Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli ashangaa waliomteka Mo Dewji kutofikishwa mahakamani Hadi Sasa

$
0
0
Rais John Magufuli amesema anashangaa ni kwa nini waliomteka mfanyabiashara Mohamed Dewji (Mo), hawajafikishwa mahakamani hadi leo.

Rais amesema hayo leo Jumatatu Machi 4, Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kuwaapisha mawaziri wawili na makamishna wa Jeshi la Polisi.

Akizungumza kuhusu Mo, Rais Magufuli amesema anashangaa kwa sababu wanaodaiwa kumteka walimtupa katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam wakaacha na silaha zao huku wakijaribu kuchoma gari moto lakini ilishindikana.

“Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania si wajinga, kama suala la kutekwa kwa Mo linaacha maswali….

“Tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, baada ya tukio hilo tukamuona Mambosasa (Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa), anakunywa chai na aliyetekwa, baadaye tukaonyeshwa nyumba inayodaiwa kuwa alivyotekwa alihifadhiwa humo.

“Huyo mwenye nyumba alikuwa mtuhumiwa wa kwanza tulitegemea afikishwe mahakamani, kimya mpaka leo miezi imepita sasa hiyo inatoa maswali mengi ambayo majibu hayapo.

“Au ndiyo Mambosasa kama jina lake… kwa sababu Watanzania walitaka kujua huyo mwenye nyumba ni nani na angekuwa wa kwanza kukamatwa… Hata kama Watanzania watanyamaza lakini mioyo yao haitakuwa kimya,” amesema Rais Magufuli.

Waziri Mpya wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi Aanza Kazi Kwa Kumtaka Katibu Mkuu Wizara Hiyo Kufanya Mabadiliko Haraka

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi ameanza kazi rasmi kwa kumtaka Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuanza mabadiliko wizarani hapo.

Profesa Kabudi ambaye hata hivyo hakusema ni mabadiliko ya aina gani yanahitajika wizarani hapo, amesema hayo leo Jumatatu Februari 4, Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapa kuwa waziri wa wizara hiyo baada ya kuteuliwa na Rais John Magufuli, juzi.

“Lazima tubadilike na tutambue mabadiliko haya ni sisi wenyewe ndani ya wizara na ni  mabadiliko ya haraka, huo ndiyo ujumbe wangu na ahadi yangu kwa watu wote,” amesema.

Pamoja na Profesa Kabudi, pia Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Augustine Mahiga aliapishwa na baadhi ya Makamishna wa Jeshi la Polisi.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu za Inasaidia Kukufanya Uwe Rijali Bila Kuaibika

$
0
0
Pata tiba ya tatizo la nguvu za kiume.Inasaidia kukufanya urudie mara 5 na kuchelewa kwa dk 20.

Tatizo la upungufu wa nguvu na maumbile madogo linatibika, baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka Dr.Ntobi amekuletea tiba sahihi ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za Gumba Power.

Ni dawa asali ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume.

Dawa hii inamchanganyiko wa kutosha wenye kuzalisha vichocheo vingi vya homone za gestrogen vikiwemo vitamini b6&b1.Vitamini E pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatuwa nne au zaidi .Na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30

Ntinje: Inarutubisha maumbile ya uume yaani kurefisha na kunenepesha nchi.4-7 upana cm4-6 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote.

Pia tunatibu kisukari siku7 tu. Presha, chango, tumbo kujaa gesi, ngiri, busha bila kupasua 

Tupo Dar es Salaam  Mbagala kizuiani.

Huduma hii utaletewa popote ulipo .Mwanza tupo Bugarika wasiliana nami; 0754741788/ 0715741788/ 0783741788 Dr Ntobi

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Magonjwa yanayoababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Ni Kama Vile, Kisukari ,presha, Ngiri Ya Kupanda Na Kushuka, Kiuno, Maumivu Ya Mgongo, Tumbo Kuuma Chini Ya Kitovu, Tumbo Kujaa Gesi. Yote Matatizo Yote Haya husababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Kushindwa Kufanya Kazi Kwa Mwenza Wako  .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa Dar anapatikana mbagala Zakhem.  Songea ,bombambili, Shinyanga, Kahama ,mjini, Kwa ,maelezo, Zaidi , Piga Simu 0763172670/ 0715172670,/ ,Sema ,haloo, Dr Sitta... Wote  mnakalibishwa. 

Rais Magufuli Amtaka IGP Sirro Kutowarudisha Makao Makuu maofisa wanaoshindwa kufanya vizuri katika vituo vyao

$
0
0
Rais Magufuli amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro, kutowapeleka Makao Makuu wa jeshi hilo maofisa wanaoshindwa kufanya vizuri katika vituo vyao.

Akizungumza baada ya kuwaapisha mawaziri wawili Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Machi 4, Rais Magufuli pia amemtaka Sirro kutoogopa kuleta majina ya watu ambao wanatakiwa kupunguziwa vyeo.

“Nakuomba IGP, watu ambao wanaoshindwa ‘kuperfom’ wasiwe wanapelekwa makao makuu, mpeleke hata akawe  chini ya RPC mwingine huko .

“Pia usiogope kuleta makamishna ambao unataka tuwapunguze hata nyota zao wala usisite kwa sababu tumezoea kutoa nyot, tu sasa tutazichukua…” amesema Rais Magufuli.

Aidha, akizungumzia kuhusu rushwa, amesema watu wasitegemee kupata vyeo kwa sababu ya rushwa bali atapata cheo kwa sababu ya utendaji wake.

“Tumekaa Mwanza kule kuna ushahidi wa kutosha kwamba wale polisi walihusika kusindikiza ile dhahabu na wakahongwa mamilioni ya fedha.

“Inapofikia wanajeshi wanahongwa mamilioni ya fedha kunakuwa na hitilafu, niwaombe makamishna tujenge jeshi la polisi kama lilivyoanzishwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wale wachache wanaolichafua waonyeni ikishindikina kuonywa basi waondoeni,” amesema Rais Magufuli.

Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

$
0
0
Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono. 

Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators). 

Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi.

Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni
  1.  Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
  2.     Chlamydia
  3.     Kaswende (Syphillis)
  4.     Human papilloma virus (HPV)
  5.     HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
  6.     Hepatitis B, C, A
  7.     Herpes virus
  8.     Trichomoniasis
  9.     Bacteria Vaginosis
  10.     Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
  11.     Chancroid
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV, Hepatitis B na C, na HIV. Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio, magonjwa hayo ni kama gono (gonorrhoea) na nk.
 
