Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wema Sepetu akana kuchapisha video ya ngono Mtandaoni

0
0
Msanii wa Filamu Nchini, Wema Sepetu (30) amekana mahakamani tuhuma za kuchapisha video ya ngono katika ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

Hata hivyo, Wema amekiri majina na anuani yake wakati akisomewa maelezo ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Maelezo hayo yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi, Maira Kasonde.

Wakili wa Serikali, Glory Mwenda, alidai kuwa kesi hiyo imepangwa kwa ajili kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya mshtakiwa.

Wakili wa utetezi, Ruben Simwanza, alidai utetezi wako tayari kusikiliza maelezo hayo. Mwenda alidai kuwa Wema anakabiliwa na shtaka moja la kuchapisha video ya ngono katika mtandao wa jamii wa Instagram.

Alidai kuwa kutenda Oktoba 15, 2018 katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam, alitenda kosa hilo la kusambaza video za ngono kupitia ukurasa wake ya Instagram, picha zisizokuwa na maudhui.

Wakili huyo, alidai Wema ambaye ni mkazi wa Mbezi Salasala, anamiliki ukurasa katika mtandao wa jamii wa Istagramu wenye jina la Wemasepetu.

Alidai siku hiyo ya tukio, mshtakiwa alirekodi video ya ngono ambayo haina maudhui kupitia simu yake ya kiganjani, akitumia laini ya Vodacum yenye namba 0755 555 ***.

Baada ya kurekodi video hiyo, Oktoba 25, 2018, mshtakiwa huyo aliisambaza katika akaunti yake ya Istagram, wakati akijua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.

Glory alidai kuwa video hiyo aliyorekodi Wema, ilikuwa inaonyesha kuwa Wema alikuwa ananyonyana ndimi (denda) na mwanaume, huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na maadili ya Tanzania.

Hata hivyo, Oktoba 25, 2018 maofisa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania( TCRA), waliiona video hiyo na kuripoti tukio hilo katika kituo cha Polisi Kijitonyama.

Upande wa mashtaka ulidai kuwa, baada ya maofisa wa TCRA kuripoti tukio hilo, Wema alikamatwa Oktoba 29, 2018 na kupelekwa katika kituo cha Kikuu cha Polisi (Central), ambapo alihojiwa na polisi.

Baada ya kuhojiwa polisi, Wema alikana kuhusina na tukio hilo na Novemba Mosi, 2018, alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kufunguliwa shtaka moja ya kusambaza video ya ngono katika mitandao ya kijamii.

Baada ya kusomewa maelezo hayo, alikubali majina yake mawili, anuani yake na sehemu anayoishi.

Pia alikubali kuwa anamiliki akaunti ya Istagram yenye jina la Wemasepetu.

Alikiri kukamatwa Oktoba 29, 2018 na kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa ajili ya kuhojiwa, alifikishwa Mahakama ya Kisutu, Novemba Mosi, 2018, kujibu shtaka linalomkabili.

Hata hivyo, upande wa mashtaka ulidai kuwa unatarajia kuwa na mashahidi watano katika kesi hiyo.

Hakimu Kasonde alisema kesi hiyo itaanza kusikiliza mashahidi wa Jamhuri Machi 18, mwaka huu.

Ajali ya Lori na Coaster Yaua Watu 19

0
0
WATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari hilo kufeli breki na kugonga magari mawili likiwemo la abiria katika mteremko wa Senjele Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe.

Inadaiwa kuwa lori hilo lilikuwa likitoka Tunduma kuelekea Mbeya na baada ya kufeli breki, lilianguka na kulilalia gari aina ya Coaster lenye abiria lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Tunduma katika mteremko huo ambao upo katika eneo la Nanyala mpakani mwa mikoa ya Songwe na Mbeya.

Taarifa ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe imesema wamepokea miili 17 ya marehemu wa ajali hiyo ambayo wameihifadhi, na miili mingine miwili (ya waliokuwa majeruhi na baadaye wakafariki dunia) imehifadhiwa katika Hospitali ya Misisi iliyopo Mbeya Vijijini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, George Kyando amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na hakuna mtu aliyepona kwenye ajali hiyo kwani watu wote waliokuwa kwenye magari hayo wamepoteza maisha.

Kakakuona 2: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume

0
0
_________________________
'DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME KAKAKUONA 2''.
_________________________                                     Inakadiriwa 75% ya Wanaume katika Nchi Za Jangwa la Sahara wanakabiliwa na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume. SABABU KUU ni:
 🔖 (i) Mfadhaiko wa Mawazo pindi anapotaka kufanya Tendo la Ndoa hupelekea msukumo wa Damu na Mapigo ya Moyo kwenda Kasi kulingana na Hofu ya Kumudu Tendo la Ndoa/
🔖 (ii) Mwili kupatwa na Magonjwa ya Mara kwa Mara (Body Disorder dieses) kama vile KISUKARI, MAGONJWA YA ZINAA, MALARIA SUGU, BP, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, NGIRI, ( hernia) , Matatizo ya Mgongo na Kiuno/
🔖(iii) Magonjwa Sugu kama Cancer, Kisukari , Bp, Ukimwi, Kifua Kikuu, Tambazi, BAWASIRI na Vidonda Tumbo. Hupelekea kupungua kwa Hormones za vichocheo/
🔖 (Iv) Constipation ni kuaharibika kwa Mfumo wa Ulaji wa Chakuala na Mmeng'enyo wa Chakula Mwilini na kupelekea kupata choo kigumu na Tumbo kuunguruma na kujaa gesi/
📎Hii hupelekea mwanaume kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia Tendo la Ndoa📎
________________________
TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA ZA ASILI.
📍KAKAKUONA 2 Ni dawa ya Bora zaidi inayotibu na kuponya kabisa Tatizo la upungufu wa Nguvu za Kiume , hukufanaya urudie Tendo la Ndoa zaidi ya 4 _kwa siku.
📍Pia KAKAKUONA 1 Hurefusha na Kunenepesha Maumbile ya umme kwa siku 5 tu./
📌Dawa hizi hutumika kwa umri zaidi ya 18 tu.pia Tunatibu Matatizo ya:
🔖Uzazi/,
🔖Muwasho Sehemu Za siri/
🔖Fungus/
🔖Kisukari/
🔖BAWASIRI/
🔖Mgongo/
🔖Kiuno kuuma/
🔖Tumbo kujaa gesi/
🔖Maumivu ya Misuli ,Miguu ,Bp, Mwili kukosa Nguvu nk.
_________________________
Fika kwa KAKAKUONA HERBAL CLINIC.
SIMU NO:
📞0713 29 39 88  na
📞0758 07 82 80
DR THOMAS NAPATIKANA MBAGALA RANGI TATU __________________________

