Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote .

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Waziri wa Nishati Dk. Medad Kalemani Aikabidhi TANESCO Magari 25

0
0
Waziri wa Nishati Dk. Medad Kalemani amekabidhi magari 25 yenye thamani Sh.Bilioni 3.1 kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kusimamia miradi wa umeme Vijijini (REA) awamu ya tatu.
 
Dk.Kalemani alikabidhi magari hayo jsna jijini Dodoma kwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Dk.Tito Mwinuka.
 
Akizungumza kabla ya kukabidhi magari hayo,Waziri Kalemani alisema, magari hayo yatasaidia kurahisisha usafiri katika maeneo ambayo miradi ya Rea awamu ya tatu inatekelezwa.
 
Dk.Kalemani aliitaka, TANESCO kusimamia magari hayo kuhakikisha yanafanya kazi zilizokusudiwa na sio zingine.
 
“Kila gari thamani yake Sh. Milioni 170 na haya ni mpya kabisa sasa nawaomba myatumie kuharakisha miradi ya REA inakamilika na haya magari yasitumike kubeba mikaa na yaende katika vijiji mpaka vitongoji, alisema na kuongeza kuwa
 
...Tanesco sasa hakuna kisingizio magari yapo yasitumike ndivyo sivyo yatumike kwa REA tu, wakandarasi na mafundi michundo ndio watumie, sitaki kusikia anayatumia mtu mwingine,” alisema.
 
Pia Waziri Kalemani alikutana na wadau wanaotekeleza miradi wa REA awamu ya tatu na kujadili jinsi ya kufanikisha mradi huo.
 
Wadau aliokutana nao ni Wakandarasi, Mameneja wa Tanesco Mikoa na Wilaya,Wazalishaji na Wauzaji wa vifaa na Wahandisi kutoka Wizara ya Nishati.
 
Dk.Kalemani aliwataka, Wakandarasi kuhakikisha wanasimamia mradi huo ili ukamilike kwa wakati.
 
“Tumekutana hapa kuoana namna ya kushirikiana hapa kila mdau ana nafasi yake lakini pili kuharakisha kazi ya kusimamia mradi ili ukamilike kwa wakati,” alisema.
 
Mkurugenzi wa TANESCO, Dk.Mwinuka aliahidi kuyasimamia magari hayo kuhakikisha yanafanya kazi iliyokusudiwa. Dk.Mwinuka alisema, magari hayo yatasaidia kufika maeneo ya Vijijini kunakotekelezwa miradi hiyo.
 
“Tutayatunza haya ni magari ya kazi.Kwani katika mikoa 29 tunatekeleza miradi katika mikoa 25,” alisema.
 
Alisema mpango kazi wa Shirika hilo ni kuwafikia wateja wengi kwa muda mchache ili waweze kupata mapato.
 
Akiwasilisha mpango kazi wa REA awamu ya tatu, Mkurugenzi Mkuu wa REA, Boniface Nyamohanga alisema, mpango kazi ni kuhakikisha kila wiki mkandarasi anaweka umeme katika vijiji vitatu.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Constantine Kanyasu atoa neno utitiri vyama vya waongoza watalii

0
0
Na Lusungu Helela-Kilimanjaro
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewashauri wabeba mizigo na waongoza watalii katika  Mlima Kilimanjaro wapunguze utitiri wa vyama walivyoviunda  vya kutetea  maslahi yao  badala yake  wabaki na vyama viwili ambavyo vitakuwa na nguvu ya kudai haki na kupigania maslahi yao.

Pia ameyataka Makampuni ya watalii kuwalipa malipo yao wabeba mizigo na waongoza watalii kwa mujibu wa sheria  badala ya kuwapunja malipo yao huku wakidai kuwa malipo hayo hayatekelezeki kisheria .

Kwa mujibu wa sheria waongoza watalii katika mlima huo wanapaswa kulipwa si chini ya Dola 20 za Marekani kwa siku sawa na mbeba mizigo Dola 10 za Marekani kwa siku.

Aidha, Amewataka wabeba mizigo na waongoza watalii hao wawe wanatoa taarifa kwa siri kwa yale makampuni yanayowalipa pesa kidogo na kwamba  yale Makampuni  yatakayobainika  yafutwe kwa kosa la kukiuka sheria hiyo.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri huyo wakati alipokuwa akizungumza na wadau wa Utalii katika  Mkoa wa Kilimanjaro wakati alipofanya ziara kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro lengo likiwa ni kutafutia ufumbuzi kero mbalimbali zinazowakabili wadau hao katika sekta ya Utalii.

