Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mohamedi Buruhani Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH .....Anauwezo wakufanya Dua mbalimbali Na Kutafsiri Ndoto

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mohamedi Buruhani Mtabibu wa Nyota za Binadamu  Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mohamed Buruani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. 

Anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie ..Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Mohamed Buruhan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, Anatafsiri Ndoto. ,KUSAFISHA NYOTA, Mvuto wa Mwili na BIASHARA, ...MIGUU Kufa GANZI na mengi zaidi (+255  715971688 au (+255  756914036

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Uhamiaji Yafunguka suala la Kushikiliwa Mwandishi Erick Kabendera

$
0
0
Na. Mwandishi Wetu.
Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imetoa ufafanuzi kuhusu Mwandishi wa kujitegemea Erick Kabendera baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuwa amekamatwa na anahojiwa kuhusu uraia wake na Idara ya Uhamiaji Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza Jijini Dar es Salaam, Kamishna wa Uraia na Pasipoti wa Idara ya Uhamiaji Gerald Kihinga, amesema kuwa  Erick Kabendera ameshikiliwa na Jeshi la Polisi na Uhamiaji Jijini Dar es Salaam kwa mahojiano zaidi ili kuweza kupata taarifa juu ya uraia wake.  
 
Kamishna huyo wa Uhamiaji amesema Idara ya Uhamiaji inadhamana kubwa ya kusimamia na kutekeleza Sheria ya uraia wa Tanzania sura ya 357 rejeo la 2002, inayotoa mamlaka kwa taasisi hiyo kuchunguza na kuthibitisha uraia wa mtu yeyote. 
 
“Idara ya Uhamiaji ni chombo kilichopewa dhamana kubwa ya kutekeleza na kusimamia uraia wa Tanzania, kwa hiyo siyo mara ya kwanza kufanya hivyo, sisi tunamshikilia Kabendera kwa mahojiano kuhusu uraia wake, na siyo yeye tu aliyefanyiwa hivyo, idara ya Uhamiaji inatimiza matakwa ya sheria ya uraia nchini na wala si vinginevyo” Alisema.  
 
Alieleza kuwa idara ya Uhamiaji ilipata taarifa za Erick Kabendera kutoka kwa raia wema na ikaamua kumtafuta ili kufanya naye maojiano lakini hakuwa tayari kutoa ushirikiano ikiwa ni pamoja na kukataa kufika ofisi za Uhamiaji, hali iliyopelekea kukamatwa na sasa anaendelea kuhojiwa.  
 
Mkuu huyo wa masuala ya uraia na Pasipoti alifafanua kuwa, kushikiliwa huko kwa Erick Kabendera na kuendelea na mahojiano ni swala ambalo limekuwepo kwa raia wote ambao uraia wao una utata, wakiwemo watu wa kawaida,  watu mashuhuri na wengine wowote ambao kutaonekana uhitaji.  
 
Amesema kumekuwa na ushirikiano baina ya Uhamiaji na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ikwemo Polisi, ili kutekeleza majukumu mbalimbali ya kiusalama kwa nchi hivyo kukamatwa kwa Kabendera siyo jambo geni bali Idara inatimiza majukumu yake chini ya Sheria ya uraia wa Tanzania sura ya 357 rejeo la 2002.

Wananchi Mkoani Kagera Watakiwa Kuacha Tabia Za Kuwahifadhi Wahamiaji Haramu.

$
0
0
NA AVITUS BENEDICTO KYARUZI,KAGERA.
Mkuu wa wilaya ya Missenyi  Mkoani Kagera Kanali Denice Mwila  amewataka wananchi wilayani missenyi kuacha tabia za kuwapokea na kuwahifadhi wahamiaji haramu kutoka nchi jirani jambo linaloweza kuhatarisha usalama wa nchi.
 
Kanali MWILA ametoa kauli hiyo na kusema kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikipelekea wahamiaji haramu kuongezeka wilayani missenyi mkoani hapa  hivyo kupelekea watanzania kukosa ardhi ya kulima na kufanya shughuli za ufugaji.
 
Kutokana na hali hiyo,kanali MWILA amesema kuwa watanzania katika maeneo ya mipakani hususani kata za Mtukula,Kakunyu na Minziro wanatakiwa kuhakikisha wanaepuka kupokea rushwa kutoka kwa wahamiaji ili wawape hifadhi.
 
