Ofisa mmoja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
amefariki dunia na mwingine amesagika mguu baada ya mawe kuporomoka
wakati wakipanda Mlima Kilimanjaro katika mazoezi.
Wanajeshi hao ni miongoni mwa maofisa 263 wa JWTZ
waliopanda mlima huo mrefu kuliko yote barani Afrika kwa makundi kuanzia
Julai 12, mwaka huu kupitia njia ya Rongai iliyopo wilayani Hai.
Habari za
Askari wa Jeshi la Wananchi ( JWTZ ) afariki dunia mazoezini Mlima Kilimanjaro.....Mwingine Asagika Mguu
↧
↧
Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 17 July 2014
Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 17 July 2014
↧
Mwanamke aliyeiba Mtoto huko Sumbawanga ili kulinda Ndoa Yake Ahukumiwa Mwaka mmoja Jela
Mkazi wa kijiji cha Kisumba, Manispaa ya Sumbawanga, Halima Nambeya (18) ametupwa jela mwaka mmoja na Mahakama ya wilaya ya Sumbawanga baada ya kukiri kosa la kuiba mtoto mchanga wa kiume kwa lengo la kulinda ndoa yake ili asiachike kwa kukosa mtoto.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Frednand Rwegasira alisema mtuhumiwa huyo alimuiba mtoto huyo katika eneo la Jangwani
↧
Njaa Yamliza Baby Madaha......Akesha akiomba mwezi mtufuku wa Ramadhani Uishe haraka
Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha
‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi
kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa kupata
pesa.
Akiongea na mwandishi wetu, Baby Madaha alisema kwa upande wake michongo yake mingi ya
hela anaipata kupitia kumbi za starehe hivyo kwa sasa fedha haingii
kabisa.
“Naomba Mwezi
↧
Mganga wa Jadi anaswa Gesti na Wake za Watu......Alikuwa akiwatengenezea dawa kwa kuwavua Nguo Zote Kisha kuwachezea Nyeti zao
Mume na Mke wakizozana.
************
Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi Jinasa
amepata aibu ya karne baada ya kunaswa ‘live’ na wake za watu kwenye
gesti moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Tandika jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo hayo, usiku wa manane wa
kuamkia Jumanne iliyopita, wakati waumini wa Dini ya Kiislamu
↧
↧
Rais Kikwete aandaa Futari kwa Viongozi wa Dini ya Kiislamu Ikulu Dar es Salaam
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na viongozi wa madhehebu mbalimbali wa
dini ya Kiislamu katika futari aliyowaandalia ikulu jijini Dar es
salaam.
Kadhi
Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdullah Yusuf bin Ali bin Yusuf ash-Shirazi
Mnyasi (mwenye kipaza sauti) akiongoza dua katika futari aliyoandaa Rais
Jakaya Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya
Kiislamu Ikulu
↧
Waziri Makalla aonja Joto ya Jiwe Ubungo......Mkutano wavunjika baada ya wafuasi wa CHADEMA na CCM kushikana mashati mbele yake
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla, ameondolewa chini ya ulinzi wa polisi katika mkutano wa hadhara baada ya kuibuka kwa vurugu zilizotokana na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Vurugu hizo zilizoambatana na kutoleana maneno ya kejeli na kuvutana mashati zilidumu kwa takribani dakika 30 na zilitokana na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya
↧
UNYAMA: Bibi Kizee Auawa kikatili kwa Kucharangwa Mapanga huko Shinyanga
Na Kadama Malunde-Shinyanga
Mwanamke mmoja aitwaye Milembe Masanja(50) mkazi wa kitongoji cha Muhida kijiji na kata ya Busangi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili kwa kucharangwa mapanga kichwani na kukatwa mikono yote miwili na watu wawili waliokodishwa na familia moja kutekeleza mauaji hayo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo na kamanda wa polisi
↧
Flora Mbasha na Mumewe HAWAJAPATANA
Imebainika kwamba waimbaji wa muziki wa Injili nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel Mbasha hawajapatana kama ilivyodaiwa awali na taarifa zinasema kuwa mwanadada huyo ameanza maisha yake kivyake kwa kupanga nyumba nyingine mbali na mumewe....
Habari za kuaminika toka ndani ya familia ya Flora zinasema kuwa msanii huyo amekuwa na wakati mgumu
↧
↧
Makalio ya Koleta Yadatisha Watu Mlimani City
Msanii wa filamu, Coletha Raymond ‘Koleta’ hivi karibuni aliibua
gumzo maeneo ya Mlimani City jijini Dar kutokana na kivazi alichokuwa
amevaa huku makalio yake yakionekana kuongezeka kwa kiasi kikubwa.