Amesema haiwezekani vyama zaidi ya nane vikawa vinafanya kazi moja ya kupigania na kudai maslahi ya wabeba mizigo na waongoza watalii halafu kukawa na ufanisi kwanza .

Daniel Maro, mbeba mizigo ya watalii amemueleza Naibu Waziri huyo kuwa wamekuwa wanalipwa na baadhi ya Makampuni ya watalii malipo kiduchu ya kiasi cha shilingi 5,000 na muda mwingine shilingi 8,000 badala  ya elfu 20,000 kwa siku.

Amesema malipo hayo ni madogo sana ukilinganisha na ugumu wa kazi hiyo na wamekuwa hawana pa kulalamikia na  wale wote ambao wamekuwa wakibainika kulalamika  wamekuwa wakikosa  kupata kazi tena kutoka kwenye kampuni hayo.

Naye, Walter Mbambwo ambaye ni Muongoza watalii katika Mlima huo  amesema kutokana na tatizo la ajira wamekuwa wakilazimika kutoa rushwa ya kiasi shilingi 20,000 ili wapate kazi  hiyo lakini wamekuwa wakilipwa kiasi cha shilingi 5,000 au 8,000 tu.

Katika hatua nyingine, Mhe.Kanyasu amekitaka Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori cha Mweka kiangalie uwezekano wa kusambaza mtaala wa Waongoza watalii kwa vyuo vingine ikiwemo Chuo cha Taifa cha Taifa cha Utalii pamoja na VETA ili kuweza kutoa fursa kwa wadau hao kuweza kusoma mahali popote nchini badala ya utaratibu uliopo sasa unaowalazimisha kuwa  lazima wasome katika Chuo hicho pekee nchini huku akiwaahidi kuwa suala la ukubwa wa ada wanayotozwa atalifanyia kazi.

Awali,  Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Mhe. Kippi Warioba amewahakikishia wadau hao  kuwa ofisi yake ipo wazi kwa ajili ya  kuwasaidia ili kuifanya sekta ya utalii katika  mkoa wake uendelee kufanya vizuri

Hata hivyo amewataka waongoza watalii na wabeba mizigo ya watalii kuachana na vyama  vile vinavyolenga kuwakandamiza badala ya kupigania maslahi yao wakati ofisi yake ikiangalia namna ya kuwasaidia namna ya  kuondokana na kulipwa ujira mdogo.

Wimbo Mpya wa Hamisa Mobetto - Sawa

0
0
Wimbo Mpya wa Hamisa Mobetto - Sawa

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Video Mpya ya Darassa ft Marioo – Chanda Chema

0
0
Video Mpya ya Darassa ft Marioo – Chanda Chema

Waziri Mkuu: Hatutamvumilia Atakayehujumu Mkakati Wa Kufufua Zao La Michikichi

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitomvumia mtu yeyote atakayebainika kuhujumu mkakati wake wa kulifufua zao la michikichi nchini.

Amesema wanataka kuona wakulima zao hilo wakinufaika kama wengine wa mazao makuu ya biashara, hivyo haitomfumbia macho mtu atakayezembea.

Aliyasema hayo jana jioni (Jumapili, Februari 17) mara baada ya kukagua shamba la michikichi la kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Bulombora.

Alisema Serikali inataka kuona wakulima wa zao hilo wakinufaika kama ilivyokuwa kwa wakulima wa korosho, chai, kahawa, pamba na tumbaku.

Alisema Serikali imeamua kulifufua zao hilo kwa lengo la kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula kwani inatumia fedha nyingi kuagiza nje ya nchi.

Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwaagiza viongozi mkoani Kigoma kwamba suala la kilimo cha michikichi liwe ajenda ya kudumu kwenye vikao vyao.

Kadhalika, Waziri Mkuu aliiagiza Wizara ya Kilimo ianzishe shamba darasa la zao la michikichi ili wananchi waweze kujifunza mbinu bora za kulima zao hilo.

Awali, Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba alisema Serikali imetenga zaidi ya sh. bilioni 10 kwa ajili ya kuboresha kilimo cha zao la michikicho.

Waziri huyo alisema kiasi hicho cha fedha kimetengwa katika bajeti ya wizara hiyo ya mwaka 2019/2020 kwa ajili ya kuboresha kilimo cha michikichi nchini.

