Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Walichokisema CHADEMA kuhusu suala la Tundu Lissu kusitishiwa mshahara wake

$
0
0
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa kilio chao dhidi ya hoja ya kusimamisha malipo ya mshahara wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu iliyowasilishwa Bungeni.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, Tumaini Makene kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari amedai kuwa hoja hiyo ina nia ya chuki dhidi ya Mbunge huyo.

Makene alidai kuwa hoja hiyo haizingatii sheria na kanuni za Bunge kwani kuna wabunge wengi ambao wana historia za kupatiwa matibabu kwa muda mrefu huku wakiendelea kupata stahiki zao.

“Chadema tunamtaka Spika [Job Ndugai] asimamie Sheria na Kanuni za Bunge na ajue kuwa wabunge wana haki kwa mujibu wa sheria na hawafanyi kazi kwa kutegemea fadhira,” alisema Makene.

Awali, Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph ‘Msukuma’ Kasheku alipendekeza Bunge kusitisha mshahara wa Lissu akieleza kuwa mbunge huyo hayuko jimboni na hayupo nchini, lakini anaonekana akiwa ‘anazurura’ katika nchi mbalimbali akiichafua taswira ya Tanzania.

Hoja hiyo iliyoungwa mkono na baadhi ya wabunge, ilimshawishi pia Spika Ndugai ambaye aliiunga mkono akieleza kuwa hajawahi kupata taarifa ya matibabu ya Lissu kutoka kwa madaktari wake kwa kipindi chote. Spika Ndugai aliahidi kuwa atafanya lile ambalo liko ndani ya uwezo wake.

Spika Ndugai alieleza kuwa Lissu alikuwa hospitali kwa muda mrefu na Bunge lilitumia busara kuendelea kumlipa ingawa hakuwa amewasilisha taarifa ya maendeleo ya matibabu yake, lakini sasa wanamuona akiwa anazunguka nchi mbalimbali badala ya kurejea jimboni kwake.

Siku kadhaa zilizopita, Spika Ndugai alieleza kuwa tangu Lissu alipoanza matibabu nchini Nairobi na baadaye nchini Ubelgiji kutokana na kushambuliwa kwa risasi Septemba 7, 2017, Bunge limeshamlipa jumla ya Sh250 milioni, ikiwa ni stahiki zake pamoja na mchango wa wabunge.

Lissu amekuwa akifanya ziara katika nchi za Ulaya na Marekani na kufanya mahojiano na vyombo vya habari pamoja na kushiriki midahalo kwenye taasisi mbalimbali.

Baada ya kuachana na Irene Uwoya, Dogo Janja amtambulisha mpenzi wake mpya

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Abdul Chande maarufu kama Dogo Janja ameibuka na kumuweka hadharani Mpenzi wake  Mpya anayejulikana kwa jina la Linah.

Dogo Janja aliachana na aliyekuwa mke Wake Msanii Irene Uwoya mapema mwaka jana Baada ya kukaa kwenye ndoa kwa miezi kadhaa.

Baada ya ndoa hiyo kuvunjika wasanii hao walikataa kuliweka wazi suala hili hadi pale Irene Uwoya alipoonekana anakula bata nje ya nchini akiwa mwenyewe bila Dogo Janja 

Siku ya jana Dogo Janja amemtambulisha mpenzi wake huyo mpya kupitia ukurasa wake wa Instagram ikiwa ni siku ya mpenzi wake huyo ya kuzaliwa.

Dogo Janja aliandika maneno haya:-
“Hakuna neno linaloweza kutosha katika kuielezea furaha niliyonayo kwenye kufurahia siku yako ya kuzaliwa mpenzi wangu..mengine nitakuelezea chumbani.. Kula ushibe, Kisha kaza chaga… nakupenda sana❤️❤️❤️❤️ @quenlinnatotoo #BuddahBossPonDiLove“

Diamond na Mpenzi Wake Wajiachia Kimahaba

$
0
0
Mpenzi wa staa wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh ameonekana kuweka maneno ya watu pembeni na kuzidi kukolea Kwenye Penzi na Diamond.

