Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Bodi Ya Filamu Yakerwa na Video ya Dogo Sila....Yatoa Tamko Zito


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Video Mpya ya Abdukiba - Mubashara

0
0
Video Mpya ya Abdukiba - Mubashara

Wimbo Mpya: Nandy x Skales - Baby Me

0
0
Wimbo Mpya: Nandy x Skales - Baby Me

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Wizara Ya Afya Yatoa Msaada Wa Kisaikolojia Kwa Familia Zilizo Athirika Na Matukio Ya Mauaji Njombe

0
0
Na Amiri kilagalila
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara Ustawi wa Jamii imetembelea kuwapa pole na kutoa msaada wa kisaikoloji na kijamii kwa Familia zilizoathirikana mauaji ya Watoto yalitokea mkoani Njombe.

Timu hiyo imetembelea  Familia ya Bw. Gorden Mfugale inayoishi Mtaa wa Joshoni Kata ya Mji Mwema Halmashauri ya Mji Njombe Wilayani Njombe iliyopoteza Mtoto mmoja wa kiume Gidrack Mfugale (5) aliyepotea tarehe 04/02/2019 na kupatika tarehe 10/02/2019 akiwa amefariki dunia huku kiganja cha mkono kikiwa  na  mwili wake ulikutwa na majeraha kichwani katika  eneo la Shule ya Sekondari Njombe.

Akizungumza katika ziara hiyo Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Hanifa Selengu amesema kuwa Wizara imeamua kujumuika na wanafamilia hao kwa kuja kuwapa msaada wa kisaikolojia na kijamii ili kuondokana na msongo wa mawazo unaotokana na tukio lililompata Mtoto wao.

"Tumeguswa sana na msiba huu na matukio ya mauaji  yaliyotokea na kwa niaba ya Wizara tunawapa pole kutokana na majanga haya na tuko pamoja kuhakikisha mnapata msaada muhimu ya kisaikoloji na kijamii" alisema

"Na Wizara haitowatembelea ninyi tu bali Timu ya Wataalam wengine wa Wizara na Mkoa wapo katika familia nyingine huko wakifanya haya tunayoyafanya hapa" alisema

Naye Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Rehema Kombe amesema kuwa msaada wa kisaikolojia na kijamii ni muhimu sana kwa familia zilizokumbwa na matatizo hayo ya mauaji ya watoto kwani familia zimekumbwa na taharuki kubwa.

“Suala la hili la msaada wa kisaikolojia na kijamii kwa wanafamili hizi ni muhimu sana kwa watu hao na tutawasaidia sana ili kuondokana na msongo wa mawazo unaotokana na vitendo walivyofanyiwa watoto wao" alisema

Pia Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Njombe Bi. Teresia Yomo amesema kuwa mkoa umejipanga kuendelea kuzitembelea familia zote kwa kushirikiana na Maafisa Ustawi wa Jamii kutoka Halmashauri zote za Wilaya ya Njombe ili kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii kwa familia zote sita zilizopatwa na matukio haya ya mauaji ya watoto wanane mkoani Njombe.

Kwa upande wake Bw. Gorden Mfugale aliyepoteza mtoto wake Gidrack Mfugale (5) amewashukuru wataalam hao kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara Ustawi wa Jamii na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wameona umuhimu wa kuwasaidia ili kuomdokana na msongo wa mawazo unaotokana na vitendo walivyofanyiwa watoto wao.

“Asanteni sana kwa kuja kutuona na kutupa pole na tunashukuru kwa kutuletea masaada wa kisakolojia na kijamii utatusaidia sana kurudi katika hali yetu ya kawaida sio kwangu tu hata kwa familia nyingine zilizokubwa na matatizo kama yetu” alisema.

Wizara ya  Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara Ustawi wa Jamii ipo mkoani Njombe kwa kushirikiana na Wataalam wa Mkoa huo katika jitihada ya kutoa msaada wa Kisaikolojia na kijamii kwa familia zilizoathirika na matukio ya mauaji ya watoto mkoani Njombe.