Alisema iwapo kilimo cha zao hilo kitaboreshwa kitasaidia Serikali kuokoa fedha nyingi za kigeni zilizokuwa zikitumika kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi.

Pia, Waziri Mgumba alisema tayari wizara hiyo imeshaongeza watafiti zaidi ya 10 wa zao la michikichi katika kituo cha utafiti wa zao hilo cha Kihinga.

Waziri Mgumba alipongeza Jeshi la Magereza  na JKT kwa ushirikiano wanaoutoa kwa wizara katika kipindi hiki cha ufufuaji wa zao la michikichi.

Naye Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi alimuhakikishia Waziri Mkuu kuwa maelekezo yote aliyoyatoa kuhusu kilimo cha michikichi watayatekeleza.

(mwisho)
IMETOLEWA NA
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Rufaa ya Ya Freeman Mbowe na Ester Matiko Kusikilizwa Leo

0
0
Mahakama ya Rufani leo inatarajia kusikiliza rufaa iliyokatwa na Serikali kupinga uamuzi mdogo wa Mahakama Kuu wa kuendelea na usikilizwaji wa rufaa ya kufutiwa dhamana kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko.
 
Mbowe na Matiko, walifutiwa dhamana Novemba 23, mwaka jana na Hakimu Mkazi Mkuu katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Willbard Mashauri (sasa Jaji) kwa madai ya kukiuka masharti ya dhamana.
 
Mashauri aliyekuwa akisikiliza kesi ya uchochezi inayowakabili vigogo hao na wenzao saba, aliteuliwa na Rais John Magufuli, Januari 27, mwaka huu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu. Hata hivyo, baada ya Mbowe na Matiko kufutiwa dhamana, kupitia kwa Wakili wao, Peter Kibatala walikata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi huo.
 
Baada ya Mahakama Kuu chini ya Jaji Sam Rumanyika kusikiliza mapingamizi ya pande zote, upande wa serikali ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi alidai wamekata rufaa Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi uliyotolewa na Mahakama Kuu kisha kuiomba mahakama hiyo kuacha kuendelea kusikiliza rufaa hiyo kwa sababu haina mamlaka.
 
Jaji Rumanyika alisema mahakama yake imefungwa mikono, hivyo anasitisha usikilizwaji wa rufani hiyo hadi itakapotolewa
uamuzi katika Mahakama ya Rufani.
 
Mbali na Mbowe na Matiko, washitakiwa wengine katika kesi ya uchochezi ni Mbunge wa Iringa mjini, Peter Msigwa, Mbunge wa Kibamba, John Mnyika, Katibu wa Chadema, Dk
Vincent Mashinji, Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya.
 
Wengine ni Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salum Mwalimu ambao wote walikuwepo mahakamani.
 
Katika kesi hiyo, washtakiwa hao wanakabiliwa na mashitaka
13, ikiwemo kula njama, kufanya mkusanyiko wenye ghasia, kuhamasisha hisia za chuki, kushawishi hali ya kutoridhika, uchochezi na kushawishi utendaji wa kosa la jinai kati ya Februari Mosi na 16, mwaka 2018 maeneo ya Dar es Salaam.
 
Wanadaiwa kutenda makosa hayo katika barabara ya Kawawa, Mkwajuni, Kinondoni, siku wakihitimisha kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kinondoni na kusababisha vurugu zilizosababisha kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline.

Aliyekuwa Mbunge na Waziri Serikali ya Awamu ya Nne Profesa Juma Kapuya Afunga Ndoa Na Kabinti

0
0
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Urambo Magharibi na Waziri wa Ulinzi katika serikali ya awamu ya nne, Profesa  Juma Athuman Kapuya amefunga ndoa na mpenzi wake Mwajuma Mwiniko .

Ndoa hiyo kati Prof Kapuya mwenye umri wa miaka 74 na binti huyo anayedaiwa kuwa na umri wa miaka 25 imefungwa Wilayani Urambo Mkoani Tabora siku ya jana tarehe 17 Februari, 2019

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

DPP aiomba mahakama itupilie mbali rufaa ya Freeman Mbowe na Ester Matiko

0
0
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) ameomba Mahakama ya  Rufaa iamuru rufaa iliyofunguliwa Mahakama Kuu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko wakipinga kufutiwa dhamana itupiliwe mbali na kwamba rufaa hiyo ni batili.

