Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Kiumbe wa ajabu aibua taharuki shuleni, Polisi Rukwa waanza uchunguzi

0
0
Jeshi la Polisi mkoani Rukwa limethibitisha uwepo wa tukio la uwepo wa kiumbe cha ajabu katika maeneo ya shule ya Msingi Kalalasi iliyopo Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, hali iliyozua taharuki kwa wanafunzi na walimu.

Kimwonekano, kiumbe hicho kinafananishwa na binadamu ila tu tofauti ni kuwa ni kidogo na kina urefu kati ya sentimita 12-15 tu.

Akizungumza na Habarileo Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa, George Kyando amekiri kutokea kwa tukio hilo Jumanne wiki hii (Februari 5, 2019).

Kamanda ameeleza kuwa hadi sasa haijajulikana asili ya kiumbe hicho japo wakazi wa maeneo ya jirani na shule hiyo wameanza kulihusisha tukio hilo na ushirikina.

“Wengi wanahusisha na imani za kishirikina lakini sisi kama Jeshi la Polisi bado tunachunguza tujue kama ni binadamu au ni kitu gani maana kimofolojia ni kama mtu kina umbo la binadamu lakini sio binadamu wa kawaida.

“Kwa hiyo tumekikabidhi kwa wataalamu wa afya ili waweze kukifanyia kiumbe hiki utafiti kama huyu ni binadamu au ni kitu gani,” amesema Kamanda Kyando.

Kwa Upande wake shuhuda wa tukio hilo aliyefahamika kwa jina la Nicodemus Kapele amesema kuwa kiumbe huyo alionekana maeneo ya shule hiyo nyakati za asubuhi na kuzua taharuki miongoni mwa wanafunzi na walimu shuleni hapo hali iliyopelekea wanafunzi kuanza kukishambulia kiumbe hicho kwa mawe na kufanikiwa kukiua.

Mwalimu aliyekuwa zamu siku hiyo, Thomas Stephano ambaye alikuwa zamu siku hiyo alieleza kuwa siku ya tukio (Jumanne) alishangaa kuona kuwa muda wa mapumziko umekwisha (saa 4:30 asubuhi) ila cha kushangaza wanafunzi bado walikuwa nje kwenye kikundi.

“Ilibidi niwafuate kuona nini kilikuwa kinafanyika kufika tu nikakuta wakikiua kiumbe hicho. Tulikimwagia maji tukione vizuri maana niliwaambia usikute ni chura…wao wakasema ni binadamu. Kweli, baada ya kumwagiwa maji, kiumbe huyo ana umbile la binadamu,” ameeleza mwalimu huyo ambaye amefundisha shule ya Msingi Kalabasi kwa miaka minne sasa. 

Chanzo: Habarileo

Steve Nyerere Amuomba Radhi Ommy Dimpoz

0
0
Msanii na muigizaji wa sauti nchini, Steve Nyerere amemuomba radhi msanii wa muziki wa Bongo fleva, Ommy Dimpoz kufuatia kauli yake ya kuwa msanii huyo asingeweza kuimba tena kutokana na maradhi yaliyomkabili.

Kupitia ukurasa wake wa instagram Steve ameandika, "kwanza nichukue fursa hii kumshukuru Mungu, nichukue fursa hii kumuomba radhi ndugu yangu Dimpoz kwa namna alivyopokea kauli yangu niliyoitoa dhidi yake.

"Na zaidi niwaombe radhi Watanzania wote na wapenzi wa sanaa binadamu unapoona umekosea busara inatutaka kukiri kukosea nami nakiri kukosea kutokana na ile kauli yangu kwa Dimpoz.' ameongeza Steve

Ameendelea kusema kuwa kauli aliyoitoa haikuwa na maana ya kumtakia mabaya Dimpoz, bali aliongea kwa kukatishwa tamaa kutokana na taarifa alizokuwa akizipata, na kuwataka watu wasichukulie kwa nia mbaya kauli yake.

"Lakini tufahamu kwamba Mungu hufanya miujiza yake kutokana na sababu fulani, hivyo miujiza ya kumuinua ndugu yetu na kurudi kwenye kazi zake imetokana na imani aliyokuwa nayo Dimpoz kwa muumba wake."