Tangu Diamond aweke hadharani kuwa yupo kwenye mahusiano na Tanasha mwaka jana mwishoni ni wazi kuwa hawajapita njia nyepesi kwani Penzi Lao linapingwa sana hasa kwenye Mitandao ya kijamii.

Lakini Diamond na Tanasha wameonekana kupuuzia maneno ya watu na kufanya mambo yao na inaonekana wazi kuwa Tanasha amekolea kwenye Penzi na Mbongo fleva huyo.


Hizi ni Picha Walizotupia Leo

Super Mkuyati: Tiba Sahihi ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
ASILIMIA 45-88 YA WANAUME WAPO TOFAUTI NA WENGINE KUTOWATIMIZIA NYEMA WAKE ZAKE ZAO AU WAPENZI WAO SUPER MKUYATI NI TIBA YA MARADHI YAKO
------------------
SUPER MKUYATI; nidawa  iliyo katika mfumo wa vidonge  na  unga , inapambana  na magonjwa sugu  yakina baba.  dawahii inaNguvu  (3) inafanya kazi kwa pamoja (1) inaongeza nguvu zakiume ( 2) itakufanya kuchelewa kufika kileleni  kwa muda wa dk 10-15(3)inazalisha homoni  kwa wingi na kuku fanya uwe na mbegu nyingi zenye vimeleo vingi nya uzazi vilivokomaa
------------------
MDINGO POWER nidawa inayo lefusha na kunene pesha maumbile madogo yaliyosinyaa kunzia nchi
6-8 upana 3-4     dawa hizi hazina madhara hata kwa wazee    TUMIA LEO UONE MAJABU YAKE TIBA HIZI NIZAKUDUMU
------------------
DR GATUNDU anazo dawa zakutibu mangonjwa sugu kama vile kisukali presha henia ngili ya kushuka bila upasuji vidonda vya tumbo kuondoa sumu mwilini  kushikwa na ganzi mwilini
------------------
DR GATUNDU ANA PATIKANA DAR-ES SAALM  WALE WAMIKOANI WATA TUMIWA KWA NJIA YA MABASI PASIPO NA MASHAKA TIBA NI WITO NYOTE MNA KALIBISWA
 DR GATUNDU📞 0716 948950

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Taarifa Ya Jeshi La Polisi Mkoani Mbeya Kuhusu Matukio Mbalimbali Yakiwemo Mauaji

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu watatu kwa kosa la kupatikana na Pombe kali zilizopigwa marufuku nchini.

KUPATIKANA NA POMBE ZILIZOKATAZWA NCHINI.
Mnamo tarehe 07.02.2019 majira ya saa 09:00 asubuhi huko Ipyana, Kata ya Ipyana, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya. Askari Polisi wakiwa doria walimkamata ELIZA NZIKU [19] Mkazi wa Kitongoji cha Ipyana akiuza pombe aina ya veve katoni moja iliyokatazwa kuingizwa nchini.Upelelezi unaendelea.

KUPATIKANA NA POMBE ZILIZOKATAZWA NCHINI.
Mnamo tarehe 07.02.2019 majira ya saa 10:05 asubuhi huko Kitongoji cha Isanga, Kata ya Ngonga, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya. Askari Polisi wakiwa doria walimkamata AIDA HAMAD [19] Mkazi wa Kitongoji cha Isanga akiuza pombe zilizokatazwa kuingizwa nchini aina ya WIN katoni mbili. Upelelezi unaendelea.

KUPATIKANA NA POMBE ZILIZOKATAZWA NCHINI.
Mnamo tarehe 07.02.2019 majira ya saa 13:05 mchana huko Kyela Kati, Kata ya Kyela, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya. Askari Polisi wakiwa doria walimkamata JAMES EMMANUEL, miaka 19, mkazi wa Kitongoji cha Mbugani akiuza pombe zilizokatazwa kuingizwa nchini aina ya WIN katoni moja. Upelelezi unaendelea.

MAUAJI – KYELA.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili 1. FRIDAY MWAMAKULA [35] Mkazi wa Njisi na 2. GOOD BOY NINGU [56] Mkazi wa Njisi kwa mahojiano zaidi kutokana na tuhuma za kuhusika kwenye tukio la mauaji ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la RASHID NINGO MWAMAKULA [67] Mkazi wa Kitongoji cha Njisi, Wilayani Kyela Mkoani Mbeya.