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Magonjwa yanayoababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Ni Kama Vile, Kisukari ,presha, Ngiri Ya Kupanda Na Kushuka, Kiuno, Maumivu Ya Mgongo, Tumbo Kuuma Chini Ya Kitovu, Tumbo Kujaa Gesi. Yote Matatizo Yote Haya husababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Kushindwa Kufanya Kazi Kwa Mwenza Wako  .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa Dar anapatikana mbagala Zakhem.  Songea ,bombambili, Shinyanga, Kahama ,mjini, Kwa ,maelezo, Zaidi , Piga Simu 0763172670/ 0715172670,/ ,Sema ,haloo, Dr Sitta... Wote  mnakalibishwa. 

Tiba ya Tatizo la Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote.

Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-

☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda  Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-

1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza  size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=

2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7  @130,000/=

3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @130,000/=

4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @250,000/=

5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130,000/=

BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA NI SALAMA KIAFYA

    Wasiliana nasi Popote

  ulipo duniani kwa (+255)

      Whatsap     0653 074067 )

             0752 92 34 61

CHADEMA Watoa Tamko Sugu Kukamatwa na Jeshi la Polisi

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo February 22 2019 wamewaita waandishi wa habari na kutoa kauli kuhusu Mbunge wao wa CHADEMA Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye alikamatwa jana na kauchiwa kwa dhamana Mkoani Mbeya baada ya kuzungumzia kuhusu vitambulisho vya wafanyabiashara akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam, Naibu Katibu Mkuu (CHADEMA) Zanzibar amesema hatua hiyo inalenga kumsumbua kiongozi ili asiweze kutekeleza majukumu yake ya kibunge.

"Sababu ya yote yanatokea ni wivu, kinachoendelea Mbeya Mjini kumsumbua Sugu na wengine ni kwanini Sugu anapendwa Mbeya, kwanini Sugu anapendwa na wapiga kura wake, mapenzi ya watu wa Mbeya hayawezi kuisha kwa Sugu kwenda polisi bali watazidi kumpenda", amesema  Salum Mwalimu.

 
Aidha, Mwalimu amedai kilichozungumzwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi katika mkutano wake jijini Mbeya hakukuwa na viashiria vyovyote vya ukiukwaji wa sheria.
 

Jana, Februari 21, 2019, Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya lilimshikilia Mbunge huyo  kujibu madai ya kutoa kauli ya uchochezi.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya (RPC)  Urich Matei,  ni kwamba Sugu ameonekana katika moja ya clip za video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii akisikiliza hoja na malalamiko ya wananchi na kuyatolea ufafanuzi na ndipo alipoongea kwa kutoa msimamo wake kuhusu zoezi la ugawaji wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo-wadogo (wamachinga) na kusema havifai na vinastahili kuchomwa moto.
 
Sugu alizungumzia suala hilo Februari 16, 2016 baada ya kutoa msaada wa saruji, nondo na mabati katika Shule ya Ikuti Mbeya ambapo aliwaahidi wananchi kuwa atakwenda kuhoji bungeni suala la vitambulisho wanavyouziwa ‘Wamachinga’ kwa bei ya shilingi 20,000/= ili kujua msingi wake na kwanini limeanza kufanyiwa kazi bila kuwashirikisha wadau ili kuwa na uelewa wa pamoja.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Mahakama Yasogeza Mbele Hukumu ya Mgogoro Wa Lipumba na Maalim Seif Ndani ya CUF

0
0
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kutoa hukumu ya mgogoro wa uongozi ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) na badala yake imeisogeza mbele hadi Machi 17, 2019.

Hukumu hiyo ilitarajiwa kutolewa leo Ijumaa, Februari 22, 2019 na Jaji Benhajj Masoud aliyekuwa akiisikiliza kesi iliyofunguliwa na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wadhamini  wa chama hicho. Hukumu hiyo imeahirishwa na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Sharmillah Sarwatt.

Akiahirisha hukumu hiyo Naibu Msajili, Sarwatt amesema Jaji Masoud ambaye alitarajiwa kuisoma anakabiliwa na majukumu mengine.

“Hivyo nina ahirisha usomaji wa hukumu hii hadi Machi 17 mwaka huu,” amesema Naibu Msajili Sarwatt akitaja tarehe hiyo baada ya kuwasilishwa na karani wa Jaji Masoud.

Hata hivyo, tarehe hiyo itakuwa ni siku ya Jumapili siku ambayo huwa hakuna shughuli za kimahakama.

