Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.


Wakazi wa Dar, Arusha, Mwanza na mikoa mingine 6 wapewa tahadhari ya mvua kubwa

0
0
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa mvua kubwa (juu ya wastani) kwa baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa, Dar es Salaam na Kilimanjaro.
Image result for jangwani mafuriko

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Februari 14, 2019 kuhusu utabiri wa mvua za masika kwa mikoa inayopata mvua mara mbili kwa mwaka, Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk. Agnes Kijazi, amesema kuwa, kutokana na mifumo ya hali ya hewa ilivyo kwa sasa na inavyotarajiwa kuwa kwa kipindi chote kuanzia Machi mpaka Mei mwaka huu, maeneo mengi yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka yanatarajia kuwa na mvua za wastani.

Hata hivyo, Dk. Kijazi amesema baadhi ya maeneo katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Arusha, Kilimanjaro, Kagera, Mara, Mwanza, Geita, Simiyu na Shinyanga kuna uwezekano mkubwa wa kupata mvua kubwa (juu ya wastani).

“Kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa, tunategemea mvua hizi zitaanza wiki ya mwisho ya mwezi huu, ikianzia mikoa ya Kagera na baadaye kusambaa kwenye mikoa mingine ya ukanda huo,” amesema Kijazi na kuongeza.

“Mvua hizi zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani kwa maeneo mengi ya mikoa ya hii ya Kanda ya Ziwa, hata hivyo kwa baadhi ya maeneo machache ya Mkoa wa Kagera na Wilaya ya Kibondo kutakuwa na upungufu wa mvua.“

Hata hivyo, amesema mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Zanzibar, Arusha, Manyara, Kilimanjaro na baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, mvua za masika zinatarajiwa kuanza katikati ya wiki ya mwisho ya mwezi huu Februari.

Kijazi amesema ni vyema kwa mamlaka husika hasa katika sekta za kilimo, uvuvi, ujenzi na afya kuchukua tahadhari kutokana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua.

“Kwa sekta ya kilimo, mikoa itakayopata mvua juu ya wastani ni vyema wakaangalia kulima mazao yanayostahimili unyevu nyevu mwingi kutokana mvua nyingi. Lakini pia kwa mamlaka ya miji, huduma za majisafi na majitaka zinaweza zikaathiriwa, ni vyema mifumo ya njia za kupitisha maji ikaimilishwa kuepuka mafuriko na athari nyingine,”

Mkurugenzi huyo amesema, TMA itaendelea kutoa mrejesho wa mvua katika utabiri wa siku 10 na siku tano watakaokuwa wakiutoa na kuwataka wananchi kufuatilia taarifa kwenye vyombo vya habari.

Mvua za masika zimekuwa zikisababisha mafuriko karibu kila mwaka kwenye maeneo ya mabondeni ambayo licha ya serikali kupiga marufuku watu kuweka makazi, bado yanaendelea kuwa na ujenzi holela.

Pata Tiba Asili ya Nguvu za Kiume, Vidonda vya Tumbo

0
0
Miti shamba ndiyo dawa inayotegemewa ulimwenguni.
Kwanini watu mnalalamika Nguvu za kiume,kisukari na maumbile madogo?? ,Mimi natibu magonjwa yote hayo. Kisukari siku 14 tu .Maumbile madogo ya utotoni siku 6 na ya ukubwani siku 3.

Matatizo hayo binadam wote Yanayakumba
@Miti 9 power mix  iliyochanganywa,kutibu Nguvu za kiume na kuwa katika mfumo wa vidonge na unga.

(b) miti 4 mix ya mfumo wa unga tu,ya kutibu kisukari siku 14 na kuwa normal.

(C) miti 14 mix ya kutibu maumbile madogo unene na urefu siku 6 kwa 3 unapona kabisa.

Habari hii inawahusu wazembe kwenye ndoa zao.

(D) koola mix kutibu tezi dume kwa haraka zaidi na kupona kabisa.dozi siku 7.na unaruhusiwa kutumia kwa kinga zaidi siku 4 ili usilipate tatizo Hilo.

