Madaktari nchini Canada wameingia katika matitizo makubwa baada ya
kukosea na kumkata mwanaume mmoja sehemu ya uume wake na kupunguza kwa
urefu wa inch 1 (sentimeta 2.5).
Kwa mujibu wa QMI la Canada, mwanaume huyo anadaiwa kufika hospitali
akihitaji matibabu baada ya kuumia bahati mbaya wakati wa tendo la ndoa
na kupata mshituko hivyo kulazimika kufanyiwa upasuaji ili kumsaidia
Aachwa na mkewe baada ya madaktari kuupunguza uume wake kwa bahati mbaya
↧
↧
Tajiri adaiwa kumbaka mtumishi wake (house girl) mwenye umri wa miaka 14 siku 4 baada ya kuanza kazi na kisha kukimbilia mafichoni
Mfanyakazi wa ndani, miaka 14 mkazi wa kijiji cha Mdenge, Kata ya Likombe katika Wilaya ya Mtwara, amebakwa na mwajiri wake usiku wa kuamkia jana na kumsababishia maumivu makali na kisha kutokomea kusikojulikana.
Akiongea na FikraPevu jana Jumatatu Juni 16, 2014, Mama mzazi wa mtoto huyo, mwenye umri wa miaka 36, amesema mtoto wake amekumbana na masahibu hayo siku nne tangu aanze kufanya
↧
Mbunge Vicky Kamata atoa wimbo mpya uitwao....'Moyo wa Mtu Kichaka'.....Hii ni baada ya yeye kuugua na ndoa yake kukwama kufungwa
Mh. Vicky Kamata aliwasili Bungeni Dodoma na kama ilivyo ada alipokewa vizuri na kila mbunge aliyekutana naye.
Wabunge
wengi walimpa pole baada ya kuugua siku chache kabla ya ndoa yake na
kumtakia kila la kheri, huku wengi wakiamini kilichotokea ni mpango wa
Mungu na kua Ndoa yake ipo na itakuwepo siku yoyote Mungu akiamua
kulitimiza kusudi lake juu ya Mh. Vicky Kamata..
↧
Update: Mume wa Flora Mbasha akamatwa na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za Ubakaji.....Ashindwa masharti ya dhamana, apelekwa Rumande
MSANII Emmanuel Mbasha (32) na mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo la ubakaji.Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara na mwimbaji alisomewa mashitaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce Luago.Wakili wa Serikali Nassoro Katuga alidai kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo mawili maeneo ya Tabata Kimanga,
↧
Hii ndio kauli ya Rais Kenyatta baada ya mashambulizi mawili yaliyoua Wakenya 70
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa mauaji yaliyofanywa katika
mji wa Mpeketoni, Pwani ya Kenya hayakufanywa na kundi la wapiganaji wa
kiislamu la Al Shabaab.
Kauli ya Rais Kenyatta inakuja siku moja baada ya kundi hilo kukiri kufanya mauaji yaliyotokea Mpeketoni Jumapili usiku na kuua watu zaidi ya 50.
Akitoa hotuba yake ya kitaifa, Rais Kenyatta pia amesema maafisa
↧
↧
Maelezo Muhimu kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Tano Mwaka 2014
Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano katika shule za Serikali
na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 umekamilika. Uchaguzi umefanyika kwa
kuzingatia takwimu za matokeo ya watahiniwa waliofanya Mtihani wa Kidato
cha Nne Tanzania Bara mwaka 2013.
2.0 WATAHINIWA WALIOFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, MWAKA 2013
Jumla ya watahiniwa 427,679 walisajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha
↧
Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Tano mwaka 2014
Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano katika shule za Serikali
na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 umekamilika. Uchaguzi umefanyika kwa
kuzingatia takwimu za matokeo ya watahiniwa waliofanya Mtihani wa Kidato
cha Nne Tanzania Bara mwaka 2013.
--------------------------------------------
Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Tano mwaka 2014
1.
↧
Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 18 June 2014
↧
Picha na maelezo ya bomu lililoonekana Mtwara jioni ya Juni 16
Hili ni bomu ambalo jioni ya June 16 2014 kwenye kijiji cha Mdui kata
ya Mawala wilaya ya Mtwara vijijini kwenye mkoa wa mtwara liliokotwa na
watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo la makaburi.
Taarifa ilitolewa Polisi baadaye ambapo baada ya wataalamu kuja na
kuchunguza waligundua ni bomu la kurusha kwa mkono ambalo lina namba TNT
MORTAR BOMB 60MM,LOT SOL 618 ambapo Polisi kwa
↧
↧
Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana Litalipuka muda wowote.....Asema vijana 10,500 waliojitokeza hivi karibuni kwenye usaili Uwanja wa Taifa ni Ushahidi tosha
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500
waliojitokeza hivi karibuni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara
kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.
Akizungumza na waandishi wa habari jana nje ya
Viwanja vya Bunge, Lowassa alisema Serikali ni lazima ihakikishe
inatengeneza ajira kwa kuwa
↧
Mwanamke Ajifungua Mtoto Mwenye Kichwa Cha Ajabu Mkoani Singida.....Hakuwahi kuhudhuria Clinic tangu abebe Mimba
Mwanamke mmoja mkazi wa Kintinku, Wilayani Manyoni mkoani Singida amejikuta akimwaga machozi baada ya kujifungua mtoto mwenye kichwa cha ajabu ( tepe tepe).
