.

2.  Usichanganye kuku na bata katika banda moja

3.  Lisha chakula cha ziada hasa kwa vifaranga.

4.  Kideri, kosidiosisi, ndui na upungufu wa vitamini A ni vyanzo vikuu vya vifo vya kuku wako. Kumbuka kukinga kuku wako dhidi ya magojwa haya.

5.  Kumbuka kuchagua mayai ya kuatamiza kama ilivyoelekezwa ili kuepuka kupata mayai viza.

6.  Vifaranga wadogo hadi wiki nane huhitaji matunzo mazuri, fuata maelezo kuzuia vifo.

7.  Kumbuka ukiuza kuku wengi kwa mpigo utaongeza mapato yako, jitahidi kuzalisha vifaranga kwa wingi ili upate kuku wengi baadae.

8.  Muone mtaalam wa mifugo ulie karibu nae kwa ushauri zaidi.

Waziri Simbachawene apongeza mradi wa upandaji mikoko Zanzibar

$
0
0
Na Ofisi ya Makamu wa Rais
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene ameupongeza mradi wa utunzaji mazingira kupitia upandaji miti ya mikoko mjini Zanzibar.
 
Mhe. Simbachawene ametoa pongezi hizo Agosti 5, 2019 katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kujitambulisha na kukagua miradi ya Muungano na Mazingira visiwani hapa.
 
Akiwa katika eneo hilo lenye hekta nne lililopo Shehia ya Kilimani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Magharibi alisema ameridhishwa kuona namna ambavyo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ilivyotekeleza mradi huo pamoja na ufadhili kutoka Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).
 
“Niwapongeze sana kwa mradi huu mzuri na tunaona matokeo yake umesaidia mawimbi yasije kwa kasi katika eneo hili na kusababisha mmonyoko na tukiamua kufanya kazi kwa pamonja na jamii tunaweza kufanya vizuri,” alisema.
 
Aidha, Mhe. Simbachawene alitoa wito kwa wataalamu kuangalia namna ya kuibua miradi mingine katika fukwe za mikoa mingine kama Dar es Salaam, Tanga, Lindi na Mtwara ili kusaidia kutunza mazingira.
 
Katika hatua nyingine alikagua ujenzi wa Kituo cha Afya Kianga katika Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini Magharibi aliwapongeza wananchi kwa kusimamia mradi huo.
 
Alisema kuwa kwa kiasi cha sh. milioni 174 inadhihrisha namna wanavyotumia fedha kwa uaminifu na kuwa tutapiga hatua katika kuendeleza sekta ya huduma ya afya kwa wananchi.
 
“Nawapongeza sana wananchi hasa kwa kamati hii mmefanya vizuri kusimamia mradi huu wa ujenzi wa kituo cha afya tunaamini udokozi haukuwepo kazi imefanyika fenicha (samani) zipo, vifaa tiba na utendaji kazi mzuri unaendelea kufanyika,” alisema.

Waziri Mkuu: Maonesho ya Wiki ya Viwanda SADC Yatafungua Milango Mingi ya Masoko

$
0
0
Na Paschal Dotto-MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amewataka watanzania kuchangamkia fursa zitokanazo na maonesho ya Viwanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ili kuwezesha ukuaji wa uchumi wa viwanda ambao Serikali inaujenga. 

Akizungumza wakati wa kutembelea maonesho hayo yanayoendelea katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, Viwanja vya Karimjee na Gymkana, Waziri Mkuu amesema kuwa maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 39 wa Wakuu wa Nchi za SADC yamekamilika yakihusisha kuwepo kwa maonesho ambayo nchi wanachama wataonesha teknoloji, Ubunifu na bidhaa zao kutoka katika Viwanda vya nchi za SADC.  

Waziri Mkuu alisema kuwa Serikali imetoa fursa kwa wafanyabiashara Wakubwa, wa kati, wadogowadogo na  wenye bidhaa zinazozalishwa kwa  mikono kuja kuonesha na kuchukua teknolojia kutoka nchi wageni ambao wapo nchini kwa maonesho hayo ya wiki moja. 