(E)Selia power tiba ya Busha bila kufanyiwa operation na linasambaa kabisa dozi siku 12.

(F)Mbuke Ni dawa ya Uzazi kwa mama au baba yenye uwezo wa kupanga mayai hata Kama yapo mbali utafanikiwa

(G)Dawa ya miguu kuwaka moto,kuvimba,magoti kuuma na kujaa maji dozi yake Ni siku 14 na utaweza kula nyama yoyote.

(H)Mix Nkola,Nyombakamo,italigula na nkanyi Ni dawa ya mvuto kwa mpenzi,mke au mume

(I)Njugala inafunga matatizo yanayomsumbua binadam,Kama chuma ulete.

Kupitia Dr.WEJA utapona kabisa.Muda kuanzia saa 1 mpaka 11 jioni,kwa Dar es salaam au Shinyanga unaweza kuletewa popote ulipo utalipia.
 
  0784 475 946-  DR WEJA KUTOKA UKOO WA MACHIFU.
 YOU ARE WELCOME.

Hukumu kesi ya Malkia wa Tembo Kutolewa Februari 19

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 19, 2019 kutoa hukumu katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili washtakiwa watatu, akiwemo raia wa China, Yang Feng Glan (66).

Glan, maarufu kama Malkia wa Tembo na wenzake wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh13 bilioni, kinyume cha sheria.

Hukumu hiyo ilitakiwa kutolewa leo, Februari 15, 2019 lakini Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi, anayesikiliza shauri hilo bado hajamaliza kuandika hukumu.

Hakimu Shaidi amesema, kuna vitu anamalizia kuviandaa katika hukumu hiyo, hivyo amepanga Jumanne ya wiki ijayo ndio atatoa hukumu.

"Nitatoa hukumu hii siku ya Jumanne ya wiki ijayo, kuna vitu namalizia katika uandikaji wa hukumu hii," alisema Hakimu Shaidi.

Tumia Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Mabantu Ft. Whozu - Kamatulivyo

0
0
Mabantu Ft. Whozu - Kamatulivyo

Mwanamke Apigwa na mumewe kisa Penzi Kinyume na Maumbile

0
0
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijichi Mkoa wa Mjini Magharibi, amedai kupigwa na kujeruhiwa usoni na mumewe ambapo ameshonwa nyuzi 6, kwa madai ya kukataa kuingiliwa kinyume na maumbile na mumewe huyo.

Amesema kwa muda sasa mumewe amekuwa akimtaka kinyume na maumbile, akimshutumu kuwa hajui mapenzi. 

Mwanamke huyo amesema kuwa Mume wake alianza kumuomba penzi kinyume na maumbile miezi mitatu baada ya kumuoa.

Baada ya kuweka msimamo huo, Mume wake alianza kumtukana na kumwambia hajui mapenzi ambapo majirani walimueleza kuwa hiyo ndiyo tabia ya mwanaume huyo na ndiyo sababu ya kuachana na wake zake wawili.

Hata hivyo mwanaume huyo amekana taarifa hizo na kudai kuwa chanzo cha mgogoro wake na mkewe ni wakwe zake wanaomdai mahari kwa kumsimanga.

Credit: Mwananchi

China Yaikabidhi IKULU Mpya Burundi

0
0
Balozi wa China nchini Burundi, Li Changlin na waziri wa mambo ya nje wa Burundi, Ezechiel Nibigira wamesaini hati ya makabidhiano ya jengo la Ikulu ya Burundi lililojengwa kwa msaada wa China.

Kwenye hafla ya kusaini hati ya makabidhiano kwenye Ikulu mpya kwenye eneo la Mutimbuzi, kaskazini mwa Bujumbura, balozi wa China, Li Changlin amesema makabidhiano hayo ni alama ya urafiki na ushirikiano kati ya China na Burundi, na kwamba ushirikiano kati ya nchi hizo mbili utaweka mkazo katika kuboresha maisha ya wananchi wa Burundi na mazingira ya kazi ya watumishi wa umma wa Burundi.