Visababishi vya magonjwa ya zinaa
  1. Vitendo vya ngono kama nilivyoeleza hapo awali
  2. Kuanza vitendo vya ngono mapema au wakati wa umri mdogo
  3. Kuwa na wapenzi wengi
  4. Kufanya mapenzi ambao sio salama
  5. Maambukizi kupitia michibuko au sehemu zilizokatika kwenye ngozi kwa kugusana na majimaji ya aina yoyote yanayotoka kwa mtu mwenye ugonjwa wa zinaa kama damu, shahawa nk. Hii inaweza kutokea bila mtu kujua kwani mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa zinakuwa hazionekani kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.
Watu wengi huhisi kitendo cha kula denda (kissing) ni salama lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes nk, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii. 

Soma pia:Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa 

Kondomu husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono, Chlamydia lakini sio kinga muafaka dhidhi ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, genital herpes, genital warts, na magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini (AIDS).

Kisonono (gonorrhea) ni nini?
Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini kama kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya kupitisha mkojo au shahawa (urethra), mdomoni na kwenye puru. Maambukizi mengi kwa wanawake hutokea kwenye shingo ya kizazi (cervix). 

Asilimia 75 ya ugonjwa wa gono hutokea kwa watu wenye umri wa miaka 15 – 29, wanawake walio katika umri wa miaka 15 -19 na wanaume walio katika umri wa miaka 20 – 24 wako kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
 
Ugonjwa huu huambukizwa vipi?
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia vitendo vya ngono kupitia uke, njia ya haja kubwa (anus), kupitia mdomoni (oral sex). Ugonjwa unaweza kujitokeza kwenye sehemu za kujamiana, kwenye mdomo na kwenye puru (rectum). 

Soma Pia: Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga 

Ugonjwa wa gono huonekana sana kwa vijana, watu wenye maisha duni kiuchumi, watu wanaoishi mijini, watu weusi na watumiaji madawa ya kulevya.
 
Dalili za ugonjwa wa kisonono
Dalili za ugonjwa wa kisonono huanza kujitokeza kuanzia siku ya 2 hadi ya 7 baada ya mtu kupata maambukizi na huweza kuchelewa kwa wanawake. Dalili ni kama zifuatazo

Kwa wanaume
  1. Kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
  2. Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
  3. Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
  4. Maambukizi yakiwa kwenye puru (rectum) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
Kwa wanawake
Dalili kwa wanawake huwa si nyingi lakini wanawake wengi hawaonyeshi dalili zozote
  1. Maumivu au kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa
  2. Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
  3. Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
  4. Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
  5. Kichefuchefu
  6. Homa (fever)
  7. Kutapika
Vipimo vya ugonjwa wa kisonono
  1. Swab for culture – Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona kama kuna bakteria wanaosababisha gono.
  2. Polymerase Chain Reaction (PCR)– Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
Tiba ya ugonjwa wa kisonono ni nini?
Tiba ya gono inahusisha na tiba ya ugonjwa wa Chlamydia kwani mara nyingi magonjwa haya huambatana kwa pamoja.Tiba hutegemea na umri wa mgonjwa na kama mtu ni mjamzito au la. 

Tiba ya gono ambayo sio sugu iliyo kwenye shingo ya kizazi (cervix), urethra na puru, dawa zinazotumika ni aina za cephalosporin dozi moja pamoja na dawa za aina ya macrolide antibiotics (mfano azithromycin) na za jamii ya penicillin (mfano doxycyclin) ili kutibu ugonjwa wa chlamydia. Mara nyingi kwa wale chini ya miaka 18 na wanawake wajawazito, hutibiwa kwa kuchomwa sindano.

Soma Pia: Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake

Fuata ushauri wa daktari kabla ya kutumia dawa hizi kwani dawa nyingi zina madhara kwa wajawazito (mfano doxycyclin). Ushauri nasaha hutolewa kwa wapenzi wote wawili na ni vizuri wapenzi wote wawili kutibiwa hata kama mmoja hana dalili za ugonjwa huu.
 
Madhara ya ugonjwa wa kisonono
  1. Kutoweza kuzaa kwa mwanamke (tasa) au kutoweza kutungisha mimba kwa mwanamume (infertility)
  2. Huweza kuathiri moyo (heart valves), ubongo,ngozi nk ambayo ni hatari sana kwa mtu yoyote.
  3. Madhara kwenye sehemu za maungio au jointi (joint inflammation)
  4. Kwa wanawake wale ambao hawajatibiwa wanaweza kupata ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ambao huongeza asilimia ya mwanamke kuwa tasa.
  5. Wale wanawake ambao ni wajawazito na wameambukizwa gono wako kwenye hatari ya mimba kutoka au kuzaa mapema kabla mimba haijatimiza umri wake (preterm labor).
  6. Kwa wale wanaoambukizwa gono kipindi cha kukaribia kujifungua, wanaweza kuwaambukiza watoto wao na hivyo watoto kupata ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis), kuwa kipofu (blindness), homa ya mapafu (pneumonia) na ugonjwa wa mifupa (septic arthritis).
Kinga ya kisonono
  1. Kutumia kondomu wakati wa kujamiana
  2. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
  3. Kuacha vitendo vya ngono kama matumizi ya vifaa vya ngono hasa kwa wanawake mfano vibrators nk.
  4. Kwa wanawake wajawazito – Hakikisha unahudhuria kliniki mapema ili upate kuchunguzwa na kupatiwa tiba muafaka kama utagundulika na ugonjwa wa gono au ugonjwa mwengine wowote.
  5. Wanawake wajawazito wanashauriwa kujifungulia hospitali ili kama mtoto ameathirika na gono apate matibabu ya haraka baada ya kuzaliwa kuepusha kuwa kipofu.
  6. Epuka kufanya ngono na mtu aliyeambukizwa gono.

Yaliyojiri Katika Mkutano Wa Kujadili Afya Ya Wanyama Duniani Uliofanyika Mjini Hammamet, Tunisia.

$
0
0
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega (MB) amehudhuria Mkutano Mkuu wa 23 wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (OIE) Kamisheni ya Afrika, uliofanyika Mjini Hammament nchini Tunisia.

Mkutano huo uliojumuisha nchi zaidi ya 25 za bara la Afrika zikiwemo Zambia, Zimbabwe, Misri, Kenya, Uganda, Tunisia na Chad ulikuwa na malengo ya kuangalia afya ya wanyama, haki za wanyama, uzalishaji wa mifugo na usalama wa chakula kitokanacho na mifugo na kutoa mapendekezo kulingana na kanuni za shirika hilo duniani.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega (MB) akiambatana na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa wizara hiyo Dkt. Hezron Nonga amepata fursa ya kufanya kikao cha ana kwa ana na uongozi mkuu wa Shirika hilo la Afya ya Wanyama Duniani (OIE) kwa kuzungumza na rais wa shirika hilo Dkt. Mark Schipp, Mkurugenzi Mkuu Dkt. Monique Eloit na mwakilishi wa shirika hilo kwa Ukanda wa Nchi za Kusini mwa Afrika Dkt. Samuel Wakusama.