Amesema kuwa serikali wilayani humo haitawafumbia macho wananchi watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo.

Download App Yetu Kwenye Simu Yako Ili Uweze Kupata Habari Zetu Kwa Haraka Zaidi

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Jeshi la Polisi Latoa Ufafanuzi Kifo cha mtumishi wa Wizara ya fedha

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, ametolea ufafanuzi kifo cha mtumishi wa Wizara ya fedha, Leopard Lwajabe (56), ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umening’inia kwenye mti wa muembe katika kijiji cha Mgoza wilayani Mkuranga.

Mambosasa amesema uchunguzi wa awali ulibaini kuwa eneo la tukio hakukuwa na viashiria vyovyote vya kujitetea wakati wa tukio na kwamba mwili wa marehemu hakukuwa na jeraha lolote isipokuwa shingoni kulikokuwa kumefungwa kamba iliyotumika kujingonga.

Ametoa ufafanuzi huo leo Jumatano Julai 31, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema mnamo Julai 26 mwaka huu Polisi Kanda Maalum ya Rufiji walipokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa kijiji cha Mgoza, Mohamed Said (68), kwamba kumeonekana mwili wa mwanaume ukiwa unang’inia kwenye mti wa muembe na polisi walipofika waliukuta mwili huo ukionesha mhusika amenyinyonga.

“Julai 29, mwaka huu walipatikana ndugu wawili wa marehemu ambao ni Chumila Mwalimu mkazi wa Manyara na Jonathan Herman ambaye ni mfanyakazi mwenzake na marehemu ambao walifanikiwa kuutambua mwili na kueleza kuwa marehemu alitoka nyumbani kwake kwenda ofisini akiwa na dereva wake na baadae alimtuma dereva akamchukulie simu nyumbani kwake Kinyerezi na baada ya hapo marehemu alitoweka ofisini na kwenda kusikojulikana hadi alipogundulika amejinyonga,” amesema.

“Mnamo Julai 29, wafanyakazi waligundua kuwa marehemu aliacha notebook mezani kwake iliyokuwa na mgawanyo wa mali zake ambapo aliruhusu kati ya ng’ombe anaofuga wanne watumike katika msiba wake na pia simu aliyomtuma dereva iligundulika kuwa imeshafutwa kumbukumbu zote,” amesema.

Aidha amesema mwili wa marehemu ulihamishiwa hospitali ya Taifa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi na ilibainika kifo hake kilisababishwa kwa kujinyonga ambapo chanzo hakijafahamika mpaka sasa na upelelezi uaendelea.

“Mtu aliyeuawa mahali halafu akaeda kufungwa kuna vitu vinavyokosekana kwa mfano mtu anayejinyonga lazima aachie haja ndogo na kubwa kwababu ya nguvu ya roho kutoka na hivyo vyote vimekutwa aneo la tukio,” amesema Mambosasa.

Ombi la Rais Magufuli kwa kampuni ya ujenzi Njombe latekelezwa

$
0
0
Na.Amiri kilagalila-Njombe
Kampuni ya ujenzi wa barabara ya kichina China Henan international cooperation group co ltd (CHICO) inayotekeleza mradi wa barabara wa km 53.9 Njombe-Moronga kuelekea wilayani Makete mkoani Njombe.

Imeanza utekelezaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa pamoja na bwalo moja la chakula katika shule ya msingi ramadhani mjini Njombe kutokana na ombi la Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliloomba wakati wa ziara yake april 10 mkoani hapo mara baada ya Rais Magufuli kuombwa na wanafunzi wa shule hiyo wakati akiweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya  Njombe-Makete.

Waziri wa ujenzi Elias kwandikwa amefika na kukagua shughuli zinazoendelea katika ujenzi huo na kumshukuru mkandarasi kwa utekelezaji huo.