Tukio hilo limetokea Januari 08, 2019 saa 08:00 asubuhi huko Kitongoji cha Njisi kilichopo Kijiji cha Kilwa, Kata ya Kajunjumele, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya ambapo watu wasiojulikana walimvamia marehemu akiwa amelala chumbani kwake peke yake na kisha kumuua kwa kumkata na kitu kinachodhaniwa kuwa na makali/ncha kali.

Wakati wa tukio hilo mke wa marehemu aliyefahamika kwa jina la NITIKE KATETE [62] Mkazi wa Kitongoji cha Njisi alikuwa ameenda kwenye msiba wa mjukuu wake huko Kitongoji cha njisi na ndipo aliporudi alikuta mume wake ameuwawa na mwili wake ukiwa kitandani.

Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa ardhi ya ukoo. Inadaiwa kuwa, watu hao kabla ya kutekeleza adhima yao walimvamia marehemu chumbani kwake alikokuwa amelala peke yake na kumkata kichwani kwa kitu chenye makali/ncha kali.

Mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi wa kitabibu na Daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Kyela na kukabidhiwa ndugu kwa ajili ya taratibu za mazishi. Upelelezi unaendelea kuhusiana na tukio hili.

MAUAJI – MBEYA VIJIJINI.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Lwanjilo anayefahamika kwa jina la STEVEN TUMPIKILE kwa ajili ya mahojiano zaidi kuhusiana na tukio la mauaji ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ZAWADI JOHN @ NAMBARIWAN (Jinsia ya kiume) [35] Mkazi wa Lwanjilo.
 
Tukio hilo la mauaji limetokea Januari 07, 2019 saa 19:00 usiku huko katika kijiji na kata ya lwanjilo, Tarafa ya Tembela, Wilaya ya Mbeya Vijijini na Mkoa wa Mbeya ambapo wananchi wa Kijiji hicho waliamua kujichukulia sheria mikononi kwa kumtuhuma marehemu kuvunja nyumba ya mtu aitwaye LUFI FUNGO (Jinsia ya Kike) mchana na kuiba kitanda kimoja cha mbao ukubwa wa futi 4 kwa 5 pamoja na godoro lake na pia kuiba tena nyumbani kwa ELIZABETH SANGA debe 3 za ngano tuhuma ambazo hazikuripotiwa Polisi.

Mara baada ya wizi huo wananchi waliendesha msako wakiongozwa na wenyeviti wa vitongoji ambao ni ALIKO DAUDI @ MSEMWA na JOFREY LANGISONI ambapo katika msako huo ndipo walimkamata marehemu na vitu hivyo na kumshambulia kwa vitu vyenye ncha kali na hatimaye kufariki dunia na mwili wake kuchomwa moto.
 
Mwili wa marehemu umekutwa na majeraha makubwa kichwani na kutobolewa macho na kisha kuunguzwa kwa moto. Mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi wa kitabibu na Daktari wa Hospitali Teule ya Ifisi na kukabidhiwa ndugu kwa taratibu za mazishi. Aidha msako mkali wa kuwatafuta watuhumiwa walioshuhudiwa na mama mzazi wa marehemu wakitekeleza unyama huo zinaendelea. Upelelezi unaendelea.
 
Imetolewa na:
[ULRICH O. MATEI – SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA

Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye augua gafla mkoani Tanga

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ameumwa ghafla akiwa Mkoani Tanga kwenye shughuli za Chama chake cha CHADEMA  ambapo yeye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Taarifa iliyotolewa na Tumaini Makene imesema amekimbizwa Hospitali ya Bombo na kupatiwa matibabu na inaelezwa kuwa hali yake inaendelea vizuri.

“Mipango ya kumsafirisha kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi inafanyika” Amesema Mkuu wa Idara ya Mawasiliano CHADEMA Tumaini Makene

Tetema ya Rayvanny yashindwa kuvunjwa rekodi ya Diamond

$
0
0
Wimbo mpya wa msanii Rayvanny na Diamond Platnumz 'Tetema' unazidi kufanya vizuri mara baada ya video ya wimbo huo kutoka.

