Mtangazaji anayejihusisha zaidi na mambo ya haki za wanawake Bongo, Joyce
Kiria amenangwa na watu mbalimbali mitandaoni kwa kile kinachoonekana
kuingilia sakata la mwimbaji wa Injili nchini, Flora Mbasha na mumewe
Emmanuel Mbasha, akionekana zaidi kumtetea Flora.
Mmoja wa watoa maoni katika mtandao wake aliandika: “Joyce acha
kujidhalilisha, huoni kama unapoteza utu wako? Naanza
Joyce Kiria Atukanwa baada ya kuingilia Sakata la Flora Mbasha na Mumewe
↧
↧
Semina Muhimu toka RafikiElimu Foundation......Hii si ya kukosa, Bofya Hapa kwa maelezo zaidi
Taasisi ya
RafikiElimu FOUNDATION kupitia MRADI
WA WANAWAKE SALAMA
TANZANIA inapenda kuwaalika
wanawake wote waishio
jijini Dar Es
salaam kushiriki katika
SEMINA YA
UTENGENEZAJI WA VYAKULA –LISHE.
Mafunzo yatakayo
tolewa katika semina
hii, ni pamoja na
UANDAAJI, UTENGENEZAJI NA UTAYARISHAJI
WA VYAKULA-LISHE MAALUMU
KWA WAGONJWA NA WATU WANAO
↧
Unataka kuongeza mwili au unene? Unataka kutengeneza shape ya mwili wako kwa kutumia lishe asilia ? Kama jibu ni ndio basi BOFYA HAPA.
Je ! Unataka
kuongeza mwili au unene? Unataka
kutengeneza shape ya mwili wako kwa
kutumia lishe asilia
bila kulazimika kutumia madawa yenye
kemikali ? Kama jibu ni ndio basi
hii ni habari njema sana kwako.
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni
kituo cha tiba asilia na vyakula-lishe.
Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu kuwa tunayo
↧
Mbunge ataka Arusha iwe kanda maalumu ya Kipolisi
Mbunge wa viti maaluma Arusha Catherine Magege ameiomba serikali
kuanzisha kanda maalumu ya kipolisi kwa jiji la Arusha ili kuimarisha
ulinzi ambao umekuwa ukizorota siku hadi siku huku maisha wa wakazi wake
yakiwa hatarini.
Kufuatia
mfululizo wa mabomu baadhi wa kazi wa jiji la Arusha wameiomba serikali
kuingilia kati swala hilo kwa kuwa watu wamekuwa na hofu ya kushiriki
katika
↧
Ray C amjibu TID baada ya kumtukana Matusi ya Nguoni
Ray C ambaye hivi sasa ameanzisha Ray C Foundation
iliyojikita katika kusaidia watu walioathirika na matumizi ya madawa ya
kulevya amemjibu msanii mwenzake TID kufuatia matusi aliyomporomoshea
kupitia Instagram siku kadhaa zilizopita.
Ray C amepost instagram ujumbe unaowajuza mashabiki wake kuhusu hali ya mama yake aliyekuwa mgonjwa na kisha akayajibu ya TID.
“Hi everyone!!!Asanteni
↧
↧
Taswira za Majeruhi wa bomu la Arusha wakiwa Hospitali ya Selian
Baadhi ya majeruhi wakiwa katika hospitali ya Rufaa ya Selian mkoani
Arusha wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu
kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo karibu na
Mahakama Kuu jijini Arusha usiku wa kuamkia Julai 7, mwaka huu.
Katika mlipuko huo, watu nane walijeruhiwa vibaya huku mmoja akikatwa mguu baada ya kuumia sana.
↧
Argentina Watinga Fainali, Kumenyana na Ujerumani Jumapili hii
Argentina wakishangilia baada ya kutinga fainali kwa ushindi wa penalti 4-2.
Lionel Messi akijaribu kumtoka Nigel de Jong wakati wa mtanange huo.
Nahodha wa Uholanzi Robin van Persie akimiliki mpira dhidi wa wachezaji wa Argentina.
Mshambuliaji wa Uholanzi, Arjen Robben akifanyiwa madhambi na beki wa Argentina, Martin Demichelis.
Mashabiki wa Argentina wakipozi kabla ya mtanange huo.
↧
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 10 July 2014
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 10 July 2014
↧
Diamond Amliza Mama yake.....Wema Sepetu afanya kazi ya Ziada kumbeleleza
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria kiasi cha kumliza mama yake
mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.
Tukio la mama Diamond kumwaga machozi lilishuhudiwa na kamera za Amani,
juzi Jumatatu, mishale ya saa mbili usiku nyumbani kwake, Sinza jijini
Dar es Salaam ambako kulikuwa na ‘bethidei’ ya mama huyo.
↧
↧
Rais Kikwete Amuasa January Makamba....Amtaka asilazimishe kugombea Urais Mwakani kwa sababu wakati ukifika Atapata, Amtaka akubali ushauri wa wazee.
Rais Jakaya Kikwete amezungumzia nia ya Naibu Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba kutaka kuwania urais
mwakani, akisema mwanasiasa huyo kijana “anataka mambo makubwa, lakini
hajamshirikisha”.
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais Kikwete kutoa maoni
yake kuhusu wanachama wa CCM wanaotaka kuwania urais, baada ya chama
hicho kuwaonya makada sita kwa tuhuma za
↧
Alshabab waishambulia Ikulu ya Somalia
Wanamgambo wa Alshabab walijipenyeza katika eneo la ikulu ya Somalia
yenye ulinzi mkali na kufanya mashambulizi Jumanne iliyopita ikiwa ni
wiki moja baada ya kulishambulia bunge la nchi hiyo.
