Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya February 11


DC Ruth Msafiri Ashiriki Ibada Maalumu ya Maombi Dhidi ya Mauaji na Utekaji Watoto Njombe

0
0
Na.Amiri kilagalila
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri jana  ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa Njombe yaliyofanyika kwa wiki moja katika kanisa la Tanzania Assemblies of God T.A.G lililopo mtaa wa Melinze halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo.

Akiwa katika ibada hiyo,Msafiri aliwataka wakristo mkoani Njombe kuendelea kuombea mkoa wa Njombe kutokana na matatizo ya mauaji ya watoto yaliyojitokeza hivi karibuni huku akiwataka kuto kusahau kuombea maswala ya uchumi na familia kwa ujumla.

"Naendelea kuwategemea sana watu wa Mungu hatutafika bila kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja,kama tumeagiza kwa lazima kila mzazi awe na mtoto kila wakati ni lazima uchumi utashuka niwaambie kitu ambacho hamjajua halmashauri ya mji wa Njombe ni halmashauri ya kwanza Tanzania kwenye kipato cha juu kuliko halmashauri yeyote.

"Mwananchi wa Njombe wa kawaida tu kipato chake hakipungui milioni tano kwa mwaka hii ipo Njombe mji tu kwa Tanzania,sasa haya mambo mabaya yanatokea ili tupigwe katika uchumi wetu ni lazima tuungane katika hili na tunataka taifa hili liinuliwe kupitia Njombe"alisema Msafiri

Aidha Msafiri alisema kuwa Serikali inaunga mkono jitihada hizo za kuuombea Mkoa huku akisema kuwa Serikali haijafurahishwa na mauaji hayo hivyo ni Wakati wa Kanisa Kuomba Zaidi Ili Matendo hayo yapotee kabisa Mkoani humo.

Naye mchungaji wa kanisa hilo Sefania Tweve alisema kuwa walikuwa na kazi kubwa ya kumlilia Mungu na kuombea mkoa wa Njombe,kuliombea Taifa,kuombea uchumi, kuombea ndoa pamoja na kushusha nguvu za giza kutokana na mambo maovu na ya kikatili yaliyotokea mkoani humo.

"Kwa kweli Taifa limetikisika sio siri tena ndio maana tumeingia kwenye maombi mazito tukianza na toba kwetu wenyewe kwamba Mungu atusamehe atupe njia iliyonyooka inawezekana kabisa sisi tulikosea na kujisahau sehemu ndio maana haya yote yakatokea na tunaamini kupitia maombi haya hakuna jambo litakalotokea tena"alisema mchungaji Tweve

Waumini wa kanisa pia Walisema kuwa wakiwa kama wazazi Wanaolea Watoto Wadogo wanafahamu Uchungu wa kuondokewa na Watoto na Hivyo wanaamini Maombi hayo ya Siku Saba yameiweka Njombe Salama.

Hata hivyo timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii) iliyoongozwa na Bi. Hanifa Selengu iliyofika mkoani Njombe kwa lengo la kuunganisha nguvu na Serikali ya Mkoa katika kupata namna bora ya kukomesha mauaji ya watoto yaliyotokea mkoani Njombe,nayo pia ilishiriki katika ibada hiyo ambapo mwenyekiti wa timu hiyo Hanifa Selengu akiwataka waumini hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa serikali ili kutokomeza mauaji hayo.

Jumla ya watoto saba mpaka sasa walifariki dunia kutokana na mauaji hayo huku mtoto mwingine aliyekatwa koromeo wiki chache zilizopita na kunusurika kifo,amefariki dunia  na kufikia idadi ya watoto nane waliofariki kwa mauaji hayo huku watu 30 wakishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano huku kesi zilizokamilia kuanza kufikishwa mahakamani jumatatu.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi

0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), anaumwa ugonjwa wa deko huku akimuomba Rais Dk. John Magufuli aanze kutibu ugonjwa huo.

Kauli hiyo aliitoa juzi wilayani Kilosa mkoani Morogoro, katika ziara yake ya kazi ikiwa ni sehemu ya maadhimino ya miaka 42 ya kuzaliwa kwa CCM.

