Wakati sheria ikizidi kuwatia hatiani wale nguli wa kulawiti watoto, staa wa bongo movie, Jackline Wolper amesema kuwa hata kwa upande wake huwa anasikitishwa na vitendo hivyo kwani kufanya hivyo ni kuwatia doa katika maisha yao......
Staa huyo alisema kuwa kitendo cha kulawiti mtoto ni cha kinyama na kwamba haoni sababu ya kucheka na
Jack Wolper alia na Ulawiti
↧
↧
Waliomuua Sista Kapuri wa Kanisa Katoliki wakamatwa.....Yumo dereva wa Boda boda wa Tabata, walioiba mamiliono Barclays nao wanaswa
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu nane wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi sugu. Wawili kati yao wanahusishwa na tukio la kuuawa kwa Sista Cresencia Kapuri (50) wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam katika Parokia ya Makoka.
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Polisi Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari, jana.
↧
Usultani waitesa CHADEMA....Samson Mwigamba aibuka tena, ampongeza Msajili....Katibu na viongozi 9 wa kata waachia ngazi
TUHUMA za ubabe
na usultani wa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), bado umeendelea kukitesa na kukipasua vipande chama hicho.
Hatua hiyo
imetokana na baadhi ya viongozi, akiwemo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman
Mbowe, kupigwa ‘stop’ kuwania tena nafasi hiyo baada ya kubainika Katiba
ya CHADEMA imechakachuliwa ili kuondoa kipengele cha ukomo wa viongozi.
↧
Lowassa aweka wazi utajiri wake.....Azungumzia Kuhusu Afya yake, Bomu la Ajira na sababu za kwenda kwa TB Joshua
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye
ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki
ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.
Lowassa alisema hayo katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ofisini kwake wiki iliyopita mjini Dodoma.
“Haya madai hayana hata chembe ya ukweli hata
kidogo, isipokuwa mimi nadhani
↧
Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya
Taarifa
kutoka Kenya zinaarifu watu wanne waliokua kwenye ndege iliyokua ikipaa
kutoka uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi kuelekea Mogadishu
Somalia wamefariki dunia baada ya Ndege hiyo kuanguka katika eneo la
Utawala dakika chache baada ya kupaa.
Ajali hiyo imetokea alfajiri ya July 02 na inaaminika kwamba ndege
hiyo ilikua iondoke mapema kusafirisha zao la Mirungi na bidhaa
↧
↧
Diamond kuachia video mbili kwa mpigo, ni tofauti na alizowahi kufanya
Diamond Platinumz ametangaza kupitia Instagram kuwa ataachia video
mbili kwa mpigo ikiwa ni siku chache baada ya kumalizana na BET Awards
2014.
Mashabiki wake wategemee kuona video mbili kwa wakati mmoja ambazo ni
moja ya wimbo aliofanya na mkali wa Kukere, Iyanya wa Nigeria, na
nyingine ya wimbo wenye asili ya ngoma za kitanzania Kitorondo aliyoipa
jina la MdogoMdogo.
Diamond
↧
Loveness Diva aendeleza sifa za Kijinga
Mtangazaji maarufu wa Clouds Fm Loveness Diva ameposti picha katika account yake ya Instagram akiwa ameuanika mwili wake wote kwa jamii....
Mtangazaji huyo ameamua kujidhalilisha tena bila kujali nafasi yake ya kazi kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutafuta kick....
Mashibiki wengi hasa Followers wake wamemuelezea mtangazaji huyo kama mtu
↧
Unataka kuongeza mwili au unene? Unataka kutengeneza shape ya mwili wako kwa kutumia lishe asilia ? Kama jibu ni ndio basi BOFYA HAPA.
Je ! Unataka
kuongeza mwili au unene? Unataka
kutengeneza shape ya mwili wako kwa
kutumia lishe asilia
bila kulazimika kutumia madawa yenye
kemikali ? Kama jibu ni ndio basi
hii ni habari njema sana kwako.
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni
kituo cha tiba asilia na vyakula-lishe.
Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu kuwa tunayo
↧
Ripoti: Oscar Pistorius yuko kwenye hatari ya Kujiua
Ripoti ya wanasaikolojia inaeleza kuwa mwanariadha Oscar
Pistorius yuko kwenye hatari ya kujiua kwa kuwa ana matatizo makubwa ya
kisaikolojia hivi sasa.
Ripoti ambayo ilisomwa na mwanasheria wa upande wa utetezi inaeleza
kuwa Ocar Pistorius alikuwa akiombeleza kifo cha girlfriend wake Reeva
Steenkamp aliyemuua kwa kumpiga risasi.
Hata hivyo ripoti ya Jumatatu ya madaktari iliyosomwa
↧
↧
Balozi wa Libya Tanzania ajiua kwa Risasi
Wizara
ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania leo
imepokea taarifa kutoka ubalozi wa Libya nchini ikieleza kuwa aliyekuwa
Kaimu Balozi wa Libya Bw. Ismail Nwairat, amefariki dunia jana kwa
kujipiga risasi.