Naibu Waziri wa Ardhi Angeline Mabula Aagiza Wananchi Kwimba Kupatiwa Viwanja Ndani Ya Miezi Mitatu

0
0
Na Munir Shemweta, KWIMBA
Naibu Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kuwapatia viwanja ama fedha wananchi 44 waliotakiwa kupatiwa viwanja katika eneo la Ngungumalwa wilayani humo ndani ya miezi mitatu na wasipotekeleza waliohusika katika suala hilo watawajibishwa.

Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana tarehe 13 Januari 2019 katika wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza akiwa katika ziara yake ya kuhamasisha ulipaji maduhuli ya serikali kupitia kodi ya ardhi katika kanda ya Ziwa.

Aidha, ameitaka halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kufanya uchunguzi wa kiasi cha fedha takriban milioni 74 zilizotolewa na wananchi kwa ajili ya kupimiwa na kupatiwa viwanja eneo la Ngungumalwa ambazo hazikutumika kwa kazi hiyo ili kubaini zilitumika katika mazingira gani tofauti na malengo yaliyokusudiwa.

Dkt Mabula alisema iwapo wananchi hao hawatapatiwa viwanja ama kurudishiwa fedha zao ndani ya muda wa miezi mitatu aliotoa basi wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine watawajibishwa ili kurudisha imani kwa wananchi.

‘’Kuchukua fedha za wananchi bila kupatiwa maeneo kunawafanya kukosa imani na serikali yao na mimi sitakubali kuona wananchi wakidhulumiwa haki yao na halmashauri ya Kwimba ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapatiwa maeneo haraka iwezekanavyo’’ alisema Mabula.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kwimba Pendo Malabeja alimueleza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Mkazi kuwa halmashauri yake ilishaanza kuwalipa baadhi ya wananchi ingawa hakuainisha kiasi na idadi ya wananchi waliolipwa na kubainisha kuwa suala hilo bado linaendelea kufanyiwa kazi.

Vile vile, Dkt Mabula ameitaka halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kupanga na kupima maeneo yote ambayo yanakuwa kwa kasi na kuacha kujikita katika zoezi la uarasimishaji ambapo alifafanua kitendo cha kuacha kupanga na kupima maeneo yanayokuwa kwa kasi kutasabaisha ujenzi holela.

Aliongeza kuwa, Wilaya ya Kwimba iko nyuma sana katika kupima na kupanga maeneo jambo linaloifanya halmashauri hiyo kushindwa kujikusanyia mapato mengi kupitia sekta ya ardhi ambapo alitolea mfano wa jiji la Dodoma kuwa limekuwa likoongoza katika ukusanyaji mapato ya serikali ambapo mengi yanatokana na kupima na kuuza viwanja.

Ameitaka halmashauri hiyo kijipanga vizuri na kuitumia Ofisi ya Ardhi Kanda ya Ziwa pamoja na halmashauri jirani kama Misungwi kusaidia katika zoezi la kupima viwanja ili kuhakikisha linapanga na kupima maeneo mengi sambamba na kuwa na mji uliopangika huku ikijiongezea mapato.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Senyi Ngaga alimueleza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuwa wilaya yake ilikuwa nyuma katika masuala ya ardhi lakini sasa wamejiwekea mkakati maalum kuhakikisha inakuwa na maeneo mengi yalipangwa na kupimwa na suala la kwanza ni kuhakikisha idara ya ardhi inapatiwa fedha ya kutosha kwa nia ya kufanya kazi zake kwa ufanisi.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Mabula Ashangazwa Halmshauri Misungwi Kutojipanga Fursa Ya Bandari Kavu Na Treni Ya Mwendokasi

0
0
Na Munir Shemweta, MISUNGWI
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameishangaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza kushindwa kutumia fursa ya ujio wa treni ya mwendokasi (SGR) na Bandari kavu katika wilaya hiyo kwa kupanga na kupima viwanja kwa ajili ya shughuli mbalimbali ili kunufaika na fursa katika wilaya hiyo.