Akiiwakilisha Jamhuri mbele ya jopo la majaji watatu, Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi amedai wajibu maombi waliwasilisha rufaa Mahakama Kuu mbele ya Jaji Sam Rumanyika bila kuambatanisha uamuzi wa Mahakama ya Kisutu na mwenendo wa kesi hiyo.

Nchimbi alidai rufaa yao ina sababu tatu ambapo sababu ya pili inayodai kwamba Jaji Rumanyika alikuwa  na upendeleo aliiondoa baada ya jopo kuhoji na kuonekana haijawahi kuwasilishwa Mahakama Kuu.

Jopo la majaji hao, Stellah Mugasha, DK. Gerald Ndika na Mwanaisha Kualiko.

Nchimbi anadai kwa kupokelewa kwa rufaa ya kina Mbowe Mahakama Kuu ikiwa hakijaambatanishwa na uamuzi na mwenendo wa kesi kama Sheria namba 362(1) inavyoelekeza kunaifanya rufaa hiyo kuwa batili na kuonekana haiko sahihi mahakamani.

Kwa upande wa Wakili Peter Kibatala alidai kuhusu lalamiko la kuwa hawakupewa muda wa kutosha wa kusikilizwa, rufaa iliyopo Mahakama Kuu haikusikilizwa na kwamba kilichosikilizwa ni mapingamizi pekee.

Hata hivyo, Jaji Mgasha kwa niaba ya jopo amesema watazingatia hoja zilizowasilishwa na pande zote mbili na kwamba watatoa uamuzi katika tarehe itakayopangwa.

Kibatala amedai sababu za rufaa hiyo hazina mashiko hivyo aliomba Mahakama ya Rufani kuitupilia mbali rufaa hiyo.

Mbowe na Matiko wamerejeshwa Segerea

Serikali kujenga kituo cha pamoja cha madini Mirerani

0
0
Serikali inatarajia kuanza ujenzi wa wa kituo cha pamoja cha biashara ya madini ‘One Stop Centre’ kitachojengwa Mirerani mkoani Manyara.

Kituo hicho kitagharimu Sh bilioni 1.148 ambapo wafanyabiashara wa madini yote wataweza kufanya biashara zao kwa urahisi.

Ujenzi wa kituo hicho umetokana na agizo alilolitoa Rais Dk. John Magufuli, Januari 22, mwaka huu jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka wa wachimbaji wadogo na wadau wa madini la kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara ya madini ya Tanzanite na kuimarisha usalama kwa kuweka mifumo ya kidigitali ya ulinzi kuzunguka ukuta.

Akizungumza  Jumapili Februari 17, wakati wa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo hicho na uzinduzi wa jengo la madalali na uthaminishaji wa madini ‘Brokers House’ ambalo litakuwepo ndani ya ukuta wa Mirerani, Waziri wa Madini, Dotto Biteko, amesema litawasaidia wafanyabiashara wadogo na wenye madini kufanya biashara sehemu salama na yenye uwazi.

Waziri huyo pamoja na kuzindua majengo hayo pia amekabidhi barua kwa mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kuweka mifumo ya ulinzi ya kieletroniki kuzunguka ukuta wa Mirerani kama Rais Magufuli alivyoelekeza, ambayo itawezesha kuona kila kinachoendelea Mirerani hata kama mtu yupo mbali.

“Jengo hili la Brokers House lililogharimu Sh milioni 85 limejengwa baada ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wafanya biashara wa madini ya Tanzanite kuwa hakuna sehemu ya kufanyia tathmini.

“Lakini pamoja na kuzindua jengo hilo nitaweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi ambao tayari umeshaanza wa jengo la biashara ya pamoja ambapo huduma zote za kibiashara na kiserikali zitapatikana na niwakikishie tu kuwa ujenzi huu unakidhi matakwa yote ya kibiashara na kiusalama kwa mnunuaji na muuzaji,” amesema.

Aidha, Waziri huyo amemtaka mkandarasi kumaliza ujenzi kwa wakati na kuweka mifumo yote inayotakiwa ili kuleta tija iliyokusudiwa, lakini pia ametoa rai kwa wafanyabiashara wa madini kufanya uuzaji na ununuaji wa madini katika eneo maalumu linalojengwa mahsusi kwa biashara hizo ili kukwepa usumbufu na mfanyabiashara yeyote atakayekamatwa akitorosha madini atachukuliwa hatua kali ikiwamo kutokuruhusiwa kuingia katika machimbo.