Taarifa hiyo ya ubalozi imeeleza kuwa kifo hicho kimetokea majira ya
saa saba mchana ofisini kwa Kaimu Balozi huyo katika jengo la Ubalozi wa
Libya ambapo
↧
Majambazi yashambulia kwa Risasi Gari la Magereza jijini Dar likiwa na wafungwa ndani .....Shuhuda asimulia tukio zima
Kwa mujibu wa mdau aliyeshuhudia tukio lote hilo live anatupasha:
Ishu
ilikuwa hivi, kuna gari ndogo ilikuwa inatokea njia ya Kawe kwenda
Shopperz au ilikuwa inaelekea mjini kwa kutumia hii njia ya Mwai Kibaki
road.
Hiyo gari ndogo ilipofika Maeneo ya Million Hairs Salon jirani kabisa na
Regency park hotel ikakwama kwenye foleni ndefu sana. Nyuma ya hiyo
gari ndogo kulikuwa na
↧
Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania.....Asema Rwanda na Tanzania ni mataifa ndugu na yataendelea kuwa ndugu
Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa
ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia undugu huo.
Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na waandishi
wa habari.
Hata hivyo ameonya kwamba Rwanda itapambana na yoyote anayeshirikiana na FDRL. Amesema dunia hii ni ya ajabu maana inawasikiliza na kuwatunza wauaji halafu
↧
Mwanamke aliyemtesa Hausigeli ( binti wa kazi ) kwa miaka miwili naye Ahenyeshwa......Wananchi washangilia
Mwanamke Yasinta Rwechengura, mkazi wa Boko wilayani Kinondoni, Dar
anayekabiliwa na kesi ya kutuhumiwa kumtesa hausigeli wake kwa miaka
miwili (siku 730), amejikuta akihenyeshwa mahakamani.
Hayo yamemkuta juzi
alipofikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya
Kinondoni kujibu tuhuma zinazomkabili ambapo alikuwa akipokea amri
kutoka kwa askari na kumfanya kukosa raha
↧
↧
Picha ya Diamond akiwa na MBWA Yazua Kasheshe
Diamond Platinumz ambaye jina lake halisi la dini ya kiislamu ni
Naseeb Abdul ameshambuliwa Instagram na baadhi ya mashabiki baada ya
kupost picha akiwa beach huko ughaibuni huku ameshikilia kamba iliyomfunga mbwa.
Mashabiki wengi walimshambulia wakielekeza point yake kwenye suala la
imani ya dini ya kiislamu huku wakiunganisha tukio hilo na mwezi
mtukufu wa Ramadhani.
↧
Magazeti ya Leo Ijumaa ya tarehe 4 July 2014
↧
Jeshi lasema hakuna Kuruta anayekufa kwa ukatili akiwa katika mafunzo ya JKT
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limekanusha taarifa zilizosambazwa kuwa vijana wa mujibu wa sheria, wanaoendelea na mafunzo katika kambi za JKT, kuwa wanakufa kwa ukatili.
Hayo yalisemwa jana na Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Kanali Erick Komba wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Alisema taarifa hizo potofu zimesambazwa kwa
↧
Lulu Michael aanika UPAJA nje kuwatega Wanaume
GAUNI alilovaa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael hivi
karibuni alipokuwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Watu limeonesha
kuwatega wanaume hasa wakware kufuatia kuuanika ‘upaja’ wake.
Akiwa ndani ya Ukumbi uliopo ndani ya Hoteli ya Serena, Posta jijini
Dar, Lulu alionekana amevalia gauni refu lakini pembeni likiwa na mpasuo
mkubwa ambapo kila alipokaa, mapaja yake
↧
↧
SabaSaba: Wasanii wa 'Original Comedy' wageuka wahudumu wa Mgahawa waliouanzisha
Maonesho ya 38 ya sabasaba yanaendelea katika eneo la
Sabasaba, Dar es Salaam. Makampuni, vikundi na watu mbalimbali wamefika
kwa wingi kuonesha bidhaa zao kwa mtindo utakaowawezesha kuwa karibu
zaidi na wateja wao.
Kundi la Ucheshi la ‘Original Comedy’ linaloundwa na wachekeshaji
kama Joti, Masanja Mkandamizaji, Wakuvanga, Mpoki na Mack Regani
limeanzisha mgahawa halisi kwenye
↧
Jokate Mwegelo APANGUA tuhuma za kuvunja ndoa ya Dida
Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’
amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’
kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana.
Akijibu tuhuma kuwa, yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo
kufuatia ‘ku-fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni
mtangazaji mwenzake, Jokate alisema:
“Yaani watu wanapenda kuungaunga
↧
Undani wa Bomu lililolipuka jijini Arusha, Idadi ya Waliojeruhiwa pamoja na Kauli ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kuhusiana na tukio hilo
Watu wanane, wanne wakiwa wa familia moja, wamelipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakipata chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine, jijini Arusha.
Mgahawa huo ulioko mtaa wa Uzunguni jirani na Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, ulilipuliwa saa 4.30 usiku wa kuamkia jana.
Tukio hilo limekuja siku nne tangu Shehe na
↧
More Pages to Explore .....