Video ya wimbo huo imeweza kufikisha watazamaji (views) Milioni 1 kwenye mtandao wa YouTube ndani ya saa 17 pekee.

Hata hivyo Rayvanny ameshindwa kuifikia rekodi ya Diamond kupitia wimbo wake 'Hallelujah' aliowashirikisha Morgan Heritage ambao ulifikisha watazamaji Milioni 1 ndani ya saa 15 pekee.

Utakumbuka September 2016 video ya wimbo, Salome ambao Diamond alifanya na Rayvanny uliweza kufikisha watazamaji Milioni 1 ndani ya siku mbili pekee rekodi ambayo ilikuja kuvunjwa na wimbo wa Alikiba ambao ulifikisha idadi hiyo ya watazamaji kwa saa saa 37.

==>>Itazame hapo chini

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Ondoa Kibamia Na Tibu tatizo la Nguvu Za Kiume Kwa Dawa Hii Ya Mitishamba

$
0
0
JILO HERBAL CLINIC

ONDOA KIBAMIA NA ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII YA MITISHAMBA AMBAYO NI KOMESHA KWA TATIZO SUGU LA NGUVU ZA KIUME

SUPER MBONGOSHI; Ni dawa ya mitishamba ambayo inatibu tatizo la nguvu za kiume inakufanya kuchelewa kufika kileleni na kuongeza hamu ya kuendelea kufanya tendo.
 
SUPER MBONGOSHI2 Ni dawa ya mitishamba ambayo ina nenepesha na kurefusha maumbile mafupi au yaliyosinyaa na kuufanya kuwa imara dawa hii inasafisha mishipa ya Uume ambayo imedhurika na matatizo mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,ngiri,kisukari,vidonda vya tumbo na mengine mengi.
 
DR.JILO Pia anatibu magonjwa mengine kama vile kisukari,ngiri,ugumba,pressure n.k

KWA HUDUMA ZA JILO HERBAL CLINIC WASILIANA NA DR.JILO SASA UPATE DAWA HII .UTATUMIWA POPOTE PALE ULIPO PIGA SIMU
0752723508

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Tanzania na Kuwait Zajadili Udhibiti wa Mipaka

$
0
0
Na Mwandishi Wetu
Serikali ya Tanzania na Nchi ya Kuwait ziko katika mpango maalumu wa kubadilishana uzoefu juu ya udhibiti wa mipaka ikiwa ni juhudi za Tanzania kuimarisha ulinzi katika mikoa yote nchini iliyopo mipakani

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati wa mazungumzo na Balozi wa Kuwait Nchini, Mubarak Mohamed Alsehaijan ikiwa ni mpango wa nchi hizo kubadilishana uzoefu katika kudhibiti uhalifu katika mikoa ya mipakani

“Kama Serikali tuna vipaumbele katika kudhibiti  mipaka yetu kutokana na uhalifu unaotokea ikiwemo wahamiaji haramu,usafirishaji wa binadamu, uingiaji wa silaha,utoroshwaji wa madini na biashara yamagendo, ndio maana tumekutana leo kujadili ushirikiano wa nchi hizi mbili katika kudhibiti uhalifu huo”alisema Masauni

Akizungumza katika kikao hicho Balozi wa Kuwait Nchini, Mubarak Mohamed Alsehaijan alisema Tanzania ni nchi salama na wameamua kubadilishana uzoefu katika usimamiaji na udhibiti  wa mipaka.

“Tuna uhusiano mzuri baina ya Kuwait na Tanzania,tumekubaliana kubadilisha uzoefu ili kuweza kuimarisha sekta ya ulinzi kwa kutumia teknolojia itakayorahisisha udhibiti wa mipaka hapa nchini Tanzania” alisema Balozi Mubarak

Katika mazungumzo hayo pia walijadili juu ya teknolojia ya udhibiti wa majanga ikiwemo moto na ajali ambapo pia ni eneo ambalo nchi hizo mbili zilishaanza kushirikiana katika shughuli za uokozi.