Waziri wa mambo ya nje wa Burundi, Nibigira ameishukuru China kwa kujenga Ikulu hiyo, ambayo Burundi haijawahi kuwa nayo tangu ijipatie uhuru mwaka 1962, na kusema kwamba hii ni mara ya kwanza katika historia kwa Burundi kupata miundombinu mizuri, na imethibitisha uhusiano imara wa kisiasa na kidiplomasia uliopo kati ya Burundi na China.

CHADEMA yatangaza kuanza mikutano ya hadhara

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kuanza mikutano ya hadhara mchana kweupe na kwamba kwa sasa kinachofanyika ni kufanya utaratibu na utengenezaji wa ratiba wapi itakapoanzia.
 
Katibu Mkuu wa chama hicho, Vicent Mashinji, amesema hayo leo wakati Chadema kikitoa maazimio ya kikao maalum cha Kamati Kuu iliyokutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam kuanzia Februari 9.

"Kufanya mikutano ya hadhara siyo jinai na hata aliyezuia aliizuia kwa utashi lakini siyo kwa msukumo wa kisheria. Ni kweli hata sisi tulikuwa na mambo ya ujenzi wa taasisi kwa hiyo hatukuwa na uwezo wa kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja;

"Kufanya mikutano ya hadhara, kukimbizana na chaguzi zetu za ndani, kukimbizana na majukumu ya kiutawala za uchaguzi ndio maana agizo la kuzuia mikutano ya hadhara lilipotoka imeonekana kana kwamba tumetii amri isiyo halali," amesema na kuongeza;

"Wanatumia kivuli kuwa Chadema inakwenda kufanya mikutano ya hadhara kutukana , hatuna muda huo mchafu, tuna sera zetu ambazo wananchi wanatakiwa kuzitambua."

Naibu Waziri Dk Mwanjelwa atoa siku saba watumishi wanaoishi nje ya vituo vya kazi kurudi

0
0
 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) amemuagiza Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Bi. Zena Said kuhakikisha watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga wanaoishi nje ya vituo vya kazi kuhamia wilayani Mkinga ndani ya siku saba ili kutoa huduma bora kwa wananchi na kwa wakati.

Agizo hilo amelitoa wilayani Mkinga wakati wa kikao kazi na watumishi wa halmashauri hiyo, alipowatembelea kuhimiza uwajibikaji kabla ya kutembelea wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wilayani humo kwa lengo la kukagua na kujiridhisha kuhusu utekelezaji wa miradi ya TASAF wilayani humo.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema, watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga wanaoishi nje ya vituo vya kazi na kutumia rasilimali za serikali, ni dhahiri kuwa wanatumia vibaya rasilimali za umma hivyo wanafanya kosa kwa mujibu wa Kanuni, Sheria na Taratibu za Utumishi wa Umma.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesisitiza kuwa, ni marufuku kwa mtumishi wa umma yeyote nchini kuishi nje ya kituo cha kazi, kwani kitendo hicho kinawanyima haki ya msingi wananchi wanaohitaji huduma katika Taasisi za Umma kutokana na watumishi wengi kuchelewa kufika kazini kwasababu ya kuishi nje ya vituo vyao vya kazi.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amehoji uwepo wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga na wakuu wake wa Idara kushindwa kushughulikia tatizo hilo la watumishi kuishi nje ya vituo vya kazi, na kumtaka Mkurugenzi huyo kuhakikisha anashirikiana na menejimenti yake kushughulikia suala hilo kwa wakati na kuongeza kuwa, iwapo tatizo hilo litaendelea kuwepo wilayani humo, itakuwa ni ishara tosha kwamba, wamedhihirisha kutokuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yao.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amewataka watumishi wa umma wilayani humo kuzingatia nidhamu ya kazi na kutochezea fursa waliyonayo ya kuutumikia umma na kuongeza kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuwa na utumishi wa umma wenye viwango na unaomjali mwananchi pindi anapofuata huduma katika taasisi za umma.

Aidha, Mhe. Dkt. Mwanjelwa amemuagiza Katibu Tawala Mkoa wa Tanga na Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kushughulikia ubadhirifu wa fedha uliopo katika Kituo cha Afya cha Kiwegu na kutaka apatiwe mrejesho mapema iwezekanavyo.