Waziri Mkuu: Sekta Binafsi Na Mashirika Ya Dini Angalieni Gharama Za Huduma Mnazozitoa

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema taasisi binafsi na mashirika ya dini yaendelee kuangalia namna ya kupanga gharama za huduma wanazotoa zikiwemo za elimu na afya ili ziwiane na hali halisi ya vipato vya wananchi.

“Hivi sasa, Serikali kupitia vyombo mbalimbali inachukua hatua za makusudi za udhibiti ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma zenye viwango, ambapo baadhi ya wadau na wamiliki wanailalamikia Serikali kuwa inawakandamiza na kuwawekea masharti magumu.”

Ameyasema hayo leo (Ijumaa, Februari 22, 2019) wakati akizindua shule ya Sekondari Jumuishi ya Mtakatifu Amachius Inclusive katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Amezindua shule hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Magufuli.

Waziri Mkuu amesema lengo la udhibiti huo ni kuimarisha viwango na ubora wa elimu inayotolewa, hivyo ni muhimu kwa wadau wote kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na miongozo iliyowekwa na Serikali.

Amesema utoaji wa elimu bora kwa Watanzania ni moja ya vipaumbele vya nchi katika kuleta maendeleo na kufikia malengo ya Milenia 2025, Elimu kwa wote (EFA) na Mkakati wa Kupambana na Kupunguza Umasikini Tanzania (MKUKUTA).

Pia, Waziri Mkuu amesema ili kuweza kufanikisha hayo wanahitaji sekta hiyo kuwa bora, imara, inayokidhi mahitaji ya jamii kwa kuwapa vijana maarifa na ujuzi wa kukabiliana na matatizo ya kijamii, kitaifa na kimataifa.

Akizungumzia kuhusu mafanikio ya sekta ya elimu, Waziri Mkuu amesemaSerikali kwa kushirikiana na wananchi na wadau mbalimbali imepata mafanikio makubwa sana katika upatikanaji wa huduma za jamii ikiwemo elimu, afya na maji.

”Hivi sasa kila kijiji nchini kina shule ya msingi na ongezeko limefikia idadi ya shule za msingi 17,659 zikiwemo zilizo chini ya Kanisa katoliki 204. Pia, tumejenga shule za sekondari katika kila kata, ambazo zipo 4,883 nchi nzima zikiwemo 266 zilizo chini ya kanisa katoliki.”

Amesema idadi hiyo ya shule imesaidia kutoa fursa kwa wanafunzi wengi kupata elimu katika ngazi mbalimbali nchini na kwa kuzingatia Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi wanatekeleza mpango wa elimu msingi bila ada.

Waziri Mkuu ameongeza kuwa Serikali inatoa kiasi cha shilingi bilioni 24.4 kila mwezi kwa ajili ya kughalamia mpango wa elimu msingi bila ada, kwa lengo la kuhakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule anapata fursa bila vikwazo.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali imeongeza idadi ya wanufaika na Elimu ya Juu kwa kuongeza bajeti ya fedha za mikopo kwa wanafunzi, ambapo kwa sasa inatoa zaidi ya shilingi bilioni 483 kwa mwaka.

”Kwa upande wa afya tunaendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma kwa kujenga zahanati katika kila kijiji, kuimarisha vituo vya afya na ujenzi wa Hospitali 67 katika Halmashauri na Hospitali 4 za Rufaa kwenye Mikoa ambayo haikuwa na Hospitali za Rufaa. Upatakinaji wa dawa umeimarika kwa zaidi ya asilimia 90.”

Waziri Mkuu amesema licha yamikakati waliyonayo na namafanikio wanayoyapata, Serikali inathamini sana mchango wa sekta binafsi na taasisi za dini katika kuimarisha upatikanaji wa huduma za elimu, afya, maji na miundombinu ya barabara.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu amewataka wazazi na walezi kutowaficha ndani watoto wenye mahitaji maalumu na badala yake wawapeleke shule kwa kuwa nao wanahaki ya kupata elimu kama watoto wengine.

”Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri hakikisheni watoto wote wenye mahitaji maalumu kwenye maeneo yenu wanapelekwa shule na wachukulieni hatua wote watakaobainika wamewaficha watoto hao.”

Akiwa shuleni hapo Waziri Mkuu ameshuhudia mmoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanz, Joseph Joachim  ambaye hana mikono akiandika kwa kutumia vidole vya miguu. ”Mwanafunzi huyu anandika muandiko mzuri kupita hata wanaotumia mikono haya ni maajabu ya Mwenyezi Mungu.”

Awali,Mkuu wa shule hiyo Padri Patrick Asanterabi alisema ujenzi wa shule hiyo hadi hivi sasa umepita katika awamu saba tangu kazi ya ujenzi ilipoanza rasmi mwaka 2015. Kwa sasa shule inawanafunzi 74 huku lengo ni kufikisha ni wanafunzi 500 itakapokamilika.

Alisema ujenzi huo ulianza kwa tukio la kubariki kazi kwa ‘kupiga jembe la kwanza’ lililofanywa na Mhashamu Askofu Mkuu Isaac Amani, wakati huo akiwa Askofu wa Jimbo katoliki Moshi.

“Kuanzia hapo, miundombinu mbalimbali ilijengwa ikiwemo, madarasa, vyoo, mabweni, ukumbi wa shule, jengo la utawala, nyumba ya masista, jiko na uwekaji wa mifumo ya umeme na maji.”

Alisema shule imedhamiria kutoa elimu bora kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu na wengine ili kuhakikisha wanakuwa na ulewa mzuri utakaowawezesha kupata matokeo mazuri na kuendelea na masomo pamoja na kujitegemea.