Ray C Afunguka Kuhusu Wimbo wake Mpya wa Umezima

$
0
0
Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema wimbo wake mpya wa ‘Umezima’ ni zawadi maalumu kwa mashabiki wake katika msimu wa Valentine.

Msanii huyo amesema ameamua kuwapa burudani ya Valentine mashabiki ambao kwa muda mrefu wamekuwa na shauku ya kusikia zaidi kazi zake.

“Huu ni mwendelezo wa ujio wangu kwenye tasnia hii tena, natambua mashabiki watakuwa na shauku ya kunisikia zaidi, lakini niwajulishe tu nitaendelea kutoa kazi juu ya kazi ili kuwapa burudani,” alisema Ray C.

Mwanadada huyo ambaye ameonekana kurudi vema kwenye tasnia ya muziki, amesema anafarijika kusikia na kuona mashabiki wakipokea kazi zake.

==>>Usikilize hapo chini

Kamati Ya Bunge Yapinga BASATA kusimamia vibali vya kumbi za sanaa na burudani

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo imesema kanuni ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) inayoweka utaratibu wa kusimamia vibali vya kumbi za sanaa na burudani inakwenda kinyume na sheria ya baraza hilo.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo leo Ijumaa Februari 8, 2019 mwenyekiti wa kamati hiyo, Andrew Chenge amesema pia hatua hiyo inafanya watoa huduma za kumbi hizo kuingia gharama mara mbili kwa kuwa halmashauri nazo zimekuwa zikitoza ushuru mbalimbali kupitia huduma hizo.

“Hii inaweza kupelekea kuongezeka kwa gharama za kukodi kumbi za maonyesho ya sanaa na burudani,” amesema.

Rais wa Sudan, Omar al-Bashir alegeza msimamo kuhusu waandamanaji

$
0
0
Rais wa Sudan, Omar al-Bashir amesema sheria kandamizi yenye utata na hali ngumu ya uchumi ndiyo vimechochea hasira miongoni mwa vijana wanaoongoza maandamano ya kumtaka aachie madaraka.

Matamshi hayo ya al Bashir anayekabiliwa na maandamano ya kila mara dhidi ya utawala wake, yameonyesha mabadiliko.

Awali, kiongozi huyo aliwafananisha waandamanji hao kuwa sawa na panya wanaopaswa kurejea kwenye mashimo yao.

Hivyo kauli ya sasa inatoa tafsiri kuwa ni sehemu ya mkakati mpya wa kusaka maridhiano na kupunguza ghadhabu za wanaompinga.

Akizungumza na wanahabari Ikulu mjini Khartoum, al-Bashir amekiri kwa mara ya kwanza kuwa sehemu kubwa ya waandamanaji ni vijana waliovunjwa moyo na hali ya uchumi ikiwamo mfumuko wa bei uliopandisha gharama za vyakula na ukosefu wa ajira.

Maandamano hayo yaliyoanza Desemba 19 mwaka jana yalichochewa na kupanda  bei za vyakula, ukosefu wa fedha za kutosha kwenye  benki na matatizo mengine ya  uchumi.

Hata hivyo, tangu hapo hasira zao zimeugeukia utawala wa miaka 30 wa Rais al-Bashir.

Polisi wamekuwa wakitumia gesi ya kutoa machozi na katika baadhi ya matukio risasi za moto kujaribu kuyasambaratisha maandamano hayo.

Pia, katika hali isiyotarajiwa, al-Bashir alikwenda mbali zaidi na kutoa ahadi ya kuwaachilia huru waandishi wa habari wanaoshikiliwa na utawala wake.

Bashir amesema waandishi wote wa habari ambao wamekamatwa na kufungwa kuhusiana na ghasia za maandamano wataachiwa huru. Inakisiwa idadi ya wanahabari walio jela kuwa 16.

Serikali Yazitaaka Halmashauri Kuwa Na Mpango Mkakati Wa Kutenga Fedha Za Ujenzi Ya Mabweni Ya Wasichana Ili Kupunguza Mimba

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
 Serikali imezitaka halmashauri kote nchini   kuwa na mpango mkakati wa  kutenga fedha za mapato ya ndani  kwa ajili  ya  bajeti ya ujenzi wa mabweni  ya watoto wa kike    ili kupunguza tatizo  la Mimba kwa watoto wa kike  hapa nchini.
 
