Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote .

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Muungano wa majimbo 16 nchini Marekani Yamshitaki Rais Donald Trump

$
0
0
Muungano wa majimbo 16 nchini Marekani yakiongozwa na California yameushtaki utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uamuzi wa kutangaza hali ya dharura ili kukusanya fedha za ujenzi wa ukuta wa mpakani na Mexico.

Kesi hiyo imewasilishwa katika mahakama ya wilaya ya kaskazini katika jimbo la California. Inajiri siku kadhaa baada ya Trump kuidhinisha hali ya dharura, inayompa nguvu kulivuka bunge na kujipatia fedha kwa ujenzi huo – ambayo ni ahadi kubwa aliyotoa wakati wa kampeni yake.

Democrats wameapa kupinga hatua hiyo “kwa kutumia njia zozote zilizopo”. Mkuu wa sheria katika jimbo hilo la California, Xavier Becerra, amesema wanampeleka Trump mahakamani “kuzuia matumizi mabaya ya nguvu za rais”.

“Tunamshtaki Trump kumzuia dhidi ya kuiba pesa za mlipa kodi, zilizotengwa kisheria na bunge kwa watu wa majimbo yetu. Kwa wengi wetu, ofisi ya rais si eneo la vioja ,” aliongeza

Kesi hiyo iliyowasilishwa Jumatatu inaanza kwa kusikizwa awali ombi la kutaka kumzuia Trump ashughulikie dharura hiyo aliyoitangaza, wakati kesi ikiendelea kortini,” gazeti la Washington Post linaripoti.

Trump alitangaza mpango huo baada ya bunge kukataa kufadhili ujenzi wa ukuta. Kesi ya kwanza iliwasilishwa mara moja siku ya Ijumaa. Kundi la kutetea haki, Public Citizen, liliwasilisha kesi kwa niaba ya hifadhi asili, na wamiliki watatu wa ardhi katika jimbo la Texas ambao wamearifiwa huenda ukuta huo ukajengwa kwenye ardhi yao.

Akitoa tangazo hilo katika ikulu ya White House siku ya Ijumaa, rais amesema hali hiyo itaruhusu kupata takriban dola bilioni 8 kwa ujenzi wa ukuta huo wa mpakani. Hiki ni kiwango kilicho chini ya gharama ya jumla ya dola bilioni 23 zinazohitajika kujenga ukuta huo wenye urefu wa maili 2,000 wa mpaka huo.

Tumia Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Waziri Mkuu Amsimamisha Kazi Mweka Hazina Kibondo

$
0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Kibondo, Thomas Chogolo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma  zinazomkabili za ubadhilifu wa makusanyo ya mapato ya halmashauri hiyo.

 Pia, Waziri Mkuu amewataka watendaji wa halmashauri huyo kumaliza haraka migogoro yao ya kiutendaji kabla ya Serikali haijawachukulia hatua kwani wanachokifanya ni kinyume na maelekezo yake.

 Waziri Mkuu amechukua hatua hiyo leo (Jumanne, Februari 19, 2019) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kigoma.

 “Katika Serikali hii suala la ukusanyaji wa mapato ni jambo nyeti na limepewa kipaumbele, hivyo ni lazima fedha inayokusanywa itumike kama ilivyokusudiwa ikiwa ni pamoja na uboreshaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi.”

 Waziri Mkuu amesema wananchi wa halmashauri hiyo wanalipa kodi kupitia kwa watendaji wa kata katika maeneo yao lakini  Mweka Hazina haingizi kwenye mfumo wa Serikali. “Jambo hili halivumiliki.”

 Amesema mbali na fedha za makusanyo ya kodi pia matumizi ya fedha mbalimbali zinazopelekwa na Serikali katika halmashauri hiyo nayo hayaridhizishi. Ametoa mfano wa fedha za sekta ya Afya ambapo zaidi ya bilioni mbili zimepelekwa na dawa hakuna.

 Waziri Mkuu amesema uaminifu na uadilifu ni jambo ambalo linapaswa kupewa kipaumbele na watumishi wa umma, hivyo amewataka watumishi hao wasijiingize kwenye mambo ambayo hayana tija katika utumishi wao.

 Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Serikali imewapa dhamana watumishi hao kwa ajili ya kuwatumikia wananchi na si kutanguliza maslahi yao binafsi, amewataka wajirekebishe kwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

 “Serikali haitawapa nafasi ya kuendeleza migogoro yenu kila mmoja lazima atambue majukumu yake na kuyatekeleza. Serikali haiitaji mtumishi mvivu, masiyekuwa muadilifu na wala anayejihusisha na vitendo vya rushwa.”

 Amesema ni lazima wakamaliza migogoro ya kiutendaji ambayo imesababisha watendaji wa halmashauri kutoelewana na kugawanyika katika makundi na kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Lugola amuondoa Mkuu wa Kituo cha Polisi kwa kushindwa kusimamia misingi ya kazi

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Karatu
WAZIRi wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemuagiza Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa Arusha kumuondoa Mkuu wa Kituo cha Polisi Mang’ola wilayani Karatu kwa kushindwa kusimamia misingi ya kazi.

Lugola amesema amepokea malalamiko mengi kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Karatu.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Mji wa Karatu katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini humo, jana, Lugola amesema malalamiko yaliyotolewa na wananchi wilayani humo yanayonyesha Mkuu huyo wa Kituo ameshindwa kusimamia nidhamu.

“RPC nakuagiza umuondoe haraka iwezekanavyo Mkuu huyu wa Kituo hiki, mlete mwingine atakayejenga nidhamu upya ya askari katika kuwahudumia wananchi wa Mang’ola kwani kumekuwa na malalamiko mengi yanayotolewa na wananchi juu ya askari kushindwa kusimamia misingi ya kazi yao,” Alisema Lugola.

Pia Lugola amemwelekeza Mkuu wa Wilaya ya Karatu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa  Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo, wafike katika Gereza la Mang’ola wilayani humo,  kuwaonyesha uongozi wa gereza hilo, eneo la kuchimba mtaro wa maji ili waachane na mtaro wanaoutumia wananchi ambao umekuwa ukileta mgogoro ndani ya eneo hilo.

Waziri Lugola, pia amemuagiza Mkuu wa Magereza Mkoa wa Arusha kuwaondoa askari watatu waliolalamikiwa kuwazuia wananchi kutumia maji na kuwapiga wananchi.

Lugola alisema mgogoro huo umeketa matatizo, hivyo alimtaka Mkuu huyo wa Magereza kutuliza jali hiyo ili wananchi waweze kuyatumia maji hayo ambayo wanazuiwa na askari magereza.

“Nakuagiza kuzingatia yote niliyoyasema  katika kikao yaliyohusiana na kumaliza mgogoro huo baina ya askari na wananchi wanaodaiwa kupigwa na endapo watashindwa kutekeleza maagizo hayo nitaagiza hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao,” alisema Lugola.

Wakizungumza katika mkutano huo wa hadhara, baadhi ya wananchi walitoa malalamiko jinsi askari magereza walivyowanyanyasa kwa kuwatisha kwa kutumia bunduki huku wakiwataja kwa majina yao kuwapiga raia na kuwanyang’anya upataji wa maji wakati wao sio wahusika wa zamu katika siku vitendo ambavyo vimefanya kuibua mgogoro mkubwa.

“Askari  wanakuja na bunduki wanakutishia mdomoni na kukusukuma wakidai hatutambuliki lakini tulipeleka malalamiko yetu ngazi husika ikiwemo kwa katibu tarafa ambaye alionya mara nyingi bila mafanikio,” alisema Jackson Qorou.

Katika ziara yake Mkoani Arusha, Lugola anakutana ma kero mbalimbali kupitia mikitano yake na wananchj hao na kuwataka askari wa vyombo vyake kuacha kulichafua Jeshi pamoja na Serikali kwa ujumla.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Waziri Mkuu Alifunga Soko la Nduta ili Kuzuia Wakimbizi Kutoka Kiholela

$
0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefunga soko la wakimbizi na wananchi lililoanzishwa nje ya kambi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma.