Kwa upande wake, Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Bi. Zena Said amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga na Maafisa Utumishi kuhakikisha ifikapo Februari 21 mwaka huu, watumishi wote wanaoishi nje ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga wawe wameshahamia wilayani Mkinga.

Bi. Said amemshukuru Dkt. Mwanjelwa kwa kuwahimiza watumishi wilayani Mkinga kuvaa mavazi yenye staha na kumtaka kila mtumishi wa umma wilayani humo kuzingatia Waraka wa Mavazi Na. 3 wa Mwaka 2007.

Kuhusiana na ubadhirifu wa fedha katika Kituo cha Afya cha Kiwegu, Bi. Said amemuahidi Dkt. Mwanjelwa kutekeleza maelekezo aliyoyatoa kwa wakati kwa kufanya ufuatiliaji ili kutatua tatizo hilo.

Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Tanga yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi kwa umma, ikiwa ni pamoja na kukagua na kujiridhisha na utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na TASAF mkoani humo. Mpaka sasa ameshatembelea Halmashauri ya Mji wa Tanga, Halmashauri ya Wilaya ya Muheza na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga.

Zaidi Ya Bil. 16.324.9 Zimelipwa Kwa Wakulima Wa Korosho Mkoani Pwani

0
0
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji 
JUMLA ya kilo 5,623,277 za korosho zenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 16.324.9 tayari zimelipwa kwa wakulima mkoani Pwani.

Aidha wakulima wa korosho 24,543 ,wenye kilo 14,370, 844 kati ya kilo 21,130,598 zilizopo kwenye maghala makuu wameshakikiwa, sawa na asilimia 68 .

Mkuu wa mkoa wa Pwani, mhandisi Ndikilo alitoa taarifa hiyo wakati alipokuwa akizungumza kwenye ziara yake wilaya ya Mkuranga na Rufiji.

Alisema, zoezi la uhakiki lilikuwa mwisho february 15 lakini mkoa huo unaomba kuongezewa muda hadi february 28 mwaka huu, kwakuwa umechelewa kuanza zoezi hilo na bei ya daraja la pili ilichelewa kutoka ambayo itakuwa sh. 2,640 kwa kilo .

Ndikilo alieleza, hadi tarehe 12 februari, mwaka huu jumla ya kilo 23,066,238 za korosho zimekusanywa, ambapo kilo 21,130,598, sawa na asilimia 91.6 zipo kwenye maghala makuu.

"Ghala kuu la Mwanambaya zipo kilo 6,549,204, Kibiti kilo 2,650,529, TANITA kilo 1,705,621, Kurasini PISAH kilo 3,727,669, Kurasini SCALABLE kilo 6,325,237 ,Kiegeani- Mafia kilo 213,593 na kilo 6,488,690 zipo kwenye maghala madogo ya AMCOS"alibainisha Ndikilo.

Nae katibu tawala msaidizi uchumi na uzalishaji, Shangwe Twamala alisema mkoa wa Pwani ulichelewa kuanza ukusanyaji wa korosho tarehe 30 Oktoba, 2018 tofauti na mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma, ambayo ilianza mapema.

"Baadhi ya korosho kuendelea kuwepo kwenye maghala ya AMCOS, Ili kutatua changamoto hii, tunashauri malipo kwa wasafirishaji yafanyike kwa wakati ili waweze kufanya kazi hii"

"Kama itawezeakana tutumie magari ya jeshi kuhamisha korosho kutoka kwenye AMCOS kwenda maghala ya Kurasini"alieleza Twamala. Kwa upande wao mkuu wa wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga alisema, tani zaidi ya 4,000 za korosho kati ya 6,000 walizokusanya zipo chini ya sakafu ambapo wamezitandikia maturubai lakini wanahofia unyevunyevu zisije kuharibika.