Katika mazungumzo hayo, Mhe. Ulega ameshukuru uongozi huo kwa ushirikiano wake na Tanzania kwa kuendelea kuisaidia nchi katika miradi mbalimbali ya kulinda afya za wanyama hapa nchini.

Aidha ameelezea nafasi ya Tanzania katika rasilimali za asili ikiwemo mifugo na uvuvi ambapo kwa upande wa mifugo ametoa takwimu za mifugo iliyopo nchini pamoja na vikwazo ambavyo sekta ya mifugo inakabiliana navyo yakiwemo magonjwa, kasi ndogo ya mifugo kuzaliana (Poor Breeding) na uzalishaji duni (Low Productivity) hali ambayo inasababisha nchi kushindwa kusafirisha mifugo na mazao yatokanayo na mifugo kama vile nyama kwenda katika masoko ya nje ya nchi.

Mhe. Naibu Waziri Ulega ameliomba Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (OIE) kuisaidia nchi ya Tanzania katika kukabiliana na changamoto hizo ili kukuza uchumi na kipato cha wadau wa sekta ya mifugo ambapo kwa pamoja uongozi huo umeahidi kuzifanyia kazi.

Licha ya mazungumzo hayo, Mhe. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Hamis Ulega (MB) kupitia kwa Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo Dkt. Hezron Nonga, amewakabidhi andiko linalofafanua kwa kina sekta ya uvuvi nchini, changamoto zake na maeneo yenye uhitaji ili kuuwezesha uongozi huo kuendelea katika hatua ya utekelezaji.

Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Naibu Waziri Ulega ameueleza uongozi wa OIE kuhusu nia ya Tanzania kuandaa mkutano ujao kwa kuwa ni nchi yenye mifugo na wanyamapori wengi, mazingira mazuri ya uwezekaji na taasisi maalum zinazoshughulikia masuala ya viwango, ubora wa bidhaa na usalama wa chakula.

Katika kutathmini afya za wanyama, wataalamu wamejadili magonjwa mbalimbali ya wanyama yaliyopo katika bara la Afrika hususan kwa nchi wanachama, athari na namna yakuyakabili yakiwemo magonjwa ya miguu na midomo (FMD), Kichaa cha mbwa na homa ya Bonde la Ufa (RVF).

Aidha kikao kimetathmini kwa pamoja miradi mbalimbali yenye lengo la kuimarisha afya za wanyama pamoja na michango ya wahisani ikiwemo Benki ya Dunia, Mchango wa Wataalam wa Kati wa Mifugo (Veterinary Paraprofessionals) na nafasi yao katika kuimarisha huduma za afya ya wanyama katika Bara la Afrika.

MWISHO.

Imetolewa: Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

                   Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Super Majinjas :Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Iliyoboleshwa Ipo Kwenye Kichupa Sipesho

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie mme wangu huniridhishi tuwepo kitandani unatakiwa ujitambue mapema

Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye nguvu za kutosha ili kumridhisha mke au mpenzi wake unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya tendo zaidi ya mara tatu lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejiridhisha wewe 

Tumia sasa tiba bora ya nguvu za kiume ;SUPER MAJINJAS dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dakika 10-15 kwa tendo la kwanza pia  huimalisha uume uliolegea na kusinyaa kwa Wale ambao wamepiga punyeto kwa mda mrefu ...dawa hii ni tofauti na ulizowai kutumia ni vidonge na unga 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA tumia dawa hii hapa MAKAKANUA NO 5 ;dawa hii huboresha uume saiz 5,6,7,na 8 na unene wa am 2,3,4,na 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka pia husaidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyiwa tohara ukubwani

 ISENYE NO 3; hii ni dawa ya kisukari hutibu kabisa ugonjwa huo pia ugonjwa wa kisukari ndio chazo kikubwa kwa wanaume kuishiwa nguvu za kiume 

NGWARUSA; hii ni dawa ya uzazi kwa mwanamke na mwanaume .Zipo dawa za vidonda vya tumbo,korodani kuvimba, kupunguza kitambi na minyama uzembe.

Ofisi ipo MBAGALA ZAKHEMU ...njoo mpaka KWENYE UKUMBI WA DAR LIVE ...morogoro yupo wakala na mwanza au piga simu 0744040721- DR BRUNNO   utaletewa popote ulipo uduma hizi

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Alichokisema Balozi Agustine Mahiga Baada ya Kuapishwa Leo Kuwa Waziri Katiba na Sheria

$
0
0
Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania, Dk Agustine Mahiga amesema wizara aliyokuwa akiihudumu ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ilikuwa inafanana na uzoefu wa kazi aliyokuwa akiifanya lakini sasa amepewa kazi ambayo ataifahamu zaidi nchi yake.

Mahiga ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 4, 2019 mara baada ya kula kiapo Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo amesema alikuwa na nafasi ya kubaki kuitumikia jumuiya ya kimataifa lakini yeye na familia yake waliona ni bora kurudi nyumbani.

"Nimefanya kazi katika jumuiya ya kimataifa kwa miaka 30, nimerudi nchini mwaka 2015 nikapewa ubunge na uwaziri, namshukuru sana Rais (John Magufuli)," amesema.

Amesema nchi yoyote lazima ijenge nafasi ya kulinda nafasi yake katika jumuiya za kimataifa na Tanzania ina marafiki wengi, hakuna maadui na hii ilitokana na sera yake nzuri ya kutofungamana na upande wowote.

"Hivi karibuni tulikuwa na malumbano na baadhi ya watu na mshirika lakini baada ya kuwaeleza kuhusu sera zetu walielewa," amesema.

Amesema katika utawala wake amekataa mialiko 30 na ameshiriki kutengeneza katiba ya nchi tano na anaona sasa ni wasaa mzuri kwake kuijua katiba ya nchi yake.

"Nashukuru kwa afya nilikuwa na safari nyingi wakati mwingine nilikuwa nabadilisha nguo airport (uwanja wa ndege) na kwa mwezi naonana na familia yangu mara mbili tu,” amesema Dk Mahiga.

Amesema ofisi yake mpya inampa nafasi ya kufanya kazi kwa ukaribu zaidi na Serikali na wananchi hata utoro bungeni utapungua.

Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri

$
0
0
Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao.

Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. 

Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama pharynx, katika kibofu cha mkojo, uume na hata kwenye uke.