Dkt Mabula alishangazwa na hali wakati akiwa katika ziara yake ya kuhamasisha ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia kodi ya ardhi baada ya kubaini halmashauri hiyo kutokuwa na jitihada zozote za kujiandaa na fursa zilizojitokeza katika halmashuri hiyo,

‘’Maeneo ya Usagara itakapojengwa Bndari Kavu, ujio wa treni ya Mwendokasi na  Fela katika eneo la Kituo cha Mabasi ni maeneo ya kimkakati hivyo ni lazima maeneo yanayozunguka yapangwe na kupima  viwanja kwa nia ya kuwa na eneo lililopangika na wakati huo kupanua wigo wa mapato’’ alisema Dkt Mabula.

Kwa mujibu wa Dkt Mabula, tayari wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza imejaa lakini anashangazwa na wilaya ya Misungwi kushindwa kuchangamkia fursa ya kupima viwanja kwa kuwa mahitaji ya viwanja yameongezeka ili wananchi wapate fursa za kupata viwanja.

Alisema maeneo hayo yamekaa kimkakati na halmashauri ikitumia vizuri fursa hiyo kwa kupanga na kupima viwanja itaubadili mji na hivyo kuepukana na ujenzi holela na kusisitiza kuwa ni lazima halmashauri ya Misungwi ipime na kugawa viwanja vya biashara na viwanda na kubainisha kuwa Bandari Kavu katika eneo hilo haikuja kimakosa na kuitaka wilaya kubadilika.

Dkt Mabula alifafanua kuwa, upimaji viwanja katika maeneo hayo mbali na kuwawezesha wananchi kiuchumi lakini pia kutaisadia halmashauri kukusanya mapato mengi yatokanayo na ardhi na kusisistiza kwa kusema ardhi ni mtaji.

Mapema Mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili katika halmashauri ya Misungwi Fredrick Nyoka alisema halmashauri yake imejiweka mikakati mbalimbali ya kukusanya mapato ya kodi ya ardhi na mojawapo ni kuhakikisha inatoa ilani za madaia kwa wadaiwa sugu ambapo tayari imetoa ilani 223. Alisema mbali na kutoa ilani halmashauri hiyo pia imepima jumla ya viwanja 250 na kutoa hati 174 ambapo Naibu waziri Mabula alishangazwa na kasi ndogo ya upimaji na utoaji hati kwa kueleza kuwa kwa kasi hiyo halmashauri hiyo haiwema kuongoza kwa ukusanyaji mapato.

Aidha, Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alisikitishwa na halmashauri ya Misungwi kutoijali idara ya ardhi hasa baada ya kuelezwa na Afisa Ardhi Mteule Frorida Busheni kuwa pamoja na jitihada zake za kuomba fedha kwa ajili ya kushughulikia suala la upimaji lakini alishindwa kuzipata jambo lililomfanya kuomba msaada ofisi ya Ardhi Kanda ya Ziwa.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameziitaka halmashauri za wilaya ya Kwimba na Misungwi mkoani Mwanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote yenye viwanja na mashamba yasiyoendelezwa kwa muda mrefu na kubainisha kuwa watakaobainika kutoyaendeleza wanyanganywe.

Dkt Mabula alisema baadhi ya wananchi wamekuwa na viwanja lakini viwanja hivyo haviendelezwi kwa muda mrefu na vingine vipo kwa zaidi ya miaka kumi na kubakli vichaka vya kufanyia uhuni ambapo aliagiza watakaobainika kutoendeleza wapatiwa notisi kama sheria inavyoelekeza na wasipotii hatua za kuwanyanganya zifanyike.