Hayo yamesemwa leo  Februari 8 bungeni Jijini Dodoma na Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mwita Waitara wakati akijibu Swali la mbunge wa jimbo la  Rombo [CHADEMA] Joseph Selasini aliyetaka kujua kwanini serikali isiagize halmashauri kujenga mabweni kwa lazima na si hiari  ili kuepusha watoto wa kike kupata mimba na kukatiza ndoto zao.
 
"Mimba za watoto mashuleni ni jambo la aibu kwelikweli na sisi kama wazazi lazima tulichukulie very serious .Kama tulivyoanza program ya kujenga madarasa shule za kata ,kwanini serikali  isiagize yajengwe mabweni  na si kwa hiari kwa sababu hawa watoto wanapata mimba kutokana na njaa hawa bodaboda"

Akijibu swali hilo ,Naibu waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara  amesema jambo la kujenga mabweni hususan ya watoto wa kike  ni la lazima hivyo amezitaka halmashauri kutenga fedha kwa ajili  ya mabweni  hasa katika mwaka huu wa uandaaji wa bajeti za halmashauri.

Bunge la 11 mkutano wa 14 kikao cha 10 hati mbili zimewasilishwa ambazo ni hati ya   fedha No.1kwa nusu  ya kwanza 2018/2019, na ile ya uhamilishaji fedha No.2 nusu ya kwanza 2018/2019  na  tamko la mapitio ya fedha nusu ya kwanza 2018/2019 huku jumla ya maswali 14 yakiulizwa na kujibiwa na wizara husika.



Kiwanda cha Kuunga Trekta Chawakomboa Wakulima Wadogo

$
0
0
Na: Lilian Lundo – MAELEZO
Kiwanda cha Kuunganisha Trekta Aina ya URSUS kilichopo Mkoani Pwani kimekuwa mkombozi mkubwa kwa wakulima wadogo kutokana na masharti nafuu ya ukopeshaji wa trekta hizo.

Kutokana na urahisi wa upatikanaji wa trekta hizo umepelekea kuongezeka kwa idadi ya wakulima wenye trekta ambazo zimekuwa zikiwalimia wakulima wadogo wadogo kwa gharama nafuu.

Akizungumia Trekta hizo, Mkulima wa zao la Mahindi na Alizeti kutoka Gairo, mkoani Morogoro, Haji Salum ambaye alikutwa kiwandani hapo akichukua trekta aliyoinunua kwa mkopo, ameeleza kuwa anafuraha kubwa ya kumiliki chombo hicho ambacho atakitumia kulimia mashamba yake pamoja na wakulima wenzake.

“Ninayofuraha kubwa kupata chombo hiki ambacho sikutarajia kukimiliki katika maisha yangu. Ninamshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kauli mbiu yake ya ujenzi wa viwanda ambayo imetuwezesha hata sisi maskini kumiliki trekta,” amesema Salum.

Mkulima huyo anayemiliki heka 120 za mashamba ya mahindi na alizeti mkoani humo amesema, kwa kulima mashamba yake peke yake anauwezo wa kurejesha fedha ambazo zimebaki kukamilisha malipo ya trekta hiyo anayoimiliki.

Mkulima huyo amewashauri Watanzania kujitokeza kwa wingi kununua trekta hizo kwani masharti yake ni nafuu na zipo kwa ajili ya kila Mtanzania hata wale wenye kipato cha chini.

Aidha, mmiliki mwingine wa trekta hizo kutoka Wilaya ya Malinyi, Mkoa wa Morogoro Jacob Mbifile ameishukuru Serikali kwa kupata trekta kwa gharama nafuu ambayo anaitumia kulima mashamba yake pamoja na kuwalimia wakulima wenzake kwa kuchangia kiasi kidogo kwa ajili ya marejesho ya mkopo na uendeshaji wa chombo hicho.