Kwa upande wake, Askofu Mkuu wa Jimbo la Arusha, Mhashamu Askofu Isaac Amani, ambaye ndie muasisi wa shule hiyo alisema alipata wazo hilo baada ya mwanafunzi mmoja wa kike aliyekuwa anasoma shule ya Mtakatifu Francis kumtembelea.

Alisema mwafunzi huyo ambaye ni mlemavu wa macho alikuwa akisoma shule ya msingi alimuuliza kuwa baada ya kumaliza watakwenda wapi kuendelea na masomo kwani alisikia wenzao wanapangiwa shule ambazo miundombinu yake si rafiki kwao ndipo akapata wazo la kuanzisha ujenzi wa shule hiyo.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Mawaziri Saba Watua Manyara Kutatua Migogoro Ya Ardhi

0
0
MAWAZIRI saba wametembelea Kijiji cha Kimotorok Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa eneo hilo na hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero. 
 
Pia mawaziri hao wamesikiliza mgogoro wa ardhi wa kijiji cha Irkushbor cha wilayani Kiteto na hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero. 
 
Mwenyekiti wa mawaziri hao, William Lukuvi ambaye ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema wametumwa na Rais John Magufuli kusikiliza mgogoro huo. 
 
Waziri Lukuvi alisema baada ya kupokea mapendekezo ya namna ya kumaliza mgogoro huo kutoka pande zote watafikisha suala hilo kwa Rais Magufuli ili atoe maamuzi. 
 
Alisema wamepokea maoni kutoka kwa wananchi wa vijiji hivyo, viongozi wa serikali ngazi ya mkoa na wilaya, wabunge, hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero. 
 
“Baada ya kupokea mapendekezo haya kwa njia ya maandishi na maoni ya mdomo tumeandika na tutayapeleka kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri na kisha aliyetutuma atayatolea maamuzi,” alisema Lukuvi. 
 
Mawaziri saba waliofika Simanjiro ni Lukuvi, Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi, Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Sima. 
 
Akizungumza mbele ya Mawaziri hao saba, Mnyeti alisema amekagua nyaraka zote zilizopo kwenye mkoa huo lakini hajakuta sehemu inatamkwa kuwa pori la akiba la Mkungunero lipo Manyara. 
 
Mnyeti alisema baadhi ya wafugaji wa kijiji cha Kimotorok wilayani Simanjiro na Irkushbor wilayani Kiteto wanafukuzwa mara kwa mara na wakanyang’anywa mifugo yao zaidi ya 600. 
 
Mbunge wa jimbo la Simanjiro, James Ole Millya alisema wananchi hao wamenyanyasika vya kutosha kwani kila wakati wanafukuzwa na kuambiwa wapo hifadhini.
 
Ole Millya alisema ni wakati sahihi wa kuweka mpaka ili ijulikane mwisho wa wafugaji hao na hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero, kuliko mpaka wao kusogezwa kila wakati. 
 
“Kwa sababu mmekuja na helkopta mnaweza kupita juu na kuona mifugo yetu ng’ombe na mbuzi zinachungwa pamoja na wanyamapori wakiwemo tembo, pumbamilia, swala na nyumbu sisi wamasai ni wahifadhi wazuri,” alisema Ole Millya. 
 
Diwani wa kata ya Loiborsiret Ezekiel Lesenga (Mardad) alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwajali na kuwatetea wafugaji na wakulima nchini. 
 
Mardad alisema hivi sasa wafugaji na wakulima wa eneo hilo wanalishia mifugo yao na kulima sehemu ambazo walikuwa wanazitumia miaka iliyopita kabla ya kuondolewa kwa kudaiwa wapo sehemu ya hifadhi ya Taifa ya Tarangire na pori la akiba la Mkungunero.

Mkurugenzi Jamii Forums na Mwenzake Wakutwa na kesi ya kujibu

0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo na mwenzake Mike Mushi, wamekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya kuzuia jeshi la polisi kufanya uchunguzi, inayowakabili viongozi wa mtandao huo.

Washitakiwa hao wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  leo Ijumaa Februari 22, wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi kama  wana kesi ya kujibu au la, baada ya upande wa jamhuri kufunga ushahidi wa mashahidi watatu.

Akisoma uamuzi huo, Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba amesema baada ya kupitia ushahidi na kielelezo ambacho kilitolewa mahakamani hapo amejiridhisha pasi na shaka kuwa washtakiwa hao wana kesi ya kujibu.

Amesema washtakiwa hao wanaweza kujitetea kwa kula kiapo, bila kiapo au kukaa kimya na kusubiri uamuzi wa mahakama.

Baada ya kueleza hayo, wakili anayewatetea washtakiwa hao, Nashon Mkungu amedai kuwa wateja wake watajitetea kwa kiapo na wanatarajia kuwa na mashahidi watano.

"Upande wa utetezi tunatarajia kuleta mashahidi watano, hivyo tunaomba tarehe ya kuanza kujitetea" amedai wakili Mkungu.

Wakili wa utetezi baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba amepanga Machi 14 na 19, 2019 washtakiwa hao waanze kujitetea.

"Washtakiwa wataanza kujitetea Machi 14 na 19, hivyo nataka upande wa utetezi mje na mashahidi hao kwa muda tuliopanga ili kesi hii iweze kuisha mapema kabla mwezi Machi haujaisha" alisema Simba.