Mfumo mzuri wa kinga wa mwili pamoja aina fulani za bakteria wanaoishi pamoja na fangasi hawa husaidia sana katika kuthibiti maambukizi yanayoyosababishwa na aina hi ya fangasi. 
 
Nini hutokea?
Kwa kawaida, Candida albicans huishi kwenye uke na sehemu nyingine (kama zilivyoelezewa hapo juu) bila kusababisha madhara yoyote yale isipokuwa pale mazingira ya eneo husika yanapobadilika kama vile mabadiliko katika hali ya pH ya  eneo husika (ifahamike ya kwamba pH ya kawaida ndani ya  uke ni 4.0 - 4.5) au uwiano wake na vimelea  (microorganisms) wengine unapoharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya madawa aina ya antibiotics, kupungua kwa kinga mwilini kutokana na magonjwa mbalimbali n.k.

Maambukizi haya ya fangasi yanaweza kugawanywa katika sehemu kuu mbili
  1. Maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi  mara moja hadi nne kwa mwaka na dalili zake huwa si mbaya sana na maambukizi haya husababishwa na fangasi wa jamii hii ya Candida albicans.
  2. Maambukizi makali yaani complicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi zaidi ya mara nne kwa mwaka, dalili zake kuwa mbaya zaidi au kama maambukizi  yatakuwa yametokea kipindi cha ujauzito, ugonjwa wa kisukari, upungufu wa kinga mwilini. Aina hii kusababishwa na vimelea vya aina nyingine tofauti na Candida albicans.
Vihatarishi
Watu walio katika hatari ya kupata maambukizi ya fangasi hawa ni  wale wenye

• Kutumia sana dawa aina ya detergents kwenye sehemu za siri au douches (vifaa vinavyotumiwa kusafishia uke kwa kutumia maji yaliyochanganywa na siki au antiseptic yoyote ile) kwa sababu hali husababisha kuharibika kwa uwiano wa fangasi na aina nyingine ya vinyemelezi kama bakteria aina ya lactobacilli

• Kutumia sana madawa aina ya antibiotics, steroids ambayo yana tabia ya kushusha kinga ya mwili

• Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambayo husababisha mabadiliko katika s ehemu za siri na hivyo kufanya kuwepo kwa ukuaji wa kasi wa fangasi hawa

• Ujauzito (kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili). Hata hivyo ieleweke hapa kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya.

• Matumizi ya dawa za kupanga uzazi (vidonge vya majira)

• Upungufu wa kinga mwilini kutokana na magonjwa sugu kama kisukari, saratani aina yoyote ile, ugonjwa aina ya mononucleosis na nk.

• Ugonjwa wa ukimwi (HIV/AIDS)

• Matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy) kutokana na sababu mbalimbali

• Matibabu ya kusaidia kushika mimba kwa wale wenye matatizo ya uzazi (infertility treatment)

• Msongo wa mawazo (stress)

• Utapia mlo (malnutrition)

• Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi)  zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana nk.

• Kujamiana kwa njia ya kawaida mara tu baada ya kujamiana  kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) au matumizi ya vilainishi venye glycerin wakati wa kujamiana pia yamehusishwa na maambukizi haya.

• Kuvimba kwa tezi la koo (goiter)

• Saratani ya tezi la koo (thyroid cancer)

• Wanawake wenye umri wa miaka kati ya ishirini na thelathini wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wameshaacha kupata hedhi au wale ambao hawajaanza kupata hedhi kabisa hawako kwenye hatari kubwa.

Kwa wanaume vihatarishi  vya maambukizi haya ni

• Kujamiana na mwanamke mwenye tatizo hili au maambukizi haya

• Upungufu wa kinga mwilini

• Matumizi ya madawa aina ya antibiotics kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari

• Magonjwa sugu kama kisukari, saratani ya aina yoyote ile na nk.

Dalili na viashiria kwa wanawake
• Kuwashwa  sehemu za siri  (kwenye tupu ya mwanamke)

• Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri (burning sensation)

• Kufanya kama vidonda katika sehemu za siri (soreness)

• Maumivu wakati wa kujamiana (superficial dyspareunia)

• Maumivu  au usumbufu wakati wa kujisaidia haja ndogo (wakati mtu anakojoa)

• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwa  mdomo wa nje wa tupu ya mwanamke (labia minora)

• Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au nyeupe kijivu, unaoweza kuwa mwepesi, majimaji au mzito na ambao umefanana na jibini (cottage cheese like discharge) wenye muonekano unaojulikana pia kama curd-like appearance. Kwa kawaida, uchafu huu haumbatani na harufu yoyote isipokuwa panapokuwa na tatizo la ziada kama ugonjwa wa zinaa aina ya Bacteria vaginosis. Uchafu huu unaotoka hapa unaweza kuenea kwenye maeneo mengine yaliyokaribu na tupu ya mwanamke kama kwenye mitoki (groin area) au perineum na kusababisha kuharibika kwa ngozi katika sehemu hizo.

Dalili na viashiria hivi huwa mbaya zaidi wakati  mwanamke anapokaribia  kupata hedhi.

Dalili na viashiria kwa wanaume ni
• Kuwashwa sehemu za siri 
• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwenye ncha ya uume
• Kuwepo kwa uchafu wa rangi nyeupe (kama nilivyoeleza hapo juu) kwenye sehemu ya juu ya uume.
• Kuwa na vidonda vidogo kwenye uume (sore on the glans)

Hata hivyo, mara nyingi wanaume hawaoneshi dalili zozote zile, ni vizuri kwa mwanamke kumueleza mwenza wake pale anapopata maambukizi haya ili naye pia apate kutibiwa. 
 

Matibabu
Matibabu ya fangasi huusisha dawa za kutibu fangasi (antifungal drugs) kama vile dawa za kupaka za topical Clotrimazole, topical Nystatin, Fluconazole au topical Ketoconazole. 

Wagonjwa wenye maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated vaginal candidiasis wanaweza kutumia dawa za kupaka (cream) kutoka dawa za fangasi za jamii ya -azole kama vile Butoconozale, Miconazole, Clotricomazole nk. 

Dawa hizi hutumika kwa muda wa siku 3-7 kulingana na aina ya dawa. Mgonjwa anashauriwa kupaka dawa ndani ya uke pamoja na maeneo yote yanayozunguka sehemu hiyo. Jinsi ya kupaka dawa hizi ni kuanzia mbele kuelekea nyuma.

Aidha mgonjwa anaweza kupewa dawa za kutumbukiza ukeni ambayo atatumia kwa muda wa siku 3-14 kulingana na aina ya dawa. Dawa hizo ni pamoja na Miconazole, Tiaconazole, Terconazole, Nystatin nk.