“Sisi kama Serikali tumetoa Fursa kwa wale ambao wanafanya kazi na kuzalisha bidhaa zao kwa kutumia mikono kuja kuonesha bidhaa zao ili ziweze kupata masoko kwa nchi wanachama wa SADC kwani nchi zote zinakuja hapa kuleta bidhaa mbalimbali kwa hiyo watanzania wanatakiwa kutumia fursa hii kuwauzia wageni bidhaa zetu”, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. 

Alisema kuwa Fursa ambayo watanzania wameipata kutokana na mkutano huo wa SADC itawawezesha kukuza mitaji kwa kuungana na wageni ili kujenga viwanda vikubwa na kuimarisha uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi soko la nchii wanachama wa SADC.  

Majaliwa alisema kuwa Maonesho hayo ni muhimu kwani yamezikutanisha nchi za SADC kuja Tanzania kuonesha bidhaa, teknolojia ya uzalishaji viwandani, pamoja na ubunifu katika kuzalisha bidhaa hizo, kwa  watanzania ambao hawajawahi kufika Namibia, Msumbiji, Malawi pamoja na Nchi zingine za kusini mwa afrika ni fursa kubwa kwao kuleta bidhaa zao ili ziweze kupata soko kutoka SADC. 

“Maonesho haya ya wiki ya Viwanda kutoka Nchi wanachama wa SADC yanafursa nyingi kwa watanzania kwani yatafungua milango mingi ya masoko kwa bidhaa zinazozalishwa nchini, pia yatakuwa ya wazi kwa hiyo watanzania wanatakiwa kutumia fursa hii kubwa kuona bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini na nchi wanachama kutoka Jumuiya hii”, Kassimu Majaliwa, Waziri Mkuu Tanzania. 

Waziri Mkuu, alisema kuwa yako mataifa ambayo yameleta bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo na madawa mbalimbali, kwa hiyo fursa ni pana kwa watanzania na ambayo ikitumiwa ipasavyo kuelekea uchumi wa kati wenye viwanda itawezesha kuinua uchumi kwa wananchi, na sasa inawakakaribisha wageni kuja kuwekeza katika sekta za madini na kilimo ili kuweza kujenga viwanda vikubwa kutokana na mitaji ya wazawa na wageni kutoka SADC. 

Aidha Waziri Mkuu, alisema kuwa Mkutano huo ni fursa kwa watanzania kutangaza vivutio vya utalii vilivyoko nchini ili kuweza kukuza sekta hiyo na kuwawezesha wageni kutoka nchi wanachama wa SADC kuja kuwekeza  

“Watanzania tutumie pia fursa ya Mkutano huu wa SADC kutangaza vivutio vilivyoko nchini, ili tuweze kuleta watalii kuja kutalii hapa kwetu, banda la Wizara ya Maliasili na Utalii lipo, lakini kila mtanzania popote alipo, kwa wakati wake, atumie muda wake kuwaeleza wageni ikiwezekana kuwapeleka kwenye maeneo ya utalii kwenda kutalii, aeleze kuhusu mbuga zetu kama vile Serengeti, Ngorongoro, Ruaha na Gombe, lakini pia Mlima kimanjaro, bonde la Olduvai Gorge  na fukwe zetu nzuri ili wageni waweze kutembelea maeneo haya”, Kassim Majaliwa,Waziri Mkuu wa Tanzania. 

Mwisho.

Waziri Simbachawene apongeza mradi wa upandaji mikoko Zanzibar

$
0
0
Na Ofisi ya Makamu wa Rais
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene ameupongeza mradi wa utunzaji mazingira kupitia upandaji miti ya mikoko mjini Zanzibar.
 
Mhe. Simbachawene ametoa pongezi hizo Agosti 5, 2019 katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kujitambulisha na kukagua miradi ya Muungano na Mazingira visiwani hapa.
 
Akiwa katika eneo hilo lenye hekta nne lililopo Shehia ya Kilimani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Magharibi alisema ameridhishwa kuona namna ambavyo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ilivyotekeleza mradi huo pamoja na ufadhili kutoka Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).
 
“Niwapongeze sana kwa mradi huu mzuri na tunaona matokeo yake umesaidia mawimbi yasije kwa kasi katika eneo hili na kusababisha mmonyoko na tukiamua kufanya kazi kwa pamonja na jamii tunaweza kufanya vizuri,” alisema.
 