“Kwanza nimshukuru sana mheshimiwa Rais alivyoweza kulisukuma jambo hili na hatimaye tumepata huu mradi  lakini pia na hawa wenzetu wa Chico kwa haraka wameanza utekelezaji kwa kweli mimi ninashukuru sana”alisema Kwandikwa

Lusekelo kijalo ni injinia wa kampuni hiyo amesema ujenzi wa majengo hayo unategemewa kukamilika kabla ya mwezi mmoja na nusu kuisha huku ujenzi huo ukigharimu karibu milioni 240 pindi utakapokamilika

Mwalimu mkuu wa shule hiyo Ephrahim sanga amesema mradi huo ni mkubwa katika shule hiyo kwa kuwa ina wanafunzi 1552 na kupelekea kuwa na uhaba wa vyumba vya madarasa.

“Mimi hapa nina wanafunzi 1552 wavulana 648 na wasichana 604 vyumba vyetu vya madarasa ni vichache sana havitoshelezi,ingawa tulikuwa na mpango wa kujenga shule nyingine mpya lakini mh.Rais ametutangulia kwa kweli tunashukuru tukaona tuanzie hapa ili tuweze kuigawa shule pawe na mikondo miwili”amesema mwl.Sanga

Wananchi Waishukuru TARURA baada ya kutatuliwa kwa kero yao ya muda mrefu kwa kujengewa Daraja la Chuma

$
0
0
 Na. Erick Mwanakulya
Wananchi wa Kata ya Chita Melela iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro, wameshukuru Serikali kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) baada ya kutatuliwa kwa kero yao ya muda mrefu kwa kujengewa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi ambalo linajengwa na TARURA chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID).

Hayo yameelezwa na wananchi waliojitokeza kushuhudia ujenzi wa Daraja hilolinalojengwa na Wahandisi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA),wakisaidiana na Mhandisi Mshauri Ebenezer Mollel pamoja na Mtaalamu wa UfundiJohn Hinderer kutoka Kampuni ya Mabey Bridge ya nchini Uingereza.

Wakielezea furaha yao juu ya ujenzi wa daraja hilo, wananchi hao wamesema kuwa wanaishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwajengea daraja maana walikuwa wanapata shida kubwa hapo awali katika kusafirisha bidhaa zao na kupata huduma mbalimbali za kijamii kwani walikuwa wanatumia mtumbwi kuvuka Mto ambapo ni umbali takribani Km 1.5.

Kwaupande wake, Diwani wa Kata ya Chita Melela Mhe. Chelele John amesema, Serikali ya Awamu ya Tano inastahili kupongezwa kwa maana Daraja hilo ni kiungo muhimu katika uchumi wa Kata yake pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kwa maana vyanzo vya mapato katika Kata za Mlimba, Chita, Mgeta, Mangula pamoja na Mchombe vitakusanywa kwa urahisi kutokana na uwepo wa daraja hilo.

“Tulikuwa tunatumia mtumbwi kuvuka Mto na wananchi walipata adha kubwa katika Kijiji chetu kwani kufikia huduma za kijamii ilikuwa changamoto kubwa, leo hii naona Wahandisi wa TARURA wapo hapa katika ujenzi wa Daraja hili, hii inadhihirisha kuwa Wakala upo katika kuhudumia wananchi ipasavyo nasi tunawaunga mkono”, alisema Diwani huyo.

Naye, Mratibu wa TARURA Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Mpinzile amesema Daraja la Chuma (Mabey Bridge) la Mto Kihansi limewekwa baada ya kutengeneza barabara ya Chita Melela yenye urefu wa Km 11.5 na litakuwa mkombozi kwa wananchi wa Chita kutokana na shida wanayoipata wakati wa mvua na kwamba Wakala utaendelea kuikarabati Barabara hiyo hadi kuunganisha Kata ya Mlimba ili kuwarahisishia wananchi kufanya shughuli zao za kila siku.

Pia, amewasihi wakazi wa Chita kutunza miundombinu ya Barabara pamoja na Daraja kwani gharama kubwa zimetumika katika ujenzi wa Daraja hilo.

Daraja la kisasa la Chuma (Mabey Bridge) ambalo limegharimu zaidi ya shilingi milioni 700 ni moja kati ya kazi za Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) katika kuboresha Barabara na kufanya matengenezo pamoja na ujenzi wa Madaraja ili kuwawezesha wananchi kufanya shughuli zao za kiuchumi.