Mkuu wa wilaya ya Rufiji Juma Njwayo alisema, wakulima wilayani hapo wamelipwa korosho sh. bilioni 3.7 ,kwa wakulima 2,665.#

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Mawaziri wanane watua Mbeya kuamua hatma ya uhamishaji vijiji Ruaha

0
0
Timu ya mawaziri wanane imekutana Wilayani Mbarali kwa ajili ya utekelezaji wa agizo la Rais la usitishwaji wa zoezi la kuhamisha vijiji 33 vinavyotakiwa kuondolewa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.

Wizara hizo ni Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi, Wizara ya Utalii na Maliasili, Wizara ya Maji, Wizara ya Muungano na Mazingira, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Wizara ya Tamisemi na Wizara ya Mifugo.

Inadaiwa vijiji hivyo vipo ndani ya hifadhi kwa mujibu wa Tangazo la Serikali namba 28 la mwaka 2008 (GN No.28 ya 2008), hivyo wamekuwa kwenye mgogoro kwa muda wa miaka 12.

Januari 15, 2019, Rais John Magufuli aliagiza vijiji vyote 366 vilivyobainishwa kuwepo ndani ya maeneo ya Hifadhi za Taifa nchini visiondolewe na badala yake wizara husika zianze kufanya mchakato wa kuvirasimisha huku akitoa muda wa mwezi mmoja kwa viongozi kubainisha maeneo ya vijiji hivyo na kuanzisha mchakato wa mabadiliko ya sheria ili yawasilishwe katika kikao kijacho cha Bunge.

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

TANESCO Songwe Wapewa Siku Tatu Kujielezea

0
0
Shirika la Umeme Nchini TANESCO Mkoa wa Songwe limepewa siku tatu kuandaa mkakati utakaoeleza namna ya kumaliza matatizo ya umeme ikiwemo katizo la mara kwa mara la umeme na tatizo la kiwango kidogo cha umeme.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Mst) Nicodemus E Mwangela  ametoa agizo hilo mapema leo asubuhi alipofika ofisi za TANESCO Songwe kufuatia kukatika mara kwa mara kwa umeme na pia kila siku ya Jumamosi ambapo alimtaka Meneja wa shirika hilo kueleza mkakati wa kumaliza tatizo hilo.

“Nimekuja hapa kwakuwa naona sasa tunageuka makubaliano ya kukata umeme kila jumamosi tu, sasa katikati ya wiki umeme unakatika sana, lakini hata hayo makubaliano ya jumamosi naona muda unaenda tu hatujui lini mtakamilisha matengenezo mnayoyafanya kila Jumamosi”, Brig. Jen. (Mst)  Mwangela.

Ameongeza kuwa Mkoa unapata athari kubwa kufuatiwa kutokuwepo umeme wa uhakika kwakuwa shughuli za uzalishaji viwandani, shughuli za majumbani zinazohitaji umeme na hata baadhi ya huduma za kijamii zinazohitaji uwepo wa umeme wa uhakika zinaathiriwa huku akielezea kuwa wananchi hawapewi taarifa.

“Nawaelekeza kuanzia sasa mkizima umeme au hata ikitokea hitilafu taarifa na sababu zitolewe ili ifahamike umeme umekatika kwa sababu zipi, tatizo la umeme kwetu limeshakuwa kero kubwa kwani  hakuna maendeleo hususani ya viwanda bila umeme”, amesisitiza Brig. Jen. (Mst)  Mwangela.

Brig. Jen. (Mst)  Mwangela. amewataka TANESCO Songwe waongeze ujuzi na maarifa kutoka kwa maeneo mengine ambao wameweza kutatua matatizo kama hayo pia wafahamu mahitaji ya vifaa vinavyotakiwa kwa ajili ya matengenezo wanayoyafanya.

Naye Kaimu Meneja TANESCO Mkoa wa Songwe Aristidia Clemence amesema kuwa kukatika umeme mara kwa mara kunatokana na Mvua zonazoendelea kunyesha kwani husababisha nguzo kuanguka na pia radi hupasua vikombe katika nguzo.

Amesema matatizo ya Umeme Mkoa wa Songwe yataisha pale ambapo Mradi wa Umeme wa Gridi ya Taifa kutoka Iringa mpaka Nkangamo Momba, wa Kilovoti 400 utakapokamilika kwani kwa sasa umeme unaopatikana ni mdogo na unapatikana kwenye laini moja yenye Zaidi ya Kilometa 1200 tofauti na mikoa mingine yenye line kumi na umeme wa kutosha.