Tukio hilo limetokea jana asubuhi katika hospitali ya Kintinku Health Center iliyopo Wilayani Manyoni.....
Akiongea na Mpekuzi kwa sharti la kutotajwa jina lake kwa madai kuwa yeye si
↧
Hili ni Dili alilolipata Jokate Mwegelo kwenye sabuni inayotumia sura yake
Mwanamitindo Jokate Mwegelo ameibuka na ubunifu mpya
wa sabuni ya kuogea inayokwenda kwa jina la Mo yenye sura yake. Dili hili amelipata ikiwa ni baada ya
kutesa na bidhaa ya ndala iliyokuwa na sura yake pia.
Akipiga stori na mwanahabari wetu, Jokate alisema uzinduzi wa
sabuni hiyo unatarajiwa kufanyika leo Jumatano, Juni 18, mwaka huu
ambapo yeye na timu yake watatembea
↧
Majibu ya Ridhiwani Kikwete kuhusu NEC na kwa wanaosema anamiliki vituo vya mafuta
Inawezekana hili likawa moja kati ya maswali uliyonayo na hujawahi
kupata nafasi ya kumuuliza muhusika au inawezekana ikawa ni ishu ambayo
umewahi kuisikia au kuisoma kwenye chombo chochote cha habari.
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ambae ni mtoto wa Rais wa
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwenye exclusive
interview na millardayo anasema:
"Kuwa mtoto wa Rais
↧
↧
Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili wa Nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji Awamu ya Pili
1. Orodha ya majina ya wafuatao, ni wasailiwa waliopita awamu ya kwanza ya usaili wa kuandika (Aptitude test).
2. Usaili wa awamu ya Pili ni wa ana kwa ana (Oral interview). Utafanyika katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga kwa tarehe zilizopangwa kuanzia saa 1:30 Asubuhi.
3. Kila msailiwa anaelekezwa kufika na vitu vifuatavyo:-
cheti halisi cha kuzaliwa
vyeti halisi vya shule
↧
Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 19 June 2014
↧
Mume wa Flora Mbasha Apata Dhamana.....
MUME
wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na kesi ya ubakaji
amepewa dhamana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar baada ya
kutimiza masharti.
Mbasha
amefikishwa mahakamani hapo akitokea Gereza la Keko alikopelekwa Juni
17 mwaka huu akikabiliwa na kesi ya kumbaka shemeji yake.
Mbasha
baada ya kutolewa kwenye mahabusu ndogo ya mahakamani hapo alionekana
↧
Maneno ya Director Mtitu kuhusu Kesi ya Emanuel Mbasha na Roho ya Kikatili aliyo nayo Flora Mbasha
Zikiwa siku chache zimepita tangu kesi ya Emmanuel Mbasha ambaye ni mume wa
mwimbaji wa nyimbo za injili Flora Mbasha ianzwe kusikilizwa kwenye mahakama
ya wilaya ya Ilala Dar es salaam ,baadhi ya wadau wametoa ya
moyoni juu ya kesi hii.
Miongoni
mwa watu walioguswa na kutoa ya moyoni ni muongozaji wa filamu
mbalimbali Tanzania Wiliam Mtitu ambaye katika ukurasa wake wa Instagram
↧
↧
Wabunge wa CHADEMA waumbuana Bungeni
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amemshukia Leticia Nyerere
(Viti Maalumu-Chadema) kwa kumtaka aende CCM kwa sababu bado Mwenyekiti
wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete ana nafasi za kuteuwa wabunge.
Hadi
sasa Rais Kikwete ameshateua wabunge wanane kati ya nafasi 10 alizopewa
kikatiba.
Mdee aliyasema hayo jana alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka
↧
Kituo cha TV chafungiwa baada ya kuonyesha Picha za Rais Museven akiwa amesinzia Bungeni
Serikali ya Uganda imekifungia kituo kikubwa cha Televisheni cha nchi
hiyo NTV kuripoti habari zozote zinazomhusu Rais baada ya kurusha
hewani picha zinazomuonyesha Rais Yoweri Museveni amesinzia bungeni.
Mkurugenzi wa kituo cha habari za serikali Dennis Katungi amenukuliwa
akisema: “Rais ana tabia zake wengi mnajua, huwa anatafakari na
wanajua lakini bado wameonyesha picha hizo na
↧
Polisi nchini Kenya yamkamata mtu anayedaiwa kuendesha Account ya Twitter inayomilikiwa na Al Shabaab
Maafisa wa polisi wa Kenya wamemtia nguvuni mshukiwa anayetuhumiwa
kuendesha akaunti ya Twitter ambayo ina uhusiano na kundi la kigaidi la
Al shabaab na uliotoa habari kwamba Al shabaab walihusika kutekeleza
mauaji eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu.
Kwa mujibu wa Ripota Julius Kepkoech toka Kenya, Katibu wa
wizara ya Mambo ya ndani na usalama wa taifa, Mutea Iringo
amethibitisha
↧
More Pages to Explore .....