Daraja hilo linalenga kutatua kero ya kudumu kwa wananchi wa Chita Melela kutokana na Madaraja ya hapo awali kusombwa na maji pale mvua zinaponyesha na linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.
Muonekano wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro baada ya kukamilika kwa ujenzi wa awali ambapo uzinduzi rasmi wa Daraja hilo utafanyika hivi karibuni.
Daraja la awali la wananchi wa Kata ya Chita Melela lililopo Mto Kihansi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro, ambalo limekuwa likitumiwa na wakazi maeneo hayo kabla ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutengeneza Daraja jipya la Chuma (Mabey Bridge) chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID).

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  0759208637   /  0620510598

Maadhimisho Na Maonesho Ya Nne Ya Wiki Ya Viwanda Ya Jumuiya Ya Maendeleo Ya Kusini Mwa Afrika (SADC)

Makusanyo Ya Kodi Kwa Kipindi Cha Mwaka Wa Fedha 2018/19

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya jumla ya TZS 15.9 trilioni kati ya lengo la TZS 18 trilion kwa mwaka wa Fedha 2018/19 kuanzia tarehe 1 Julai 2018 hadi 30 Juni 2019. Aidha katika robo ya nne ya mwaka huo wa fedha yaani, mwezi Machi hadi Juni 2019, TRA ilikusanya TZS 1.1 trilioni, TZS 1.2 trilioni, na TZS 1.5 trilioni kwa mwezi Aprili, Mei, na Juni, mtawalia. Kwa namna ya kipekee kabisa, TRA inawashukuru walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kwa ushirikiano.

Ikumbukwe kwamba, katika mwaka huo wa fedha, Serikali ilianzisha Mfumo wa Stempu za Kodi za Kielektroniki (ETS) ambao utekelezaji wake umefanyika kwa awamu mbili (2). Awamu ya kwanza, ilihusisha bidhaa za sigara, mvinyo, pombe kali, bia na aina zote za vileo. Awamu hii ya kwanza iliyoanza kutekelezwa tarehe 15 Januari 2019 imeendelea vizuri na maandalizi ya awamu ya pili ya utekelezaji wa ETS inayojumuisha bidhaa za vinywaji baridi, maji, juisi, na CD/DVDs yamekamilika. Hivo mfumo huu wa ETS kwa awamu hii ya pili, unatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 1 Agosti, 2019.

Lengo kuu la kubandika stempu hizi za kielektroniki ni kuongeza usimamizi na ufanisi wa ukusanyaji wa Ushuru wa bidhaa ikiwa ni pamoja na kupata taarifa sahihi za uzalishaji viwandani ili kukusanya mapato stahiki.  

Ni matumaini ya TRA kuwa, wazalishaji, waingizaji, wasambazaji, wauzaji wote wa bidhaa zinazotozwa ushuru wa bidhaa pamoja, na umma kwa ujumla wataendelea 
kutoa ushirikiano kwa TRA ili kufanikisha utekelezaji wa mfumo huu kwa kila mmoja kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo.

“Pamoja Tunajenga Taifa Letu”
Richard M. Kayombo
KAIMU MKURUGENZI WA HUDUMA NA ELIMU KWA MLIPAKODI

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  0759208637   /  0620510598

Wananchi 144 Jijini Dodoma Wakabidhiwa Hatimiliki Kwa Masharti Nafuu.

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amekabidhi hati ya viwanja kwa wananchi 144 wa Kata ya Tambukareli ambao maeneo yao yalitwaliwa na Serikali.

Kunambi amekabidhi hati hizo leo Julai  31,2019  kwa wananchi hao ambao wamekuwa wakihangaika takriban miaka mine hadi sasa. 

 Kunambi amefafanua kuwa  Halmashauri ya Jiji la Dodoma itahakikisha kila Mwananchi anapata haki yake kama ambavyo Rais Dk John Magufuli amekuwa akisisitiza kuwatetea wanyonge.

” Leo hii hapa kuna zoezi la kutoa viwanja kwa wananchi ambao ni wahanga wa maeneo yao ambao awali inadaiwa yalitwaliwa na iliyokua mamlaka ya ustawishaji Makao makuu na kuwaacha ndugu zetu hawa wakiwa hawana maeneo.

