MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka
kuwa, suala la wasanii wa muziki kurogana linamuumiza kichwa kiasi cha
kufikiria kuachana na kazi hiyo.
Akiongea na mwandishi wetu pasipo kuwataja wabaya wake, Shilole alisema hivi sasa ‘kesi’
za wasanii kurogana zimeshika kasi kuliko siku za nyuma na anashindwa
kuelewa ni kwa nini watu wanamuasi Mungu kwa
"WASANII TUTAZIDI KUPUKUTIKA MAANA TUNAROGANA SANA..NATAMANI KUACHA MUZIKI ILI NIYANUSURU MAISHA YANGU"....SHILOLE
↧
↧
OMMY DIMPOZ AMTANDIKA TUSI MAREHEMU NGWEA....ANADAI KUWA HAWEZI KUFA MASIKINI KAMA NGWEA NA AMECHOKA KUZIKA MASIKINI
KWELI asiye na adabu hakosi sababu ya kuharibu, mwenye mdomo mchafu
ni ada yake kutoa neno chafu, mwanamuziki chipukizi, Omar Faraji Nyembo
‘Ommy Dimpoz’, amedhihirisha kuwa ana kiwango cha juu sana cha dharau
kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele za haki.
Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.
Utamaduni wetu Tanzania na kama ilivyo kwa mafundisho ya dini kupitia
vitabu vinne
↧
DIAMOND PLATNUMZ AWAPONDA BARAZA LA SANAA LA TAIFA -BASATA
Diamond
Platnumz amelishukia Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA kuwa linaurudisha
nyuma muziki wa Tanzania kutokana na kutoruhusu kuanzishwa kwa tuzo
zingine za muziki nchini tofauti na Kilimanjaro Music Awards...
Akiongea
kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Diamond amesema hatua hiyo
inamfanya ahisi kuna kitu kimejificha ndani ya baraza hilo.“Kwanini
Tanzania tuna tuzo moja,
↧
VIDEO: MWANAMKE ANASWA AKIVUNJA AMRI YA SITA VICHAKANI HUKU AKIWA NA MTOTO MCHANGA MGONGONI
<!-- adsense -->
Mwanamke mmoja amenaswa akifanya uchafu porini huku akiwa na mtoto mchanga mgononi...
Tukio hilo la kusikitisha liliwanasa wawili hao wakiridhishana chini ya kichaka huku mtoto mchanga akionekana kulia kwa huzuni.....
Haijafahamika mara moja kama watu hao ni mtu na mume au ni wazinzi tu...!!!
VIDEO HAPO CHINI
↧
OBAMA AAHIRISHA SAFARI YAKE YA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA TANZANIA
Rais Obama ambaye ameamua kukatiza ziara yake ya kitalii Tanzania kwa ajili ya kushughulikia kwanza matatizo ya wananchi wake.
Magari ya kivita 56 ambayo yatatakiwa kumsindikiza Obama katika safari yake ya kitalii Tanzania
Askari walenga shabaha watakaokuwa wanamlinda na wanyama wakali
Meli ya kivita itakayokuwa ufukweni ikiwa na ndege za kivita na wafanyakazi wa dharura na wauguzi.
↧
↧
WATU WAFURIKA KWENYE SHOW YA LADY JAYDEE NDANI YA NYUMBANI LOUNGE
<!-- adsense -->
Hivi
ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga
jijini Dar es Salaam ambapo leo hii kuna bonge moja la show la Mwanadada
mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye
anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii
wanamuziki mbali mbali wamepanda jukwaani akiwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la
Mbeya Mjini
↧
MWANA FA AMEAMBULIA PATUPU.... HIZI NI PICHA NA VIDEO YA SHOW YAKE
Nilikua narudi mjini nikitokea Kigamboni kupumzisha akili. Sasa nikapita
pale opposite na iFM kucheki kama Mwana FA kala shavu.
FA katia huruma sana. Yaani mlangoni kulikuwa na wanafunzi wachache wa IFM ambao
walikua wakiingia kwa bei ya kandambili.
Jamaa wa mlangoni walikua wakiwabembeleza watu
wachukue tickets japo kwa 10,000/= lakini madent wa IFM walikomaa mpaka
kwa
↧
PICHA ZA SHOW YA LADY JAYDEE NYUMBANI LOUNGE.... WATU WALIJAA MPAKA WAKAANZA KUBEBANA
Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya
June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa
kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya
kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki.
Katika show hiyo, Lady Jaydee amesindikizwa na wasanii mbalimbali
wakiwemo Juma Nature, Sugu, Profesa Jay, Wakazi, Grace Matata na
↧
BABA AMKANA MTOTO KISA ANA NYWELE ZA KIARABU.....MAMA AKASIRIKA NA KUMTUPA, POLISI WAMTIA MBARONI
Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Khadija Idd
anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro akidaiwa kumtupa barabarani
mtoto wake mwenye umri wa miezi 6 baada ya mwanaume aliyezaa naye
kumkataa.