“Hata sisi tunaumia umeme unapokatika kwani tunatambua umuhimu wa umeme na ndio maana tunafanya kazi usiku na Mchana, Mkoa huu ulikuwa na matatizo ya nguzo chakavu pia baadhi ya vikombe vimeharibika ndio maana kila jumamosi tunazima umeme ili kubadilisha nguzo na vikombe hivyo”, ameeleza Clemence.

Clemence ameongeza kuwa kwa sasa kuna ujenzi wa switching station ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni na kusaidia endapo kuna hitilafu imetokea sehemu moja umeme usikatike mkoa mzima tofauti na sasa ambapo hitilafu ikitoa wilaya moja mkoa mzima unakosa umeme.

“Pia tatizo lililopo sasa ni hitilafu ikitokea mkwajuni Songwe umeme ukikatika ni Mkoa Mzima ila ujenzi huu wa Switching Station utasaidia kuondoa tatizo hilo, pia mradi ule wa Iringa wa Gridi ukikamilika matatizo ya umeme yatakwisha hivyo nawasihi wenye viwanda na wenye nia ya kuwekeza kwenye viwanda wasikate tamaa”, amefafanua Clemence.

Kwa upande wao wananchi Mkoani Songwe wameiomba serikali iwasaidie uwepo wa umeme wa uhakika ili waweze kuzalisha na kufanikisha uchumi wa viwanda, aidha wamesema kukatika kwa umeme mara kwa mara kunaathiri upatikanaji  wa huduma za kijamii kama vile baadhi ya huduma za afya hospitalini

Wananchi Wapiga Kura Za Siri Kubaini Watuhumiwa Wa Mauaji Ya Watoto Busega

0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Wananchi wa Kata ya Lamadi Wilayani Busega mkoani Simiyu wamepiga kura za siri kwa lengo la kubaini watuhumiwa wa mauaji ya watoto yaliyotokea hivi karibuni wilayani humo.

Wakizungumza katika zoezi hilo lililofanyika Februari 14, 2019  katika Kitongoji cha Kisesa Kijiji cha Lamadi wananchi hao wamesema kuwa  wamelipokea vizuri zoezi hilo na kubainisha kuwa kura hizo zitasaidia Vyombo vya Dola katika kufanya uchunguzi na kuwabaini wauaji wa watoto wilayani humo.

“Zoezi hili nimelipokea vizuri na nina imani litatusaidia kuwapata wauaji wa watoto wetu na naishukuru Serikali kuona haja ya kuwashirikisha wananchi maana mauaji haya ya watoto yametusikitisha sana wakazi wa Lamadi” alisema Modesta Andrea mkazi wa Lamadi

“ Tukio hili la kupiga kura za siri mimi naona ni zuri kwa sababu naamini kuna baadhi ya wananchi wanaweza wakawa wanafahamu watu waliofanya mauaji ya watoto na kama ikitokea kuna watu wakaandikwa labda kwa sababu ya fitina tunaamini vyombo vyetu vya dola vitachuja na kuchunguza na mwishowe wauaji watabainika tu; tunaomba wakibainika sheria ifuate mkondo wake” alisema Elisha Daniel mkazi wa Lamadi.

Akizungumza na wananchi wa Lamadi mara baada ya zoezi hilo kukamilika, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amesema kufanyika kwa zoezi hilo hatua ya kwanza ya uchunguzi wa mauaji ya watoto wilayani humo, huku akiwahakikishia wananchi kuwa kura walizopiga zitahesabiwa kwa haki na vyombo vya dola mkoani humo.

“Kupiga kura za siri si kwamba tumeshindwa kufanya upelelezi, hii ni hatua ya kwanza ya sisi kufanya uchunguzi wetu, kura hizi zitahesabiwa na vyombo vya dola mkoani Simiyu ambavyo ni Usalama wa Taifa, Uhamiaji, Jeshi la Magereza, Jeshi la Wananchi JWTZ (Mkoa wa Simiyu), Jeshi la Zimamoto, Jeshi la Polisi na TAKUKURU” alisema Mtaka.