” Kwa muda mrefu kumekua na malalamiko ya muda mrefu ya wananchi na sisi kama Jiji tulifanya tathimini ya jumla na kuona ndugu zetu hawa wana haki ya kulipwa fidia maeneo yao na hivyo leo tumemaliza kero yao ya muda mrefu kwa kuwagaia viwanja bure na watakacholipia wao ni zile tozo za kawaida za kikatiba,” amesema Kunambi. 

Kunambi amesema katika mwaka  2018 wa Fedha tayari wameshatoa hati miliki 5000 na kuwa Jiji la kwanza Nchi nzima ikifuatiwa na Ilemela jijini Mwanza
.
” Ili tuweze kumaliza matatizo yote Dodoma basi Jiji linapaswa kutoa viwanja kwa mtindo huu wa leo kwa viwanja 5000 ambavyo vitatugharimu Shilingi Bilioni nne kwa hali ya kawaida sawa na kujenga vituo    vya afya 8. 

” Leo hii hawa wananchi ambao wako 144 tumewapa viwanja bure kwa maana watalipa tu zile gharama za kisheria takribani laki saba kwa kiwanja ambacho angeweza kulipa Shilingi Milioni saba. Hii ni kuonesha jinsi gani Serikali ya Dk Magufuli inatetea haswa wanyonge,” amesema Kunambi. 

Hata hivyo Kunambi amesema badala  ya Mwananchi kutoa gharama ya Tsh. milioni saba  anapunguziwa na kutoa  Laki saba pekee  kwa kiwanja na utoaji wa fedha hizo ni kwa masharti nafuu kutoa kwa awamu ndani ya miezi 6.

Kwa upande wake Diwani wa Kata hiyo, Juma Mazengo akizungumza kwa niaba ya madiwani    jiji la Dodoma amemshukuru Mkurugenzi wa Jiji kwa namna alivyolivalia njuga suala lao na kuweza kumaliza kero ya wananchi wake ambao wameteseka kwa miaka minne.

” Nimshukuru Mhe Rais kweli tumeona jinsi gani anatetea wanyonge. Hii inaonesha jinsi gani anaziishi ahadi zake alizowaahidi wananchi wakati wa kampeni, tunayo furaha sana na hakika tumeona heshima tuliyopewa na Serikali yetu,”amesema Mhe. Mazengo.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Awataka Wadau Wa Mazingira Kutekeleza Sheria,kanuni,na Taratibu Za Mazingira.

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
MAKAMU wa Rais SAMIAH SULUHU HASSAN amewataka wadau wa mazingira kutekeleza Sheria,Kanuni na maandiko ili kuhimiza utunzaji wa rasilimali misitu na kurahisisha upatikanaji wa rasilimali za maji. 

Akizindua jukwaa la maendeleo endelevu kuhusu usimamizi bora wa misitu kwa upatikanaji wa rasilimali maji endelevu leo jijini Dodoma Makamu wa Rais amesema misitu ndio chanzo kikubwa cha rasilimali maji hivyo isipotunzwa na kusimamiwa vizuri watakuwa wanahatarisha upatikanaji wa maji kwa matumizi ya kijamii,kibiashara na kuimarisha mazingira. 

Ametaja mambo yanayosababisha athari kubwa kwa uhai wa rasiliamli maji kuwa ni kilimo kisichokuwa endelevu,ujenzi holela,uchomaji mkaa,ukataji kuni,uvunaji haramu wa magogo na ufugaji usiozingatia kanuni. 

Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira GEORGE SIMBACHAWENE amesema haridhishwi na hali ya mazingira ilivyo na kuwataka wadau hao kupeleka fedha katika mazingira yanayoharibika badala ya kutumia kwenye makongamano. 

Kwa upande wake mkuu wa Mkoa wa Dodoma dokta BINILITH MAHENGE amesema ni vyema jamii ikijikita katika kulinda na kutunza mazingira na kwa viongozi kutekeleza yale wanayoazimia. 

Naye mkuu wa taasisi ya uongozi profesa JOSEPH SEMBOJA amesema  sekta ya maji na misitu ni muhimu hivyo ni vyema sera, mikakati na taasisi zinazohusu sekta hiyo  zikafungamana ili ziweze kufnaya kazi kwa ufanisi.
 