Wakati Ommy Dimpoz akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini 2018, Steve Nyerere alshawahi kukaririwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini kuwa msanii huyo asingeweza kuimba tena kutokana na maradhi aliyokuwa ameyapata kauli ambayo Ommy Dimpoz aliishangaa baada ya kupata nafuu.

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Super Moringa : Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
SUPER MORINGA DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME NA KUNENEPESHA UUME
_________________________
🔖🌸SUPER MORINGA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha uume uliorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳            
MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DAR ES SALAAM OFISI IPO BUGURUNI SHELI AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr ATHUMAN SIMU.
📞0714 884 677
📞0767 104 343
____________________________
*****************************

Atiwa Mbaroni Akidaiwa Kumuua mke Mwenza

0
0
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Jenesia Jackob (29) mkazi wa Kalenge kijiji cha Lusenga  wilayani Biharamulo kwa kuhusishwa na kifo cha Joyce Jackson (18) ambaye alikuwa katika hatua za mwisho kuwa mke mwenza wake.

Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema jans Februari 9,2019 kuwa mwili wa marehemu ulikutwa ndani ya nyumba ukiwa na majeraha kichwani na kuchomwa kwa kitu chenye ncha kali sehemu za siri.

Amehusisha mauaji hayo na wivu wa mapenzi na kudai kuwa kulikuwa na ugomvi kati ya marehemu na mtuhumiwa ambaye alikuwa anapinga mipango ya mume wake kumuoa Joyce  na kuwa mke mwenza wa Jenesia.

"Uchunguzi wa awali umebaini kulikuwa na ugomvi kati ya marehemu na mke mkubwa, hakutaka marehemu aolewe na mume wake kama mke mwenzake, marehemu alivuja damu nyingi baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha," alisema Malimi.

Akifafanua mazingira ya kifo, amesema marehemu alitekeleza tukio hilo wakati mume wake Barushimana Mtondo alipokwenda kulala kwenye msiba wa jirani yao.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

VIDEO: Becka title Ft. Cass Black – SIWEZI

0
0
VIDEO: Becka title Ft. Cass Black – SIWEZI

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi Atoa Onyo kwa Wanaomkashifu Rais

0
0
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amekemea tabia inayoanza kuota mzizi ya kutoa lugha zisizo za staha kwa Rais John Magufuli na kumpongeza rais kwa uvumilivu kwa lugha za adhara zinazoelekzwa kwake.

“Rais ni taswira ya nchi, hivyo si vyema kumbeza, kumdhalilisha na kumdharau tukadhani kuwa ndio demokrasia, demokrasia ni pamoja na kujua mipaka yako. Nampongeza sana Rais Magufuli kwa sababu amevumilia mengi, amevumilia upumbavu, upuuzi na ujinga mwingi”.

“Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania, si jambo jema kutumia lugha zisizo kwenye staha kwa lengo la kutafuta mabadiliko kwa kutoa lugha ya vitisho. Nchi hii inaweza kuwa na amani kama sisi wenyewe tutaamua kuwa na amani,” amesema Profesa Kabudi.

Profesa Kabudi aliyasema hayo bungeni jijini hapa juzi jioni, aihitimisha mjadala wa taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu kazi zake kuanzia Januari 2018 hadi Januari mwaka huu.

Naibu Waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara amesema kitendo anachokifanya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu cha kulipaka matoke Taifa akiwa nje ya nchi, si jambo jema, ni sawa na uhaini na kusisitiza kuwa fedha zote anazotumia kuzunguka nchi mbalimbali zingeweza kusaidia wananchi wake waliomchagua.

Amesema ni vema Mbunge huyo wa upinzani akarejea nchini na kama kuna shida wazungumze, lakini hatua ya kuendelea kulipaka matope Taifa si jambo ambalo wananchi wake wamemtuma.

Mbunge wa Geita Mjini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’ amesema pamoja na kuwa amekuwa anachambwa kwenye mitandao, anataka Lissu kutopewa mshahara na kutenguliwa uteuzi wake ili wananchi wapate mwakilishi na si anayewawakilisha kwenye televisheni.