“Kwa sasa tunalima kwa wakati, kutokana na uwepo wa trekta nyingi, tofauti na ilivyokuwa zamani, ambapo wakulima wengi walikuwa wakipata huduma ya kulimiwa kwa kuchelewa kutokana na uchache wa trekta uliokuwepo hivyo kusababisha kuvuna mazao machache kutokana na kuchelewa kupanda,” ameeleza Mbifile.

Kwa upande wake, Mkulima wa zao la Mpunga Wilayani humo, Ladislaus Kidunda amesema kabla ya uwepo wa trekta hizo, kulikuwa na uhaba mkubwa wa trekta hivyo kusababisha foleni kubwa ya kusubiri trekta ili kulimiwa.

“Kipindi cha nyuma tulikuwa tukipata huduma ya kulimiwa kwa trekta kwa tabu sana kutokana na wamiliki wa trekta hizo kuwapa kipaumbele wale wenye mashamba makubwa kuanzia heka 10 na kuendelea. Tofauti na ilivyo sasa ambapo wamiliki wamekuwa wengi hata sisi wenye heka mbili au tatu tunaweza kupata huduma hiyo kwa wakati,” amesema Kidunda.

Nae Msimamizi Mkuu wa Kiwanda hicho, Godwin Mubi amesema mpaka tarehe 15 Januari mwaka huu, jumla ya trekta 261 zimenunuliwa kwa njia ya mkopo katika mikoa ya Manyara, Mwanza, Dodoma, Ruvuma, Singida na Morogoro na mikoa mingine ikiwa kwenye mchakato wa kununua trekta hizo.

“Tunakopesha trekta hizi kwa kila Mtanzania anayehitaji, ambapo hutakiwa kutoa asilimia 25 ya gharama ya trekta na gharama inayobaki atairudisha kwa kipindi cha miaka miwili. Njia nyingine ni ile ambayo mkulima anaonesha dhamira ya kupata trekta, hivyo hulipia milioni 3 hadi 4 na kiasi kinachobaki hurejesha katika kipindi cha miaka miwili,” amesema Mubi.

Aidha Mubi ameeleza, spea za trekta za Ursus zipo na zinapatikana kwa wingi nchini hivyo Watanzania watembelee kiwandani hapo kujua namna ya kumiliki trekta hizo kwani masharti na gharama yake ni nafuu.

Kiwanda cha Kuunganisha Trekta za Ursus ni kiwanda kinachosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) ambapo huunganisha Trekta zinazokuja kwa vipande kutoka nchini Poland. Kiwanda hicho kilianza rasmi kufanya kazi Aprili, 2017 ambapo ni moja ya matunda ya kauli mbiu ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya ujenzi wa viwanda.

Naibu Waziri Wa Maliasili Asema Serikali Ipo Tayari Kurejesha Kwa Wananchi Maeneo Yenye Malalamiko

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Costantine Kanyasu  amesema serikali ipo tayari kurejesha kwa wananchi mashamba yenye Malalamiko katika hifadhi ya Msitu ya Igwata Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.

Kanyasu  ameyasema hayo leo Februari 8  bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Maswa Magharibi Mashimba Mashauri  Ndaki aliyetaka kujua kwanini serikali isirejeshe mashamba yaliyomegwa kutoka  wananchi ili waendelee na shughuli za kilimo.

Katika majibu yake Naibu waziri Costantine amesema zoezi linaloendelea katika wizara ya Maliasili na utalii ni kurejesha kwa wananchi  maeneo yenye malalamiko .

Msitu wa hifadhi wa Igwata unahifadhiwa kisheria kwa tangazo la kiserikali No.324 la mwaka 1953  ukiwa na ukubwa wa eneo la hekta laki 1 elfu 32,mia 4 na 51  ambapo hekta 85.19  zipo wilaya ya Kwimba na hekta 47.678 zipo wilaya ya Maswa  huku wakala wa mistu Tanzania TFS ilianza kusimamia msitu wa Igwata  rasmi tangu mwaka 2010 hadi sasa.

Wakati huohuo waziri wa Maliasili na Utalii Dokta Hamis Kigwangalla amepiga marufu usafirishaji wa wanyama hai nje ya nchi kuanzia sasa.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images