Aidha, Mtaka amesema Serikali mkoani humo itaendelea kutimiza wajibu wake wa kwanza wa kulinda watu wake na kuhakikisha wananchi wanaishi kwa amani ili waweze kufanya vema shughuli za maendeleo.

Sambamba na hilo Mtaka amesema Serikali itahakikisha inayafanyia kazi masuala mbalimbali yaliyosemwa na wananchi katika mkutano huo, ikiwa ni pamoja na malalamiko dhidi ya utendaji wa baadhi ya viongozi na watendaji wa Serikali  na kubainisha kuwa  hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya wale wote watakaobainika kwenda kinyume katika kuwatumikia wananchi.

“Niwahakikishie kuwa Serikali itayafanyia kazi yote yaliyosemwa na wananchi katika Mkutano wa hadhara uliofanyika hapa Lamadi, kama kuna wakubadilishwa watabadilishwa, wa kuwajibishwa watawajibishwa, wakuhamishwa watahamishwa naomba mniamini” alisisitiza Mtaka.

Kwa upande wake Mbunge wa Busega, Dkt. Raphael Chegeni ametoa pole kwa wazazi wote waliopoteza watoto wao katika mauaji ya watoto na kuahidi kutoa rambirambi shilingi 500,000/= kwa kila familia iliyokutwa na msiba huku akilaani vikali vitendo vya mauaji ya kinyama ambayo yamekatisha ndoto za watoto hao.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Tano Mwera amewashukuru wananchi wa Lamadi kwa  namna walivyojitokeza katika zoezi la kupiga kura za siri na kwa namna walivyolifanya kwa amani na utulivu.

MWISHO

Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

0
0
Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono. 

Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators). 

Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi.

Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni
  1.  Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
  2.     Chlamydia
  3.     Kaswende (Syphillis)
  4.     Human papilloma virus (HPV)
  5.     HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
  6.     Hepatitis B, C, A
  7.     Herpes virus
  8.     Trichomoniasis
  9.     Bacteria Vaginosis
  10.     Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
  11.     Chancroid
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV, Hepatitis B na C, na HIV. Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio, magonjwa hayo ni kama gono (gonorrhoea) na nk.
 
Visababishi vya magonjwa ya zinaa
  1. Vitendo vya ngono kama nilivyoeleza hapo awali
  2. Kuanza vitendo vya ngono mapema au wakati wa umri mdogo
  3. Kuwa na wapenzi wengi
  4. Kufanya mapenzi ambao sio salama
  5. Maambukizi kupitia michibuko au sehemu zilizokatika kwenye ngozi kwa kugusana na majimaji ya aina yoyote yanayotoka kwa mtu mwenye ugonjwa wa zinaa kama damu, shahawa nk. Hii inaweza kutokea bila mtu kujua kwani mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa zinakuwa hazionekani kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.
Watu wengi huhisi kitendo cha kula denda (kissing) ni salama lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes nk, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii. 

Soma pia:Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa 

Kondomu husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono, Chlamydia lakini sio kinga muafaka dhidhi ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, genital herpes, genital warts, na magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini (AIDS).

Kisonono (gonorrhea) ni nini?
Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini kama kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya kupitisha mkojo au shahawa (urethra), mdomoni na kwenye puru. Maambukizi mengi kwa wanawake hutokea kwenye shingo ya kizazi (cervix). 

Asilimia 75 ya ugonjwa wa gono hutokea kwa watu wenye umri wa miaka 15 – 29, wanawake walio katika umri wa miaka 15 -19 na wanaume walio katika umri wa miaka 20 – 24 wako kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
 
Ugonjwa huu huambukizwa vipi?
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia vitendo vya ngono kupitia uke, njia ya haja kubwa (anus), kupitia mdomoni (oral sex). Ugonjwa unaweza kujitokeza kwenye sehemu za kujamiana, kwenye mdomo na kwenye puru (rectum). 