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Waziri Aipa TANESCO Siku 5 Tatizo la Umeme Dar

0
0
Waziri wa Nishati,  Dk Medard Kalemani ametoa siku tano kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kumaliza changamoto ya umeme kwenye maeneo yanayokosa nishati hiyo jijini Dar es Salaam.

Waziri huyo ameeleza kuwa hana taarifa za kuwepo kwa mgao wa umeme, hivyo ametoa muda huo endapo kuna dosari zozote zitafutiwe ufunguzi.

Ametoa agizo hilo leo Jumatano Februari 13, 2019 alipotembelea kituo cha kufua umeme cha Kurasini kukagua utekelezaji wa mradi wa kuboresha huduma ya umeme jijini Dar es Salaam.

Dk Kalemani ameeleza kuwa kuna ziada ya umeme zaidi ya megawati 260, atashangazwa na taarifa kuwa umeme unakosekana.

Sheria Ya Maadili Imezidi Kuimarisha Nidhamu Kwa Viongozi Na Watumishi Wa Umma

0
0
Na Ismail Ngayonga,MAELEZO
UONGOZI bora na utawala wa sheria ni vichocheo muhimu katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii kupitia mifumo wa uwazi na uwajibikaji, hatua inayolenga katika kuongeza ubora wa utoaji huduma kwa umma.

Kulingana na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025, jamii itakuwa na utawala bora na utawala wa sheria kama itakuwa na sifa nne ambazo ni pamoja na jamii yenye maadili mema na kuthamini utamaduni, jamii yenye uadilifu na kuheshimu utawala wa sheria.

Sifa nyingine ni jamii isiyokuwa na rushwa na maovu mengine, iliyoelimika na inayojiamini, inayojifunza kutokana na uzoefu wake na wa wengine, na yenye kumiliki na kubaini ajenda za Maendeleo.

Ili kuwa na sifa hizi Serikali iliweka mikakati mbalimbali yenye kujenga maadili mema kwa kuwa na viongozi waadilifu, wanaofuata maadili ya kazi zao katika kutekeleza majukumu yao.

Aidha, viongozi wa umma wakiwa na dhamira timilifu juu ya uadilifu, ni rahisi kwa wananchi kujifunza na kuiga maadili mema kutoka kwao, kwa vile kauli na matendo yao yanatoa mfano mwema katika kuwaelekeza wananchi kuwa waadilifu pia.

Kwa kutambua umuhimu wa kujenga jamii yenye maadili mema Tanzania, Serikali ilianzisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi na Watumishi wa Umma ili kufuatilia maadili na mwenendo wa viongozi wa umma.

Sekretarieti ya Maadili inasimamia utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya viongozi wa umma, namba 13 ya mwaka 1995, inayowataka viongozi na wanasiasa kutoa tamko rasmi kuhusu mali na madeni yao baada ya uteuzi, kila mwisho wa mwaka na baada ya kuacha wadhifa.

Takwimu za urudishaji fomu za tamko la mali kwa viongozi wa umma na viongozi wa kisiasa zinaonyesha kuwa kati ya mwaka 2010/11 na 2013/14 namba ya viongozi waliojaza na kurejesha fomu za tamko imeongezeka zaidi ya mara mbili; kutoka viongozi 3,770 mpaka viongozi 8,400 kwa mwaka.

Inaelezwa kuwa ongezeko hilo lilitokana na hatua ya Serikali ya mwaka 2011 ya kuanzisha Baraza la Maadili ya Utumishi wa Umma ili kusikiliza malalamiko ya ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma kama yanavyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi.

Akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2018/19, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika anasema hadi kufikia Machi 2018 jumla ya Viongozi wa Umma 16,050 ambao ni sawa na asilimia 98 wamerejesha fomu za tamko la rasilimali na madeni.