Tukio hilo lilitokea juzikati wakati Koleta alipokuwa akitoa kwenye
lango kuu kuelekea ilipo ‘parking’ ya magari akiwa na mwanaume
aliyeonekana kama mpenzi wake.
Wakiwa katika eneo
↧
Linah Aiga Rasmi THT
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina
Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa
chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini
Afrika Kusini.
Akizungumza na Mwanahabari wetu msemaji wa kampuni hiyo aliyewahi kushiriki
Shindano la Big Brother Africa 2003, Abergail Brigette Plaatjies ‘Abby’
alisema
↧
Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 18 July 2014
Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 18 July 2014
↧
Lulu Atia Team Kwa Kina Terrence J Kuisaka Namba Ya Simu Ya Justin Bieber
Vile vituko vya reja reja kutoka kwa Tanzanian star actress Elizabeth
Michael "Lulu" bado vinaendelea.
Habari mpya zinasema kuwa juzi Lulu
alienda kwenye seminar ya kuzungumza na wasanii wa Tanzania namna ya
kukuza sanaa ya nchini huku watoa mada wakubwa wakiwa mastaa wa Marekani
Terrence J, David Banner na Shaka Zulu...
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, lengo kubwa la Lulu kuhudhuria
↧
↧
Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia 'Kutunguliwa' Ukraine
Mabaki ya miili zaidi ya 100 yameokotwa jirani na eneo
ilipoanguka ndege ya Malaysian Airlines kule Grabovo jirani na mpaka wa
Ukraine na Urusi .
Reuters iliripoti mapema Alhamisi kuwa
ndege hiyo yenye namba MH17 ilianguka jimboni Donetsk ikiwa njiani
kuelekea Kuala Lumpur ikitokea mjini Amsterdam, Uholanzi.
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa ndege hiyo
‘imetunguliwa’ na aidha
↧
Trafiki 27 Watimuliwa Kazi kwa Rushwa
PICHANI: Askari trafiki wakiwa kazini katika moja ya mitaa ya Dar es Salaam.
Askari 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa.
Kikosi hicho ambacho kimeonya dhidi ya unyanyasaji na ushawishi wa rushwa kwa waendesha pikipiki (bodaboda), kimesema mikakati ya uchunguzi na upelelezi
↧
Kesi ya Mume wa Flora Mbasha Yapigwa Kalenda.....Bofya Hapa kuona kilichojiri Jana Mahakamani
Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel
Mbasha jana alipandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya
Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji.
Katika kesi hiyo, hakimu Wilbert Luago alilazimika
kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha
kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na
↧
Watuhumiwa 17 wa UGAIDI wafikishwa Mahakamani chini ya Ulinzi Mkali wa Magari 8 ya Magereza, FFU na Polisi-Raia
Watu 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.
Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana saa 7:30 mchana wakiwa chini ya ulinzi mkali.
Kulikuwa na magari mawili ya jeshi la Magereza, magari mawili yaliyokuwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na manne yaliyokuwa na askari
↧
↧
Lori laparamia klabu cha Pombe ....Laua Watano papo hapo, Watatu ni ndugu wa familia moja na wawili waliosalia ni Mume na Mke
Vilio
na simanzi vimetalawa katika kitongoji cha Isimila old stone age cha
kijiji cha Ugwachanya wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa baada ya
watu watatu kufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa kwa kugongwa na
lori kwenye kilabu cha pombe za kienyeji.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha
kutokea kwa ajali hiyo juzi jioni baada ya lori hilo
↧
Vigogo 6 Wanaoutafuta Urais ndani ya CCM Watishwa tena.....Yadaiwa wakibainika Watapoteza Sifa ya kugombea nafasi hiyo 2015, Kamati kuwajadili tena Agosti mwaka huu
Chama
Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitawapima mwezi ujao Waziri Mkuu mstaafu,
Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
Benard Membe ili kujua ni kwa kiasi gani wametekeleza masharti
yatokanayo na adhabu wanazotumikia kutokana na kukiuka kanuni na
taratibu za chama hicho kwa kutangaza kabla ya wakati juu ya nia yao ya
kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015.
↧
Ally Kiba Azungumzia Ugomvi wake na Diamond.....Bofya hapa kumsikiliza
Mtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka
Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni
kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki.
Wengi
wao wanasema kuwa Ally Kiba na Diamond Platnumz wana Bifu na kama lipo
watu wanatamani kujua chanzo cha hilo bifu na kwa sasa kama wana mpango
wowote wa kufanya kazi pamoja.
Ally Kiba kapatikana na
↧
More Pages to Explore .....