Kidonge cha kumeza aina ya fluconzole pia huweza kutolewa. Dawa hizi nilizotaja hapa juu zina kawaida ya kuharibu ubora wa mipira ya kondomu zilizotengenezwa na mpira aina ya latex (latex condoms) pamoja na vifaa vya upangaji uzazi aina ya diaphragms.

Ni vizuri kwa daktari kabla ya kumpa mgonjwa dawa hizi kumfahamisha kwa ufasaha jinsi ya kuzitumia na tahadhari anayotakiwa mgonjwa kuchukua. Inashauriwa kama baada ya matumizi haya bado mgonjwa ana dalili za maambukizi au mgonjwa akapata tena maambukizi haya ndani ya miezi miwili baada ya matibabu ya awali, basi anashauriwa kwenda kumuona daktari ili apate matibabu zaidi.
 
Kinga ya maambukizi ya fangasi
• Kuosha sehemu ya siri kwa kutumia kitambaa kisafi kila siku na kuosha kuanzia mbele kuelekea nyuma, epuka kurudia ukishafika nyuma.

• Epuka matumizi ya sabuni zenye manukato, bubble baths, vaginal deodorant products, feminine hygiene, na bath powder.

• Vaa chupi ambazo hazibani sana na zilizotengenezwa kwa kutumia pamba au hariri (silk), epuka synthetic underwear.

• Epuka mavazi yoyote ya kubana kama jeans za kubana nk.

• Badilisha nguo za ndani (chupi) kila zinapopata unyevunyevu.

• Fua chupi zako kwa maji yenye nyuzi joto 90 na kuendelea.

• Tumia pad wakati tu unapozihitaji (kama umeingia kwenye mzunguko wako wa hedhi)

• Kula mlo wenye virutubisho vyote kamili (balanced diet)

• Epuka kufanya mapenzi  na mpenzi wako ambaye amepata maambukizi ya fangasi.

• Epuka kuoga  maji moto sana (hot baths) tumia maji ya uvuguvugu, hii kwa wale ambao wanaishi kwenye ukanda wa joto (tropical climate).

• Matumizi ya vifaa vya ngono (sex toys), vifaa vya upangaji uzazi (diaphragms, cervical caps) yanaweza kuleta kujirudia kwa maambukizi ya fangasi kama havitaoshwa  na kukaushwa vizuri baada ya kutumiwa.

• Baadhi ya tafiti zilizofanyika, zimethibitisha ya kwamba unywaji wa maziwa ya mtindi yenye live culture, husaidia kupunguza maambukizi ya fangasi.

Naibu Waziri Atoa ONYO Kwa Wanaohudumia Watalii

$
0
0
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewanyoshea kidole baadhi ya wahitimu wa masomo ya utalii wanaoajiriwa katika maeneo mbalimbali nchini wanaoshindwa kutafsiri vyeti na elimu waliyoipata vyuoni kwa kutoa huduma bora kwa watalii nchini.

 Amesema bado kuna tatizo la watoa huduma wengi katika maeneo ya hoteli ambao ni wavivu, wasiojituma,wenye kukosa ubunifu na wasiotumia lugha nzuri kwa watalii.

Akizungumza wakati wa mahafali ya 38 kwa  wahitimu 21 wa kozi ya ukarimu yanayotolewa bure kupitia mradi wa Trade Aid, kwenye mji mkongwe wa kihistoria wa Mikindani uliopo  katika Manispaa ya Mikindani mkoani Mtwara, Mhe.Kanyasu amewataka wahitimu hao pindi  watakapoajiriwa waoneshe utofauti na kuwa mfano bora  kwa kuchochea utalii katika mikoa ya Kusini.

 Amesema mradi huo wa Trade Aid umekuwa ukitoa mafunzo hayo  kwa muda wa miezi sita kwa  wanafunzi wenye elimu mchanganyiko kuanzia  darasa la saba na kuendelea lengo likiwa kuisaidia jamii ya Mikindani kuchangamkia fursa za utalii.

 Aidha, wanafunzi wanaohitimu mafunzo hayo kila mwaka huajiriwa moja kwa moja kwenye sekta ya hoteli nchini kutokana na ubora wao.

Amesema watalii wengi wanaokuja nchini ni matokeo ya huduma bora na pale inapotokea wamehudumiwa vibaya hawawezi tena kurudi.

Hata hivyo, Mhe Kanyasu amesema licha ya kuwa kuna vyuo vingi vinavyotoa mafunzo hayo kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada, bado watoa huduma walio wengi wamekuwa na uwezo mdogo wa kuwahudumia watalii kwa viwango vya juu ikilinganishwa na elimu waliyonayo.

Amesema licha ya   wafanyabiashara  kujenga Hoteli za kitalii katika maeneo mbalimbali nchini wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kuwapata watoa huduma wenye uwezo wa kutoa huduma bora za kumfanya mtalii aongoze siku za kukaa nchini kutokana na huduma alizopata.

Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Mikindani, Mhe. Elias Mwanjise akizungumza wakati wa mahafali hayo ametoa wito kwa wahitimu hao pindi  watakapojiriwa wafanye kazi kwa bidii na maarifa ya hali ya juu hali itakayopelekea watalii wengi kuja nchini.

Pia amewataka  wazazi wasiwaozeshe binti zao wanaomaliza darasa LA saba na badala yake wachangamkie fursa hiyo ambayo ni nadra kupatikana katika maeneo mengine.

Naye Meneja wa Mradi wa Trade Aid nchini Tanzania,Barnabas Mwambe  amemweleza Naibu Waziri Mhe. Kanyasu kuwa wahitimu wanaomaliza katika Chuo hicho karibu wote wamekuwa wakiajiriwa  kutokana na ubora wao na jinsi walivyoandaliwa.

Amebainisha kuwa mkazo waliouweka Chuo hapo ni mafunzo kwa vitendo kuliko nadharia ili kuwajengea uwezo wahitimu kutoa huduma bora.

Mbali ya kutoa mafunzo hayo bure,  Meneja Mradi huo amesema kuwa wamekuwa  wakiwafungulia akaunti za benki pamoja na kuwawekea kiasi cha shilingi 150,000 kwa ajili ya nauli wakati wakitafuta kazi pamoja na kupewa  kadi ya mafao uzeeni.

Mmoja wa wahitimu wa mafunzo hayo Bi. Husna Ally akizungumza wakati wa mahafali hayo amesema baada ya kuhitimu mafunzo ameanza kuona mwanga wa maisha kutokana na elimu ya darasa la saba aliyokuwa nayo.

Jinsi Dawa Za Asili Za Kuongeza Ukubwa Wa Mwili Zinavyo Fanya Kazi.