Maafisa wa Somalia wamesema wakati wa shambulizi hilo, ulinzi ulikuwa
umeimarishwa vya kutosha na rais Hassan Sheikh Mohamud na familia yake
walikuwa salama ingawa wavamizi hao walilipua
↧
FIFA yatangaza kifungo cha soka kwa Nigeria
Shirikisho la soka duniani FIFA, limeliangushia rungu la
adhabu shirikisho la soka nchini Nigeria NFF, baada ya viongozi wa
serikali ya nchi hiyo kushindwa kutimiza masharti waliyopewa tangu
mwishoni mwa juma lililopita.
FIFA wameichukulia hatua Nigeria kwa kulifungia kwa muda usiojulikana
shirikisho la soka nchini humo, kutokana na viongozi wa Serikali
kuingilia mambo ya soka hatua
↧
Sio Siri Tena ..... Diana Kimaro Na Manaiki Sanga Katika Dimbwi Zito La Kimapenzi.
Mastaa wa filamu nchini Diana Kimaro na Manaiki Sanga ni
wapenzi. Juzi zilipenyezewa habari kuwa Manaiki anatoka na Diana
Kimaro na kwasasa wameshibana vya kutosha kila mtu yupo hoi kwa mwenzake
kama mlenda.
Uzuri ni kuwa wakati udaku huo ukipenyezwa Manaiki mwenyewe alikuwepo eneo hilo
ambapo wasanii kadhaa walikuwa wakifuturu pamoja hivyo haraka sana tukampiga swali la moto Manaiki
↧
↧
Irene Uwoya Na Jaguar Wadaiwa Kukutana Faragha Nchini Kenya, Minong'ono Yaanza
Latest news zinasema kuwa star wa filamu nchini Irene Uwoya amekutana
faragha Nairobi, Kenya na star mwenzake wa muziki toka nchini humo
Jaguar.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Uwoya kikizungumza nasi kimesema kuwa wawili hao kuna deal wanafikiria kufanya pamoja lakini
hana uhakika mpaka sasa ni deal gani "Uwoya na Jaguar wamekutana faragha
kuna issue zao wana-talk ila sijui ni
↧
Basi la Amani lapata Ajali maeneo ya Salanda mkoani Tabora, mtoto mmoja Afariki Dunia
Basi la Amani Express
likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia
leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu
amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha. Mashuhuda wanahisi
kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani abiria wakitafuta
vitu vyao Abiria wakiendelea kutafuta vitu vyao Baadhi ya abiria walionusurika katika
↧
Walimu Wauana Mkoani Dodoma kwa Ugomvi wa Sh. 1000 ya bili ya Umeme.....Walikuwa ni marafiki waliokuwa wakiishi nyumba moja na kufundisha shule moja
JESHI la Polisi
Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo
Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa
kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyo takiwa kuchangia marehemu.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu
aliyeuwawa kuwa ni Fredy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.
Misime amesema walimu hao wote
↧
VJ Penny Achumbiwa.....Sasa kuanza Maisha Mapya baada ya kutemana na Diamond
Mtangazaji maarufu nchini VJ Penny ambaye alikuwa mpenzi wa Diamond
Platnumz amechumbiwa. Kupitia Instagram Penny ameweka picha
akiwa amevaa pete ya uchumba na kuandika ujumbe huu: “Road trip ….site her we come…cc @halimakimwana1.”
Pia juzi tulisikia kuwa Penny amechumbiwa ingawa
hatukupata habari kwa kina mpaka Penny mwenyewe alipoweka picha Instagram
akiwa amevaa pete ya
↧
↧
Bodaboda wahoji dhana ya wao kujiajiri
Waendesha bodaboda Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, jana wamehoji
ipo wapi dhana ya wao kujiajiri, huku mamlaka ya mkoa na jiji hilo
zikiwazuia kuingia na abiria kwenye maeneo ya katikati ya jiji la Dar es
Salaam.
Akizungumza
na East Africa Radio, Afisa Habari wa Jumuiya ya wendesha Bodaboda
jijini Dar es Salaam Bw. Abdallah Bakari amemuomba rais Jakaya Kikwete
kuingilia kati
↧
Vanessa Mdee azungumzia uwezekano wa kushiriki Big Brother, ampendekeza Raheem Da Prince wa Times FM
LEO July 11 ndo siku ambayo usaili wa kuwatafuta washiriki
watakaoiwakilisha Tanzania katika reality show ya Big Brother nchini
Afrika Kusini utaanza kufanyika.
Mara nyingi zinapokaribia siku za
usaili mashabiki mbalimbali huweka ubashiri wao wa mastaa ambao
wanadhani wanafaa kwenda kutuwakilisha.
Vanessa Mdee ni miongoni mwa
mastaa mabao walitajwa na baadhi ya watu kuwa anaweza
↧
Rose Ndauka Amkimbia Mumewe
Staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka hivi karibuni aliamua
kumkimbia mumewe Malick Bandawe, kisa mfungo wa Ramadhani ambapo sasa
anaishi Kigogo na mama yake mzazi.
Akipiga stori na mwanahabari wetu, Rose alisema amelazimika kwenda nyumbani
kwao ili kumpisha mumewe atimize nguzo hiyo ya Uislam bila kipingamizi
kutokana na kutokufunga ndoa.
“Mimi sifungi hivyo nimeona pia ni
↧
More Pages to Explore .....