Dk. Bashiru alidai Lissu amekuwa akisema uongo katika nchi za Ulaya huku akiota siku moja atakuwa Rais wa Tanzania.

Wakati mtendaji huo wa juu wa CCM akiyasema hayo, Lissu amekuwa akiendelea na ziara yake katika nchi za Ulaya.
 
Kwa sasa yupo Marekani akieleza kile alichodai hali ya demokrasia nchini na kupigwa kwake risasi.
 
Dk. Bashiru alidai dalili za ugonjwa wa aina ya Tundu Lissu ni kusema uongo, dharau, deko, uonevu, kiburi, majivuno.
 
“Ila shukrani ya punda ni mateke. Namuomba Rais wetu (Dk. John Magufuli) aanze kutibu ugonjwa wa deko unasomesha watu wanazunguka kutukana nchi yao na Rais wao kisa ugonjwa wa deko.
 
“Yupo msomi mmoja anaitwa Tundu Lissu ameugua ugonjwa wa deko, anadeka hajui jembe kwa maisha yake, hajui mpunga unalimwaje wala samaki wanavuliwaje.
 
“Hajapanda bodaboda muda mrefu na watoto wake hawasomi shule hizi anazunguka dunia nzima kutuchafua.
 
“Tunao Tundu Lissu wengi Serikalini tumewaamini tumewapa dhamana ila ukiwatembelea ofisini wanadeka, mara nyingine hawapo, wanajipendelea wao,” alisema Dk. Bashiru na kuongeza:
 
“Ugonjwa huu unaambukizwa na tumeulea na wauguzi na madaktari wa ugonjwa huu ni Watanzania nyie wenyewe. Huu ugonjwa hatari, unaambukizwa ni hatari kuliko Ukimwi. 

Anasema tumeweka Kifungu kwenye Katiba ya CCM cha kuzuia watu kugombea urais siyo kweli ni uongo”.

Dk. Bashiru alisema dalili za ugonjwa huo wa deko ni ubinafsi, kuota urais wa Tanzania kuwa na kiburi na kwenda Ulaya kuzungumza lugha za wakoloni lakini sasa anayemwita dikteta amefuta mashamba kwa ajili ya wanyonge.
 
“Nilipomskiliza nikasema ni muongo na kwa sababu anaumwa ugonjwa unaitwa Tundu Lissu, basi yupo kwenye hali mbaya.
 
“Ugonjwa wa Tundu Lissu ni hatari ila unaponyeka, amuache Rais (Dk. John Magufuli) atumikie wanyonge.
 
“Watendaji wote wa serikali ambao hawataki kupona ugonjwa huu watafute serikali nyingine, ajira ni hiyari waandike barua waseme chama hiki hakipendi dhurlma, mimi nadhulumu, hakipendi uongo mimi muongo, uachie madaraka,” alisema.
 

Sheikh Ponda aulalamikia uongozi UDOM kwa Kusitisha Ujenzi wa Msikiti

0
0
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania imeeleza kusikitishwa na kitendo kilichofanywa na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kuamua kusitisha ujenzi wa msikiti uliokuwa ukijengwa katika chuo hicho.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Jumuiya hiyo Sheikh Issa Ponda alisema, mwaka 2016 uongozi wa chuo hicho uliwapatia ekari 10 baada ya kukubali ombi la jumuiya hiyo la kutaka kujenga msikiti huo.
 
Ponda alisema, walianza kushughulikia vibali vya ujenzi katika mamlaka za chuo hicho na nje na walifanikiwa kuvipata vyote na mwaka jana waliwasilisha nyaraka za ujenzi kwa menejimenti ya chuo na kuingia mkataba na mkandarasi ambaye alianza kujenga kwa kuweka uzio wa mabati.
 
Katibu huyo alisema kuwa Januari 9, mwaka huu walishangazwa baada ya uongozi wa Udom kuwaita na kuwataka kusitisha ujenzi huo.
 
Alisema kuwa amri hiyo ilikuwa imetolewa na Mwenyekiti wa baraza la chuo hicho, Gaudensia Kabaka kwa madai kuwa ombi hilo lilikubaliwa na uongozi uliopita na sio wa sasa.
 