Aidha, Mhe. Simbachawene alitoa wito kwa wataalamu kuangalia namna ya kuibua miradi mingine katika fukwe za mikoa mingine kama Dar es Salaam, Tanga, Lindi na Mtwara ili kusaidia kutunza mazingira.
 
Katika hatua nyingine alikagua ujenzi wa Kituo cha Afya Kianga katika Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini Magharibi aliwapongeza wananchi kwa kusimamia mradi huo.
 
Alisema kuwa kwa kiasi cha sh. milioni 174 inadhihrisha namna wanavyotumia fedha kwa uaminifu na kuwa tutapiga hatua katika kuendeleza sekta ya huduma ya afya kwa wananchi.
 
“Nawapongeza sana wananchi hasa kwa kamati hii mmefanya vizuri kusimamia mradi huu wa ujenzi wa kituo cha afya tunaamini udokozi haukuwepo kazi imefanyika fenicha (samani) zipo, vifaa tiba na utendaji kazi mzuri unaendelea kufanyika,” alisema.

Mkongo: Kibongo ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- maumbile kusimama kwa kulegea
-  kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________

WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia

Tiba Halisi ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
*NKOLOMIJE*/
√Ni dawa bora ya mitishamba yenye kuimarisha, kurefusha na kukufanya uwe imara hata kama umelala pia huimarisha na kukuza  maumbile yaliyosinyaa na kuwa regevu

*📌SUPER GAFINA MIX*/
Ni dawabora ya nguvu za kiume yenye mchanganyiko wa miti shamba 10 yenye maajabu yafuatayo:/
🔖(1)Inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimarisha misuri ya uume ulio legea na kusinyaa wakati wa tendo la ndoa/
🔖(2)Kuongeza hamu ya tendo kukufanya uweze kurudia tendo hadi mara tatu bila kuchoka
🔖(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-30 kwa tendo la Kwanza na utakuwa na uwezo wa Kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3-4 bila hamu kuisha na inatibu kabisa/
.
*MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA*/
🔖(1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖(2) Choo kuwa kama Cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(5)Kisukari/
🔖(6)Presha ya kupanda na kushuka/
🔖(7)Vidonda vya tumbo,/


Bado hujachelewa

Pia tuna tibu  KISUKARI,PRESHA,VIDONDA VYA TUMBO N.K/
._______________________
ANAPATIKANA  DAR ES SALAAM  AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO SIMU NO:/
*📞0752723508*

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne 06 August

Waziri Simbachawene apongeza mradi wa upandaji mikoko Zanzibar

$
0
0
Na Ofisi ya Makamu wa Rais
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene ameupongeza mradi wa utunzaji mazingira kupitia upandaji miti ya mikoko mjini Zanzibar.
 
Mhe. Simbachawene ametoa pongezi hizo Agosti 5, 2019 katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kujitambulisha na kukagua miradi ya Muungano na Mazingira visiwani hapa.
 
Akiwa katika eneo hilo lenye hekta nne lililopo Shehia ya Kilimani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Magharibi alisema ameridhishwa kuona namna ambavyo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ilivyotekeleza mradi huo pamoja na ufadhili kutoka Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP).
 
“Niwapongeze sana kwa mradi huu mzuri na tunaona matokeo yake umesaidia mawimbi yasije kwa kasi katika eneo hili na kusababisha mmonyoko na tukiamua kufanya kazi kwa pamonja na jamii tunaweza kufanya vizuri,” alisema.
 
Aidha, Mhe. Simbachawene alitoa wito kwa wataalamu kuangalia namna ya kuibua miradi mingine katika fukwe za mikoa mingine kama Dar es Salaam, Tanga, Lindi na Mtwara ili kusaidia kutunza mazingira.
 
Katika hatua nyingine alikagua ujenzi wa Kituo cha Afya Kianga katika Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini Magharibi aliwapongeza wananchi kwa kusimamia mradi huo.
 
Alisema kuwa kwa kiasi cha sh. milioni 174 inadhihrisha namna wanavyotumia fedha kwa uaminifu na kuwa tutapiga hatua katika kuendeleza sekta ya huduma ya afya kwa wananchi.
 
