Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Viungo vya Binadamu Vyanaswa Bunju Dar es Slaam

$
0
0
JESHI la Polisi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar limekamata viungo mbalimbali vya binadamu vilivyowekwa kwenye mifuko ya plastiki na kuhifadhiwa katika machimbo ya kokoto ya Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura  ambapo  amesema  kuwa  jeshi  la  polisi  limeanza  uchunguzi 

Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 22 July 2014

$
0
0
      Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe  22  July  2014

Polisi Yatoa TAMKO Kuhusiana na Viungo vya Binadamu vilivyokamatwa Jana jioni jijini Dar.....Bofya hapa Kumsikiliza Kamanda wa Polisi

$
0
0
Polisi wa kituo kidogo cha polisi Usalama kilichopo maeneo ya Bunju A Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana usiku walilazimika kufyatua mabomu ya machozi pamoja na risasi kutawanya kundi kubwa la wananchi waliokuwa wamekizunguka kituo hicho kwa madai ya kutaka kuwachukuwa watuhumiwa wanaoadaiwa kukutwa na shehena ya viungo vya binadamu.   Tukio hilo lililoibua hofu kubwa

Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda

$
0
0
Jeshi la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa amekufa chumbani kwa dereva huyo.    Tukio hilo ambalo limezua gumzo kubwa wilayani humo lilitokea juzi saa 12:00 jioni katika eneo la New Mwanga wilayani humo na mtuhumiwa akidaiwa kukutwa akiwa amelewa chakari.   Mkuu wa Wilaya ya

Sakata la Viungo vya Binadamu vilivyonaswa Dar: Watu 8 Watiwa Mbaroni

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam,Suleiman Kova akizungumza na Vyombo vya habari mbalimbali mapema leo makao makuu ya jeshi la polisi jijini Dar kuhusiana na sakata la viungo vya binadamu vilivyokamatwa jana ambapo Kamanda Kova amesema kuwa watu wanane wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo. Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na

Maisha ya Ray C Hatarini.....Wavuta Bangi waiwinda Roho yake Usiku na Mchana

$
0
0
Wiki  za  hivi  karibuni  mwanamuziki  wa  bongo  fleva  ambaye  pia  ni  mwanaharakati  wa  kupinga  matumizi  ya  dawa  za  kulevya  Rehema  Chamila  'Ray C'   amepatwa  na  misukosuko  mingi  ambayo  haikuwa    mbali  sana  na  mahusiano  na  dawa  za  kulevya.... Ni  wiki  mbili  zilizopita  tangu  mwanadada  huyo  achezee  kichapo  toka  kwa  mwanamuziki  wa  bongo  fleva  Rashid 

Vinara wa Mabomu Wakamtwa wakiwa na Mabomu 7, Risasi 6 na Baruti jijini Arusha

$
0
0
JESHI la polisi hapa nchini limefanikiwa kuwatia mbaroni vinara wa milipuko ya mabomu hapa nchini, Yusufu Ally (30) na mkewe Sumaina Juma (19), wakazi wa Sombetini, wakiwa na mabomu ya kurusha kwa mkono aina ya Gurnet saba, risasi sita za shotgun, baruti, mapanga mawili na bisibisi moja.  Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI),

Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 23 July 2014

$
0
0
                    Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  23  July  2014

Wema Sepetu: Ugonjwa wa Ngozi Umeniharibu

$
0
0
MISS Tanzania 2006/07 Wema Sepetu amesema ugonjwa wa ngozi ulioshambulia sehemu ya shavu lake la kushoto umeharibu urembo wake na kumfanya ashindwe kutoka. Akizungumza kwa huzuni, Wema alisema hakutegemea kama tatizo hilo lingekuwa kubwa, kwani lilianza kama kipele kidogo ambacho baadaye sehemu kubwa ilivimba na kuharibu mwonekano wake.   “Ulianza muwasho, kikawa kipele kisha

Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi.....Mafanikio yetu yanatokana na Sapoti ya Wanaume au Wapenzi Wetu

$
0
0
STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko la filamu limeharibika.   “Filamu kwa Tanzania hakuna soko, walau wanaume, si wanawake, huwezi kunilinganisha mimi na Ray… Mimi kama si kuwa mwanamke, sidhani kama leo hii bado ningekuwepo katika filamu, kwa sababu kwa