Jukwaa la maendeleo endelevu lilianzishwa mwaka 2012 ili kuwakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya maji na misitu ili waweze  kujadili mpango wa maendeleo endelevu.

Waziri Mkuu Majaliwa Akagua Maandalizi Ya Mapokezi Ya Wajumbe Wa Mkutano Wa Sadc Kwenye Kiwanja Cha Ndege Cha Julius Nyerere

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua jengo la tatu la abiria kwenye kiwanja cha ndege cha Mwalimu Nyerere ili kuona maandilizi ya mapokezi kwa wajumbe wa mkutano wa SADC.

Akizungumza na watendaji wa Serikali pamoja na Kamati ya maandalizi uwanjani hapo leo jioni (Jumatano, Julai 31, 2019), Waziri Mkuu amesema maandalizi ni mazuri isipokuwa kwa kasoro chache zilizobakia.

“Nimepita VIP hakuna shida. Pale terminal 2, sehemu ya Uhamiaji iko vizuri, uchunguzi wa afya nayo iko vizuri, lakini vyoo inabidi vibadilishwe haraka sana. Vile vyoo pale nje vimechoka, vibadilishwe mara moja, siyo tu kwa ajili ya ugeni, bali ni kwa faida yetu pia,” amesema huku akimwagiza meneja wa uwanja huo, Bw. Paul Lugasha aharakishe zoezi hilo.

Katika jengo la tatu la abiria kwenye uwanja huo, Waziri Mkuu amekagua eneo ambalo viongozi wakuu wa nchi watashukia, watakagua gwaride la heshima na kuangalia vikundi vya ngoma. Pia amekagua vyumba ambavyo watapumzikia kabla ya kuelekea mjini.

Amesisitiza kuwa usafi wa barabarani bado hauridhishi sababu kuna mawe, udongo na michanga kwenye barabara kuu ya kutoka uwanja wa ndege hadi mjini. “Tulikubaliana kuwa zile bustani ziboreshwe, vyuma vya barabarani vitengenezwe lakini hata leo nimepita kwenye fly-over, bado kuna mawe na michanga, hata sijui vinatokea wapi,” alisema.

Amewataka wahusika waweke banners za kutosha za aina mbalimbali na picha za wanyama kutani, uwanjani hapo ili kuonesha kwamba kuna mkutano mkubwa unafanyika hapa nchini.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amewataka Watanzania watumie fursa ya uwepo wa mkutano huo mkubwa kuendesha biashara zao na ujasiriamali.

“Ziko fursa nyingi za uwepo wa mkutano huu. Kila mmoja atumie nafasi hii kuweza kuongeza na kuboresha kazi yake inayomletea uchumi,” amesema.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,       
JUMATANO, JULAI 31, 2019.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORISIS; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wala kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-45

SUNUPER;   Hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa ,  matatizo haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguruma na kujaa gesi hatimae kinyesi kuwa km cha mbuzi, ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia nidawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

ONDOA MATATIZOYAKO YOTE  ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,  kurudisha mali iliyopotea au kuibiwa 

Kwahuduma na msaada wasiliana na DR. GALIMBO  0759208637   /  0620510598

Waziri wa Madini Dotto Biteko Ataka Soko la Madini ya Chumvi Lianzishwe Kigoma

$
0
0
Waziri wa Madini Dotto Biteko ameiagiza Ofisi ya Madini Mkoani Kigoma kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Uvinza kuona uwezekano wa kuanzisha soko la madini ya chumvi Wilayani humo ili kutoa nafasi kwa wakazi hususani wa kipato cha chini kunufaika na rasilimali hiyo inayopatikana kwenye maeneo yao.

Maelekezo hayo yametolewa kufuatia maombi ya wananchi wa halmashauri hiyo kulalamikia ukosefu wa soko la kuuzia bidhaa hiyo na kuiomba Serikali kufanya utaratibu wa kulifungua kuwawezesha kufanya biashara yao mahali salama.

Biteko alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na uongozi wa Kiwanda cha Chumvi Uvinza alipokitembelea baada ya kufanya mazungumzo na wananchi ambao pamoja na mambo mengine, walilalamikia malipo duni kwa wafanyakazi wa kiwanda hicho.