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Yaja Kimkakati Kuzuia Upotevu Wa Mahindi Baada Ya Kuvuna

0
0
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetoa wito kwa wakulima na wasindikaji wa zao la mahindi kuwekeza katika teknolojia za kisasa kwa lengo la kuzuia upotevu wa mahindi baada ya kuvunwa ili kuleta tija katika mnyororo wa thamani wa zao hilo.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara, Bw. Augustino Matutu Chacha wakati akizungumza na wawekezaji katika usindikaji wa zao la mahindi mara baada ya kuzindua mradi maalum wenye lengo la kuchagiza wawekezaji hao katika uongezaji wa thamani wa zao hilo.

“Natoa wito kwa wasindikaji kutumia fursa za mradi huu ili kuongea tija katika shughuli zao,” amesema.

Kwa upande wake Msimamizi wa mradi huo, Bi Eunice Mbando amesema kuwa mfuko huo umelenga kuwajengea uwezo wasindikaji wa ndao kuwa sehemu ya uongezaji wa thamani wa mnyororo wa zao hilo.

“Tunaamini Mradi huu utasaidia kuzuia upotevu wa mahindi hivyo kuleta tija kwa wakulima wa zao hili,” amesema.

Akizungumza kwa niaba ya wasindikai walioshiriki katika uzinduzi wa Mradi huo, Bw. Savior Chanay kutoka Kampuni ya Real World ya mkoani Ruvuma ameishukuru Serikali kupitia TADB kwa kuja na Mradi huo ambao utaongeza tija katika mnyororo wa thamani wa mahindi.

“Mradi huu utaleta tija katika shughuli zetu za kila siku hivyo kuongeza uwezekano wa kuongeza kipato kwa wakulima wa mahindi,” amesema

Serikali yatoa majeneza 19 Kusaidia Waliofariki kwa Ajali Songwe

0
0
Serikali mkoa wa Songwe imetoa majeneza 19 kwa ajili ya kuhifadhia miili ya watu 19 waliofariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Ijumaa Februari 22, 2019 katika Mlima Senjele wilayani Mbozi mkoani hapa.

Akizungumza leo, mkuu wa wilaya ya Mbozi, John Palingo amewaambia waombolezaji waliofika katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Serikali ya mkoa wa Songwe (Vwawa) kuwa kazi ya kutambua miili hiyo inasimamishwa kwa muda ili kupisha wataalamu waiweke vizuri miili hiyo iliyoharibika vibaya.

“Serikali ya mkoa imetoa majeneza hayo ili kuweza kuistiri vizuri miili kisha baada ya hapo kazi ya kuitambua itaendelea kama kawaida,” amesema Palingo.

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi ajali Iliyoua Watu 19 Songwe....Ampa Pole Kigwangalla kwa Kufiwa na Mtoto

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza jamaa zao katika ajali ya barabarani iliyotokea katika Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe na kusababisha vifo vya watu 19.

Ajali hiyo imetokea February 21, 2019 katika mteremko wa mlima Senjele ambapo lori (Semi-trailer) lililokuwa likisafiri kutoka Tunduma kwenda Mbeya Mjini lililigonga basi la abiria kwa nyuma, kisha basi hilo likaminywa katikati baada ya kuligonga lori jingine (Semi-trailer) lililokuwa mbele yake na kusababisha vifo vya watu wote 18 waliokuwemo ndani ya basi pamoja na dereva wa lori lililogonga basi la abiria.

Rais Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Mstaafu Nicodemas Elias Mwangela kufikisha salamu zake za pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na vifo vya watu hao na amewaombea kwa Mwenyezi Mungu aziweke roho za Marehemu wote mahali pema peponi, Amina.

Aidha, Rais Magufuli amezitaka mamlaka zinazohusika na usalama wa barabarani Mkoani Songwe kufanya uchunguzi wa ajali hiyo na kuchukua hatua zinazostahili pamoja na kujipanga vizuri kukabiliana na matukio ya ajali za barabarani.

Wakati huo huo, Rais Magufuli ametoa mkono wa pole kwa familia ya Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye amefiwa na mwanae aitwaye Zul Hamis Kigwangalla jana tarehe 21 Februari, 2019 Jijini Dar es Salaam.

Rais Magufuli akiwa na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli wamefika nyumbani kwa familia hiyo Mikocheni Jijini Dar es Salaam na kukutana na baadhi ya wanafamilia wakiongozwa na Mama wa Marehemu Dkt. Bayoum Kigwangalla wakiwa katika maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Nzega Mkoani Tabora. Dkt. Hamis Kigwangalla ameshatangulia Nzega ambako mazishi yatafanyika baadaye leo.

BREAKING: Watu 8 Wanaotuhumiwa Kuchoma Kituo Cha Polisi Bunju A Wahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu nane kutumikia kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kuchoma moto kituo cha polisi Bunju A, jijini Dar es Salaam. Kati ya washtakiwa nane wamo wanafunzi wawili.

Jumla ya washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa ni 35 ambapo awali Mahakama ilikwisha waachia huru washtakiwa 17 na kubaki 18 ambapo 8 ndio wametiwa hatiani leo huku 10 wakiachiwa huru.

Washtakiwa hao walikuwa wanakabiliwa na makosa 6 ikiwemo kuchoma kituo hicho moto ambapo wanadaiwa walilitenda Julai 10, 2015.

Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo amesema kitendo walichofanya washitakiwa ni unyama kwa kuchoma moto kituo hicho.

