Vile vituko vya reja reja kutoka kwa Tanzanian star actress Elizabeth
Michael "Lulu" bado vinaendelea.
Habari mpya zinasema kuwa juzi Lulu
alienda kwenye seminar ya kuzungumza na wasanii wa Tanzania namna ya
kukuza sanaa ya nchini huku watoa mada wakubwa wakiwa mastaa wa Marekani
Terrence J, David Banner na Shaka Zulu...
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, lengo kubwa la Lulu kuhudhuria
Lulu Atia Team Kwa Kina Terrence J Kuisaka Namba Ya Simu Ya Justin Bieber
↧
↧
Kesi ya Mume wa Flora Mbasha Yapigwa Kalenda.....Bofya Hapa kuona kilichojiri Jana Mahakamani
Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel
Mbasha jana alipandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya
Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji.
Katika kesi hiyo, hakimu Wilbert Luago alilazimika
kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha
kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na
↧
Watuhumiwa 17 wa UGAIDI wafikishwa Mahakamani chini ya Ulinzi Mkali wa Magari 8 ya Magereza, FFU na Polisi-Raia
Watu 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.
Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana saa 7:30 mchana wakiwa chini ya ulinzi mkali.
Kulikuwa na magari mawili ya jeshi la Magereza, magari mawili yaliyokuwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na manne yaliyokuwa na askari
↧
Lori laparamia klabu cha Pombe ....Laua Watano papo hapo, Watatu ni ndugu wa familia moja na wawili waliosalia ni Mume na Mke
Vilio
na simanzi vimetalawa katika kitongoji cha Isimila old stone age cha
kijiji cha Ugwachanya wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa baada ya
watu watatu kufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa kwa kugongwa na
lori kwenye kilabu cha pombe za kienyeji.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha
kutokea kwa ajali hiyo juzi jioni baada ya lori hilo
↧
Ally Kiba Azungumzia Ugomvi wake na Diamond.....Bofya hapa kumsikiliza
Mtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka
Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni
kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki.
Wengi
wao wanasema kuwa Ally Kiba na Diamond Platnumz wana Bifu na kama lipo
watu wanatamani kujua chanzo cha hilo bifu na kwa sasa kama wana mpango
wowote wa kufanya kazi pamoja.
Ally Kiba kapatikana na
↧
↧
Irene Uwoya afunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu
Nyota wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya amefunguka juu ya tuhuma
za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu zilizoripotiwa na mitandao
mbalimbali ya habari nchini hivi karibuni.
Akizungumza exclusively nasi, Irene amesema kuwa
haelewi hizo tuhuma zimetoka wapi na wala hajui aanzie wapi kuzijibu
maana siyo yote yaliyoripotiwa ni kweli.
Tuhuma hizo zilidai kuwa, mwanadada huyo
↧
Maajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Taarifa kamili Kuhusu tukio la HAUSIBOI aliyempasua kichwa mtoto kisha kula ubongo wake na yeye Kujikata Uume Wake
Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa
ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3
kisha ubongo wake kuamua kuutafuna.
Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kuukata uume wake.
Hapa utawasikiliza mashuhuda wa tukio hili pamoja na
kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro wakiliongelea tukio hilo la kusikitisha.
↧
Wema Sepetu Amlipua Kajala, Kisa UNAFIKI
Wema Isaac Sepetu (25), amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu
wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni
mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani
↧
↧
Steve Nyerere: Natamani kuwa RAIS wa Tanzania
Mwenyekiti wa Club ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere' ndoto yake ni kuwa mmoja wa viongozi wa ngazi ya juu hapa nchini ikiwa ni pamoja na kuwa Rais kwani uwezo wa kuwaongoza watanzania anao.
Akizungumza na Mpekuzi, msanii huyo amesema kuwa kitendo cha kuchaguliwa kuwa katibu kata ya Bwawani, Kinondoni jijini Dar es Salaam
↧
Rayuu: Sikuenda KUROGA, Sumbawanga ni Nyumbani
Msanii anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Alice Bagenzi 'Rayuu' amesema amekuwa akisikia maneno ya chinichini kwamba ameenda Sumbawanga Kuroga....
Tetesi hizo za Rayuu kwamba ameenda Sumbawanga kuroga zimeanza kuvuma baada ya watu kuhoji kuwa jina lake linaonyesha yeye ni Mhaya, lakini chakushangaza amekuwa akienda Sumbawanga mara
↧
Chid Benz, Dudubaya, TID: Kama ngumi Piganeni na Matumla, Kaseba au Ckeka.... Mwanamke hapigwi, Msituachie Ngeu watoto wa wenzenu
Mwandishi: Joyce Kiria.
Ukatili wa kijinsia haukubaliki hata kidogo, wengine tunapambana
usiku na mchana kutokomeza vitendo hivi vya Ukatili na Udhalilishaji,
cha ajabu watu maarufu sasaivi wamechachamaa kuendekeza vutendo hivyo..