Aliutaka uongozi wa kiwanda hicho kujadili na kufikia uamuzi wa kuongeza ujira kwa wafanyakazi hao hadi kufikia Agosti mosi.

Wananchi pia walilalamikia uongozi wa kiwanda hicho kuuza chumvi inayozalishwa hapo kwa bei kubwa inayowafanya wafanyabiashara kupata faida kidogo.

 Biteko aliutaka uongozi wa kiwanda hicho na wachimbaji wengine wa chumvi wilayani humo, kupunguza bei ya bidhaa hiyo ili kuiwezesha jamii inayowazunguka kunufaika na uwepo wa chumvi katika mji wao.

Alisema mtu mwenye kurekebisha bei ya chumvi kwa manufaa ya wafanyabiashara wadogo ni mwekezaji mkubwa.

“ifanye jamii hii iugue siku ukiwa haupo, ifanye jamii ikukumbuke kwa mema yako,” alisema Biteko.

Pia aliutaka uongozi wa Halmashauri ya Uvinza, Ofisi ya Madini ya Mkoa wa Kigoma pamoja na uongozi wa kiwanda kukutana kujadili mahali patakapofaa kuanzisha soko la madini ili kuwaondolea adha ya soko la chumvi wananchi wa Uvinza.

Kufuatia malalamiko ya wananchi wa Uvinza ya kutozwa Sh 500 ya ushuru kwa kila kilo 25 za chumvi, Biteko aliiagiza halmashauri hiyo kufuta tozo hiyo na kueleza kuwa haipo chini ya mamlaka yake na hivyo haitambui.

Katibu wa Wachimbaji Wadogo wa Wilaya ya Uvinza,  Hamisa Kambi, alisema moja ya changamoto yao ni maeneo yao kuvamiwa, ukosefu wa vitendea kazi,  halmashauri kutowapa kipaumbele wamiliki wa leseni kwenye tenda za Serikali na kuomba kurahisishwa kwa utolewaji vibali vya kusafirisha madini nje ya nchi.

Waziri Lukuvi Atatua Migogoro Mtaa Kwa Mtaa Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amefanya ziara katika maeneo ya Kigogo na Msimbazi Center jijini Dar es Salaami na kurejesha kiwanja cha Bwa. Ramadhan Sudi Balega  kilichotapeliwa na mtu ajulikanaye kama Bw. Macha  katika eneo la Kigogo.

Waziri Lukuvi amerejesha kiwanja hicho kutokana na mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka Kumi kutokana na kuwepo na utapeli katika eneo hilo huku akisisitiza kuendelea kupambana na matapeli wa ardhi popote walipo kwani Wizara yake haitokubali wanyonge kudhurumiwa katika kipindi chake chote cha uongozi.

Mh. Lukuvi amerejesha Hati ya jengo lake na kuchukua uamuzi wa kutengua uteuzi wa msajiri wa Hati ambaye alifanya makosa ya kubadili hati kutoka kwa Ramadhan kwenda kwa Bw. Macha huku akijua kufanya hivyo ni kunyume cha utaratibu na swala hilo linatafsiriwa kuwa ni kitendo cha utapeli.

‘’Nataka kuwapa matumaini wananchi wote walioonewa, haki yako itachelewa tu lakini ipo siku utarudishiwa haki yako nataka kuwapa onyo watu wote ambao wanafikiri wanaweza kunyan’ganya haki ya masikini yoyote alafu Serikali isiwaone watambuwe kwamba serikali ipo macho na inashughurikia migogoro yote’’. Amesema Waziri Lukuvi

Hata hivyo Waziri Lukuvi amewataka wananchi kutoa ushirikianao kwa kuripoti matapeli  na wadanganyifu wote waliyomo ndani ya Serikali ama nje ya Serikali ili hatua kali zichukuliwe dhidi yao kama ilivyofanywa kwa msajili wa Hati aliyetenguliwa kutokana na vitendo vya kujihusisha na utapeli wa ardhi.