“Waliomchagua walikuwa wanamuombea apone, na si kula bata. Sheria tumezitunga wenyewe na ni lazima tuzisimamie. Tundu Lissu si mgonjwa kwani ana uwezo wa kuzunguka katika nchi mbalimbali na kukaa kwenye ndege kwa zaidi ya saa kumi akiwa kwenye safari moja tu,” amesema mbunge huyo.

Dawa Mpya Asilia Ya Nguvu Za Kiume

0
0
Baada Ya Watu Kuhangaika Mda Mrefu Bila Kupata Dawa Ya Uhakika Ya Kumaliza Na Kuondoa Tatizo La Nguvu Za Kiume Sasa Dr.mbulana Ana Dawa Mpya Ya Mitishamba Ambayo Ni Komesha Kabisa Kwa Tatizo Sugu La Nguvu

SUPER MGUNO ;Ni dawa ya mitishamba inatibu kabsa tatizo la nguvu za kiume inakufanya uwe na uwezo wa kuchelewa kufika kileleni pia inakufanya uweze kufanya tendo mara 3 hadi 4 bila kuchoka

SUPER MGUNO2; Hi dawa ya mitishamba inayo nenepesha na kurefusha Uume mfupi ulio sinyaa na kuufanya uwe imara na inasafisha mirija ya uume na kuupa nguvu wakat wa tendo.

Dawa hii ni dawa inayo tibu mtu yeyote ambae amepata tatizo ili kutokana na sababu mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,magonjwa kama vile kisukari,ngiri,vitonda vya tumbo n.k

Pia DR.MBULANA ANATIBU MAGONJWA KAMA KISUKARI,NGIRI,VIDONDA VYA TUMBO,UZAZI N.K

DR huyu anapatika DAR ES SALAAM PIA HUDUMA HII UNATUMIWA POPOTE ULIPO NA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI

MAWASILIANO
DR.MBULANA
0714092127

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Wimbo Mpya: Elly Da Bway - Bamba

0
0
Wimbo Mpya:  Elly Da Bway - Bamba

Maboresho Sheria Mpya Ya Madini, Majengo Na VAT Kuwanufaisha Wadau

0
0
Na. Josephine Majura, WFM, Dodoma
Bunge limepitisha Muswada wa Sheria wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Namba mbili ya Mwaka 2019 ambao umelenga kutatua changamoto za za kodi ikiwemokodi ya Majengo, madini na Kodi uya Ongezeko la Thamani (VAT).

Muswada huo uliopelekwa Bungeni kwa Hati ya Dharura ulijadiliwa na kupitishwa ambapo  Wabunge mbalimbali walipata fursa ya kutoa maoni yao.

Akizungumza wakati wa kuwasilisha Muswada huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Prof. Adelardus Kilangi, alisema kuwa marekebisho hayo yameondoa kodi ya zuio (withholding tax) kutoka 5% hadi asilimia sifuri kwenye bei ya kuuzia madini ya aina zote kwa wachimbaji wadogo ili kuwahamasisha wachimbaji hao kuuza madini katika masoko ya madini.

Alisema marekebisho hayo yanalenga kudhibiti upotevu wa mapato ya Serikali na kuhakikisha mapato yanayotokana na biashara ya madini yanakusanywa ipasavyo.

Aliongeza kuwa  Muswada huo umependekeza kutoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa wachimbaji wadogo wa madini watakaouza madini yao katika masoko ya madini na vituo vya ununuzi wa madini.

Aidha, Prof. Kilangi alibainisha kuwa Muswada huo pia umependekeza kila kiwanja kitozwe Kodi ya Majengo badala ya kila jengo lililopo ndani ya kiwanja husika kwa maeneo ya Halmashauri za Wilaya.

Sheria zilizopitishwa ni pamoja nma Sheria ya Ushuru wa Bidhaa Sura ya 147,   Sheria ya Kodi ya Mapato  Sura ya 332,  Sheria ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ya Utozaji wa Kodi ya Majengo Sura ya 289, Sheria ya Madini Sura ya 123 na  Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani Sura ya 148.