Anaongeza kuwa Sekretarieti kwa kushirikiana na wadau imeanza maandalizi ya mchakato wa ujazaji fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni ya Viongozi wa Umma kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya www.ethicssecretariat.go.tz

Aidha Mkuchika anasema katika kipindi cha Julai, 2017 hadi Machi, 2018, Sektretarieti ya Maadili imepokea na kuchambua Malalamiko 154 ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya Viongozi wa Umma, ambapo , malalamiko 119 yalihusu Sheria ya Maadili ya Viongozi na malalamiko 35 hayakuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Kwa mujibu wa Mkuchika anasema na malalamiko 35 ambayo hayakuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma walalamikaji walipewa ushauri na mengine yalielekezwa kwenye mamlaka zinazohusika.

Akifafanua zaidi Mkuchika anasema katika mwaka 2017/18, Serikali kupitia Sekretarieti ya Maadili ilianza zoezi la uchambuzi wa nyaraka za uthibitisho wa tamko linalotolewa na Viongozi wa Umma  linahusu ufuatiliaji wa mienendo ya kimaadili yao, ambapo awamu ya kwanza ya uhakiki wa viongozi 1,000 ilikamilika mwezi Aprili, 2018.

Anaongeza kuwa katika kuwajengea uwezo wa kiutendaji watumishi wa Ofisi hiyo, jumla ya watumishi  Watumishi 30 wa Sekretarieti wa kada mbalimbali wamejengewa uwezo katika eneo la utunzaji wa siri, masijala na uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka za ofisi.

Anasema rasimu ya kanuni za Maadili kwa ajili ya utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeandaliwa na maoni ya wadau mbalimbali yanaendelea kupokelewa ili kuboresha kanuni husika.

Uongozi bora na utawala wa sheria ni vichocheo muhimu katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii kupitia mifumo ya uwazi na uwajibikaji hatua inayolenga kuhamasisha ubunifu, ustadi, uvumbuzi na kuongeza ubora katika utoaji wa huduma kwa umma.

Aidha, viongozi wa umma wakiwa na dhamira timilifu juu ya uadilifu, ni rahisi kwa wananchi kujifunza na kuiga maadili mema kutoka kwao, kwa vile kauli na matendo yao yanatoa mfano mwema katika kuwaelekeza wananchi.

CHADEMA Wamjibu Lugola Sakata la Tundu Lissu

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema wamemjibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ambaye jana amemtaka, Tundu Lissu kurejea Tanzania kusaidia upelelezi wa tukio lake la kushambuliwa na risasi.

Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 nje ya nyumba aliyokuwa akiishi jijini Dodoma Septemba 7, 2017 na jana Lugola katika mkutano wake na wanahabari jijini Arusha, alimtaka mbunge huyo wa Singida Mashariki (Chadema), kurejea nchini kwa kuwa yeye na dereva wake ni mashahidi muhimu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam mkurugenzi wa operesheni na mafunzo wa Chadema, Benson Kigaila amesema chama hicho kimepokea kwa masikitiko kauli ya Lugola.

Amesema wanaotakiwa kufanya uchunguzi na kutoa majibu ya suala hilo ni Jeshi la Polisi.

Kigaila amesema kazi ya kukamata, kuchunguza na kufikisha mahakamani ni ya Serikali na kwamba Lugola alitakiwa kuwaeleza Watanzania nini Serikali imekifanya kuchunguza tukio hilo.

"Atuambie (Lugola) anamtaka Lissu arudi kwa document (nyaraka) gani ya kiofisi au anataka tuanze kufanyia kazi mambo ya mtaani,” amehoji.

Kigaila amesema kwa mujibu wa maelezo ya Lugola, Serikali haiwezi kuchunguza tukio ambalo mhusika yupo nje ya nchi, akibainisha kuwa kuna matukio mengi yamewahi kuchunguzwa wakati wahusika wakiwa hawapo.