Hatua hiyo imekuja baada ya soko hilo kubainika kuwa  chanzo cha  wakimbizi kutoka nje ya kambi kiholela na kushiriki katika kufanya matukio ya kiharifu.
 
Waziri Mkuu ametangaza uamuzi huo leo (Jumanne, Februari 19, 2019) wakati akizungumza na watumishi wa umma katika ya Halmashauri ya Kibondo.

”Vitendo vya uhalifu wilayani Kibondo vikiwemo vya utekaji wa watoto vimeongezeka na kusababisha hofu na taharuki miongoni mwa wananchi.”

Waziri Mkuu amesema ni vema halmashauri hiyo ikaandaa utaratibu wa kutoa vibali vitakavyowaruhusu Watanzania kupeleka bidhaa ndani ya kambi hivyo.

Kadhalika, Waziri Mkuu amewataka wananchi waliopewa dhamana ya kufanya kazi kwenye kambi za wakimbizi wawe waadilifu na wasimamie sheria.

“Nafahamu tunao watendaji wetu ambao wapo kambini kusimamia shughuli mbalimbali za wakimbizi,  tekelezeni wajibu wenu ipasavyo na si vinginevyo.”

Baada ya kuzungumza na watumishi wa umma wa Halmashauri ya Kibondo, Waziri Mkuu alikwenda wilayani Kakonko na kukagua mradi wa maji Muhange.

Pia Waziri Mkuu ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya wilaya ya Kakonko unaotarajiwa kugharimu sh. bilioni 4.5.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mahakama Yamkuta na Hatia Malkia wa Meno ya Tembo

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu leo asubuhi hii imemtia hatiani malkia wa meno ya Tembo, Yang Feng Glan na wenzake wawili.

Hukumu hiyo imesomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambaye amesema Jamhuri wamethibitisha, ushahidi inajitosheleza kwamba washtakiwa walitenda makosa hayo.

Hakimu Shaidi aliwatia hatiani na kusema kwamba walifanya dharau kubwa kutumia maroli ya Serikali kubebea meno ya tembo kupeleka bandarini.
 
Alisema Mahakama ilifika katika shamba Muheza Tanga ambapo mshtakiwa wa pili alikuwa analima pilipili na humohumo ndiko walikokuwa wanafukia meno ya tembo, wanafukua na kuyasafirisha Dar es Salaam.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni raia wa China, Yang Feng Glan(66), Salvius Matembo Philemon Manase Katika kesi hiyo upande wa Jamhuri ulikuwa na mashahidi 11 wa upande wa utetezi, washtakiwa walijitetea wenyewe.

Washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo yenye thamani ya Sh bilioni 13 kinyume cha sheria.

Katika kesi ya msingi, washtakiwa hao, wanadaiwa kutenda makosa hayo kati ya Januari Mosi, 2000 na Mei 22, 2014.

Katika shtaka la kwanza, washtakiwa katika kipindi hicho walifanya biashara ya vipande 706 vya meno ya Tembo vyenye uzito wa kilogramu 1889, vikiwa na thamani ya Sh bilioni 5.4 bila ya kuwa na leseni iliyotolewa na Mkurugenzi wa Wanyama Pori.

Hakimu Aulalamikia upande wa mashtaka kwa Kuchelewesha Ushahidi Kesi ya Vigogo Simba

$
0
0
 Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu , Thomas Simba ameulalamikia upande wa mashtaka kwa kuchelewesha usikilizwaji wa ushahidi wa mashahidi katika kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake, Godfrey Nyange .

Aliyasema hayo jana baada wakati kesi hiyo ipokuwa mbele yake kwa ajili yakuendelea kusilikilizwa, lakini wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambanana Rushwa(Takukuru), Leonard Swai alieleza kuwa hawana shahidi.

Na kwamba walifanya mawasiliano na shahidi waliyemtarajia atoe ushahidi na kuwa walikwisha muandaa lakini kilichotokea jana alipokuwa akifanya mawasiliano naye hakumpata na hajui kinachoendelea juu yake.

Baada ya Swai kueleza hayo, Hakimu Simba alisema kesi hiyo bado ipo nyuma sana na tulikwisha panga iendelee kusikilizwa kwa siku mbili mfululizo yaani jana na leo lakini anashangaa kusikia shahidi hajapatikana.