Alisema baada ya kikao hicho, uongozi wa chuo hicho uliamua kuvunja uzio wa msikiti huo chini ya usimamizi wa polisi.
 
“Jumuiya tumeazimia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kulaani tukio hilo, Pia tunaitaka Serikali iwabane waliohusika ili walipe gharama za ujenzi na kutoa tamko rasmi kuhusu hatua hiyo,” alisema.

Akizungumzia tuhuma hizo, Mwenyekiti wa baraza la chuo hicho, Gaudensia Kabaka amesema  kilichofanyika na watu hao ni kukiuka taratibu na hawakupewa kibali na mamlaka husika kujenga nyumba hiyo ya ibada.

“Kile kiwanja kipo ndani ya chuo na wao hawakuwa na idhini wala kibali cha ujenzi. Pia hakukuwa na bango lolote linaloonyesha kuwa kuna ujenzi na mkandarasi ni nani, ndio maana walikuwa wanapitisha malighafi zao usiku na polisi hawakutumika kuvunja uzio bali walinzi wa Suma- JKT,” amesema.

Kabaka amefafanua kuwa eneo hilo, liliachwa wazi kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za kuabudu kwa dini zote mbili, lakini uongozi wa chuo ulikuwa bado haujatoa mwongozo wa ujenzi kwa kuwa walikuwa wakiendelea na vikao vya kujadili mchakato huo.

Ntunzu Herbarist Clinic : Ni Kituo Cha Tiba Asilia Kitoacho Huduma Bora Na Sahihi

0
0
Acha kuongopewa at kukaa ukilalamika kuwa umetumiwa madawa mengi sana bila mafanikio... acha kukata tamaa kumbuka atafutaye hupata 

SASA DR   BRUNO  kakuletea tiba bora ya nguvu za kiume ni hii hapa;

 GASAMILO POWER ;ni dawa bora kwa sasa ambayo hutibu matatizo manne kwa pamoja kama vile 1 kuwai kufika kileleni  kabla ya mwenzi wako  2. kukupa hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara Mbili 3. kuimalisha misuli ya uume uliyolegea na kusinyaa asa kwa Wale waliojichua 4 .Huondoa uchofu pale umalizapo kufanya tendo 

Dawa hii hutumiwa ata na wazee pia tunatibu kile kinachochangia kuishiwa nguvu Kama vile,vidonda vya tumbo, kisukari, presha, tumbo kuunguruma na kuuma chini ya Kitovu ,ngiri,korodani korodani kuvimba, magonjwa ya moyo 

NI NINI KINASABABISHA  KUWA NA maumbile  MaFUPI NA MEMBAMBA? 1.kufanyia tohara ukubwani 2 unene kupita kiasi 3. kuridhi kutoka kwa wazazi, 4 .uvaaji wa nguo za kubana sehemu ya uume 5. chango na ugonjwa wa zinaa 

Ili uweze kuwa mwanaume mashine ebu tumia dawa hii 

MKULULU MIX; dawa hii huongeza uume saizi upendayo inch urefu wa inch 5 adi 8 na unene wa sentimita 2 adi 5 dawa hizi hazna madhara yoyote ata kwa miaka ya baadaye 

FUNGA RUZIZI ;ni dawa ya uzazi inatoa matokeo ndani ya siku kumi na mbili tu 

KWA USHAURI NA TIBA FIKA  OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU njoo mpaka pale kwenye ukumbi wa DAR LIVE... ni dakika tano tu kufika ofisini kwangu MOROGORO,MWANZA,NA KAHAMA WAPO MAWAKALA au piga simu 0744 040 721 AU 0683 645 920. Kama hauna nafasi utaletewa

Total yazindua kiwanda cha vilainishi

0
0
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania Limited, imezindua kiwanda chake cha Vilainishi (Lubricants) kilichopo katika eneo la viwanda la Chang’ombe- Temeke, Dar es Salaam.
 
Uzinduzi wa kiwanda hicho, kutaifanya kampuni ya mafuta ya
Total Tanzania kuwa ndio kampuni pekee ya kimataifa nchini Tanzania yenye kutengeneza vilainishi vyake yenyewe ambapo inatarajiwa itazalisha zaidi ya tani 15,000 za vilainishi kwa ajili ya soko la ndani ya nchi na ziada itauzwa nje nchi.
 