Kifo cha mke wa askari Polisi aliyefia kwa dereva wa bodaboda bado ni UTATA

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga Wingu zito limegubika kifo cha mke wa askari polisi wa wilayani Mwanga, Kilimanjaro aliyefia chumbani kwa dereva wa bodaboda. Uchunguzi wa awali wa polisi unadai kuwa mwanamke huyo alilala chumbani huko usiku mzima wa kuamkia Jumapili, siku ambayo maiti yake iligunduliwa saa 12 jioni.    Uchunguzi huo pia unadai kuwa mtuhumiwa ndiye

Wakuu wa shule za serikali zilizofanya vibaya katika matokeo ya Form Six wapewa mwezi mmoja kujieleza.....Miongoni mwa shule hizo ni Tambaza na Iyunga

$
0
0
Wakuu wa shule za serikali zilizofanya vibaya kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu  pamoja na Maofisa elimu wa Mikoa wamepewa muda wa mwezi mmoja ili kubaini chanzo cha  shule zao kuwa na ufaulu hafifu.   Baada ya kubaini chanzo hicho cha ufaulu hafifu wanatakiwa kutoa taarifa kwa katibu mkuu Tawala za mikoa na serikali za mitaa-TAMISEMI.   Miongoni mwa shule

Nyumba Nne zachomwa moto kwa tuhuma za Ushirikina

$
0
0
Wakazi wa kijiji cha Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamechoma nyumba nne za familia moja yenye zaidi ya watu ishirini na kuteketeza vyakula na mali nyingine zenye zaidi ya shilingi milioni mia moja baada ya kumtuhumu mmoja wa wanafamilia kwa ushirikina.   Mwenyekiti wa kitongoji cha mkoronga katika kijiji cha nguruka Matei Charles ambaye alimuokoa mtuhumiwa wa uchawi

Is This Diamond’s Response To Ali Kiba?

$
0
0
The ongoing ‘beef’ between Bongo musical giants Ali Kiba and Diamond Platnumz seems to be here to stay. They say they don’t have a problem with each other but is hard to believe them because their actions say otherwise.  Cinderella hitmaker Alikiba appeared in a promo for the popular Sporah show that is scheduled for Tuesday where he declared that he did not have any problem with the ‘

Diamond Platnumz Confirms Wedding With Wema Sepetu

$
0
0
Tanzanian superstar DiamondPlatnumz is enjoying the fruits of his hard work in his musical career but that does not mean that he is putting his personal life on a hold. He has been moving from one country to another to attend award ceremonies, hold down performances and work on his musical projects and it is safe to say everything is working out great for him.  His movie actress and

Mabweni ya Shule yateketea kwa Moto Monduli

$
0
0
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Erikisongo wilayani Monduli wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya mabweni yao kuteketea na moto leo asubuhi.   Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ulizuka wakati wanafunzi hao wakiwa darasani. Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea.   Kikosi cha Zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati

Kilichoendelea katika kesi ya Mbasha Mahakamani jana July 23 2014: Mbasha kakubali kauli 2 kati ya 4 zilizo katika shitaka lake

$
0
0
KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Flora Mbasha ambae ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32), ilitajwa tena July 23 2014 katika mahakama ya wilaya ya Ilala ambapo Mbasha amesomewa tena mashataka yake huku akikubali sentensi mbili tu kati ya nne zilizosomwa.  Akisoma hoja hizo mbele ya hakimu Wilbert Luago, mwendesha mashtaka wa serikali Nasoro Katunga

Miaka Miwili ya Ndoa: Aunt Ezekiel aanza kusaka Mtoto

$
0
0
Mwigizaji nguli katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel (pichani) anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Aunt, siku si nyingi staa huyo atakwenda kuweka makazi ya muda kwa mumewe Dubai hadi atakapopata ujauzito.   Akizungumza na Amani hivi karibuni, rafiki huyo ambaye aliomba jina lake

Tiba na Kinga ya UKIMWI Yanukia......Watafiti wagundua dawa ya kuangamiza kabisa virusi vya Ukimwi ( VVU)

$
0
0
Watafiti katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani.    Dawa yao inaweza kutumika kwa tiba ya wanaoishi na VVU na kinga kwa wale ambao bado hawajaambukizwa.   Mmoja wa watafiti hao, Dk Kamel Khalili aliwaambia waandishi

Sakata la Viungo vya Binadamu kutupwa Dar: Chama cha Madaktari chataka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) Kifungwe

$
0
0
Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU)  sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.   Tamko hilo la chama limekuja huku mamlaka mbalimbali zinazohusika na usimamizi wa karibu wa vyuo vikuu vya matibabu zikikiweka chuo hicho kiporo,  kusubiri uchunguzi wa tuhuma zinazokikabili za kutupa viungo vya binadamu
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images