Mara Dudubaya kampiga Mke wake, mara Tid kamtukana RayC, Mara
Chidbenz kampiga mzazi mwenzake, mara Ezden kampiga mkewe, mara
Chidbenz kampiga RayC!!!!
↧
Shilole: Ntafunga Ndoa na Mziwanda niwafunge Midomo WANAFIKI
Msanii wa maigizo na muziki wa kizazi cha leo, Zena Mohammed 'Shilole' amekuja juu na kusema anashangazwa na habari zilizozagaa mjini kuwa yeye amekataliwa ukweni....
Akiongea na Mpekuzi, Shilole amesema: "Nashangaa watu wanasema eti nimekataliwa ukweni kisa umri wangu kuwa mkubwa kuliko wa mwanaume. Ninachokijua mimi umri haujalishi katika
↧
↧
CHADEMA Jimbo la Kigoma Kaskazini: Tamko kuhusu kuondoka kwa waliokuwa Viongozi ngazi ya Mkoa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kigoma Kaskazini
tunapenda kutoa taarifa kwa umma kutokana na sintofahamu inayotaka
kulazimishwa mbele ya jamii kuhusu uimara wa chama chetu mkoani Kigoma.
Tangu
jana na leo kumeenea taarifa zinazowahusu watu watatu, Jaffari
Kasisiko, Msafiri Wamarwa na Mama Malunga Masoud, ambao vyombo
mbalimbali vya habari vimeandika kuwa wamehama
↧
TV Station Ya Kimataifa Yamchukua VJ Penny Kutangaza Filamu Za Kitanzania.
Vipindi vya TV kuhusu filamu za kitanzania vinazidi kuongezeka kila siku
katika harakati za kuzidi kuitangaza tasnia ya filamu Swahiliwood.
Habari mpya ni kuwa mtangazaji maarufu nchini VJ Penny soon ataonekana
katika kipindi kipya kinachohusu filamu za kitanzania ambacho
kitaonekana katika kituo cha kimataifa kinachoonekana nchi za Afrika
mashariki na kati.
Mishe mishe za
↧
Masogange Azianiaka Tatoo zake za Tumboni
VIDEO Queen nambari moja Bongo Agness Masogange amepost picha katika mtandao wa kijamii akiwa na mpenzi wake kitandani ambaye hakumtambulisha jina wakiwa wamejichora tatoo hadi tumboni....
Masogange ambaye haishi vituko kila siku katika mitandao alitupia picha tofauti zikionyesha tatoo zilizomo mwilini mwake na kuwatakia watanzania Asubuhi njema
↧
Mr. Tanzania Amzimikia Jack Wolper......"Nakupenda Sana Kamdoli kangu"
Modo wa Tanzania anayejulikana kwa jina la Calisah ambaye amewahi kushiriki Mr.Tanzania 2013-2014 ameandika picha za kimahaba katika picha za msanii maarufu wa filamu, Jackline Wolper 'Gambe'...
"Umenifanya nisitamani mwanamke yeyote katika dunia hii.Nakupenda sana Wolper Gambe wangu coz i get everything from you.I love you kamdoli kangu, kichuna
↧
↧
Mabomu ya Machozi Yatumika kuwatawanya Wananchi waliovamia na kuanza kuchota mafuta kwenye lori la kubeba mafuta baada ya kupata ajali Mkoani Iringa.
Jeshi la polisi mkoani Iringa limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya
wananchi ambao walivamia na kuanza kuchota mafuta kwenye lori la kubeba
mafuta baada ya kupata ajali.
Ajali
hiyo imetokea jana eneo la msitu wa serikali wa Saohil wilayani
Mufindi kwenye barabara kuu ya Iringa –Mbeya ambapo watu wawili
walijeruhiwa kwenye ajali hiyo.
Polisi
wamelazimika kutumia mabomu
↧
Kahaba wa Tanzania Asimulia Jinsi alivyousambaza UKIMWI kwa Maelfu ya Wanaume
MWANAMKE mmoja wa Kitanzania aliyefanya ukabaha kwa miaka 18 katika miji mbalimbali ya Tanzania, likiwemo Jiji Kuu la kibiashara la Dar es Salaam na mingine ya Namibia, ameibuka na kueleza jinsi alivyotenda dhambi ya kusambaza Ukimwi kwa wanaume wakware.
Licha ya kukiri kufanya hivyo, akisema kwa siku alipanga hadi wanaume watano,tena bila ya kutumia kinga akisema alidhamiria kuusambaza
↧
Idd el Fitr kuswaliwa kitaifa Dar es Salaam.....Mgeni Rasmi ni Rais Kikwete
WAKATI Waislamu wakiwa ukingoni mwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, imefahamika kuwa, swala ya Idd el Fitr itafanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete.
Hayo yalisemwa juzi na Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum wakati wa futari iliyoandaliwa na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda kwa
↧
More Pages to Explore .....