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kiwanda hicho uliofanyika mwishoni mwa wiki, Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda, alisema kiwanda hicho cha kuchakata vilainishi vya mitambo kitasaidia nchini pamoja na kuongeza ajira.
 
“Endapo kiwanda hiki kisingejengwa, tungebaki na kiwanda kimoja cha vilainishi hapa nchini, hivyo kiwanda hicho kingezidiwa na kusababisha matokeo mabaya.
“Hivyo kiwanda hiki kitasaidia katika mambo mbalimbali. Vilainishi ni kitu muhimu na kila mtu anavitegemea, hivyo tunahitaji vilainishi vingi mara kwa mara,” alisema Kakunda.
 
Alisema nchi ya Tanzania itafaidika kwa kuokoa mamilioni ya fedha za kigeni zilizokuwa zikitumika kuagiza vilainishi, kufuatia Kampuni ya Total kujenga kiwanda cha vilainishi nchini Tanzania.
 
Alibainisha kuwa Total wamewekeza Dola milioni 20 za Marekani na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wanatarajia kupata kodi isiyopungua Dola Milioni 2 kwa mwaka (Sh. Bilioni 2.294).
 
“Kiwanda kitazalisha tani 15,000 za oili kwa mwaka, tani 750 za grisi kwa mwaka na vilainishi vya kupoza injini tani 990 kwa mwaka. Huu siyo mchango mdogo kwenye uchumi wetu ni mchango mkubwa sana,” alisema Waziri Kakunda.
 
Aidha, Waziri Kakunda alitoa wito kwa wataalamu serikalini kutambua kuwa kuna viwanda vya vilainishi Tanzania hivyo wavitumie badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi.
 
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Total Tanzania, Tarik Moufaddal alisema kwa zaidi ya miaka 50 ya uwepo wake nchini Tanzania, Kampuni ya mafuta ya Total Tanzania ilikuwa ikiagiza vilainishi vyake kutoka nje ya nchi lakini kuanzia sasa, vilainishi hivyo vinatengenezwa hapa nchini.
 
Alisema uzinduzi wa kiwanda hicho, kutaifanya kampuni hiyo kuunga mkono kwa vitendo, mkakati wa rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano katika ujenzi wa Tanzania ya Viwanda.
 
“Kiwanda hiki licha ya kuchangia katika maendeleo ya taifa kiuchumi na kitekinolojia, pia kitatoa nafasi za ajira kwa Watanzania,” alisema.
 
Aliongeza kuwa kupitia kiwanda hicho wamekeza dola za kimarekani Mil. 20 na wataweza kuajiri watanzania zaidi ya 100.

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Wimbo wa Peter Msechu - UMEJUA KUNIFURAHISHA (cover)

0
0
 Wimbo wa Peter Msechu - UMEJUA KUNIFURAHISHA (cover)

VIDEO: Dogo Sillah - NABII

0
0
VIDEO: Dogo Sillah - NABII

Michael Wambura ametangaza kuachana na soka

0
0
Aliyekuwa Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura kupitia kwa Mwanasheria wake Emmanuel Muga imeelezwa kuwa ameridhia adhabu ya kufungiwa Maisha na TFF na FIFA.

Pamoja na hayo Wambura kupitia kwa mwanasheri wake Emmanuel Muga ametangaza kuwa kwa sasa kuanzia leo February 11 2019, anaachana rasmi na shughuli za mpira wa miguu, atabaki kama mtu wa kawaida tu.

Hata hivyo Wambura pia ameamua kufuta kesi zote alizokuwa amezifungua kuhusiana na kupinga maamuzi ya kamati ya maadili ya TFF.

Askofu Mallasy: Dodoma Iko Tayari Kwa Mapokezi Ya Rais Magufuli

0
0
*Asema Mkesha Mkubwa wa Kitaifa mwaka huu utafanyika Dodoma

 
Na Irene K. Bwire
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches (TFC), Dk. Godfrey Mallasy amesema Jiji la Dodoma kwa sasa ni shwari na liko tayari kwa ujio wa Rais, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli.

Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumapili, Februari 11, 2019) wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye kanisa la Dodoma Christian Centre mara baada ya kumaliza ibada maalumu ya kuombea ujio wa Rais Magufuli jijini Dodoma.

Askofu Mallasy alikuwa akihitimisha semina ya siku nne ya jinsi ya kutambua madhabahu zinazokutesa na kuzivunja na kisha kufunguliwa.

Alisema TFC iliandaa semina hiyo kwa kushirikiana na makanisa mengine na kuamua kuhitimisha kwa maombi ya kuvunja madhabahu za mkoa wa Dodoma na kujenga madhababu ya kitaifa.

“Ndoto ya Serikali kuhamia Dodoma inakaribia kutimia kwa sababu wizara zote zimeshahamia hapa na Mheshimiwa Rais wetu anakaribia kuhamia. Kwa hiyo, viongozi wa kiroho tunao wajibu wa kumuandalia makazi yake ya kiroho. Jambo lolote likitokea, basi ujue limeanzia rohoni,” alisema.

“Leo tuko Dodoma, madhabahu ya hapa inasema kila kitu kitadidimia (kutokana na asili ya neno Dodoma – idodomya- linalomaanisha kudidimia). Na falme za hapa zimetamka hilo lakini baada ya maombi haya, sisi tunasema Dodoma haitadidimia, bali itaamka.”

Alisema maneno hayo kupinga hali ya uduni wa Dodoma, yanaendana na ujasiri wa Serikali ya awamu ya tano kuhamishia shughuli zake zifanyike makao makuu ya nchi, Dodoma.

“Rais wetu anakuja hapa na ana ndoto kubwa, je ndoto hizo zitaenda wapi? Jeshi la Mungu liko hapa, kwa hiyo ndoto hizo hazitadidimia kama jina lilivyo. Kupitia kuangusha ngome na madhababu za Dodoma, mambo yanaenda kubadilika,” alisisitiza.

Alisema maombi hayo yamefanyika ili Rais Magufuli aweze kutawala kwa amani na kutekeleza ndoto zake za kuijenga Tanzania mpya kwa mafanikio makubwa. Alisisitiza Watanzania wote, kuanzia kwenye ngazi ya familia, waendelee kuliombea Taifa liwe na amani kwa sababu pasipokuwa na amani, hakuna kinachoweza kufanyika.

Mapema, katika ibada hiyo, Askofu Mallasy aliwaongoza wachungaji wengine 20 wa TFC kutoka mikoa mbalimbali nchini pamoja na wachungaji kutoka makanisa ya FPCT, EAGT, TAG, KKKT na Anglikana kuimba wimbo wa Taifa na kufanya kitendo cha kumpokea Rais Magufuli.

Pia aliongoza waumini mbalimbali waliohudhuria ibada hiyo kuvunja madhabahu kwenye mihimili yote mitatu ya nchi yaani mahakama, Bunge na Serikali kwa kutaja wizara mbalimbali, kuwaombea wakuu wa mikoa yote, wilaya zote, wakurugenzi wa halmashauri zote za Majiji, miji, manispaa na wilaya.

Wakati huohuo, Askofu Mallasy ametangaza kwamba Mkesha Mkubwa wa Kitaifa ambao hufanyika tarehe 31 Desemba kila mwaka kwa ajili ya kuliombea Taifa, mwaka huu utafanyika kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Mkesha wa kuliombea Taifa, umekuwa ukifanyika nchini kila mwaka kuanzia mwaka 1997.