“Madhumuni ya marekebisho ya Sheria hizo pamoja na mambo mengine ni utekelezaji wa azma ya Serikali ya kuondoa changamoto kwa wachimbaji wadogo wa madini, wakulima wa zabibu ndani ya nchi na viwanda vinavyotumia zabibu hiyo katika uzalishaji pamoja na kuweka viwango mfuto (fixed rate) vya kodi ya majengo.” Alisema Prof. Kilangi.

Alisema kuwa Serikali imeona upo umuhimu wa kuwasilisha Muswada huu kwa haraka kupitia Hati ya Dharura ili kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo kupunguza utoroshwaji wa madini nje ya nchi   unaofanywa na wachimbaji wadogo ambao wanakwepa kodi.

Mwisho.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk. Gwajima akemea ubinafsi

0
0
Na. Atley Kuni- Dodoma
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia masuala ya Afya Dkt. Dorothy Gwajima, amewaonya na kuwatahadharisha watendaji katika ofisi hiyo kuepuka ubinafsi na kuwahimiza kufanya kazi kwa pamoja. 

Dkt.Gwajima ametoa kauli hiyo jijini Dodoma, wakati wa kikao kazi kilicho wakutanisha Wakurugenzi, wakurugenzi wasaidizi na Maafisa wa Wizara hiyo kutoka Idara za TEHAMA pamoja na Afya, wkati wa wasilisho la mfumo wa uendeshaji wa shughuli za Serikali (GoTHOMIS).
 
 Alisema,iliwaweze kufanikiwa lazima wafanye kazi kama timu moja bila kubaguana na kuonya, tabia ya ubinafsi sio nzuri na kama wanataka kukwama katika mipango yao watangulize ubinafsi mbele badala ya maslahi ya nchi kwanza. “Mimi sipo tayari kuona tunakwama wakati nilikula kiapo mbele ya Mhe. Rais, ni bora mniondoe lakini nitasimama katika kweli .“alisema Gwajima.
 
 Dkt.Gwajima alisema anashangazwa na mataifa ya Ulaya kuendelea kupiga hatua kwenye maendeleo huku Watanzania tukibaki nyuma. “Lakini kikubwa ninacho kiona ni hali ya uratibu (Cordination) ndio changamoto kubwa katika utendaji wetu wa kila siku.” alibainisha Dkt.Gwajima.
 
Naibu Katibu Mkuu huyo, amezitaka Idara hizo kushirikiana kwa karibu hasa ikizingatiwa mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia yanahitaji uwajibikaji wa pamoja. “Natambua tunafanya kazi nzuri sana, lakini bila kuishirikisha kwa karibu idara ya TEHAMA, hatutaweza kufika tunapotaka kwenda” alisema Gwajima.
 
Kwa upande wake Mkurugenzi msaidizi kutoka Idara ya Afya wizarani hapo, Dkt. Anastazia Nswila, aliwataka wajumbe kuwa na msimamo  mmoja katika maamuzi, kuacha kutegemea na kupangiwa misaada mbalimbali kutoka kwa wadau . 

“Wadau wana pesa nyingi, isiwe sababu yakutupangia nini watatuletea, ni vizuri mahitaji yatoke kwetu sisi, kama ni Laptop tuwaambie ni aina gani tunataka, kama ni vifaa tiba huko kwenye kwenye vituo sisi ndio wakuamua aina gani ya vifaa vinafaa kulinga na mazingira yetu” alisisitiza Dkt. Nswila.
 
Kikao hicho kilichodumu kwa takribani saa 3 kimetoka na maazimio matano ikiwepo, kuandaliwa mafunzo maalumu kwaajili yakuwawezesha idara mama ya masuala ya afya kuutambua mfumo, kuandaa andiko la jinsi gani Wizara hiyo inavyofanya katika mfumo huo, kila Wizara ifanye maamuzi ya kisekta ya ndani kabla yakukutana TAMISEMI na Wizara ya Afya, na mwisho kuwa na kikao cha wadau ili kuwapa muelekeo na msimamo wa Serikali.

Tamasha la Pasaka Dar ndani ya Viwanja vya Kijitonyama

0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion na muandaaji wa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amesema tamasha hilo mwaka huu litafanyika Aprili 21 kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana Msama amesema viwanja vya posta ni mahali ambapo pako katikati zaidi na panaweza  kufikiwa na watu wa pande zote za jiji la Dar es salaam na ni eneo ambalo linafikika kirahisi .

