Inawezekana likawa jambo nadra kutokea kwa sasa, lakini enzi za uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere lilitokea.
Ni baada ya mwasisi huyo wa Taifa kuamua kwa hiari
kupunguza mshahara wake kwa asilimia 10 ili kupunguza pengo baina ya
maskini na wale wenye kipato cha juu, uamuzi ambao ulifuatwa na
aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakati huo, Edwin Mtei.
Mwaka 1968,
Mwasisi wa CHADEMA Afunguka....."Nililipwa mshahara sawa na Mwalimu Nyerere"
↧
↧
Rais Kikwete: Hatufikirii Vita na Malawi.....Awataka Wananchi kutumia maji ya Ziwa Nyasa na kula Samaki kwa Raha zote
RAIS Jakaya Kikwete amesema kamwe Tanzania haitatumia nguvu kumaliza mvutano kati yake na Malawi kuhusu mpaka kati ya nchi hizo, huku akiongeza kuwa, Tanzania haioni mantiki ama busara yoyote kuingia vitani na nchi yoyote jirani kwa sababu yoyote ile.
Alitoa uhakikisho huo kwa Malawi na nchi nyingine jirani wakati alipohutubia mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na mamia kwa mamia ya
↧
"Hata kama ni Mwezi wa Ramadhani, haki ya Tendo la Ndoa lazima Nipewe"....Mume wa Jack Pantezel
Mume wa mcheza filamu za kibongo Jack Pantezel, Gadna Dibibi amesema kuwa mwezi mtukufu wa Ramadhani ni haki kwake kufanya jambo lolote kwa mke wake kwani wao ni wanandoa, hivyo hawawezi kujinyima haki yao ya msingi....
Dibibi amesema kuwa wamekuwa wakikutana na mkewe na kulimenya tunda tamu nyakati za usiku baada ya kufuturu lakini si
↧
Aunt Ezekiel: Sijawahi Mvulia Nguo Diamond na Sifikirii Kumtongoza
Wakati ikidaiwa kuwa mwanadada Aunt Ezekiel anamzunguka Wema Sepetu na kula Penzi la shemeji yake Diamond, sasa ameamua kufunguka na kudai kuwa kamwe hawezi kumsaliti Wema na kikubwa anachokiheshimu ni kwamba anajua Diamond ni mpenzi wa ndugu yake.....
Aunt alisema hajawahi kulala na Diamond, wala kumuomba kutoka kimapenzi kama watu
↧
Flora Mbasha kudaka Mimba: Gwajima Akimbia Nchi....Auza kila kitu, Familia Aificha....Waumini sasa kugawana mpaka mbao za Kanisa
Kufuatia sakata la Flora Mbasha na mumewe likumuhusisha moja moja kiongozi wa kiroho Mchungaji Gwajima, habari tulizozipata ni kwamba mchungaji huyo amekimbia nchi....
Habari toka chanzo cha kuaminika kilichopo ndani ya kanisa la mchungaji huyo ni kuwa Gwajima hivi sasa ameshauza karibia robo tatu ya mali zake na kwamba moja kati ya magari
↧
↧
Kitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii nchini,
mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude
Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri
kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo
wake kwa mwanadada huyo.
Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika:
"Huyu mdada
↧
Gazeti la MAWIO Lapelekwa Mahakamani
MKURUGENZI
Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Bw. Peter
Keasi, amefungua shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki
la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo Jabir Idrissa, akidai malipo ya
billioni mbili kama fidia kwa kumkashifu yeye pamoja na kampuni yake.
Kupitia
kwa wakili Mhe. Alloyce Komba wa kampuni ya uwakili ya Haki Kwanza,
Keasi
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 21 2014
Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 21 2014
↧
Walimu Wenye Digrii Mbioni kufundisha Shule za Msingi.....Rais Kikwete asema kufanya hivyo si kuwashushia Hadhi bali ni Mageuzi makubwa sekta ya Elimu
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza nia ya Serikali kutumia wahitimu wake wa vyuo vikuu, kufundisha shule za msingi huku akiwaweka sawa kwa kuwaambia kufanya hivyo si kuwashushia hadhi.
Hatua hiyo ya walimu wenye Shahada kuanza kufundisha shule za msingi tofauti na ilivyozoeleka, chini ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995, ni sehemu ya mageuzi makubwa, yanayotarajiwa kufanyika katika
↧
↧
CCM, CHADEMA Wamgombea Dude
Baada ya kutangaza nia ya kugombea ubunge, staa wa sinema Bongo,
Kulwa Kikumba ‘Dude’ amesema anapata wakati mgumu kwa kuwa vyama vikubwa
vya siasa vinamgombea..