Hata hivyo, Hakimu Simba aliiahirisha kesi hiyo hadi Machi Mosi na 6, mwaka huu ambapo ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka utaendelea.

Aveva na Nyange wanakabiliwa na mashtaka mengine zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka kwa kuhamisha fedha hizo bila mamlaka ya Kamati ya Utendaji ya Simba, kujipatia pesa isivyo halali (Aveva) na utakayishaji fedha yanayowakabili wote, Aveva na Kaburu.

 Katika kesi hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe anakabiliwa na mashtaka mawili, ya kughushi nyaraka na kuwasilisha nyaraka za uwongo yeye pamoja na wenzake.

Zamaradi aguswa na Suala la matibabu ya Ruge....Awahamasisha Watanzania Wamchangie

$
0
0
Mtayarishaji wa vipindi, na mzazi mwenza wa Ruge Mutahaba,  Zamaradi Mketema leo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameunga mkono kampeni ya kumchangia Mkurugenzi wa Vipindi vya Clouds Media, Ruge Mutahaba ambaye yupo Afrika Kusini kwa matibabu.

Jana kwenye mahojiano na Clouds TV kwenye kipindi cha 360 mdogo wa Ruge, Mbaki Mutahaba alieleza kuwa Ruge anasumbuliwa na tatizo la figo ambalo limepelekea matibabu yake kuwa ya gharama zaidi kuliko kawaida ambapo amesema kwa siku anaweza kutumia milioni 5 hadi 6 kwa ajili ya matibabu pekee.

Mapema leo Zamaradi Mketema ameunga mkono kampeni hiyo kwa kuwataka watu mbalimbali kutuma jumbe za faraja na wenye chochote kutuma kwenye namba ya mdogo wa Ruge, kwani gharama za matibabu ya Ruge zimekuwa kubwa sana kuliko kawaida.

”Mbaki Mutahaba ambae ni mdogo wa Ruge Mutahaba ameeleza kwamba ni wazi kwamba gharama za matibabu ya Ruge ni kubwa mno. Amesema Rais Dkt Magufuli na wengine walichangia lakini gharama  hizo ni kubwa kuliko kawaida. ”Gharama za matibabu kwa kule ni kubwa kwa siku inaweza kufika milioni 5 mpaka 6, kuna namba ambayo imeandikishwa kwa jina la mdogo wake, Kemilembe Mutahaba  0752 222 210 hiyo ndiyo namba ambayo watu wanaweza kutuma sms za pole, faraja na hata wengine ambao wangetamani kutuma chochote.” Mbaki Mutahaba.-Ameandika Zamarad

Mahakama yakataa kupokea maelezo ya Onyo Kesi ya Malinzi na Wenzake

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa kupokea maelezo ya onyo ya washtakiwa Flora Rauya na Miriam Zayumba yalihojiwa na ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( Takukuru ),Frank Mkilanya kama kielelezo cha ushahidi katika kesi hiyo.

Hakimu Mkazi Maira Kasonde alikataa kupokea maelezo hayo leo kama kielelezo cha ushahidi katika kesi hiyo baada ya Mkilanya ambaye ni shahidi wa 11 wa upande wa mashtaka kuomba mahakamani hapo yapokelewe kama kielelezo cha ushahidi.

Akikataa kupokea maelezo hayo, Hakimu Maira alisema kutokana na kifungu cha 50 na 51(a) ambacho kinawapa uwezo polisi kuchukua maelezo onyo ya washtakiwa, kinawataka kuyachukua ndani ya saa nne tangu kukamatwa yawe yamekwisha chukuliwa.

Katika maelezo ya shahidi huyo wa 11 wa upande wa mashtaka yalionyesha muda wakuanza kuchukuliwa na mwisho wa kumaliza, lakini tatizo limejitokeza watuhumiwa walivyochukuliwa maelezo haijaelezwa walikamatwa wapi na lini.

Hivyo kwa kuwa ni suala la kisheria maelezo hayo hayawezi kupokelewa kwa sababu hayajakidhi vigezo.

Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo Hakimu Maira aliiahirisha kesi hiyo hadi Machi 5, mwaka huu ambapo wataendelea kusikiliza ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Mbali na washtakiwa hao, wengine wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Malinzi, Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine(46) na Mhasibu wa TFF, Nsiande Mwanga (27).

Kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 30 katika kesi ya jinai namba 213 ya mwaka 2017 yakiwamo ya kula njama, kughushi, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji wa fedha wa dola za Marekani 173,335.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Malkia Meno ya Tembo Ahukumiwa Jela Miaka 17

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu miaka 17 jela wafanyabiashara watatu akiwemo Raia wa China Yang Feng Glan 'Malkia wa Tembo' baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kufanya biashara haramu ya meno ya Tembo.

Kila mmoja atatumikia kifungo cha miaka 17 baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh13bilioni.

Mbali na Glan, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 21/2014  ni Salvius Matembo na Philemon Manase.

Hukumu hiyo umetolewa leo mchana Februari 19, 2019 na Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Huruma Shaidi baada ya kuwatia hatiani washtakiwa hao.

Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi PSSSF, ateua Viongozi wengine watatu

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Februari, 2019 amemteua Hosea Ezekiel Kashimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (Public Service Social Security Fund – PSSSF).

Kashimba anachukua nafasi ya Eliud Sanga ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Kabla ya uteuzi huo Kashimba alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Shirika la Hifadhi ya Jamii la NSSF.

Wakati huo huo, Rais Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi wengine 2 kama ifuatavyo;

Kwanza, Rais Magufuli amemteua Augustine Emmanuel Mbokella kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Biashara ya TIB (TIB Corporate Bank Limited).

Na pili, Rais Magufuli amemteua Latifa Mohammed Khamis kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara za Nje (TANTRADE).

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa viongozi hawa umeanza leo tarehe 19 Februari, 2019.

Serikali Yalaani Mauaji na Matendo ya Kikatili kwa Watoto

$
0
0
Na WAMJW – DSM
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amelaani mauaji na matendo ya kikatili yote yanayofanywa dhidi ya Watoto, huku akivishukuru vyombo vya Dola kwa hatua za haraka wanazoendelea kuchukua katika kudhibiti matukio hayo.

Ameyasema hayo leo wakati alipofanya ziara ya kukagua hali ya Makazi ya Watoto wanaoishi katika Mazingira magumu yaliyopo Kurasini jijini Dar es salaam.

Dkt. Ndugulile amesema kuwa Serikali haiwezi kuvumikia mambo yakikatili yanayofanywa dhidi ya Watoto na haki zao, hivyo itawachukulia hatua yeyote atakae bainika amekwenda kinyume na kuvunja sheria zinazomlinda mtoto.

“Tunalaani sana, mauaji haya ya Watoto, na tunavishukuru vyombo vya Dola vimeweza kuchukua hatua za haraka kuhakikisha kwamba vinadhibiti matukio haya” alisema Dkt. Ndugulile

Mbali na hayo Dkt. Ndugulile ametoa rai kwa Waganga wote wa Tiba Asili na Tiba Mbadala kuacha kutumia viungo wala miili ya Watoto kama njia yakutatua matatizo kwa wateja wao, hivyo hatua kali zitachukuliwa kwa watakao kaidi agizo hilo.

Dkt. Ndugulile ameongeza kuwa Waganga wa Tiba Asili na Tiba mbadala wote ni lazima wahakikishe wanajisajili katika Mamlaka na Baraza husika ili kuepuka usumbufu na hatua kali dhidi yao pindi watakapobainika hawajafanya hivyo.

Ameongea kuwa Waganga wa Jadi watakaobainika  na kujihusisha na  shughuli zisizosajiliwa katika shughuli za Tiba Asili na Tiba Mbadala  watachukuliwa  hatua kali sana za kisheria dhidi yao na hata wale ambao watajihusisha pamoja na waganga hao. 

Dkt. Ndugulile pia ameutaka Uongozi wa Makazi ya watoto waishio katika mazingira magumu kuwajibika katika baadhi ya mambo ikiwemo masuala ya usafi wa mazingira , Mabweni na mavazi kwa watoto uzingatiwe na kuaagiza kuweka magodoro mapya, mashuka na chandarua  katika mabweni hayo.