$
0
0
Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kitaalamu, makalio  ya  mwanadamu  yanaundwa  na  vitu  vikuu  vitatu  ambavyo  ni  ( 1 )  Misuli  ( 2 ) Tishu  na  ( 3 )  Mafuta .  Vitu  vyote  hivi  vitatu  vinafunikwa  na  ngozi.

Kwa  mantiki  hiyo  basi , ukubwa  na  shape  ya  makalio  ya  mtu  hutegemeana  na  vitu  hivyo  vitatu  nilivyo  viorodhesha  hapo  juu  yani  uwingi na  ukubwa  wa  misuli, tishu pamoja  na  uwingi wa  mafuta kwenye  makalio.

Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaonyesha  kuwa mtu  anaweza  kufanya  mazoezi  maalumu  kwa  ajili  ya  kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio.

Vile  vile  inawezekana  kwa  mtu  kula  kwa  wingi  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  ajili ya  kuongeza  kiasi  cha  mafuta  kwenye  makalio.

Hata  hivyo  wana sayansi  wana  tahadharisha  kuwa  kula  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  lengo la kuongeza  ukubwa  wa  makalio kunaweza  pia  kusababisha  mafuta  hayo  kwenda  katika  sehemu  zingine  za  mwili  yani  mtu  kuongezeka pia  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwilini mwake  kama  vile tumbo  na kunenepa  mwili mzima.

Jinsi    dawa  za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinavyo  fanya  kazi.

Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, dawa za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinafanya  kazi  kwa kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio  na  kuongeza  kiwango  cha  mafuta kwenye  ngozi ya  ndani  ya  makalio.

 Katika  kuongeza  kiwango  cha  mafuta  kwenye  makalio, dawa  hizo  za  asili  hufyonza  mafuta  kutoka  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili na  kuyaelekeza  kwenye  makalio  na  hivyo  kumfanya  makalio  ya  mtumiaji  yaongezeke  na  kuwa  makubwa.

Kwa  kawaida  dawa  nyingi  za asili  zinazo  tumika  kwa  ajili  ya  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  hutumika kwa  muda  wa  siku  thelathini  na  huanza  kuonyesha matokeo  baada ya  siku  kumi  na  tano.

Kwa  maoni  na  ushauri  kuhusu  tiba  mbalimbali  za  asili, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO PLAZA  karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0693  005 189.

Na  kwa  elimu  zaidi  kuhusu  tiba  mbalimbali za  asili, tutembelee  kila  siku  kupitia  tovuti  yetu :

Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 2 na Nusu tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji. Tazama Hapa

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, yawezekana umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini.  Kulalamika tu vyuma vimekaza haitakusaidia kitu kama hutaki kujiongeza ili uongeze kipato chako.

Yako mambo mengi ya kufanya ili kujikwamua kiuchumi. Usitegemee mshahara wako tu. Mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili anaweza kulifanya mwenye mtaji mkubwa au mdogo.
 
Somo  ni dogo tu lakini naamini wapo watakaopata mafanikio makubwa sana.
 
Unaweza kuanza kwa mtaji wa Mil.1 mpaka laki tano au hata chini ya hapo.

==>>Mfano. Unaweza kutumia Tsh 250,000 kununua kuku 25 kwa bei ya Tsh 10,000 kwa kuku mmoja (kadirio la juu) Majogoo watakuwa 5 kwa uwiano wa 1:4.

Hii ina maana kuwa wakishaanza kutaga utakuwa na

vifaranga 20 x 10 = 200Watunze vizuri.

Wale vifaranga tunakadiria kuwa majike watakuwa 150 ambao ndani ya miezi 3 au zaidi nao wataanza kutaga.

Utakuwa na kuku 200 + 25( ulioanza nao) =225 ndani ya miezi 6. Miezi 6 inayofuata 225 - (majogoo 55) = 170 Hii ina maana kuwa 170 x 10= 1,700.

Ndugu msomaji, hayo niliyotoa ni makadirio ya chini sana hivyo mpaka mwisho wa mwaka utakuwa na kuku zaidi ya 2000. 

Mwaka utakaofuata utakuwa na kuku wangapi baada ya kuuza kuku baadhi  ili upate fedha ya kuwalisha ????

Ukiuza kuku 1000, utabaki na kuku 1000, kati yao tuseme majike ni 750. Ndani ya Miaka 2 maanake ni  750(majike) x 10 = kuku 7500 (uza wengine upate pesa ya kutumia kuwalisha) . 

Tuseme sasa utabakiwa na kuku jike  3000 x 10( jike moja ni mayai 10) = kuku 30,000. 

Hao kuku 30,000  ukiwauza wote utapata; 30,000x 13000( bei ya kawaida kbsa)= 390,000,000. Je, bado utakuwa masikini? Bado vyuma vitakuwa vimekaza?

Nina uhakika, mpaka mwisho wa mwaka huo wa pili utakuwa umefanikiwa sana kuukimbia UMASIKINI.

Kwenye hayo mamilioni, hata ukitoa milioni 100 kwamba  tuseme ndo zimetuka kuendeshea mradi wako, bado utakuwa ni milionea tu. Kumbuka huu ni mwongozo tu, fanya utafiti na ufuatilie zaidi.

NB: Ukiyapata hayo mamilioni ya pesa, kumbuka kutoa Zaka, sadaka na kusaidia masikini wasiojiweza ili ubarikiwe zaidi 


Mvutano wa Rwanda na Uganda Wachukua Sura Mpya.......Mpaka Wafungwa, Rwanda Yatoa Tahadhari Kwa Raia Wake

$
0
0
Serikali ya Uganda imemtaka Balozi wa nchi ya Rwanda nchini humo Meja Jenerali Frank Mugambage kueleza mvutano wa kidiplomasia kuhusu sintofahamu kati ya mpaka wa nchi hizo jirani.

Uganda pia inamtaka Balozi wake nchini Rwanda kupata maelezo ni kwanini mvutano huo unaendelea kushuhudiwa.

Hali ya wasiwasi imeshuhudiwa wiki hii baada ya serikali ya Rwanda kufunga mpaka wa Gatuna kwa kile ilichosema kuwa, ulikuwa unakarabatiwa na kulazimu magari ya mizigo kutoka Uganda kupitia mpaka mwingine wa Kagitumba, umbali wa Kilomita 114.

Serikali ya Rwanda, imewataka raia wake wanaokwenda nchini Uganda kuwa makini, kwa madai kuwa raia wake wanakamatwa na kurudishwa nyumbani kwa nguvu.

Mkuu wa Wilaya ya Newala Apata Ajali Mbaya ya Fari

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Newala, Aziza Mangosongo na watu wengine watatu wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali na kupinduka.