“Nawapongeza sana wananchi hasa kwa kamati hii mmefanya vizuri kusimamia mradi huu wa ujenzi wa kituo cha afya tunaamini udokozi haukuwepo kazi imefanyika fenicha (samani) zipo, vifaa tiba na utendaji kazi mzuri unaendelea kufanyika,” alisema.

Watumishi wa umma na sekta binafsi wakumbushwa swala la maadili

$
0
0
Na Amiri kilagalila-Njombe
Serikali imewataka watumishi wa umma na sekta ninafsi kuzingatia kanuni na maadili ya utumishi wa Umma kwa lengo la kuleta ustawi kwa jamii katika utoaji wa huduma bora na stahiki kwa wahitaji.

Agizo hilo linakuja wakati kukiwa na malalamiko kadha wa kadha kutoka kwa baadhi ya wananchi juu ya utendaji na uwajibikaji mbovu kwa baadhi ya watumishi wa umma ambapo imedaiwa kuwepo kwa anguko la maadili ya utumishi wa umma hatua ambayo imeleta athari kwa umma na kuhitaji hatua za haraka kuchukuliwa kuanzia vyuoni.

Akizungumza katika mahafali ya 4 ya chuo cha afya cha Mgao mkoani Njombe kaimu mganga mkuu wa mkoni Njombe Dr Manyanza Mponeja amewataka wahitimu wa kozi mbalimbali za afya chuo hapo kuzingatia miiko na mdaadili ya kazi pindi watakapo kuwa kazi kwa madai ya kwamba katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na madai ya kuporomoka kwa maadili ya utumishi wa umma hususani katika kada ya afya watu kutumia lugha chafu kwa wagonjwa ,mavazi yasiyo na staha pamoja na ulevi kupindukia hatua ambayo si njema.

Mbali na changamoto ya maadili Dr Mponeja ametolea ufafanuzi ombi la kuondolewa kwa gharama ya shilingi elfu 50 wanayotakiwa kulipa wanafunzi katika hospitali,vituo vya afya na zahanati ambazo wanaenda kujifunza elimu kwa vitendo ambapo amesema serikali imeipokea changamoto hiyo na kwenda kuangalia namna ya kuiondoa ili kutoa nafasi kwa wanafunzi hata wenye hali duni kupata mafunzo hayo muhimu.

“Sitegemei muuguzi ambaye anaandaliwa kukutana na mteja anayemweleza siri zake zote aweze kumtatulia akawa anavaa nguo fupi kiasi ambacho hata mteja anaanza kujiuliza”alisema Mponeja

Licha ya serikali kuahidi kutafuta ufumbuzi wa gharama elimu kwa vitendo inayotolewa na wanafunzi wa vyuo binafsi vya afya lakini afisa utumishi wa chuo cha afya cha mgao Deus Kuba anafafanua jinsi tozo hiyo inavyokwamisha jitihada za wanafunzi wanaotoka familia duni huku pia akionyesha kuwa tofauti na mitazamo ya ukosefu wa ajira katika sekta ya afya kwa kuwa watu wazaliwa na kuumwa kila uchwao hivyo wahitimu wanauwezo wa kufungua maduka ya dawa na phamasi binafsi na mkono kwenda kinywani.

“Wanafunzi wetu wanavyoenda kufanya mazoezi ya vitendo mahospital hususani ya serikali,utakuta kila mwanafunzi huwa anatakiwa kuchangia  gharama ya shilingi elfu 50,unakuta wengine wanashindwa hivyo ningependekeza hizi gharama aidha zitolewa au zipunguzwe”alisema Deus Kuba

Kwa upande wao wahitimu wa kozi mbalimbali za afya akiwemo  Evancy Machea na Hapness Amon wakieleza jinsi walivyo iva kwa ajili ya kutoa huduma kwa jamii na kumudu ushindani katika soko la ajira wamesema wamejengewa uwezo hata wakujiajiri kwa kufungua maduka ya dawa na phamasi.

Jumla ya wahitimu 59 wamehitimu na kukabidhiwa vyeti katika mahafali ya nne ya chuo cha afya Mgao.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano 07 August

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images