(mwisho)

Video Mpya: Lava Lava - Tukaze Roho

0
0
Video Mpya: Lava Lava - Tukaze Roho

Super Moringa : Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
SUPER MORINGA DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME NA KUNENEPESHA UUME
_________________________
🔖🌸SUPER MORINGA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha uume uliorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳            
MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DAR ES SALAAM OFISI IPO BUGURUNI SHELI AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr ATHUMAN SIMU.
📞0714 884 677
📞0767 104 343
____________________________
*****************************

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Super Mkuyati: Tiba Sahihi ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
ASILIMIA 45-88 YA WANAUME WAPO TOFAUTI NA WENGINE KUTOWATIMIZIA NYEMA WAKE ZAKE ZAO AU WAPENZI WAO SUPER MKUYATI NI TIBA YA MARADHI YAKO
------------------
SUPER MKUYATI; nidawa  iliyo katika mfumo wa vidonge  na  unga , inapambana  na magonjwa sugu  yakina baba.  dawahii inaNguvu  (3) inafanya kazi kwa pamoja (1) inaongeza nguvu zakiume ( 2) itakufanya kuchelewa kufika kileleni  kwa muda wa dk 10-15(3)inazalisha homoni  kwa wingi na kuku fanya uwe na mbegu nyingi zenye vimeleo vingi nya uzazi vilivokomaa
------------------
MDINGO POWER nidawa inayo lefusha na kunene pesha maumbile madogo yaliyosinyaa kunzia nchi
6-8 upana 3-4     dawa hizi hazina madhara hata kwa wazee    TUMIA LEO UONE MAJABU YAKE TIBA HIZI NIZAKUDUMU
------------------
DR GATUNDU anazo dawa zakutibu mangonjwa sugu kama vile kisukali presha henia ngili ya kushuka bila upasuji vidonda vya tumbo kuondoa sumu mwilini  kushikwa na ganzi mwilini
------------------
DR GATUNDU ANA PATIKANA DAR-ES SAALM  WALE WAMIKOANI WATA TUMIWA KWA NJIA YA MABASI PASIPO NA MASHAKA TIBA NI WITO NYOTE MNA KALIBISWA
 DR GATUNDU📞 0716 948950

BREAKING: Michael Wambura Mahakamani.....Asomewa Mashitaka 17 ikiwemo utakatishaji fedha

0
0
Aliyekuwa Makamu wa Rais TFF, Michael Wambura amesomewa mashitaka 17 Mahakamani Kisutu ikiwemo utakatishaji fedha Mil.75

Kesi imeahirishwa hadi Feb. 14 kwa ajili ya Hakimu kuamua kama aifute kesi ama la, Wambura amepelekwa rumande kusubiri uamuzi wa Mahakama.

Rais Mstaafu Kikwete awasili Nigeria kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo

0
0
Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewasili Abuja, nchini Nigeria kuongoza Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola kwenye Uchaguzi Mkuu nchini humo. Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Februari 16 mwaka huu. 


Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kikwete ameandika; "Nimewalisi Abuja, Nigeria kuongoza Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola kwenye Uchaguzi Mkuu wa Nigeria unaotarajiwa kufanyika tarehe 16 Februari 2019 kufuatia ombi la Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. "

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo atua Njombe..... atoa neno mauaji ya watoto

0
0
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo ametinga mkoani Njombe na kufanya mkutano wa ndani na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Njombe pamoja na vikosi maalumu vilivyopo mkoani humo kwa ajili ya kuchunguza matukio ya mauaji ya watoto.

Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Njombe Mabeyo amesema ;“vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kwa kushirikiana pamoja na jeshi, na mimi ndiye mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi hivyo ninaowajibu na si kwamba jeshi limeingia sasa, hapana hatujafikia hatua ya kuingiza jeshi,”

"Wananchi karibu nchi nzima wamesikia kinachoendelea Njombe, wengine yamewatia hofu lakini si Tanzania tu mpaka nje ya mipaka yetu taarifa zimesambaa,” amesema.

“Kwa hiyo pasiwepo na hofu suala hili ni la kitaifa zaidi, linahusu pengine familia moja moja sababu zinajionesha kabisa ni za kifamilia zaidi,” amesema.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Renatha Mzinga amesema watuhumiwa 30 wanashikiliwa kutokana na kuhusika kwao na utekaji na mauaji ya watoto hao.

PICHA: Waziri Mkuu Na Matukio Ya Mkutano Wa (AU) Ethiopia

0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais FIFA Gianni Infantino, katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Rais FIFA Gianni Infantino, katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia picha za Viongozi Waasisi wa Ukombozi wa Afrika, ndani ya ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma kitabu, kwenye ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia kwenye ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Richard Sezibera, katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia Februari 11, 2019 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images