"Wakati Lissu anapigwa risasi hao walinzi wa kampuni binafsi walikuwa wapi? Lugola awaeleze Watanzania hao anaowaita walinzi binafsi wanaolinda nyumba hizo walichukua hatua gani? Hao ndio walitakiwa kuwa wa kwanza kueleza,” amesema.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wenye Ulemavu na Mwenyekiti wa REA

0
0
Rais John Magufuli amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) Dr. Lucas Kija kuwa M/kiti wa Baraza la Ushauri la Taifa kwa Watu wenye ulemavu.


Pia kamteua Michael Nyagoga kuwa M/kiti Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini kuanzia jana Feb 13 2019

Nembo maalum ya mashindano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U17) yazinduliwa...Mwakyembe Aifagilia

0
0
Nembo maalum ya mashindano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U17) imezinduliwa leo  Alhamisi February 14  jijini Dar es Salaam.

Hafla ya uzinduzi wa nembo hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Taifa jijini chini ya Usimamizi wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe.


Mwakyembe ameipongeza Nembo hiyo  na kusema kuwa  imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuitangaza Tanzania hasa vivutio vya utalii.

"Nembo hii imebeba vitu vikubwa vitatu katika nchi yetu na mashindano haya. Kwanza imebeba dhana ya utalii. Kivutio chetu kikubwa cha Tanzania Kimataifa ni mlima Kilimanjaro. Tunauona hapa.

Lakini pili imebeba dhana ya uhifadhi. Tumeambiwa kuna pembe ya tembo na ya kifaru. Ambao ni wanyama wetu tunaowahifadhi kwa nguvu zetu zote. Tatu, yote haya yanahusu michezo na ndio maana kuna mpira," alisema Dk Mwakyembe.

Mkurugenzi wa masoko wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Aaron Nyanda alisema kuwa nembo hiyo imechorwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania.

"Tulianzisha mchakato kwa watu kubuni nembo ambayo tumeipata hii inayoonyesha vivutio vilivyopo hapa nchini. Na mshindi aliyeshinda atapata fursa ya kwenda nchini Peru ambako kutafanyika Fainali za Dunia kwa vijana wa umri huo iwapo tutafanikiwa kufuzu," alisema Nyanda.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Serikali Yatoa wito kwa Benki ya Biashara nchini NBC kupanua wigo katika utoaji wa huduma zake

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Benki ya Biashara nchini (NBC) iongeze wigo wake ili iweze kutoa huduma kwa wananchi wengi zaidi.

Ametoa wito huo leo (Alhamisi, Februari 14, 2019)  wakati akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Theobald Sabi ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salaam.

“Ninatoa wito kwenu mpanue wigo katika utoaji wa huduma zake hapa nchini ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi kuhifadhi fedha zao katika eneo salama,” amesema Waziri Mkuu.

Amesema wakati Serikali ikiendelea kuhamasisha wananchi waongeze nguvu katika sekta ya kilimo, taasisi za fedha hazina budi kusogeza huduma zao karibu na wananchi ili waweze kutunza fedha zao katika hali ya usalama badala ya kuzihifadhi majumbani.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuipongeza benki  ya NBC kwa kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwawezesha wananchi kupitia mikopo kwa wajisiriamali wadogo ambayo inawawezesha kuongeza mitaji yao ya biashara mbalimbali.

Kwa upande wake, Mkurugenzi huyo wa NBC amesema ameishukuru Serikali kwa kuwatengenezea mazingira mazuri ya kufanya biashara na mwaka wa fedha uliopita wamefanikiwa kutengeneza faida na kwamba wanatarajia kutoa tena gawio. Hata hivyo, hakutaja ni kiasi gani cha gawio kitatolewa, kwa sababu anasubiri uamuzi wa Bodi.

Pia amemkabidhi Waziri Mkuu hundi yenye thamani ya shilingi 11,270,000 ambazo amesema zitasaidia katika ujenzi wa kituo cha polisi wilayani Ruangwa.