Bingwa Wa Magonjwa Yaliyoshindikana Kutoka Ukoo Wa Chifu Majebele Wa Kisukuma

0
0
BINGWA WA MAGONJWA YALIYOSHINDIKANA KUTOKA UKOO WA CHIFU MAJEBELE WA KISUKUMA.
_____________________________

📍MWAGALA NUNDANUNDA POWER,
Ni dawa inayotibu tatizo la Nguvu za kiume na kupona kabisa pia unaruhusiwa kutumia Kama Kinga ili tatizo lisikupate kuanzia miaka 18-75.,
📌Inakufanya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila kuchoka na Wala hamu kuisha.
📌Inasaidia kutoa msongo wa mawazo na kuchelewa kwa mda wa dakika 20-30,

📍Dawa hii Ni uhakika na kiboko Ipo ktk mfumo wa vna unga Ni dozi ya siku 6.📍
Kama umetafuta sana tiba MWAGALA 4 POWER kiboko....
_____________________________
📍MMALE MIX,
Ni suluhisho la maumbile madogo hukubadilisha kwa Kasi zaidi unapoanza kuitumia na kufanya maumbile kuwa mnene inchi 2-4 na mrefu inchi 3-7.5,
🔖Ni dawa ya kunywa yenye mfumo wa vidonge, na ya unga kutumika kukanda kwa ajili ya kubadilisha maumbile,
🔖Hii Ni kweli kweli tupu dozi siku 4..mabadiliko ndani ya masaa 72.
_____________________________
📍MMEGELE,
Ni mixer ya miti 18 inayotibu ugonjwa wa kisukari iwe ya kupanda au kushuka na kufanya uwe normal,
Tatizo Hili hata Kama unalo zaidi ya miaka 10 na kuendelea ukizingatia matumizi sahihi ya dawa hii tatizo litaisha na kubaki stori..na kusahau kabisaa,wamenishukuru watu wengi waliokua na tatizo Hilo tangu mwezi wa 7 mwaka Jana mpaka Sasa hawana kabisa tatizo hilo wahi Sasa upate tiba kwa Dr WEJA anatumia mtu wa Rika zote dozi  siku 14 imetengenezwa kwa mfumo wa unga tu.
_____________________________
📍MIZIZI MIX(TUNDWA),
Ni dawa ya kutibu Uzazi kwa watu walioshindwa kupata watoto kwa mda mrefu pia kwa kina mama wanaobeba mimba na kutoka na  Hutibu uvimbe tumboni, suluhisho Ni MIZIZI ya miti shamba na kukufanya kupata watoto bila wasiwasi,Ni Bora Bora  mno,dozi siku 25 Ina mfumo wa vidonge na unga na kwa wale wanao bleed bila mpangilio,au siku kupitiliza na kutokwa na mabonge ya damu MIZIZI itakuweka sawa kabisa.
_____________________________

📍KILIFA,
Ni kiboko ya ugonjwa wa tezi dume,kuziba kwa mirija ya mkojo,Ni dawa ya mitishamba  Na ukitumia unapona bila kulazwa na kuendelea kufanya shuhuli zako dozi siku 7.
_____________________________
📍IYOLIMA,
NI tiba Bora ya Busha bila kufanyiwa operation na kusambaa kabisa hata Kama Ni kubwa kiasi gani iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge dozi siku 18,.
_____________________________
📍KOBEKO,
Ni dawa ya kuunganisha mahusiano ya watu wawili waliofarakana na kuweza kurudiana kwa haraka zaidi kwa kutumia majina hata Kama mpo mbali,ndani ya masaa 4 .
_____________________________
📍SUNGURURU,
Ni dawa ya biashara yoyote, popote pia hudhibiti chuma ulete inafanya kazi muda huohuo unapoanza kutumia.
_____________________________
📍GWATA,
Ni dawa ya kutengeneza shape,hips miguu wa bia.
_____________________________
📍KURAMEMBE,
Ni dawa ya kutoa mafuta mwilini, chunusi,nyama uzembe,muwasho na harara,dozi siku 4.
_____________________________
📍KOMA,
Ni dawa ya kutibu Miguu kuvimba,kuuma,magoti kutoka damu puani na misuli kukaza...

📌Na mengineyo niguse kwa tatizo ulilonalo nitakwambia naweza au siwezi.📌
_____________________________
From TANZANIA kama upo nje ya ya nchi nasafirisha,napatikana Dar es salaam(BUGURUNI NA MBAGALA) na Shinyanga kwa mawasiliano,
📞0784 475 946,
📞0753 928 576
DR. WEJA.
KUTOKA UKOO WA MACHIFU
_____________________________

Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 2 na Nusu tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji. Tazama Hapa

0
0
Mpendwa msomaji wetu, yawezekana umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini.  Kulalamika tu vyuma vimekaza haitakusaidia kitu kama hutaki kujiongeza ili uongeze kipato chako.

Yako mambo mengi ya kufanya ili kujikwamua kiuchumi. Usitegemee mshahara wako tu. Mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili anaweza kulifanya mwenye mtaji mkubwa au mdogo.
 
Somo  ni dogo tu lakini naamini wapo watakaopata mafanikio makubwa sana.
 
Unaweza kuanza kwa mtaji wa Mil.1 mpaka laki tano au hata chini ya hapo.

==>>Mfano. Unaweza kutumia Tsh 250,000 kununua kuku 25 kwa bei ya Tsh 10,000 kwa kuku mmoja (kadirio la juu) Majogoo watakuwa 5 kwa uwiano wa 1:4.

Hii ina maana kuwa wakishaanza kutaga utakuwa na

vifaranga 20 x 10 = 200Watunze vizuri.

Wale vifaranga tunakadiria kuwa majike watakuwa 150 ambao ndani ya miezi 3 au zaidi nao wataanza kutaga.

Utakuwa na kuku 200 + 25( ulioanza nao) =225 ndani ya miezi 6. Miezi 6 inayofuata 225 - (majogoo 55) = 170 Hii ina maana kuwa 170 x 10= 1,700.