Kwa upande mwingine Waziri Lukuvi ametembelea eneo la msimbazi center lenye mgogoro wa muda mrefu kati ya kanisa katoliki na mmiliki wa kituo cha mafuta cha Victoria Bw. Harod Exavel ambapo eneo hilo limeonekana kuwepo na Hati mbili katika eneo moja hali hii inatokana na Kanisa kuwa na Hati iliyoipata tangu Mwaka 1965.

Hali hii inatokana watendaji wa Halmashauri ya Ilala kupitia moja ya vikao vyake  walifanya makosa na kumpa Hati Bw. Huweli ambapo Mwaka 2009, hivyo Bw. Huweli alimuuzia mmiliki wa Victoria eneo ambalo tayari Wizara  ilishalifuta hati hiyo

Aidha Waziri Lukuvi amefafanua kuwa, kwa mujibu wa sheria ni kosa kumilikisha Hati juu ya hati nyingine au mchoro wa upimaji juu ya mchoro mwingine na kama ikitokea kufanya hivyo ni lazima Yule mwenye hati ya awali arurudishiwe kwani kuna fomu maalumu ya Serikali ( Surrender form) inajazwa na ndipo utaweza kuingia kwenye ardhi yenye hati kuipima na kuipanga matumizi.

Hata hivyo Waziri Lukuvi amewataka kukutana na pande zote mbili kati ya Kanisa Katoliki na Mmiliki wa kituo cha mafuta cha Victoria siku ya Ijumaa Septemba 2, 2019 saa tano asubuhi ofisini kwake Ilala Jijini Dar es Salaam ili kujadili namna bora ya kuweza kuutatua mgogoro huo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi 01 August

Katibu Mkuu CCM Ammwagia Sifa Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula....Atoa Onyo Kwa Wabunge Wazembe

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally amesema hatashangaa kuona mbunge wa jimbo la Ilemela ambaye ni Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipita bila kupingwa katika uchaguzi mkuu ujao 2020 kutokana na kazi kubwa aliyoifanya ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.

Dkt Bashiru alisema hayo tarehe 30 Julai 2019 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza katika mkutano Mkuu wa Jimbo la Ilemela kuelezea utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi kama ilivyoahidiwa na Mbunge wa Jimbo hilo wakati wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015.

Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Mapinduzi alisema hakuna kumnadi tena Dkt Angeline Mabula kwa kuwa anazo sifa zinazomuwezesha kutetea kiti chake na yeyote anayetaka kuwania nafasi katika jimbo hilo ajue kiti hicho kishakaliwa pamoja na kata zake 19.

Alionya Wabunge wa CCM waliozembea kufanya ziara za kutatua kero za wananchi  pamoja na kufanya vikao kwenye majimbo yao kuwa hawatakuwa na ulinzi wakati wa kinyanganyiro cha kupendekeza majina ya kuwania nafasi hizo na kusisitiza kuwa kipaumbele kitatolewa  kwa  wabunge waliokuwa wakichapa kazi.

Aliwaaambia wana Ilemela kuwa, kuna tofauti kubwa sana ya kimaendeleo wakati jimbo la Ilemela lilipokuwa chini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na sasa linavyoshikiliwa na Chama cha Mapinduzi.

Rais Magufuli Kuzindua Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere terminal 3 Leo

$
0
0
Rais John Magufuli leo Alhamisi Agosti Mosi, 2019, anatarajia kuzindua mradi wa upanuzi wa Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere la terminal 3, ambao umetekelezwa kwa miaka6 kwa gharama ya Sh788.6 bilioni.

Mradi huo ulianza kujengwa 2013 na awali ulipangwa kutekelezwa kwa Sh705.3 bilioni lakini kutokana na kubadilika kwa taratibu za kikodi, mchoro wa mradi (Design) na gharama ya mradi huo iliongezeka kwa Sh85.3 bilioni.

Wakati mradi unaanza ulitarajiwa kuwa ungekamilika Desemba 2017, baadaye ukaongezewa mwaka mmoja hadi Desemba 2018, lakini haukukamilika badala yake umekamilika Mei, mwaka huu.

Kampuni iliyotekeleza mradi huo ni BAM International ya Uholanzi ambayo ndiyo iliyofanya kazi za kikandarasi na Arab Consulting Engineers (ACE) ya Misri, ilifanya kazi za ushauri.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images