Tukio limetokea eneo la Mandawa jana saa mbili usiku wilayani  Kilwa Mkoa wa Lindi  wakati mkuu huyo akiwa safarini kwenda Dar es Salaam.

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine, Muhaji Mohamedi  amesema amepokea majeruhi wanne  ambao ni Aziza Mangosongo, Mwanahamisi  Naenda, mkazi wa Kitangali, Zaituni Lipau  na Jasiri Nguru.

Amesema wanatarajia kuwapa rufaa majeruhi kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili  kwa matibabu  zaidi.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatus Chalya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema dereva Daudi  Kakulilo wa gari hilo la Serikali anashikiriwa  na polisi kwa mahojiano.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya March 4

Spika Za Masikioni Chanzo Cha Matatizo Ya Usikivu

$
0
0
Na WAMJW – Dar Es Salaam
Spika za masikioni maarufu kwa jina la “Headphones” zimetajwa kuwa chanzo kinachopeleka tatizo la usikivu hafifu kwa watu.

Hayo yamesemwa jana na Waziri mwenye dhamana ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu alipokuwa akizungumza na wananchi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Jijini Dar Es Salaam katika kuadhimisha siku ya usikivu duniani.

Waziri Ummy amesema kuwa matumizi ya simu za kisasa yameongeza kasi ya watu kutumia spika za masikioni jambo ambalo linahatarisha kuwa na watu wengi wenye matatizo ya usikivu.

“Unakuta kijana kuanzia asubuhi mpaka jioni ameweka spika za masikioni anasikiliza muziki hawajui wanajiweka katika hatari ya kupata tatizo la usikivu” amesema Waziri Ummy na kuendelea kusema kuwa kundi la vijana liko hatariki kupata matatizo ya usikivu.

Waziri Ummy ametumia nafasi hiyo kutoa rai kwa wananchi kupunguza matumizi ya spika za masikioni ili kuweza kujikinga na matatizo ya usikivu.

“Nitoe rai kwa vijana wapunguze matumizi ya spika za masikioni kwa muda mrefu, tusipo kuwa makini tunaweza kujikuta tuna taifa lenye watu wengi wenye matatizo ya kutosikia vizuri” amesema Waziri Ummy.

Aidha, Waziri Ummy amesema kuwa tatizo la usikivu hutokea pia kwa njia mbalimbali ikiwemo kwa kuzaliwa na tatizo hilo au kulipata ukubwani kutokana na sababu nyinginezo ambazo zinaambata kwa kukaa kwa muda mrefu kwenye sehemu zenye kelele nyingi pamoja matatizo yanayoambata na afya ya sikio.

Waziri Ummy amesema kuwa ni jambo jema kuona sasa matibabu ya matatizo ya usikivu hafifu yanapatikana hapa hapa nchini huku akiwataka wananchi kukata bima za afya ili kuweza kupata matibabu kwa uhakika.

“Serikali imechukua hatua mbalimbali kuhakikisha tatizo hili linazuiliwa kabla ya kutokea lakini pia kuhakikisha matibabu yanapatikana yakiwemo kutumia mashine ya mawimbi ya sauti, upasuaji wa kuziba tundu la ngoma ya sikio pamoja na kupandikizwa vifaa vya kusaidia kusikia” amesema Waziri Ummy.

Hata hivyo alisema takwimu zinaonyesha kuwa mwaka 2018 Hospitali ya Muhimbili imefanikwa kuwapatia wagonjwa 116 vifaa vya mawimbi ya sauti, wagonwja 43 walifanyiwa upasuaji wa kuziba tundu la ngoma ya sikio.

Waziri Ummy amesema kuwa Serikali itaendelea kuboresha huduma za matibabu ya kibingwa na kuhakikisha matibabu yanapatikana hapa hapa nchini.

Awali akitoa taarifa yake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Bw. Makwaiya Makani amesema kuwa wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali katika eneo la usikivu ikiwemo kutoa huduma ya upandikizaji vifaa vya usikivu kwa Watoto wenye matatizo ya hayo.

“Tangu mwezi Juni mwaka 2017 tayari watoto 21 wamepandikizwa vifaa vya usikivu kitaalam kwa jina la ‘cochlear implants” amesema Bw. Makani

Bw. Makani amesema kuwa wameendesha kliniki ya siku mbili katika Hospitali ya Mloganzila kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya matatizo ya usikuvu ambapo watu 264 wamejitokeza kati yao watu 172 walihitaji uchunguzi zaidi wa usikivu, watu 64 wamekutwa na matatizo ya usikivu na tayari wamepatiwa rufaa kwa ajili ya matibabu zaidi na watu 31 wamekutwa na nta za masikioni,pia watu 26 wamekutwa na maambukizi kwenye masikio ambao wamepatiwa rufaa ya matibabu zaidi.

Tatizo la usikivu linazidi kuongezeka siku hadi siku. Inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 5 ya watu duniani wana tatizo la usikivu. Tatizo hili litaongezeka maradufu kila mwaka. Inatakiwa kila mmoja achukue hatua kujikinga na tatizo hili ikiwemo kuepuka sehemu zenye kelele na pia kusikiliza mziki kwa sauti kubwa na kwa muda mrefu na kwa kutumia spika za masikioni.

Mkurugenzi OBC Arusha asomewa Mashtaka 10 ya uhujumu Uchumi.

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uwindaji ya Otterlo Business Corporation{OBC} iliyopo Loliondo wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha Isack Mollel{59} amepandishwa kizimbani kujibu mashitaka kumi ikiwemo uhujumu uchumi,utakatishaji fedha haramu,kugushi na kutoa maelezo ya uongo ya kukwepa kodi ya mabilioni ya pesa.

Akisomewa mashitaka na Mwendesha Mashitaka Mwandamizi wa Serikali,Osward Tibabyekomya akisaidiwa na Materius Marandu na Dismas Mwigunyiza mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Arusha ilidaiwa kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kati ya mwaka 2011 hadi 2018 kinyume cha sheria ya makosa ya jinai vifungu namba 333,335 na 337 vya kanuni ya adhabu na kufanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Tibabyekomya alidai kuwa shitaka la kwanza linalomkabili Mollel ni kosa la kugushi nyaraka kwani kati ya septemba 15 mwaka 2017 na aprill 7 mwaka jana ndani ya Jiji la Arusha Mollel aligushi ivoince namba 9091 ya septemba 15 mwaka 2017 ikieleza kuwa kampuni ya OBC ilinunuwa gari la kifahari lenye namba za Chassis WDB62433615367735 kutoka kampuni ya magari ya Evarest Motors{FZD} ya Dubai kwa gharama ya dola za kimarekani 12,800 .