Soma Pia: Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga 

Ugonjwa wa gono huonekana sana kwa vijana, watu wenye maisha duni kiuchumi, watu wanaoishi mijini, watu weusi na watumiaji madawa ya kulevya.
 
Dalili za ugonjwa wa kisonono
Dalili za ugonjwa wa kisonono huanza kujitokeza kuanzia siku ya 2 hadi ya 7 baada ya mtu kupata maambukizi na huweza kuchelewa kwa wanawake. Dalili ni kama zifuatazo

Kwa wanaume
  1. Kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
  2. Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
  3. Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
  4. Maambukizi yakiwa kwenye puru (rectum) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
Kwa wanawake
Dalili kwa wanawake huwa si nyingi lakini wanawake wengi hawaonyeshi dalili zozote
  1. Maumivu au kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa
  2. Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
  3. Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
  4. Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
  5. Kichefuchefu
  6. Homa (fever)
  7. Kutapika
Vipimo vya ugonjwa wa kisonono
  1. Swab for culture – Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona kama kuna bakteria wanaosababisha gono.
  2. Polymerase Chain Reaction (PCR)– Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
Tiba ya ugonjwa wa kisonono ni nini?
Tiba ya gono inahusisha na tiba ya ugonjwa wa Chlamydia kwani mara nyingi magonjwa haya huambatana kwa pamoja.Tiba hutegemea na umri wa mgonjwa na kama mtu ni mjamzito au la. 

Tiba ya gono ambayo sio sugu iliyo kwenye shingo ya kizazi (cervix), urethra na puru, dawa zinazotumika ni aina za cephalosporin dozi moja pamoja na dawa za aina ya macrolide antibiotics (mfano azithromycin) na za jamii ya penicillin (mfano doxycyclin) ili kutibu ugonjwa wa chlamydia. Mara nyingi kwa wale chini ya miaka 18 na wanawake wajawazito, hutibiwa kwa kuchomwa sindano.

Soma Pia: Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake

Fuata ushauri wa daktari kabla ya kutumia dawa hizi kwani dawa nyingi zina madhara kwa wajawazito (mfano doxycyclin). Ushauri nasaha hutolewa kwa wapenzi wote wawili na ni vizuri wapenzi wote wawili kutibiwa hata kama mmoja hana dalili za ugonjwa huu.
 
Madhara ya ugonjwa wa kisonono
  1. Kutoweza kuzaa kwa mwanamke (tasa) au kutoweza kutungisha mimba kwa mwanamume (infertility)
  2. Huweza kuathiri moyo (heart valves), ubongo,ngozi nk ambayo ni hatari sana kwa mtu yoyote.
  3. Madhara kwenye sehemu za maungio au jointi (joint inflammation)
  4. Kwa wanawake wale ambao hawajatibiwa wanaweza kupata ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ambao huongeza asilimia ya mwanamke kuwa tasa.
  5. Wale wanawake ambao ni wajawazito na wameambukizwa gono wako kwenye hatari ya mimba kutoka au kuzaa mapema kabla mimba haijatimiza umri wake (preterm labor).
  6. Kwa wale wanaoambukizwa gono kipindi cha kukaribia kujifungua, wanaweza kuwaambukiza watoto wao na hivyo watoto kupata ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis), kuwa kipofu (blindness), homa ya mapafu (pneumonia) na ugonjwa wa mifupa (septic arthritis).
Kinga ya kisonono
  1. Kutumia kondomu wakati wa kujamiana
  2. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
  3. Kuacha vitendo vya ngono kama matumizi ya vifaa vya ngono hasa kwa wanawake mfano vibrators nk.
  4. Kwa wanawake wajawazito – Hakikisha unahudhuria kliniki mapema ili upate kuchunguzwa na kupatiwa tiba muafaka kama utagundulika na ugonjwa wa gono au ugonjwa mwengine wowote.
  5. Wanawake wajawazito wanashauriwa kujifungulia hospitali ili kama mtoto ameathirika na gono apate matibabu ya haraka baada ya kuzaliwa kuepusha kuwa kipofu.
  6. Epuka kufanya ngono na mtu aliyeambukizwa gono.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images