Ndugu msomaji, hayo niliyotoa ni makadirio ya chini sana hivyo mpaka mwisho wa mwaka utakuwa na kuku zaidi ya 2000. 

Mwaka utakaofuata utakuwa na kuku wangapi baada ya kuuza kuku baadhi  ili upate fedha ya kuwalisha ????

Ukiuza kuku 1000, utabaki na kuku 1000, kati yao tuseme majike ni 750. Ndani ya Miaka 2 maanake ni  750(majike) x 10 = kuku 7500 (uza wengine upate pesa ya kutumia kuwalisha) . 

Tuseme sasa utabakiwa na kuku jike  3000 x 10( jike moja ni mayai 10) = kuku 30,000. 

Hao kuku 30,000  ukiwauza wote utapata; 30,000x 13000( bei ya kawaida kbsa)= 390,000,000. Je, bado utakuwa masikini? Bado vyuma vitakuwa vimekaza?

Nina uhakika, mpaka mwisho wa mwaka huo wa pili utakuwa umefanikiwa sana kuukimbia UMASIKINI.

Kwenye hayo mamilioni, hata ukitoa milioni 100 kwamba  tuseme ndo zimetuka kuendeshea mradi wako, bado utakuwa ni milionea tu. Kumbuka huu ni mwongozo tu, fanya utafiti na ufuatilie zaidi.

NB: Ukiyapata hayo mamilioni ya pesa, kumbuka kutoa Zaka, sadaka na kusaidia masikini wasiojiweza ili ubarikiwe zaidi 


Ufugaji wa nguruwe : Gharama na Faida Zake

0
0
 Utangulizi
Nguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula / mboga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mfanyabiashara.
 
NGURUWE HUTEGEMEA SANA MAMBO YAFATAYO
1 . Banda imara na rafiki kwake
2. Usafi ni muhimu sana katika banda la Nguruwe
3 Mchaganyo bora wa chakula
4. Tiba bora na kinga
5. Maji na Lishe ( access ya vyakula Muhimu kwake )
 
CHANGAMOTO
KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE KUNACHAGAMOTO ZAKE LAKINI ZAWEZA KUTATULIWA KWA KUFATA MAMBO KADHAA.
Katika ufugaji wa nguruwe kunachagamoto ya vifo vya nguruwe wachanga ambao hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa lakini utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama:
 
Matatizo ya kupumua
Ni kifo kinachosababishwa na mama anapomlalia nguruwe mchanga.chagamoto hii inaweza kutatuliwa kwa kuwatenga au kuwa na mabanda makubwa ya kulelea watoto.
 
Baridi
Nguruwe wachanga huathiriwa na baridi haswa katika majuma mawili au matatu ya mwanzo. Hii ni kwa kuwa wana kiwango kidogo cha utando wa mafuta wa kuwakinga.
 
Unashuriwa kuwaweka katika hali ya joto, wape matandiko na utumie vipasha joto kama vile kuwasha globu za joto kama utakuwa umewaweka kwenye mabanda ya kuta au nyumba yenye sakafu baridi.
 
Namna bora utunzaji wa nguruwe wachanga
Nguruwe moja wa kike ana uwezo wa kuzaa watoto 12. Namna ifuatayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo vya nguruwe wachanga:
1.Pale nguruwe awapo na kidonda nyunyizia dawa ya ayodini 5% kwenye kovu ili kuzuia kuambukizwa kwa magonjwa.
2.Wawekee matandiko (nyasi kavu au maganda ya miti) mahali pa mapumziko ili wapate joto au utumie globu za joto.
3Wadunge sindano ya madini ya chuma (iron) siku ya tatu baada ya kuzaliwa ili kuzuia upungufu wa damu.
3. Yalainishe meno ya vichaga kabla ya masaa 24 ili kuzuia uharibifu wa matiti wakati wanaponyonya.
4. Watie vibandiko au utoboe masikio ili uwatambue na uhifadhi rekodi zao kama kuna umuhimu kama vile wafanyavyo wafugaji wa ng’ombe.
5. Wapime uzani wanapozaliwa na uhifadhi rekodi hiyo itakusaidia kujua ukuaji wao na maendeleo yao
6. Wahasi wale wa kiume juma la tatu, wale ambao hawafai katika kuendeleza kizazi kwa kutumia mtindo wazi (open method) kama unaona inafaa.
7. Wapatie dawa ya kuzuia minyoo pia zipo dawa za asili kama unga wa mkaa na majivu pia zipo za kitaalamu, wasiliana na wataalamu wa mifugo
8.Waachishe kunyonya katika juma la nane au wafikapo kilo 14 hadi 20 hii itasaidia kujitegemea na kukua kwa haraka.
 
Nguruwe Walioachishwa Kunyonya
1.Walioachishwa kunyonya wawekwe makundi ya 10 hadi 12 kulingana na uzito au ukubwa wao kwenye eneo ambalo watajitosheleza.
2.Watenganishe wakubwa kwa wadogo ili kuzuia kupigana.
3.Wakati wa kuwaachisha kunyonya mwondoe mama yao kutoka kwa watoto ili kupunguza usumbufu.
4Watoto wa nguruwe wa mama tofauti wasiwekwe pamoja maana hii husababisha mapigano kati yao na
5.Unapowachanganya watoto wa mama tofauti wapake mafuta ya gari yaliyotumika kwenye ngozi yao au mafuta ya kula ili kuiondoa harufu ya kutambulika ili wasipigane
 
FAIDA YA UFUGAJI WA NGURUWE
Faida kuu ya nguruwe ni zao la chakula lakini pia ni zao la kukuongezea kipato ukiwa kama mjasirimali / mfanyabiashara.
Lengo langu nikueleza namna unavyoweza kufuga na kutupa faida, Steps zifatazo ni muhimu kuzigatia.
 