Shitaka la pili ni kugushi nyaraka tarehe hiyo hiyo mwaka 2017 na mwaka jana aligushi invoice namba 9092 ikionyesha kuwa OBC ilinunuwa gari aina ya Man Truck yenye chassis namba WMA 5500231W007547 kutoka kampuni ya magari ya Evarest Motors ya Dubai kwa thamani ya dola za kimarekani 12,000.

Tibabyekomya alisoma shitaka la tatu linamkabili Mollel kama Mkurugenzi Mtendaji wa OBC ni pamoja na kutoa taarifa za uongo march 7 mwaka jana kuwa akiwa Holili Mkoani Kilimanjaro mpakani mwa Tanzania na nchi jirani ya Kenya mtuhumiwa anatuhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa Mamlaka ya Mapato Nchini{TRA} idara ya ushuru wa forodha yenye lengo la kukwepa kulipa kodi ya serikali.

Ilidaiwa kuwa Kampuni ya OBC ilikwepa kulipa kodi sahihi na kuamuwa kuidanganya serikali na kuingizia hasara ya mamilioni ya fedha kwa kuingiza nchini magari matatu ya kifahari Man Truck chassis WMA5500231W007547,Mercedes Benz chassis namba UWDB62433615367735 na Mercedes Benz Chassis namba UWDB62430415145210 kutoka kampuni ya magari ya Dubai.

Shitaka la nne linalomkabili Mollel pamoja na kampuni ya OBC akiwa kama Mkurugenzi wa kampuni ilidaiwa kuwa julai 2011 na julai 2015 kwa pamoja katika Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro waliingiza nchini magari 31 ya utalii na uwindaji na kukwepa kulipa kodi ya serikali zaidi ya shilingi bilioni 2.2.

Mwendesha mashitaka alisoma shitaka la tano linalomkabili Mollel ni kutoa taarifa za uongo kwa TRA mei 25 mwaka 2013 na februali 4 mwaka 2015 na kuisababishia hasara serikali ya zaidi ya shilingi milioni 299 na kuingiza nchini magari sita bila ya kulipa ushuru wa serikali kutoka kampuni ya magari ya Evarest Motor iliyopo nchini Dubai,

Tibabyekomya alidai kuwa shitaka la sita ni Mollel kutuhumiwa kutoa taarifa za uongo na kukwepa kulipa kodi ya serikali zaidi ya shilingi milioni 111 na kuingiza nchini magari mawili ya kifahari Land Cruisser Pick Up chassis namba JTELB71J707112476 na Ford Ranger Chassis MNCLS329558W735840 yaliyonunuliwa kutoka kampuni hiyo ya Dubai.

Alisoma shitaka la saba ni Februali 18 mwaka 2017 Jijini Dar es salaam Mollel anatuhumiwa kukwepa kulipa kodi ya serikali ya zaidi ya shilingi milioni 199 kwa kuingiza magari mawili ya kifahari ya Nissan Patroll chassis namba JN8FY1NY3EX002626 na Mercedes Benz chassis namba WDCYR48F78X173956.

Mwendesha mashitaka wa serikali alisoma shitaka la nane la utakatishaji fedha haramu ilidaiwa kuwa aprill 3 mwaka jana Holili Mkoani Kilimanjaro Mollel alificha umiliki na mali kwa kutumia jina la kampuni ya OBC kwani aliandikisha jina la gari aina ya Man Truck chassis WMA5500231W007547 yenye namba za usajili T141DNM iliyosajiliwa kwa jina la kampuni wakati gari hilo ni mali yake.

Tibabyemkomya alisoma shitaka la tisa la utakatishaji fedha haramu kwani inadaiw akuwa Mollel na OBC waliidanganya serikali kwa kuingiza magari na kubadilisha umiliki kutoka kampuni hadi umiliki wake wakati akijuwa wazi kufanya hivyo ni kosa kisheria na kuisababishia serikali hasara.

Shitaka la kumi ni uhujumu uchumi kwani ilielezwa mahakamani hapo kuwa januari 2010 hadi 2018 Mkoani Arusha na Kilimanjaro ,Mollel na kampuni ya OBC waliingizia hasara serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 2.8 kwa kutoa maelezo ya uongo TRA juu ya uingizwaji wa magari 31 hapa nchini.

Hakimu Mwakatobe alimweleza mtuhumiwa kuwa hakutakiwa kujibu chochote juu ya mashitaka hayo kwani mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo na kesi hiyo ilihairishwa hadi marc 18 mwaka huu.

Mollel anatetewa na mawakili watatu maarufu Jijini Arusha wakiongozwa na Method Kimomogolo akisaidiwa na Daud Haraka na Godluck Peter.

Wabunge Wawili CHADEMA Susan Kiwanga na Peter Lijualikali Kuendelea Kusota Rumande

$
0
0
Wabunge wawili wa Chadema, Susan Kiwanga (Mlimba), Peter Lijualikali (Kilombero) na wenzao saba wanaoaminika kuwa wafuasi wa chama hicho wamerudishwa rumande hadi Machi 7, 2019 na mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro itatoa uamuzi wa dhamana yao.

Washtakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu Machi 4, 2019 saa tano asubuhi lakini kesi hiyo ilianza kusikilizwa majira ya saa saba mchana kufuatia hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Elizabert Nyembele kuwa na kesi nyingine ya kusikiliza.

Hakimu Nyembele ambaye ni hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo ameahirisha kesi baada ya kusikiliza hoja zilizotolewa na upande wa mashtaka na ule wa utetezi kuhusu dhamana ya washtakiwa hao.

Upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Hekima Mwasipu ndio uliokuwa wa kwanza kuwasilisha hoja za kupinga zuio la dhamana lililotolewa na upande wa mashtaka ambapo amedai zuio hilo halikufuata taratibu za kisheria na hivyo si halali.

Wakili Mwasipu amedai upande wa mashtaka umeshindwa kuonyesha kifungu maalumu walichokitumia katika kupinga dhamana ya washtakiwa hao badala yake wanaonyesha kuomba huruma ya mahakama katika kuzuia dhamana.

Upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali mwandamizi, Neema Haule ulidai umefuata taratibu zote za kisheria za kupinga dhamana ya washtakiwa hao na wametumia kifungu cha sheria namba 392 A cha mwenendo wa makosa ya jinai.

Wakili Haule amedai kifungu hicho chenye vifungu kidogo cha kwanza hadi cha tatu kinaeleza taratibu zinazopaswa kufuatwa wakati wa kupinga dhamana hivyo aliiomba mahakama ipokee hoja za kupinga dhamana ya washtakiwa hao kama walivyoziwasilisha.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images