Msama ameongeza kuwa mara baada ya tamasha hilo kufanyika jijini Dar es salaam litafanyika pia katika mikoa ya Dodoma, Mwanza, Simiyu na Iringa na wataongeza mikoa mingine kadiri ya mahitaji yatakavyokuwa ili kuhakikisha watu wote wanaopenda kupata burudani ya muziki wa injili kupitia Tamasha la Pasaka wanafikiwa.

Tamasha la Pasaka linatarajiwa kushirikisha  wanamuziki mbalimbali wa nchini Tanzania na nje ya Tanzania.

Msama amesema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vizuri ambapo mpaka sasa tayari wamekamilisha mazungumzo na mwimbaji mmoja kutoka nje hata hivyo hakumtaja jina lake.

Awali Msama alisema wako katika mazungumza na wanamuziki kutoka Marekani, Uingereza , Afrika Kusini, Nigeria , Kenya na Tanzania pia.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Sumaye ahamishiwa Muhimbili, Mbowe Amtumia Salaam

0
0
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe licha ya kuwa gerezani amemtumia salamu za pole Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye ambaye alipatwa maradhi ya ghafla alipokuwa mkoani Tanga.
 
Taarifa ya salamu hizo zimetolewa na chama chake ambapo amesema, "Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye bado yuko mahabusu Gereza la Segerea na Mbunge Esther Matiko, wamemtumia salaam za pole na kumtakia uponaji wa haraka Sumaye ili arejee katika siha njema"

Aidha taarifa ya chama hicho imeeleza kuwa Sumaye anaendelea vizuri na matibabu chini ya uangalizi wa madaktari wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) alikohamishiwa baada ya kupokelewa Hospitali ya Taifa Muhimbili akitokea Hospitali ya Mkoa wa Tanga.

Aidha Katibu Mkuu wa Chama, Dkt. Vincent Mashinji, Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA Patrick Ole Sosopi pamoja na viongozi wengine wa Chama ngazi na maeneo mbalimbali ya nchi, wamefika hospitalini hapo kumjulia hali.

Mzee Sumaye alipatwa na shida ya afya mapema juzi akiwa mkoani Tanga ambako alikuwa anaendelea na ratiba ya shughuli mbalimbali za Chama mkoani humo.

Kabla ya kuwasilishwa Muhimbili Sumaye alilazwa Hospitali ya Bombo kabla ya kuletwa Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa afya yake.

RC Aggrey Mwanri,: Tukikukuta Huna Kitambulisho ni Kosa...Tutakubana Hadsi Utueleze Unaishi Vipi

0
0
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, amewataka wakuu wa Wilaya waliopo ndani ya mkoa huo kuhakikisha wanagawa vitambulisho vya wajasiriamali na kuwahimiza watu wengi zaidi kuchukua, wasipofanya hivyo basi wawatambue watu hao kuwa ni wavunjifu wa sheria.

Mwanri ametoa kauli hiyo alipokuwa akigawa vitambulisho vya wajasiriamali kwa wakuu wa wilaya mkoani humo, na kuwahimiza kwamba ni lazima wahakikishe wanawahimiza wahusika kuchukua.

Amewataka wakuu hao wa Wilaya kuwatafuta watu wasio navyo na kuwahoji wanafanya shughuli gani mjini, kwani watu wasiokuwa na shughuli yoyote huenda ndio watu wanaouvunja sheria na kuwaibia wengine.

“Wapo watu watakaokwambia sina kazi, kataa mwambie hapa kazi tu, huna kazi kosa la pili, la kwanza nimekukuta huna kitambulisho, la pili umesema huna kazi, unaishi ishije, unakula wapi unalala wapi hapa mjini, tunataka uchukue kitambulisho, ili uende ukabangaize kwa ajili ya kutafuta chakula kwa watoto wako, uweze kupata nguo kwa ajili ya watoto wako”, amesema Mwanri na kuongeza;

"Kwa hiyo tukimkuta mtu hapa mjini hana kitambulisho ni kielelezo kwamba hana shughuli yoyote ni kosa lingine, unambana, unamkuta hashughuliki lakini kavaa vuzuri, tunamuuliza unapata wapi mapato yako, tunajua huyu anaweza akawa muhujumu uchumi, au anapita nyumba za watu. Huna kitambulisho, hufanyi kazi, unaishi vizuri ni kosa lingine, unabambika makosa mpaka, wewe unaishi hapa mjini mtaa mmoja adi mwingine unadoea, kosa lingine, makosa karibu matano hapo”.