Video ya Snura Ft. Minu calypto - Shoko

0
0
Video ya Snura Ft. Minu calypto - Shoko

Wema Sepetu afunguliwa rasmi na bodi ya filamu

0
0
Bodi ya Filamu Tanzania imetangaza leo kumfungulia kuendelea na kazi za sanaa Muigizaji Wema Sepetu

Wema alifungiwa kutojihusisha na kazi za filamu kwa muda usiojulikana kutokana na video iliyosambaa ya kukiuka maadili ya kitanzania.

Kilichoamuliwa Leo Mahakamani Kuhusu Upande wa CUF Lipumba na ile ya Maalim Seif

0
0
Mahakama Kuu nchini Tanzania, leo imetoa uamuzi wa kesi kuhusu mvutano wa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Chama Cha Wananchi (CUF), ikiwakataa wajumbe wapya waliokuwa wameteuliwa na timu Lipumba [Profesa Ibrahim] na timu Seif [Maalim Sharif Hamad].

Kupitia hukumu yake iliyosomwa leo jijini Dar es Salaam, Mahakama Kuu imeeleza kuwa wajumbe wa pande zote mbili hawakukidhi vigezo vya kuwa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini, hivyo uteuzi wao umetenguliwa.

Aidha, ingawa wajumbe wa pande zote mbili wamekataliwa, uamuzi huo umepokelewa kama ushindi na kambi ya Maalim Seif, kwani ina maanisha kuwa wajumbe waliokuwepo awali wanaendelea licha ya muda wao kuisha, hadi pale uchaguzi mwingine utakapofanyika.

Katika kesi ya Msingi, Mbunge wa Malindi (CUF), Ally Saleh alikuwa akipinga uamuzi wa Wakala wa Usajili, Udhamini na Ufilisi (RITA) kuwapitisha wajumbe waliopendekezwa  na kambi ya Profesa Ibrahim Liumba kuwa wajumbe wapya wa bodi hiyo.

Profesa Lipumba ndiye mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.  Mgogoro wa madaraka ndani ya chama hicho uliibuka baada ya Profesa Lipumba kutangaza kuahirisha uamuzi wake wa kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti katika harakati za kampeni ya uchaguzi Mkuu, mwaka 2015.
 
Chama hicho hivi sasa kimegawanyika katika kambi hizo mbili, hali inayoathiri utendaji pamoja na kuzuka kwa mgogoro wa matumizi ruzuku.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Waziri Mkuu Awataka Vijana Waanzishe Mashamba ya Michikichi

0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana mkoani Kigoma waanzishe mashamba ya michikichi kwa kuwa zao hilo litawapatia kipato cha uhakika.

Amesema Serikari imedhamiria kufufua zao la michikichi ili kuliwezesha Taifa kujitosheleza kwenye mafuta ya kula na kuokoa fedha za kigeni.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Februari 18, 2019) alipowasalimia wananchi wa kijiji cha Nyakitondo wilayani Kasulu akiwa njiani kwenda Kibondo.

Waziri Mkuu ambaye yupo mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kufufua kilimo cha michikichi amesema ni vema wananchi wakachangamkia fursa hiyo.

“Vijana limeni michikichi kwani ukipanda ukiwa darasa la tano baada ya miaka mitatu utaanza kuvuna na kujipatia kipato ambacho kitakuwezesha kujikimu.”

Amesema kilimo cha zao la michikichi kitawawezesha wananchi hususani vijana kupata mitaji ya uhakika kwa ajili ya shughuli zingine za kiuchumi

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Serikali imejipanga kuhakikisha Tanzania inaongoza kwa kilimo cha zao la michikichi katika nchi za Afrika Mashariki.

Kadhalika, Waziri Mkuu amewahamasisha wananchi hao wajiunge na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili wawe na uhakika wa matibabu kwa yao na familia zao.

Wakati huohuo Waziri Mkuu ametembelea kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo na kukagua shule ya msingi Kassim Majaliwa na baadae wodi ya wazazi katika Hospitali Nduta.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

VIDEO: Kauli ya IGP Sirro kuhusu sakata la mauaji Simiyu

0
0
Tazama hapo chini kujua alichokisema Mkuu wa jeshi la polisi IGP Simon Sirro alipowasili mkoani Simiyu kufanya uchunguzi wa sakata la mauaji ambayo yamekua yakiripotiwa wilayani Busega Mkoani humo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images