Shuhuda
wetu ambaye ni dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Shabani,
alisema tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu maeneo ya Mafiga karibu
na Msikiti wa Mahita ambapo
↧
↧
VIDEO: MAJIBU YA CHADEMA KUHUSU KAULI YA MWIGULU NCHEMBA
↧
WATU WATATU WAFARIKI DUNIA KWENYE MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA JIONI YA LEO
Uwanja wa Soweto ambapo Mkutano wa Chadema kufunga kampeni za kuwania Udiwani Kata ya Kaloleni Jijini Arusha ulikuwa unafanyika umegeuka kuwa uwanja wa vilio baada ya kinachodhaniwa kuwa bomu kulipuka na kuua watu watatu na zaidi ya 50 kujeruhiwa vibaya huku baadhi yao wakiwa wamevunjika miguu.
Katika Mkutano huo walikuwapo pia Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Arusha Mjini, Mh
↧
TID AAPA KUMTANDIKA OMMY DIMPOZ ...KOSA NI TUSI ALOMTUKANA NGWEA.....
Msanii T.I.D naye ameingilia kati tuhuma za Ommy Dimpoz
kumtukana marehemu Albert “Ngwair” kwa kuahidi kumdunda popote atakapomuon....
Hiki ndicho alichosema msanii TID kwenye ukurasa wake ea
facebook kuhusu hilo.
“Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi
wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu
Albert wallahi
↧
OMMY DIMPOZ AWAPIGIA MAGOTI WATANZANI AKIOMBA ASAMEHEWE KWA TUSI LAKE
Baada ya watanzania kumwandama Ommy Dimpoz kutokana na tusi alomtukana marehemu Ngwea, msanii huyo ameamua kuwapigia magoti watanzania na kuwasihi wamsamehe.....
Hali hiyo imekuuja baada ya watu mbalimbali kutangaza kumsaka Ommy kwa lengo la kumwadabisha kwa kumpa kichapo kikali...
Miongoni mwa watu hao ni TID ambaye leo kupitia ukurasa
↧
↧
MLIPUKO WA BOMU WASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI JIJINI ARUSHA USOGEZWE MBELE
Tume ya taifa ya Uchaguzi imesimamisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa
udiwani katika kata nne jijini Arusha.
Akizungumza kwa njia ya simu na
Radio TBC FM,kutoka Zanzibari mwenyekiti huyo wa tume ya uchaguzi
alisema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi huo ili kuwapa nafasi vyombo
vya usalama kuchunguza swala hilo.
Alisema kuwa sheria inawapa mamlaka kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa
↧
DR. MARY NAGU ANUSURIKA KUCHOMWA MOTO NA WAFUASI WA CHADEMA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary
Nagu pamoja na Mbunge wa Babati Vijijini, Jitu Soni (CCM), wamenusurika
kuchomwa moto na wafuasi wa Chadema usiku wa kuamkia jana.
Tukio hilo lilitokea usiku wa manane, baada ya wafuasi wa Chadema,
wakiongozwa na Mbunge wa chama hicho Jimbo la Karatu, Mchungaji Israel
Natse, kuvamia nyumba waliyokuwa wamefikia Nagu na
↧
BETTY NA BOLT WANASWA TENA WAKIVUNJA AMRI YA SITA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
↧
HATIMAYE KIM KARDASHIAN AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
NI
siku ya furaha kwa Kanye West! Kim Kardashian amejifungua mtoto wa kike
Jumamosi asubuhi katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center, Los
Angeles, mtandao wa OMG umethibitisha.Inasemekana Kardashian,
32, alikuwa na West pembeni mwake wakati wa kujifungua, kumkaribisha
duniani binti yao mwezi mmoja kabla ya muda uliotarajiwa. Tarehe halisi
ya kujifungua ilitazamiwa kuwa Julai 11."
↧
↧
VIDEO YA NATASHA WA MALAWI AKIPIGA PUNY*TO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
<!-- adsense -->
Camera za jumba la big brother zimeendelea kuaanika mambo yanayoendelea ndani ya jumba hilo
Mashiriki toka Malawi amekuwa ni mshiriki wa kwanza kuanikwa na camera hizo akijichua ( akipiga puny**t) bafuni....
Kuitazama video hiyo ni sharti uwe mtu mzima.
<< VIDEO YA NATASHA>><!-- adsense -->
↧
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA BOMU ARUSHA
↧
MKASA MZIMA KUHUSU KUPIGWA KWA MBUNGE NASSARI KATIKA KITUO CHA KURA MAKUYUNI
Mbunge
wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ameshambuliwa na vijana wa Chama
cha Mapinduzi wakiongozwa na Kiongozi wa Chama cha Mapinduzi, Mkoa wa
Arusha aliyejulikana kwa jina la Kalanga na kulazimika
kulazwa katika hopitali ya Selian Mkoani Arusha katika fujo zilizotokea
katika kituo cha kupigia kura cha Zaburi, kata ya Makuyuni, Wilaya ya
Monduli mkoani Arusha.
Akizungumza
kutoka
↧
More Pages to Explore .....