RC huyo pia amewasisitiza Wakuu hao wa Wilaya kuhakikisha fedha za kodi kwa wale wafanya biashara wasio na vitambulisho zinakusanywa ipasavyo, kwani wao ndio wawakilishi wa serikali kwenye maeneo yao.

Muuguzi Mount Meru asimamishwa kazi mwaka mmoja

0
0
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, katika kikao chake cha 196 limemsimamisha Muuguzi Martin Chama kutoa huduma za Uuguzi na Ukunga kwa muda wa mwaka mmoja tangu tarehe 7.02.2019 baada ya kumtia hatiani na makosa mawili kati ya manne yaliyowasilishwa katika Baraza la Uuguzi na Ukunga mwezi Septemba 2018.

Makosa hayo ni pamoja na kufika kazini akiwa amelewa na kutaka kuhatarisha usalama wa wagonjwa na ndugu zao kwa kushindwa  kutoa huduma kwa umakini na weledi.

Awali ofisi ya Msajili wa baraza la Uuguzi na Ukunga lilipokea tuhuma kutoka Hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mount Meru Arusha kupitia kwa Muuguzi mkuu wa mkoa ambaye pia ni msimamizi wa maadili wa mkoa wa Arusha kwa mujibu wa sheria N0 1ya mwaka 2010.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo muuguzi huyu  alifika kazini tarehe 26.09.2018  zamu ya usiku majira ya saa tatu husiku akiwa amelewa na alianza kuwasumbua ndugu waliokuwa wakiwaangalia wagonjwa wao kutaka kuendelea kutoa huduma kwa wagonjwa ili hali akiwa amelewa sana hali ambayo ingesababisha kuhatarisha  maisha ya wagonjwa kwa kuwa hakuwa na umakini.

Tuhuma hizi ziliwasilishwa na walalamikaji wawili waliokuwa wakiuguza wagonjwa wao.

Ofisi ya Msajili ilituma Afisa kutoka baraza la Uuguzi na Ukunga ambaye aliungana na timu ya Mkoani Arusha ikiongozwa na Muuguzi mkuu wa Mkoa wa Arusha.Timu hii ilifanya uchunguzi wa awali na kubaini mapungufu yaliyofanywa na muuguzi huyu ambayo ni kinyume na maadili ya Uuguzi na Ukunga.

Taarifa hiyo ilipelekwa katika kikao cha dharura cha bodi cha 195 ambacho pamoja na mambo mengine ilijadili taarifa hii na kuamua shauri hili lisikilizwe  kataka kikao cha bodi cha 196 ambayo itahusisha mtuhumiwa na mashahidi ambao ni walalamikaji na watumishi waliokuwepo siku ya tukio.

Shauri hili limesikilizwa tarehe 07.02.2019 ambapo Ushahidi uliotolewa umemtia hatiani bwana Martini kwa kulewa na kushindwa kutoa huduma kwa wagonjwa kwa weledi na kutaka kuhatarisha Maisha ya wagonjwa na ndugu zao.baraza liliadhimia kwa kauli moja kumsimamisha kutoa huduma hizi kwa muda wa mwaka mmoja.

Baraza la Uuguzi na Ukunga ni Mamlaka iliyoanzishwa kisheria na kufanya kazi chini ya Sheria inayoitwa The Nursing and Midwifery Act, of 2010.Baraza lilianzishwa kwa ajili ya kulinda umma kutokana na huduma zinazotolewa na wauguzi na wakunga nchini na linafanya kazi kwa kusimamia ubora katika mafunzo na kuhakikisha huduma zinazotolewa zinazingatia viwango vilivyowekwa.

Imetolewa na
Agnes Mtawa
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga
09.02.2019

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images