Akizungumza na mwanahabari wetu, Dude alisema kuwa awali alikuwa
agombee kupitia Chadema, lakini baadaye CCM nao kupitia kiongozi mmoja
mwenye wadhifa mkubwa serikalini alimtaka agombee kupitia tiketi ya
chama hicho, jambo
↧
Ngumi Zapigwa ndani ya Kanisa la Moravian Dar.....Polisi Wapiga Mabomu, Waumini 29 Wakamatwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, jana limelazimika kutumia mabomu ya machozi na kuwatia mbaroni waumini 29 wa Kanisa la Moravian Usharika wa Kinondoni, Dar es Salaam baada ya kutokea vurugu za waumini kanisani hapo.
Akizungumza na Majira, Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alikiri jeshi hilo kuwatia mbaroni waumini hao na kusema kuwa, taratibu
↧
Binti aliyetumikishwa kwenye Madanguro China ahojiwa na Polisi kwa masaa 11
Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania,
limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China
ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini
humo.
Siku chache zilizopita, Mwananchi liliandika
mfululizo, makala kuhusu msichana Munira Mathias, (si jina lake halisi)
aliyetumikishwa kwenye madanguro nchini China, baada ya
↧
IPTL yaomba Mahakama Kuu Dar Imfunge Mdomo Kafulila
Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL)
imewasilisha maombi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba itoe
amri ya kumfunga mdomo Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David
Kafulila.
Kampuni hiyo imewasilisha maombi hayo siku chache
tu baada ya kumfungulia mashtaka ya kashfa mbunge huyo kwa kuituhumu
kujipatia Sh200 bilioni kutoka katika Akaunti ya Escrow ndani
↧
↧
Mtoto wa Miaka 8 Adaiwa Kulawitiwa na Mwendesha Boda Boda
Mtoto mwenye umri wa miaka nane anadaiwa
kulawitiwa na jamaa aliyetajwa kuwa ni mwendesha bodaboda.
Tukio hilo
lilijiri hivi karibuni mjini hapa ambapo katika maelezo ya mtoto huyo wa
kiume alidai kwamba, akiwa anatoka shule na mwenzake, njiani walisimama
wakawa wanaokota matunda aliyoyataja kwa jina la ntalali.
Alisema ghafla mtuhumiwa alitokea na kumtaka mtoto huyo ampeleke
↧
Kanisa Lafungwa baada ya Mchungaji wa kanisa hilo kufumaniwa Live na Mke wa Mtu akijiandaa kungonoka naye Ndani ya Kanisa
Mwanzoni mwa Mwezi July 2014, Mchungaji Michael Semeni wa Kanisa la Living Word Ministry lililopo Ukonga- Majumba Sita jijini Dar es Salaam alifumaniwa live akijiandaa kuvunja amri ya sita na muumini wake ambaye ni mke wa mtu ndani ya ofisi yake.
Mchungaji Semeni alinaswa
akiwa na mwanamke huyo aitwaye Erizabert Kisanda, mkazi wa jijini Mwanza
ambaye alifika Dar
↧
Waumini wa Kanisa la Anglikana Temeke jana nusura WAZIPIGE wakati wa ibada
Kiongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu Dk Valentino Mokiwa.
Waumini wa Kanisa la Anglikana la Watakatifu wote Temeke, jana nusura wazipige wakati ibada ikiendelea ambapo hali hiyo ilijitokeza baada ya kusomewa barua ya utambulisho wa Padri Samweli Kilango ambaye waumini hawamtaki kwa madai ya ufujaji wa fedha.
Baada ya kusomwa barua hiyo na Katibu wa Kanisa hilo, Hamuli
↧
Mtoto wa Miezi 7 ALAWITIWA na Baba yake Mzazi
Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.
Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati
ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini
baada ya madaktari kumfanyia uchunguzi walibaini kuwa mtoto hakuwa na
ugonjwa wa kuhara, bali alikuwa amelawitiwa.
Muuguzi wa hospitali hiyo ambaye hakupenda jina
lake litajwe, alisema walimpokea
↧
↧
Maajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Vita ya Urais Yashika Kasi.....Walimu Waunda MTANDAO Kumuunga mkono January Makamba.
Moto wa uchaguzi mkuu umezidi kupamba baada ya mtandao wa walimu
vijana nchini kujitokeza hadharani na kuahidi kumpigia kampeni Naibu
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba katika
safari yake ya kuwania urais.
Pia, mtandao huo uliahidi kuwafanyia kampeni
Makamba na vijana wenzake wote watakaojitokeza kuwania ngazi mbalimbali
za uongozi bila kujali itikadi za
↧
Vurugu ndani ya Kanisa la Moravian Dar: Waumini 29 waliotwangana NGUMI Jana Kanisani Wafikishwa Mahakamani Leo
Waumini wapatao 29 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kinondoni leo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya fujo hadharani
katika Kanisa la Moravian lililopo Mwananyamala-Msisiri ” A” Wilaya ya
Kionondoni.
Katika kesi hiyo iliyounguruma kwa muda wa saa mbilli imeelezwa kuwa
Julai 20 mwaka huu katika kanisa hilo lililopo eneo la Mwananyamala
Msisiri ‘A’ waumini hao
↧
More Pages to Explore .....