JIPE MTAJI WA MILLION 4 / 3.5 KWA NGURUWE 50
UANDAAJI WA BADA WEKA MAKADILIO YA LAKI TANO (800,000/=) .
Hapo nazugumzia banda lenye heru U yenye mstatili ikiwa na kitako kirefu
Eneo lenye ukubwa wa mita 50 kwa 50 litafaa zaidi ili kuhakikisha usalama wa nguruwe wako na ukuaji bora.
1. Tafuta mabati used kwa bei ya 5000 mfano mabati 20 ya futi 10 /10 = 100,000/=
2. Tafuta mabazi ya futi 10 kwa 2000 kila moja utapata mabazi pic 100 = 200,000/=
3. Tafuta miti ya nguzo na kechi ya 1000 na 2000 miti ya 1000*70 na 2000*3 = 120,000/=
4. Tafuta chagalawe / moramu trip 10*3000 =30000/=
5. Cement mifuko kwa ajiri ya sakafu na mashimo ya kulishia 5 *18000 = 90,000/=
6. Misumari ya aina 4, nch 6 kg5,nch 3 kg5 nch 5 kg10 na nch4 kg10, Bawaba na komeo =100,000/=
7. Malipo ya fundi 75000 fundi uashi na 75000 fundi seremala =150,000
JUMLA HAPO INAKUWA 790,000/= MAKADILIO INAKUWA 800,000/=
 
UNUNUZI WA NGURUWE WA KUANZIA .
Nguruwe wadogo wadogo ni vinzuri zaidi kuanza nao kwa sababu watakuzalia watoto wengi na kwa muda mrefu . Chukua mfano MILLION 2.5 . Nguruwe wadogo wa dogo wanauzwa 50000 au 40000 inategemeana na mahala na maelewano . Milioni 2.5 inakupa vitoto 50 au 55 . Hivyo unawexa kuwa na vitoto jike 50 na vidume 5. baadaye ukaongeza madume matano ya kuazima au kukondi kwa ajiri ya kupandishia
 
MAANDALIZI YA CHAKULA
Mchaganyiko wa chakula cha nguruwe na gharama zake tunaweza ukadilia kujitosheleza kwa laki tatu kwa mwenzi mmoja kwa nguruwe hao 50, kwa 300,000/= , ambapo itajumuisha tiba / kinga, lishe, vyakula vya nguruwe vinaweza kuwa pumba ya mpunga ile laini,pumba ya mahindi, mashundu, mabaki ya magada ya vianzi amba mabaki ya chakula yaliyosalama
 
MALIPO YA MSIMAMIZI NA ENEO LA KUWEKEZA
Katika kipengele hiki makadilio ya juu ama ya chini kwa msimamizi wa kazi yako waweza mlipa 100,000/= ama chini yake pia kwa mwenye eneo huwa nimaelewano tu aunaweza pata kwa fair au kukakodi kwa laki tatu, 300,000/= kwa mika miwili.
 
HIVYO JUMLA YOTE YA GHARAMA ZA UAZISHAJI UWEKEZAJI WA NGURUWE 50 ZITAKUGHARIMU MILLION 4 AMA MILLION 3.5 KWA MAANA KUWA HAPO JUU NIMETUMIA MAKADILIO YA JUU NA UKIINGIA KWENYE UHALISIA KAMA MJASIRIMALI LAZIMA IPUNGUE NA KUFIKIA 3.5

KIPATO AU FAIDA YA UFUGAJI NGURUWE
Nguruwe wanafaida ya haraka na nimradi wa uhakika kabisa, ukipitiia mchanganuo hapo juu wa nguruwe 50 utatupa faida kama ifatavyo
 
Nguruwe huzaa Mara mbili kwa mwaka na huzaa watoto zaidi ya watanoyaani huzaa watoto 12 ama nane .
Basi chukua nguruwe 50 * vitoto 5 yaani ufanye kuwa nguruwe wako 50 wakupatie vitoto vitano vya uhakika
Nguruwe 50*5 = 250 ukijumlisha na wale 50 wa mtaji umakuwa nao 300 . Chukua zao la nguruwe la 250 na uza kwa 200000 kwa kila nguruwe yaan bei ya kawaida kabisa. Utapata Million 50.

Hivyo zao la kwanza ndani ya robo tatu ya mwaka inakutegenezea million 50 pia na mienzi sita ijayo inakupa tena 50 na zaidi ili kukamilisha uzao wa pili hii inkupa uhakika wa kutegeneza million 100 za uakakika ndani ya mwaka mmoja na nusu ama miaka miwili ukijipa timeframe work lakini kumbuka hapo tumefanya kwa hesabu ya uzao wa chini kabisa ambapo tumeangalia na hasara ya vifo kama vifo visipotokea na uzao ukawa mkubwa utakuwa na uhakika wa kutegeneza million 150 kwa miaka miwili.

Kwenye hesabu ya kuwale unaweza kuwaza sana kuwa itaongezeka na kukughalimu sana jibu ni hapana mpka kufikia kuuza hawatokugharimu zaidi ya million 7 je million 7 kwenye million 150 ni kitu kisicho nafaida ?
 
NB . jambo lolote linahitaji umakini naa dhamira ya dhati pia kushirikisha wataalamu na wenye uzoefu ili kufikia leng Ewe ndugu kila kitu kinawezekana UTAYARI WAKO / UTHUBUTU WAKO, UAMINIFU .NA MAAMZI YAKO.
 
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images