(mwisho)

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya February 15

Serikali Yazitaka Hospitali Binafsi Kuchangia Gharama Za Damu

0
0
Na WAMJW – DSM
Mpango wa Taifa wa Damu salama imetakiwa kuhakikisha Hospitali Binafsi zote zinaanza kuchangia gharama za huduma za afya ili kupata mgao wa damu.

Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipofanya ziara ya kukagua mashine za kupima sampuli za damu na utendaji kazi wa Mpango wa Taifa wa Damu salama.

Katika ziara hiyo Dkt. Ndugulile amesema kuwa ni lazima Mpango huyo uhakikishe unajiendesha wenyewe na kuhakikisha unapunguza gharama za utegemezi kwa Wafadhili na Serikali katika kutimiza majukumu yake.

“Ni lazima kupunguza gharama za utegemezi kwa Wafadhili na Serikali kwa kuanzisha mfumo wa uchangiaji gharama za huduma za Afya wakati Sera inaelekea kukamilika, Mpango unapendekeza kurudisha gharama kutoka Hospitali binafsi kupitia njia ya Bima” Alisema Dkt. Ndugulile

Dkt. Ndugulile alisema kuwa Idadi kubwa ya wanaokuja kuchukua Damu katika Taasisi hiyo ni Hospitali Binafsi ukilinganisha na Hospitali za Umma, ambapo mfumo wake ni wakutoza huduma kwa Wananchi (Biashara)

“Wanaokuja kuchukua Damu nyingi hapa, wengi ni Hospitali Binafsi, kuliko hata za kwetu za umma, Damu nyingi tunawapa, lakini hawa tukiwapa Damu hizi, wao wanaenda wanatoza pesa, kwahiyo sisi tunawatengenezea bidhaa bure halafu wao wanaenda kutoza pesa, hata senti tano sisi hatupati, sio sahihi” alisema Dkt. Ndugulile.

Aidha, Dkt. Ndugulile amewaagiza viongozi wa Mpango wa Taifa wa Damu salama kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili kuangalia ni namna gani Damu iwe ni moja ya vitu vitakavyo gharamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

“Muwahusishe Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, kuangalia jinsi gani damu itakuwa inagharamiwa na Bima ya Afya, mtuletee mapendekezo na sisi tutafanya maamuzi” Alisema Dkt. Ndugulile.

Mbali na hayo Dkt. Ndugulile ameagiza kufanya maboresho ya mfumo wa Takwimu kuanzia kwenye ukusanyaji wa mapato  mpaka hatua ambayo mgonjwa anapata damu hiyo jambo litakalosaidia kuboresha huduma kwa wananchi.

Kwa upande mwingine Dkt. Ndugulile ameagiza  kuweka mikakati ya kuhakikisha wanawabakishia wachangiaji Damu ambao wanakuja kuchangia, hii inatokana na takwimu kuonesha Wachangiaji wa Damu wa hiari wanapungua kutoka 67% mpaka 63%  mwaka 2017-2018.

“Taarifa yenu ya Mwaka 2017-2018 inaonesha kwamba, wachangiaji Damu wa hiari wanapungua kutoka  67% mpaka 63% , maana yake bado kuna changamoto, na kuna kazi tunatakiwa kufanya ikiwemo kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba tunaowapata Mara ya kwanza kuendelea kuwa nao” Alisema Dkt. Ndugulile

Naye Meneja Mpango wa Taifa wa Damu salama Dkt. Magdalena Lyimo amesema kuwa Mpango una mkakati wa kuboresha mfumo wa ukusanyaji taarifa na Takwimu za kielektroniki unaunganishwa nchi nzima ili kuleta tija na ubora wa huduma za damu salama nchini.

Kwa upande mwingine Dkt. Lyimo amesema kuwa Mpango umefanikiwa katika kipindi cha Mwaka 2018  kwa kushirikiana na timu za Mikoa na Halmashauri ulikusanya jumla ya chupa 307,835 ambayo ni sawa na Chupa 6 kwa kila watu 1000, huku Shirika la Afya Duniani linapendekeza kukusanya chupa 10 kwa kila watu 1000, makusanyo hayo ni sawa na ongezeko la chupa 73,882 sawa na 32% ikilinganishwa na Takwimu za 2017.