Naye Afisa Mfawidhi wa Makazi hayo Bi. Beatrice Mgumiro amesema kuwa makazi hayo yanajumla ya watoto 70 ambapo watoto 54 wapo katika makazi hayo na watoto 16 wapo wanasoma katika shule za bweni.

Bi. Beatrice amemuhakikishia Naibu Waziri kuwa atatekeleza maagizo yote aliyompa na ameishukuru Serikali kwa uangalizi wa karibu wa watoto waishio katika mazingira magumu kwa kutoa huduma muhimu kwa watoto hao ikiwemo malazi chakula na elimu.

Waziri Mkuu Akpiga Marufuku Vibarua wa Nje ya Nchi

$
0
0
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, amepiga marufuku wananchi wanaoishi mikoa ya pembezoni mwa nchi ya Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuacha mara moja kuingiza vibarua wa kulima mashamba nchini bila ya utaratibu.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Februari 19, 2019 wakati akizungumza na wananchi katika stendi ya mabasi iliyopo wilayani Kakonko mkoani hapa.

Amesema kuingiza vibarua kutoka nchi jirani ni chanzo cha kuongezeka kwa uhalifu nchini na kuongeza kuwa kama mwananchi atahitaji vibarua wa kulima shamba lake aende kwa mkuu wa mkoa akajiandikishe na Serikali itawafata vibarua hao kwa utaratibu wa kiserikali.

"Mmekuwa mkiagiza vibarua wa kuwalimia mashamba yenu si vibaya lakini lazima mfate utaratibu wa kiserikali kwani kuna wengine wanawaleta lakini hawawalipi stahiki zao mwisho wa siku wanasambaa nchini na kusababisha kuongezeka kwa uhalifu na silaha za kivita, "amesema Waziri Mkuu.

Amesema kwa wale wanaoingia nchini kwa kufuata taratibu na sheria za kuvuka mpaka hawataruhusiwa kuingia nchini na silaha ya aina yoyote na atakayekiuka hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Ameitaka kamati ya ulinzi na usalama mkoa kuhakikisha swala hilo linaangaliwa na kufanyiwa kazi kwa karibu na umakini zaidi kwa ajili ya maslahi ya nchi zote mbili.

Wakati huo huo Waziri Mkuu ameweka jiwe la msingi katika  jengo la halmashauri ya wilaya ya Kakonko lenye vyumba 136 ambalo hadi kukamilika litagharimu Sh4 bilioni.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya February 20

Meneja mawasiliano TFS afariki dunia akizungumza na waandishi wa habari

$
0
0
Meneja mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), Glory Mziray kufariki dunia jana mchana Jumanne Februari 19, 2019.Glory amefikwa na umauti wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Hali yake ilibadilika ghafla muda mfupi baada ya kumaliza kusoma taarifa ya TFS kuhusu upandishaji hadhi wa misitu.

Inaelezwa kuwa meneja huyo alizungumza kwa uchangamfu na alipomaliza alionekana kama kuishiwa nguvu na kupoteza fahamu.

Alikimbizwa katika kituo cha Afya TMJ kilichopo Chang’ombe kwa ajili ya matibabu.

Baada ya kumfanyia uchunguzi madaktari wakaeleza kuwa Glory amefariki dunia kabla ya kufikishwa hospitalini hapo.
**********
Mtendaji Mkuu  wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) anasikitika kutangaza kifo cha mtumishi wake Glory Water Mziray aliyekuwa  Meneja Habari na Mawasiliano kilichotoke  Jumanne 19 Februari 2019 mchana mara baada ya kujisikia vibaya akiwa anatekeleza majukumu yake kwa kuongea na waandishi wa habari ofisini na kukimbizwa katika Hospitali ya TMJ Temeke ambapo madaktari walithibitisha kuwa amefariki dunia. Mipango ya Mazishi inafanywa.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake  lihimidiwe amen!

Imetolewa na
Utawala- TFS Makao Makuu
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images