Dkt. Magdalena Lyimo aliendelea kusema kuwa kwa Mwaka 2018, Wastani wa chupa 25,653 zilikusanywa kila mwezi na damu zote zilipimwa magonjwa ya HIV,Kaswende pamoja na makundi ya damu, huku matarajio ni kuongeza damu hadi kufikia chupa 375,000 kwa Mwaka 2019.

Naibu Waziri Ikupa Ahimiza Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Kushirikiana Na Serikali

0
0
Na; OWM (KVAU) – Dodoma
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Mhe. Stella Ikupa ameviasa Vyama vya Watu wenye Ulemavu nchini kuhakikisha wanashirikiana na Serikali katika kuendeleza ustawi wa Watu wenye Ulemavu.

Naibu Waziri Ikupa ameyasema hayo alipofanya ziara Mkoani Dodoma kukagua utekelezaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu ndani ya mkoa huo, ambapo alikutana na viongozi Mkoa na Vyama vya Watu wenye Ulemavu.

Mhe. Ikupa alieleza kuwa ushirikiano baina ya Serikali na vyama vya watu wenye ulemavu ni muhimu katika kuhakisha haki na masilahi ya watu wenye ulemavu yanalidwa kwa kuzingatia Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali.

“Serikali imeendelea kuchukua hatua na kutekeleza jukumu lake la kuhamasisha na kuwalinda watu wenye ulemavu nchini kwa kuhakikisha haki za kundi hilo maalumu zinatekelezwa,” alisema Ikupa

Aidha, alisisitiza uongozi wa Mkoa kuhakikisha unahusisha mahitaji maalumu ya wenye ulemavu katika bajeti wanazozitenga, kutoa elimu na taarifa juu ya upatikanaji wa dawa, mafuta ya watu wenye ualbino na vifaa saidizi, na uundwaji wa kamati za kuhudumia wenye ulemavu.

Aliongezea kuwa, ni vyema Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na maafisa ustawi wa jamii wakahakikisha wanawasaidia watu wenye ulemavu wanapokabiliana na changamoto kwenye uandikaji wa maandiko ya kuomba mikopo.

“Unakuta kikundi cha watu wenye ulemavu wanakuwa wabunifu na wanawazo zuri la kuanzisha mradi au biashara lakini wanakumbana na changamoto ya kuaandaa andiko la miradi yao na hivyo kuwafanya wakate tamaa mapema,” alisema Ikupa

Pia, aliwasii Maafisa Ustawi wa Jamii kuwa na takwimu sahihi za idadi ya watu wenye ulemavu na kuendelea kuweka mifumo mizuri ya kutunza taarifa hizo.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Bw. Edward Mpogolo aliunga mkono na kuyapokea maelekezo yote ya Naibu Waziri na kumhakikishia kuwa Mkoa wa Dodoma utakuwa mstari wa mbele katika kutekeleza maagizo aliyoyatoa.

 “Tutafanya kazi kwa ushirikiano mzuri na Vyama vya Watu wenye Ulemavu ili kuangalia namna bora ya kuwahudumia kwa kuzingatia mahitaji yao,” alisema Mpogolo.

Naye Katibu wa SHIVYAWATA Mkoa wa Dodoma, Bw. Justus Ng’wantalima alimpongeza Naibu Waziri kwa jitihada ambazo amekuwa akizifanya katika kutetea Watu wenye Ulemavu.

Katika ziara hiyo Naibu Waziri Ikupa, alitembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Chama cha Walemavu Sulungai kinachojishughulisha na ushonaji wa viatu vya wazi (kobasi) na utengenezaji wa majiko. Vilevile Mhe. Ikupa alitembelea shule ya Viziwi iliyopo Jijini Dodoma.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images